No video

JAMAA WATATU WALIVYOANGUKA NA KUUMIA VIBAYA WAKIONESHA UFUNDI WA PIKIPIKI ARUSHA "HAWAJAOMBA MAJI"

Пікірлер: 111

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s8 күн бұрын

    Mfaiba elezea vzr bana brother nikirudi Arusha ntakuja ofisini kukucheka 😂😂

  • @dorcasassenga2005
    @dorcasassenga2005Ай бұрын

    Ila Mtangazaji hujatuelewesha vizuri sisi wasomaji ajali imetokea Maeneo Gani. Umeishia kusema Eneo hii😢 Mungu awape uponyaji manusura hao.

  • @JosephMchomvu

    @JosephMchomvu

    Ай бұрын

    Imetokea Arusha-

  • @godfreymillardayoripota3002

    @godfreymillardayoripota3002

    Ай бұрын

    Imetokea Arusha pembeni ya uwanja wa Lakilaki Kisongo

  • @user-xk7vy4gb6g

    @user-xk7vy4gb6g

    Ай бұрын

    Hawajaomba hata maji kwahyo wamekufa au

  • @khamisihussein8777

    @khamisihussein8777

    Ай бұрын

    Arusha kisongo

  • @lindacharles998

    @lindacharles998

    Ай бұрын

    ​@@user-xk7vy4gb6gndiyoooo

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rvАй бұрын

    Hv Arusha haipo kenya kweli

  • @realmeamyna30

    @realmeamyna30

    Ай бұрын

    Ahahahahahahaaha 😂hii ni kenya

  • @bobelichi7721

    @bobelichi7721

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 hom sweet hom

  • @LamarOmary
    @LamarOmaryАй бұрын

    Mungu bariki arusha yetu imekua ni kamzozo kila kukicha kipengele iamishiwe ata dar milad ayo apumzike

  • @nesielias9493
    @nesielias9493Ай бұрын

    Haya maisha huwezi pewa pesa hivi hivi mpaka ufe mbio za pikipiki ni kazi kweli😢

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zbАй бұрын

    Haya mashindano bwana viongozi sijuwe kafara hata huku kuliwa kuna mashindano ya mpira baada kisha niligongwa na pikiki sijuwe nikafara na mshukuru Mungu naenderea vizuri sijuwe huwa wanatowa sadaka sisi tunajuwa mashindano kumbe kitu kingine baada ya hapo nilienda kumuomba Mungu alicho niambia Mungu atusaidie ukiona watu wakufa kwenye kusanyiko fulani juwa kafara Watu Mungu epuka mikusanyiko isiyo yalazima nenda kuzarisha

  • @user-lb8rd6tf5z
    @user-lb8rd6tf5zАй бұрын

    Wew mwandishi taarifa Yako haijakaa sawa

  • @HusseniHassan
    @HusseniHassanАй бұрын

    Kiukweli niko mkoa wa Arusha ila katika mkoa unavizazi hovyo nimkoa wa arusha

  • @hassan-sarumbo

    @hassan-sarumbo

    Ай бұрын

    arusha ni kenya ase hawa watu me siwaelewagi kila mtu lazima ukute kichwa kimejaa kujiamini😂

  • @MichelJoseph-kz2lu
    @MichelJoseph-kz2luАй бұрын

    wajiga sana wanavuta magi wanakula mirung wamelewa alafu wanaenda kuagaiki barabarani kwajula hawjielewi mbaya said wanahumia hawausiki na rali jana mimi nimejinie kitu chajabu vijana wa arusha

  • @glorypetro2204
    @glorypetro2204Ай бұрын

    Arusha ni kwetu ila punguzen bangi hii ni ongea gan sasa

  • @boscokikoti
    @boscokikotiАй бұрын

    Eneo hili gani???lipi,?haujatuhabarisha vzr thomasa

  • @ruthjapheth174
    @ruthjapheth174Ай бұрын

    Mungu awasaidie sana.vijna vingine wanajitakia

  • @MathewLeonard-n2b
    @MathewLeonard-n2bАй бұрын

    Chombo Cha moto hakizoeleki alafu jifinzeni aliyetengeneza hawezi muona anafanya ujinga huo poleni sana

