“AMUENI MFUNGE AU MFUNGUE NIMEONGEA NA SIMU NA RAIS KANITHIBITISHIA” KIONGOZI KARIAKOO
Жүктеу.....
Пікірлер: 193
@jerome31432 күн бұрын
kwa ujumla bara la afrika akuna viongozi kuna genge la wauni tu
@dulasele-ud8cw2 күн бұрын
Tatizo kubwa kama hili kiongozi wa nchi unashindwa kunyanyua mdomo ukamaliza ujui machafuko yanaazia ivi mdogo mdogo
@Mumewangu
2 күн бұрын
Anapeleka viongozi kwanza baadae kauli mwisho atatoa
@petro8010
2 күн бұрын
Yeye aendelee kukaa lkn kwa wenzetu tunaona
@birianination7097
2 күн бұрын
Viongozi wahusika wapo, wacha kazi iendele.
@bryanjonathan63122 күн бұрын
Ile kamati iliyoundwa na waziri mkuu iliyokuwa na huyu jamaa na Vunja bei ilikuja na ripoti gani? Iliishia wapi mbona hatukuwasikia tena?
@ce-082 күн бұрын
Sasa ww mwenye kiti wa wafanya biashara alafu unalindwa na polisi wanini wakat hao ni jamaa zako na jana ulikuwa nao kwenye kikao😂
@Mumewangu
2 күн бұрын
Lazima manake watakuwepo na hasira
@EmmanuelMajele-ny2hkКүн бұрын
Kenya 🇰🇪 wanakiwasha tu haki lnaweza kutafutwa kwa Damu kunaviongozi Tz Hawata badilika adi kiwaswe ndani ya miaka 2 patanyooka tu
@sponsor78822 күн бұрын
Magufuli angeshafika hapa tangia juzi
@Mumewangu
2 күн бұрын
Na yupo njiani anakuja msubiri tu
@petro8010
2 күн бұрын
Ni kweli JPM hakuwa mtu wa kudelay namna hii
@birianination7097
2 күн бұрын
@@petro8010 sio kudelay, ila hakuwa mtu wa mazungumzo, wote tunajua angesha teka hao viongozi wote
@salmanmagwe2612
2 күн бұрын
Magufuli asingekuja bali angeagiza wote wanyan'ganywe leseni au watiwe ndani,ila watanzania ukienda nao polepole hawakuelewi na mwisho wanaanza kugoma kama hivi
@samsonsimon3138
2 күн бұрын
@@birianination7097 ww ni ignorance kweli magufuli alikuwa anasikiliza kero za watu na kuzitatua mda huo usimlibikiziie màovu aliekuwa raisi wetu alikua anawapenda wananchi wake
Hajui chocolate yule bibi , anaweza ni kusoma alicho andikiwa kwenye karatasi tuu
@RichWise6712 күн бұрын
Kuna siku Tanzania itajaa kwenye mfumo #SAEL_STATE💝💝
@jedidahbintidaudi82412 күн бұрын
Bi Samia ati mpak August 8th, wakati bos wake Magufuli lingetatuliwa kwa muda wa masaa mawili..Mama Samia mpaka aagize watu badala kuwaface w/biashara uso kwa uso. Mama Samia mmmh
@Ishowprime0042 күн бұрын
Ndo wale wale tu kudadeki tutapigana kama kenya
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Hakikisha umeachia Ndugu zako pesa za kusafirisha mwili Kijijini kwenu, chezea Tanzania 😂😂
@yousuphnzira3209
2 күн бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362😂😂😂😂😂🎉😂
@yousuphnzira3209
2 күн бұрын
Hii nchi ina mifumo ya kipekee.
@allymaulid93912 күн бұрын
huyu afai kuwa kiongozi
@othmanali5362Күн бұрын
Ah.karagosi huyo
@knight67572 күн бұрын
Heshima iwe upande zote !!
@rukiaiddyyahaya9506Күн бұрын
Hakuna kulipa kodi
@remidusmwanandenje-yy5gs2 күн бұрын
Atuna rais kwani mlikua amumuoni hayati magu apo mbona nikama siasa ndani yake mungu tusaidie😪😪🎎🙏
@user-mq4yq6rw1w
2 күн бұрын
No.
