YATOSHA-By QUADRI-V (Official Video-HD)

Музыка

Huu ni wimbo mpya uliopo katika Album mpya ya 3 ya QUADRI-V
Album hii nzuri inapatikana, wasiliana nasi kwa 0767 670 784
Song: YATOSHA
Composer: B.Mukasa
ORGANIST: C.Y.Luseba (Ndege)
Audio: tanganyika productions
Producer: Fortune Shimanyi
Video: tanganyika productions
Directed by: Laurent Ludovick
Phone: +255 762380376
P.O.BOX. 1947 DODOMA-TZ

Пікірлер: 263

  • @japhetpetro9598
    @japhetpetro95983 жыл бұрын

    Hakuna Music Mzuri Duniani Kama RC, Mukasa Ndio Mwalimu Namba Moja Tanzania Na Africa Nzima, Kama unakubali Gusa #Like.

  • @natrinemweha8625

    @natrinemweha8625

    3 жыл бұрын

    Hapo kwa Africa nzima na kataa mimi.

  • @octavinamgulunde5183

    @octavinamgulunde5183

    3 жыл бұрын

    We kataa tu mi mwenyewe naukubali huu mziki wa katoliki

  • @felisterligwa

    @felisterligwa

    3 жыл бұрын

    Nakubaliii

  • @franciscahmunyanya6942

    @franciscahmunyanya6942

    3 жыл бұрын

    Nakubali pia

  • @nelsenhilary2058

    @nelsenhilary2058

    3 жыл бұрын

    @@natrinemweha8625 nani sasa zaidi ya mukasa

  • @machasammugo2154
    @machasammugo21544 ай бұрын

    Highest degree of excellence in music... this Man sings from his heart, may God bless bernard mukasa and family

  • @user-lv8zz2ou7o
    @user-lv8zz2ou7o Жыл бұрын

    T.O wa muziki tz ni benard mkasa ni mtunzi pekeee tz na Africa ubarikiwe

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota35893 жыл бұрын

    Catholic daima kwangu Mimi jaman,asante kwa ujumbe mzuri Mr &Mrs Mukasa

  • @anatorikigahe
    @anatorikigahe3 жыл бұрын

    Mtaalamu weka nyingi uwezavyo, mziki wako kwangu utabaki bora daima, nikiingia youtube lazima nisikilize kama sio wewe mwenyewe basi ni tungo na kazi ya mikono yako . Mungu akubariki n akuzidishie afya ya mwili na roho

  • @catherinphilipo3503

    @catherinphilipo3503

    2 жыл бұрын

    Familia hoi ina hofu ya mungu kwa kweli

  • @RosemaryMushi-xs2ri

    @RosemaryMushi-xs2ri

    10 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu napenda sana kusikiliza nyimbo zako wakati nikiwa na uzuni nyimbo zako zinanifariji sana adi machozi yananitoka mpaka nafikiria vitu vingine ambavyo avipo mungu akuweke apa duniani sana tu mtumishi 🙏🙏😭😭

  • @Generosembaule-zb5en
    @Generosembaule-zb5enАй бұрын

    Mama Matilda umekuwa nguzo kubwa sana kwa mmeo hongera sana Mungu akubari

  • @alinensimire5262
    @alinensimire52622 жыл бұрын

    Mungu wetu akuongeze vipaji kwamaana una kuwaka nani bariki sana

  • @mogendithaddeus7042
    @mogendithaddeus70422 жыл бұрын

    Kweli nyimbo za mukasa family ni za baraka keep it up and be blessed

  • @eliasmalima3410
    @eliasmalima34102 жыл бұрын

    Bernard Mungu akupe Maisha marefu yenye Baraka na Mafanikio tele

  • @sebastiansumawe9253
    @sebastiansumawe9253 Жыл бұрын

    Hongera kaka utume huu mungu akubariki akupe na afya uendelee kuinjilisha Taifa lake.

  • @EmmanuelJoram-tn1bw
    @EmmanuelJoram-tn1bw Жыл бұрын

    Kwakweli nimebalikiwa sana na wimbo huu mwenyezi mungu awabaliki sana

  • @JamesWamuthama-xt1hk
    @JamesWamuthama-xt1hk Жыл бұрын

    Bwana Mukasa nyimbo zako za tujenga.asante.

