JACQUELINE MENGI afunguka MAZITO ‘Mume wangu hakuwa amechanganyikiwa’ aambatanisha RIPOTI ya daktari
Mjane wa Marehemu Dkt. Reginald Mengi, Jacqueline Mengi ameibuka na kueleza kwa ushahidi wa ripoti ya daktari kuwa mumewe hakuwa amechanganyikiwa. Hatua hiyo imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuukataa wosia uliokuwa ukidaiwa kuandikwa Mengi
• MAHAKAMA KUU yaukataa ...
Пікірлер: 215
Yaani kwanzia ndoa age gap 37 years afu kurirhi kila kitu sio fair
Kuolewa na mzee kama huyo na yuko na hela, chota akiwa hai,jinunulie kila kitu utakacho kwa jina lako .akienda ahera funga 🤐familia ikitaka ikupatie urithi usipopewa jipange. kung'ang'ania mali zote uache watoto wake wengine bure sio fair kabisa
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Kweli kabisaa angechuma toka mzee akiwa mzima
@NR-ll4sr
3 жыл бұрын
👏
Hivi kipindi dk Mengi anazitafuta hizo mali na mkewe, jack ulikuwepo rizika na ulichopata dada kama haukuvuna chako mapema pole
Mungu atusaidie tuwe na utu Ladies
Yaaan huna pakupita kwa hawo ndugu jack. Ungekuwa na akili ungejiandikisha chache siyo zote jaman. Hata ningekuwa mm siwez kukubali. Yaan ndo kabisa hata kaburi hutoliona kiukweli ukweli yaan hawo wachaga kwenye hela watakutoa macho
Nawapenda sanaaa mnaleta hsbari vizuriiii sana bira upendeleooo
Jack ungeachana na pesa za wenyewe kwani bado una uwezo mkubwa wa kutengeneza pesa zako kwa ajili yako na watoto wako na ukafanikiwa sana kwa kidogo tu ulichoachiwa na ukitumia vizuri heshima ya kuwa mke wa Mengi na kuachana na hizo chokochoko unajua mambo ya kugombania mirathi sometimes huwa sio nzuri hata ukiipata ni shida sana maana utakuwa na maadui wengi sana lakini cha kwako kitadumu na kuongezeka zaidi Mungu atakusaidia na kitakuwa na baraka zaidi ya nini kugombania vitu ambavyo ulivikuta? Achana navyo tafuta vyako ili uweke amani kwa ajili ya watoto wako na ndugu zake hao wakubwa.
@mamachris6811
3 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa Tupo tumeondoka kwa wanaume hata bila kijiko,lakini tuna maisha yetu huru,na Watoto wamekuwa
@isikesamike
3 жыл бұрын
Well said
@hadijasalum6373
3 жыл бұрын
Sipendagi wanawake wa hivi....ni udhaifu ni kama alikuwa after money
@jdanny497
Жыл бұрын
Watu kama hawa wakina Jack hawastahili kuishi sijui kwani watu wanapoteza muda...yani utoke kwenye umalaya upate hela kwa urahis hivi tu
yani jack anachekesha kweli, aliolewa na Mengi sababu ya pesa, yani alikua anaomba Mungu Mengi afe lini ili achukue kila kitu, wewe kweli huna akili tena Mungu akusamehe bure
Au kamuuwa kweli ili apate mali
@marcynhumbi3534
3 жыл бұрын
Yote inawezekana aisee kwa maana
@hashimuhehwa3780
3 жыл бұрын
Huyu inawezekana kabisa muhusika
usia Au the will wa Mtu tajiri haiwezekani uwe umeandikwa bila ya lawyers na kuwe na mashahidi Au wende kuthibitishwa mahakamani Na mashahidi. Iweje Mtu kama huyu Mali ziandikwe ovyo ovyo mpaka mahakama wasiridhike. Apo kuna kitu hakikukaa Sawa. Na hizo medical reports za 2016/2017, wakati Mtu kafa baadae. Vipi reports za Dubai!
Aisee! kwa mali ya wamachame, kiruu atafute maisha au kazi nyingine itapendeza sana.
