EXCLUSIVE: JACQUELINE MENGI AFUNGUKA SIKU ZA MWISHO ZA DR. MENGI, KUZUIWA KABURINI, MALI ALIZOACHIWA
Mke wa pili wa Marehemu Dr. Reginald Mengi, Jacqueline Mengi amekaa kwenye Exclusive Interview na Millard Ayo na kufafanua kile alichokiandika kuhusu kuzuiwa kuingia kwenye eneo la Familia ambako Marehemu Mume wake alizikwa.
Hata hivyo baada ya mahojiano haya tuliutafuta upande wa pili wa Familia ya Marehemu ili kusikia kauli yao juu ya tuhuma hizo zilizotolewa na Jacqueline lakini hawakuwa tayari kuzungumza chochote kwa sasa.
Пікірлер: 2 400
Millard ayo wewe ni mwandishi bora kwangu #tem #ayotv like zenu
@hadijahassan3113
4 жыл бұрын
Nimeliona hilo pia asee
@ombenmichael3473
4 жыл бұрын
Absolutely
@hasanimikeyo8893
4 жыл бұрын
Izo like zinalipa? au
@geeva99
4 жыл бұрын
Sijapenda anavyouliza detail za mambo ya ndani kama percentage etc. hii sio court hii no social public interview that was just bad, I suggest he gets some training course katika hizi serious interviews, hii sio udaku matter
@goodluckmgeni5423
4 жыл бұрын
Millard ayo ww ni bora zaid hapa tanzania
Kama umejua kuwa huy dada anampangilio mzuri wa maneno na majibu kama vile anasoma kibut gonga like tujuane
@fatumasalim6137
4 жыл бұрын
Nimempeda bure
@mahmonmahmon7009
4 жыл бұрын
Hngr dada
@emmanueldocha3968
3 жыл бұрын
Wewe Kama wewe kwa Mengi ni kidemu tu. Mke tunae mjua ni Marehemu kwa saaa
@gracelazaro2469
3 жыл бұрын
Hahaha eti kibuti
@thomasmcfadden9327
3 жыл бұрын
Kaza buti dada mbele kweupe,pambana mpaka mwisho.
Polee Jack wangu..Mungu ni mume wa wajane...usilibebe Sana Jambo Hili kwa nguvu zako..mbebeshe Mungu atayamaliza yote.
MILLARD AYO WAPO WATANGAZAJI WENGI ILA WEWE UMETULIA SANA
@omanoma5446
3 жыл бұрын
Yanı, wewe, Dada, nakupenda, sana, unavyojiewa, yani, wee, acha
@sonnojoseph3394
3 жыл бұрын
Big up
Amefariki Lakini Bado Unamwonesha Heshima ( Mume wangu ) Hongerah kwa hilo
@faustinanyamtengera3776
4 жыл бұрын
Tujifunze kwa hilo.
@floramrina4902
4 жыл бұрын
Thats one side tunaomba upande wa R.mengi mdogo wake coz hatuwez judge upande mmoja.
@mariamkalinga2628
4 жыл бұрын
KIZAZI JEURI sana
@erick4realy419
4 жыл бұрын
KIZAZI JEURI hongera wapi Ana tafuta ela uyo
@janethkilonzi4260
3 жыл бұрын
Inafurahisha mno
Hongera sana kwa kujibu maswali JACK welldone girl
Millard una hekima Sana, kwa Umri wako, duh nimekukubali Sana piga kazi utafika mbali Sana, hauko na majivuno wazazi wako wamefanya kazi nzuri kukulea lm proud for you, Mzazi anaejitambua kama Mimi tungependa kuwa na watoto wenye adabu kama wewe Mungu akubariki Sana"Hamisi Dale Boston USA
Huyu mdada anajua kujieleza sana sana.Hupo humble,so smart and straight.
After this interview, I'll never judge this woman, she has said her truth and God is the judge🙏🙏
@anethmahera4453
4 жыл бұрын
Mercy true
@clausemsemwa297
4 жыл бұрын
Kha
@josephmahay1438
4 жыл бұрын
Exactly..
