Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
SOMETHING SPECIAL
Ms Rita Sundi Paulsen Hans ni mtu muhimu kwangu na kwa mamia kama pengine si maelfu ya wenzangu hapa nyumbani Tanzania. Yeye ni Mama kwanza, Dada kwa wengine, Aunt poa sana kwa kina Malik na Jamal, Bosi ya Mboka kwa Salama na wenzie lakini kubwa kabisa ni MJASIRIAMALI, jambo ambalo amekua akilisimamia lile analo liamini kwa miaka zaidi ya 30 sasa. Rita au Madam Rita alianza kufanya kazi toka alipokua na miaka yake ya mwanzo kabisa ya 20.
Mtoto kutoka kwenye familia ya kitajiri maana Marehemu Mzee Paulsen hakua mnyonge. Baba Mjerumani na Mama Mwenye asili ya kisukuma, kirudi na mchanganyiko wa makabila mengine kadhaa ambayo atatuambia humu ndani. Amekulia kwenye mitihani mingi mara baada ya Baba yake kufariki wakati yeye ana miaka 12 tu. Kutoka kwenye mazoea ya maisha ya kishua mpaka kupata mimba akiwa na umri mdogo na hilo kumlazimisha yeye kuondoka nyumbani akiwa na umri mdogo ndo mi naamini lililomfanya awe CHUMA mpaka leo. Naamini vile wanavyosema kila mtu na njia zake. Kila kitu kinachotokea kwenye maisha yetu kina sababu yake. Yeye kufariki kwa Baba yake ndo kulipelekea kupita KOTE alipopita. Shida na mitihani wakati mwengine huja kwa baraka tele, BARAKA ambazo mpaka leo hii ambayo mimi naandika waraka huu kwa majivuno mengi juu yake. Kweli kila kitu hutokea kwa sababu ili kitu kengine kizuri zaidi kiweze kukufuata ulipo.
Mimi na yeye tulifahamiana kwaajili ya kazi, nadhani wengi wanaijua hiyo khadhithi, ila kama hufahamu mimi na yeye makutano yetu ya kwanza yalikua ya kunipa kazi ya ku host Kili Music Awards ila hiyo kazi ilikuja baada ya pinduapindua nyingi alizo zifanya pale EATV baada ya siku moja mimi kuisema vibaya moja ya video ambazo kampuni yake ya Benchmark ilizitengeneza. Ilikua mtihani haswa baada ya kuskia naitwa tena ofisini kwake? Haya jengine lipi tena? Kumbe round hii ilikua kwa Neema sana, ila Bahati mbaya hiyo kazi wala sikuipata maana na watu wa Kili nao walinikataa kwasababu huko nyuma pia niliwasemea tuzo zao ambazo ki ukweli zilikua za kiwango CHA CHINI MNO considering hela ambazo wanazo wao kama KAMPUNI, kwa kweli lile halikua linapaswa kunyamaziwa.
Basi, peleka mbele mwaka mmoja au miwili baada ya hiyo incident akaniita tena kwaajili ya kazi ya Bongo Star Search sasa, na hii nyengine skia, nilipoitwa sikujua kama yeye ananitaka mimi kama Judge, mawazo yangu yalidhani anataka MTANGAZAJI wa shindano hilo, kumbe yeye alikua na BETTER idea, kama wazungu wanavyosema, the rest is history.
Rita ameniona mimi nakua mbele ya macho yake, nami pia nimeona transformation ya maisha yake kama Mama na Dada. Mengi amepitia ya hadharani na kwas siri, ninayo yajua na nisiyo yajua, ila ambalo nina uhakika nalo ni JINSI AMBAVYO MIMI NAJIVUNIA YEYE, kwa mishale yote ALOIKWEPA na kuendelea KUSIMAMA IMARA, Rita Paulsen Hans ni SHUJAA NA NUSU.