@BONGOINMOTION2 күн бұрын
Government is a systemnmade by group of people to care the country or nation
@thosmaenterprises9968Күн бұрын
ameshaingizwa kwenye mfumo pimbi uyoooo
@viralvideostz82502 күн бұрын
Msaliti huyu katuuza
@Deppe-rv2vg2 күн бұрын
Good leader
@ismailsoud3634Күн бұрын
Kwani Waziri wa Biasha yupo wappi?
@ramadhanmahongole92932 күн бұрын
eti Serikali ya mama Samia inazungumzika 😂😂😂
@MasterOil-qm6vw22 сағат бұрын
TRA Iondolewe serikali iweke mfumo ambao walipa kodi tutalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina na sio kupitia kwenye mikono ya vishoka TRA
@user-ui1cj5re9kКүн бұрын
Rais awemakini sana kwani haonikenyaa
@smallscaleminingsupplies96702 күн бұрын
Waziri ajiuzulu aheshimu watu
@nicodemuswidambe51322 күн бұрын
Tatizo nchi hii upigaji tu. Mama mnamwonea tu afanyeje? Sahizi Kariakoo vurugu tupu barabara zote zimefungwa watu wamepanga bidhaa barabarani ukiuliza eti ndo wapiga kura, huu ni ujinga ambao haupo duniani isipokuwa Tz. Tunakuwa kama hatuna sheria ni upuuzi tu. Inakera sana hadi mtu huelewi.
@salmanmagwe26122 күн бұрын
Ila hakuna siku wafanyabiashara watakuwa wakweli,hata ukiwapunguzia kodi bado tu watakwepa,ukijijengea hulka ya kulipa kodi ndio utakuwa na uzalendo na nchi yako
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Wahuni hao kuna wanaharakati wameingia Kati yao na wao kama manyunbu wanafunga biashara mtafilisika na Serikali mtaiacha inaendelea😂😂
@heaventv4668
2 күн бұрын
Nyoko@@darajalakidatukilomgi2362
@aminasittusaid3830
2 күн бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 halafu wengi walohojiwa wanalalamikia faini ya milioni 15 kama wasipotoa risiti kwa mteja. Kwa kuwa sababu ya faini wanaijua basi watowe risiti ili waepukane na hiyo faini ya 15m. Kutotoa risiti ni kukwepa kulipa kodi, sasa wanataka Rais awaruhusu wasilipe kodi au?🤔😇
@leocadearzengo46062 күн бұрын
Sijaelewa 😢
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp2 күн бұрын
Tanzania niyetu hakuna kutishiana aje
@Kabwela7762 күн бұрын
Samia hawa watu sio wa kuwachekea hata kidogo wanaanza kukupanda kwenye kichwa fanya kama Magufuli angewaambia fanyeni biashara au mkatafute nchi ingine mkafanyie biashara, ndio maana enzi ya Magufuli kulikuwa hamna migomo nchi ilikuwa inatawalika watanzania wamezoea kuburutwa kama ng’ombe hawajazoea mazungumzo !
@user-lm3lt7xx6l2 күн бұрын
Wakenya wafundisheni watanganyika kudai haki wewe mwenye kiti kuongo halafu wewe usalama tu
@user-rw9ff2tk6wКүн бұрын
Nchi inakopa mikopo kibao wawekezaji kibao sasa kodi haishuki mbona hivyo sasa maana tunataka na sisis tuanzishe vibiashara ebullient wekeni mambo sawasawa
@mosesmahinya96542 күн бұрын
Majibu ya kisiasa hayo mwenyekit
@browskymuba69232 күн бұрын
Kipindi cha magufuli mlikuwa kama sisimizi
@abdulrazack95772 күн бұрын
Kimebaki kuandamana kama kenya kitawaka
@EmmanuelErnest-xd1rc2 күн бұрын
Akuna unacho zema
@marwajoseph80602 күн бұрын
Angekuwa harmonize angeenda kumisikiliza kero za watu wengi kwanini wasiwasikilize unakuta mtu mmoja anapewa sifa wee kiukweli hakuna aliye kamilika hapa duniani mama hapa anafeli nibola angelifanyia wepesi zaidi kuliko kukosa huduma Leo siku Tatu Sina mzigo dukani nawategemea waniulizie na mimi nikauze
@jedidahbintidaudi82412 күн бұрын
wananchi wameshaona nchi sio yao tena. ni mpaka wapige magoti na kujigaragara kuomba haiki zao. nchi inaonenkana wanaofaidi ni wacheche sana ambao hao wamewekwa na wananchi sie..mbona viongozi kama wamefumbia macho matatizo ya watu? kesho wanaingia mtaania kuwaomba kura na kuwa danganya watu wa wtu. ni vibay sana🥲🥲🥲🥲🥲
@callicevallice73832 күн бұрын
Huyo jamaa kashalamba asali 😂😂
@witnesskagirigiri37632 күн бұрын
We mwenyekiti akili hazikutoshi .unaposema huko nyuma serikali ilikuwa huna uwezo wa KUFANYA majadiliano unawakosea watanzania . Huko nyuma manyanyaso hayakuwepo na majizi yalishika adabu.Acha woga kuwa imara na kwanini upigiwe simu na wenye nchi wasijitokeze kutoa kauli?