@nicotv4162
4 жыл бұрын
Wew mali inatafutwa wew unafijir angechora mchoro wa wazi aonekane mbaya ,,ubaya unaoneshwa ndani kwa ndani,,mzee alibugi sehemu baada ya kugawana na bbi mkubwa ilibidi na hizi alizobaki nazo awagawie na hao wakubwa koz zile za bibi mkubwa aliwapa wanae ,,hivyo mzee hakuwapa uridhi wanae
@collincarlos7433
4 жыл бұрын
HAKUNA LOLOTE ,,kitakachobadil WOSIA,,na hta ninyi mnajua mzee mengi hakuwahi kuripotiwa kuwa na afya au ttz la AKIL..iweje Leo kashakuf ndio isemwe,,Tena mdomon bila vyeti au trf yyt ya dr
Hii inatuonyesha umuhimu wa kuoa mwanamke mzuri na mwenye hekima atakaye kukutetea na kulinda heshima yako wakati umekufa... Mungu anatuona jamani acheni roho mbaya
@emanuelelias3190
4 жыл бұрын
Mambo
@ntohozemedi1352
4 жыл бұрын
Kabisaaaaa
@nurueneza5771
4 жыл бұрын
Mungu atakusaidia mama iko njia mbele za mungu
@tausimwaluvalile109
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa ,huyu Dada mstarabu san
@thomassemwanga201
3 жыл бұрын
0)
No 1 mwanahabari respect millard 👏🏼🇹🇿
Omg ..she's beautiful, smart, intelligent n I love her...
@danielringia1121
4 жыл бұрын
Milard una maswali yenye mitego!!!
@veronicandunguru9876
4 жыл бұрын
..
@monamunga7950
3 жыл бұрын
Stupid ivi ni nani asiris Mali ya baba kisa baba am epata wadogo tu hapana
Milady ur the best sanaa ,upo vzr kuchimbua na kuuliza mana nadhan twafurahia kusililza upande wako zaid ya mlengwa
@shanawilliam1050
4 жыл бұрын
Exalt Tarimo v true
@everlynewepukhulu9553
4 жыл бұрын
Hugo
@husnatgamaah1335
4 жыл бұрын
he is the best interviewer yan anauliza kwa utaratibu na anampa mtu time ya kujieleza.
@mwanaidimajid8382
3 жыл бұрын
umeniumiza sana dada Jacky duniani tunapitia tu
Jackline you are so intelligent,respectful and wise
Watoto wetu wakubwa una Moyo was kuwadhamini watoto wote ulioachiwa na mme wako jack. Mungu awe nawe cku zote
I appreciate this woman so much..Jacqueline Mengi she is very intelligent with smart mind
@hamadhamza8764
4 жыл бұрын
Millard big up sana
To Jackline Mengi. Here is an advise. The 50% which Mercy received was divorce settlement which does not include children because the children are not being divorced. If I may speculate, the chilfren are in the court because they want their inheritance from their father because their parents divorce is never their inheritance. It is their right to file a case to demand their inheritance. Whether their father left anything or not. In this case, if nothing at all was given to the children in question, then their father was malicious and bitter towards them, and the court could nullify the will and award the children something But if their father was clever enough and left even 10 shillings for them, then the will cannot be changed it will stand because something was left for them to inherit no matter how small it may be. So, here the Law has to be applied. Thanks.
@christinewomanoffaith5479
4 жыл бұрын
Asante kwa ufanunuzi!
@yudatadeshayo4434
4 жыл бұрын
Upo right kabisa na sheria iko wazi
@priscaleonard9600
4 жыл бұрын
Susanna Musindi fact
@davidmwaseba109
4 жыл бұрын
Touch down madam
@patrickjuvenary5815
4 жыл бұрын
Real, I catch up with this inscription, there might be such a roaming picture!!
This is very logical and maturity, its a very outstanding one from you ayo, thank you.
@rosemushi4620
4 жыл бұрын
Deseesss; $$3 .
What a beautiful,smart and intelligent woman.peace be with you.
Millard umeihandle hii interview vizuri sana, a true professional. Keep it up man. Umemaliza vizuri sana kwa kuingiza social life.. perfect interview from you in a while. Kweli Ng'ombe hazeeki maini..
