MAISHA YA KAREN, MTOTO WA GARDNER, ALIVYOISHI NA JAYDEE NA KITU ALIMWAMBIA KUHUSU MUZIKI WAKE.
Жүктеу.....
Пікірлер: 582
@barakakusa760629 күн бұрын
Wale tumekuja kuangalia hii interview baada ya captain kufariki tujuane kwa like, Anyway Caren pole sana kwa kuondokewa na father
@mwatangachuma9069
29 күн бұрын
Nipo apa
@yvettekapenda1942
29 күн бұрын
Apa tupo
@user-yb6sz6fb8u
28 күн бұрын
😢
@MiriamAbdallah
28 күн бұрын
😢😢😢😢😢💔🌹
@user-rk6sp6ks5e
28 күн бұрын
😢😢nipo
@dorahmushi-we6ts16 күн бұрын
Binti anajieleza vizuri na kujiamini,pia anaelekea amelelewa vizuri,hajakaa ki wale wadada! Na hajisikii, Mungu azidi kukutunza binti mrembo.❤
@shufaiyammohd56234 жыл бұрын
Kama umegundua kareen anaakili Gonga like nyingi....anampenda mama ake JAYD bila shida ...mwengine angemponda mama ake wa kambo
@user-uj5wg9mm2t29 күн бұрын
Karembo kenyewe❤pole kwa kuondokewa na baba kipenz
@wacundirangu166129 күн бұрын
She is giving Nandy humbleness ❤.
@Aggy-1114 жыл бұрын
She is strong and beautiful.big up kwa millard ayo gonga like yako hapa
@ndetiefredielmushi997828 күн бұрын
Waoooo ka binti Kazuki jamaniii, pole sana Mungu akutunze ufanikiwe sana. Ila namuona kiongozi mkubwa sana wa nchi hii ya Tanzania.
@sospeterurassa989428 күн бұрын
Pole mamii kwa kuondokewa na baba mzazi. Hii interview na top two zangu kwa ufasaha na hekima za kujieleza upo vizuri sana,Mungu akutangulie akupe haja ya moyo wako iliyo njema machoni pake
@shanimbaruku2071Ай бұрын
Pole kipenzi kwa kuondokewa na baba mzazi😢
@faulatafahmi77334 жыл бұрын
MaashaAllah mzuri sana...jitunze mwanangu uwe na heshima..usiwe kama wasanii wengine wa kike ambao hawajiheshimu
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@yusuphkayoka54524 жыл бұрын
Ktk interview ngumu Kwa Mirrad Ayo ni hii, amejikaza lkn hisia zimeonekana, kama mbwai mbwai Tu, wewe sio jiwe damu inachemka so keep on keeping.
@zeidytheislandgirl7616
4 жыл бұрын
Hahaha
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kazkaz1943
4 жыл бұрын
yaan macho yameongea
@cecyluanda4345
4 жыл бұрын
Hahahaha jicho limelegea.kama kala kungu
@samirukazinja2804
4 жыл бұрын
Hahahahaha!!!!
@janelyatuu113528 күн бұрын
❤pole sana mtoto mzuri mungu akawe faraja kwako jeshi pia imekusaidia kuwaa na akili mungu akutunze toto ❤
@edinabenard334226 күн бұрын
Tulimfahamu baada ya kifo Cha baba ake tujuane 🤔Mungu akutie nguvu mrembo 🙏
@theonestinamutole8549Ай бұрын
Pole sana binti kumpoteza baba
@johnmarwa66544 жыл бұрын
Munaosema huyo Dada aolewe na Millard mwendeni ninyi Kwanza halafu badala mfocus kwny talent yake Nini mnazungumzia miwa
@mamachris6811
4 жыл бұрын
Kweli Marwa,waswahili wakiona jinsia tofauti ,wanawaza kuoana tu
@nhalekasmir4784 жыл бұрын
Kama umeonae hii interview ngumu kwa millard ayoo gonga like! 🤣 millard chukua huyo dogo! Alafu na wewe millard uwe unaweka maji ya kunywa maana unajikaza sana et 🤣🤣
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kweli kabisa
@chamichasuka8559
4 жыл бұрын
Jamaa kalegea kinoma, Millard hoi hapo
@averinesamwel6871
4 жыл бұрын
😂😂😂
@rosetenga6979
28 күн бұрын
Pole Sana Kwa msiba 😢😢😢
@JeremyJangz
27 күн бұрын
Millard has a crash on her wala hafichi
@godsongodson60874 жыл бұрын
