YATOSHA-By QUADRI-V (Official Video-HD)
Музыка
Huu ni wimbo mpya uliopo katika Album mpya ya 3 ya QUADRI-V
Album hii nzuri inapatikana, wasiliana nasi kwa 0767 670 784
Song: YATOSHA
Composer: B.Mukasa
ORGANIST: C.Y.Luseba (Ndege)
Audio: tanganyika productions
Producer: Fortune Shimanyi
Video: tanganyika productions
Directed by: Laurent Ludovick
Phone: +255 762380376
P.O.BOX. 1947 DODOMA-TZ
Пікірлер: 263
Hakuna Music Mzuri Duniani Kama RC, Mukasa Ndio Mwalimu Namba Moja Tanzania Na Africa Nzima, Kama unakubali Gusa #Like.
@natrinemweha8625
3 жыл бұрын
Hapo kwa Africa nzima na kataa mimi.
@octavinamgulunde5183
3 жыл бұрын
We kataa tu mi mwenyewe naukubali huu mziki wa katoliki
@felisterligwa
3 жыл бұрын
Nakubaliii
@franciscahmunyanya6942
3 жыл бұрын
Nakubali pia
@nelsenhilary2058
3 жыл бұрын
@@natrinemweha8625 nani sasa zaidi ya mukasa
Highest degree of excellence in music... this Man sings from his heart, may God bless bernard mukasa and family
T.O wa muziki tz ni benard mkasa ni mtunzi pekeee tz na Africa ubarikiwe
Catholic daima kwangu Mimi jaman,asante kwa ujumbe mzuri Mr &Mrs Mukasa
Mtaalamu weka nyingi uwezavyo, mziki wako kwangu utabaki bora daima, nikiingia youtube lazima nisikilize kama sio wewe mwenyewe basi ni tungo na kazi ya mikono yako . Mungu akubariki n akuzidishie afya ya mwili na roho
@catherinphilipo3503
2 жыл бұрын
Familia hoi ina hofu ya mungu kwa kweli
@RosemaryMushi-xs2ri
10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu napenda sana kusikiliza nyimbo zako wakati nikiwa na uzuni nyimbo zako zinanifariji sana adi machozi yananitoka mpaka nafikiria vitu vingine ambavyo avipo mungu akuweke apa duniani sana tu mtumishi 🙏🙏😭😭
Mama Matilda umekuwa nguzo kubwa sana kwa mmeo hongera sana Mungu akubari
Mungu wetu akuongeze vipaji kwamaana una kuwaka nani bariki sana
Kweli nyimbo za mukasa family ni za baraka keep it up and be blessed
Bernard Mungu akupe Maisha marefu yenye Baraka na Mafanikio tele
Hongera kaka utume huu mungu akubariki akupe na afya uendelee kuinjilisha Taifa lake.
Kwakweli nimebalikiwa sana na wimbo huu mwenyezi mungu awabaliki sana
Bwana Mukasa nyimbo zako za tujenga.asante.
Hakika unaimba nyimbo zenye tafakari mungu azidi kukubariki
God bless you akutangulie uzidi kumtumikia Kwa njia ya nyimbo
Asante sana kwa nyimbo zako tamu kila kuchao. Endelea kutubariki
Amina sana Watumishi, kazi nzuri sana" "hakika nimefarijika mno
Wimbo huu unaniliza jamani umenikumbusha maisha yangu nayopitia . EeMungu nivushe salama
@ijueimanikatoliki980
3 жыл бұрын
KASOME Yeremia 29:11-14 UTAPATA TUMAINI JIPYA MUNGU NI MWEMA SANA DADAANGU
@gamgangweesechota3589
3 жыл бұрын
Pole sana mpendwa
Hadi huruma eee mungu uwakumbuke wanaoteseka
Tunamshukuru sana Mungu kwa baraka aliyotupa kukuleta duniani na kwa hii talanta aliyokupa mwl Mukasa
@catherinphilipo3503
2 жыл бұрын
Mbarikiwe mungu awape ulinzi mkumbwa awakinge na maadui wengi
neema ya Mungu iwe nawe daima uweze kuushi utakatifu huu kwa njia ya uingilishaji kwa njia ya nyimbo.
