MAISHA YANAISHA_QUADRI-V By Bernard Mukasa
Музыка
Audio & Video by Tanganyika Productions
Album hii nzuri "GUSANENI MAJERHA" inapatikana, wasiliana nasi kwa 0767 670 784
Song: MAISHA YANAISHA
Composer: B.Mukasa
Organist: Vinny Mukasa
Audio: tanganyika productions
Producer: Fortune Shimanyi
Video: tanganyika productions
Directed by: Laurent Ludovick
Phone: +255 762380376
P.O.BOX. 1947 DODOMA-TZ
Пікірлер: 341
Gonga like Kama unamkubali huyu Legendary 🤝🙏🏽
Wimbo mtamu sana mwalimu Mr Benard.. Kenya mashabiki wako hapa
Ila wewe jamaa Mungu alikuleta Duniani kwa kazi maalumu aliyoinuia hicho kipaji siyo cha kawaida ,Mungu awape maisha marefu mzidi kutuinjilisha💓💓💓💓💓
@zurufaseme8595
Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
Kwa hakika nyimbo zako ni za wokofu. Mungu aendele kukupa marifa zaidi na akupanuliye njia zako.
Hii ndo moja ya maana kuwa👇 "LAKINI MIMI NA NYUMBA YANGU TUTAMTUMIKIA BWANA" I love ur ministry jmn Mnabariki sna😍🙏
Still listening to this in 2024
Maisha ya binAdam kama maua.🙏.Ni muhimu kutafakari mienendo yetu.
Kweli maisha ni kama maua, ni mafupi tu sana cha kushangaza ni hatujui mwisho wake. Wakati wowote yaweza katika.
@feristabenedictor7729
2 жыл бұрын
Mungu awape afya njema muendelee kumtumikia Mungu daima
Usiyaishi maisha kwa kujiachia,siyo ya kwetu yana mwenyewe....Ahsanteni sana
@festomlowegypsum8214
3 жыл бұрын
Amina
Mungu awabariki sana kwa utume huu wa uimbaji. Ujumbe mzuri sana. Nawatakia mafanikio zaidi 2021
@meckmichael2661
3 жыл бұрын
Mungu awabariki sn kwautume wenu
jamaniii hako ka malimbaa amizing kweliii #AHSANTEEEE# MAISHA YANACHANUA NA KUNYAAUKAAA KISHA HUDONDOKA CHINIII
Mimi na nyumba yangu nitamtumikia mbwana, that's what joshua said, mukasa na nyumba yake wameamua kumtumikia mungu..munguawaongoze siku zote za maisha yenu
There is nothing more beautiful than someone who goes out of their way to make life beautiful for others.
@danieloseko2129
3 жыл бұрын
I am always blessed by song may God blessed you Mukasa and family
@vincentochieng9698
2 жыл бұрын
Absolutely
Mukasa deserves even 100k plus subscribers. He is a legend not only in Tanzania but in E.Africa. Here in Kenya his works are much celebrated. His songs have some touch, some spark that is very special. Mungu akulinde na familia yako.
@humblebrayo1251
Жыл бұрын
Sure 🎉
@titusdaboss6
5 ай бұрын
Am a Ugandan and I love his songs
My dream Family❤❤❤am truly Blessed and inspired, God Bless your Family Mr and Mrs Mukasa.. Proud i was born and raised Catholic🙏
This family oh Lord Jesus Christ bless this family more and more
@mrtech9451
3 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa utume mwema
That boy is very inspirational and talented. Obviously anakuja kuvaa viatu vyote vya Mista and Misers Mukasa. Kijana anapiga kinanda, anapiga ngoma na huenda ameshaanza kutunga nyimbo
Huu ni moto wa kuotea mbali 🥰🥰
The song is a self explanatory, that life might look beautiful but we should remember it has an end , so we should strengthen our relationship with God remembering it has an end hoo yes well said
Asante sana kwa ujumbe iyi yenye mafunzo bora katika maisha yetu, Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@renatusndunguru3104
3 жыл бұрын
Tuhishi kwa maandalizi ya maisha yajayo, mahana bahada ya maisha haya pana maisha yasiyonyauka
@renatusndunguru3104
3 жыл бұрын
Ubalikiwe na mungu
@alexbazilius2730
3 жыл бұрын
Hongera sana familia safi. Karibu sana UDOM parish festival mgen rasm
Hongereni sana kwa kazi nzuri sana ya viwango vya juu vinavyostahili
Baba mukasa na familia yako Mungu awabariki
Nyimbo nzuri sana,inatukumbusha kwamba dunia nimapito tukeshe nakuomba kila wakati,,,
Hujawahi kukosea fundi wangu
❤❤❤❤❤wow,, amazing song, congratulations guys 👏👏👏 twawapenda sana.
