Mt. Kizito Makuburi - Nenda Magufuli ( live performance )
Музыка
Kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi wakiimba mbashara katika Studio za TBC Taifa, kuomboleza kifo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli
“Ikiwa Twaamini ya Kwamba Kristo alikufa na Kufufuka ,Vivyo hivyo na Hao waliolala katika Kristo, Mungu atawaleta Pamoja Naye”
Waimbaji: KMK Makuburi
Wimbo : Nenda Magufuli
Mtunzi na Mtangulizi : Bernard Mukasa
Kinanda: Vinny Mukasa
Pumzika Kwa Amani Mpendwa🙏🏾
Tutaonana Tena🙏🏾🇹🇿.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Пікірлер: 314
Kam wimbo huu umekutoa machoz kama Mimi tujuane like yako
@benadetarichard6493
3 жыл бұрын
Dah yaan nimejikuta machoz yananitiriri apumzike kwa Amani baba yetu
@bonfacejohn5350
3 жыл бұрын
Amina
@selecolman6881
3 жыл бұрын
Jamani,wimbohuu umenilizasana
@davidevarist242
3 жыл бұрын
Mungu apumzishe kwa amani
@jemamhagama4978
3 жыл бұрын
Bernard mkasa mini?
Who's watching from Kenya 🇰🇪 ❤️
@oderokennedy1525
3 жыл бұрын
Here I'm
@milcahchepkoech6614
3 жыл бұрын
Nko apa
@lynetmatara611
3 жыл бұрын
niko hapa
@annekavata1
3 жыл бұрын
Here I am
Mimi Ombi langu kwa viongozi wa kanisa katoliki,Maaskofu mtasaidia kukusanya taarifa zitakazo saidia MAGUFULI kutangazwa MTAKATIFU wengi waliotangazwa kuwa watakatifu wali fanya haya haya na wengine hata hawamfikii MAGUFULI.
@magemagrita2265
3 жыл бұрын
Umenena sana
Kaka Mukasa huwa unanibariki sana. Huu wimbo melody yake nilisikia album yako ya kifo cha Papa John Paul II. Mkuu umejaliwa sana kwa utunzi.RIP JPM
Mbarikiwe sana makuburi kwa huu wimbo
Nakukubali mno mkasa kwa upeo uliojaliwa na mungu ongera
My dream ni kufika TZ nchi yenye imebarikiwa kaaaa hiyo Tena singing yenu napeda Kwa sababu pia Mimi ni mwanachoir ,,,, to our president ,,,,may God welcome him ,,,,
Nenda baba Nenda, kwa kuwa kiti na taji lako viko tayari, tena kazi umeshaimaliza. Hakika tutaonana mtoni. Na upendo mwingi- California.
Nashindwa la kufanya nilie au nifurahie na kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais Magufuli. Asante kwa wimbo mzuri, umeugusa moyo wangu
Baba yangu makofuli wimbo uu ukakufungulie milango ya mbinguni tunakuimbia watazania mungu akupokee
Mukasa nakukubari sana hakika unakipaji kaka wimbo mzur sana wa JPM R.I.P JPM vita umevipiga mwendo umeumaliza
Kenya twa wapenda,Magfuli azidi kupumzika kwa amani
Poleni sana Wa Christo wezetu wa Tanzania... Mungu wetu amreemu Rais Magufuli na kumpokeya vema...
Asanteni sana kwaya ya Mt. Kizito Makuburi. Mpendwa wetu apumzike kwa Amani Bwana alitwaa na Bwana ametoa
Pokeeni risala za wakenya. Poleni kwa kumpoteza kiongozi shupavu. Mko maombini mwetu na mioyoni mwetu. Mungu ailaze roho take mahala pema peponi.
Hakika kazi ya mungu haina makosa hatuna bud kusema raha ya milele umpe ee bwana
Safiri salama rais Magufuli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Daah Mungu akupe pumziko la milele raisi wetu magufuli😭😭😭
Kaka Mukasa Mungu wa Mbinguni akupe haja ya moyo wako. Hujawai kosea kwenye utunzi.