  • @stephanomwile9920
    @stephanomwile9920 Жыл бұрын

    Hakika unaimba nyimbo zenye tafakari mungu azidi kukubariki

  • @angeljonas9971
    @angeljonas99712 жыл бұрын

    God bless you akutangulie uzidi kumtumikia Kwa njia ya nyimbo

  • @BrianWere-wp1fv
    @BrianWere-wp1fv5 ай бұрын

    Asante sana kwa nyimbo zako tamu kila kuchao. Endelea kutubariki

  • @joycechaula2071
    @joycechaula20712 жыл бұрын

    Amina sana Watumishi, kazi nzuri sana" "hakika nimefarijika mno

  • @octavinamgulunde5183
    @octavinamgulunde51833 жыл бұрын

    Wimbo huu unaniliza jamani umenikumbusha maisha yangu nayopitia . EeMungu nivushe salama

  • @ijueimanikatoliki980

    @ijueimanikatoliki980

    3 жыл бұрын

    KASOME Yeremia 29:11-14 UTAPATA TUMAINI JIPYA MUNGU NI MWEMA SANA DADAANGU

  • @gamgangweesechota3589

    @gamgangweesechota3589

    3 жыл бұрын

    Pole sana mpendwa

  • @elineelibariki6753
    @elineelibariki67533 жыл бұрын

    Hadi huruma eee mungu uwakumbuke wanaoteseka

  • @wivinamsebeni8293
    @wivinamsebeni82933 жыл бұрын

    Tunamshukuru sana Mungu kwa baraka aliyotupa kukuleta duniani na kwa hii talanta aliyokupa mwl Mukasa

  • @catherinphilipo3503

    @catherinphilipo3503

    2 жыл бұрын

    Mbarikiwe mungu awape ulinzi mkumbwa awakinge na maadui wengi

  • @anthonyishika2443
    @anthonyishika24433 жыл бұрын

    neema ya Mungu iwe nawe daima uweze kuushi utakatifu huu kwa njia ya uingilishaji kwa njia ya nyimbo.

  • @wabulegrace6335
    @wabulegrace6335 Жыл бұрын

    Wabule Grace. Listening from Uganda mbale. Be blessed.

  • @marryfrederick7472
    @marryfrederick7472 Жыл бұрын

    Mungu akuongezee maisha marefu mtunz

  • @julychangara7583
    @julychangara75833 жыл бұрын

    Jaman sjui nmechelewa wapi ..... Cotholic forever 🔥🔥🔥

  • @materdeimusema9939
    @materdeimusema99393 жыл бұрын

    asante sana kwa wimbo hi yenye kuwonesha wanadamu kwamba mtu yeyote anapasa kupita kwenye mateso haya

  • @happymoshiro3780
    @happymoshiro37803 жыл бұрын

    Hakika yatosha mno nimefarijika Sana kwa wimbo huu. Mungu awabarki sana sanaaaa

  • @anthonyishika2443
    @anthonyishika24433 жыл бұрын

    Aksante sana Mkasa kwa kuttutafakarisha kwa nyimbo zinozogusa hisia zetu. mungu aendelee kukumiminia Baraka zake. nyimbo zako mara nyingi zinanikumbusha wajibu wangu kama mkristu.

  • @catherinphilipo3503

    @catherinphilipo3503

    2 жыл бұрын

    Kweli kama ni mke ana sauti baba ana sauti nzuri kweli mungu kawa unganisha

  • @mkalawafabian1538
    @mkalawafabian15383 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana jamani.. Hakika unakumbusha mengi hasa unyenyekevu na shukrani kwa Mungu kwa anayotujalia

  • @ireneirene9834
    @ireneirene98343 жыл бұрын

    The one acting in chains!😂😂😂😂anaskia kucheka..nice nice song

  • @arcadogerrard4240
    @arcadogerrard42403 жыл бұрын

    So good benard mkasa barikiwa sana

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest90683 жыл бұрын

    Barikiweni zaid kwa kazi nzuri watumishi wa Mungu

  • @magrethmagova6547
    @magrethmagova65473 жыл бұрын

    Hakika huu ni wimbo wa Faraja Katika Maisha Yetu

  • @jacquelinemushi6057
    @jacquelinemushi605710 ай бұрын

    Bro Bernad am speech less be blessed

  • @susanwandukusi5903
    @susanwandukusi59033 жыл бұрын

    Yatosha sasa mahangaiko 😔hayaa...Nyimbo nzurii Ssanaa.. Inatuliza moyo wangu sanaa