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
Perfect ☑️☑️☑️☑️
Mashallah, Umeongea vizuri na umejibu vizur, nimekupenda bure my dear, pole sana kwa mitihani uliyopitia, pole sana kipenzi 😘😍 *Millard* we kiboko uwo ufafanuzi wa kuibiwa nilikuwa nausubir kwa ham, hongera sana kwa kazi nzuri #MillardAyo
@banyangajumah8985
4 жыл бұрын
Nakupenda bure mama unabusara katika comments naomba uwe rafiki angu
She is so innocent and intelligent,may God heal her heart
Yan interview yote Mume wangu yan alikuwa na really love ❤️
Millard Ayo wewe ni Mwandishi Booora kabiiisa kwa Upande Wangu. Naipenda Kazi yako na MUNGU akuweke.
Kwa kweli huyu mwanamke ana busara mno. Endeleza hilo Jaq. Mungu akubariki
Kwako diamond platnumz hope you learning something from this case. Endelea kuzalisha wanawake tu hivi hivi
@gloryosias6672
4 жыл бұрын
😂😂😂my ribs
@hassanpazi7216
4 жыл бұрын
and is he listening to your rubish??
@mathiaszakaria7052
4 жыл бұрын
Wakenya buana😂
@dainagano3656
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@Machapatize
4 жыл бұрын
diamond platnumz ni mnyama haoi .....
Mzee aliachana na mke wa kwanza na sio watoto wake,hata kama watoto walipata mali kutoka kwa mama yao bado wanahaki na mali za baba yao pia,yani wanatolewaje sasa?!wewe ungekuwa kwenye position ya hao watoto wa kwanza ungekubali??chukua chako kilichocha haki ya kwel na ww ujijenge,ukazalishe upate cha kuwarithisha wanao pia na ww..
@alliyahamiiy4120
4 жыл бұрын
Fala ww kwani awezi kuolewa
@zakyahya4645
4 жыл бұрын
Mchawi wewe
@litokai413
4 жыл бұрын
@@zakyahya4645 mama ako
@ahmadakishingo1935
4 жыл бұрын
None sense aliewatowa ni yy mwenyewe kwa sababu aliandika usia
@bethmziray690
3 жыл бұрын
Point sana, una akili Sana
What at amazing interview...you know how to conduct an interview in a very professional manner..
Millardayo aisee ww ni fundi wa interview p1 na ubahili wangu wa mb nimeangalia mpka mwsho
@aminaahmedmohd3148
4 жыл бұрын
nice interview ata mim nimeiangalia mpaka mwisho uko sawa hongra kwa interview ..na pole dada jackline.
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
fredrick buteye Eti ubahili hahha
@ismailmajala2802
4 жыл бұрын
😆😆😆🤝
@josephk90
4 жыл бұрын
Anayehoji mtaalamu.. anayehojiwa akili kubwa. Well done u all.
@rizdenpopitin2537
4 жыл бұрын
Kabisa yaan huyu millard Ayo ukiachana na kua utangazaj ni taaluma yake lakin pia anakipaj cha kumfanyia mtu interview safi kabisa mpaka mtazamaj una enjoy
My SUPER PRESENTER of all time.. MillardAyo...💥💥💥💥
@dmginfo2470
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZayOqpWbec2sfNo.html
@salvatorymassawe965
4 жыл бұрын
Polesana
Msiba watajiri shida Sana kwa masikini saaaafi mnalipa madeni ya marehemu Kisha familia anakula viazi maisha yanakwenda
@gabrielnkya9783
4 жыл бұрын
Ndugu zangu wachaga wenzangu na wamachame wenzangu au wazee wangu embu naombeni tuache kuangaika navibinti vyenye umri mdogo ,ambao wanafanana na mtoto wako hiyo inafanya leo kunakuwa na shida kama hizooo za mari wazee wangu mkiachana na wake zenu bora umzalishe mtu sio kuoa hii ndio inaleta shida,ukifata sheria huyo dada koz ni mke wa ndoa hatapata haki zote naombeni wazee wangu wakimachame shida ndio mnatuachia sisi tulio tangulia ktk dunia kabla ya hao watoto ,maana kiukweli watoto lazima wapate haki Zaooo hila wakuwalaumu wazee wetu wa kimachame muache mnapendaga sanaa ktk uzee wenu vibinti vidogo ,mm tunajijua nyinyi mamangi acheni mambo yenuuuuu ,mnatuzalilisha sanaaaa sisi vijana wenu acheni kituachia shida .
