Mt. Kizito Makuburi - Nenda Magufuli ( live performance )

Музыка

Kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi wakiimba mbashara katika Studio za TBC Taifa, kuomboleza kifo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli
“Ikiwa Twaamini ya Kwamba Kristo alikufa na Kufufuka ,Vivyo hivyo na Hao waliolala katika Kristo, Mungu atawaleta Pamoja Naye”
Waimbaji: KMK Makuburi
Wimbo : Nenda Magufuli
Mtunzi na Mtangulizi : Bernard Mukasa
Kinanda: Vinny Mukasa
Pumzika Kwa Amani Mpendwa🙏🏾
Tutaonana Tena🙏🏾🇹🇿.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital

Пікірлер: 314

  • @salomesinkonde7330
    @salomesinkonde73303 жыл бұрын

    Kam wimbo huu umekutoa machoz kama Mimi tujuane like yako

  • @benadetarichard6493

    @benadetarichard6493

    3 жыл бұрын

    Dah yaan nimejikuta machoz yananitiriri apumzike kwa Amani baba yetu

  • @bonfacejohn5350

    @bonfacejohn5350

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @selecolman6881

    @selecolman6881

    3 жыл бұрын

    Jamani,wimbohuu umenilizasana

  • @davidevarist242

    @davidevarist242

    3 жыл бұрын

    Mungu apumzishe kwa amani

  • @jemamhagama4978

    @jemamhagama4978

    3 жыл бұрын

    Bernard mkasa mini?

  • @mercynamusia622
    @mercynamusia6223 жыл бұрын

    Who's watching from Kenya 🇰🇪 ❤️

  • @oderokennedy1525

    @oderokennedy1525

    3 жыл бұрын

    Here I'm

  • @milcahchepkoech6614

    @milcahchepkoech6614

    3 жыл бұрын

    Nko apa

  • @lynetmatara611

    @lynetmatara611

    3 жыл бұрын

    niko hapa

  • @annekavata1

    @annekavata1

    3 жыл бұрын

    Here I am

  • @velejilyonatalis1787
    @velejilyonatalis17873 жыл бұрын

    Mimi Ombi langu kwa viongozi wa kanisa katoliki,Maaskofu mtasaidia kukusanya taarifa zitakazo saidia MAGUFULI kutangazwa MTAKATIFU wengi waliotangazwa kuwa watakatifu wali fanya haya haya na wengine hata hawamfikii MAGUFULI.

  • @magemagrita2265

    @magemagrita2265

    3 жыл бұрын

    Umenena sana

  • @eligiusmuganyizi199
    @eligiusmuganyizi1993 жыл бұрын

    Kaka Mukasa huwa unanibariki sana. Huu wimbo melody yake nilisikia album yako ya kifo cha Papa John Paul II. Mkuu umejaliwa sana kwa utunzi.RIP JPM

  • @malifezajrdealf8982
    @malifezajrdealf898220 күн бұрын

    Mbarikiwe sana makuburi kwa huu wimbo

  • @LukaSilanda
    @LukaSilanda3 ай бұрын

    Nakukubali mno mkasa kwa upeo uliojaliwa na mungu ongera

  • @muamuthini9181
    @muamuthini91813 жыл бұрын

    My dream ni kufika TZ nchi yenye imebarikiwa kaaaa hiyo Tena singing yenu napeda Kwa sababu pia Mimi ni mwanachoir ,,,, to our president ,,,,may God welcome him ,,,,

  • @robertmasolele3559
    @robertmasolele35593 жыл бұрын

    Nenda baba Nenda, kwa kuwa kiti na taji lako viko tayari, tena kazi umeshaimaliza. Hakika tutaonana mtoni. Na upendo mwingi- California.

  • @M.MK765
    @M.MK7653 жыл бұрын

    Nashindwa la kufanya nilie au nifurahie na kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais Magufuli. Asante kwa wimbo mzuri, umeugusa moyo wangu

  • @meypaulin6138
    @meypaulin61383 жыл бұрын

    Baba yangu makofuli wimbo uu ukakufungulie milango ya mbinguni tunakuimbia watazania mungu akupokee

  • @augustinoshigela6329
    @augustinoshigela63293 жыл бұрын

    Mukasa nakukubari sana hakika unakipaji kaka wimbo mzur sana wa JPM R.I.P JPM vita umevipiga mwendo umeumaliza

  • @lucywambui604
    @lucywambui6042 жыл бұрын

    Kenya twa wapenda,Magfuli azidi kupumzika kwa amani

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine71133 жыл бұрын

    Poleni sana Wa Christo wezetu wa Tanzania... Mungu wetu amreemu Rais Magufuli na kumpokeya vema...