  • @cloudclaud6484
    @cloudclaud64843 жыл бұрын

    Listening from Dubai, nice song Proud To Be a Catholic ❣❣❣👌🙏🙏🙏

  • @emmanuelmao5184
    @emmanuelmao51843 ай бұрын

    Mungu a hibariki ndoa yenu

  • @jazzmich9693
    @jazzmich96933 жыл бұрын

    Abba father ,#yatosha so encouraging. Huruma huruma yako eeh mungu nitakufa nikiitumainia

  • @DivineNyaanga-kv9rb
    @DivineNyaanga-kv9rb3 ай бұрын

    Thr tis song am ready to repent my sin am speechless

  • @jumamarwa754
    @jumamarwa75410 ай бұрын

    Mkasa hongera upo juu

  • @Generosembaule-zb5en
    @Generosembaule-zb5en Жыл бұрын

    Hakika ni familia iliyobarikiwa

  • @claudemushimanja469
    @claudemushimanja4693 жыл бұрын

    Bernard, wimbo huu umenibariki mno ! Ahsante kwa Mungu, ahsante Pia kwako. Toka Bukavu-DRC, Claude

  • @marierobert42
    @marierobert423 жыл бұрын

    Daah! Wimbo upo katika hali ya utulivu wa hali ya juu,,,,ni sala tosha kabsa..Mukasa mwalimu mahiri African Mungu akutie nguvu daima katika utume

  • @bonifacesilvan307

    @bonifacesilvan307

    3 жыл бұрын

    Hizi ndio nyimbo sasa not vurugu vurugu huu wimbo unagusa mpaka mishipa ya damu

  • @nakitwijukascola5146

    @nakitwijukascola5146

    3 жыл бұрын

    God bless you abundantly

  • @magratendanu5351

    @magratendanu5351

    Жыл бұрын

    @@bonifacesilvan307 bariki wenisana Kwa maubiri ya nyibo senu amina

  • @augustinemosha2589
    @augustinemosha2589 Жыл бұрын

    Yaani huwezichoka kusikiliza nyimbo za waimbaji hawa. Mungu wabariki sana na usiwapungukie uwepo wako ktka kszi zao

  • @gloryndakidemi3243
    @gloryndakidemi32433 жыл бұрын

    Kuimba kuna raha yake asikuambie mtu jamani najivunia kuwa mkristo mkatoliki daima

  • @patrickmundia1675
    @patrickmundia16753 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana baba, Mungu akubariki uzidi kumsifu kwa nyimbo tamu tamu.

  • @cliffordkiptoo120
    @cliffordkiptoo1203 жыл бұрын

    Came straight from BhB ..what a song

  • @judithfrancis8286
    @judithfrancis82863 жыл бұрын

    Haujawahi kukosea kila wimbo hakika unagusa safari yetu ya maisha. Mungu ibariki familia hii

  • @deogratiusmtilu1384
    @deogratiusmtilu13843 жыл бұрын

    Familia hii Mungu awabariki Sana Sana sana

  • @malimamgolozi1013
    @malimamgolozi10133 жыл бұрын

    Wimbo unagusa Sana na unafundisha maisha tunayoish kwa kupitia magum na changamoto zetyuu🙏🙏

  • @Ace_Kariuki.
    @Ace_Kariuki.2 жыл бұрын

    Came to know of this song on Good Friady and I love it God bless you Benard proud to be a catholic

  • @euzebiawilliam7955
    @euzebiawilliam79552 жыл бұрын

    Barikiwa sana kwa utume wako

  • @annahmusele6733
    @annahmusele67333 жыл бұрын

    Ben mungu Akubariki pamoja na family unanijenga roho yangu Sana Kwa nyimbo zote zenu

