Utata baada ya Mahakama kuamua wanafunzi wa dini wa Kiyahudi Ultra-Orthodox nao kwenda jeshini

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 136

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j2 күн бұрын

    Nimtafutano wao kwa wao

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko97652 күн бұрын

    Mashoga yaende jeshini yanaenda kuharisha

  • @ronniemalima6325

    @ronniemalima6325

    Күн бұрын

    Unawajua ultra orthodox Jews vizuri wewe😂😂😂 hawa wanafuata misingi ya Torati yaani inshort wana itikadi kali za torati kwa kuifuata ,kwao torati ndo kila kitu maisha yao yote wanasoma torati hata kazi hawafanyi wapo busy kusoma torati na kuijua vizuri ,lifestyle yao ni full misingi ya torati huo ushoga wanaanzaje kuufanya wataufanyaje yani while watu wapo busy kufuata toratii inasema nini kwa hali ya juu saana😂😂 mmeng'ang'ana waisrael ni mashoga mashoga😂😂kwa hiyo tuseme Tanzania yote ni mashoga kisa kuna baadhi ya watu ni mashoga??,ushoga ni tabia ya mtu sio nchi,acheni kuwapa watu laana wasizozitaka na wala hawahusiki nazo.Israel ni nchi yenye watu mbalimbali kama ilivo Tz ,Judaism kama Judaism na yenyewe pia imegawanyika mfano wa Judaism practice ni hao ultra orthodox Jews unaowaona hapo,kuna messianic Jews ndani ya Israel hawa wameshamuamini KRISTO na wanaenenda kama wale waliookoka yani waliopokea wokovu sasa unageneralise vipi nchi nzima ni mashoga??kuna wanaisrael wao hawaamini chochote yaani ni secular sasa matendo yao machafu utalazimishaje yawe ya nchi nzima mbona wewe hatukulazimishi kujulikana kama shoga ilhali Tz kuna mashoga?? Mnahangaika sana na Israel itambulike kama mashoga kwa kueneza hiyo ideology ili wachukiwe,mmeshashindwa,uarabuni mbona wanafirana sana na hatusemi ni mashoga,marekani huko mashoga wapo wengi lakini kwani kila mmarekani au aliyeko marekani ni shoga??😂 one thing ISRAEL hamna mtu wala shetani atakayeimaliza na kuifuta ktk uso wa dunia mtahangaika saaaaaana.Israel kimwili ni hilo taifa ila pia kuna israel ya Kiroho sasa uthibitishoWa israel ktk mwili ni hilo taifa mnalo hangaika kulifuta ,MUNGU amechagua hilo taifa kujidhihirisha kimwili na alishajidhihirisha,anajidhihirisha na ataendelea kujidhihirisha.HE who watches ISRAEL neither SLEEPS nor SLUMBERS!!

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib66212 күн бұрын

    Mko vzr

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine71082 күн бұрын

    BDO tupotupo sana , kwenye,SNS, ❤.

  • @tamarali8325
    @tamarali8325Күн бұрын

    Wanaitwa Walawi

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua2 күн бұрын

    Nabii Ibrahim hana dini tatu ,dini yake ilikua moja tu Islam

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    2 күн бұрын

    Ibrahim wenu labda sio yule tunae mjua sisi

  • @Bittertruth-u4n

    @Bittertruth-u4n

    2 күн бұрын

    Tulia dawa ikuingie​@@janesuma-is4wc

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 күн бұрын

    Seriously 😂, amka usingizi 😂

  • @HassanRamadhanPashua

    @HassanRamadhanPashua

    2 күн бұрын

    @@janesuma-is4wc wenu ni Abraham

  • @aptiitv2376

    @aptiitv2376

    2 күн бұрын

    Umesema ukweli mtupu ila hawawezi kukuelewa... Cha kuwashauri tu ni kuwa wakaisome na waielewe Quran...​@@HassanRamadhanPashua

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail142 күн бұрын

    Kumbe Hamas kawapunguza na awasemi

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu36632 күн бұрын

    Wanajificha kweny kivuli cha Torah lkn sio kweli, walikaa wakachukua baadhi ya amri za Torah nakuchanganya mengine yakwao wakaandika kitabu kinaitwa *Talmud* Ndo kitabu wanchoamini wao na ndo wanachotumia kwny ibada zao, HAKUNA TORATI HAPO UWONGO MTUPU labda kwa asiye wafaham MAYAHUDI 😅