  • @japhetjonasmwanangombe8330
    @japhetjonasmwanangombe83303 жыл бұрын

    Asanteni sana kwaya ya Mt. Kizito Makuburi. Mpendwa wetu apumzike kwa Amani Bwana alitwaa na Bwana ametoa

  • @baholabuya6863
    @baholabuya68633 жыл бұрын

    Pokeeni risala za wakenya. Poleni kwa kumpoteza kiongozi shupavu. Mko maombini mwetu na mioyoni mwetu. Mungu ailaze roho take mahala pema peponi.

  • @user-ri7rg1xx6n
    @user-ri7rg1xx6n11 ай бұрын

    Hakika kazi ya mungu haina makosa hatuna bud kusema raha ya milele umpe ee bwana

  • @milairyn2549
    @milairyn25493 жыл бұрын

    Safiri salama rais Magufuli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lucyoisso3187
    @lucyoisso31873 жыл бұрын

    Daah Mungu akupe pumziko la milele raisi wetu magufuli😭😭😭

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya77283 жыл бұрын

    Kaka Mukasa Mungu wa Mbinguni akupe haja ya moyo wako. Hujawai kosea kwenye utunzi.

  • @susanchepkurui4797
    @susanchepkurui47973 жыл бұрын

    Nenda Salama baba,,umevipiga Vita vilivyo vizuri,mwendo umeumaliza. Watanzania Mungu awape uvumilivu na subira..Ni wakati mgumu kwa hakika kwa nchi, Afrika Mashariki na Dunia nzima twaomboleza 😭😭😭

  • @irencosmas2512
    @irencosmas25123 жыл бұрын

    Mwenye mamlaka na maisha ya mtu Mungu pekee na ck ikifika hakuna nanna lazima uende. Kazi ya Mungu haina makosa pumzika baba Magufuli

  • @suzanakamala3615
    @suzanakamala36153 жыл бұрын

    Wimbo mzuri c jauona kwenye TV. Fanya mchakato basis.

  • @manumbubujiba8610
    @manumbubujiba86103 жыл бұрын

    Nimewakubali kw wimbo huo wahisia nautulivu wahali ya juu.

  • @mastidiafabian3802
    @mastidiafabian3802 Жыл бұрын

    Kwaya ya makuburi daima mnatoa vigongo. Kongole kwenu

  • @anatorikigahe
    @anatorikigahe3 жыл бұрын

    Katika nyimbo nilikuwa naisubiri kwa hamu ni kutoka kwa Mukasa, kupitia hii kwaya kubwa East Afrika. .... Asantee sana KMK kumuaga mtumishi huyu wa Mungu kwa wimbo huu. Mungu awabariki

  • @leonidaeunice6674

    @leonidaeunice6674

    3 жыл бұрын

    I waited almost gave up..but he never disappoints..bettet late than never...they can sing

  • @kimanziikutha9095
    @kimanziikutha9095 Жыл бұрын

    JPM aendelee kulala kwa amani na mungu aibariki Tanzania na Africa mashariki. Kila ninapomkumbuka JPM huwa naja kuusikiliza wimbo huu.

  • @roselinendegwa2158
    @roselinendegwa21583 жыл бұрын

    JPM Lala salama raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umeagazie Apumzike kwa Amani 🙏🙏🙏😭😭😭

  • @restipaul4286
    @restipaul42863 жыл бұрын

    Daah hakika Mungu amekupa kipaji kizuri kaka Mukasa

  • @kimamuzawadi3645
    @kimamuzawadi36453 жыл бұрын

    Lala saama baba muheshimiwa rais Magufuri mpendwa. ( I am Rwandan)

  • @theresiajoseph1943
    @theresiajoseph19433 жыл бұрын

    Hamjawwh niangusha jmn kwaya yangu pendwaa Tanzania hii daaah ,my favourite choir I love you kizitoo jmn ,daaah ad nashndw niseme nn

  • @teilom.lwandeaj1947
    @teilom.lwandeaj19473 жыл бұрын

    Poleni na Msiba wa kuondokewa na Rahisi wenu mpendwa. Ee Bwana umjalie pumziko la milele; na mwanga wa milele uwaangazie. Apumzike kwa amani. Amina.