Mengi ameyaongea humu, ambayo ningependa uyaskie MWENYEWE bila ya mimi kudokoa lolote, hakuna chumvi wala sukari ilozidishwa humu ili ‘picha ipendeze’, badala yake ni simulizi nyundo ambazo kama kawaida zitakufanya ujifunze mambo mengi na pia kuangalia baadhi ya vitu kwa jicho jengine.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 158
Maan, Salama is just too good. The ability to switch the questions based on a shift of emotions is top notch. Salama is the best interviewer in Tz, and it's not even close.
MADAM 💕😘 Ila interview imekuwa fupi jamani, Salama tunamtaka tena Madam, hatujatosheka 😍
NAWAPENDA SANA NYIE WANAWAKE MUNGU AWABARIKI SANA 🙏🙏🙏💞💞💞
@issrahayattv1356
2 жыл бұрын
Hi 👋 spread love this side
Nimempenda sanaa Madam Ritha...ni mkweli na anaroho ya kizungu sanaa.
Watu wazuri usoni ila nimejifunza wanamaumivu Makali Sana moyoni.
@susancharles1660
Жыл бұрын
Sana sikutegemea amepitia yote haya.
@juliananasari2526
4 ай бұрын
Yah
@ashminaabdulla8946
3 ай бұрын
Ndiyo Dunia
@nigananurunjema
2 ай бұрын
Maumivu ya watu hayakó machoni.
@wennybarny168
2 ай бұрын
SAAAANAAAA
Such an inspiration... I love you so much madam Rita.
That switch😍😍😍🙌🙌🙌.... Love u madam Rita &Salama.
Basi kwa kwa umelia. It is good to burn your eyes. Lakini ni kwambie kitu, umewaponya wengi Leo. Mungu awabariki
Kazi nzuri sana Salama Na....Ni bonge la interview. Pamoja na ufundi wa namna ya maswali. Inavutia kusikiliza. Pongezi kwenu nyote.
Madame Rita she is a very grateful woman,this interview is so emotional
I cried all along with madam Rita. Very sad childhood, but as u say madam, it eventually made who u r today. Mola kweli kajua vipi kukufuta machozi. As for u Salama u r simply an amazing interviewer.
Salama najua unajua your the best but nakukumbusha your the best of the best 👍
Highest achievement ni watoto and I love that she is strong lol
Habo kwa Walter chilambo njo nime penda, ila uyu dada ninavio mzimia Mungu mwenyewe ana juwa, Madame you're such a inspiration to me ♥️👏🏾
So good Madam Rita Wewe. MZURI Sana Tumejifunza mengi
Salama you're a super talented interviewer,you know exactly when to step and to release the gas peddle😁 and That Madame Rita is a natural born figher. May God bless you all for wonderful work that you do. Keep up the good work👊🎤
@sylviaoum2943
2 жыл бұрын
😍😍😍👏👏
What an interview, am so much moved by it!
Nimeangalia vipindi vingi sana vya "salama na" am very excited with Madam Rita Story i even wish to see her someday and share more on her story she is extraordinary super woman fikisha salam zangu kwake
Am so greatful and bigg fan of SALAMA NA.... not only for being entertained but I learn alot about life. I never thought if behind madame Rita there were a lady who struggle in an exceptional way... you cure my pain by desolving my past and starting fresh as the new King.
😥😥 I can feel madam's pain 😞😞, it's well madam. RIP Mengi uwiii
Nakuelewa sana madam Ritha coz nimepitia hao naelewa sana
SO LOVELY INSPIRING esp single mothers
A very touching story mirroring almost exactly what I went through, except I am of a different gender! Bless her for revealing her life struggles.
Asante sana Salama, Asante Rita, Mbarikiwe sana.
