Bernard Mwombeki Mukasa,born on 31/01/1977 in Bukoba Tanzania,a catholic musician (composer,singer,etc);A permanent member of St.Kizito choir-Makuburi, Dar Es Salaam; A founder & incharge of QUADRI V (initially TRIPLE V),a family choir of himself, his wife Matilda Sendwa,and children Victoria,Vinny,Vivian and Vince.Quadri V (abreviated as QV) allows relatives in recording or performance.
He has composed over 2,000 songs including MIMINA NEEMA,MWANZI ULIOPONDEKA,YESU NI MWEMA,WEWE NI MUNGU,etc
_
Bernard Mwombeki Mukasa alizaliwa 31/01/1977 Bukoba Tanzania.Ni mwanamuziki wa kanisa katoliki,mtunzi,mwimbaji,nk;Mwanakwaya wa kudumu kwaya ya Mt.Kizito Makuburi-Dar es salaam!Mwasisi na kiongozi wa QUADRI V (zamani TRIPLE V) yaani kwaya ya familia yake na mkewe Matilda Sendwa,watoto Victoria,Vinny,Vivian na Vince).Quadri V (kifupi QV) hupokea jamaa wa familia nyakati za kurekodi au maonesha.Ametunga zaidi ya nyimbo 2,000 zikiwemo MIMINA NEEMA,YESU NI MWEMA,MWANZI ULIOPONDEKA,WEWE NI MUNGU,nk
Пікірлер
Hongera sana❤
Nimeupenda mno huu wimboo
Ongela sn mkasa kwakweli unaupiga mwingi sn
Huu ni moto wa kuotea mbali 🥰🥰
Ujumbe mzur
Hii ni nyimbo ambayo imevuma kenya sana, tunamtambua benard mukasa na bi mukasa kwa kazi nzuri ya kuimbia Mungu. ASANTENI SANA.
Naupenda huu mziki sana
Hakika MUNGU Atukuzwe kwa Karama hii.kuimba nikusali mara mbili.Asante MUMGU.
Asanteni kwa nyimbo nzuri
Favourite Thanksgiving song,,may God bless you ❤
Bado nasikiliza wimbo huu wenye hamasa
Waah🤗🤗❤️❤️❤️🔥
Hongera baba kwa kipaji
Mwalimu samahani nisaidie nakala ya wimbo huu mzuri
❤❤❤❤❤❤❤
Utume mwema
❤❤❤ 3:39 3:41
SO POWERFULL
❤
2024 still favourite song
Congratulations ❤❤
Still listening to this in 2024
Mbarikiwe❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏
Kumbukaneni njiani
An encouraging msg, always watching.
🔥🔥🔥
Great song❤
Nakiri mimi mdhaifu nimeanguka kulitii neno lakini nitamuangukia mwenyezi❤
God bless you
So touching song... keep up our dad Sir Bernard ❣️❣️
Dedicated to my dear wife Damaris
Lenten song i just love the song.
Awesome song..congratulations to the composer..the message is home ad SOUND..baraka
Glory to our lord
Hongera sana kwa mwimbo mzuri
Hallelujah Mungu aendelee kuwatunza ili muendelee kumsifu yeye watu wapone🔥💪💫
Hallelujah Mungu aendelee kuwatunza ili muendelee kumsifu yeye watu wapone🔥💪💫
Sanaaaa
wimbo mtamu sana
Naupenda sana
Nyimbo zuri sana merody Yao imeendana na wimbo wenyewe si kwamba wameimba na melody ya kisabato now
Haki afadhali kuwa Godside always good song keep up
May God bless you
Hongera sana
Wimbo mzur sana
Wimbo mzur sana mwalmu bernad mukasa
🙏🙏🙏
Naijulikane vilivyo😊
Mungu ameweka kitu katika uumbaji wake hakika unastahili kutumiwa na mangu ktk kuinjilisha dunia