Wabule Grace. Listening from Uganda mbale. Be blessed.
Mungu akuongezee maisha marefu mtunz
Jaman sjui nmechelewa wapi ..... Cotholic forever 🔥🔥🔥
asante sana kwa wimbo hi yenye kuwonesha wanadamu kwamba mtu yeyote anapasa kupita kwenye mateso haya
Hakika yatosha mno nimefarijika Sana kwa wimbo huu. Mungu awabarki sana sanaaaa
Aksante sana Mkasa kwa kuttutafakarisha kwa nyimbo zinozogusa hisia zetu. mungu aendelee kukumiminia Baraka zake. nyimbo zako mara nyingi zinanikumbusha wajibu wangu kama mkristu.
@catherinphilipo3503
2 жыл бұрын
Kweli kama ni mke ana sauti baba ana sauti nzuri kweli mungu kawa unganisha
Wimbo mzuri sana jamani.. Hakika unakumbusha mengi hasa unyenyekevu na shukrani kwa Mungu kwa anayotujalia
The one acting in chains!😂😂😂😂anaskia kucheka..nice nice song
So good benard mkasa barikiwa sana
Barikiweni zaid kwa kazi nzuri watumishi wa Mungu
Hakika huu ni wimbo wa Faraja Katika Maisha Yetu
Bro Bernad am speech less be blessed
Yatosha sasa mahangaiko 😔hayaa...Nyimbo nzurii Ssanaa.. Inatuliza moyo wangu sanaa
Listening from Dubai, nice song Proud To Be a Catholic ❣❣❣👌🙏🙏🙏
Mungu a hibariki ndoa yenu
Abba father ,#yatosha so encouraging. Huruma huruma yako eeh mungu nitakufa nikiitumainia
Thr tis song am ready to repent my sin am speechless
Mkasa hongera upo juu
Hakika ni familia iliyobarikiwa
Bernard, wimbo huu umenibariki mno ! Ahsante kwa Mungu, ahsante Pia kwako. Toka Bukavu-DRC, Claude
Daah! Wimbo upo katika hali ya utulivu wa hali ya juu,,,,ni sala tosha kabsa..Mukasa mwalimu mahiri African Mungu akutie nguvu daima katika utume
@bonifacesilvan307
3 жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo sasa not vurugu vurugu huu wimbo unagusa mpaka mishipa ya damu
@nakitwijukascola5146
3 жыл бұрын
God bless you abundantly
@magratendanu5351
Жыл бұрын
@@bonifacesilvan307 bariki wenisana Kwa maubiri ya nyibo senu amina
Yaani huwezichoka kusikiliza nyimbo za waimbaji hawa. Mungu wabariki sana na usiwapungukie uwepo wako ktka kszi zao
Kuimba kuna raha yake asikuambie mtu jamani najivunia kuwa mkristo mkatoliki daima
Wimbo mzuri sana baba, Mungu akubariki uzidi kumsifu kwa nyimbo tamu tamu.
Came straight from BhB ..what a song
Haujawahi kukosea kila wimbo hakika unagusa safari yetu ya maisha. Mungu ibariki familia hii
Familia hii Mungu awabariki Sana Sana sana
Wimbo unagusa Sana na unafundisha maisha tunayoish kwa kupitia magum na changamoto zetyuu🙏🙏
Came to know of this song on Good Friady and I love it God bless you Benard proud to be a catholic
Barikiwa sana kwa utume wako
Ben mungu Akubariki pamoja na family unanijenga roho yangu Sana Kwa nyimbo zote zenu
@mogendithaddeus7042
2 жыл бұрын
Good job the mukasa family thank you for your inspiration
Navutiwa Sana na nyimbo za Bernard mkasa
Asante sana kwa wimbo mzr yaani huu wimbo kila sk lazima nisikilize maana unaujumbe mzito sana NA unanitoa machozi sana huu wimbo maana niliopitia mim inatosha kwa kweli
Haaaaa...jamaa balaaa dunia nzima
Nyimbo zenu zinapendeza sana ,na unibariki zaidi mungu awabariki
jaman nilimiss nyimbo mpya daah nimefurah sana na nimebarikiwa mno nawapenda sana Mungu awabariki
Nyimbo zako zinanibarik sana
Kazi nzuri kaka
Hongera Sana Mkasa
Nimeupenda sana huu wimbo..haki mwastahili sifa kwa utunzi na sauti za kuamsha utume wa Mungu ....Keep it in touch....hongereni sana.
