IBADA YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI KUHUDHURIA ST. PETER
Rais John Magufuli katuka ibada ya mwisho kuhudhuria kanisa St Peter Dar Februari 21, 2021,
Жүктеу.....
Пікірлер: 143
@maria_mutondioriginal53 жыл бұрын
Umetuachia mtihani baba 😭💔 Yaani wewe ni Mtumishi tusipo fuata ushauri wako tutajuta Mungu atusaidie sana
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Upo sahh tusipoyafata n shida
@damianmakala2913
3 жыл бұрын
Kweli kabisa tusipofuata ushauri wa huyu mzee tutaisha kwa kweli ! Ni huruma ya MUNGU tu
@paulkennedy57283 жыл бұрын
Hii clip sio Magufuli baali ni Roho wa Mungu alikuwa anasema na Taifa.
@raymondanthony6207
3 жыл бұрын
Uko sawa rafik
@mwadiabulymoshabani63363 жыл бұрын
Baba wewe Ni muungwana Mungu akupumzishe kwa Amani. Tunakupenda Sana sana
@emmanueljoseph25763 жыл бұрын
Ukianza kuongea natabasabu lakini akili yangu inarejea nakuniambia haupo tena nabaki kulia 😭😭😭Pumzika kwa amani Baba yangu hakika ulikuwa ni mfano wa kuigwa daah baba ulikuwa unaumwa bila kutuambia angalau tukafunga na kuomba kwaajiri yako aaaa kizuri hakidumu
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
We ndugu kumbe siko pekeangu yani mie mpka nilikonda mawazo yalikuwa yako utawala moyo wangu nilihisi kama nimepotelewa na ndugu wa karibu kabisa si wa mbali jamni kulia 😭😭😭
@hussenimfugule3023 жыл бұрын
R.I.P raisi wetu tulikupenda mungu kakupenda zaidi pimzika kwa hamani
@dosesmike61173 жыл бұрын
We love you so much in Uganda ntoroko district RIP baba
@halimaally53333 жыл бұрын
Mungu aiweke roho ya raisi wetu mahali pema peponi pumzika kwa aman Baba yetu mbele yako nyuma yetu
@rehemaaithumani30763 жыл бұрын
R I P Raisi wetu Doctor Jonh pombe magufuri tutakukumbuka sana baba mungu akusamehe madhambi yako na ulale kwa amani😭😭😭
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
😭😭😭 daaa jamani🙆 hakika kitu kizuri hakidumu hakika umetuacha yatima sidhani kama tutapata mwingine kama wewe.R.I.P baba yetu tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi🙏🙏
@jaggaludegula68263 жыл бұрын
Kwakweli mpaka sasa siamini 😢😢😢 naona km naota. Sijui nitalipokea lini hili . Mungu tutie nguvu,wewe ndiye ujuaye yote.
@azyzahyussuf68043 жыл бұрын
😭😭😭😭mungu akupumzishe kwa salama n amn. Hakika mann yk 2tabk nayo daima mileleeee😭😭😭🙏. Nendaaa salamaaa kwaher y kuonanaaa tena legend we2 kipenzi😭😭😭🙏
@aeshamrange65403 жыл бұрын
Kifo kipo lakin hakizoeleki jaman staki kuamini mimi leoooo😭😭😭😭 tz yetu ss 🇹🇿😭 mzee wetu jaman 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔
@gitiganiibrahimdanhi76923 жыл бұрын
Vita Umevipiga na Mwendo Umeumaliza Salama, Mwanga wa Milele Ukuangazie Kipenzi Cha Watanzania. Hakika kwake tutarejea 💔💔 R.I.P JPM 😭😭😭
@shanishosho911
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭💔
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Kweri Raisi wetu a naiman abawajua saana wabaya wetu daaa Tunakupenda Raisi wetu daima😭😭😭😭😭😭hatutokusahau
@nica66623 жыл бұрын
Aise inauma kwakwel polen sana watanzania mungu awape nguvu kwakweli nilimpend uyu baba mpaka nikataman nibadili injii allah ampe kauli dhabiti 😭😭😭😭😭
@chumatuma49673 жыл бұрын
Innalilah waina lilahi la juun Allah akupe kauli thabiti 😭😭Allah alifanye kabuli lako liwe kati ya bustani za peponi Inshaallah😭😭😭 Amiin🙏🙏
@miriamkarata74953 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭tutakwenda wapi tukapate ushauri hatutasikia tena sauti yako live Baba tumebaki na majonzi tu 😭😭😭😭😭😭😭 tutayaenzi yote mema uliyotuhusia Mungu akupumzishe kwa amani shujaa wetu 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@wemakalamu35383 жыл бұрын
Innallillahi wainna illahi rajiun shujaa pumzika kwa amani kazi ya Allah haina makosa @john pombe magufuli
@andrewkibwata9743 жыл бұрын
Ahsante MUNGU kwa mussa wetu ambaye ndie Rais magufuli,tunaomba utupe joshua wetu atuongoze vyema sawasawa na mapenzi yako.