@modestalois25352 күн бұрын
Naona huyu kiongozi 😢😢😢amekuwa mwanasiasa,hastahili kuwa m/kiti wa wafanyabiashara,huyo anafanya kampeni 😢😢😢,yeye anaiponda Serikali ya Hayati Magufuli!!?
@Juli-ep9dnКүн бұрын
Kiongozi mkubwa yupo bize na mambo yake ila ipo siku
@peacedondo83542 күн бұрын
Serikali ya nyuma kidogo meaning ya Magu alafu serikali ya mama samia imekubali kukaa kuongea... hahahahahaha jamani anampigia kura mama anamkandia magu... noma huyu amekaa kisiasa ili aendelee kukaa kwenye hicho kiti kuwasemea wafanyabiashara... nomaaa na naona kuna wafanyabiashara wamemuelewa ndo mana wameguna 😅
@cosein2 күн бұрын
Mama hapa anawakati mgumu sana
@philemornmutta15972 күн бұрын
Hapo umekosea au mbona watu wamekupgia kelele hakuna ambalo halizungumziki kaka
@Alexismadimo2 күн бұрын
M nadhan wangetawanyika wasinsikilize tu
@Mumewangu
2 күн бұрын
Lazima wasikilize ili na wao wajenge hoja
@ANNAKISIGA-pc5qs2 күн бұрын
Tuige mfano wa kemya hivi watanzania tutakuwa wema mpka lin lakin tunachezewa akili zetu oneni wenzetu kemya mswada haujapitishwa baada yakuchukua maamu magumu laki. Sisi kila siku tume tume ila watoto wetu wapo na wanaamka
@whatisthetruth.87932 күн бұрын
Raisi uvundo uvundo na kunuka
@anicetminde33622 күн бұрын
Umemaliza kwa hekima😂
@fathermore97722 күн бұрын
Viongozi wanafiki kama hawa hawafai .kujikombakomba wakati watu wanateseka
@augustinemainde2 күн бұрын
Sasa anaepata hasara ni Nani? Kwa kuwa serikali Ina vyanzo vingine vya kodi
@vicentmapunda31462 күн бұрын
Yan hpo ingekuwa hivi... hakuna kufunguwa duka!mbak system iwe imekamilika yna hakun kusubr.. mkigunguwa nao wanaemdelea kunyoosha miguu!
@mligogodfrey8882
2 күн бұрын
Njaa Haina baunsa kaka.
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
@@mligogodfrey8882😂😂😂😂 ndio wale anagoma kula mpaka abebelezwe wakati mji umejaa wenye njaa, jaribu tukuone anachekesha sana😂😂😂
@husseinkatunka75482 күн бұрын
Kwani kuja apo kunaumbali gani mpaka apige simu
@user-mn5ho4fk7p2 күн бұрын
Huyo Samia anajua nyinyi wajinga tuu ndio mana aji kuwasikiliza
@saidramadhan71Күн бұрын
Mwenyekiti wewe ni kuma tu
@mohamoudhussein45702 күн бұрын
Manenono matupu bila maandishi hamna kitu hapo
@zachariangoyo64952 күн бұрын
Tz pako vibaya aiseee siku zinakauaja kitanuka tiumechoka aseee
@user-sw7tf1ob1b2 күн бұрын
Acha kujikomba hata luto ameinua mikono sembuse wazungu wa leli
@hassankongolilo84082 күн бұрын
watuachie inchi yetu wameshindwa kutuongoza basi.
