IBADA YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI KUHUDHURIA ST. PETER

Rais John Magufuli katuka ibada ya mwisho kuhudhuria kanisa St Peter Dar Februari 21, 2021,

Пікірлер: 143

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal53 жыл бұрын

    Umetuachia mtihani baba 😭💔 Yaani wewe ni Mtumishi tusipo fuata ushauri wako tutajuta Mungu atusaidie sana

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    3 жыл бұрын

    Upo sahh tusipoyafata n shida

  • @damianmakala2913

    @damianmakala2913

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa tusipofuata ushauri wa huyu mzee tutaisha kwa kweli ! Ni huruma ya MUNGU tu

  • @paulkennedy5728
    @paulkennedy57283 жыл бұрын

    Hii clip sio Magufuli baali ni Roho wa Mungu alikuwa anasema na Taifa.

  • @raymondanthony6207

    @raymondanthony6207

    3 жыл бұрын

    Uko sawa rafik

  • @mwadiabulymoshabani6336
    @mwadiabulymoshabani63363 жыл бұрын

    Baba wewe Ni muungwana Mungu akupumzishe kwa Amani. Tunakupenda Sana sana

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph25763 жыл бұрын

    Ukianza kuongea natabasabu lakini akili yangu inarejea nakuniambia haupo tena nabaki kulia 😭😭😭Pumzika kwa amani Baba yangu hakika ulikuwa ni mfano wa kuigwa daah baba ulikuwa unaumwa bila kutuambia angalau tukafunga na kuomba kwaajiri yako aaaa kizuri hakidumu

  • @hadijamagufuli2661

    @hadijamagufuli2661

    3 жыл бұрын

    We ndugu kumbe siko pekeangu yani mie mpka nilikonda mawazo yalikuwa yako utawala moyo wangu nilihisi kama nimepotelewa na ndugu wa karibu kabisa si wa mbali jamni kulia 😭😭😭

  • @hussenimfugule302
    @hussenimfugule3023 жыл бұрын

    R.I.P raisi wetu tulikupenda mungu kakupenda zaidi pimzika kwa hamani

  • @dosesmike6117
    @dosesmike61173 жыл бұрын

    We love you so much in Uganda ntoroko district RIP baba

  • @halimaally5333
    @halimaally53333 жыл бұрын

    Mungu aiweke roho ya raisi wetu mahali pema peponi pumzika kwa aman Baba yetu mbele yako nyuma yetu

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani30763 жыл бұрын

    R I P Raisi wetu Doctor Jonh pombe magufuri tutakukumbuka sana baba mungu akusamehe madhambi yako na ulale kwa amani😭😭😭

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69373 жыл бұрын

    😭😭😭 daaa jamani🙆 hakika kitu kizuri hakidumu hakika umetuacha yatima sidhani kama tutapata mwingine kama wewe.R.I.P baba yetu tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi🙏🙏

  • @jaggaludegula6826
    @jaggaludegula68263 жыл бұрын

    Kwakweli mpaka sasa siamini 😢😢😢 naona km naota. Sijui nitalipokea lini hili . Mungu tutie nguvu,wewe ndiye ujuaye yote.

  • @azyzahyussuf6804
    @azyzahyussuf68043 жыл бұрын

    😭😭😭😭mungu akupumzishe kwa salama n amn. Hakika mann yk 2tabk nayo daima mileleeee😭😭😭🙏. Nendaaa salamaaa kwaher y kuonanaaa tena legend we2 kipenzi😭😭😭🙏

  • @aeshamrange6540
    @aeshamrange65403 жыл бұрын

    Kifo kipo lakin hakizoeleki jaman staki kuamini mimi leoooo😭😭😭😭 tz yetu ss 🇹🇿😭 mzee wetu jaman 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi76923 жыл бұрын

    Vita Umevipiga na Mwendo Umeumaliza Salama, Mwanga wa Milele Ukuangazie Kipenzi Cha Watanzania. Hakika kwake tutarejea 💔💔 R.I.P JPM 😭😭😭