  • @mogendithaddeus7042

    @mogendithaddeus7042

    2 жыл бұрын

    Good job the mukasa family thank you for your inspiration

  • @joycemwendapole4541
    @joycemwendapole45418 ай бұрын

    Navutiwa Sana na nyimbo za Bernard mkasa

  • @safy2225
    @safy22253 жыл бұрын

    Asante sana kwa wimbo mzr yaani huu wimbo kila sk lazima nisikilize maana unaujumbe mzito sana NA unanitoa machozi sana huu wimbo maana niliopitia mim inatosha kwa kweli

  • @erickliwa2622
    @erickliwa26222 жыл бұрын

    Haaaaa...jamaa balaaa dunia nzima

  • @catherinemuthui4358
    @catherinemuthui43583 жыл бұрын

    Nyimbo zenu zinapendeza sana ,na unibariki zaidi mungu awabariki

  • @toma634
    @toma6343 жыл бұрын

    jaman nilimiss nyimbo mpya daah nimefurah sana na nimebarikiwa mno nawapenda sana Mungu awabariki

  • @respismwananjela4707
    @respismwananjela47073 жыл бұрын

    Nyimbo zako zinanibarik sana

  • @priscajoseph6038
    @priscajoseph60383 жыл бұрын

    Kazi nzuri kaka

  • @izdorybarnabas4357
    @izdorybarnabas43573 жыл бұрын

    Hongera Sana Mkasa

  • @rolencemhala2554
    @rolencemhala25543 жыл бұрын

    Nimeupenda sana huu wimbo..haki mwastahili sifa kwa utunzi na sauti za kuamsha utume wa Mungu ....Keep it in touch....hongereni sana.

  • @michaelkamau5389
    @michaelkamau53893 жыл бұрын

    Wimbo mtamu kweli

  • @paulnjeru4100
    @paulnjeru41003 жыл бұрын

    akh mukasa wanibambanga si haba

  • @mkoreamovieclips6383
    @mkoreamovieclips63833 жыл бұрын

    YATOSHA sasa BWANA🙏🙏🙏

  • @theresiajoseph1943
    @theresiajoseph19433 жыл бұрын

    Wimbo unanibariki sana huu

  • @catherinekimaru222
    @catherinekimaru2222 жыл бұрын

    Wimbo nzuri sana, napenda sauti zenu, listening from Nairobi huu wakati wa lent

  • @bonifacesilvan307
    @bonifacesilvan3073 жыл бұрын

    Bernard you were born for this....am proud of you

  • @erickkimaro80
    @erickkimaro803 жыл бұрын

    Napenda nyimbo zake Bernard nazpataje

  • @vailethkivelege4048
    @vailethkivelege40483 жыл бұрын

    Huruma ya mungu ni ya kipekee, huruma ya mungu nitakufa nikiitumainia. Mungu awabariki sana Q V

  • @aureliaraphael3725
    @aureliaraphael37253 жыл бұрын

    Tripple V huwa mnanibariki sana, Mungu awape maisha marefu ili tuweze kuufaidi utume wenu wa kuinjilisha kwa njia ya nyimbo

  • @jacksonkanzira9789
    @jacksonkanzira97893 жыл бұрын

    Hongera sana Mwalimu Bernard Mukasa

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa99323 жыл бұрын

    Ongera sana mwalimu wetu mukasa Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @yohanaalfred2686
    @yohanaalfred26863 жыл бұрын

    Ila Mukasa Nyie daah🙌🙌

  • @monicaosino6192
    @monicaosino61923 жыл бұрын

    Yatosha Sasa... Asante sana kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo B.Mukasa Sala zetu ziko na nyinyi....

  • @rutisimbeyanawapendaburekw6141

    @rutisimbeyanawapendaburekw6141

    3 жыл бұрын

    Balikiwa san

  • @wilbroadkapenegele8671

    @wilbroadkapenegele8671

    Жыл бұрын

    😭😭 yatosha mungu wangu nirinde mungu wangu

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa99323 жыл бұрын

    Asante sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @janewamuyu4169
    @janewamuyu41692 жыл бұрын

    A deep prayer in form of a song. Congratulations Mukasa's family.

  • @theomaligite4401
    @theomaligite44013 жыл бұрын

    Amina Mtumishi wa Mungu asante kwa wimbo mzuri.