@gabrielnkya9783
4 жыл бұрын
Ndugu zangu wachaga wenzangu na wamachame wenzangu au wazee wangu embu naombeni tuache kuangaika navibinti vyenye umri mdogo ,ambao wanafanana na mtoto wako hiyo inafanya leo kunakuwa na shida kama hizooo za mari wazee wangu mkiachana na wake zenu bora umzalishe mtu sio kuoa hii ndio inaleta shida,ukifata sheria huyo dada koz ni mke wa ndoa hatapata haki zote naombeni wazee wangu wakimachame shida ndio mnatuachia sisi tulio tangulia ktk dunia kabla ya hao watoto ,maana kiukweli watoto lazima wapate haki Zaooo hila wakuwalaumu wazee wetu wa kimachame muache mnapendaga sanaa ktk uzee wenu vibinti vidogo ,mm tunajijua nyinyi mamangi acheni mambo yenuuuuu ,mnatuzalilisha sanaaaa sisi vijana wenu acheni kituachia shida .
@khadijamalifedha4786
4 жыл бұрын
😀😀😀
@babuubarotti8418
4 жыл бұрын
Eeeeh mwaya
@dayanawatson1512
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
I feel her pain 😩😭. Tupendane jmn hpa duniani tunapita tu
@tinosamwel1941
4 жыл бұрын
Grace mapembelo
@gracesanga3173
4 жыл бұрын
Tino Samwel 😆😆😆
@tinosamwel1941
4 жыл бұрын
Unajifanya ujui
@joshuaalex4251
4 жыл бұрын
Kweli kabisa Grace, unaona ni namna gani anaongea kwahisia sana. Mungu amsaidie sana Jacklin.
@daudimalusu3142
4 жыл бұрын
Tupendanee tu hapa hamn namna
Sema dada mpole jaman nimerudi kuimalizia 😔 ila nimejifunza mengi sana ahsant millard ahsant jackline jaman nimetamani kulia lakini mungu yupo🙏❤🤲
Mashaallah Leo nimefahamu vizuri sana..kumbe watu WA likuwa wanaongea tu hawayajui. Inshaallah mwenyezi mungu Atakusaidia Dada ulee watoto wako
The interview is full of the wise, decent and intelligent utterances. Congratulations Ayo on this amazing interviewing practice. Very sorry Mrs. Mengi for all the difficulties you go through. I truly believe in God that everything hard to you shall pass immediately!
Watafute na upande wapili uwahoji ili ubalance story
@happyholm1761
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa.. maana ajitetee kwanza huonekana kuwa na haki
@dmginfo2470
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZayOqpWbec2sfNo.html
@frankngajilo7137
4 жыл бұрын
Ile sio level za mitandao huyu anamaisha yasiyo ya ile familia
@alexandrinadomaino9868
4 жыл бұрын
Umeongea point kabisaa dear
@ashurabairu25
4 жыл бұрын
@@frankngajilo7137 Bali ni level za mahakamani😏
Keep on being strong Jacqueline. God is with you, Nothing will harm you.
UKIANGALIA KWA MAKINI MILLARD ANAJIANDAA YEYE NA ANAIANDAA NA INTERVIEW KUTOKANA NA UZITO WAKE ONA MAZINGIRA YA UTULIVU SOUND NA LOCATION HII INAFANYA KUWA BEST
@mcrootsav7712
4 жыл бұрын
Sure yuko vizuri sana hadi raha...anaipenda kazi yake na anaitendea haki pia...hongeera @Millard ayo
@dmginfo2470
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZayOqpWbec2sfNo.html
@babyhamisi5331
4 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
Perfect ☑️☑️☑️☑️
@justinemlowezi9143
4 жыл бұрын
htr nanux
Milad thanks for that interview, the woman is sincere. It seems Benjamin will never give her peace. Jackline fight for your kids.