Heshima sana da Rita kwasababu mimi nilifanya Kazi nyingi na kampuni yako ya Benchmark. Ubarikiwe sis❤
Salama you made it wonderful again.Her life is so inspiring.But I like also the signature at the end😍
Kweli kujikwaaa sio kuanguka I never had this before .penda huyo Dada sana
What an interview.. Salama ujua sanaaa
Mtu mzuri sana huyu mama na mzuri sana pia wa sura ( very beautful madam
I love people who appreciate their life journey and understand what it means to lack. I hope Mengi's kids will learn from this much love Madam Rita.
This is the best interview I’ve ever had.Salama tunaomba tena salama we have a lot to learn from her 😊
Pole sana madam Ritha, Sijui sana kuhusu wewe lakini na furahi sana kwa Maisha yako ambayo Yanamafundisho makubwa na Muhimu sana. Wewe ni Mwanamke Mvumilivu na Mnyenyekevu na usiyeweka vitu rohoni kwa chuki. Umewasaidia wengi na utaendelea kuwasaidia wengi maana huu ni wito kwako na wewe ni Baraka.
Tunaomba Salama na Mr Nice
Pole sana Ritha. Mungu akusimamie
Madam Rita nina mwengi ya kukueleza. Watu wengi wananifananisha nawe na wengine wananiambia mie ni ndugu yako ila siku nikukutana nawe nitakuambia mengi.ingiwa kuna siku moja nilikuona peacock hotel na siku nyingine nilikuona southern hotel ila haikuwa raisi kuongea nawe. Ila kuna jouney unayopitia same to me
@NataliaKenny-vb6os
2 ай бұрын
Naomba majina ako nikuangalie🎉
@bahatiapollo4892
Ай бұрын
Em nikuone
Aise salama I love what you do keep it up
So lovely
you are a really inspirational figure
I love madam Rita. Nice interview
Aisee interview nzuri sana
Nampenda sana jinsi alivyo kisha ana rohonzuri mno hata kwenye bongo star search
What an interview salama it is so strong
Nampenda sana Madam Ritta nikimuona
Salama umetoa macho madam anavyo lia ujue umetonesha kidonda.🥰 Nawapenda wote
So lovely, Interview imekuwa short sana
I like your outfit SALAMA It's very DOPE
This was a nice interview so far. Seems Ritha was so so beautiful at her younger ages. No man could dare to walk out of her!
You have a golden heart madam Lita. God bless you❤
Nakupenda sana Dada rita una moyo kama wa mtoto, nakupenda
Real Walter Chilambo is a talented person. That's how Ngoni people we are.
Hajui kumdharau mtu .kwenye bongo star alikua hampond mtu kila mshiriki alikua anamsifia kua amefanya vizuri hata kama anajua hajashinda.mama wa ajabu sana mtu mzuri sana huyu jamani.na very very beautful woman
Good switch Salama...I love U🥰
Hongera sana madam Rita kwa story yako 😢
Good interview Salama, your among top interviewer
Madam Ritha you are impeccable, and thanks for sharing.
Wachagga tunajua ku care alooo hapo kwa MZEE WETU MENGI umemtendea haki aseee hope amejigeuza alipo
@CatherineKaria-fk7fq
3 ай бұрын
😂😂😂ilaaa
Tunaomba madam aludi tena
I love madame ritha
interview was 👍👌🥰👏 🙌🇨🇭🇹🇿
Basi hayo mahojiano mgeyafanya kwa kiingereza maana yake kiingereza kingi sana vipi we Salama mwambie Rita hatupo UK topo TZ 😊😊
@josephmihayo6236
2 ай бұрын
Ndio hasara ya kutokusoma. Jiunge na Ras Simba umuelewe Madam Ritta.
@seifseifmohamed7118
2 ай бұрын
Ilitaka tujifunze mengi kutoka kwake yeye Madam Ritta. Sasa jielimishe akili yako ivuke kwenye dari ya unapopo lala ifike japo hewani
Interview ilikua kali akn madam kazidisha kizungu jamn mpaka atujelewa
huwa nakupenda sana Ritha mpambanaji wa kweli
More madam Rita. Pls
Daaah!! Madam umekula Raha zote za dunia.. Hopefully na Mimi one day yes!!😂
Malkia wa nguvu kwangu❤❤❤❤
How come she says she has seen everything good when she has never seen my smile!?