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761Ай бұрын

    Vijana wa kiume Arusha ni shida hivi wazazi wenzetu huko mwalionaje daa

  • @abednego3876
    @abednego3876Ай бұрын

    Mbwa hao, wezao wanavaaga safety

  • @RosemaryShilla-dr6kp
    @RosemaryShilla-dr6kpАй бұрын

    Jamani, inaumiza hii yote niajira eti sasa vijana bodaboda wafanye kazi zipi sasa. Makonda anawapenda sana vijana kweli.

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lwАй бұрын

    Kweli awa machoko wamevulungwa yaan awaelew😂😂😂

  • @ayoubshoo
    @ayoubshooАй бұрын

    Jana nko town na machalii nkaongea kama utani tuu kwamba hili Rali lazima iende na sadaka, matokeo ndo haya hapa sa

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771Ай бұрын

    Nimegara na Burungu😂😂😂😂 Unamaana gani Nilikuwa na jiless lkn ndio hvyo😅😅😅😅

  • @user-ve2nd6yw1s
    @user-ve2nd6yw1s29 күн бұрын

    Yan Arusha

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1nАй бұрын

    poleni majeluhi

  • @user-nd8gg4ig7m
    @user-nd8gg4ig7mАй бұрын

    Yaani wenzao wamekufa wao wanacheza mziki😢😢😢😢

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089Ай бұрын

    Hawa waboda wa arushq nao sometimes ni wasenge kupitiliza ujuaji ukiwa mwingi ndo tatizo😊

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    hao watatu ndo washindi wapewe kombe lao

  • @rahmarajabu2585
    @rahmarajabu2585Ай бұрын

    Ila jana nlijua maana walikua na fujo sana za pikipiki kuanzia asubuh barabaran ni kelele tuu za pikipik wamebebana mshikak

  • @IddySimba-fp2cc
    @IddySimba-fp2ccАй бұрын

    Ukikaza unaelewa

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kkАй бұрын

    Arusha ukweni mna mambo sana

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291Ай бұрын

    Kwan police kuning'inia kwenye gari ni sifa maana kwa sababu za kiusalama ni makosa hata wao wakikuta umekaa hivyo kwenye gari wanadeal na wewe iv me nikiingia kwenye gari nikae bila kufunga mkanda wananipiga faini ila wao ruksa kushikilia gari.

  • @adoniemanuel908

    @adoniemanuel908

    Ай бұрын

    hawa polisi wameshinda tangu asubuhi kwenye mashindano wako hoi hapo wakomaa lifti yakwenda nyumbani

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656Ай бұрын

    hapa hamna watu hapa

  • @dativamajaliwa5809
    @dativamajaliwa5809Ай бұрын

    Nilijua tu haya yatatokea Arusha maana jana wadudu wameraruka na kuweuka

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560Ай бұрын

    Akili metiii akili kumkichwa hakuna hawafikiriiii sio Mara ya kwanza wala ya pili so hata siwazi ni kawaida

  • @waziriadam1022
    @waziriadam1022Ай бұрын

    Basi kama vipi tufanye arusha siyo tanzania 😂😂

  • @AgnessOlariph
    @AgnessOlariphАй бұрын

    mtngazaji haijakaa sawa taarif yako

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772Ай бұрын

    dk 7:08 chalii wanacheza mziki wa sauiti ya pikipik...Angalia mdomoni walivyojaza mirungi. wanatafuna tu... uategemea akiendesha atakuwa na akili ya kuchukua tahadhari kweli..