@gabrielnkya9783
4 жыл бұрын
Nyinyi wazee wangu wakichaga tunawajuwa sanaaa mnapenda sana vibinti vidogo mnazeekaga vibaya nawajuwa ,mkiachana na wake zenu mnatafuta mabinti wadogo mwisho mnatusumbua sisi watoto wakubwa tulio bakia sio mzee mengi wapo wengi ambao sio maarufu yametokea haya yaliyopo kwasababu huyu mzee ni maarufu.
Shes very wise and humble . Beautiful in a out. All is well. U will conquer it all.
This is what widows in Africa go through. May God guide the kids.
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Very true
@nellymatalanga5033
4 жыл бұрын
Sad that after ur hubby dies familia yake inanza kukuonesha dharau, fighting for wealth making u look like a nobody .when I think of this it mks me sick aki 🙄🙄
@teoadam4465
4 жыл бұрын
huh
@emanuelelias3190
4 жыл бұрын
Mambo
This woman is so humble ...smart na ako na respect....jackie may God fight your battles ....hasahau kusema (mume wangu)
@feezdidthis2220
4 жыл бұрын
xcatly how modern gold diggers are
@michaelngaliga1802
4 жыл бұрын
Kweliiiii !!!!!ana akili na yupo humble.
Jacqueline my heart goes out to you.I live in the UK and followed the news since your husband passed away the way you were treated was brutal.Your children are their blood relatives and deserved to be treated better.May the almighty god guide you through all the negative things spread about your husband.
Jack unaheshima sanaaaa kitendo cha kuita watoto wetu wakubwa Nakupenda sanaaaa jack
@maryrichard4867
4 жыл бұрын
Sanaaa, yaani ni wachache sana wenue moyo kama wake
@mahmoudukusso4488
4 жыл бұрын
Kuna pesa hapa ,hata miguu italambwa sembuse kusema mume wangu
@elizabethkimari6224
4 жыл бұрын
@@mahmoudukusso4488 😀😀😀😀😀
@dedera105
4 жыл бұрын
watoto wake au wenzake, koz umri wao mmoja😂
@evagervas7900
4 жыл бұрын
@@dedera105 hata kama umri wangekuwa sawa kilichoonelewa hapa ni heshima sijui umeelewa hapo
God is with you. Intelligent, respectful, wise woman 🙏🏾🙏🏾
@sanekwilabya4453
4 жыл бұрын
true Florence
@clausemsemwa297
4 жыл бұрын
Interview za kisomi Raha kusikiliza unajigunza kitu...
@clausemsemwa297
4 жыл бұрын
The truth does not belong to us
@bushbabytz
4 жыл бұрын
intelligence on camera!? even a dog can be that much!
@FlorenceDDR
4 жыл бұрын
lovsply you have your opinion and l have mine. Kule mtu anauhuru wakuamini anachotaka kuamini. If l felt she was wrong l would say so. I understood everything she said. Marehemu Mzee Mengi hakuwa mjinga, he was a very educated and smart human being na pia alimpenda Mungu. I believe he was fair with his decision according ya mirathi! Sorry nachanga kiswahili na English
Bora umemuhoji mwenyewe!. Nice Interview.
@jayratumaulid582
4 жыл бұрын
Umeona eeeh
@ebbydjmnyamwezi979
3 жыл бұрын
Hii mambo
no body knows the real truth except Mr Mengi.lets all learn from this
@zamizozamy5528
4 жыл бұрын
Exactly!
Duh....This interview was tough, on both sides, some questions are extremely uncomfortable but they had to be asked and answers given. Pole dada Jacqueline..I hope you will find closure. Millard I admire your professionalism but you’re mindful of her feelings.🤝🤝....I am touched and learned a lot.
Brother wewe ni kichwa. Sidhani kama kuna mtu anaweza kufanya mahojiano kama wewe nchi hii. Big up brother. Am proud of you.
