Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
SOMETHING SPECIAL
Ms Rita Sundi Paulsen Hans ni mtu muhimu kwangu na kwa mamia kama pengine si maelfu ya wenzangu hapa nyumbani Tanzania. Yeye ni Mama kwanza, Dada kwa wengine, Aunt poa sana kwa kina Malik na Jamal, Bosi ya Mboka kwa Salama na wenzie lakini kubwa kabisa ni MJASIRIAMALI, jambo ambalo amekua akilisimamia lile analo liamini kwa miaka zaidi ya 30 sasa. Rita au Madam Rita alianza kufanya kazi toka alipokua na miaka yake ya mwanzo kabisa ya 20.
Mtoto kutoka kwenye familia ya kitajiri maana Marehemu Mzee Paulsen hakua mnyonge. Baba Mjerumani na Mama Mwenye asili ya kisukuma, kirudi na mchanganyiko wa makabila mengine kadhaa ambayo atatuambia humu ndani. Amekulia kwenye mitihani mingi mara baada ya Baba yake kufariki wakati yeye ana miaka 12 tu. Kutoka kwenye mazoea ya maisha ya kishua mpaka kupata mimba akiwa na umri mdogo na hilo kumlazimisha yeye kuondoka nyumbani akiwa na umri mdogo ndo mi naamini lililomfanya awe CHUMA mpaka leo. Naamini vile wanavyosema kila mtu na njia zake. Kila kitu kinachotokea kwenye maisha yetu kina sababu yake. Yeye kufariki kwa Baba yake ndo kulipelekea kupita KOTE alipopita. Shida na mitihani wakati mwengine huja kwa baraka tele, BARAKA ambazo mpaka leo hii ambayo mimi naandika waraka huu kwa majivuno mengi juu yake. Kweli kila kitu hutokea kwa sababu ili kitu kengine kizuri zaidi kiweze kukufuata ulipo.
Mimi na yeye tulifahamiana kwaajili ya kazi, nadhani wengi wanaijua hiyo khadhithi, ila kama hufahamu mimi na yeye makutano yetu ya kwanza yalikua ya kunipa kazi ya ku host Kili Music Awards ila hiyo kazi ilikuja baada ya pinduapindua nyingi alizo zifanya pale EATV baada ya siku moja mimi kuisema vibaya moja ya video ambazo kampuni yake ya Benchmark ilizitengeneza. Ilikua mtihani haswa baada ya kuskia naitwa tena ofisini kwake? Haya jengine lipi tena? Kumbe round hii ilikua kwa Neema sana, ila Bahati mbaya hiyo kazi wala sikuipata maana na watu wa Kili nao walinikataa kwasababu huko nyuma pia niliwasemea tuzo zao ambazo ki ukweli zilikua za kiwango CHA CHINI MNO considering hela ambazo wanazo wao kama KAMPUNI, kwa kweli lile halikua linapaswa kunyamaziwa.
Basi, peleka mbele mwaka mmoja au miwili baada ya hiyo incident akaniita tena kwaajili ya kazi ya Bongo Star Search sasa, na hii nyengine skia, nilipoitwa sikujua kama yeye ananitaka mimi kama Judge, mawazo yangu yalidhani anataka MTANGAZAJI wa shindano hilo, kumbe yeye alikua na BETTER idea, kama wazungu wanavyosema, the rest is history.
Rita ameniona mimi nakua mbele ya macho yake, nami pia nimeona transformation ya maisha yake kama Mama na Dada. Mengi amepitia ya hadharani na kwas siri, ninayo yajua na nisiyo yajua, ila ambalo nina uhakika nalo ni JINSI AMBAVYO MIMI NAJIVUNIA YEYE, kwa mishale yote ALOIKWEPA na kuendelea KUSIMAMA IMARA, Rita Paulsen Hans ni SHUJAA NA NUSU.
Mengi ameyaongea humu, ambayo ningependa uyaskie MWENYEWE bila ya mimi kudokoa lolote, hakuna chumvi wala sukari ilozidishwa humu ili ‘picha ipendeze’, badala yake ni simulizi nyundo ambazo kama kawaida zitakufanya ujifunze mambo mengi na pia kuangalia baadhi ya vitu kwa jicho jengine.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 158