Nimekukubali kamanda, umenikumbusha introduction to the camp
Wanaendana coz mchaga na mmeru ni kabila moja so chemistry imekaa poa hata kwenye interview
@shabanizena2612
29 күн бұрын
Millard ana mke wake
@thegirlfromafrica57264 жыл бұрын
I love the way anajibu maswali yake anajibu akifikili hakurupuki
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Msanii wa kwaza wa kike anaeongea lafudhi nzuriiii.❤✅
@sagutiduuuhnomamatuya6437
4 жыл бұрын
Good interview
@frolamwaalukamwaluka7302
4 жыл бұрын
Umeonaeee eee anajielewa saana
@user-yn6yu9zl1p
26 күн бұрын
Yupo ble
@gracepaul5901
20 күн бұрын
Si msanii ni binti wa marehemu Gadner
@gabrielamrutu627728 күн бұрын
Pole sana kipenzi kwa kuondokewa na baba yako mzazi ,Mungu akutie nguvu
@AbisinaRashidi-wg5jt28 күн бұрын
Pole ndugu.yangu Kwa kumpoteza baba
@danielmarwa512229 күн бұрын
pole sana kwa kumpoteza baba
@gloryprotas104329 күн бұрын
Kanajibu vizuri jaman mungu akutie nguvu beby
@princehenry71134 жыл бұрын
Kama umeona millard anaonyesha hisia live za kimapenzi kwa karen na entevrwe inakuwa ngumu kwake like twende sawaaaaa
@hadijahmwajombe9588
4 жыл бұрын
hahahagahahaha
@mariachuhila9518
4 жыл бұрын
Sio kweli ndivyo alivyo
@neemakaluwa2089
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jacklinemwaleleka8057
4 жыл бұрын
Prince Henry hahahahaaa una mambo ww
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Anaendana nae. Bado mdogo dogo.
@sakinaomar23124 жыл бұрын
Nimekupenda bure Malkia na Millard muowane banah
@pascalmsechu6874
4 жыл бұрын
Millard hana mrembo mpaka leo kweli..?! Na Karin nae ..?!
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
@@pascalmsechu6874 millard ayo kaona ana mke na mtt
@DonSompo4 жыл бұрын
Huyu dada nlikua namskia juu juu tu... Hapa ndo nmemjua.. af wimbo wake "tabu" nlikua nauskia redion na nkaupenda thou nlikua sjui umeimbwa na nan... BiG up Millard
@saitotisaitoti67344 жыл бұрын
Millard MUOE HUYU MTOTO MNAENDANA SANA JAMANI
@arnoldmeyasi6217
4 жыл бұрын
saitoti saitoti Millard anamke au ujui
@haysanhassan2685
4 жыл бұрын
Wamekutana makabila yanayoshabihiana ndo maana chemistry imeonekana kwa haraka, Millard mmeru, huyo Karen mchaga
@saitotisaitoti6734
4 жыл бұрын
@@arnoldmeyasi6217 hee sijui 😀😀
@doreenchacha7692
28 күн бұрын
Anamimba
@12322879
27 күн бұрын
Utafeli,sio kila mwanamke ukiambiwa mnaendana uoe unaoa 😂
@samsonchaross87004 жыл бұрын
Aaaaah,, Karen big up sana kama uliwahi kwenda jkt ,,, jkt haijawah tokea kuamka SAA kumi na moja,,,, sema kama wew ulibahatika sana ,, maana mimi sikubahatika kuamka SAA kumi na moja
@jenifajafari7670
4 жыл бұрын
Pole
@jacqulinemushi58494 жыл бұрын
Cute, smart,black beauty 😍😍
@aronelius95154 жыл бұрын
Cute with loveable voice. .....love u for real.
@jakobosundew3634 жыл бұрын
Mtoto kakidagate😂😂 Ayo naye ana macho, Exclusive inakuwa ngumu, 2lokuwa mda tumeona lkn ndo challenge Za kazi hizi na hawa visura wa bongo Dar Es salama .👍👍
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@alexandrinadomaino9868
4 жыл бұрын
Watu mnajua kumsoma mtu
@zaitunishafii331328 күн бұрын
Pole mpenzi mungu akutie nguvu
@wardamalunde38814 жыл бұрын
Uko vizuri sn
@kettyym985927 күн бұрын
She is sooo loving.