  • @AbdillahSalimu
    @AbdillahSalimuАй бұрын

    This is big problem

  • @studio..07
    @studio..07Ай бұрын

    Kwa hiyo miti ni barabara ya KISONGO tu hiyo

  • @ignasmjie4413
    @ignasmjie4413Ай бұрын

    hawajaomba maji means wamekata moto??????

  • @ZhukuJunior
    @ZhukuJuniorАй бұрын

    Matatizo matupu kufata mkumbo usio kuwa na mantiki

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502Ай бұрын

    Wamepewa mafuta ya bure na makonda wakaanza masifa yao ona sasa kilichowatokea ni mauti tu

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatuАй бұрын

    "Nimegara na burungu" kujiress. Misamiati juu ya misamiati.

  • @adolfmathew9698

    @adolfmathew9698

    Ай бұрын

    Nimegara (nimeanguka) burungu (pikipiki) Kujiresi ni kula (ganja tungi na mirungi) unakua speed kila saa

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2liАй бұрын

    Nani alaumiwe hapo aliye ruhusu. Hayo mashindano. Ndiyo wakulaumiwa nasikia yalikuwa ya kumpongeza mama Samia Sasa watu wamepoteza maisha baada ya faraja ni huzuni

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyoАй бұрын

    Shida ya tz wajinga wengi sana wanapenda kuona sehemu ye milusi mingi ndio sehemu ya kufuata tuache ujinga leo makonda anawapa nini kuamasisha mcheze na vitu vya moto mbona ajaenda kumchukua mwanae aje aunge mkono mama aduli tuache ujinga watanzwnia ujinga wetu ndio mtaji wao

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223Ай бұрын

    😂😂😂kwel Arusha kwa moto

  • @JamesNdyabawe
    @JamesNdyabaweАй бұрын

    Juice je?

  • @CharlesWeston-tc2mt
    @CharlesWeston-tc2mtАй бұрын

    Bangi hizo

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426Ай бұрын

    Makonda tunaomba uangalie Hawa vjana wa pkpk ni bangi tupu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    TATIZO 2ENGINE BANGI NYINGI HII MICHEZO I AHITAJ WATU AMBAO WAKO TIMAM OHOOO INAHITAJ AKIR IWE SAWA SAWA

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938Ай бұрын

    Hiki ni kizazi au taka ngumu hizi?!

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263Ай бұрын

    Arusha hakuna Cha Mzee wala kijana, Mzee anadai "alikuwa kajipumzisha kichakani"

  • @FreyNetwork

    @FreyNetwork

    Ай бұрын

    Daaah,,,umenchekesha kifala😅😅🤣🤣,,,,eti Mzee anadai yupo kichakani

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6gАй бұрын

    Kwani hayo nashindano yalichangamana na magari??

  • @issaissa1361
    @issaissa1361Ай бұрын

    Taifa la chuga

  • @stanastana3199
    @stanastana3199Ай бұрын

    Jamaa wanacheza sauti ya pikipiki ama naona nn

  • @lindacharles998

    @lindacharles998

    Ай бұрын

    😂😂😂ndiyooo Yani Apo kwao ni shangweeee

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    Ай бұрын

    @@lindacharles998 daah sio mchezo

  • @aminamripa1596
    @aminamripa1596Ай бұрын

    Ila makonda Ana kazi na Hawa watu walah

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cxАй бұрын

    Lema kashatuambia nilaana

  • @husseinmaingo5009

    @husseinmaingo5009

    Ай бұрын

    Kwendraaaa mshamba wew

  • @hamidkololeki5009

    @hamidkololeki5009

    Ай бұрын

    Acha upumbavu Lema nan

  • @user-uu7pv6ps6g
    @user-uu7pv6ps6gАй бұрын

    Arusha matukio yamezid

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698Ай бұрын

    Ni mbaya tu enyewe

  • @nolascomashelle6838
    @nolascomashelle6838Ай бұрын

    Nilijua yatatokea iyo inaitwa punguza wadudi

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xhАй бұрын

    Acha wadedi wanakasi ya kuzaliwa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Arusha ni TANZANIA au maana lugha Yao siwaelewi