  • @stevelastborn4670
    @stevelastborn46703 жыл бұрын

    Nilikuwa nangoja huu wimbo sana kutoka Benard Mukasa, be blessed, from +254

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro13543 жыл бұрын

    Salute Mungu ilaze pema Roho ya Raisi wetu

  • @freddykippa
    @freddykippa3 жыл бұрын

    Hayati Dkt. JOHN POMBE MAGUFULI, daima nitakuombea pumziko la Milele. Kazi uliyoifanya kwa Tanzania ni ya kukumbukwa hata vizazi na vizazi.

  • @evancekimath7405
    @evancekimath74053 жыл бұрын

    Hakika kazi zako hua ni nzuri sana Makuburi, R.i.p Jpm

  • @maryinyas9320
    @maryinyas93203 жыл бұрын

    Kaka Bernard unanibariki sana. Nilikutaja sana kipindi hiki kumbe Mungu kakusemesha. Nimesikiliza sana nyimbo za kwaresma na sasa umeleta nilichotarajia, mbarikiwe sana wana makuburi. R.I.P Magufuli.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69373 жыл бұрын

    Nenda baba nenda daaaa jamani😭😭😭 pumzika kwa amani baba yetu mbele yako nyuma yetu🙏

  • @frankmpole3628
    @frankmpole36283 жыл бұрын

    R.I.P Rais JPM !! Duh kaka mkasa huwa unanikosha Mungu azidi kukulinda na kukuinua zaidi

  • @kimzo3p
    @kimzo3p3 жыл бұрын

    Hakika Tanzania na Africa mzima no machungu mno tumeondokewa na shujaa mchapa kazi aliye na ujasiri tele...nenda baba magufuli tutabaki kuenzi mwenendo zako.. pumzika kwa amani

  • @josephinesoo5282
    @josephinesoo52823 жыл бұрын

    Much love from Kenya president magufuli shine on your way. Till we meet again 😭😭😭

  • @alexbazilius2730
    @alexbazilius27303 жыл бұрын

    Bernard Mkasa Mwimbaji sana.

  • @restipaul4286
    @restipaul42863 жыл бұрын

    Barikiwa saana kwa wimbo mzurii

  • @johnbosco8281
    @johnbosco82813 жыл бұрын

    Utulivu wa waimbaji....uhalisia wao katika kuwasilisha ujumbe ni huzuni tosha

  • @johnbosco8281
    @johnbosco82813 жыл бұрын

    Apumzike kwa Amani Kiongozi Wetu.....

  • @sweetluc2660
    @sweetluc26603 жыл бұрын

    Nenda Baba tuatakukumbuka Daima

  • @immaculataroeser8428
    @immaculataroeser84283 жыл бұрын

    Mmbrikiwe sana kwa kumombea Rais wetu apumzike salama mahali pema peponi.Mtungali wa hii nyimbo Mungu akujalie Hekima yake.

  • @theresiaburusu1497
    @theresiaburusu14973 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kuhubiri kwa kuimba mbarikiwe

  • @Irene-qt5zq
    @Irene-qt5zq3 жыл бұрын

    Wimbo huu jamani Kila ninapousikiliza machozi yananitoka mtetezi wetu jamani 😭😭 na sasa naona Kama tumeshaanza kurudi Misri Mungu tusaidie

  • @fortunataleonce8028
    @fortunataleonce80283 жыл бұрын

    Rest easy my President lakini tukakukumbuka daima kwa sababukivuli kinaishi

  • @clementmbanda6988
    @clementmbanda69883 жыл бұрын

    Kaka Mukasa huwa unanibariki Sana ...RIP Magufuli...kmk Mungu awabariki

  • @innocentmadhuku9992
    @innocentmadhuku99923 жыл бұрын

    This is the real practical demonstration of the purpose of the church, I like this MT Kizito Makuburi

  • @rozysvlogs2300
    @rozysvlogs23003 жыл бұрын

    Mwendo umeumaliza na vita umevipiga vyema nenda kwa amani Dr John Pombe

  • @StephenTossi-tj2uv
    @StephenTossi-tj2uv Жыл бұрын

    Hakika wimbo huu umenitoa machozi

  • @jepkemei
    @jepkemei3 жыл бұрын

    Poleni sana ndugu zetu Watanzania. Mungu awape awape subira.

