No video

'Wanalalamika pesa zimepotea... hii msg iende clear kwao' - Rais Magufuli

Ni maneno aliyoyasema Rais Magufuli Dar es salaam September 1 2016 kuhusu pesa zilizofichwa na mengine.

Пікірлер: 39

  • @monicameja5898
    @monicameja58988 жыл бұрын

    zidi kupambamba Baba maana wananchi wa hali ya chini tunaumia sana mungu akuongoze uendelee kutenda kwa vitendo hapa kazi tu japokuwa pesa imepotea

  • @mrpodomanno1299

    @mrpodomanno1299

    3 жыл бұрын

    Mh

  • @ndakitv8148
    @ndakitv8148 Жыл бұрын

    Continue Rest easy Devine Leader!

  • @moshimpinjila7898
    @moshimpinjila78988 жыл бұрын

    Ndio baba fanya kazi hongera sana

  • @vandamemushi4178
    @vandamemushi41787 жыл бұрын

    siipendi ccm but i real love my president anachapa kazi kweli kweli

  • @toshirohitsugaya6421
    @toshirohitsugaya64218 жыл бұрын

    it's clear the president is doing well baazi ya watanzania awa mtaki, Ila kenya Ina mtaka '"your hated by your family but loved by your neighbors"???

  • @rubamann

    @rubamann

    8 жыл бұрын

    Kiswahili chako kibovu.... "baazi", awa mtaki correction.. "Baadhi" "hawamtaki"

  • @robinsonmatemu2371

    @robinsonmatemu2371

    7 жыл бұрын

    Pambana baba jpm Tupo pamoja kwa hapa kazi tu ila jali ajira kwa Vijana

  • @bernhardtpaulmlisumwandu6673

    @bernhardtpaulmlisumwandu6673

    7 жыл бұрын

    John Lunyamila wewe ndiyo mbovu

  • @bernhardtpaulmlisumwandu6673

    @bernhardtpaulmlisumwandu6673

    7 жыл бұрын

    John Lunyamila wewe ndiyo mbovu

  • @Rnyanza
    @Rnyanza8 жыл бұрын

    bora ww JPM umekua mzalendo, Easy money hakuna fanya kazi upate hela SIO ukaetu alafu utake hela

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera31443 жыл бұрын

    Hii ni message ya kweli na inatakiwa ifanyiwe kazi💬💬💬

  • @maryammaryam883
    @maryammaryam8837 жыл бұрын

    baba mwaaaaaaa M ungu akulinde kilalenye kheri nawwe nalenyeshari nawwe likuepuke tupopamoja usiwasikilize waliozoea vyakunyonga vyakuchinja awaziwezi ndomaana wanakuandama M ungu atakulinda sikuzote

  • @sirnyoniinspirationstv5327
    @sirnyoniinspirationstv53278 жыл бұрын

    Gud sana Raisi wetu

  • @lucborauzima2862
    @lucborauzima28627 жыл бұрын

    Much respect Mr PRESIDENT

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65267 жыл бұрын

    Rais Doktor Magufuli asema kweli Watu huficha Fedha badala ya kus aidia wanyonge wamama na Watu Wasiojiweza kulipa Bima ya Hosipital na maisha Bora 🏡🏡

  • @emmanueljoseph6509
    @emmanueljoseph65093 жыл бұрын

    RIP JEMBE

  • @revocatusgervas3040
    @revocatusgervas30407 жыл бұрын

    ni kazi tu

  • @megachessy3376
    @megachessy33768 жыл бұрын

    safari hii kuna raisi haswaaa

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    8 жыл бұрын

    Hata Kikwete alifanya hivyohivyo alivyoingia madarakani. Kama una kumbukumbu lakini! Vyote hivi vilifanywa.. Mishahara hewa, kubadili noti, heshima kazini, udoraraji serikalini na kila kitu. Ila ukizoea ofisi, mambo huwa! Usiwe na pupa, tuombe uzima kwa Mola wetu utaona mengi tu..

  • @godfreymbwambo4460

    @godfreymbwambo4460

    8 жыл бұрын

    Trust me, this is a different dynamics--the Nyerere type!!!

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    8 жыл бұрын

    What was Nyerere type? Have you been there during Nyerere regime? We cannot comment anything on Nyerere since we both werent there...

  • @jackswat

    @jackswat

    8 жыл бұрын

    But you are surviving today on Nyerere's foundation SIR!

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    8 жыл бұрын

    Eti eh?

  • @rubamann
    @rubamann8 жыл бұрын

    Huyu Rais sometimes anaongea vitu vya miaka 47. Watu wanaotoa benki na kuzificha hawafichi noti zetu za madafu. Wanazibadilisha kwenda kwenye Dola, Paundi. Pia karne hii sidhani kama kuna anayeficha pesa home, zinafichwa katika benki za nje/majuu, kwa hiyo hakuna wanachokipoteza zaidi ya international fees.

  • @johnabelly8613

    @johnabelly8613

    4 жыл бұрын

    We boyatu

  • @mfubwakilua5380
    @mfubwakilua53806 жыл бұрын

    Tulikia hatujiju masikini

  • @mugenyagakala3350
    @mugenyagakala33507 жыл бұрын

    hivi kubadilisha hela hakuna utaratibu wa kuchapisha.

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa57775 ай бұрын

    Tumesha Rudi kuchezewa tena

  • @onesmomwacha6677
    @onesmomwacha66778 жыл бұрын

    badilisha baba

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Жыл бұрын

    Mwapiga makofi baadae mtalia

  • @hijazhija316
    @hijazhija3168 жыл бұрын

    mh

  • @rahmaabrahman3236

    @rahmaabrahman3236

    7 жыл бұрын

    tuacheee

  • @sadickmdogo4704
    @sadickmdogo4704 Жыл бұрын

    Eeeeee mzee tumemic saut sana cjui utaludgi kweli

  • @jejemujinga195
    @jejemujinga1952 жыл бұрын

    jeje mujinga napendasana

  • @brightonferdinand4182
    @brightonferdinand41828 жыл бұрын

    Lazima tutafika tuu

  • @davidchungu1806
    @davidchungu18066 жыл бұрын

    Mimi NAMSHANGAASANA Magufuli Analalamikanini Yeye ni ccm wezi ni wa ccm AMECHUKUA HATUAGANI? Kamahawezi kuchukua hatuayoyote ASILALAMIKE NIAIBU!! KUMBE ANAJUA HALAFU AKAACHA TU!!!! Watu waendelee kupigadili?!!!!?????!!!

  • @joharintandu1264
    @joharintandu12646 жыл бұрын

    hahahahh maguful ubadili hela tena hahahahah c watanyoooka kma mlenda haha penda sana ww

  • @ndakitv8148
    @ndakitv8148 Жыл бұрын

    Continue Rest easy Devine Leader!