  • @shanishosho911

    @shanishosho911

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭💔

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72583 жыл бұрын

    Kweri Raisi wetu a naiman abawajua saana wabaya wetu daaa Tunakupenda Raisi wetu daima😭😭😭😭😭😭hatutokusahau

  • @nica6662
    @nica66623 жыл бұрын

    Aise inauma kwakwel polen sana watanzania mungu awape nguvu kwakweli nilimpend uyu baba mpaka nikataman nibadili injii allah ampe kauli dhabiti 😭😭😭😭😭

  • @chumatuma4967
    @chumatuma49673 жыл бұрын

    Innalilah waina lilahi la juun Allah akupe kauli thabiti 😭😭Allah alifanye kabuli lako liwe kati ya bustani za peponi Inshaallah😭😭😭 Amiin🙏🙏

  • @miriamkarata7495
    @miriamkarata74953 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭tutakwenda wapi tukapate ushauri hatutasikia tena sauti yako live Baba tumebaki na majonzi tu 😭😭😭😭😭😭😭 tutayaenzi yote mema uliyotuhusia Mungu akupumzishe kwa amani shujaa wetu 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35383 жыл бұрын

    Innallillahi wainna illahi rajiun shujaa pumzika kwa amani kazi ya Allah haina makosa @john pombe magufuli

  • @andrewkibwata974
    @andrewkibwata9743 жыл бұрын

    Ahsante MUNGU kwa mussa wetu ambaye ndie Rais magufuli,tunaomba utupe joshua wetu atuongoze vyema sawasawa na mapenzi yako.

  • @upendomollel5661

    @upendomollel5661

    3 жыл бұрын

    Amen mtumishi. Joshua yupo

  • @kaicy165

    @kaicy165

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @justinemgani7798
    @justinemgani77983 жыл бұрын

    Oo Lord Let Your Love Not depart from us

  • @ellymclaughlin4046
    @ellymclaughlin40463 жыл бұрын

    Mungu akupumuzishe kwa Amani baba tumekumiss umetuachia ukiwa hatujui kinachoendea sasaivi 😭😭😭

  • @esteromary2102
    @esteromary21023 жыл бұрын

    Magufuli hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru Mungu,ok R.I.P

  • @modrickgobe2420
    @modrickgobe24203 жыл бұрын

    Pumzika kwa amni shujaaa wetu jpm

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54033 жыл бұрын

    Saffi Sana baba umekufa ukiwa na imani na mungu

  • @imorirajabu5743
    @imorirajabu57433 жыл бұрын

    R.i.p rais wetu tangulia xie tupo nyuma yk

  • @elizerbethmichael9992
    @elizerbethmichael99923 жыл бұрын

    Daaaah 😭😭😭😭😭 kumbe huu ulikuwa USIA wako wa mwsho kwe2 Baba weeeeee ume2achia majonzi makubwa sana pumzka kwa aman

  • @capitalism2128
    @capitalism21283 жыл бұрын

    RIP Dr Magufuri and we will miss you, I can't believe that you have gone and we shall not hear from you again, but you have done your work and going for another work somewhere where you needed too 🙏🙏🙏🙏

  • @everestkibaya4527
    @everestkibaya45273 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba nabii wa kweli uliezima ghafla will ever miss you

  • @kaicy165
    @kaicy1653 жыл бұрын

    Best president ever,hofu yake ya Mwenyezi MUNGU ni sifa yake bora zaidi,Mwenyezi MUNGU ailaze roho yake katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume.

  • @surealfredkabasa4518
    @surealfredkabasa45183 жыл бұрын

    INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUN

  • @filbertmethusela1407

    @filbertmethusela1407

    3 жыл бұрын

    We kjn upo kweli

  • @surealfredkabasa4518

    @surealfredkabasa4518

    3 жыл бұрын

    @@filbertmethusela1407 nìpo kakaaaa

  • @surealfredkabasa4518

    @surealfredkabasa4518

    3 жыл бұрын

    @@filbertmethusela1407 uko salama wewe.......!?