@gloryndescoy85792 жыл бұрын
She is very bright..anajua namna ya kujieleza
@abdulkareemseif6674 жыл бұрын
uyu ndio mwanamke anaenivutia zaidi kuwahi kuwaona kwa wasanii .ana rangi nzuri ana sauti nzuri ..ila macho yake namfananisha na mwanamke ambae nilikua nampenda sn ...ana mapozi hayariiii ..i love you
@pwanihabari
28 күн бұрын
vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa
@vailethywalter56744 жыл бұрын
upo vizuri love nimekumbuka jeshi daaaa love you
@wingracealfred19784 жыл бұрын
Careen anakakengeza kazurii kwa mbalii....so cute totoo
@zamuuoska6471
4 жыл бұрын
Hahaha
@picdotstudio4785
4 жыл бұрын
Kumbe kengeza ni sehemu ya urembo. Karembo aisee
@mbonicashoo34595 күн бұрын
jamaa hapo hapo uchumba uanze,bint mzuri sana tena yupo vizuri
@graciousabdilah46424 жыл бұрын
Dada una hekima sana hufeck life yako angekuwa mt mwngin mara ashike nywel mara nn nakupenda bure
@salminasalim5630
4 жыл бұрын
Uko vizuri Careen mama yako hajambo? Mwanza
@assengamn28 күн бұрын
Kama unaona Careen akitoa single na Lady Jay D itaenda.... gonga Like
@faridamlowe8398
27 күн бұрын
Walishatoa inaitwa , kwetu
@susanlumbasi1769
26 күн бұрын
@@faridamlowe8398
@susanlumbasi1769
26 күн бұрын
@@faridamlowe8398 to l o 😣 on a
@mdmubrak81524 жыл бұрын
Strong gall and beautiful
@geofreymjasiriamali5762
4 жыл бұрын
Unajua kujieleza
@pwanihabari
28 күн бұрын
vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa
Haaa haaa kabisa aisee naona Millard anajimwaya mwaya
@geoffreyembasa84834 жыл бұрын
This is one of the best interviewer.He shld put English subtitles in the video for a much more wider audience
@hamisamataka3650
Жыл бұрын
Mmmkim ki8k í ok I'm i8nkmkm8mkm my m88kkmmí join imm8 Kik oky í hi it I k k k ok 88 tyou likeTo u
@mandegoro93224 жыл бұрын
A good JKT advocate.
@mariamfaki11664 жыл бұрын
Beautiful 💕
@4vorose4 жыл бұрын
Story za jeshi zinaisha at 19:00 minutes na swali ya Jaydee ni dakika ya 30:00 huko
@behindakalenda1144
4 жыл бұрын
kzread.info/dron/Eg0KwwKxHmbghAdaLGU6pw.html naomba sapoti yako ku subscribe official channel by #GOLDBOY asante God akubless
@hariethlukensa6346
22 күн бұрын
Asante umenisaidia kwenda straight kwa nilichotaka kuskia
@user-qi8qq3bo2k22 күн бұрын
Pole sana mtoto wa gadna g abash mungu akutangulie mi ni jafet andrea silayo nipo pande za tarakea rombo kikelelwa mi ni jirani wa gadna
@trudafortu
21 күн бұрын
Mbona kujitambulisha kwingi bro😅😅
@rachelmligwa59224 жыл бұрын
Wewe Ni binti mzuri Sana wa sura naumetulia Sana, jitahidi uendelee hivyohivyo usibadilishwe na Dunia
@yascomdoe56864 жыл бұрын
Nampenda sana careen jamn kam unaona uo nd ukwel
@mandegoro93224 жыл бұрын
Inaonekana mzee Gardiner ni mzazi mwenye maadili mazuri. Hongera sana
@Minsallahh
Ай бұрын
R. I. P Gardner
@rosemarydeograthius70414 жыл бұрын
Watu na macho yetu bwana😘😘
@merysianapaschal4784 жыл бұрын
Jmn nimependa tena asa icho kipengele cha jkt apo
@MwalimuMarwa4 жыл бұрын
Hongera bro kwa interview iko poa na malkia yupo real. Big up
@godwinkileo770227 күн бұрын
Pole sana
@allawithegenius21174 жыл бұрын
Story za Jeshini zimechukua airtime mpka kero 🚶🕷️
@frolamwaalukamwaluka7302
4 жыл бұрын
Sasa unataka kuwapangia jamani
@georgelyimo1632
4 жыл бұрын
Aya
@mwanahamismbwana7517
4 жыл бұрын
Maneno ya kuambiwa 86
@joyceandrew242625 күн бұрын
Pole sana Mallkia kwa kumpoteza baba. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa Amani Amina 🙏
@msokeentertainment57204 жыл бұрын
Point zote
@user-hw7kz8rv2c28 күн бұрын
Pole kwa kumupoteza baba yako dada mzuri
@frankbiseko1103
27 күн бұрын
Pole dada kwa kumpoteza father🙏🙏🙏
@user-ki4sg8yz9j
26 күн бұрын
Nani anapenda kumpoteza mtu wake? Lugha rafiki ni ""kuondokewa""
@user-ki4sg8yz9j
26 күн бұрын
Sio kumpoteza
@ashaomary89694 жыл бұрын
Nice
@nancyruoruo10254 жыл бұрын
So cute na heshima zake
@UpendoNkya-ci9dr26 күн бұрын
Pole my dogo langu Mungu akupe nguvu kwa kipindi hichi kigumu cha kuondokewq na bdba mzazi
@grolyjoseph26224 жыл бұрын
Nakupenda bureeee💖💖💖💖💖
@asinatikarim54014 жыл бұрын
Wow
@rahabnkya827629 күн бұрын
Safiii sana Millard Ayo, interesting interview. RIP GARDNER HABASH GABRIEL.