@faidhamyovela1792 күн бұрын
Samia anaogopa nn si atamke yy kuwavimefutwa anatumilizia nm
@faustinedeogratias43372 күн бұрын
Ningekua mfanya biashara ningekua nsharuka nae
@eliasizubhakwa82122 күн бұрын
Mama samia hatufai kabisa
@birianination7097
2 күн бұрын
Anakufa nani
@margarethpolepole74382 күн бұрын
Aongee nao live wananchi wamsikie kama kule kwa Makonda Arusha
@barakamnazareti57452 күн бұрын
Kuna ulazima gani wakuongea unaonyesha ishara ya dole gumba😂😂
@TangaMashewa-qe8kk2 күн бұрын
bado haituingii akirini tunamtaka raisi mwwnyewe
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Ndio imeshatoka hiyo kama wewe jeuri funga biashara uone kama utaenda choo wakati unamsubiri Raisi aseme😂😂😂😂😂😂
@NipoNipoTV2 күн бұрын
Sasa wafungue tu>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
@lugelosanga57982 күн бұрын
Wanatuona mbumbu cc wananchi da kazi kwelkwel
@Joh-p9f2 күн бұрын
Kwani raisi yupo wapi?
@user-kg8dn6qr8o2 күн бұрын
Nchi hi ngum Sana
@sixmundleonard21352 күн бұрын
Uko nyuma kulkuwa hakuna izo mambo 🎉
@birianination7097
2 күн бұрын
Mambo gani😂😂
@storytownTv2 күн бұрын
Mwenzenu yuko bize analipa wasanii wamtungie nyimbo za promo ,mitano mbele..🎉🎉😂 rip uncle John Pombe yote haya uliyaona ndo maama ukasema tutakukumbuka
@user-ui5du6wj7n2 күн бұрын
Kila siku nimaneno hayo hayo tumeshawazoea kwaivyo letu jambo
@festohaule97162 күн бұрын
Mtu anaonyesha wazi kuwa ni mwongo!!!Huyo Mchaga bhana!!!!
@MRASISKA2 күн бұрын
Nimeamini pesa ni sabuni ya roho
@user-cd2np5by6g2 күн бұрын
Muongo uyo
@florencemeza65402 күн бұрын
Tunatoa kodi no maendeleo halafu report ya CAG BIOLIONS OF MONEY ZIMELIWA, WANAKOPA WANAKULA halafu mnapanfisha kodi mnavyojisikia
@PhilipoMwita-wc1ku2 күн бұрын
Saiv mama YENU amekalia mbali kabisa hataki aonekane kwamba anamakosa .. Wakati Sheria zinasema kwamba maswala yoyote yanayohusu Kodi na Tozo nimaswala yanayomuhusu rais kwasababu anapeleka bungeni bunge lenyewe ni ndio Bunge likipitisha mama YENU anasaini Sasa inakua Sheria rasmi ndiomnaanza kusakamwa na TRA na harmashauri halafu munawaona TRA wabay kumbe mama YENU ndio mbaya Kila mtu mama mama ma.a autafiri wote hapa hamna mama zenu
@MRN_the_Real2 күн бұрын
Uongo huo
@user-td4kg7sw7l2 күн бұрын
Usitudanganye nihakiyetu kuusema ukweli kama hawatusikiliz tugome nchiinzima serekali ifanye kaz zake tuone sisi pya tuna haki nilazima tusikilizwe kwani tunafanya kaz ili tulipe kod tuu au na ss tunataka faida yatunachofanya nakama serekali nikandamiz kwanini tusiseme nakwanini wawena uwezo wakutupuuzia aukutusikiliza wala tusifundishane uwoga hapa
@antonytheodory20052 күн бұрын
Kwani mpaka raisi apige simu,mbna ni swala la mkuu wa mkoa, yani hii nchi na Mambo ya kiki 😢
@saidyfikirini96792 күн бұрын
Mm sitaki comment kibaya naupenda ugali😢😢😢
@TangaMashewa-qe8kk2 күн бұрын
bora huyu kaongea kiustaarab sio charamira sijui kasomea wap
@linnusaloyce65592 күн бұрын
Mzee kisha chimbwa biti kurudishwa kijijini kwao ⚰️ ndio maana kawa mpole😂
@obedkiswaga2790
2 күн бұрын
Kabisaa Kwa anavyoongea Tu kashachimbwa mkwara
@hapaupdates92772 күн бұрын
MNAZINGUA WAFANYABIASHARA
@afropatriot77692 күн бұрын
CHAWA
@knight6757
2 күн бұрын
🤔🤣
@MauFundiElectronics2 күн бұрын
Siasa hapoooo
@sonnyr18992 күн бұрын
Huyu mwenyekiti kachaguliwa na nani?