@psalm2346
4 жыл бұрын
Afrca masharik akuna km yy
Kama umeona millard ajavaa rozali na kofia gonga like yako hapa
@francokigosi6286
4 жыл бұрын
Aisha unachunguza balaa
@nadrahassan5241
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sarahmsengi9341
4 жыл бұрын
😂😂😂
@mohammedsudi5151
4 жыл бұрын
Kwery
Millard you are so amazing dah!,,Jackie😚 nakuombea sana nimekupenda bure
kama ume mwona bibi alo ganda kule nyuma gonga like
Hii interview nimeisikiliza kwa umakini mno,huyu dada anaakiri sana, Mungu 🙏 amsimamie tu kwakweli
@jicholafursa7058
4 жыл бұрын
.
I love her no matter what mti wenye matunda ndyo unaopigwa mawee Stay strong dear Jaqline hakuna mwanzo uliokosa mwisho,,,,watu wataongea mengi lkn at the end ww ndo unaojua ukweli wa haya yote I wont judge u in any way,,,,all I can say just be 💪 strong and keep on focusing everything will be fine💕💕
@lonicamagupa3416
4 жыл бұрын
Pole sana jacrine mungu ni mwema atakupigania
@kabulakamotta3740
4 жыл бұрын
Pole sana Jack tuK nyuma yako mama tunakuombea Mwenyezi Mungu akupe nguvu kipenzi
Jackline yo strong woman mungu akusaidie akutie nguvu👏 Millard keep it up⚡
Jack is telling the truth when a family member takes you to the court is no longer a relative.
Aiseeeee Kweli Usisikilize Ya Watu Zaidi Kuliko Muhusika ... Ameongea Confidently Sana !! Hongera Millard Kwa Maswali Positively Na Yenyewe Kuleta Tija kwa Jamii
Better play your part Yani kama una sehemu yako ya mali relax Lea watoto zako Acha ligi na wamachame trust me Acha ligi na wamachame take my words
@salmaalimusa547
4 жыл бұрын
Yea ashukuru kwaalichokipata
@ngometvarusha4030
4 жыл бұрын
Hahhahahhaha
@christinewomanoffaith5479
4 жыл бұрын
😁kwann,wamachame wana nn jmn
@Bigboy-nx3nc
4 жыл бұрын
Lydia Thadeous Muha wa Kigoma umejuaje kuhusu Wamachame?.
@kevinjohn4507
4 жыл бұрын
Wajane waachwe kunyanyaswa , sababu hii tabia inafanyika sana ktk jamii za Kiafrica na Asia
Such intrested story, be strong for your kids Jack
Jacqueline has spoken in a very articulate way,with complete calmness. Hope you will find a way through this!
@glorychristopher7283
Жыл бұрын
Jacgueiine be strong
Best interview Tanzania So far..
Pole Sana Jack mungu mwema atakusaidia tu
@ashreymapinda5321
4 жыл бұрын
Unampa mtu pole wakati wewe hapo ulipo hata mkokoteni huna na unamuonea huruma wakati anamiliki nyumba na majumba wewe hata slop ya simba dumu huna watanzania tukue kiakili wewe msikie na kila kitu sio yeye sasa jiulize ni nani
@abubakaryalmas7673
4 жыл бұрын
@@ashreymapinda5321 Kwaiyo kumpa pole amekosea ama? Ni bora uyo unayemsema hana ata mkokoteni lakini ana amani moyoni mwake kuliko uyo Dada unamuona anamali lakini apo analalamika amani hana wala furaha. Kikubwa kuwa na amani na furaha tu ya maisha Mali zinatafutwa
@dmginfo2470
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZayOqpWbec2sfNo.html
Nakupenda sana Jackie! Thanks for speaking out the truth. Nakubali sana!!!!
Mrs Jacqueline Mengi... Im very impressed by your principle message.. Honouring the name of your husband ... Mengi's name should not be dishonoured due to inheritance. You truly loved this man and Benjamin should respect that for the sake of future generations.