  • @vanessajames2192
    @vanessajames21928 ай бұрын

    Jaman wewe baba mie mbona nashindwa kukusahau 😭😭😭 pumzika kwa amani Rais wangu 🙏

  • @mosesnicodem2834
    @mosesnicodem28343 жыл бұрын

    Hakika iman uliyokuwa nayo n kubwa sana mungu akubarik

  • @ChangchunRealstateDragon
    @ChangchunRealstateDragon3 жыл бұрын

    Mungu akupokee kwa amani baba

  • @shilingingubisi1073
    @shilingingubisi10733 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu asiyetahayari.Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

  • @maggykavata9439
    @maggykavata94393 жыл бұрын

    tumtangulize Mungu

  • @elianamariasantos9665
    @elianamariasantos96653 жыл бұрын

    Que bom para vocês aí a pandemia já passou !!Nos aqui no Brasil estamos sofrendo com a pandemia!!😭😭😭😔😔😔

  • @mamuomar3490
    @mamuomar34903 жыл бұрын

    jamanii magu nenda baba uwende salama tulikupenda sana wa kenya

  • @sarahmgaya9853
    @sarahmgaya98533 жыл бұрын

    Raisi wetu tunakuombea Mungu kakupenda zaidi tunalia baba tumeumia sanaa😭😭😭😭😭

  • @husseinissa1179

    @husseinissa1179

    3 жыл бұрын

    R.I.P Our President 💔💔

  • @hamadali5062
    @hamadali50623 жыл бұрын

    Huyu mzee kwakweli nilikuwa nampenda Sana. Maana kila kitu kila Hatuwa yeye anamtanguliza mungu.

  • @agricolammasy8019
    @agricolammasy80193 жыл бұрын

    R. I. P our president JPM we loved u so much

  • @khamishamza6550
    @khamishamza65503 жыл бұрын

    Wakat huu ndo wakat wa kumuomba mungu kisawasawa

  • @annitahmalaba1254
    @annitahmalaba12543 жыл бұрын

    We have lost ahero,not only in Tanzania but in the African,rest in peace daddy.ilack words to say .

  • @nyanjirakhamis2338
    @nyanjirakhamis23383 жыл бұрын

    Mungu akupe mpumziko la milele daima

  • @jescamuijsers4206
    @jescamuijsers42063 жыл бұрын

    Mtetezi wa wanyonge, mtetezi wa kinamama wanaoonewa,mpangusa machozi ya wamama wasiyo na uwezo, mtetezi wa mtanzania nikweli ulijitoa kwenye nchi yako kwakila namna, buriani rais magufuli,milele tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭🤲🙌

  • @kondeinnoss2224
    @kondeinnoss22243 жыл бұрын

    Hapa duniani tunapita baba mungu akulaze mahali pema peponi tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi yatu

  • @suzy6877
    @suzy68773 жыл бұрын

    kweli kabisa, You spoke the truth , Barakoa zina matatizo,

  • @blandinahillary9093
    @blandinahillary90933 жыл бұрын

    Rest easy hero💔

  • @samwelkilale1181
    @samwelkilale11813 жыл бұрын

    Mzee umejua kutuliza wew mwenyezi mung akupe fildahusii

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29133 жыл бұрын

    MUNGU hashindwi kitu ! Tumtangulize MUNGU ! Dah sitakusahau mwamba my best president ! Yaani dah nalia tu

  • @stellafrancis2793
    @stellafrancis27933 жыл бұрын

    Jaman amka basi baba, amka Rais wetu weeeeee😭😭😭😭😭😭😭. Kweli jaman unatuacha jaman uwiiii. Amka baba, amka John, tukuone tena ukituhutubia wanao jaman amka😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @magembemakoye5037
    @magembemakoye50372 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana JPM

  • @yunusali7617
    @yunusali76173 жыл бұрын

    Jamanii nalia mimi dah yaniiiii tumeumbuka Tanzania tumeumbuka heeeeee,innalillahi wainnalillah rajiun.