Wimbo mtamu kweli
akh mukasa wanibambanga si haba
YATOSHA sasa BWANA🙏🙏🙏
Wimbo unanibariki sana huu
Wimbo nzuri sana, napenda sauti zenu, listening from Nairobi huu wakati wa lent
Bernard you were born for this....am proud of you
Napenda nyimbo zake Bernard nazpataje
Huruma ya mungu ni ya kipekee, huruma ya mungu nitakufa nikiitumainia. Mungu awabariki sana Q V
Tripple V huwa mnanibariki sana, Mungu awape maisha marefu ili tuweze kuufaidi utume wenu wa kuinjilisha kwa njia ya nyimbo
Hongera sana Mwalimu Bernard Mukasa
Ongera sana mwalimu wetu mukasa Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Ila Mukasa Nyie daah🙌🙌
Yatosha Sasa... Asante sana kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo B.Mukasa Sala zetu ziko na nyinyi....
@rutisimbeyanawapendaburekw6141
3 жыл бұрын
Balikiwa san
@wilbroadkapenegele8671
Жыл бұрын
😭😭 yatosha mungu wangu nirinde mungu wangu
Asante sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
A deep prayer in form of a song. Congratulations Mukasa's family.
Amina Mtumishi wa Mungu asante kwa wimbo mzuri.
Kweli mahangaiko haya yatosha...Bwana tuangazie USO wako
Naupenda sana huu wimbo (Yatosha)... Mungu azidi kuwapa maarifa.
Aksante kwa ujumbe mnzur mwenyez Mungu akujalie umri mrefu uzidi kutangaza neno lake. Amina. nawapenda sana
Kweli sala hiyo ulioitunga kwa kuimba ni nzr sana nimefarjika sana. Mungu akubariki sana
Barikiwaaa saana🙏🙏🙏
ongereni sana Mr en Mrs Mukasa may God bless u in u'r whole life 🙏🙏!
A complete prayer
Hongera sana Mr. Mukasa na familia yako kwa utunzi wa nyimbo nzuri nafrijika sana kwa wimbo huu yatosha niseme Mungu akubariki
Safi sana Ben family. Mungu aendelee kuwatumia kuwavuta wengi kwake. Aendelee kuwapa upendo thabiti kati yenu.
Hongereni sana, familia ya mwl Bernard Mukasa nimebarikiwa sana na uinjilishaji wenu kwa njia yanuimbaji
Shikamo Triple V Mkassa...Itoshe kusema Wewe ndio Brigedia wa Walimu Wote wa RC Africa.
Mwenyezi Mungu awe pamoja na Watunzi wetu. Asante sana. Mwal. Bernard Mukasa
Imenibari bariweni
Yatosh Kwel jmn
Barikiwa sana
Mwenyenzi Mungu awabariki sana.
Mungu awabarik sana kwa kuitangaza injili kwa njia ya nyimbo, napenda sna kusikiliza nyimbo zako Mukasa hakika Mungu akuinue zaid
DAH! HONGERENI SANA! MUNGU ATUKUZWE MILELE
Mukasa baba upo vizur nyimbo zako zinanibariki sana
You guys you keep it lit, Catholic songs with a lot of teachings, the whole family is involved....you rock. Heko kwako na mpenzi wako, pia watoto........so encouraging.....I always listen your songs from Kenya. God bless you
Kwa kweli huu wimbo umenigusa
Napenda Sana nyimbo zako baba mukasa,najivunia kuwa mkatolk
Lord come to our rescue, enough is enough, corona, joblessness, adultery, different diseases, poverty Mungu tuokoe
Good song keep it up