@upendomollel5661
3 жыл бұрын
Amen mtumishi. Joshua yupo
@kaicy165
3 жыл бұрын
Amina
@justinemgani77983 жыл бұрын
Oo Lord Let Your Love Not depart from us
@ellymclaughlin40463 жыл бұрын
Mungu akupumuzishe kwa Amani baba tumekumiss umetuachia ukiwa hatujui kinachoendea sasaivi 😭😭😭
@esteromary21023 жыл бұрын
Magufuli hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru Mungu,ok R.I.P
@modrickgobe24203 жыл бұрын
Pumzika kwa amni shujaaa wetu jpm
@neemanziku54033 жыл бұрын
Saffi Sana baba umekufa ukiwa na imani na mungu
@imorirajabu57433 жыл бұрын
R.i.p rais wetu tangulia xie tupo nyuma yk
@elizerbethmichael99923 жыл бұрын
Daaaah 😭😭😭😭😭 kumbe huu ulikuwa USIA wako wa mwsho kwe2 Baba weeeeee ume2achia majonzi makubwa sana pumzka kwa aman
@capitalism21283 жыл бұрын
RIP Dr Magufuri and we will miss you, I can't believe that you have gone and we shall not hear from you again, but you have done your work and going for another work somewhere where you needed too 🙏🙏🙏🙏
@everestkibaya45273 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba nabii wa kweli uliezima ghafla will ever miss you
@kaicy1653 жыл бұрын
Best president ever,hofu yake ya Mwenyezi MUNGU ni sifa yake bora zaidi,Mwenyezi MUNGU ailaze roho yake katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume.
@surealfredkabasa45183 жыл бұрын
INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUN
@filbertmethusela1407
3 жыл бұрын
We kjn upo kweli
@surealfredkabasa4518
3 жыл бұрын
@@filbertmethusela1407 nìpo kakaaaa
@surealfredkabasa4518
3 жыл бұрын
@@filbertmethusela1407 uko salama wewe.......!?
@vanessajames21928 ай бұрын
Jaman wewe baba mie mbona nashindwa kukusahau 😭😭😭 pumzika kwa amani Rais wangu 🙏
@mosesnicodem28343 жыл бұрын
Hakika iman uliyokuwa nayo n kubwa sana mungu akubarik
@ChangchunRealstateDragon3 жыл бұрын
Mungu akupokee kwa amani baba
@shilingingubisi10733 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu asiyetahayari.Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
@maggykavata94393 жыл бұрын
tumtangulize Mungu
@elianamariasantos96653 жыл бұрын
Que bom para vocês aí a pandemia já passou !!Nos aqui no Brasil estamos sofrendo com a pandemia!!😭😭😭😔😔😔
@mamuomar34903 жыл бұрын
jamanii magu nenda baba uwende salama tulikupenda sana wa kenya
@sarahmgaya98533 жыл бұрын
Raisi wetu tunakuombea Mungu kakupenda zaidi tunalia baba tumeumia sanaa😭😭😭😭😭
@husseinissa1179
3 жыл бұрын
R.I.P Our President 💔💔
@hamadali50623 жыл бұрын
Huyu mzee kwakweli nilikuwa nampenda Sana. Maana kila kitu kila Hatuwa yeye anamtanguliza mungu.