  • @love98910

    @love98910

    Ай бұрын

    Njoo nikufundishe lugha yetu

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Ай бұрын

    Washenzi tu

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Ай бұрын

    Washenzi tu

  • @adolfmathew9698

    @adolfmathew9698

    Ай бұрын

    ​@@israelkisaila8401washenzi kivipi. Kausha ilikua ni mchezo sema Ndio km ivyo imekataa imekua mbaya

  • @KhadijumaKhadijq

    @KhadijumaKhadijq

    Ай бұрын

    Utaelewa tu kaishi huko😂

  • @ramsdenjames9782
    @ramsdenjames9782Ай бұрын

    Hawa nao walizaliwa dah

  • @godfreynyarata7450eeeeyyy
    @godfreynyarata7450eeeeyyyАй бұрын

    Nikujiresii

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612Ай бұрын

    Huu mkoa 😂

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4jАй бұрын

    Usela mafi

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8dАй бұрын

    Aya sasa makonda ni michezo yako unauwa vijana wa watu

  • @waziriadam1022
    @waziriadam1022Ай бұрын

    Kwani piki piki ni arusha tuu

  • @user-rs6ot2hx5g
    @user-rs6ot2hx5gАй бұрын

    Ila wadudu

  • @johnmike6059
    @johnmike6059Ай бұрын

    Eti Samia motorcycle mnatolewa kafala wajinga nyie hichi kipindi cha uchaguzi eti walikatazwa wameshawaluka

  • @JumaShabani-u4f
    @JumaShabani-u4fАй бұрын

    Nikwer

  • @ryansawee3952
    @ryansawee3952Ай бұрын

    nani kadandia PT

  • @JumaShabani-u4f
    @JumaShabani-u4fАй бұрын

    Ni mzozo atowon

  • @user-iv4hh2ow5g
    @user-iv4hh2ow5gАй бұрын

    Hii ndy nchi ya chuga

  • @neemansasu9761

    @neemansasu9761

    Ай бұрын

    Ya ovyo kabisa

  • @surusuru1994
    @surusuru1994Ай бұрын

    Sifa nibaya chuga

  • @judithfrancey7068
    @judithfrancey7068Ай бұрын

    Kumbe kuna kuombaga maji

  • @user-sg7tr9fl5q

    @user-sg7tr9fl5q

    Ай бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁

  • @worldnews1400
    @worldnews1400Ай бұрын

    Arusha bhn😅

  • @gabrielmwasapi5779
    @gabrielmwasapi5779Ай бұрын

    Biashara imekata

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vvАй бұрын

    Haya sasa mbona hii hamjaandika baada ya mwamposa kuja kuomba kwenye mashindano wafa wawili ni yule alietoka kawe ndo mliandika kikuda kafariki baada ya kutoka kwa mwamposa 😏😏

  • @emmanuelbenedicto589

    @emmanuelbenedicto589

    Ай бұрын

    Hawa ni wahuni na hawakuwa kwenye mashindano acha kupotosha umaa kwa ushabiki wako.

  • @shakilamasoud2983

    @shakilamasoud2983

    Ай бұрын

    Arusha hiyo, husikii kiswahili chetu

  • @PrinceHendry-hp8vv

    @PrinceHendry-hp8vv

    Ай бұрын

    @@emmanuelbenedicto589 unachangia usichojua km hujui mtu amemanisha nn uwe unanyamaza haita kupunguzia kitu

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386Ай бұрын

    Chugga meshindikana nyie ma chaliiiii

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698Ай бұрын

    Kujiresi ni ( kula shada. Tungi. Mirungi) ni mbaya tu enyewe bablinse

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825Ай бұрын

    Kujiresi

  • @JumaShabani-u4f
    @JumaShabani-u4fАй бұрын

    Ni mzozo atowon

Келесі