Jack ni muongo Sana alivohojiwa na milad Ayo mwaka Jana alisema mumewe hakuwahi kuumwa kabisa ila alianguka Tu gafla. Mtaka vote hukosa vote
Tamaa mbaya atakosa bara na pwani aliingia hapo kwa huyo mzee kwa ajili ya mali mtoto ridhika na unacgokipata kwani una damu ya hao watoto wakubwa usiwasambaratishe familiya ww hao wanao ni damu yao chukua utakachopewa kama riziki yako ipo ipo tu acha tamaa.
Kwanza huyu dada anajifanyaga hajui kiswahili kila kitu akipost ye kingereza tu anankeraga ..ndo apambane na wasom.wenzie
@smwansasu8605
3 жыл бұрын
Mshamba huyo kalimbuka. Ingekuwa watu hawajui mwanzo wake angejidai sana. Si nasikia alikuwa mwimbaji wa kilimanjaro band!!!
Ila jack nawe unatamaa siuridhike na utakachopewa jmn mali zinatafutwa na wew tayari unazo mali siuziendeleze utafanikiwa yaan umeolewa miaka minne unataka mali zake zote huo ni wizi dada ridhika na icho ulichonacho utapata vingi zaidi
@happymwinyi6194
3 жыл бұрын
Kwe kweli yaan hiz ni tamaa
@princess-uf5ux
3 жыл бұрын
Kwel
@mariamsuma3003
3 жыл бұрын
Ataka ahonge vibenten
@veronicascottmollel7897
3 жыл бұрын
Tamaa mbaya sana sana
Pesa nikome niache nimshukuru mungu kwa uhai
Ila Jack bwana,anajiona ana akili kweli kweli. Barua hata haipo official. No muhuri 🤣🤣🤣
@nishasalim2880
3 жыл бұрын
Una uhakika?
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Kwa wachaga ameingia cha kiume
@florencebudoya3814
3 жыл бұрын
@@nishasalim2880 Haupo hapo. Unaona kwenye hiyo report ya DR?.
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Sahihi fake
Iv Jack aliwaza nin awatapeli watoto walomzid kwanzia umri, elimu, exposure wakat anaimba kilimanjaro band wenzie walikua wanaenda ulaya likizo aliwazaje kuwaibia😀😀 ulitakiwa ukawadhurumu yatima wa tukuyu huko kwa mwakalinga yaan Jack amwibie Regina Meng, Regina huyuhuyu mtoto wa town?😀😀😀muha wa kigoma amuibie mchaga😀 Jack hukuwaza vizur
@yudadaniel4867
3 жыл бұрын
sawa msemaji wa familia
@pelesmwaipopo4382
3 жыл бұрын
aki nimecheka ila upo sahihi
@happynesselisha2048
3 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti 😀
@darajalakidatukilomgi2362
3 жыл бұрын
Sio ya kucheka ila hii comment yenye ukweli imenichekesha sana
Vita nivita muraa!🙌
Huyu jack nae ana kazi
Hapo ndo mjue huyu dada alienda kupandikiza mbegu ili apate mapachq sababu ya urithi hana hatq aibu dah
@smwansasu8605
3 жыл бұрын
He hivi inawezekana alifanya transplant!!!
@sarahgaula2220
3 жыл бұрын
True
Addendum ni additional information😊
Mh! Huwa sipendi kucomment bt kwa hili nimejikuta tu nnawaza. Sasa kama Marehemu hakua amechanganyikiwa na yy Jack alikuepo wakati akiandika hiyo mirathi aliwezaje kuona kilichoandikwa kiko sawa na asimshauri Mzee chochote? Au yy ndo alichanganyiiwa baada ya kuona amepewa kila kitu so she couldn't wait seeing him dying to get them?. Aliwezaje kuona kila kialiachoandikwa kilikua sawa kweli? Mh! This World! Acha tupite tu
@smwansasu8605
3 жыл бұрын
Gold digger huyu msishangae. Alisubiri kwa hamu afe ili arithi kila kitu. Ile will haingii akilini kabisa mtu mwenye akili timamu anaweza kuiandika. Unaandika will ambayo unajua itakuwa contested halafu unaandika atakyeicontest hii will apewe shs 1000!!! Halafu we Jackie unaona ni will ilyoenda shule!!!! Ile will haipimiki hata kwa kindergarten!!!!