@user-te1gh1oo2e24 күн бұрын
Interview kali sana careen una vionjo vyakujielezea sana pia smile ucheshi nakujiweka kawaida kama father
@andrewmathias966223 күн бұрын
Beautiful Muimbaji msomi
@alicianjenga69214 жыл бұрын
Happy birthday caren
@doreenMolla18 күн бұрын
Pole sana mwanangu mungu akutie nguvu
@eileenremmy85764 жыл бұрын
Hongera Sana msange si kwa mchezo
@vanlago75804 жыл бұрын
Karen usije ukaaribu ngozi yako she beautiful baby
@awadhally1052
29 күн бұрын
Kwel kabisaa ngoz nzur mashaallah
@delldeede43114 жыл бұрын
Msangeeeeeeee...2018...😘😘
@salminasalim5630Ай бұрын
Mamako bado yuko Mwanza? CAREEN. Ulikaa sana Mwanza KIRUMBA. na mama yako mdogo wake Sr Ex pide.
@maryfloramsuya813928 күн бұрын
Pole careen Mungu akupiganie ❤
@georgiarugaika34614 жыл бұрын
Kaka chukua jiko mbona km umemulewa sana
@TIMZMEDIA-4 жыл бұрын
Karibu RoNeCa ututembelee. The school of choice.
@Dayana-hw8kh22 күн бұрын
Polee kwake mungu amtia nguvu🙏
@khadijasalum6244 жыл бұрын
Congrats kwa kupitia mafunzo ya ukakamavu na ulikubali kukunjua nafc tunasema!
@tanzaniangirl1980
4 жыл бұрын
Khadija Salum moyo kuweka kwenye tranka
@zaibonge78674 жыл бұрын
Kama unamuona millady anazeeka nipe like maana hataki kuoa huyu lol 🙄🙄cjui yupoje mena Ally yupo careen ndo HUYO millady unakwama wap broo🤔🤔🤔
@annamwambosya8577
4 жыл бұрын
Labda hapendi. Kama alivyokuwa isack gamba
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@annamwambosya8577 🧐🧐itakuwa. 🤨🤔
@awadhally1052
29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MacrinaLameck-yv2mu
28 күн бұрын
😄 🤣 😂 😆 imebidi nicheke tuu maana umenifurahisha😅😅
@tatumzelela5515
27 күн бұрын
Millady alishaga oa kimyakimya sema hamjui tyuu
@mwanduelizabeth228226 күн бұрын
Pole sana Careen kwa kumpoteza Baba yako mpendwa ,ulimpenda sana lkn Mungu kampenda zaidi.Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Gadner 🙏🏼
@gracekomba71074 жыл бұрын
I just love her expressions...she is cute and real..😍😍
@imankhalid6288
4 жыл бұрын
True
@georgelyimo16324 жыл бұрын
The way she express her self.....kaua
@hafsaabbas7856
3 жыл бұрын
Tunu
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Mrembo
@FaidhaIssa-or3ws18 күн бұрын
Pole sana sister careen kwa kumpotez baba
@luckyvenance45764 жыл бұрын
Kesho birthday
@user-rd7vh8lz6r27 күн бұрын
Pole sana karen kwa kupoteza baba
@zaibonge78674 жыл бұрын
Kama umeona careen anafanana na Irene uyowa mbaka uongeaji nipe like😘kasoro rangi zao tu ..ila wapo copy rite 😜
@samwelimoshi5614
4 жыл бұрын
Mh
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 mba😏
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Mi sioni hivyo.
