Jux : "Nilikaa Na Jackie Mwezi Mzima China, Akawa Hapatikani, Sikumuona Tena" | SALAMA NA JUX PT 2

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Juma Jux ni mtanashati haswa hicho ndicho cha kwanza na suala la yeye pia kuwa muimbaji mzuri (na anayeendelea kujengeka) kunamfanya pia awe wa kipekee, anajua maana halisi ya kufanya kazi kwa bidii ili uweze kutimiza malengo ambayo wewe unakua umejiwekea. Ana aibu pia sana ila hili unaweza ukalitilia shaka kwasababu ya kazi aliyoamua kuichagua. Kwa nilivyo muelewa mimi yeye aliamua kufanya muziki kwasababu rafiki zake walikua wanafanya muziki na zaidi akiamini yeye ni Rapper kuliko hata kuwa muimbaji.
Kwa mujibu wake kwenye kundi lao hilo la shule yeye ndo alikua sio mkali na wala hakua na neno juu ya hilo, zaidi yeye alikua anataka ku fit in zaidi. Lakini leo hii yeye ndo mwenye mafaniko zaidi kwenye fani yake kuliko wale walokua ndo wakali wa kazi hizo wakati bado wako shuleni. Jux ananiambia mpaka leo wanaendelea kuwa marafiki na rafiki zake wa shule, zaidi Cyrill Kamikaze ambaye amekua kama ndugu yake. Pia anakumbuka mara ya kwanza wimbo wake ulipoenda redioni bila ya matarajio yake na wakati anaambia B12 ameupenda na angependa akutane nae anasema baridi na uwoga na aibu aliyokua anasikia ni Mungu pekee ndo anajua.
Uzuri pia Jux ana muonekano mzuri na utanashati wake umekua ukimfanya ajikusanyie mashabiki wengi haswa wanawake na ku inspire vijana wengi watake kupita kwenye nyendo zake ili nao waweze kuja kuwa kama yeye siku moja. Combination yake na Bob Maneke nayo ni kitu ambacho kimemfanya Jux aendelee kuwa pale. Wanafahamiana vizuri na kazi ambayo wamekua wakiifanya pamoja imekua ikijieleza yenyewe.
Jux anakumbuka utanashati na kujituma kwa Marehemu Baba yake ambaye kwa maelezo yake anasema alikua Baba BORA sana, kwanza hakuwahi hata siku moja kumuona Mzee wake na Mama yake wanagombana na siku zote alikua anahakikisha watoto wake wanaishi na kusoma vizuri, nadhani nia yake ilikua kutaka kuwaona watoto wake wakiwa wasomi labda na kufanya kazi za maana zaidi au kuishi maisha mazuri zaidi kuliko yeye wakati anakua. Jux ana kumbuka Mzee wake kama mtu wa kujituma sana ambaye alijichanga kumfikisha mkewe mjini baada ya kupata kazi, yeye alikua tu fundi wa magari ila baada ya mke wake kupata kazi mjini, alihakikisha anafika na mambo mengine yaende kwa uzuri kama ambavyo alikua akiyataka kwa wanawe.
Mama yake pia humuambia zaidi siku hizi za karibuni baada ya Jux kuanza kung’ara kwenye muziki na biashara zake, Mama yake anamuambia anamkumbusha mno Marehemu mume wake na anajua fika kama angekua hai basi angekua anajivunia yeye kupita kiasi. Uvaaji wake na utanashati na jinsi ambavyo anajituma hivyo vyote Juma Jux amerithi kutoka kwa Marehemu Mzee wake. Mwenyezi Mungu Aendelee Kumpumzisha kwa Amani.
Mapenzi yake ya dhati ambayo huyaonyesha kwa watu ambao amekua nao katika mahusiano nae pia kwa kiasi kikubwa amechukua kutoka kwa wazazi wake, jinsi ambavyo Baba yake alivyokua anampenda Mama yake, ni kitu ambacho Juma amekua akikikubali sana. Na yoyote ambaye anakua nae amekua akifanya analoweza ili waendelee kudumu. Mwenzetu amekua na mwalimu mzuri sana.
Kwa akili ya muziki na biashara nadhani tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa kijana huyu hodari wa ki Tanzania. Hivi karibuni brand yake ya African Boy imetia makubaliano na kampuni moja kutoka China ambayo wamekua wakimuona Juma anafanya biashara hiyo tokea akiwa mwanafunzi na kwa jinsi ambayo amekua akifanya kwa muda mrefu na brand na yeye kama mwanamuziki kuzidi kukua nadhani na wao pia waliona fursa ya kufanya nae ushirikiano ili waweze kumuwezesha zaidi ili waweze kushinda WOTE.
Yangu matumaini kama ada uta enjoy episode hii na kujifunza zaidi.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 88