@agricolammasy80193 жыл бұрын
R. I. P our president JPM we loved u so much
@khamishamza65503 жыл бұрын
Wakat huu ndo wakat wa kumuomba mungu kisawasawa
@annitahmalaba12543 жыл бұрын
We have lost ahero,not only in Tanzania but in the African,rest in peace daddy.ilack words to say .
@nyanjirakhamis23383 жыл бұрын
Mungu akupe mpumziko la milele daima
@jescamuijsers42063 жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge, mtetezi wa kinamama wanaoonewa,mpangusa machozi ya wamama wasiyo na uwezo, mtetezi wa mtanzania nikweli ulijitoa kwenye nchi yako kwakila namna, buriani rais magufuli,milele tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭🤲🙌
@kondeinnoss22243 жыл бұрын
Hapa duniani tunapita baba mungu akulaze mahali pema peponi tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi yatu
@suzy68773 жыл бұрын
kweli kabisa, You spoke the truth , Barakoa zina matatizo,
@blandinahillary90933 жыл бұрын
Rest easy hero💔
@samwelkilale11813 жыл бұрын
Mzee umejua kutuliza wew mwenyezi mung akupe fildahusii
@damianmakala29133 жыл бұрын
MUNGU hashindwi kitu ! Tumtangulize MUNGU ! Dah sitakusahau mwamba my best president ! Yaani dah nalia tu
@stellafrancis27933 жыл бұрын
Jaman amka basi baba, amka Rais wetu weeeeee😭😭😭😭😭😭😭. Kweli jaman unatuacha jaman uwiiii. Amka baba, amka John, tukuone tena ukituhutubia wanao jaman amka😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Duuuu mwenyezimungu akulaze mahala pema pema pepon yaani mimi mpaka leo siamin😭😭😭
@jonhyjomba97453 жыл бұрын
Pumzika kwa aman
@restitutamkenda3963
3 жыл бұрын
Upokelewe Mbinguni kwenye makao ya milele baba.pumzika kwa Amani
@alenizack80643 жыл бұрын
Pumzika kwamani shujaa wetu
@maisaalawy45123 жыл бұрын
Innalilahi wainailahi rajiun
@ramsokingo5607
3 жыл бұрын
Sisi sote ni wa mungu na kwake tutarudi
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Hata kama wakikupa sumu utakwenda kwani uwongo baba 😭😭😭
@anicyaedward56053 жыл бұрын
Yaaan President kaongea ukweli chonde chonde tufuate ushauri wake watanzania balakoa barakoa vaen za kutengeneza tafadhalu 😭😭😭😭
@marthajohn60203 жыл бұрын
Baba ulkuwa unatupa maneno manzur ya kutujenga sasa baba Kama umeondoka nan atatpa maneno manzur pumzk kwa amani maguful
@goodlucklutabila75273 жыл бұрын
rest in peace JPM
@kwangulugata76153 жыл бұрын
R I P rais wetu tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi tutakukumbuka milele 😭😭😭
@rehemafeysali79683 жыл бұрын
Magufuli eeeee 😭😭😭umeondoka baba Lakin nashindwa kukuita malehemu maneno yako yananiliza mno yaan kama ulijua utaondoka shujaaa 😭😭🙏
@abedysalumu72143 жыл бұрын
Inalilah wainalilah rajiun
@jabarmalid53932 жыл бұрын
"Mimi ni kiongozi wenu ninajua mengi" MWALIMU.
