EXCLUSIVE: DAKIKA ZA MWISHO ZA GARDNER NA BABA YAKE MZAZI "ALINIAMBIA USIPANIKI USIJE KUFA"

Пікірлер: 352

  • @nurumbaraka
    @nurumbaraka3 ай бұрын

    Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.

  • @ezytradeafrica2978

    @ezytradeafrica2978

    3 ай бұрын

    Kweli kabisa, Millard Ayo ana personality ya kutolea ndano! Poleni sana na msiba

  • @SaidNsyengula-rf3to

    @SaidNsyengula-rf3to

    3 ай бұрын

    Milard ayo hongera kwa kufatilia taalifa za ukweli wewe nitofauti namedia zingine nakubali mwambaaaa

  • @africa7479

    @africa7479

    3 ай бұрын

    mama yake alisha fariki

  • @nurumbaraka

    @nurumbaraka

    3 ай бұрын

    @@africa7479 Oohhhhh! Sikujua. Basi akapite hata kuzuri kaburi la mama yake na kumuombea maghfila kwa Allah Insha Allah

  • @elizabethsenyagwa6270

    @elizabethsenyagwa6270

    3 ай бұрын

    Poleni familia na Watanzania Mungu awape nguvu na tuendee kumuombea amen

  • @crillarlawcmo2366
    @crillarlawcmo23663 ай бұрын

    😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr3 ай бұрын

    Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui3 ай бұрын

    Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.

  • @user-id8ys3lg5d

    @user-id8ys3lg5d

    3 ай бұрын

    Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s3 ай бұрын

    Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed99393 ай бұрын

    MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.

  • @salimsoyo8118
    @salimsoyo81183 ай бұрын

    Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana

  • @olesterleonard9737
    @olesterleonard97373 ай бұрын

    Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics3 ай бұрын

    Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo51163 ай бұрын

    Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana

  • @graceandrew3988
    @graceandrew39883 ай бұрын

    Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner

  • @eggysulle7988
    @eggysulle79883 ай бұрын

    Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    2 ай бұрын

    😭😭😭

  • @bensonkinjofu3377
    @bensonkinjofu33773 ай бұрын

    Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    3 ай бұрын

    sawasawa Benson

  • @johnsondominick2089
    @johnsondominick20893 ай бұрын

    Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo

  • @onanarosse9657
    @onanarosse96573 ай бұрын

    Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o3 ай бұрын

    Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah

  • @user-mf6vv1mf6x
    @user-mf6vv1mf6x3 ай бұрын

    Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    3 ай бұрын

    Amen, asante sana Ndugu yangu

  • @itzsnazzyjazzy472

    @itzsnazzyjazzy472

    3 ай бұрын

    Amin Amin Amin

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    3 ай бұрын

    ​ MOR BLESSINGS 💝👐💝

  • @salmaramadhan2725

    @salmaramadhan2725

    3 ай бұрын

    Baba pole sana, Millard endelea hivyo hivyo mdogo wangu uko poa sana kwenye mahojiano

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    3 ай бұрын

    Hakika he is smart millad

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso24243 ай бұрын

    Pole sana Baba Mungu akutie nguvu Hongera sana Millardy kwa hekima uliyonayo una busara sana mshukuru Mungu kwa Neema hiyo aliyokupa Mungu Ubarikiwe

  • @Afrikalove736
    @Afrikalove7363 ай бұрын

    Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.

  • @RayChausa

    @RayChausa

    3 ай бұрын

    Ameen

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72573 ай бұрын

    Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile533 ай бұрын

    Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi. Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako. Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.

  • @barikimoshi4443
    @barikimoshi44433 ай бұрын

    Huyu mzee is very smart minded. Pole Sana baba, Mungu akutie nguvu. I wish ningekua Marangu nyumbani hapo tarakea ningekuja hata kwa bike.👏

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    2 ай бұрын

    😭😭😭

  • @romanilyimo
    @romanilyimo3 ай бұрын

    Pole sana mzee wangu na wajina wa baba yng mzazi mzee gabriel Mwenyenzi Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu. Amina

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga33163 ай бұрын

    Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek3 ай бұрын

    Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba3 ай бұрын

    Pole sana mzee wng,mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hichi cha majonzi

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын

    dah mzee yuko smart sana pole baba ndio maisha kila mtu hajui ataondoka lini duniani tunapita2 mungu amueke mahala pema peponi

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b3 ай бұрын

    Pole Sana baba Kazi ya mungu haina makosa. Sote njia yetu nimeona yy ametangulia na sisi tuanfatia.

  • @agnessntiburella8816
    @agnessntiburella88163 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed13103 ай бұрын

    Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah

  • @pmpaga1063
    @pmpaga10633 ай бұрын

    Pole sana kwa familia, pole sana mzee wetu Mungu awatie nguvu katika hili mnalolipitia!!