  • @amonikulwa4746
    @amonikulwa47463 жыл бұрын

    Nenda baba nenda shujaa wa Africa sote njia yetyu moja Oooh!! Jaman bado moyo wangu huamini kama hatuna na ww tena naamini tupo nawe kiroho Njoo japo mara moja tuagane Shujaa wetyu

  • @ancilangailo6887
    @ancilangailo68873 жыл бұрын

    Mt. Kizito mungu azidi kuwabariki Sana

  • @paulinalohay3413
    @paulinalohay34133 жыл бұрын

    Naenda baba nenda kwa Aman umpuzik kwa Aman Amina wimbo mzuri Sana

  • @victorasanyo9663
    @victorasanyo96632 жыл бұрын

    Nice tanzanians,,I like the performance,,,

  • @lydiamokeira6062
    @lydiamokeira60623 жыл бұрын

    Mtegemee Mungu kwa kila jambo.. Maneno Ya Hayati Baba Yetu JBM Nenda Baba Salama😭😭😭

  • @mastidiafabian3802
    @mastidiafabian3802 Жыл бұрын

    Kiukweli Mkasa ulitunga wimbo

  • @wisperfect5320
    @wisperfect53203 жыл бұрын

    Kwa nyimbo na maombolezo na jinsi ulivyoliliwa naamin umeenda kwa mungu moja kwa moja pumzika kwa amani jpm

  • @felistusrhoda
    @felistusrhoda3 жыл бұрын

    Mwendo umeumaliza pumzika kwaheri🙏🙏🙏

  • @ritakendi9075
    @ritakendi90753 жыл бұрын

    Mwanga wa milele umengazie ee bwana

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula55923 жыл бұрын

    Asante Mukass wimbo safi wa kuombekeza

  • @roseurio5625
    @roseurio56253 жыл бұрын

    Nenda baba daima tutakukumbuka 😭😭😭😭😭😭

  • @mariajacklinemethod7077
    @mariajacklinemethod70773 жыл бұрын

    Apumzike kwa amani, wimbo uko makini Sana umenitoa machozi, pumzika baba mpendwa wetu.

  • @sevelinpeter2835
    @sevelinpeter28353 жыл бұрын

    Nenda baba nenda kwaher ya kuonana taifa 🇹🇿🇹🇿 tunakuombea

  • @victorynyenza5666
    @victorynyenza56663 жыл бұрын

    Mungu awabariki kwa uinjilishaji. Hakika, NENDA BABA NENDA

  • @acquilynermashoko7349
    @acquilynermashoko73493 жыл бұрын

    Daaah ni kwelii kwamba imebaki story tu😭😥😭

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima28803 жыл бұрын

    Amina KMKM.Mwenyezi aliyesirini awaangaze

  • @Irene-qt5zq
    @Irene-qt5zq3 жыл бұрын

    Wimbo mzuriiiii. Nenda baba ukastarehe na malaika huko mbinguni

  • @magejuliani5293
    @magejuliani52933 жыл бұрын

    Pumzika Baba, jemedari na shujaa wetu! Mipango ya Mungu haiepukiki anavuna tunda lolote anapotaka! Mungu ampunzishe kwa amani

  • @felipechuma9225
    @felipechuma92253 жыл бұрын

    Ni kwaya mzuri sana, pumzika salama Jpm

  • @fjojoly
    @fjojoly3 жыл бұрын

    thankyou sana kwa kuwa pamoja nasi katika kipindi kigumu love frm Tz

  • @syphrosekerubo7089
    @syphrosekerubo70893 жыл бұрын

    Safiri salaam Jpm tutaonana badae😭😭😭😭

  • @candidadilemile5882
    @candidadilemile58823 жыл бұрын

    Pumziko lamilele akupe EBwana na Mwanga wa milele akwangazie John Pombe Magufuli upate rehema kwa Mungu upumzike kwa Amani

  • @reginawamuyu3036
    @reginawamuyu30363 жыл бұрын

    Poleni ndugu zetu watanzania. Mola azidi kuwafariji.