@frankkashner3 жыл бұрын
Shujaa Wangu
@hassanussein18173 жыл бұрын
Adui wa Africa ni mu afrika mwenyew. mlishindwa kumlinda na inchi ya Tanzania unashindwa kuzugumza ukweli kwamba ki fu cha Raisi Magufuli kimetokana na ambao waitwa wazungu du
@sifatiiman
3 жыл бұрын
😃😄 Kumbe hebu nifumbue macho na mimi nijue
@hassanussein1817
3 жыл бұрын
@@sifatiiman alikua akiimba nyimbo moja isiji ikatokea ikawa Libya na Khaddafi, nadicho kilicho kwa sasa Government ya Tanzania inaficha na uku inajuwa ukweli
@hassanussein1817
3 жыл бұрын
Maendeleo Ya Tanzania watu wa Est, Ouest na North ya Africa awakupendezwa kwao ilifika kwa uwakati wa korona waka tafuta ki kwazo
@sifatiiman
3 жыл бұрын
@@hassanussein1817 doooh yaan ni sianzi tupu kuondokewa na rais akiwa madarakan 😥😥😥😢
@anicyaedward56053 жыл бұрын
Mm kama naota 😭😭😭😭😭😭😭 tutafuata ushauri Mungu yupo baba pumzika 😭😭😭💔
@yonahdmpgm41083 жыл бұрын
Dear father😭😭😭😭😭😭😭
@youngmbeyaboy46923 жыл бұрын
Pumzika kwaaa Aman baba wataifaa😭😭😭😭😭😭😭
@raymondpeter85553 жыл бұрын
Umelala yooooo 😭
@khayraatsaidi38013 жыл бұрын
Innaa Lillahi wa innaa Ilayhi raajiuun
@rabiasaad42213 жыл бұрын
😭😭💔💔🙏
@scolabahame22143 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@sabahaabebe30853 жыл бұрын
😭😭😭😭bado kidonda hakijapona
@cecygeorge4443
3 жыл бұрын
Raisi wetu jamani pumzika kwa Amani tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi Baba😭😭😭😭😭🙏
@lovenessibrahimu67303 жыл бұрын
R. I.P Mr President R.I.P Jembe Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Ukagone Malafyale
@upendomollel5661
3 жыл бұрын
Dada acha tu , Tuombe Mungu sana
@jennifermusa30873 жыл бұрын
😭😭😭😭
@ramadhankhabhaheza98603 жыл бұрын
Rest in peace our dear president John Pombe Magufuli
@denisjohanes47333 жыл бұрын
😭😭😭😭😭💔💔💔💔
@ivomtono53113 жыл бұрын
😭
@fatumagilo97123 жыл бұрын
Pumzika kwa Armani baba wataifa 😭😭😭😭
@rehemshehoz87043 жыл бұрын
Mpk sas bad siamin
@expert58983 жыл бұрын
Daaaaa!!! As if he still alive.
@happinessmwissemwissw17193 жыл бұрын
Baba yangu umejua kuniliza jamanii Kwanini mapema hivi daaaah
@Gevidotvonline3 жыл бұрын
Rip Dady
@haruniwilium98843 жыл бұрын
Umetuacha yatima baba, pumzika kwa amani
@chamimdesa1483 жыл бұрын
Huyu ndiye NABII na MTUME wa kweli
@sadasadick67963 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana baba yetu
@atupokilengallah48823 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@gloryfrancis50393 жыл бұрын
Mungu jamani tuhurumie tuu
@faithhumble37803 жыл бұрын
Mtihani mkubwa sana
@dimmyquincy5539
3 жыл бұрын
Kabisa
@immanuelchacha3822
3 жыл бұрын
Sasa tutampata wapi jamani Raising WA hivi jamani
@yunusali76173 жыл бұрын
Baba wamekusaliti wamekusaliti MUNGU akuweke panapo stahiki jembe letu inauma yani dah MAGUFULI nalia nalia,baba washahalalisha sindano kujifukuzia hawakuamini tena jamanii,ila mimi nimuumini wa magufuli nation.
@athumanishaban40773 жыл бұрын
Rip Magu
@kaizamandike87713 жыл бұрын
Umeondoka mapema hivi hicho kiti unamwachia Nani sasaaa???
@glorymassawe98583 жыл бұрын
Dah 😣
@damianvicent49383 жыл бұрын
R I P BOSS 😭
@deborasigalla81903 жыл бұрын
Ulitupa ujasiri mno katikati ya hili tatizo ujue baba.