@ilynpayne74912 күн бұрын
Bandari imesha uzwa sasa ata rekebisha kipi huyo ana wa danganya ana piga sim kivipi badala atoe tamko
@jameskunogoleka58052 күн бұрын
Aje rais nyie do wajir wenu
@samsonsimon31382 күн бұрын
Ni mpuuzi huyo akaangizwa na akaingiziwa ujinga kichwani mwake , magu alikuwa hapendi kuona maandamano ya vyama pizani tu ambayo hayana faida lakn migomo kma hii do alikua anawahi kuitatuq
@user-tx6dh6ii3m2 күн бұрын
Wewe ushawasalit wafanyabiashara mshamba ww Hadi unalindwa na police tz hovyo
@PhilipoMwita-wc1ku2 күн бұрын
Chagua kufungua au kutokufungua. Hii nchi bhana nimali ya Rais sisi wananchi ni takataka omba omba
@BillyJames-l6x2 күн бұрын
Endeni kazini muache ujinga kwani hii ni mgomo wa aina gani??
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Kuiga iga mwisho wameishia aibu, fanyeni biashara Siasa waachieni wabunge majinga sana haya😂😂😂😂
@cricwambali13522 күн бұрын
Mbona mwenyekiti huendi paka mgomo utokee au hua husikilizwi
@mmassyferguson49592 күн бұрын
Kashabanwa huyooo
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Usicheze na Serikali ya Tanzania, Jana tu alikua anapayuka Leo kalowa kama paka aliyemwagiwa maji😂😂😂😂
@whatisthetruth.87932 күн бұрын
Tatizo la kuwa raisi tundu choo , kutoa gharufu mbovu tuu
@halimoabgal50392 күн бұрын
Huyu kiongozi pia wa kubadilisha
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Keshawageuka, acheni ujinga fungueni biashara mtakufa njaa😂😂😂
Пікірлер: 193
kwa ujumla bara la afrika akuna viongozi kuna genge la wauni tu
Tatizo kubwa kama hili kiongozi wa nchi unashindwa kunyanyua mdomo ukamaliza ujui machafuko yanaazia ivi mdogo mdogo
@Mumewangu
2 күн бұрын
Anapeleka viongozi kwanza baadae kauli mwisho atatoa
@petro8010
2 күн бұрын
Yeye aendelee kukaa lkn kwa wenzetu tunaona
@birianination7097
2 күн бұрын
Viongozi wahusika wapo, wacha kazi iendele.
Ile kamati iliyoundwa na waziri mkuu iliyokuwa na huyu jamaa na Vunja bei ilikuja na ripoti gani? Iliishia wapi mbona hatukuwasikia tena?
Sasa ww mwenye kiti wa wafanya biashara alafu unalindwa na polisi wanini wakat hao ni jamaa zako na jana ulikuwa nao kwenye kikao😂
@Mumewangu
2 күн бұрын
Lazima manake watakuwepo na hasira
Kenya 🇰🇪 wanakiwasha tu haki lnaweza kutafutwa kwa Damu kunaviongozi Tz Hawata badilika adi kiwaswe ndani ya miaka 2 patanyooka tu
Magufuli angeshafika hapa tangia juzi
@Mumewangu
2 күн бұрын
Na yupo njiani anakuja msubiri tu
@petro8010
2 күн бұрын
Ni kweli JPM hakuwa mtu wa kudelay namna hii
@birianination7097
2 күн бұрын
@@petro8010 sio kudelay, ila hakuwa mtu wa mazungumzo, wote tunajua angesha teka hao viongozi wote
@salmanmagwe2612
2 күн бұрын
Magufuli asingekuja bali angeagiza wote wanyan'ganywe leseni au watiwe ndani,ila watanzania ukienda nao polepole hawakuelewi na mwisho wanaanza kugoma kama hivi
@samsonsimon3138
2 күн бұрын
@@birianination7097 ww ni ignorance kweli magufuli alikuwa anasikiliza kero za watu na kuzitatua mda huo usimlibikiziie màovu aliekuwa raisi wetu alikua anawapenda wananchi wake
Tuna bambikiwa Kodi 😢 alafu CIG anachukua mnachekelea 😢abali za kilofa
Kenya oyeeeeeee.mkeka umetiki
Siasa,znafurahisha kweli ila hapa ndy ubaya wake😊
Waleteni wakenya wasolve hili tatizo
@IbrahimIdrisa-tl6wm
2 күн бұрын
Wewe ndy umeongea point kiasi chake
Mama samia haoni kabisa kweli
@whatisthetruth.8793
2 күн бұрын
Hajui chocolate yule bibi , anaweza ni kusoma alicho andikiwa kwenye karatasi tuu
Kuna siku Tanzania itajaa kwenye mfumo #SAEL_STATE💝💝
Bi Samia ati mpak August 8th, wakati bos wake Magufuli lingetatuliwa kwa muda wa masaa mawili..Mama Samia mpaka aagize watu badala kuwaface w/biashara uso kwa uso. Mama Samia mmmh
Ndo wale wale tu kudadeki tutapigana kama kenya
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Hakikisha umeachia Ndugu zako pesa za kusafirisha mwili Kijijini kwenu, chezea Tanzania 😂😂
@yousuphnzira3209
2 күн бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362😂😂😂😂😂🎉😂
@yousuphnzira3209
2 күн бұрын
Hii nchi ina mifumo ya kipekee.