Wajane!! Yatima wanapitia maumivu sana.Mungu Awasaidie 😭😭😭😭
@dianapeter6394
4 жыл бұрын
Kwa kweli haya nimeyashuhudia babaangu alipofariki mamaetu alinyang'anywa vitu vingi mashamba yaani ndugu wa mume balaa
@rutyfunisacapastar6088
4 жыл бұрын
joyce nahimana wanapitia maumivu makubwa mpaka hata mm nimeumia😭😭😭
@neemayo4693
4 жыл бұрын
Pole my dada
@neemayo4693
4 жыл бұрын
Nimaisha achana nao
@neemayo4693
4 жыл бұрын
Watafutie Watoto wako maisha huachane nao hao wanamapepo
Shemeji Jack you are cute! and strong in your mind...keep it up...
Mrs meng yuko vizur sana pole dada ndio maisha yanavyokua pale tu mtu muhim anapoondoka. Mung akusimamie katika mapito unayopitia
Maskini pole sana! Very Smart lady👍🏾
Nice to hear your story after you lost your husband. R.I.P Mengi.
@tabumasumbuko7213
4 жыл бұрын
Grory to god
Watoto wana haki ya kutembelea kaburi la baba yao, huyo ni baba yao they cannot change the truth.
@klystry1234
4 жыл бұрын
kiazi kitamu na hio percent wapewe ni haki yao
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Kama umeona mahakamani kumevunja uhusiano.sasa unalalamije KUTOKUFUNGA getting?
@bushbabytz
4 жыл бұрын
and you can not change the truth that they cant
@marysylvery5826
4 жыл бұрын
Facts
@jonesmedia4120
4 жыл бұрын
What is good with dady's grave?
nipeni like za kutosha kwa muuliza maswali na mjibu maswali,,pole mama jaden
@dmginfo2470
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZayOqpWbec2sfNo.html
Well-done jack be Strong everyday god will help you
@claraedwardmalingumu3565
4 жыл бұрын
nimelipenda sana hili neno la Mme Wanguu barikiwa sana JACK
@sarahreuben2300
4 жыл бұрын
Ii
sad story,, wengine wanaweza kujifunza kutokana na story hii...., the true story
good interview Millard
Kama umesikiliza hii interview kwa makini utagundua huyu mdada yuko na Mind + sana na anaakili ya ziada haswa. Mwenyez mungu akupe moyo wa subira . But its so pain😭💔.
Iko Mali ya kutosha kwa kila mtu kuishi vizuri sio sababu yakugombania Mali ambazo aliyezitengeneza hayupo.....i like this Mungu akutie nguvu Jackline.
Nampenda huyu dd akiongea
High brain capacity plus true love amefarki but still respect is there (mume wangu)
@benji8949
4 жыл бұрын
Nguvu ya pesa hiyo
@christinewomanoffaith5479
4 жыл бұрын
@@benji8949 😁kabisaa,mwenye mume halali kashafariki pia!
@dainagano3656
4 жыл бұрын
@@benji8949 smtyms tc nat Ol bouh money jmn ...mbona kuna watu maskini wanafiwa na still wanaita wapenzi wao waliokufa as mume au mke wao.
@agnesschami821
4 жыл бұрын
💪
You are in my prayers Jack na watoto...hii interview imenifundisha mambo mengi sana naweza kusema ni Interview nzuri kuliko zote alizowahi kufanya Millard 🙏🏽🙏🏽
Napenda sana sana utulivu na ujasiri alionao Mrs Mengi, Mungu atakupeni iliyo haki yako stahiki kuipata. Millard Ayo is the best kwa hii tasnia ya utangazaji, Keep the shining spirit brother..🔥🔥🔥
Hongera sana sster jack pia pole sana kwa kumpoteza Mume wako mpendwa Mzee wetu Mengi hakika umejifunza Mengi #Pambana Mtangulize Mungu Utayashinda ya Dunia. Hapa tunapita tu acha wakuzulumu kila kitu but wajue hawakuzulumu ww wanamzulumu damu yao damu ya Dr Mengi na hakika haitawaacha bure yeye aliyezitafuta hizo mali kaziacha bisi nao watambue watondoka na wataziacha!. Mungu akakusimamie pia akawabariki wanao wakakue katika kimo cha kumpendeza Mungu na Wanadamu Baraka na Amani ikawe juu yao. Amen
Pole Jack,!dunia tambara bovu,dunia duara,yatapita tu, lea wanao,Muombe Mungu akutangulie kwa kila jambo,muda wote Jack mtangulize Mungu .Barikiwa!