  • @zedekiasamara1783
    @zedekiasamara17832 жыл бұрын

    Maan, Salama is just too good. The ability to switch the questions based on a shift of emotions is top notch. Salama is the best interviewer in Tz, and it's not even close.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    MADAM 💕😘 Ila interview imekuwa fupi jamani, Salama tunamtaka tena Madam, hatujatosheka 😍

  • @jessicamagoke6800
    @jessicamagoke68002 жыл бұрын

    NAWAPENDA SANA NYIE WANAWAKE MUNGU AWABARIKI SANA 🙏🙏🙏💞💞💞

  • @issrahayattv1356

    @issrahayattv1356

    2 жыл бұрын

    Hi 👋 spread love this side

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu5442 жыл бұрын

    Nimempenda sanaa Madam Ritha...ni mkweli na anaroho ya kizungu sanaa.

  • @masturaabdul1007
    @masturaabdul10072 жыл бұрын

    Watu wazuri usoni ila nimejifunza wanamaumivu Makali Sana moyoni.

  • @susancharles1660

    @susancharles1660

    Жыл бұрын

    Sana sikutegemea amepitia yote haya.

  • @juliananasari2526

    @juliananasari2526

    4 ай бұрын

    Yah

  • @ashminaabdulla8946

    @ashminaabdulla8946

    3 ай бұрын

    Ndiyo Dunia

  • @nigananurunjema

    @nigananurunjema

    2 ай бұрын

    Maumivu ya watu hayakó machoni.

  • @wennybarny168

    @wennybarny168

    2 ай бұрын

    SAAAANAAAA

  • @maryshirima1234
    @maryshirima12342 жыл бұрын

    Such an inspiration... I love you so much madam Rita.

  • @sylviaoum2943
    @sylviaoum29432 жыл бұрын

    That switch😍😍😍🙌🙌🙌.... Love u madam Rita &Salama.

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ugАй бұрын

    Basi kwa kwa umelia. It is good to burn your eyes. Lakini ni kwambie kitu, umewaponya wengi Leo. Mungu awabariki

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw2 ай бұрын

    Kazi nzuri sana Salama Na....Ni bonge la interview. Pamoja na ufundi wa namna ya maswali. Inavutia kusikiliza. Pongezi kwenu nyote.

  • @happymahega2000
    @happymahega20009 ай бұрын

    Madame Rita she is a very grateful woman,this interview is so emotional

  • @sistersade9039
    @sistersade90392 жыл бұрын

    I cried all along with madam Rita. Very sad childhood, but as u say madam, it eventually made who u r today. Mola kweli kajua vipi kukufuta machozi. As for u Salama u r simply an amazing interviewer.

  • @susannesusie3217
    @susannesusie32172 жыл бұрын

    Salama najua unajua your the best but nakukumbusha your the best of the best 👍

  • @elizabethmollely3940
    @elizabethmollely39402 жыл бұрын

    Highest achievement ni watoto and I love that she is strong lol

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu25092 жыл бұрын

    Habo kwa Walter chilambo njo nime penda, ila uyu dada ninavio mzimia Mungu mwenyewe ana juwa, Madame you're such a inspiration to me ♥️👏🏾

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r2 ай бұрын

    So good Madam Rita Wewe. MZURI Sana Tumejifunza mengi

  • @LilacAlm
    @LilacAlm2 жыл бұрын

    Salama you're a super talented interviewer,you know exactly when to step and to release the gas peddle😁 and That Madame Rita is a natural born figher. May God bless you all for wonderful work that you do. Keep up the good work👊🎤

  • @sylviaoum2943

    @sylviaoum2943

    2 жыл бұрын

    😍😍😍👏👏

  • @kelvinbanoth3013
    @kelvinbanoth30132 жыл бұрын

    What an interview, am so much moved by it!