  • @emmashayo5159
    @emmashayo5159 Жыл бұрын

    Jux is is the best artsit among the five favorite artsit in Tanzania...kuanzia mziki wako adi swag zako nakuelewa sana

  • @williamdigge6940
    @williamdigge6940 Жыл бұрын

    Nilichojifunza kwenye hii interview kubwa zaidi ni kumpa mtu nafasi. Naenda mpa nafasi my wife katika maisha kama babake jux.

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 Жыл бұрын

    One of the best interview ever! Jux is the realest person ever!Very fluent! Salama Is the best host!anajua kubalance conversation na kumpa nafasi mtu na maswali ayajibu at right time! Nmejifunza vzuri kwa africanboy,cha msingi do ya thing,keeep going hyo brand ni kubwa sana! Utareach far....remember im your die hard fan to y'all,just keep it real son

  • @nakijamussa6312

    @nakijamussa6312

    Жыл бұрын

    Muo

  • @classicmido88
    @classicmido88 Жыл бұрын

    Salama jabir one of the best journalist in this country, please mualike diamond platnumz one day, itakuwa moja ya interview kubwa mnoooo

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth Жыл бұрын

    Interview iko ppoa .. nakubal kaz zenu Allah awajaalie mzidi kuleta watu wenye maadil na kufundisha jamii yapo kwa uchache... kila la kheri kwa yeyote aliefanikisha hiv interview

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 Жыл бұрын

    “Solution sio kutafuta Mpenzi mwengine nikutafuta Hela“

  • @theodoreconstantine2565
    @theodoreconstantine2565 Жыл бұрын

    best female presenter in East n centre Africa.

  • @johnpetro1069
    @johnpetro1069 Жыл бұрын

    Nakumbuka ngoma iliyonishawishi kumpenda Jux ni NITASUBIRI niliisikia siku moja kwenye Radio usiku ikanifanya nisipate usingiz Jux popote pale ulipo ujuwe ninakupenda sana brother ❤❤❤❤ mwenyezi mungu awe kwenye mustari wa mbele kukuwezesha kwa kila jambo unalolikusudia❤❤❤❤

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    Жыл бұрын

    😂😂 We jamaa nyimbo ya jux ilikufanya ukose usingizi na una komenti na makopa kopa hahaha thats so homo 😂😂

  • @iddikipulli510

    @iddikipulli510

    Жыл бұрын

    Hahahaha Mungu amuweke anasemaa

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    Humble & smart 🤓 boy 👍👌❤🇨🇭🇹🇿

  • @originalplan2723
    @originalplan2723 Жыл бұрын

    Ise story imenibariki sana Mungu azidi kukusimamia kaka Jux

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Жыл бұрын

    Jux ur smart kunasehemu nimekuelewa Sana kwenye kujielezea kuhusu biashara TUSIOGOPE 😎

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md Жыл бұрын

    One of the best interviews big up Salama and j

  • @peterfania1005
    @peterfania1005 Жыл бұрын

    Always Salam am your fan when it comes to interviews 🇩🇰& ,🇹🇿❤️👍🏼

  • @saidabdulkadirmjahid8255
    @saidabdulkadirmjahid8255 Жыл бұрын

    It's good seeing #jux talking his business side of him👏👏👏

  • @sophiaalnuru45
    @sophiaalnuru45 Жыл бұрын

    One of the best interviews.