Peleka ujinga kule,ulitafta nae??au ulisubiri mteremko
@dativahswai3954
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Mm ningekuw yy ningenyamz tuu
@peterpaul591
3 жыл бұрын
Wanawake wengne bwana utopolo umeolewa na Mzee umekuta mabilion na familia zen unataka umiliki kila kitu huu ni uhujumu uchumi na ni uhaini uliokithiri wew Dada tafuta chako acha utapeli.
Yangu macho😟😟😟😟
Having a normal neurological exam does not mean mentally is was ok. A mental status evaluation is needed to confirm mental stability
Dada achana na hayo mambo mungu yupo nawe Mali kitu gani km unajiweza somesha mwenyew wanao Utafanikiwa
Wanawake muwe na huruma kwa kweli. Yaani Jack ataka amiliki each n everything ilihal anajua kidogo sana kati ya alivyochuma na Mengi, duh!
Ache Tama na awe na aibu.ajitie nafasi Yao watoto ingelikuwa niyeye wazazi wake walitafta Mali kuanzia1 mpaka kupatikana izo malizot alafu aje mwanamke ungine alafu yeye ndie apewe? Awe na ubinadam asiwaze izo Mali awaze kama ata walio zitafuta Leo wamesha tangulia mbele zahaki,na yeye ata akipewa nazo na yeye ataziacha tu
Kifo kichunguzwe ...
Watakuuuwa we endelea kung’ang’ania tuu!
@kawawamamaya8543
3 жыл бұрын
Hahaha 😂😂😂😂
Wew jack sis tunajua ulikua mdangaji.Sio kweli ulimpenda mzee bali ulikua nae kimaslahi tena ningekua ni mwana family ningekunyanganya kila kitu.chanzo cha utajir wa mengi ni mke wake wa kwanza huyu baba kama sio mkewe asingefika alipofika wew utoke huko na umalaya wako uje tuu umiliki mali
@siyabongakzn9864
3 жыл бұрын
Huo ni ukweli kabisa. Umezungumuza vizuri sanaa Pety Woiso. Huenda ndo sababu ya kifo cha marehemu. Funzo kwa wasichana wetu wanaotafuta ma sugar dady na kuwa maliza wakisha pata wanachokitaka, hao wanaitwa professional bitches kama huyo mwezetu..
@emmanuelshayo4703
3 жыл бұрын
@@siyabongakzn9864 wewe Siyabong'a, hili jina na lugha unayoongea mbona haviendani?
Sasa atapata nn maana kesi ameshindwa
Jamani huyu dada si akubali tu yaishe mbona ameng"ang'ana hivyo wakati Mali zinatafutwa
Jack achana na mali za marehemu utajishushia heshima uliyoijenga kwa miaka mingi..Ridhika na hicho kidogo ulichonacho nae Mungu wa haki atakupandisha vile vile kama alivyokukutanisha na Mengi atakunyooshea njia zako hakika.
Kwanini unajitia kwenye izi ishu mirathi ulichopata kinatosha kuwa rafiki na familia wakupende .sasa ukishaanza ugovi watakuchukia na mwishoe utabaki peke yako na stress .u still young
Hakuwa amechanganyikiwa mengi ila huyu dada ndiye amechanganyikiwa....badala ya kutulia anaendelea rmalumvano...Sasa hivyo vyeti tutaviamini vipi wakati wakati sahihi na mhuri vilionyesha vimefojiwa?
Please read up about stroke and the impact it has on one's ability to make decisions.....🤔
@sarahgaula2220
3 жыл бұрын
Kwa hiyo huyu Dada alijua anachokifanya kaajiandaa na documents. Akikukatana na madaktari hapo hamna kitu. Huyu Dada ana Tamaa sana
Lizika na ulichonacho, aza na hz ulizonazo maana hata hy marehem aliaza na kdg
Yesuuu,! Huna aibu jimama zima? Yaani akuandikie wewe Mali zote,aache watoto wake na ndugu akupe wewe, ficha USO ni aibu tu.
The only reason His Dr suggested that kind of test (cognitive test) means he was concerned
Muuwaji mkubwa jack 😏😏
@nishasalim2880
3 жыл бұрын
Amekuulia mkeo?