  • @flojoseph8321
    @flojoseph83213 жыл бұрын

    Na Apumuzike kwa Amani ya bwana wa milele 🙏..kutoka Kenya tu pamoja nanyi

  • @happyallon38
    @happyallon383 жыл бұрын

    Wimbo umenitoa machozi,nenda baba pumzika kwa amani

  • @baziliosasila5064
    @baziliosasila50643 жыл бұрын

    Tunaomba mkaurekodi studio kabsa. Tunaumia sana kwa kuondokewa na mpendwa wetu JPM 😤😤😤😤😤

  • @alesiakayoka9121
    @alesiakayoka91213 жыл бұрын

    Kwaheri Nenda baba Nenda, watanzania tutakukumbuka ,Ndugu umeturoka hatuko tena nawe kwa heri baba

  • @mgonasipapune1383
    @mgonasipapune13833 жыл бұрын

    Asante sana kwa wimbo mzuri Mungu ailaze roho ya marehemu Mahali pema Paradise

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso67923 жыл бұрын

    Raha ya milele umpee ee bwana, mwanga wa milele umwangazie na apumzike kwa Amani JPM nyumbani TANZANIA. Amina.

  • @bettykenyausatv
    @bettykenyausatv3 жыл бұрын

    Poleni Sana kwa msiba Mungu awafariji watanzania.

  • @jocelynerwechungura971
    @jocelynerwechungura9713 жыл бұрын

    Asanteni sana kwa wimbo Mzuri Mungu awabariki sana 🙏🏽 Rest In Peace our Beloved President 🙏🏽

  • @beatusnsiima8005
    @beatusnsiima80053 жыл бұрын

    Asante sana wana KMK ka wimbo mzuri wa kumsindikiza baba yetu....Asante Sir Mukasa & Family.. R.I.P Mzee Magu

  • @annenguma7457
    @annenguma74573 жыл бұрын

    Wimbo mzuri hongereni

  • @naomigerad8199
    @naomigerad81993 жыл бұрын

    Pumzika kwaamani kiongozi wetu mwema

  • @chepngetichvalery5303
    @chepngetichvalery53033 жыл бұрын

    Sad watching from kenya

  • @munezerochristelle4952
    @munezerochristelle49523 жыл бұрын

    Much respect From Rwanda RIP Pombe Magufuri😭😭😭😭

  • @stellamarisndinda8524
    @stellamarisndinda85242 жыл бұрын

    As catholics we believe those who die in righteousness form the Heavenly Church that prays for the church on earth, Magufuli RIP and remember to save Africa, I treasure ur loyalty and ur sword like, leadership.

  • @bernadetteikandi4438
    @bernadetteikandi44383 жыл бұрын

    Emotional. Pole ndugu Watanzania. Much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @justermugure6856
    @justermugure68563 жыл бұрын

    My condolences... Wanakwaya wenzangu... Nawapenda sana

  • @Ben-Live
    @Ben-Live3 жыл бұрын

    Much love from Uganda. Rest In Peace John Pombe Magufuli

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic31513 жыл бұрын

    Nenda baba tutaonana baadae😭😭🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @georgeagelleard249
    @georgeagelleard2493 жыл бұрын

    Ni kwel hatunae tena mpendwa wet

  • @alicemerchior2579
    @alicemerchior25793 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri, Bye bye Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli,

  • @raphaelmasanza3693
    @raphaelmasanza36933 жыл бұрын

    asante makuburi .(mukasa)mwendo ameumaliza RIP baba magufuli

  • @justinedwin9184
    @justinedwin91843 жыл бұрын

    I declare this is the best song for this hardtime...

  • @kakukomusa8438
    @kakukomusa84383 жыл бұрын

    Kwakheri baba... Ameaga but ukweli haijakufa itadumu.Ni uchungu sana

Келесі