Пікірлер: 143
Umetuachia mtihani baba 😭💔 Yaani wewe ni Mtumishi tusipo fuata ushauri wako tutajuta Mungu atusaidie sana
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Upo sahh tusipoyafata n shida
@damianmakala2913
3 жыл бұрын
Kweli kabisa tusipofuata ushauri wa huyu mzee tutaisha kwa kweli ! Ni huruma ya MUNGU tu
Hii clip sio Magufuli baali ni Roho wa Mungu alikuwa anasema na Taifa.
@raymondanthony6207
3 жыл бұрын
Uko sawa rafik
Baba wewe Ni muungwana Mungu akupumzishe kwa Amani. Tunakupenda Sana sana
Ukianza kuongea natabasabu lakini akili yangu inarejea nakuniambia haupo tena nabaki kulia 😭😭😭Pumzika kwa amani Baba yangu hakika ulikuwa ni mfano wa kuigwa daah baba ulikuwa unaumwa bila kutuambia angalau tukafunga na kuomba kwaajiri yako aaaa kizuri hakidumu
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
We ndugu kumbe siko pekeangu yani mie mpka nilikonda mawazo yalikuwa yako utawala moyo wangu nilihisi kama nimepotelewa na ndugu wa karibu kabisa si wa mbali jamni kulia 😭😭😭
R.I.P raisi wetu tulikupenda mungu kakupenda zaidi pimzika kwa hamani
We love you so much in Uganda ntoroko district RIP baba
Mungu aiweke roho ya raisi wetu mahali pema peponi pumzika kwa aman Baba yetu mbele yako nyuma yetu
R I P Raisi wetu Doctor Jonh pombe magufuri tutakukumbuka sana baba mungu akusamehe madhambi yako na ulale kwa amani😭😭😭
😭😭😭 daaa jamani🙆 hakika kitu kizuri hakidumu hakika umetuacha yatima sidhani kama tutapata mwingine kama wewe.R.I.P baba yetu tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi🙏🙏
Kwakweli mpaka sasa siamini 😢😢😢 naona km naota. Sijui nitalipokea lini hili . Mungu tutie nguvu,wewe ndiye ujuaye yote.
😭😭😭😭mungu akupumzishe kwa salama n amn. Hakika mann yk 2tabk nayo daima mileleeee😭😭😭🙏. Nendaaa salamaaa kwaher y kuonanaaa tena legend we2 kipenzi😭😭😭🙏
Kifo kipo lakin hakizoeleki jaman staki kuamini mimi leoooo😭😭😭😭 tz yetu ss 🇹🇿😭 mzee wetu jaman 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Vita Umevipiga na Mwendo Umeumaliza Salama, Mwanga wa Milele Ukuangazie Kipenzi Cha Watanzania. Hakika kwake tutarejea 💔💔 R.I.P JPM 😭😭😭
@shanishosho911
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭💔
Kweri Raisi wetu a naiman abawajua saana wabaya wetu daaa Tunakupenda Raisi wetu daima😭😭😭😭😭😭hatutokusahau
Aise inauma kwakwel polen sana watanzania mungu awape nguvu kwakweli nilimpend uyu baba mpaka nikataman nibadili injii allah ampe kauli dhabiti 😭😭😭😭😭
Innalilah waina lilahi la juun Allah akupe kauli thabiti 😭😭Allah alifanye kabuli lako liwe kati ya bustani za peponi Inshaallah😭😭😭 Amiin🙏🙏
😭😭😭😭😭😭😭tutakwenda wapi tukapate ushauri hatutasikia tena sauti yako live Baba tumebaki na majonzi tu 😭😭😭😭😭😭😭 tutayaenzi yote mema uliyotuhusia Mungu akupumzishe kwa amani shujaa wetu 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Innallillahi wainna illahi rajiun shujaa pumzika kwa amani kazi ya Allah haina makosa @john pombe magufuli
Ahsante MUNGU kwa mussa wetu ambaye ndie Rais magufuli,tunaomba utupe joshua wetu atuongoze vyema sawasawa na mapenzi yako.