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@RuzoOwzy jaman angalia vizur🤗🤗🤗
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
@@zaibonge7867 Kwa jinsi nlivyomtamani na macho yake ya kurembua. Nmemwangalia mara mia tayari. Wako tofauti, labda ki-interview wanafanana swaga ya kuongea na pozi
@DivinebabyDee28 күн бұрын
Pole sana mdogo wetu
@lafooleproduction72234 жыл бұрын
I liked this😍
@azizakhassim936526 күн бұрын
Pole kwakuondokewa na baba mwenye upendo watofauti kwa Tz
@YohanaMgogo26 күн бұрын
Well❤
@elipokeandosi63184 жыл бұрын
Kaka uko vizur sana
@veredianamagesa52294 жыл бұрын
Mwanamuziki Safi Sana endelea ivo carlen 🤷🤷🤷
@haidaryhassan76054 жыл бұрын
Hii interview imekuwa too personal haha bwana Millard kasahau kama yupo kazini 😂😂 Millard is in love
@gracemshana7995
4 жыл бұрын
🤣🤣
@picdotstudio4785
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa
@aishaasumany561
3 жыл бұрын
Hahaha mbavu zangu mwee
@simulizi26324 жыл бұрын
Kumbuka kufanya kazi kwa bidii...Usikumbuke kuwa baba ataniwezesha...😊
Пікірлер: 582
Wale tumekuja kuangalia hii interview baada ya captain kufariki tujuane kwa like, Anyway Caren pole sana kwa kuondokewa na father
@mwatangachuma9069
29 күн бұрын
Nipo apa
@yvettekapenda1942
29 күн бұрын
Apa tupo
@user-yb6sz6fb8u
28 күн бұрын
😢
@MiriamAbdallah
28 күн бұрын
😢😢😢😢😢💔🌹
@user-rk6sp6ks5e
28 күн бұрын
😢😢nipo
Binti anajieleza vizuri na kujiamini,pia anaelekea amelelewa vizuri,hajakaa ki wale wadada! Na hajisikii, Mungu azidi kukutunza binti mrembo.❤
Kama umegundua kareen anaakili Gonga like nyingi....anampenda mama ake JAYD bila shida ...mwengine angemponda mama ake wa kambo
Karembo kenyewe❤pole kwa kuondokewa na baba kipenz
She is giving Nandy humbleness ❤.
She is strong and beautiful.big up kwa millard ayo gonga like yako hapa
Waoooo ka binti Kazuki jamaniii, pole sana Mungu akutunze ufanikiwe sana. Ila namuona kiongozi mkubwa sana wa nchi hii ya Tanzania.
Pole mamii kwa kuondokewa na baba mzazi. Hii interview na top two zangu kwa ufasaha na hekima za kujieleza upo vizuri sana,Mungu akutangulie akupe haja ya moyo wako iliyo njema machoni pake
Pole kipenzi kwa kuondokewa na baba mzazi😢
MaashaAllah mzuri sana...jitunze mwanangu uwe na heshima..usiwe kama wasanii wengine wa kike ambao hawajiheshimu
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
Ktk interview ngumu Kwa Mirrad Ayo ni hii, amejikaza lkn hisia zimeonekana, kama mbwai mbwai Tu, wewe sio jiwe damu inachemka so keep on keeping.
@zeidytheislandgirl7616
4 жыл бұрын
Hahaha
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kazkaz1943
4 жыл бұрын
yaan macho yameongea
@cecyluanda4345
4 жыл бұрын
Hahahaha jicho limelegea.kama kala kungu
@samirukazinja2804
4 жыл бұрын
Hahahahaha!!!!