@neemasalema1546
4 жыл бұрын
Pole sana Jack Mungu yupo pamoja nawe alisema yeye ni mume wa wajane na baba wa yatima Ole wao wanyanyasao wajane na yatima
@salmalody102
4 жыл бұрын
Mali hizi mtihan
@millard ayo superb interview👌💯sasa tungeomba uwatafute the other side of the husbands family fot their side of their story.
I have always Love her❤️🙏
You are so calm and beautiful.... Mungu akupe subra
@teresiahkamau6307
4 жыл бұрын
Wow lovely woman
Ñakuelewa sana millard, ,ki ukweli nazikubali sana interview zako, ,j.n.mengi nimekuelewa Mumy, ,
Uko vizuri sana madame .hongera sana Uliambukizwa busara na mzee mengi
You are a strong woman Jackline very humble God will be with you.
41 but she looks like 28
@gibsongwigiliye1306
4 жыл бұрын
What about u jokes
@eunicemishel2562
4 жыл бұрын
Money is everything
@Bigboy-nx3nc
4 жыл бұрын
Elizabeth Joseph Beauty without makeup.
@florachrist9602
4 жыл бұрын
@@Bigboy-nx3nc kuna make up hapo but ni origanl
@elizabethjoseph2116
4 жыл бұрын
@@eunicemishel2562 that's fact
Ndio maana Allah amesema kila kitu ni mtihani uku duniani, Ukiwa nacho mtihani na ukikosa mtihani Jacky unaongea yote hayo point kubwa ni MALI period 🙌🏽
@LeeUfudu
4 жыл бұрын
Dada upo poa kabisa huyo benjamin atafungua tu gate siku zake znahesabika tu wee ndio mpango mzima umeelewa
Nimegundua hata kuongea mlisha fanana sanaa. Alafu una hekma Mungu ni mwema mpenzi kuwa mkakamavu siku zote ndugu ndo wanao haribu familia ya marehemu.nakupenda bure perfect I love mamy.Hekima na maarifa usiviache pambanaaaaaaaaaaaaa.
Well said Jackie. God is with you, keep your head up and keep going
@kwintaatus4540
4 жыл бұрын
Usiwadhulumu wajane waheshimu maana mungu hua pande wao usijatuftie pigo
@ireneemanuely8966
4 жыл бұрын
Dada wew ni wakuigwa una hekima sana wala usijali no yakupita tu
Kako humble and polite kweliiii jamaniii daah
Dahhh,,, mungu awasimamie hao watoto wakue salama , japo sifahamu kiundani zaidi ila wangezungumza kifamilia tu yakaisha
@gracefesto413
4 жыл бұрын
Wakuache kabisa mama Mengi. Hakikisha haki yako na watoto inapatikana .
Millard kanifundisha kwamba hata kama uwe bossi usikae kama boss endelea kusaka pesa kupitia njia zote 🤗🙏
Dah ndugu wamume kwa mali nihatarii sana jack upo makin kujibu maswal had raha Kama. Umemuona jack anameza mate yauchungu like hapa
Mungu azd kukusimamia Mrs. Mengi🙏🙏🙏🙏
Millard ayo umependaz sana nimekupenda bure
@abelbest4984
4 жыл бұрын
Acha nyege utafirwa
@MWAMALUMBILI
4 жыл бұрын
Abel Best, lugha kali si lazima ziwe chafu, polepole huenda atakuelewa pia!
One of the best interview in deed. It is worth a name; Big Interview. Congrats my young bro Millard.
@damacymobeto4478
3 жыл бұрын
Maneno ya upande wa pili, ubalance
Polee sana dada jack,, mungu alie mtetezi wa wote yu pamoja nawe.
@ashuramshenu1159
4 жыл бұрын
pole sana dada