  • @said0121
    @said01213 жыл бұрын

    Duuuu mwenyezimungu akulaze mahala pema pema pepon yaani mimi mpaka leo siamin😭😭😭

  • @jonhyjomba9745
    @jonhyjomba97453 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman

  • @restitutamkenda3963

    @restitutamkenda3963

    3 жыл бұрын

    Upokelewe Mbinguni kwenye makao ya milele baba.pumzika kwa Amani

  • @alenizack8064
    @alenizack80643 жыл бұрын

    Pumzika kwamani shujaa wetu

  • @maisaalawy4512
    @maisaalawy45123 жыл бұрын

    Innalilahi wainailahi rajiun

  • @ramsokingo5607

    @ramsokingo5607

    3 жыл бұрын

    Sisi sote ni wa mungu na kwake tutarudi

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli26613 жыл бұрын

    Hata kama wakikupa sumu utakwenda kwani uwongo baba 😭😭😭

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward56053 жыл бұрын

    Yaaan President kaongea ukweli chonde chonde tufuate ushauri wake watanzania balakoa barakoa vaen za kutengeneza tafadhalu 😭😭😭😭

  • @marthajohn6020
    @marthajohn60203 жыл бұрын

    Baba ulkuwa unatupa maneno manzur ya kutujenga sasa baba Kama umeondoka nan atatpa maneno manzur pumzk kwa amani maguful

  • @goodlucklutabila7527
    @goodlucklutabila75273 жыл бұрын

    rest in peace JPM

  • @kwangulugata7615
    @kwangulugata76153 жыл бұрын

    R I P rais wetu tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi tutakukumbuka milele 😭😭😭

  • @rehemafeysali7968
    @rehemafeysali79683 жыл бұрын

    Magufuli eeeee 😭😭😭umeondoka baba Lakin nashindwa kukuita malehemu maneno yako yananiliza mno yaan kama ulijua utaondoka shujaaa 😭😭🙏

  • @abedysalumu7214
    @abedysalumu72143 жыл бұрын

    Inalilah wainalilah rajiun

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid53932 жыл бұрын

    "Mimi ni kiongozi wenu ninajua mengi" MWALIMU.

  • @frankkashner
    @frankkashner3 жыл бұрын

    Shujaa Wangu

  • @hassanussein1817
    @hassanussein18173 жыл бұрын

    Adui wa Africa ni mu afrika mwenyew. mlishindwa kumlinda na inchi ya Tanzania unashindwa kuzugumza ukweli kwamba ki fu cha Raisi Magufuli kimetokana na ambao waitwa wazungu du

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    3 жыл бұрын

    😃😄 Kumbe hebu nifumbue macho na mimi nijue

  • @hassanussein1817

    @hassanussein1817

    3 жыл бұрын

    @@sifatiiman alikua akiimba nyimbo moja isiji ikatokea ikawa Libya na Khaddafi, nadicho kilicho kwa sasa Government ya Tanzania inaficha na uku inajuwa ukweli

  • @hassanussein1817

    @hassanussein1817

    3 жыл бұрын

    Maendeleo Ya Tanzania watu wa Est, Ouest na North ya Africa awakupendezwa kwao ilifika kwa uwakati wa korona waka tafuta ki kwazo

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    3 жыл бұрын

    @@hassanussein1817 doooh yaan ni sianzi tupu kuondokewa na rais akiwa madarakan 😥😥😥😢

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward56053 жыл бұрын

    Mm kama naota 😭😭😭😭😭😭😭 tutafuata ushauri Mungu yupo baba pumzika 😭😭😭💔

  • @yonahdmpgm4108
    @yonahdmpgm41083 жыл бұрын

    Dear father😭😭😭😭😭😭😭

  • @youngmbeyaboy4692
    @youngmbeyaboy46923 жыл бұрын

    Pumzika kwaaa Aman baba wataifaa😭😭😭😭😭😭😭

  • @raymondpeter8555
    @raymondpeter85553 жыл бұрын

    Umelala yooooo 😭

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi38013 жыл бұрын

    Innaa Lillahi wa innaa Ilayhi raajiuun

  • @rabiasaad4221
    @rabiasaad42213 жыл бұрын

    😭😭💔💔🙏

  • @scolabahame2214
    @scolabahame22143 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @sabahaabebe3085
    @sabahaabebe30853 жыл бұрын