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge3 ай бұрын

    Pole sana babuu Allah akufanyie wepesi sana 😢😢

  • @editorfrank7471
    @editorfrank74713 ай бұрын

    Aron aliwah kufanya kazi PIL namkumbuka sana hii familia wana moyo mzur mno Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @happinesspessa9390
    @happinesspessa93903 ай бұрын

    Pole Sana Mzee Habadh Mungu akutie nguvu

  • @janehenry1730
    @janehenry17303 ай бұрын

    Daah! pole sana baba na familia Mungu Roho Mtakatifu akawe faraja kwenu nyote.

  • @MonickaMkasi
    @MonickaMkasi3 ай бұрын

    Milliard you are on time,and you bring the best exclusive

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 ай бұрын

    Pole sana Kakangu GABRIEL pole saana . MUNGU akupe NGUVU ya ziada.

  • @brendashao36
    @brendashao363 ай бұрын

    Pole sana mzee wetu mwenyezi mungu awe faraja kwenu. Tunawaombea

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын

    ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI

  • @otarurosie
    @otarurosie3 ай бұрын

    Mungu mtunze Baba yetu. Hongera Milard.

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya79193 ай бұрын

    Pole sana mzee na familia milad pole sana hongera sana kwa mahojiano yako wakati wote mungu akuze kipaji chako mara dufu

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy3 ай бұрын

    Huyo babu nimempenda bure jamani 😊 pole babu kwa kumpoteza mwanao MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMINA

  • @Rojajaynor
    @Rojajaynor3 ай бұрын

    pole sana mzee wetu mungu azidi kukupa hekima na akupe umri zaidi

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo88033 ай бұрын

    Pole baba , kazi ya mungu haina makosa. Mwenyezi mungu akupe nguvu.

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah46413 ай бұрын

    Pole mzee wetu sote njianimoja wete niwakupitatu apa duniani

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi60593 ай бұрын

    Pole sana baba mwenyezi mungu awatie nguvu muweze kumpumzisha katika nyumba yake ya milele🙏🙏🙏

  • @rehemaobbasy8409
    @rehemaobbasy84093 ай бұрын

    Hekima kubwa sana, Mungu akutunze Baba yangu na akutie nguvu sana

  • @zubedamagambo8139
    @zubedamagambo81393 ай бұрын

    Pole sn baba, Mungu akutie nguvu.

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima28803 ай бұрын

    Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...

  • @MathiasLyimo
    @MathiasLyimo3 ай бұрын

    Millard unabusara sana mungu akubariki

  • @subirajohn728
    @subirajohn7283 ай бұрын

    Pole Sana Baba Mzee Habash! Mwenyezimungu akutie nguvu!

  • @robertlary6007
    @robertlary60073 ай бұрын

    Pole sana mzee Habash, Mungu azidi kukutia nguvu. R.I.P Captain Gardner 😥

  • @hidaya95james53
    @hidaya95james533 ай бұрын

    Inauma Sanaa mzazi kumzika mtoto wake..Mungu akupe nguvu Baba🙏

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili3 ай бұрын

    Big up @MillardAyo upo njema sana

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72573 ай бұрын

    Tunashukuru sana Milard Ayo kwa kutupa habari🙏

  • @hashilijuma1331
    @hashilijuma13313 ай бұрын

    Good talented Millard ayo 💯🙏🏻

  • @user-lh4bb8mm8w
    @user-lh4bb8mm8w3 ай бұрын

    Poleni kwa msiba Allah ametoa Allah ametwaa ... Innalilah waina ilaih rajiun....Millard Ayo napenda sana habari zako,,shabiki wako kutokea kenya

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f3 ай бұрын

    Poleni Sana family, MUNGU mwema Sana,daima ntamkumbka kipnd cha jahazi pia alimpenda Sana baby malkia careen

  • @khatijahayoub2105
    @khatijahayoub21053 ай бұрын

    Pole sana mzee.MUNGU akutie nguvu zaidi na zaidi

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x3 ай бұрын

    Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj3 ай бұрын

    Milard mungu akubariki Kwa mahojiano yako mazuri na Kwa utulivu, watangazaji wengine eti unamuuliza Mzazi msiba huu umekuumizaje kweli

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola17543 ай бұрын

    Pole sana Baba, Mungu pekee akupe faraja 🙏

  • @janedenisi7056
    @janedenisi70563 ай бұрын

    Pole sana baba Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu😢😢 apumzike kwa Amani 😭

  • @siyangasamson7963
    @siyangasamson79633 ай бұрын

    Like father like son... humble people

  • @allymganga3223
    @allymganga32233 ай бұрын

    Pole sana mzee wetu mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu mungu amreem mpendwa wetu

  • @stellaukovizurimtanku2744
    @stellaukovizurimtanku27443 ай бұрын

    Poleni sana babaangu mungu ndie mwamwuzi wetu sisi si lolote tuendelee kumwombea

  • @reginaedward4883
    @reginaedward48833 ай бұрын

    Pole sana babangu mwenyezi mungu akupe subira na nguvu

  • @MonicaTemba
    @MonicaTemba3 ай бұрын

    Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu.