Nenda Salama baba,,umevipiga Vita vilivyo vizuri,mwendo umeumaliza. Watanzania Mungu awape uvumilivu na subira..Ni wakati mgumu kwa hakika kwa nchi, Afrika Mashariki na Dunia nzima twaomboleza 😭😭😭
Mwenye mamlaka na maisha ya mtu Mungu pekee na ck ikifika hakuna nanna lazima uende. Kazi ya Mungu haina makosa pumzika baba Magufuli
Wimbo mzuri c jauona kwenye TV. Fanya mchakato basis.
Nimewakubali kw wimbo huo wahisia nautulivu wahali ya juu.
Kwaya ya makuburi daima mnatoa vigongo. Kongole kwenu
Katika nyimbo nilikuwa naisubiri kwa hamu ni kutoka kwa Mukasa, kupitia hii kwaya kubwa East Afrika. .... Asantee sana KMK kumuaga mtumishi huyu wa Mungu kwa wimbo huu. Mungu awabariki
@leonidaeunice6674
3 жыл бұрын
I waited almost gave up..but he never disappoints..bettet late than never...they can sing
JPM aendelee kulala kwa amani na mungu aibariki Tanzania na Africa mashariki. Kila ninapomkumbuka JPM huwa naja kuusikiliza wimbo huu.
JPM Lala salama raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umeagazie Apumzike kwa Amani 🙏🙏🙏😭😭😭
Daah hakika Mungu amekupa kipaji kizuri kaka Mukasa
Lala saama baba muheshimiwa rais Magufuri mpendwa. ( I am Rwandan)
Hamjawwh niangusha jmn kwaya yangu pendwaa Tanzania hii daaah ,my favourite choir I love you kizitoo jmn ,daaah ad nashndw niseme nn
Poleni na Msiba wa kuondokewa na Rahisi wenu mpendwa. Ee Bwana umjalie pumziko la milele; na mwanga wa milele uwaangazie. Apumzike kwa amani. Amina.
Nilikuwa nangoja huu wimbo sana kutoka Benard Mukasa, be blessed, from +254
Salute Mungu ilaze pema Roho ya Raisi wetu
Hayati Dkt. JOHN POMBE MAGUFULI, daima nitakuombea pumziko la Milele. Kazi uliyoifanya kwa Tanzania ni ya kukumbukwa hata vizazi na vizazi.
Hakika kazi zako hua ni nzuri sana Makuburi, R.i.p Jpm
Kaka Bernard unanibariki sana. Nilikutaja sana kipindi hiki kumbe Mungu kakusemesha. Nimesikiliza sana nyimbo za kwaresma na sasa umeleta nilichotarajia, mbarikiwe sana wana makuburi. R.I.P Magufuli.
Nenda baba nenda daaaa jamani😭😭😭 pumzika kwa amani baba yetu mbele yako nyuma yetu🙏
R.I.P Rais JPM !! Duh kaka mkasa huwa unanikosha Mungu azidi kukulinda na kukuinua zaidi
Hakika Tanzania na Africa mzima no machungu mno tumeondokewa na shujaa mchapa kazi aliye na ujasiri tele...nenda baba magufuli tutabaki kuenzi mwenendo zako.. pumzika kwa amani
Much love from Kenya president magufuli shine on your way. Till we meet again 😭😭😭
Bernard Mkasa Mwimbaji sana.
Barikiwa saana kwa wimbo mzurii
Utulivu wa waimbaji....uhalisia wao katika kuwasilisha ujumbe ni huzuni tosha
Apumzike kwa Amani Kiongozi Wetu.....
Nenda Baba tuatakukumbuka Daima
Mmbrikiwe sana kwa kumombea Rais wetu apumzike salama mahali pema peponi.Mtungali wa hii nyimbo Mungu akujalie Hekima yake.
Hongereni sana kwa kuhubiri kwa kuimba mbarikiwe
Wimbo huu jamani Kila ninapousikiliza machozi yananitoka mtetezi wetu jamani 😭😭 na sasa naona Kama tumeshaanza kurudi Misri Mungu tusaidie
Rest easy my President lakini tukakukumbuka daima kwa sababukivuli kinaishi
Kaka Mukasa huwa unanibariki Sana ...RIP Magufuli...kmk Mungu awabariki
This is the real practical demonstration of the purpose of the church, I like this MT Kizito Makuburi
Mwendo umeumaliza na vita umevipiga vyema nenda kwa amani Dr John Pombe
Hakika wimbo huu umenitoa machozi
Poleni sana ndugu zetu Watanzania. Mungu awape awape subira.