@upendomollel5661
3 жыл бұрын
Amen mtumishi. Joshua yupo
@kaicy165
3 жыл бұрын
Amina
Oo Lord Let Your Love Not depart from us
Mungu akupumuzishe kwa Amani baba tumekumiss umetuachia ukiwa hatujui kinachoendea sasaivi 😭😭😭
Magufuli hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru Mungu,ok R.I.P
Pumzika kwa amni shujaaa wetu jpm
Saffi Sana baba umekufa ukiwa na imani na mungu
R.i.p rais wetu tangulia xie tupo nyuma yk
Daaaah 😭😭😭😭😭 kumbe huu ulikuwa USIA wako wa mwsho kwe2 Baba weeeeee ume2achia majonzi makubwa sana pumzka kwa aman
RIP Dr Magufuri and we will miss you, I can't believe that you have gone and we shall not hear from you again, but you have done your work and going for another work somewhere where you needed too 🙏🙏🙏🙏
Pumzika kwa amani baba nabii wa kweli uliezima ghafla will ever miss you
Best president ever,hofu yake ya Mwenyezi MUNGU ni sifa yake bora zaidi,Mwenyezi MUNGU ailaze roho yake katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume.
INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUN
@filbertmethusela1407
3 жыл бұрын
We kjn upo kweli
@surealfredkabasa4518
3 жыл бұрын
@@filbertmethusela1407 nìpo kakaaaa
@surealfredkabasa4518
3 жыл бұрын
@@filbertmethusela1407 uko salama wewe.......!?
Jaman wewe baba mie mbona nashindwa kukusahau 😭😭😭 pumzika kwa amani Rais wangu 🙏
Hakika iman uliyokuwa nayo n kubwa sana mungu akubarik
Mungu akupokee kwa amani baba
Mtumishi wa Mungu asiyetahayari.Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
tumtangulize Mungu
Que bom para vocês aí a pandemia já passou !!Nos aqui no Brasil estamos sofrendo com a pandemia!!😭😭😭😔😔😔
jamanii magu nenda baba uwende salama tulikupenda sana wa kenya
Raisi wetu tunakuombea Mungu kakupenda zaidi tunalia baba tumeumia sanaa😭😭😭😭😭
@husseinissa1179
3 жыл бұрын
R.I.P Our President 💔💔
Huyu mzee kwakweli nilikuwa nampenda Sana. Maana kila kitu kila Hatuwa yeye anamtanguliza mungu.
R. I. P our president JPM we loved u so much
Wakat huu ndo wakat wa kumuomba mungu kisawasawa
We have lost ahero,not only in Tanzania but in the African,rest in peace daddy.ilack words to say .
Mungu akupe mpumziko la milele daima
Mtetezi wa wanyonge, mtetezi wa kinamama wanaoonewa,mpangusa machozi ya wamama wasiyo na uwezo, mtetezi wa mtanzania nikweli ulijitoa kwenye nchi yako kwakila namna, buriani rais magufuli,milele tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭🤲🙌
Hapa duniani tunapita baba mungu akulaze mahali pema peponi tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi yatu
kweli kabisa, You spoke the truth , Barakoa zina matatizo,
Rest easy hero💔
Mzee umejua kutuliza wew mwenyezi mung akupe fildahusii
MUNGU hashindwi kitu ! Tumtangulize MUNGU ! Dah sitakusahau mwamba my best president ! Yaani dah nalia tu
Jaman amka basi baba, amka Rais wetu weeeeee😭😭😭😭😭😭😭. Kweli jaman unatuacha jaman uwiiii. Amka baba, amka John, tukuone tena ukituhutubia wanao jaman amka😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tutakukumbuka sana JPM
Jamanii nalia mimi dah yaniiiii tumeumbuka Tanzania tumeumbuka heeeeee,innalillahi wainnalillah rajiun.