Jamani huyu dada akubali atakachopewa ndio halal na rizki yake
Mmh mali hizi 🤔
Heee jak na ww duh mali zote izo wenzio wasipata🙄🙄🤔🤔😏😏acha roho mbaya we umekuta kila kitu kipo lizika na ulichopata
Kwanza kuexpose taarifa za kitabibu za mtu si sawa sidhani kama ni hekima.ia kwa ajili ya mali pengine ni haki.unamdhalilisha marehemu
Haijalishi hata kama ma Dactari wametoka mbinguni..... Point ni kwamba Mzee Mengi na heshima yake asingethubutu au kusema watoto wa Mercy wapate buku kila moja. Hiyo buku angepewa Jacky ambaye hakuchuma hizo mali. Shezi kabisa. Jacky ukiona vinaelea ujue vimeundwa. Viambie Vibenteni vyako vilivovyokushauri vibaya vi. Back Off.
Dada bora utafute chako uishi kwa Amani mali za urithi sio nzuri
mimi nasema Jambo 1 tu aliyezitafuta alikufa akaziacha mliobaki mnadhani mtaenda nazo wapi???Hakuna urithi mzuri alioachiwa Jack kama hao twins,I hope she knows n treasures that more than anything.
We Jackie!!!! tafuta vya kwako acha kugombania mali za marehemu alizochuma na mke wake mercy mengi. Chuma mali yako. Unavyong'ang'ana unaonyesha wewe ni gold digger. Achana na mali ya wenzio. Simamia vizuri Amorette itakupa pesa nyingi sana sana. Nakushauri ukae kimya kuliko kulumbana na maamuzi ya mahakama.
Chezea wachaga kwenye pesa we hawana utu hata kidogo mungu akutie nguvu utalea wanao hao wakina mengi wabaadae
Dunia kubwa taFuteni vyenu
Jack ulitaka vya bure kaolewe usukuman vingi mno
Ndio waha walivo wanahaha
Ukioa wake wawili na unapesa we jiandae kwenda kusalimia huko maan wanawake bwana at shetani anawashangaa sometimes
Anataka kuiba mali uyo
Jack tupishe kwanza Sasa ww wataka urithi malizote ili wanae wasipate kitu
Honestly i don't think is good ideas judging her opinion and her evidences ... hatujui kesho yetu jamani anayejuwa ukweli ni yeye na akuna mwanamke ambaye apendi pesa... what we need to do as women tumshauri tu mengine yapite ...
@brigidmua2548
3 жыл бұрын
50/50....sio mbaya ...Africa sio Europe wangemuachia...Bibi ndio kusema
@superwomanmwenyeheri.1367
3 жыл бұрын
Umeongea point Sana. Mimi nashangaaaa watu mineno inawatoka! Jaq na Mengi, Ni watu walilala kitanda kimoja, wakajifunika shuka kitanda kimoja. Nani ajuae Jaq alimfikisha wapi mzee...hivi mnajua Kuna watu Wana hela lakini hawajawahi kupata Mapenzi wanayoyataka? Sasa ndo akija kuyapata uzeeni ataachaje kuchanganyikiwa? Anaweza tamani Hata Dunia ungekua Mali yake amkabidhi kimwana. Hivyo tusihukumu tusiyotajua.
@ayoubabdulrahman1305
3 жыл бұрын
@@superwomanmwenyeheri.1367 Wew hujawai kuota umelala Na shetan ndio yaliyomkuta yule babu.
Kwanza usivyo na adabu ukampokonya mwanamke mwenzako kakusaidia ukarecord wimbo hapohapo ukapata chance
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 apo pesa tu angekuwa kapuku asingeng'ang'ana huyu jack😁
Madaktari wenyewe wa sasa wengine ni ........
Yawezeka Jack ndo amechanganyikiwa sio bure
I short , Jackine was the author of the will and the signature also was not the late Mangi's . Alas !!! What a clever con woman .
Muuza mbwimbwi kahaba mzoefu eti ulikuwa unampenda Mengi Mali zimeingiaje sasa kama mapenzi yako yalikuwa Mengi!! Huoni aibu wewe malaya hata Mungu atakutia adabu muda sio mwingi
Sasa hayo yote ya Nini ? Wewe si ulimpenda mzee basi mzee ameondoka si yaishe ngoja upewe haki ya watoto wako uwahudumie .
Ndo maana wasukuma wanawalogaga au wanakukodia watu unakatwakatwa mapanga hivi we jack una akili kweli?? Hujui mkewew alikuwa na share kubwa shenzi kabisa unakera kaa na dika lako kwani la dubai umepeleka wapi??