huyu afai kuwa kiongozi
Ah.karagosi huyo
Heshima iwe upande zote !!
Hakuna kulipa kodi
Atuna rais kwani mlikua amumuoni hayati magu apo mbona nikama siasa ndani yake mungu tusaidie😪😪🎎🙏
@user-mq4yq6rw1w
2 күн бұрын
No.
Government is a systemnmade by group of people to care the country or nation
ameshaingizwa kwenye mfumo pimbi uyoooo
Msaliti huyu katuuza
Good leader
Kwani Waziri wa Biasha yupo wappi?
eti Serikali ya mama Samia inazungumzika 😂😂😂
TRA Iondolewe serikali iweke mfumo ambao walipa kodi tutalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina na sio kupitia kwenye mikono ya vishoka TRA
Rais awemakini sana kwani haonikenyaa
Waziri ajiuzulu aheshimu watu
Tatizo nchi hii upigaji tu. Mama mnamwonea tu afanyeje? Sahizi Kariakoo vurugu tupu barabara zote zimefungwa watu wamepanga bidhaa barabarani ukiuliza eti ndo wapiga kura, huu ni ujinga ambao haupo duniani isipokuwa Tz. Tunakuwa kama hatuna sheria ni upuuzi tu. Inakera sana hadi mtu huelewi.
Ila hakuna siku wafanyabiashara watakuwa wakweli,hata ukiwapunguzia kodi bado tu watakwepa,ukijijengea hulka ya kulipa kodi ndio utakuwa na uzalendo na nchi yako
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Wahuni hao kuna wanaharakati wameingia Kati yao na wao kama manyunbu wanafunga biashara mtafilisika na Serikali mtaiacha inaendelea😂😂
@heaventv4668
2 күн бұрын
Nyoko@@darajalakidatukilomgi2362
@aminasittusaid3830
2 күн бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 halafu wengi walohojiwa wanalalamikia faini ya milioni 15 kama wasipotoa risiti kwa mteja. Kwa kuwa sababu ya faini wanaijua basi watowe risiti ili waepukane na hiyo faini ya 15m. Kutotoa risiti ni kukwepa kulipa kodi, sasa wanataka Rais awaruhusu wasilipe kodi au?🤔😇
Sijaelewa 😢
Tanzania niyetu hakuna kutishiana aje
Samia hawa watu sio wa kuwachekea hata kidogo wanaanza kukupanda kwenye kichwa fanya kama Magufuli angewaambia fanyeni biashara au mkatafute nchi ingine mkafanyie biashara, ndio maana enzi ya Magufuli kulikuwa hamna migomo nchi ilikuwa inatawalika watanzania wamezoea kuburutwa kama ng’ombe hawajazoea mazungumzo !