Duuuu mwenyezimungu akulaze mahala pema pema pepon yaani mimi mpaka leo siamin😭😭😭
Pumzika kwa aman
@restitutamkenda3963
3 жыл бұрын
Upokelewe Mbinguni kwenye makao ya milele baba.pumzika kwa Amani
Pumzika kwamani shujaa wetu
Innalilahi wainailahi rajiun
@ramsokingo5607
3 жыл бұрын
Sisi sote ni wa mungu na kwake tutarudi
Hata kama wakikupa sumu utakwenda kwani uwongo baba 😭😭😭
Yaaan President kaongea ukweli chonde chonde tufuate ushauri wake watanzania balakoa barakoa vaen za kutengeneza tafadhalu 😭😭😭😭
Baba ulkuwa unatupa maneno manzur ya kutujenga sasa baba Kama umeondoka nan atatpa maneno manzur pumzk kwa amani maguful
rest in peace JPM
R I P rais wetu tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi tutakukumbuka milele 😭😭😭
Magufuli eeeee 😭😭😭umeondoka baba Lakin nashindwa kukuita malehemu maneno yako yananiliza mno yaan kama ulijua utaondoka shujaaa 😭😭🙏
Inalilah wainalilah rajiun
"Mimi ni kiongozi wenu ninajua mengi" MWALIMU.
Shujaa Wangu
Adui wa Africa ni mu afrika mwenyew. mlishindwa kumlinda na inchi ya Tanzania unashindwa kuzugumza ukweli kwamba ki fu cha Raisi Magufuli kimetokana na ambao waitwa wazungu du
@sifatiiman
3 жыл бұрын
😃😄 Kumbe hebu nifumbue macho na mimi nijue
@hassanussein1817
3 жыл бұрын
@@sifatiiman alikua akiimba nyimbo moja isiji ikatokea ikawa Libya na Khaddafi, nadicho kilicho kwa sasa Government ya Tanzania inaficha na uku inajuwa ukweli
@hassanussein1817
3 жыл бұрын
Maendeleo Ya Tanzania watu wa Est, Ouest na North ya Africa awakupendezwa kwao ilifika kwa uwakati wa korona waka tafuta ki kwazo
@sifatiiman
3 жыл бұрын
@@hassanussein1817 doooh yaan ni sianzi tupu kuondokewa na rais akiwa madarakan 😥😥😥😢
Mm kama naota 😭😭😭😭😭😭😭 tutafuata ushauri Mungu yupo baba pumzika 😭😭😭💔
Dear father😭😭😭😭😭😭😭
Pumzika kwaaa Aman baba wataifaa😭😭😭😭😭😭😭
Umelala yooooo 😭
Innaa Lillahi wa innaa Ilayhi raajiuun
😭😭💔💔🙏
😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭bado kidonda hakijapona
@cecygeorge4443
3 жыл бұрын
Raisi wetu jamani pumzika kwa Amani tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi Baba😭😭😭😭😭🙏
R. I.P Mr President R.I.P Jembe Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Ukagone Malafyale
@upendomollel5661
3 жыл бұрын
Dada acha tu , Tuombe Mungu sana
😭😭😭😭
Rest in peace our dear president John Pombe Magufuli
😭😭😭😭😭💔💔💔💔
😭
Pumzika kwa Armani baba wataifa 😭😭😭😭
Mpk sas bad siamin
Daaaaa!!! As if he still alive.
Baba yangu umejua kuniliza jamanii Kwanini mapema hivi daaaah
Rip Dady
Umetuacha yatima baba, pumzika kwa amani
Huyu ndiye NABII na MTUME wa kweli
Tutakukumbuka sana baba yetu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu jamani tuhurumie tuu
Mtihani mkubwa sana
@dimmyquincy5539
3 жыл бұрын
Kabisa
@immanuelchacha3822
3 жыл бұрын
Sasa tutampata wapi jamani Raising WA hivi jamani
Baba wamekusaliti wamekusaliti MUNGU akuweke panapo stahiki jembe letu inauma yani dah MAGUFULI nalia nalia,baba washahalalisha sindano kujifukuzia hawakuamini tena jamanii,ila mimi nimuumini wa magufuli nation.
Rip Magu
Umeondoka mapema hivi hicho kiti unamwachia Nani sasaaa???
Dah 😣
R I P BOSS 😭
Ulitupa ujasiri mno katikati ya hili tatizo ujue baba.
RIP Mr President.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
R.I.P baba JPM
Rest in peace