Mwenyezi Mungu awapiganie ktk familia yenu kwakweli inanifurahisha mno
familia Kama hii mam akiwa jikon utasikia anaimba.. baba seburen nae anaimb watoto uko nje nyumban nao wanaimba.. sidhan kam siku inapit kwao bila kuimbaimba
See how his son is playing the piano while making the moves...that's the sweetness of the word of God..living in His promises..living in Christ....when i grow up this is the type of life I want... making others' lives beautiful ❤️❤️...Mukasa your family is blessed beyond measures...injili isonge mbele 🎉🎉🙏
@Favoured99
Жыл бұрын
❤️🎉
Its like this is 2021 november..another one waitin . beautiful songs indeed
I like your songs and your family GOD bless you ❤️🙏🙏🙏
Very impressive of you Mr. Bernard Mukasa. I always listen to your songs, its the source of my inspiration and comfort. God bless you and your family.
Wimbo mzur sana mwalmu bernad mukasa
Hongera Sana kwa kazi nzuri. May God bless you 🙏 .
Njema kabisa. Mungu awafadhili Daima 👏👏👏
Tumsifu Yesu Kristo. Kweli maisha ni maua. Tusijisahau sana tunapoishi hapa duniani. Tujue hapa tunapita tu.
wow Family,,This time you have outdone yourselves
Great music strong message 💎💎🎶🎶🎧 God bless BM family 🙏🙏
Ofcoz maisha yanaisha.....😭😭,Ee Mungu tujalie ucha_Mungu ili tuurithi ufalme wako🙏
Amina Mungu atusaidie, asante sana kwa ujumbe mzuri 👏
Ahsanteni kwa ujumbe mzuri, God bless you😍
Mukasa and family, you are great inspiration to many, may you live long to bless us with your music
Nina enjoy sanaaa lazima Sasa kuandaa ziara mbugani kwa location zingine aaaah aise mbarikiwe
Today I declare my freedom in God from anything that has bound or limited me. God bles you me
This family is a good example to many families,i love the unity
KAZI yenu haijanawai kufeli naipenda mnooooooo
Ben Ben Safi sana Mungu awabariki Sana, umetisha Sana Kaka mkubwa
The mukasa's never dissapoint, may God keep on blessing this family
This should be me and my family in future,,, Mr. Benerd bless me..
@moureennaswa7681
Жыл бұрын
God used you to inspire us,,, am In love with the sop part of the song,, Mrs. Mukasa is actually amazing 😍
This family really inspires me. Viva Mukasa family, viva Tanzania. Proud to be a Tanzanian.
Thanks so much becuase beauty is not in the face; beauty is a light in the heart.
With lots of love and cheerfuness I'm so much impressed by this evangelizing family. God bless you all!