  • @mauriceokebe1894
    @mauriceokebe18943 жыл бұрын

    Kweli mahangaiko haya yatosha...Bwana tuangazie USO wako

  • @petermumo2023
    @petermumo20232 жыл бұрын

    Naupenda sana huu wimbo (Yatosha)... Mungu azidi kuwapa maarifa.

  • @paschaziajohnny7410
    @paschaziajohnny74103 жыл бұрын

    Aksante kwa ujumbe mnzur mwenyez Mungu akujalie umri mrefu uzidi kutangaza neno lake. Amina. nawapenda sana

  • @allygwede5790
    @allygwede57903 жыл бұрын

    Kweli sala hiyo ulioitunga kwa kuimba ni nzr sana nimefarjika sana. Mungu akubariki sana

  • @amoskalumbilo4302
    @amoskalumbilo43023 жыл бұрын

    Barikiwaaa saana🙏🙏🙏

  • @mariemassawe6704
    @mariemassawe67043 жыл бұрын

    ongereni sana Mr en Mrs Mukasa may God bless u in u'r whole life 🙏🙏!

  • @ricirindancekei-vd7ld
    @ricirindancekei-vd7ld Жыл бұрын

    A complete prayer

  • @felicianholle3010
    @felicianholle30103 жыл бұрын

    Hongera sana Mr. Mukasa na familia yako kwa utunzi wa nyimbo nzuri nafrijika sana kwa wimbo huu yatosha niseme Mungu akubariki

  • @aleswamukasa5155
    @aleswamukasa51553 жыл бұрын

    Safi sana Ben family. Mungu aendelee kuwatumia kuwavuta wengi kwake. Aendelee kuwapa upendo thabiti kati yenu.

  • @francismuhuga8158
    @francismuhuga81583 жыл бұрын

    Hongereni sana, familia ya mwl Bernard Mukasa nimebarikiwa sana na uinjilishaji wenu kwa njia yanuimbaji

  • @shaibuemmanuel191
    @shaibuemmanuel1913 жыл бұрын

    Shikamo Triple V Mkassa...Itoshe kusema Wewe ndio Brigedia wa Walimu Wote wa RC Africa.

  • @stevenmhina7915
    @stevenmhina79153 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awe pamoja na Watunzi wetu. Asante sana. Mwal. Bernard Mukasa

  • @user-fu7vp1qe2i
    @user-fu7vp1qe2i5 ай бұрын

    Imenibari bariweni

  • @richardkisanga8123
    @richardkisanga81233 жыл бұрын

    Yatosh Kwel jmn

  • @ceciliakingazi6792
    @ceciliakingazi6792 Жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @sharoombay8997
    @sharoombay89973 жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu awabariki sana.

  • @tatudavid5112
    @tatudavid51123 жыл бұрын

    Mungu awabarik sana kwa kuitangaza injili kwa njia ya nyimbo, napenda sna kusikiliza nyimbo zako Mukasa hakika Mungu akuinue zaid

  • @kwayabikiramariamamawashau2448
    @kwayabikiramariamamawashau24483 жыл бұрын

    DAH! HONGERENI SANA! MUNGU ATUKUZWE MILELE

  • @dorotheakimario2997
    @dorotheakimario29973 жыл бұрын

    Mukasa baba upo vizur nyimbo zako zinanibariki sana

  • @michaelnyingi1898
    @michaelnyingi18983 жыл бұрын

    You guys you keep it lit, Catholic songs with a lot of teachings, the whole family is involved....you rock. Heko kwako na mpenzi wako, pia watoto........so encouraging.....I always listen your songs from Kenya. God bless you

  • @indiremoses8979
    @indiremoses89793 жыл бұрын

    Kwa kweli huu wimbo umenigusa

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo66713 жыл бұрын

    Napenda Sana nyimbo zako baba mukasa,najivunia kuwa mkatolk

  • @olivernyakiage954
    @olivernyakiage9543 жыл бұрын

    Lord come to our rescue, enough is enough, corona, joblessness, adultery, different diseases, poverty Mungu tuokoe

  • @beatricemanono1602
    @beatricemanono1602 Жыл бұрын

    Good song keep it up

Келесі