@jocelyneinarukundo3655
2 жыл бұрын
🤭🤣🤣🤣
@rahmashomari1048
3 ай бұрын
We nawe😂
@kilinakoshengelo2944
3 ай бұрын
@@rahmashomari1048 Naam
Nawashuru sana , Salama Na Mme Rita
@annahkiza6362
2 жыл бұрын
Nawashukuru
Madam Ritha nakupenda sana
🔥🔥
Inazuma saanna Dada Rita pole imepita. Now look your future Iyo Ina tokeya Kwa wengi Ina nigusa piya
You are so beautiful that's why they took advantage of you... but you are blessed
Salama mwambie Ritha aongee kiswahili.
Lady u got some history
Salama was so emotional compered to Madam. Great talk so far by the way🥂
@freduallughano2301
2 ай бұрын
That is yoyr altitute but others we saw Ritha was more emotional than Salama but this comes when you are neutral in your mindset.
She still beautiful 😍
Rest on peace baba Mengi
You too amazing salama...love the way you interview
It was just so emotional, you might wish to pass through what Madam passed through maybe utaweza fika where she is, then slap yoself and say LEARN baby, that's for you to learn.
Salama umempoya huyo Dada pia. Katoa siri nimewapenda
Maisha ya mwanadamu anayajua Mungu mwenyewe
God allowed it so that you would be strong from it and also you would teach others. Many of us were teen mothers by default and though we suffered but God gave us a resolve in life and God has blessed us with gifts that we use to mentor others! Beauty has cost us but we God has turned what they meant for ill to be a blessings! Be grateful!
RIP Mr Mengi💔
Sis❤️ ..Great of all time ..the real GOAT
❤❤❤❤❤❤
Tunaomba madam Rita aongee kiswahili zaidi maana wengi hatuelewi
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
Wakati wenzako tunasoma wewe unacheza kibao kata .ukome😀
@happyhousekeeper
Жыл бұрын
@@masalakulwa7601 hahaha wewe, kibao nini, 😄😄😄
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
@@happyhousekeeper kibao kataaaa🤣
@happyhousekeeper
Жыл бұрын
@@masalakulwa7601 hahaha 😂😂 haki Mungu
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@masalakulwa7601 🤣🤣
Rest in peace Mengi
Mungu akutunze. Nimejifunza mengi sana. Salama uko vizuri sana. Urafiki wenu udumu milele.
Yaani jaqcline mengi na maadam ritha walikuwa marafiki Sanaa Cha ajabi jaqcline akamgeuka maadam ritha Ila Mungu atamlipa
Vichwa viwili vimekutana
😭😭😭😭💜
Mnaharibu kipindi kwa huu uzungu wenu
Madam angekuwa mwingine asingeeleza umuhim wa Mzee Mengi
Dah feel sorry for u lov 😪
Nice, tuletee... K.rin
@josephlorri431
3 ай бұрын
K-lyn, the gold digger... alimtegeshea mzee mimba,ndo chanzo cha mateso yote ya Dr Mengi hadi kifo..
Salma Litta ni mtoto wa kishuwa acha mchezo alisoma Uganda kwamyaka ile ilikuwa ngumu sana kwanza Owens’s inker kusoma
Hata kasian anaimba gospel madam
Rita now I know you, I think I love you
Kingereza kingi sema na ww ila pole kwa kufiwa na #MENGI kumbe ilikuwa unampenda R.I.P #R_MENGI Sema we Ritha ni mzuri ila ndo hivyo unapenda kudate na madingi bila hivyo ningekupigia misele Mana nakuelewaga Sana we ni msupa mazee
@venanciapeter8059
Жыл бұрын
Shame on you
Salama this is my best show ever ever
😢😢❤❤❤🎉🎉🎉