Usikute hta ao watoto sio wa mzee mengi
@smwansasu8605
3 жыл бұрын
Waende wakapimwe DNA!!!
Pesa za kurithi zina nuksi na mikosi mingi.Pesa ni shetani mkubwa ! khaaa ! Kupenda mteremko siyo vizuri.
Yaani jack alitafuta mali tu. Ulimtesa sana Dr mengi na bora useme ukweli. Ukifika kufa tu nasi tutakuzika maana wote safari yetu ni moja.
JACK awali nilisema narudia tena Jack ndio Tatizo la Mengi kufa! Jack ni kibaka mzoefu! Jack ni jambazi mzuri! Jack atuambie alikuwa anampenda Mengi alikuwa anapenda hela zake!! Jack umasikini wako pambana na baba yako mzazi acha Upumbavu wako utaliwa pa kunyea wewe endelea! Masikini unang'ang'ania vya watu kwenu mbona mpo matako tu!
Unapokuwa unaishi kuna mengi utasikia na kushuhudia, Watu wanapaswa kujifunza ili na wao wasije kosea, Kila Mama hupambana kwaajili ya Wanae, iko hivyo na itabaki hivyo, Tusiipe chuki nafasi kututawala, let's peace and happy 😊 lead. Laiti hii familia ya marehemu wangependana haya yote yasinge tokea, wange share na maisha yange songa.
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Cha Mtu hakiliwi
@itikabukuku104
3 жыл бұрын
Sio rahisi kiivyo kutokana na utata ata wa kifo cha uyo mzee alafu ata ukifuatilia utajiri wa uyo mzee chanzo ni mkewe mkubwa umependwa atukatai ila unapokuta vitu vimetengenezwa kuwa mstaarabu ata kufikiriwa utafikiriwa ila ukijidai mjuaji dunia ina wengi sana hii
@tumainikomba9008
3 жыл бұрын
Wababa wajifunze mwanaume ukifka above 50 ukioa tafuta mjane Ile mlee watoto mloachiwa na kuishi mpaka mkitwaliwa Sasa ona vurugu iz
@itikabukuku104
3 жыл бұрын
@@tumainikomba9008 kabisa kabisa
We mama huna hata aibu! Pesa za babu wa watu badala wale wanae unataka wewe zote. Kwenda huko tafuta Ela zako au nenda kagombanie za baba yako.
huyu lady sio rahisi kukubali maana kilichomtia kwenye ndoa ni hicho ( mali)
Dadang nakuhurumia c ridhika tu naulichopewa lea wanao uje uwaache mayatima kisa wkt mwenye mali kaziacha hajazikwa nazo 🙆♀️
@salmaalimusa6809
3 жыл бұрын
Haswaaa mali huua angeacha tu aridhike kwaalichopata
@salmaalimusa6809
3 жыл бұрын
Haswaaa mali huua angeacha tu aridhike kwaalichopata
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 yaan binaadamu haturidhiki niwachache sana wenye kuridhia kipenz na urithi watu wanakuondoa peupeee
Sns mkitowa taarifa mm ndonaaminigi naikiwa niyakingereza bas nawasubir nyie mnitafsirie😂😂😂😂
@user-lr2iv3gj1u
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@khadijahali4837
3 жыл бұрын
🤣🤣
@shayolee8039
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
Hebu acha kugombania mali kilichokua rizki yako utapewa tu haya maisha ni mafupi tu kama alotafuta izo mali ameondoka je nyie mnaogombea mali mnadhani mtaishi milele? Msigombanie mali za marehemu
Kama kafoji sainiatashindwa hiyo barua ya dactary
Huyu dada Hana akili kwakweli wenzio watafut pesa wewe uje kurithisha kiulaini hivyo khaaa
Stroke siyo kiarusi... parkinsons disease ndiyo kiarusi.,ugonjwa wa kutetemeka mwili., although Mengi ni kama alikuwa na dementia pia kwa mbaali, you could tell his mind was not stable.
