No video

JPM ALIVYOMWANDALIA MKAPA BARABARA YA MAZISHI, KABLA YA KIFO - "NAMJENGEA HATA SIKU ANAZIKWA APITE"

JPM ALIVYOMWANDALIA MKAPA BARABARA YA MAZISHI, KABLA YA KIFO - "NAMJENGEA HATA SIKU ANAZIKWA APITE"
Rais Magufuli aliyasema maneno hayo katika Hotuba yake ya April 4, 2020 akiwa Mkoani Mtwara, ambapo aliagiza ujenzi wa barabar inayoelekea Nyumbani kwa Rais wa Awamu ya Tatu Benjamini William Mkapa ambapo ni mwaka mmoja sasa tangu alivyozungumza.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 76

  • @jamaa2760
    @jamaa27604 жыл бұрын

    Asante Kwa kumstiri Hayati Benjamini

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias37584 жыл бұрын

    Mungu ana siri jamaniii... Uliongelea kama utani lakini Leo inakuwa kweli, RIP BW MKAPA

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91414 жыл бұрын

    Kuna watu wanasema ana roho ya unabii...tumeliona kwenye corona...kisha leo tena.. Asante mkuu

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa54554 жыл бұрын

    Umefanya hivyo na ni kweli tupu kwani uliongozwa na utashi ulio bora na umeusimamia kwa dhati na Mungu ameisimamia imeisha kwisha Mungu ame kusikiliza AMEN

  • @edwardmsongelwa5455

    @edwardmsongelwa5455

    4 жыл бұрын

    Isinge kua vizuri kusikiliza wanao lalamika ameamua kuijenga na imekwisha Mungu akubariki na ni kweli ita tumika kwa uliyo yasema ni ishara kubwa inayo onyesha unawakati ulio mwingi wa kumjali alie wajali wengine bila kujipendelea wako walio mtumia vibaya kwa upole wake hata hivyo Mungu alimjalia atawale nchi hii na mwenyezi Mungu ame mchukua binadam wake bila shaka ni kila njia ya tunao ishi sote tukumbuke kufanya yalio bora ili kujifagilia njia uendako na mazuri yatashangiliwa na unao wa acha hao wanao tumia matusi ndio kua sera zao wajifunze kuna kesho tita wa acha wenzetu watujadili mwenyezi Mungu aiweke roho yake mzee Mkapa mahali Pema Peponi AMEN

  • @farajafaraja3494
    @farajafaraja34944 жыл бұрын

    Mungu jmn ana siri kubwa Sana mh. Maguful alikuwa anaongea utani lkn Leo mungu kafanya kweli Mungu amlaze Baba yetu mkapa mahali pema peponi

  • @phdhemed358

    @phdhemed358

    4 жыл бұрын

    Ana baya mzee wetu mbele mbele yake

  • @ramadhanirashid7798
    @ramadhanirashid77984 жыл бұрын

    Daaa mwamba wangu jpm

  • @officialtitojeremia4171
    @officialtitojeremia41714 жыл бұрын

    Huyu president ni mtabiri duh

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын

    Asante JPM, RIP mzee Mkapa tutakumbuka daima kutuletea Shujaaa JPM

  • @isamony58
    @isamony584 жыл бұрын

    Asante maguuu ndio kwetu uko masasii atupatii aibu ataiyo keshokutwa wageni wajee wajionee masasii yetuu kapumzike bb mkapa lupasooo 😭😭😭😭😭🤝🤲🤲🤲

  • @esperancenathali
    @esperancenathali4 жыл бұрын

    Mmmm leo yametimia

  • @evancetilya5140
    @evancetilya51404 жыл бұрын

    Mungu ampumzishe mzee mkapa

  • @hadija846
    @hadija8464 жыл бұрын

    Amiin🙏🏼😍 R.I.P.😭BABA😭

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Ila huyu mtabiliri Ana maono yake naye Kasema tukimuomba mungu corona ni kagonjwa kadogo ikawa hivyo maana wenzetu wamezolewa kule hajabu kawaambia baazi ya watia Nia msitie Nia wakatia Nia akawa mbaya haya bwana

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Walio kataa kutia nia unajua nin kiliwakuta

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    4 жыл бұрын

    Bado kunanchi atutoki ndani mpaka Leo haijaisha tunaswalia ndani Dubai omani makah

  • @Ba63828
    @Ba638284 жыл бұрын

    ASANTE NDG YETU RAIS

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91414 жыл бұрын

    Nakupendaga bure..ni chaguo la Mungu...!! Watanzania tunakuelewaga..una hofu ya Mungu..una Upendo.. unashukrani..na unachapaga kazi...sio mtj wa ofisini..!! Kura yangu nakupa baba..