  • @mustaphareginald3264
    @mustaphareginald3264 Жыл бұрын

    Nice interview...Mungu akuweke tushuhudie mengi sana kwako dada salama

  • @edwardmachaku1661
    @edwardmachaku1661 Жыл бұрын

    My favorite interview show

  • @brittaniagrace
    @brittaniagrace Жыл бұрын

    Awww🥺thank you for this

  • @munezerozuzu2351
    @munezerozuzu2351 Жыл бұрын

    Now i am seeing why Diamond keeps respect to Jux💥

  • @greeneraston6102
    @greeneraston6102 Жыл бұрын

    Very inspired boy napenda saana

  • @bravthebrand
    @bravthebrand Жыл бұрын

    Very smart eloquent guy..

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Жыл бұрын

    I love the interview

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Жыл бұрын

    Last minutes za hii interview he talked sense. Najifunza sana jinsi ya kumuongelea mtu, hasa yule nisiyemjua kiundani... streets got a lot of shit talkings

  • @MrSokwe
    @MrSokwe Жыл бұрын

    Mm sijawahi kuona wazazi wangu wakigombana wala kuhisi wana ugomvi mpaka baba yangu anafariki ila najua lazima walikuwa wanagombana kwa siri.

  • @mapekhamis3882
    @mapekhamis3882 Жыл бұрын

    🤝nimependa saaana Salama&Jux hao wazazi waJux ni mimi na mumewngu kidg nilie the way mumewng na mm tunavoishi allah atueke na watt wetu wajifunze mazuri 🙏

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    Жыл бұрын

    ALLAAH awalinde jamani

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Жыл бұрын

    Wooow very good story I want to do some business Leo ume ni chanua Jax

  • @mustaphareginald3264
    @mustaphareginald3264 Жыл бұрын

    Hongera sana dada salama...

  • @mfamauomary7969
    @mfamauomary7969 Жыл бұрын

    Heshima kwako #Salama Jabir

  • @mfamauomary7969
    @mfamauomary7969 Жыл бұрын

    Plz ufanye interview na Millardayo plz plz

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Жыл бұрын

    Nimependa sana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88748 ай бұрын

    Sim unknown 😅 Kisha ukaipiga haipatikani 😅😅😅😅

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 Жыл бұрын

    interview konk sana 💪💪💪💪

  • @marianajoachim1658
    @marianajoachim1658 Жыл бұрын

    To be honest,i remember, i was Maneno aliyo yarudia sana Bwana Jux😂

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja472910 ай бұрын

    Jack nimekaa nae lugalo Area J na tumesoma wote lugalo primary chini ya Mwalimu Mkuu Kabigi

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 Жыл бұрын

    6:22-23 (swali zuri kutoka kwa salama)

  • @alitunu3086
    @alitunu3086 Жыл бұрын

    Allah atuhifadhi J jux

  • @patraychriss5723
    @patraychriss5723 Жыл бұрын

    Kaligraph,J makamba,Cathy Magige,Riziwan and Izzo Business

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa604 Жыл бұрын

    He is honest for everything but agekuwa diamond duhh😁😁😁 uwongo ugenkuwa mwingi au sio?

  • @boisalym9935
    @boisalym9935 Жыл бұрын

    Lavalava next pls

  • @dianerditto
    @dianerditto Жыл бұрын

    Mualike millardayo cku moja

  • @emmamatemu8225

    @emmamatemu8225

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    Жыл бұрын

    Kashawahi kumhoji Millard ayo ila zamani, nadhani kwenye mkasi

  • @dianerditto

    @dianerditto

    Жыл бұрын

    @@filamupictures9349 kuna mengi yameishapita hapo katikati kuna mengi hatujayaskia kutoka kwake kama kaoa kweli au lilikuwa tangazo hajatujibu mpk leo tuna mambo ya kujifunza mpk kafika alipo

  • @salummaguo1950
    @salummaguo1950 Жыл бұрын

    Nakubali

  • @dryna9512
    @dryna9512 Жыл бұрын

    Millard ayo please aje

  • @momu1687
    @momu1687 Жыл бұрын

    Mdada alomvunja moyo ni jack wolper ukisikiliza kipindi cha salam na wakina fid q alisemaga maneno hayahaya anayosema jux kipindi amepewa gari na Dalla