Nenda baba nenda shujaa wa Africa sote njia yetyu moja Oooh!! Jaman bado moyo wangu huamini kama hatuna na ww tena naamini tupo nawe kiroho Njoo japo mara moja tuagane Shujaa wetyu
Mt. Kizito mungu azidi kuwabariki Sana
Naenda baba nenda kwa Aman umpuzik kwa Aman Amina wimbo mzuri Sana
Nice tanzanians,,I like the performance,,,
Mtegemee Mungu kwa kila jambo.. Maneno Ya Hayati Baba Yetu JBM Nenda Baba Salama😭😭😭
Kiukweli Mkasa ulitunga wimbo
Kwa nyimbo na maombolezo na jinsi ulivyoliliwa naamin umeenda kwa mungu moja kwa moja pumzika kwa amani jpm
Mwendo umeumaliza pumzika kwaheri🙏🙏🙏
Mwanga wa milele umengazie ee bwana
Asante Mukass wimbo safi wa kuombekeza
Nenda baba daima tutakukumbuka 😭😭😭😭😭😭
Apumzike kwa amani, wimbo uko makini Sana umenitoa machozi, pumzika baba mpendwa wetu.
Nenda baba nenda kwaher ya kuonana taifa 🇹🇿🇹🇿 tunakuombea
Mungu awabariki kwa uinjilishaji. Hakika, NENDA BABA NENDA
Daaah ni kwelii kwamba imebaki story tu😭😥😭
Amina KMKM.Mwenyezi aliyesirini awaangaze
Wimbo mzuriiiii. Nenda baba ukastarehe na malaika huko mbinguni
Pumzika Baba, jemedari na shujaa wetu! Mipango ya Mungu haiepukiki anavuna tunda lolote anapotaka! Mungu ampunzishe kwa amani
Ni kwaya mzuri sana, pumzika salama Jpm
thankyou sana kwa kuwa pamoja nasi katika kipindi kigumu love frm Tz
Safiri salaam Jpm tutaonana badae😭😭😭😭
Pumziko lamilele akupe EBwana na Mwanga wa milele akwangazie John Pombe Magufuli upate rehema kwa Mungu upumzike kwa Amani
Poleni ndugu zetu watanzania. Mola azidi kuwafariji.
Na Apumuzike kwa Amani ya bwana wa milele 🙏..kutoka Kenya tu pamoja nanyi
Wimbo umenitoa machozi,nenda baba pumzika kwa amani
Tunaomba mkaurekodi studio kabsa. Tunaumia sana kwa kuondokewa na mpendwa wetu JPM 😤😤😤😤😤
Kwaheri Nenda baba Nenda, watanzania tutakukumbuka ,Ndugu umeturoka hatuko tena nawe kwa heri baba
Asante sana kwa wimbo mzuri Mungu ailaze roho ya marehemu Mahali pema Paradise
Raha ya milele umpee ee bwana, mwanga wa milele umwangazie na apumzike kwa Amani JPM nyumbani TANZANIA. Amina.
Poleni Sana kwa msiba Mungu awafariji watanzania.
Asanteni sana kwa wimbo Mzuri Mungu awabariki sana 🙏🏽 Rest In Peace our Beloved President 🙏🏽
Asante sana wana KMK ka wimbo mzuri wa kumsindikiza baba yetu....Asante Sir Mukasa & Family.. R.I.P Mzee Magu
Wimbo mzuri hongereni
Pumzika kwaamani kiongozi wetu mwema
Sad watching from kenya
Much respect From Rwanda RIP Pombe Magufuri😭😭😭😭
As catholics we believe those who die in righteousness form the Heavenly Church that prays for the church on earth, Magufuli RIP and remember to save Africa, I treasure ur loyalty and ur sword like, leadership.
Emotional. Pole ndugu Watanzania. Much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
My condolences... Wanakwaya wenzangu... Nawapenda sana
Much love from Uganda. Rest In Peace John Pombe Magufuli
Nenda baba tutaonana baadae😭😭🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ni kwel hatunae tena mpendwa wet
Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri, Bye bye Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli,
asante makuburi .(mukasa)mwendo ameumaliza RIP baba magufuli
I declare this is the best song for this hardtime...
Kwakheri baba... Ameaga but ukweli haijakufa itadumu.Ni uchungu sana