  • @missmwayway4704
    @missmwayway47044 жыл бұрын

    Ahsant xana Mh magufuli kwakutuwekea vzr wilayan kwetu Masasi M/mungu akubariki xana🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mariamramadhani6185
    @mariamramadhani61854 жыл бұрын

    Duh so sad

  • @hadijaabdul8765
    @hadijaabdul87654 жыл бұрын

    Kweli

  • @hamzaliganga7437
    @hamzaliganga74374 жыл бұрын

    Mmh Leo yametimia

  • @ashylema2540
    @ashylema25404 жыл бұрын

    Daaaaaa

  • @mathayodundo5433
    @mathayodundo54334 жыл бұрын

    Jamani jamani

  • @hyahasisimsigala4346
    @hyahasisimsigala43464 жыл бұрын

    Aisee hii ni noma....

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu8634 жыл бұрын

    😭😭😭🙏🙏🙏

  • @mandelamwaja9552
    @mandelamwaja95524 жыл бұрын

    Na mimi nitamjengea magufuli barabara yake

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu56424 жыл бұрын

    Hapo ndio uamini sasa kweli maneno yanajenga, na uliyoyasema yametimia

  • @phdhemed358
    @phdhemed3584 жыл бұрын

    Waswaili wanasemaga maneno yanaumba mbele mbele yake mzee wetu

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera36114 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @benedictoryona4504
    @benedictoryona45044 жыл бұрын

    We love you jpm,,rest in peace mzee mkapaa

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase11144 жыл бұрын

    Daa kumbe kweli ni siri ya mungu JPM alitabiri kifo cha mkapa duu lakini safi JPM oyeee mkapa rest in peace

  • @binsultan6981
    @binsultan69814 жыл бұрын

    Kamaa tadinu tudani

  • @habau_jr1755
    @habau_jr17554 жыл бұрын

    Mungu yu nae...umetamka hajafa..leo Buriani

  • @paulojoseph555
    @paulojoseph5554 жыл бұрын

    Kwan imejengwa tayar au

  • @jarsaduba2626

    @jarsaduba2626

    4 жыл бұрын

    Unaelewa kiswahili wewe?

  • @vicenthokororo6339

    @vicenthokororo6339

    4 жыл бұрын

    Imeshajengwa mda sana yapata miaka 2 sasa tangu ikamilike nilikua uko last week asee

  • @hadija846
    @hadija8464 жыл бұрын

    🙏🏼😍

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi46724 жыл бұрын

    Njia hiyo haitomsaidia chochote, mtu husaidiwa na amali njema, unavuna ulichopanda. Kama uliua, ukanyang’anya, ukatesa watu na kuwapiga ovyo halafu hukutubia na kuwaomba watu radhi ipo kazi. Ila sisi tunamuachia Mungu kwasababu yeye ndie mwingi wa kuhukumu.

  • @rehemaconeriocostance9011

    @rehemaconeriocostance9011

    4 жыл бұрын

    Acha maneno ya kijing ndug yang, kwan apo amekuambiaa amemjengea njia ya mbingun

  • @abuelolongavida7261

    @abuelolongavida7261

    4 жыл бұрын

    Umeshindwa kuelewa mantiki ya mazungumzo hayo, kimsingi hapo anasema mzee Mkapa kutengenezewa barabara hadi kijijini kwake anastahili....sasa hayo ya kumsaidia mbele baada ya kifo nadhani yeye Mkapa anayajua vema kwa imani yake, wewe ni nani kutoa somo la elimu baada ya kifo,ungekaa kimya ingependeza kuliko huu ujinga!

  • @ameyashey3174

    @ameyashey3174

    4 жыл бұрын

    Salim cali umeelewa alichoongea rais au ilimradi ukomenti hasira zako tu hapa yeye hakusema njia ya peponi lkn

  • @salummuhija4435

    @salummuhija4435

    4 жыл бұрын

    Sasa kama unajua mungu ndie hakimu wewe unaongea Maneno mengi yanini humu!

  • @ameyashey3174

    @ameyashey3174

    4 жыл бұрын

    @@salummuhija4435 hapo sasa yaani kaongea kwa gadhabu tu

  • @rashidiwhite5646
    @rashidiwhite56464 жыл бұрын

    Sasaa Maris mnatabiliana kifo kwa kuunda mpaka.barax2 wakati mwenyewe anapenda kujenga ukwenii kwai yakutakaa alikuawa polinii.