❤pole sana mtoto mzuri mungu akawe faraja kwako jeshi pia imekusaidia kuwaa na akili mungu akutunze toto ❤
Tulimfahamu baada ya kifo Cha baba ake tujuane 🤔Mungu akutie nguvu mrembo 🙏
Pole sana binti kumpoteza baba
Munaosema huyo Dada aolewe na Millard mwendeni ninyi Kwanza halafu badala mfocus kwny talent yake Nini mnazungumzia miwa
@mamachris6811
4 жыл бұрын
Kweli Marwa,waswahili wakiona jinsia tofauti ,wanawaza kuoana tu
Kama umeonae hii interview ngumu kwa millard ayoo gonga like! 🤣 millard chukua huyo dogo! Alafu na wewe millard uwe unaweka maji ya kunywa maana unajikaza sana et 🤣🤣
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kweli kabisa
@chamichasuka8559
4 жыл бұрын
Jamaa kalegea kinoma, Millard hoi hapo
@averinesamwel6871
4 жыл бұрын
😂😂😂
@rosetenga6979
28 күн бұрын
Pole Sana Kwa msiba 😢😢😢
@JeremyJangz
27 күн бұрын
Millard has a crash on her wala hafichi
Nimekukubali kamanda, umenikumbusha introduction to the camp
@vickymosha680
4 жыл бұрын
Karibu tena
Beautiful girl. God bless you🙏🏾😘
Brother mbonamunaee ndana nauyo mdada vp kuowa millard kamaunaona akokatoto kanamfaa millard like tujuwane bro tunatakatumjuwe shem
@rosemerynjau7367
4 жыл бұрын
BEAST Hunter kweli bhanaa cyo minaaly Kareem ndoanamfaa achukue chombohchooo
@sophiamosses2367
4 жыл бұрын
Anamfaa wanaendana Kuna chemistry
@tonganekwizayo9642
4 жыл бұрын
Wewe je mimi simfai😋😋
@haysanhassan2685
4 жыл бұрын
Wanaendana coz mchaga na mmeru ni kabila moja so chemistry imekaa poa hata kwenye interview
@shabanizena2612
29 күн бұрын
Millard ana mke wake
I love the way anajibu maswali yake anajibu akifikili hakurupuki
Msanii wa kwaza wa kike anaeongea lafudhi nzuriiii.❤✅
@sagutiduuuhnomamatuya6437
4 жыл бұрын
Good interview
@frolamwaalukamwaluka7302
4 жыл бұрын
Umeonaeee eee anajielewa saana
@user-yn6yu9zl1p
26 күн бұрын
Yupo ble
@gracepaul5901
20 күн бұрын
Si msanii ni binti wa marehemu Gadner
Pole sana kipenzi kwa kuondokewa na baba yako mzazi ,Mungu akutie nguvu
Pole ndugu.yangu Kwa kumpoteza baba
pole sana kwa kumpoteza baba
Kanajibu vizuri jaman mungu akutie nguvu beby
Kama umeona millard anaonyesha hisia live za kimapenzi kwa karen na entevrwe inakuwa ngumu kwake like twende sawaaaaa
@hadijahmwajombe9588
4 жыл бұрын
hahahagahahaha
@mariachuhila9518
4 жыл бұрын
Sio kweli ndivyo alivyo
@neemakaluwa2089
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jacklinemwaleleka8057
4 жыл бұрын
Prince Henry hahahahaaa una mambo ww
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Anaendana nae. Bado mdogo dogo.
Nimekupenda bure Malkia na Millard muowane banah
@pascalmsechu6874
4 жыл бұрын
Millard hana mrembo mpaka leo kweli..?! Na Karin nae ..?!
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
@@pascalmsechu6874 millard ayo kaona ana mke na mtt
Huyu dada nlikua namskia juu juu tu... Hapa ndo nmemjua.. af wimbo wake "tabu" nlikua nauskia redion na nkaupenda thou nlikua sjui umeimbwa na nan... BiG up Millard
Millard MUOE HUYU MTOTO MNAENDANA SANA JAMANI
@arnoldmeyasi6217
4 жыл бұрын
saitoti saitoti Millard anamke au ujui
@haysanhassan2685
4 жыл бұрын
Wamekutana makabila yanayoshabihiana ndo maana chemistry imeonekana kwa haraka, Millard mmeru, huyo Karen mchaga
@saitotisaitoti6734
4 жыл бұрын
@@arnoldmeyasi6217 hee sijui 😀😀
@doreenchacha7692
28 күн бұрын
Anamimba
@12322879
27 күн бұрын
Utafeli,sio kila mwanamke ukiambiwa mnaendana uoe unaoa 😂
Aaaaah,, Karen big up sana kama uliwahi kwenda jkt ,,, jkt haijawah tokea kuamka SAA kumi na moja,,,, sema kama wew ulibahatika sana ,, maana mimi sikubahatika kuamka SAA kumi na moja
@jenifajafari7670
4 жыл бұрын
Pole
Cute, smart,black beauty 😍😍
Cute with loveable voice. .....love u for real.