  • @josephkiwale374

    @josephkiwale374

    2 күн бұрын

    Hakuna kitu kama hcho,,wanaheshimu Torah acha chuki zako za kurithishwa

  • @yahayaannu3663

    @yahayaannu3663

    2 күн бұрын

    @@josephkiwale374 Watu msiopenda kuukabili ukweli huwa mnakimbilia et ni chuki,niwe nachuki nao kwalipi lasasa, Wayahudi wazayuni (ZIONIST) wanaamini katk TALMUD kitabu walichokiandaa wao baada yakuichakachua Tourat huo ndo ukweli kubali kataa

  • @josephkiwale374

    @josephkiwale374

    2 күн бұрын

    @@yahayaannu3663 wanaamini kwenye Torah bro Talmud is just rabbis extensive interpretations of Torah by most prominent rabbis in jewish history from Rav akiva to gaon na cyo kwamba wanaiabudu Talmud kama unavyodai,,ila ucjal nimekupata🙏🙏

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    2 күн бұрын

    @@josephkiwale374 torat ya mussa haipo duniani na kama ipo watuonyeshe sura ya kijiti na kwanini torat iwafundishe kumkataa yesu hio torat gani ?

  • @MujuniKamugisha

    @MujuniKamugisha

    2 күн бұрын

    ​@@yahayaannu3663hujui kitu wewe nenda kaendelee kuabudu majini yenu yale

  • @josephjosephat4792
    @josephjosephat47922 күн бұрын

    Dini ni moja Duniani umpendeze Bwana Mungu wako kwa kumcha Yeye na matendo mema sawa na alivokuelekeza Moyon mwako. Hiyo ndio Dini ya kwel ikupelekayo mbinguni.

  • @WazainaKigomaboy

    @WazainaKigomaboy

    2 күн бұрын

    Ko unapingana na dugu zake yesu mwokozi wako pumbavu

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk56 минут бұрын

    AMERICA UCREIN IZEAELI SASA MAMBO SI MAZURI . UKIONA UNALAZIMISHWA JESHINI JUA HALI MBYA.

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq2 күн бұрын

    Hawataki kufa kwanza ni mashoga😂😂😂😂

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw2 күн бұрын

    Hapo washashindwa kwa maana hawa jamaa hawatakubali kuingia vitani kwa sababu wao wanjiona spaciel kuliko wengine wao wanataka kukaa mezani na kuona wengine wakipigana na kufa mfano ni neta paka watoto wa wenzake wako vitani yey wanae wa kiume wako marekani wametulia sasa je? Atakubali mwanae aende vitani kupigana na watu ambao wao kufa ndio wanapenda kuliko kuishi wao wao wanapenda kuishi kuliko kufa kazi wanayo

  • @boniphace1
    @boniphace12 күн бұрын

    Hiyo jamii ndiyo Levites

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi5132 күн бұрын

    Kwani lazima

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491Күн бұрын

    Kah hatar

  • @ramadhaninassoro7386
    @ramadhaninassoro7386Күн бұрын

    Wao wanaokataa kushiriki jeshi ni waumini wa Cristian orthodox sio wayahudi, ni Armenian

  • @amemasudi5735
    @amemasudi57352 күн бұрын

    Wwe huujuwi Uislam usome kwnza

  • @Bittertruth-u4n
    @Bittertruth-u4n2 күн бұрын

    Bado hawajasema

  • @wadantz123
    @wadantz1232 күн бұрын

    Waache uvivu waende jeshini uko 😂

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam3702 күн бұрын

    That's good I dea, Israel.May God bless you

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    2 күн бұрын

    Mavi yko

  • @kiulasilate

    @kiulasilate

    2 күн бұрын

    Una bress the devil and waanzilishi wa ushoga dunia

  • @GeorgeChitemo-kt8sw

    @GeorgeChitemo-kt8sw

    2 күн бұрын

    Bariki Israel

  • @sameerbaksh98

    @sameerbaksh98

    2 күн бұрын

    Maskin hajui kitu wanalipua mpaka makanisa 😂

  • @subrynerysegerow1323

    @subrynerysegerow1323

    Күн бұрын

    😂😂good idea kwako nenda kaingie jeshi huko usaidie ndugu zako wanakwisha

  • @hafidhmiraji9479
    @hafidhmiraji94794 сағат бұрын

    Hamas wamefanya yao 😂😂😂😂

  • @shaban6644
    @shaban66442 күн бұрын

    Hao Hawana muda na Vita, wanataka kuwaingiza na kuwalazamisha Kwa Nguvu Ili Hali Wao hawaamini katika Hayo. Hao ni Katika Wale wachache Walioendelea kushika Misingi ya Tourati.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 күн бұрын

    Lakini hawa ndo watata kweli, bado wanaamini hiyo ardhi ni yao Mungu alimpa Ibrehim kwa ajili yao

  • @HassanRamadhanPashua

    @HassanRamadhanPashua

    2 күн бұрын

    @@MsAggie5 wakati wa Ibrahim kulikua na nchi yaitwa Israel kweli ?