Wakenya wafundisheni watanganyika kudai haki wewe mwenye kiti kuongo halafu wewe usalama tu
Nchi inakopa mikopo kibao wawekezaji kibao sasa kodi haishuki mbona hivyo sasa maana tunataka na sisis tuanzishe vibiashara ebullient wekeni mambo sawasawa
Majibu ya kisiasa hayo mwenyekit
Kipindi cha magufuli mlikuwa kama sisimizi
Kimebaki kuandamana kama kenya kitawaka
Akuna unacho zema
Angekuwa harmonize angeenda kumisikiliza kero za watu wengi kwanini wasiwasikilize unakuta mtu mmoja anapewa sifa wee kiukweli hakuna aliye kamilika hapa duniani mama hapa anafeli nibola angelifanyia wepesi zaidi kuliko kukosa huduma Leo siku Tatu Sina mzigo dukani nawategemea waniulizie na mimi nikauze
wananchi wameshaona nchi sio yao tena. ni mpaka wapige magoti na kujigaragara kuomba haiki zao. nchi inaonenkana wanaofaidi ni wacheche sana ambao hao wamewekwa na wananchi sie..mbona viongozi kama wamefumbia macho matatizo ya watu? kesho wanaingia mtaania kuwaomba kura na kuwa danganya watu wa wtu. ni vibay sana🥲🥲🥲🥲🥲
Huyo jamaa kashalamba asali 😂😂
We mwenyekiti akili hazikutoshi .unaposema huko nyuma serikali ilikuwa huna uwezo wa KUFANYA majadiliano unawakosea watanzania . Huko nyuma manyanyaso hayakuwepo na majizi yalishika adabu.Acha woga kuwa imara na kwanini upigiwe simu na wenye nchi wasijitokeze kutoa kauli?
Naona huyu kiongozi 😢😢😢amekuwa mwanasiasa,hastahili kuwa m/kiti wa wafanyabiashara,huyo anafanya kampeni 😢😢😢,yeye anaiponda Serikali ya Hayati Magufuli!!?
Kiongozi mkubwa yupo bize na mambo yake ila ipo siku
Serikali ya nyuma kidogo meaning ya Magu alafu serikali ya mama samia imekubali kukaa kuongea... hahahahahaha jamani anampigia kura mama anamkandia magu... noma huyu amekaa kisiasa ili aendelee kukaa kwenye hicho kiti kuwasemea wafanyabiashara... nomaaa na naona kuna wafanyabiashara wamemuelewa ndo mana wameguna 😅
Mama hapa anawakati mgumu sana
Hapo umekosea au mbona watu wamekupgia kelele hakuna ambalo halizungumziki kaka
M nadhan wangetawanyika wasinsikilize tu
@Mumewangu
2 күн бұрын
Lazima wasikilize ili na wao wajenge hoja
Tuige mfano wa kemya hivi watanzania tutakuwa wema mpka lin lakin tunachezewa akili zetu oneni wenzetu kemya mswada haujapitishwa baada yakuchukua maamu magumu laki. Sisi kila siku tume tume ila watoto wetu wapo na wanaamka
Raisi uvundo uvundo na kunuka
Umemaliza kwa hekima😂
Viongozi wanafiki kama hawa hawafai .kujikombakomba wakati watu wanateseka
Sasa anaepata hasara ni Nani? Kwa kuwa serikali Ina vyanzo vingine vya kodi
Yan hpo ingekuwa hivi... hakuna kufunguwa duka!mbak system iwe imekamilika yna hakun kusubr.. mkigunguwa nao wanaemdelea kunyoosha miguu!
@mligogodfrey8882
2 күн бұрын
Njaa Haina baunsa kaka.
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
@@mligogodfrey8882😂😂😂😂 ndio wale anagoma kula mpaka abebelezwe wakati mji umejaa wenye njaa, jaribu tukuone anachekesha sana😂😂😂
Kwani kuja apo kunaumbali gani mpaka apige simu
Huyo Samia anajua nyinyi wajinga tuu ndio mana aji kuwasikiliza
Mwenyekiti wewe ni kuma tu
Manenono matupu bila maandishi hamna kitu hapo
Tz pako vibaya aiseee siku zinakauaja kitanuka tiumechoka aseee
Acha kujikomba hata luto ameinua mikono sembuse wazungu wa leli
watuachie inchi yetu wameshindwa kutuongoza basi.
Samia anaogopa nn si atamke yy kuwavimefutwa anatumilizia nm
Ningekua mfanya biashara ningekua nsharuka nae
Mama samia hatufai kabisa
@birianination7097
2 күн бұрын
Anakufa nani
Aongee nao live wananchi wamsikie kama kule kwa Makonda Arusha
Kuna ulazima gani wakuongea unaonyesha ishara ya dole gumba😂😂
bado haituingii akirini tunamtaka raisi mwwnyewe
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Ndio imeshatoka hiyo kama wewe jeuri funga biashara uone kama utaenda choo wakati unamsubiri Raisi aseme😂😂😂😂😂😂
Sasa wafungue tu>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Wanatuona mbumbu cc wananchi da kazi kwelkwel
Kwani raisi yupo wapi?