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 Жыл бұрын

    My Favorite,#Jux!❤👌🏻😍

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 Жыл бұрын

    salama next Zuchu pls

  • @ninjadamour5592
    @ninjadamour5592 Жыл бұрын

    Wolper huyu 😃 alimtesa sana dogo

  • @martinngenzi6276
    @martinngenzi6276 Жыл бұрын

    Namkubali huyu jamaaa

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales Жыл бұрын

    the portions of the food samaki samaki gives to the guests on this show deserves a round of applause👏👏👏👏👏

  • @coleilukcole3816

    @coleilukcole3816

    Жыл бұрын

    mlafi

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Жыл бұрын

    Salama tultee mandonga mtu kazi 🤣🤣🤣🤣

  • @sleyumsleyum6297
    @sleyumsleyum6297 Жыл бұрын

    😘😘

  • @maryigogo8699
    @maryigogo8699 Жыл бұрын

    JUX🔥🔥

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Жыл бұрын

    Jux is smart

  • @rashidmzungu4335
    @rashidmzungu4335 Жыл бұрын

    Konde nae anatuhusu boss

  • @chiticollemans
    @chiticollemans Жыл бұрын

    “Its possible”

  • @richmelody695
    @richmelody695 Жыл бұрын

    harmonize je

  • @farajakabinji3451
    @farajakabinji3451 Жыл бұрын

    woow♥️♥️

  • @charlesmasele8454
    @charlesmasele8454 Жыл бұрын

    Penda sana

  • @mashakashobo2529
    @mashakashobo2529 Жыл бұрын

    alihongwa x5

  • @Project1986p
    @Project1986p Жыл бұрын

    Champion boy mbwana samatta lini??

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Жыл бұрын

    Bb

  • @andrewmatiko3337
    @andrewmatiko3337 Жыл бұрын

    Kununua madaftari 😂😂😂

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 Жыл бұрын

    Ivi kwann ma*** tu na isiwe watu wa kawaida. Salama what do you think to establish this period of to enterview some body where you got this idea? When and me?

  • @anajohn8132
    @anajohn8132 Жыл бұрын

    Wolper huyo

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Huyo mtu wa kwanza Wolper kapewa mpira mkali BMW X6 biashara zangu

  • @jenniferjosephath9093
    @jenniferjosephath9093 Жыл бұрын

    Ni kweli ulimtongoza Mimi mars 🙄😠

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 Жыл бұрын

    JUX ANATUSHAURI TUTAFUTE PESA

  • @jrsaid4270

    @jrsaid4270

    Жыл бұрын

    Ee tuache uvivu

  • @mnyamatv505
    @mnyamatv505 Жыл бұрын

    NJIA ZA KUFANIKIWA KWA KUACHA UWONGO kzread.info/dash/bejne/ZIdkyMGvdbrIdJs.html

  • @edwinmbugua7738
    @edwinmbugua7738 Жыл бұрын

    Salama na LavaLava next

  • @godblessmwacha5201
    @godblessmwacha5201 Жыл бұрын

    mmmmh

  • @lawimalanda8907

    @lawimalanda8907

    Жыл бұрын

    Plz make with Aishi manula!!!

  • @yusuphpilion2465
    @yusuphpilion2465 Жыл бұрын

    Hicho kiti lazima nije nikae

  • @neemamoses7011

    @neemamoses7011

    Жыл бұрын

    In Shaa Allah

  • @ashminaabdulla8946

    @ashminaabdulla8946

    Жыл бұрын

    Inshaallah

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 Жыл бұрын

    4:30 🔥 6:24 18:04 19:54 23:08

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 Жыл бұрын

    China upewe three bedrooms bure? Kuna business behind unafanya

  • @encernstudios3745

    @encernstudios3745

    Жыл бұрын

    Kwamba china unapajua snaa au sio

  • @jaymshana1426

    @jaymshana1426

    Жыл бұрын

    SIKILIZA KWA UMAKINI

  • @irenejerome5894

    @irenejerome5894

    Жыл бұрын

    alionga hela ndo akapewa

  • @emmamatemu8225

    @emmamatemu8225

    Жыл бұрын

    @@encernstudios3745 kama hupajui ni wewe

Келесі