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p3 ай бұрын

    mzee mwenye hekma na busara masha Allah mungu akupe subra na imani

  • @tricemollel6739
    @tricemollel67393 ай бұрын

    Millard congratulations🎉 unsijua kazi yako babaaaa❤❤❤❤

  • @HappyMbise-fb3mc
    @HappyMbise-fb3mc3 ай бұрын

    Millard una hekima brow mungu akuimarishe zaidi

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba70853 ай бұрын

    Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏

  • @umaima1178
    @umaima11783 ай бұрын

    Pole Sana baba. Mungu akupe nguvu

  • @billgussy6099
    @billgussy60993 ай бұрын

    Inasikitisha watangazaji wote anaonwataja mzee walio kuwa Clouds wamefariki akina Amina Chifupa, Efrem Kibonde na Boss wao Ruge na sasa huyu Gadner Mungu awaweke mahala pema.

  • @graceandrew3988
    @graceandrew39883 ай бұрын

    Millard Ayo wewe ni kipaji cha Taifa kwa tasnia hii ya Habari una hekima na utulivu wa hali ya juu,natamani vijana wengi wa Tanzania na EAST AFRICA waige mfano wako..keep the fire 🔥 burning

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54793 ай бұрын

    Baba ana Imani safi sana Mungu mwema

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya40013 ай бұрын

    Milard kazi nzuri sana Brother!

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige10563 ай бұрын

    Duh mzee bado yuko vizuri sana...

  • @maryobedi6807
    @maryobedi68073 ай бұрын

    Pole sana baba Mungu akawe faraja yako

  • @sabablonde9189
    @sabablonde91893 ай бұрын

    Pole sana Mzee. Kifo kisikie kwa mwenzako, that's true!!!

  • @albanombunju902
    @albanombunju9023 ай бұрын

    Daaah😭😭😭😭 Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake. Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭 Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi. R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p3 ай бұрын

    Polee Sanaa baba msibamzito. Mungu atakupangu baba

  • @Paplick9
    @Paplick93 ай бұрын

    Rest in peace captain 😭

  • @user-jm7qj6kx8c
    @user-jm7qj6kx8c3 ай бұрын

    RIP bro mbele wewe nyuma sisi, pole kwa family mungu awape moyo na nguvu ktk kipindi hiki kigumu kwenu

  • @Msafirifimbo
    @Msafirifimbo3 ай бұрын

    Duh pole sana mzee mungu akutie nguvu katika kipind kigumu

  • @user-li2cy1st6o
    @user-li2cy1st6o3 ай бұрын

    Mungu Ailaze roho ya gadina mahala pema Amina

  • @halimaallyazizi4443
    @halimaallyazizi44433 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu mzee wangu amen

  • @user-pt6qb1jk8z
    @user-pt6qb1jk8z3 ай бұрын

    Mungu amtie nguvu huyu baba. Yuko strong lkn ndani atakuwa amepata jeraha kubwa sana. Mungu awe faraja kwake na familia yote jmn hii ni ngumu kumeza😢

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d3 ай бұрын

    Mungu anatupenda sana nasi tuendelee kupendana kama yeye alivyotupenda...na Mungu ndivyo atakavyotukuzwa ndani yetu.

  • @user-ir3ne3by3n
    @user-ir3ne3by3n3 ай бұрын

    Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi

  • @user-dt7dt6go8j
    @user-dt7dt6go8j3 ай бұрын

    Pole Babu mungu akutia nguvu kipenzi

  • @graceandrew3988
    @graceandrew39883 ай бұрын

    Pole sana baba kwa msiba wa mwanao,Mungu akutie nguvu

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed13103 ай бұрын

    Pole Baba ndo duniani kazi ya mungu haina makosa mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema inshaallah

  • @aminambwambo622
    @aminambwambo6223 ай бұрын

    Pole sana baba etu kwa kuondokewa na mpendwa wetu

  • @dianangailo9878
    @dianangailo98783 ай бұрын

    Mungu akupe faraja Baba , pole Sana

  • @anandemungure2500
    @anandemungure25003 ай бұрын

    Big up home boy. Be blessed abundantly Ayo

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    3 ай бұрын

    Amen Anande, nashkuru sana Homeboy

  • @anandemungure2500

    @anandemungure2500

    3 ай бұрын

    I am humbled brother. Your sizy from Ar. Stay healthy. Kazi nzuri 😘🙏

  • @BerthaRaymond-qv2zn

    @BerthaRaymond-qv2zn

    3 ай бұрын

    Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph17553 ай бұрын

    Hospital kuna mambo mengi ya siri ukipewa macho ya rohon ndo maana wengine hali zinakuwa mbaya zaid wakifika hospital

  • @Clex-f5s

    @Clex-f5s

    3 ай бұрын

    Yapi mkuu

  • @madamfarajakigula8423

    @madamfarajakigula8423

    3 ай бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa12813 ай бұрын

    Yaaani wacha kifo cha mtoto kimkute mwenzio Inaumaaaa Yaaaani inaumaaaa Pole sana baba GABASH

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi88963 ай бұрын

    Kusema ukweli Baba anajibu maswali vizuri sana na Millard naye maswali yanafaa kwa mfiwa. Mungu awabariki na poleni kwa msiba.

  • @MalkaMercy
    @MalkaMercy3 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu baba sote tutalejea kwake