Nchi hi ngum Sana
Uko nyuma kulkuwa hakuna izo mambo 🎉
@birianination7097
2 күн бұрын
Mambo gani😂😂
Mwenzenu yuko bize analipa wasanii wamtungie nyimbo za promo ,mitano mbele..🎉🎉😂 rip uncle John Pombe yote haya uliyaona ndo maama ukasema tutakukumbuka
Kila siku nimaneno hayo hayo tumeshawazoea kwaivyo letu jambo
Mtu anaonyesha wazi kuwa ni mwongo!!!Huyo Mchaga bhana!!!!
Nimeamini pesa ni sabuni ya roho
Muongo uyo
Tunatoa kodi no maendeleo halafu report ya CAG BIOLIONS OF MONEY ZIMELIWA, WANAKOPA WANAKULA halafu mnapanfisha kodi mnavyojisikia
Saiv mama YENU amekalia mbali kabisa hataki aonekane kwamba anamakosa .. Wakati Sheria zinasema kwamba maswala yoyote yanayohusu Kodi na Tozo nimaswala yanayomuhusu rais kwasababu anapeleka bungeni bunge lenyewe ni ndio Bunge likipitisha mama YENU anasaini Sasa inakua Sheria rasmi ndiomnaanza kusakamwa na TRA na harmashauri halafu munawaona TRA wabay kumbe mama YENU ndio mbaya Kila mtu mama mama ma.a autafiri wote hapa hamna mama zenu
Uongo huo
Usitudanganye nihakiyetu kuusema ukweli kama hawatusikiliz tugome nchiinzima serekali ifanye kaz zake tuone sisi pya tuna haki nilazima tusikilizwe kwani tunafanya kaz ili tulipe kod tuu au na ss tunataka faida yatunachofanya nakama serekali nikandamiz kwanini tusiseme nakwanini wawena uwezo wakutupuuzia aukutusikiliza wala tusifundishane uwoga hapa
Kwani mpaka raisi apige simu,mbna ni swala la mkuu wa mkoa, yani hii nchi na Mambo ya kiki 😢
Mm sitaki comment kibaya naupenda ugali😢😢😢
bora huyu kaongea kiustaarab sio charamira sijui kasomea wap
Mzee kisha chimbwa biti kurudishwa kijijini kwao ⚰️ ndio maana kawa mpole😂
@obedkiswaga2790
2 күн бұрын
Kabisaa Kwa anavyoongea Tu kashachimbwa mkwara
MNAZINGUA WAFANYABIASHARA
CHAWA
@knight6757
2 күн бұрын
🤔🤣
Siasa hapoooo
Huyu mwenyekiti kachaguliwa na nani?
Bandari imesha uzwa sasa ata rekebisha kipi huyo ana wa danganya ana piga sim kivipi badala atoe tamko
Aje rais nyie do wajir wenu
Ni mpuuzi huyo akaangizwa na akaingiziwa ujinga kichwani mwake , magu alikuwa hapendi kuona maandamano ya vyama pizani tu ambayo hayana faida lakn migomo kma hii do alikua anawahi kuitatuq
Wewe ushawasalit wafanyabiashara mshamba ww Hadi unalindwa na police tz hovyo
Chagua kufungua au kutokufungua. Hii nchi bhana nimali ya Rais sisi wananchi ni takataka omba omba
Endeni kazini muache ujinga kwani hii ni mgomo wa aina gani??
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Kuiga iga mwisho wameishia aibu, fanyeni biashara Siasa waachieni wabunge majinga sana haya😂😂😂😂
Mbona mwenyekiti huendi paka mgomo utokee au hua husikilizwi
Kashabanwa huyooo
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Usicheze na Serikali ya Tanzania, Jana tu alikua anapayuka Leo kalowa kama paka aliyemwagiwa maji😂😂😂😂
Tatizo la kuwa raisi tundu choo , kutoa gharufu mbovu tuu
Huyu kiongozi pia wa kubadilisha
@darajalakidatukilomgi2362
2 күн бұрын
Keshawageuka, acheni ujinga fungueni biashara mtakufa njaa😂😂😂