Mtoto kakidagate😂😂 Ayo naye ana macho, Exclusive inakuwa ngumu, 2lokuwa mda tumeona lkn ndo challenge Za kazi hizi na hawa visura wa bongo Dar Es salama .👍👍
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@alexandrinadomaino9868
4 жыл бұрын
Watu mnajua kumsoma mtu
Pole mpenzi mungu akutie nguvu
Uko vizuri sn
She is sooo loving.
She is very bright..anajua namna ya kujieleza
uyu ndio mwanamke anaenivutia zaidi kuwahi kuwaona kwa wasanii .ana rangi nzuri ana sauti nzuri ..ila macho yake namfananisha na mwanamke ambae nilikua nampenda sn ...ana mapozi hayariiii ..i love you
@pwanihabari
28 күн бұрын
vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa
upo vizuri love nimekumbuka jeshi daaaa love you
Careen anakakengeza kazurii kwa mbalii....so cute totoo
@zamuuoska6471
4 жыл бұрын
Hahaha
@picdotstudio4785
4 жыл бұрын
Kumbe kengeza ni sehemu ya urembo. Karembo aisee
jamaa hapo hapo uchumba uanze,bint mzuri sana tena yupo vizuri
Dada una hekima sana hufeck life yako angekuwa mt mwngin mara ashike nywel mara nn nakupenda bure
@salminasalim5630
4 жыл бұрын
Uko vizuri Careen mama yako hajambo? Mwanza
Kama unaona Careen akitoa single na Lady Jay D itaenda.... gonga Like
@faridamlowe8398
27 күн бұрын
Walishatoa inaitwa , kwetu
@susanlumbasi1769
26 күн бұрын
@@faridamlowe8398
@susanlumbasi1769
26 күн бұрын
@@faridamlowe8398 to l o 😣 on a
Strong gall and beautiful
@geofreymjasiriamali5762
4 жыл бұрын
Unajua kujieleza
@pwanihabari
28 күн бұрын
vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa
Millard inaonekana kamuelewa huyu demu .muangalien vzuri
@yusuphkidoto9353
4 жыл бұрын
Asee kwel yaan millard kaishiwa mbinu kabisaa
@beatricetenywa4367
4 жыл бұрын
Hhahahaahaaaaa😝
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Anaendana nae. Bado mdogo dogo.
@ziadaalmas1201
4 жыл бұрын
Watu mko makini kumsoma mtu
@alexandrinadomaino9868
4 жыл бұрын
Haaa haaa kabisa aisee naona Millard anajimwaya mwaya
This is one of the best interviewer.He shld put English subtitles in the video for a much more wider audience
@hamisamataka3650
Жыл бұрын
Mmmkim ki8k í ok I'm i8nkmkm8mkm my m88kkmmí join imm8 Kik oky í hi it I k k k ok 88 tyou likeTo u
A good JKT advocate.
Beautiful 💕
Story za jeshi zinaisha at 19:00 minutes na swali ya Jaydee ni dakika ya 30:00 huko
@behindakalenda1144
4 жыл бұрын
kzread.info/dron/Eg0KwwKxHmbghAdaLGU6pw.html naomba sapoti yako ku subscribe official channel by #GOLDBOY asante God akubless
@hariethlukensa6346
22 күн бұрын
Asante umenisaidia kwenda straight kwa nilichotaka kuskia
Pole sana mtoto wa gadna g abash mungu akutangulie mi ni jafet andrea silayo nipo pande za tarakea rombo kikelelwa mi ni jirani wa gadna
@trudafortu
21 күн бұрын
Mbona kujitambulisha kwingi bro😅😅
Wewe Ni binti mzuri Sana wa sura naumetulia Sana, jitahidi uendelee hivyohivyo usibadilishwe na Dunia
Nampenda sana careen jamn kam unaona uo nd ukwel
Inaonekana mzee Gardiner ni mzazi mwenye maadili mazuri. Hongera sana
@Minsallahh
Ай бұрын
R. I. P Gardner
Watu na macho yetu bwana😘😘
Jmn nimependa tena asa icho kipengele cha jkt apo
Hongera bro kwa interview iko poa na malkia yupo real. Big up
Pole sana
Story za Jeshini zimechukua airtime mpka kero 🚶🕷️
@frolamwaalukamwaluka7302
4 жыл бұрын
Sasa unataka kuwapangia jamani
@georgelyimo1632
4 жыл бұрын
Aya
@mwanahamismbwana7517
4 жыл бұрын
Maneno ya kuambiwa 86
Pole sana Mallkia kwa kumpoteza baba. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa Amani Amina 🙏
Point zote
Pole kwa kumupoteza baba yako dada mzuri
@frankbiseko1103
27 күн бұрын
Pole dada kwa kumpoteza father🙏🙏🙏
@user-ki4sg8yz9j
26 күн бұрын
Nani anapenda kumpoteza mtu wake? Lugha rafiki ni ""kuondokewa""
@user-ki4sg8yz9j
26 күн бұрын
Sio kumpoteza
Nice
So cute na heshima zake
Pole my dogo langu Mungu akupe nguvu kwa kipindi hichi kigumu cha kuondokewq na bdba mzazi
Nakupenda bureeee💖💖💖💖💖
Wow
Safiii sana Millard Ayo, interesting interview. RIP GARDNER HABASH GABRIEL.