  • @gwajeemmanuel4137
    @gwajeemmanuel4137 Жыл бұрын

    Nimeangalia vipindi vingi sana vya "salama na" am very excited with Madam Rita Story i even wish to see her someday and share more on her story she is extraordinary super woman fikisha salam zangu kwake

  • @saimonmwambilike2191
    @saimonmwambilike21912 жыл бұрын

    Am so greatful and bigg fan of SALAMA NA.... not only for being entertained but I learn alot about life. I never thought if behind madame Rita there were a lady who struggle in an exceptional way... you cure my pain by desolving my past and starting fresh as the new King.

  • @happyhousekeeper
    @happyhousekeeper Жыл бұрын

    😥😥 I can feel madam's pain 😞😞, it's well madam. RIP Mengi uwiii

  • @nadiashabani575
    @nadiashabani5752 ай бұрын

    Nakuelewa sana madam Ritha coz nimepitia hao naelewa sana

  • @winnieevarest3634
    @winnieevarest36342 жыл бұрын

    SO LOVELY INSPIRING esp single mothers

  • @Mariahhymatia
    @Mariahhymatia2 ай бұрын

    A very touching story mirroring almost exactly what I went through, except I am of a different gender! Bless her for revealing her life struggles.

  • @ellybrown5989
    @ellybrown59893 ай бұрын

    Asante sana Salama, Asante Rita, Mbarikiwe sana.

  • @yusuphmligiliche8353
    @yusuphmligiliche83532 ай бұрын

    Heshima sana da Rita kwasababu mimi nilifanya Kazi nyingi na kampuni yako ya Benchmark. Ubarikiwe sis❤

  • @abuuswahili
    @abuuswahili2 жыл бұрын

    Salama you made it wonderful again.Her life is so inspiring.But I like also the signature at the end😍

  • @roseamos9930
    @roseamos99302 жыл бұрын

    Kweli kujikwaaa sio kuanguka I never had this before .penda huyo Dada sana

  • @asimwemukoyogo7325
    @asimwemukoyogo7325 Жыл бұрын

    What an interview.. Salama ujua sanaaa

  • @hatujuanisalum9354
    @hatujuanisalum93542 ай бұрын

    Mtu mzuri sana huyu mama na mzuri sana pia wa sura ( very beautful madam

  • @missm729
    @missm72924 күн бұрын

    I love people who appreciate their life journey and understand what it means to lack. I hope Mengi's kids will learn from this much love Madam Rita.

  • @evelinekivuyo9713
    @evelinekivuyo9713 Жыл бұрын

    This is the best interview I’ve ever had.Salama tunaomba tena salama we have a lot to learn from her 😊

  • @danielmsuya720
    @danielmsuya720 Жыл бұрын

    Pole sana madam Ritha, Sijui sana kuhusu wewe lakini na furahi sana kwa Maisha yako ambayo Yanamafundisho makubwa na Muhimu sana. Wewe ni Mwanamke Mvumilivu na Mnyenyekevu na usiyeweka vitu rohoni kwa chuki. Umewasaidia wengi na utaendelea kuwasaidia wengi maana huu ni wito kwako na wewe ni Baraka.