@daviskithuka5577
3 жыл бұрын
Ngoma y Aina yke banar👏👏👏👏👏👏🙋🙋🙋🤛🤛
@magrethmagessa2445
3 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki baba
Hongren sana na familia mung azd kuwasaidia mnatsha
I love this family and there work I'm not a catholic though
Maisha yanamwisho Kama Maua yanavyochanua lakini mwsho yananyauka na Kudondoka.AMEN🙏🏼🙏🏼
@user-yn3rc4nc4x
10 ай бұрын
Zaidi ya kukuombea Mungu wetu akupe maisha marefu uzidi kutubariki kwa nyimbo nzuri
Kwa hakika ni kipaji Cha pekee Cha familia ya Bernard mukasa mungu awe kiongoz mwema kwny kazi mzr mnayoifanya
Mukasa the master himself God bless you
this song sincerely reminds me to live a worthy life coz like a flower life withers away and we are gone
When I grow old I will be like this in music also. God bless this family. Uganda we love you..... In fact you have our name Mukasa. Happy New Year 2021
Good songs be blessed my Catholic people 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu azidi kuwahifadhi na asinyamaze juu yenu
BABA Mungu awatangulie siku zote za maisha yenu na watoto wenu mzidi kuwabariki watumishi wake waweze kuiga mfano huo mzuri
This song is a teaching song be blessed
May God bless you family,big up and aim higher and higher, .l just love ur songs.Nawapenda Sana!
Herieth i see you my friend 😍
Mkuu nakuelewaga sana ila bas tu.
Blessings to your family. Mko sawa kabisa kwa kumtumikia Mungu
nzur nimeipenda mubalikiwe na bwana amina
I love these family for free...The Mukasa's,be blessed for blessing others.... 💕
My dream is to have a family like Mukasa's, very spirituous and determined to serve the Lord
Mungu awabaliki kwa uwimbaji wenu maana kwa hii nyimbo ilivyonzuri mpaka yanifanya niweze kuiangalia wakat wote nawapenda sana pia namm nahitaji kuja kujifunza kinanda maana napenda sana kupiga kinanda mungu awaba riki
Nice songs...all the best as u continue serving God
U guys are the best u make me feel proud of being a catholic
Noma sana
Ila Mukasa unafundisha hata pasipokuingia darasani ety
Bernard Mukasa, i always enjoy your inspirational music, very comforting indeed.& lively; hope to visit you one day; God bless your household. Amen
Beautiful, Happy New year 2021to the QUADRI-V, may the young voices flourish as they give praise to the Lord with their mouths and hearts.
Mukasa Sasa jitahidi hizi nyimbo zako uziwekee sub title ili zizidi kwenda kimataifa zaidi because you are so bright
viva mukasa, uzidi kukirimiwa mema
Very wonderful family indeed
My favourite song. Maisha ni Maua.
Such a Blessed family,, You are my role model. May God bless you always
Mbarikiwa watumishi wa Mungu hadi raha
Mungu akuzidixhie maarifa na ubunif katika kaz yako ya kumxifu Zabr 156:6
Daah mm nashndwa hata kusemaa jaman
Tusiyaishi maisha kwa kujiachia utafikiri ni yetu kumbe yana mwenyewe.. duh hapa ndo Patamu ...tutafakari
Nazid kubarikiwa na nyimbo hiz asanten
KAZI NZURI FAMILIA YA B. MUKASA
Hongera sana bwana benard mukasa familia yako inapendeza kwakwel MUNGU azid kuwabarid zaid na zaid
Hongereni kwa wimbo nzuri hongereni familia mnapendeza sana
@petermulwakilonzo3687
3 жыл бұрын
A very nice song ,I like the direction you have taken as far as your music is concerned,may the almighty bless your family through these nice songs.
Kwel kabisa nyimbo zako xinaujumbe mzur mung auzdishie
Who is listening this song with me today, n leaving it to play for hours non stop I love it really I do, Anyone with the lyrics kindly
Amazing
Uko viziri sana benardi mkasa
Thank you my brother for allowing the spirit of the lord to use you to evangelize through music. Be blessed
Asante sana mwalimu wetu Bernard Mukasa Kwa ujumbe iyi nzuri yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwalinda siku zote za maisha yenu na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina
God bless you Mukasa's as you continue blessing and inspiring other people using your beautiful voices
Hongereni sana familia ya Benard Mukasa MUNGU akubari sana kwa utume
Mtunzi kweli.baraka tele
They are doing a wonderful job they inspire many people may the Almighty continues blessing them abundantly
Baba nawapenda mno sijui nifanyaje tu mnanipa raha mungu awatuze na kuwalinda