Interview kali sana careen una vionjo vyakujielezea sana pia smile ucheshi nakujiweka kawaida kama father
Beautiful Muimbaji msomi
Happy birthday caren
Pole sana mwanangu mungu akutie nguvu
Hongera Sana msange si kwa mchezo
Karen usije ukaaribu ngozi yako she beautiful baby
@awadhally1052
29 күн бұрын
Kwel kabisaa ngoz nzur mashaallah
Msangeeeeeeee...2018...😘😘
Mamako bado yuko Mwanza? CAREEN. Ulikaa sana Mwanza KIRUMBA. na mama yako mdogo wake Sr Ex pide.
Pole careen Mungu akupiganie ❤
Kaka chukua jiko mbona km umemulewa sana
Karibu RoNeCa ututembelee. The school of choice.
Polee kwake mungu amtia nguvu🙏
Congrats kwa kupitia mafunzo ya ukakamavu na ulikubali kukunjua nafc tunasema!
@tanzaniangirl1980
4 жыл бұрын
Khadija Salum moyo kuweka kwenye tranka
Kama unamuona millady anazeeka nipe like maana hataki kuoa huyu lol 🙄🙄cjui yupoje mena Ally yupo careen ndo HUYO millady unakwama wap broo🤔🤔🤔
@annamwambosya8577
4 жыл бұрын
Labda hapendi. Kama alivyokuwa isack gamba
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@annamwambosya8577 🧐🧐itakuwa. 🤨🤔
@awadhally1052
29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MacrinaLameck-yv2mu
28 күн бұрын
😄 🤣 😂 😆 imebidi nicheke tuu maana umenifurahisha😅😅
@tatumzelela5515
27 күн бұрын
Millady alishaga oa kimyakimya sema hamjui tyuu
Pole sana Careen kwa kumpoteza Baba yako mpendwa ,ulimpenda sana lkn Mungu kampenda zaidi.Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Gadner 🙏🏼
I just love her expressions...she is cute and real..😍😍
@imankhalid6288
4 жыл бұрын
True
The way she express her self.....kaua
@hafsaabbas7856
3 жыл бұрын
Tunu
Mrembo
Pole sana sister careen kwa kumpotez baba
Kesho birthday
Pole sana karen kwa kupoteza baba
Kama umeona careen anafanana na Irene uyowa mbaka uongeaji nipe like😘kasoro rangi zao tu ..ila wapo copy rite 😜
@samwelimoshi5614
4 жыл бұрын
Mh
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 mba😏
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Mi sioni hivyo.
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@RuzoOwzy jaman angalia vizur🤗🤗🤗
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
@@zaibonge7867 Kwa jinsi nlivyomtamani na macho yake ya kurembua. Nmemwangalia mara mia tayari. Wako tofauti, labda ki-interview wanafanana swaga ya kuongea na pozi
Pole sana mdogo wetu
I liked this😍
Pole kwakuondokewa na baba mwenye upendo watofauti kwa Tz
Well❤
Kaka uko vizur sana
Mwanamuziki Safi Sana endelea ivo carlen 🤷🤷🤷
Hii interview imekuwa too personal haha bwana Millard kasahau kama yupo kazini 😂😂 Millard is in love
@gracemshana7995
4 жыл бұрын
🤣🤣
@picdotstudio4785
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa
@aishaasumany561
3 жыл бұрын
Hahaha mbavu zangu mwee
Kumbuka kufanya kazi kwa bidii...Usikumbuke kuwa baba ataniwezesha...😊
Kazuri mashallah
Alikuwa anapata kitonga sana huyo
@samwelimoshi5614
4 жыл бұрын
Wap
Poleee