  • @edwinmbugua7738
    @edwinmbugua77382 жыл бұрын

    Tunaomba Salama na Mr Nice

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael18464 ай бұрын

    Pole sana Ritha. Mungu akusimamie

  • @NeemaSwai-sl3fh
    @NeemaSwai-sl3fh2 ай бұрын

    Madam Rita nina mwengi ya kukueleza. Watu wengi wananifananisha nawe na wengine wananiambia mie ni ndugu yako ila siku nikukutana nawe nitakuambia mengi.ingiwa kuna siku moja nilikuona peacock hotel na siku nyingine nilikuona southern hotel ila haikuwa raisi kuongea nawe. Ila kuna jouney unayopitia same to me

  • @NataliaKenny-vb6os

    @NataliaKenny-vb6os

    2 ай бұрын

    Naomba majina ako nikuangalie🎉

  • @bahatiapollo4892

    @bahatiapollo4892

    Ай бұрын

    Em nikuone

  • @magesalugwesa4449
    @magesalugwesa44492 жыл бұрын

    Aise salama I love what you do keep it up

  • @viviannjoki9989
    @viviannjoki99892 жыл бұрын

    So lovely

  • @mosessarya2174
    @mosessarya21742 жыл бұрын

    you are a really inspirational figure

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707
    @medicalphysicsbiomedicalen1707 Жыл бұрын

    I love madam Rita. Nice interview

  • @montanaprime
    @montanaprime2 жыл бұрын

    Aisee interview nzuri sana

  • @hatujuanisalum9354
    @hatujuanisalum93542 ай бұрын

    Nampenda sana jinsi alivyo kisha ana rohonzuri mno hata kwenye bongo star search

  • @benny5424
    @benny54242 жыл бұрын

    What an interview salama it is so strong

  • @jescarobertkiswaga1580
    @jescarobertkiswaga158020 күн бұрын

    Nampenda sana Madam Ritta nikimuona

  • @zaipazzi9490
    @zaipazzi94902 жыл бұрын

    Salama umetoa macho madam anavyo lia ujue umetonesha kidonda.🥰 Nawapenda wote

  • @vandexan1330
    @vandexan13302 жыл бұрын

    So lovely, Interview imekuwa short sana

  • @googleus4903
    @googleus49032 жыл бұрын

    I like your outfit SALAMA It's very DOPE

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo62362 ай бұрын

    This was a nice interview so far. Seems Ritha was so so beautiful at her younger ages. No man could dare to walk out of her!

  • @BlandinaKahuru-ur5el
    @BlandinaKahuru-ur5el3 ай бұрын

    You have a golden heart madam Lita. God bless you❤

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf2 ай бұрын

    Nakupenda sana Dada rita una moyo kama wa mtoto, nakupenda

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema2 ай бұрын

    Real Walter Chilambo is a talented person. That's how Ngoni people we are.

  • @hatujuanisalum9354
    @hatujuanisalum93542 ай бұрын

    Hajui kumdharau mtu .kwenye bongo star alikua hampond mtu kila mshiriki alikua anamsifia kua amefanya vizuri hata kama anajua hajashinda.mama wa ajabu sana mtu mzuri sana huyu jamani.na very very beautful woman

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda60392 жыл бұрын

    Good switch Salama...I love U🥰

  • @user-it6po1le3v
    @user-it6po1le3v5 ай бұрын

    Hongera sana madam Rita kwa story yako 😢

  • @joramelishamghwira2425
    @joramelishamghwira24252 жыл бұрын

    Good interview Salama, your among top interviewer

  • @mosesallanadam1955
    @mosesallanadam19552 ай бұрын

    Madam Ritha you are impeccable, and thanks for sharing.

  • @davisminja3742
    @davisminja3742 Жыл бұрын

    Wachagga tunajua ku care alooo hapo kwa MZEE WETU MENGI umemtendea haki aseee hope amejigeuza alipo

  • @CatherineKaria-fk7fq

    @CatherineKaria-fk7fq

    3 ай бұрын

    😂😂😂ilaaa

  • @veronikabaraka3315
    @veronikabaraka3315 Жыл бұрын

    Tunaomba madam aludi tena

  • @neemaalbert2731
    @neemaalbert27312 жыл бұрын

    I love madame ritha

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo832 жыл бұрын

    interview was 👍👌🥰👏 🙌🇨🇭🇹🇿

  • @idrissansereko6403
    @idrissansereko64033 ай бұрын

    Basi hayo mahojiano mgeyafanya kwa kiingereza maana yake kiingereza kingi sana vipi we Salama mwambie Rita hatupo UK topo TZ 😊😊

  • @josephmihayo6236

    @josephmihayo6236

    2 ай бұрын

    Ndio hasara ya kutokusoma. Jiunge na Ras Simba umuelewe Madam Ritta.