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho95712 күн бұрын

    Nabii yusufu unajua alipeleka kizazi chake wapi wakazaliana, wakateswa, NA ALOWATESA MPAKA LEO FUVU LAKE HALIOZI MISRI. 2. MNAJUA WALIVOFUKUZWA NA DOLA KAMA ZA KIRUMI, IRAN, UTURUKI WALIKIMBILIA NCHI ZA WAZUNGU NAO WAZUNGU WALIWAUA (KINA ADOLF HITLER) sasa wanarudi kwao na bado mnataka muue kizazi cha manabii ?

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan73452 күн бұрын

    Dini ya Ibrahim ni moja tu "Islam" Hzo nyengn ni za Mzungu

  • @BeckhamMsigwa

    @BeckhamMsigwa

    2 күн бұрын

    Shenzi uiislam na Ibrahim ni wap na wap au kisa alizaliwa Iraq?? Kazana sana kusoma vitabu usipotoshe watu shauri Yako

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    2 күн бұрын

    @@BeckhamMsigwa Qur'an ndo ilivyosema km unapinga bs wala sina haja ya kubishana naww mana mkipewa hoja mnaleta matusi

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    2 күн бұрын

    ​@@BeckhamMsigwa ibrahi hakuwa jews wla Christian ✝️

  • @PAULNYANDILE

    @PAULNYANDILE

    2 күн бұрын

    mzima kweli wewe

  • @PAULNYANDILE

    @PAULNYANDILE

    2 күн бұрын

    ​@@salehkhalfan7345sasa kumbe Quran ndiyo imesema iliyotoka urabuni

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm2 күн бұрын

    Waache waingie vijana wote na waisrael weusi wakaungane nao

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze2 күн бұрын

    Wapinga mtume muhammad daima yanakuwa hayana akili wa hawana macho ngojeni mutaona mutakapo mtaka mtume na dini yake huyo yesu akija kuwakataa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa71862 күн бұрын

    Hizo picha zinaonesha kabsa ni watu wasiopenda kuingiliwa mambo yao😅

  • @ronniemalima6325

    @ronniemalima6325

    2 күн бұрын

    Kabisaa😂

  • @SaidiAlly-cc9cj
    @SaidiAlly-cc9cj3 күн бұрын

    Mayunga furniture

  • @SaidiAlly-cc9cj

    @SaidiAlly-cc9cj

    3 күн бұрын

    Mtwara

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho95712 күн бұрын

    God bless israel🙏

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho95712 күн бұрын

    #OLE WENU MNAOILAANI ISRAEL NA HISTORIA YA DUNIA MNAIJUA, narudia tena ole wenu

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam3702 күн бұрын

    Wapinga Christo nyie Waslamu,mtapata shida mno, God bless Israel apige hao magaidi wapinga Christo.

  • @swalehemusa4546

    @swalehemusa4546

    2 күн бұрын

    Hii ni Israel ya mashoga ambao wanapelekeana Moto nchi takatifu saiv ni urusi

  • @KhamisOmar-kt4kz

    @KhamisOmar-kt4kz

    2 күн бұрын

    Ww Nina was was www ni shoga

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam3702 күн бұрын

    Ukitaka kwenda mbinguni dini nimojatu Christo. Ukitaka shetani bakinahizo dinizingine, zimejaa mapepo nama jini kama Waslamu

  • @user-ye4iy8jy2z

    @user-ye4iy8jy2z

    2 күн бұрын

    Hili nalo senge kweli nyie c mnalo jishetani lililofukuzwa na yesu wenu au unajizima data sema tukuwashe

  • @user-ye4iy8jy2z

    @user-ye4iy8jy2z

    2 күн бұрын

    Soma hio isaya 47-12 mnafundishwa uganga na uchawi kwenye biblia ili mpate faida

  • @robertamsini1256

    @robertamsini1256

    2 күн бұрын

    @@user-ye4iy8jy2zna wewe fundisha yenu

  • @josephkiwale374

    @josephkiwale374

    2 күн бұрын

    Dini zote ni biashara nakutaka utawala hakuna jipya😆😆

  • @mustwafathabiti2978

    @mustwafathabiti2978

    2 күн бұрын

    Pumbavu huna unachojua

Келесі