  • @jssaa4733
    @jssaa47334 жыл бұрын

    anko magu alimpenda sana mkapa😭😭😭😭😭

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    4 жыл бұрын

    Unachokisema nikweli nakatika viongozi walioumia Sana yeye sikuanatangaza thrf ya msiba ukimwangalia unalia bila yeye asingekuwa rais kweli,nauyoagu kuzini mitaa yake aongeo uwongo kashakuoa Sana ugali wa muhogo.

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    4 жыл бұрын

    Yaani walipendana Sana kiukweli ,tumuombee dua mjamwenzetu dunia mapito

  • @jssaa4733

    @jssaa4733

    4 жыл бұрын

    @@julihanjosephyjs6361 kabisa

  • @tz7976
    @tz79764 жыл бұрын

    Mwamba of the world

  • @saidsinani8765
    @saidsinani87654 жыл бұрын

    Mm

  • @edinaemily6022
    @edinaemily60224 жыл бұрын

    Yametimia

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi46724 жыл бұрын

    Kuna malaika wanaitwa Munkar wa Nakir hawa ukishaingia kaburini kazi ya ni kukuuliza wewe Mungu wako nani, Mtume wako nani, kitabu chako kipi na ulikuwa na unamfuata nani na kumtii yupi? Na masuala mengi tu mno! Na huku wana marungu makubwa ya moto yenye nguvu kubwa kupita kiasi. Wanaadamu tuwe waangalifu kabla ya kuondoka duniani tusijisahau kwasababu wewe ni mtu wa aina fulani hukuletwa duniani isipokuwa kuja kumuabudu Allah tu peke yake usimshirikishe na yeyote na wala kiumbe chochote alichokiumba yeye kwani hiyo ni dhambi kubwa ambayo Allah kasema hatoisameh.

  • @aishamuhammad7785

    @aishamuhammad7785

    4 жыл бұрын

    Salim hakika umeongea maneno ya dhahabu, cc binaadamu hatuko serious tunachukulia powa powa tu

  • @venancemwarabu7168

    @venancemwarabu7168

    4 жыл бұрын

    Hao malaika wataingia kwenye kwenye kaburi lako kulingana na imani yako, usidhani unachokiamini wewe na wengine ndo hicho hicho. Jitahid kuwa na religious tolerance usiwe mdini. How sure Mungu unaemuabudu ndo sahihi???? Baba yetu atahukumiwa kulingana na imani na matendo yake aliyoyaishi hapa duniani na ww binadamu hupaswi kumuhukumu

  • @canibalgazaboy8325

    @canibalgazaboy8325

    4 жыл бұрын

    @@venancemwarabu7168 huko sahihu kabisa kaka ubarikiwe

  • @ngwanafabian7532

    @ngwanafabian7532

    4 жыл бұрын

    @@aishamuhammad7785 ninachojua na kuamini ni hiki, hakuna jina jingine lolote mbinguni, duniani na kuzimu tulilopewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo isipokuwa hilo jina la Yesu. allah ni kiini macho kwa taarifa yako nyuma ya allah wenu ameketi yule jamaa ausumbuaye ulimwengu wote. Kama unabisha kaisome korani yako kwa utulivu uangalie tofauti ya Muhammad na Yesu uone mwenye haki kati yao ni nani.

  • @mwambamkombozi4672

    @mwambamkombozi4672

    4 жыл бұрын

    @@ngwanafabian7532 Quran haina contradict yeyote na hsijawahi kubadilika ni ile ile. Kitabu cha kwrli cha haki badiliki sio bible kila mtu anabadilisha anavyotaka yeye. Na Quran hsijabakisha kitu katika dunia pamoja maisha yote ya binadamu. Wakiristo wanapopata ugonjwa wa wadiwasi huwakimbilia mashrikh wawadomee Quran kwasababu wanajua kuwa ni maneno matukufu yasiokuwa na doa lolote. Wewe kama utakata mjadala wa kidini sema tu tukualike uje na biblia ysko hiyo unayoiamini tuone ukweli ukowapi. Pole sana manake unasema kitu usichokijiua. Hao mapadri zako wambie wakwambie ukweli kuhusu Quran na uwaombe wasikufiche chochote kwahisani zao. Uone watakwambia nini!!

  • @allymohamed2724
    @allymohamed27244 жыл бұрын

    Vitu vingine tuwe makini, kuchomekia JAMBO baada ya Amri ya Mungu kutujia, hailetia maana kwa umoja watu.

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45704 жыл бұрын

    Sialikua rais kwanini asijenge kwao uko, kaweza kujenga South Africa mahotel ashindwe apo mpka Mh rais Maguu aje kujenga, vita alofanya zanzibar izo pesa za silaha alizo tumia kuuwa watu siange jenga vilvile

Келесі