  • @seifseifmohamed7118

    @seifseifmohamed7118

    2 ай бұрын

    Ilitaka tujifunze mengi kutoka kwake yeye Madam Ritta. Sasa jielimishe akili yako ivuke kwenye dari ya unapopo lala ifike japo hewani

  • @ngoshachaula172
    @ngoshachaula1722 жыл бұрын

    Interview ilikua kali akn madam kazidisha kizungu jamn mpaka atujelewa

  • @joiana4663
    @joiana46634 ай бұрын

    huwa nakupenda sana Ritha mpambanaji wa kweli

  • @brendachibura6040
    @brendachibura60402 жыл бұрын

    More madam Rita. Pls

  • @angelberthakatundu9475
    @angelberthakatundu94752 жыл бұрын

    Daaah!! Madam umekula Raha zote za dunia.. Hopefully na Mimi one day yes!!😂

  • @user-kh8tr8xh4v
    @user-kh8tr8xh4v3 ай бұрын

    Malkia wa nguvu kwangu❤❤❤❤

  • @kilinakoshengelo2944
    @kilinakoshengelo29442 жыл бұрын

    How come she says she has seen everything good when she has never seen my smile!?

  • @jocelyneinarukundo3655

    @jocelyneinarukundo3655

    2 жыл бұрын

    🤭🤣🤣🤣

  • @rahmashomari1048

    @rahmashomari1048

    3 ай бұрын

    We nawe😂

  • @kilinakoshengelo2944

    @kilinakoshengelo2944

    3 ай бұрын

    @@rahmashomari1048 Naam

  • @annahkiza6362
    @annahkiza63622 жыл бұрын

    Nawashuru sana , Salama Na Mme Rita

  • @annahkiza6362

    @annahkiza6362

    2 жыл бұрын

    Nawashukuru

  • @juliananasari2526
    @juliananasari25264 ай бұрын

    Madam Ritha nakupenda sana

  • @rabanfungo2408
    @rabanfungo24082 жыл бұрын

    🔥🔥

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r2 ай бұрын

    Inazuma saanna Dada Rita pole imepita. Now look your future Iyo Ina tokeya Kwa wengi Ina nigusa piya

  • @annettelyimo5239
    @annettelyimo52393 ай бұрын

    You are so beautiful that's why they took advantage of you... but you are blessed

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu5442 жыл бұрын

    Salama mwambie Ritha aongee kiswahili.

  • @driquesmariques9794
    @driquesmariques9794 Жыл бұрын

    Lady u got some history

  • @wanzakleruu8648
    @wanzakleruu86482 жыл бұрын

    Salama was so emotional compered to Madam. Great talk so far by the way🥂

  • @freduallughano2301

    @freduallughano2301

    2 ай бұрын

    That is yoyr altitute but others we saw Ritha was more emotional than Salama but this comes when you are neutral in your mindset.

  • @susancharles1660
    @susancharles1660 Жыл бұрын

    She still beautiful 😍

  • @neemaalbert2731
    @neemaalbert27312 жыл бұрын

    Rest on peace baba Mengi

  • @mwanamfinanga8262
    @mwanamfinanga82622 жыл бұрын

    You too amazing salama...love the way you interview

  • @glowingspirit606
    @glowingspirit6062 жыл бұрын

    It was just so emotional, you might wish to pass through what Madam passed through maybe utaweza fika where she is, then slap yoself and say LEARN baby, that's for you to learn.