    😭😭😭😭bado kidonda hakijapona

  • @cecygeorge4443

    @cecygeorge4443

    3 жыл бұрын

    Raisi wetu jamani pumzika kwa Amani tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi Baba😭😭😭😭😭🙏

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu67303 жыл бұрын

    R. I.P Mr President R.I.P Jembe Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Ukagone Malafyale

  • @upendomollel5661

    @upendomollel5661

    3 жыл бұрын

    Dada acha tu , Tuombe Mungu sana

  • @jennifermusa3087
    @jennifermusa30873 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @ramadhankhabhaheza9860
    @ramadhankhabhaheza98603 жыл бұрын

    Rest in peace our dear president John Pombe Magufuli

  • @denisjohanes4733
    @denisjohanes47333 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @ivomtono5311
    @ivomtono53113 жыл бұрын

    😭

  • @fatumagilo9712
    @fatumagilo97123 жыл бұрын

    Pumzika kwa Armani baba wataifa 😭😭😭😭

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz87043 жыл бұрын

    Mpk sas bad siamin

  • @expert5898
    @expert58983 жыл бұрын

    Daaaaa!!! As if he still alive.

  • @happinessmwissemwissw1719
    @happinessmwissemwissw17193 жыл бұрын

    Baba yangu umejua kuniliza jamanii Kwanini mapema hivi daaaah

  • @Gevidotvonline
    @Gevidotvonline3 жыл бұрын

    Rip Dady

  • @haruniwilium9884
    @haruniwilium98843 жыл бұрын

    Umetuacha yatima baba, pumzika kwa amani

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa1483 жыл бұрын

    Huyu ndiye NABII na MTUME wa kweli

  • @sadasadick6796
    @sadasadick67963 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana baba yetu

  • @atupokilengallah4882
    @atupokilengallah48823 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @gloryfrancis5039
    @gloryfrancis50393 жыл бұрын

    Mungu jamani tuhurumie tuu

  • @faithhumble3780
    @faithhumble37803 жыл бұрын

    Mtihani mkubwa sana

  • @dimmyquincy5539

    @dimmyquincy5539

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @immanuelchacha3822

    @immanuelchacha3822

    3 жыл бұрын

    Sasa tutampata wapi jamani Raising WA hivi jamani

  • @yunusali7617
    @yunusali76173 жыл бұрын

    Baba wamekusaliti wamekusaliti MUNGU akuweke panapo stahiki jembe letu inauma yani dah MAGUFULI nalia nalia,baba washahalalisha sindano kujifukuzia hawakuamini tena jamanii,ila mimi nimuumini wa magufuli nation.

  • @athumanishaban4077
    @athumanishaban40773 жыл бұрын

    Rip Magu

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike87713 жыл бұрын

    Umeondoka mapema hivi hicho kiti unamwachia Nani sasaaa???

  • @glorymassawe9858
    @glorymassawe98583 жыл бұрын

    Dah 😣

  • @damianvicent4938
    @damianvicent49383 жыл бұрын

    R I P BOSS 😭

  • @deborasigalla8190
    @deborasigalla81903 жыл бұрын

    Ulitupa ujasiri mno katikati ya hili tatizo ujue baba.

  • @siasilaa7833
    @siasilaa78333 жыл бұрын

    RIP Mr President.

  • @shanishosho911
    @shanishosho9113 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga3823 жыл бұрын

    R.I.P baba JPM

  • @midelphamis5161
    @midelphamis51613 жыл бұрын

    Rest in peace

Келесі