Wadangaji bwana mume anaanza kuumwa tu una msainisha makaratasi haraka haraka
Na hasa wamachame wanawaua waume wao kwajili ya mali achana nao wanaweza wakakua
Post ya sadala irudiwe mim skuwa online
@serianjamal8254
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@wemakalamu3538
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@fatimamtoo9288
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Awe makini wasije wakamuua wachaga kwa pesa mhhh
@ashaali7154
3 жыл бұрын
Kwani Jack anaen'gan'gana na mali ni mchagga? Pesa kila mtu anaipenda hata mwehu anaijua.
@happykisota9445
3 жыл бұрын
@@ashaali7154 👍
Malaya ni malay tu.why do u share your court private issue on insta.jinga nyambaf.
Toka zako hapo umekosa kilichokupeleka kuolewa na mzee Lisa mali
Yani mimi ningekuwa ni jack wala tusingefika huko kwanza mpaka marehemu anafariki ni vingi tu ningekuwa nimeshavichuma kwake na ningehakikisha upande wa watoto wangu ninacho kitu cha kuwaendeleza ili akija kufa nising'ang'anie mali ambazo alisichuma na watoto wake wa kwanza ningejifanya mjinga ili nile nao tu hao watoto wake wa kwanza kuliko kwenda mahakamani alafu nikishindwa nitakosa msaada kabisa kwa watoto wake wakubwa
@yahyahamad1802
3 жыл бұрын
Oh ni kweli sarah mi namshangaa ameishi na mume miaka yote ameshindwa kujipanga na maisha yake sasa anagombana na familia ya hayati mumewe kujengeana uhasama kwa mali tu
@petywoiso8909
3 жыл бұрын
Angejipangaje wakati ni mdangaji
TLF tunafanya translation, editing na proofreading za materials mbalimbali. contact us on 0686187225
Uingie kwenye familia ya watu na bado uwakoaeshe amani acha ujinga
Wanaume nao wana uchu,wewe umeshajiona umeshakuwa kuku mdondo unaenda kuoa mjukuu wako
Yan Jack kwel hamana kitu umeacha kuvuna chako mzee yupo hai unaangaika kasha fariki nahukuchuma nae dada tulia rizika naulicho pewa mali acha watumie wenye nazo
@magerito6811
3 жыл бұрын
ana vingi sana alifanyiwa binafsi...n tamaa tu imemjaa
jackline anaomba serikari mirathi irudiwe irudiwe
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani watoto wa mengi wana haki ya kurithi Mali ya baba yao makubaliano na uamuzi wa mahakama
Hii barua kaandikiwa na bashite atupishe hko fyuuuu
Jacky pole sana mdogo wangu !! Africa hakuna sheriya kabisa. Wewe ume olewa halali na Muheshimiwa Mengi. Kwa sheriya awo wandugu zake hawa ruhusiwi kugawa Mali za dr Mengi. Serkali na notary ndo wahusika apo !!! Uwe makini wasije waka kuri puwa na watoto wako !!! Mungu akuwekeye upesi jamani 😤😤
Mange kimambi alikuambia 😩ila pole
si umepangana na mafoctar waandike ivo mengi wewe ni mali tu ndio maana uliamuwa uolewe nae tamaa imekuponza
Wangekuwa ulaya ndugu wasingepata kitu zote ni kwa watoto na mama yao tu au kam mwanaume anawatoto wengine sawa ila ndugu na mke wa zamani kam wamepata divorce mali sio zke ni watoto tu
@smwansasu8605
3 жыл бұрын
Hata ulaya aina ya hiyo mirathi isingekubaliwa!!!! Mengi hakutoa sababu kwa nini hawarithishi watoto wake. ingeshindwa tu. kwanza watoto walikuwa wansaidia baba yao kusimamia hizo biashara halafu asiwarithishe!!!! Hao watoto kwanza mimi nimewapenda bure. Hawakuwahi kubrag juu ya mali za wazazi wao. Walilay a low profile!!! Ingekuwa wenzangu na mie mngewaona kwa kujitutumua!!!!
@lilyrayahally1908
3 жыл бұрын
Sio kweli hiyo ulaya ya wapi?
Katafutekazi ufanye wewe mwanamke bado una nguvu wacha kutaka kuchuma ambavyo hukupanda. Namzoom Madamu Ritta.
Mengi ana watoto wadogo wawili.
Jackline acha uroho wa mbali na mzee,ulimtakia nini mali ulizikuta hukuzirafuta wewe halafu,unazitaka