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ugАй бұрын

    Salama umempoya huyo Dada pia. Katoa siri nimewapenda

  • @kadoaugust6497
    @kadoaugust64972 ай бұрын

    Maisha ya mwanadamu anayajua Mungu mwenyewe

  • @jayzeem14
    @jayzeem142 ай бұрын

    God allowed it so that you would be strong from it and also you would teach others. Many of us were teen mothers by default and though we suffered but God gave us a resolve in life and God has blessed us with gifts that we use to mentor others! Beauty has cost us but we God has turned what they meant for ill to be a blessings! Be grateful!

  • @annahkiza6362
    @annahkiza63622 жыл бұрын

    RIP Mr Mengi💔

  • @godfreybayyo8079
    @godfreybayyo80792 жыл бұрын

    Sis❤️ ..Great of all time ..the real GOAT

  • @arnesyaurio6346
    @arnesyaurio63462 жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @sarahsarahgilla8491
    @sarahsarahgilla84912 жыл бұрын

    Tunaomba madam Rita aongee kiswahili zaidi maana wengi hatuelewi

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    2 жыл бұрын

    Wakati wenzako tunasoma wewe unacheza kibao kata .ukome😀

  • @happyhousekeeper

    @happyhousekeeper

    Жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 hahaha wewe, kibao nini, 😄😄😄

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    Жыл бұрын

    @@happyhousekeeper kibao kataaaa🤣

  • @happyhousekeeper

    @happyhousekeeper

    Жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 hahaha 😂😂 haki Mungu

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 🤣🤣

  • @susannesusie3217
    @susannesusie32172 жыл бұрын

    Rest in peace Mengi

  • @mashipeter4819
    @mashipeter48194 ай бұрын

    Mungu akutunze. Nimejifunza mengi sana. Salama uko vizuri sana. Urafiki wenu udumu milele.

  • @annamakomele339
    @annamakomele3395 ай бұрын

    Yaani jaqcline mengi na maadam ritha walikuwa marafiki Sanaa Cha ajabi jaqcline akamgeuka maadam ritha Ila Mungu atamlipa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Vichwa viwili vimekutana

  • @hadijagere
    @hadijagere2 жыл бұрын

    😭😭😭😭💜

  • @godfreyjoseph4750
    @godfreyjoseph4750 Жыл бұрын

    Mnaharibu kipindi kwa huu uzungu wenu

  • @AdonisMniko
    @AdonisMniko23 күн бұрын

    Madam angekuwa mwingine asingeeleza umuhim wa Mzee Mengi

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha68562 жыл бұрын

    Dah feel sorry for u lov 😪

  • @fakiimohamed6163
    @fakiimohamed61632 жыл бұрын

    Nice, tuletee... K.rin

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    3 ай бұрын

    K-lyn, the gold digger... alimtegeshea mzee mimba,ndo chanzo cha mateso yote ya Dr Mengi hadi kifo..

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana87762 жыл бұрын

    Salma Litta ni mtoto wa kishuwa acha mchezo alisoma Uganda kwamyaka ile ilikuwa ngumu sana kwanza Owens’s inker kusoma

  • @vj8313
    @vj83132 жыл бұрын

    Hata kasian anaimba gospel madam

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k2 ай бұрын

    Rita now I know you, I think I love you

  • @jumamofu9573
    @jumamofu95732 жыл бұрын

    Kingereza kingi sema na ww ila pole kwa kufiwa na #MENGI kumbe ilikuwa unampenda R.I.P #R_MENGI Sema we Ritha ni mzuri ila ndo hivyo unapenda kudate na madingi bila hivyo ningekupigia misele Mana nakuelewaga Sana we ni msupa mazee

  • @venanciapeter8059

    @venanciapeter8059

    Жыл бұрын

    Shame on you

  • @magesalugwesa4449
    @magesalugwesa44492 жыл бұрын

    Salama this is my best show ever ever

  • @kulthummaabad
    @kulthummaabad4 ай бұрын

    😢😢❤❤❤🎉🎉🎉

Келесі