HILA ZIMEVUNJWA Na Bernard Mukasa - QUADRI V
Музыка
HILA ZIMEVUNJA
Mtunzi:
BERNARD MUKASA
Waimbaji:
QUADRI V (Familia ya Bernard Mukasa na Matilder Sendwa Mukasa na watoto wao)
Kinanda:
VINNY MUKASA
Audio & Video:
HOLY TRINITY STUDIOS
(Studio ya Utatu Mtakatifu)
MANENO YA WIMBO
1. Mungu alipopanga ukombozi, kusudi kutuosha dhambi hizi;
Akakubali kwamba ye'mwenyezi, afe kifo kibaya kionezi.
Mti wakamuwamba kama mwizi, wakidhani ya kwamba ameshindwa.
Kiitikio:
Amefufuka Bwana na mwokozi, kazivunja hila za Lusiferi.
Katukomboa wana wa mwenyezi, twaimba ndiyo maana nyimbo nzuri.
2. Mungu akakubali kuonewa, hakuweka wakili kutetewa.
Nguo bila hiari kavuliwa, kapigwa misumari kazomewa.
Akabaki kusali kuombea, wauaji wapate msamaha.
3. Mungu atufundisha kujitoa, ya wengi maisha kuokoa.
Na anatukumbusha kupokea, yanayotutisha kumwendea.
Tusije kukatisha njema nia, ili kuyapisha ya dunia.
ENGLISH TRANSLATION
(Translated by Rev. Fr. Renatus Mashishanga)
1. When God planned salvation, in order to cleanse our sins;
He accepted, the Almighty to die an unpleasant death, an absurd death.
They nailed him on a tree like a thief, thinking that he has failed.
Chorus:
He has risen, lord and saviour, He has broken Lucifer's tricks.
He has saved us children of the Almighty; We are singing, this is the meaning of the sweet songs.
2. God accepted being oppressed, he didn't put an advocate to plead for him.
His garments stripped off without his will, they sailed him, booed him.
He remained praying interceding, murderers may be forgiven.
3. God teaches us to sacrifice ourselves to save others lives.
And he reminds us to accept whatever terrifies us to approach him.
So that we may not end the good intention in order to Passover the worldly things.
Пікірлер: 243
Mziki mkatoliki huo acha kabisa hongereni sana wapendwa ktk bwana
Yangu tu nikuwaombeeni baraka na afya njema.. Kwa hakika nyimbo zenu tamuuu na zenye kubariki
Nyimbo hii imependeza sana ❤
Thanks so much my role model wish to meet you one day listening from uganda
Na barikiwa na uinjilishaji wa familia hii jaman🙏🙏
Enyewe ndio maana nyimbo nzuri🎉❤
Nawapenda sana matamani niwaone family y waimbaji wazuri
Nakubali familia vipaji
Mwenyez mungu awabari kwa utume mwema
Mubalikiwe sana kwakalama ulio pewa na mungu sio wewe nimgu tuu
Hongere sana penda sana Nazi yako
Achia bac tu download jaman, mama unetisha sana nakupenda sana ila hujui tu. Hingereni sana
Siku zote ni Amani nisikilizapo nyimbo za familia hii, ( Mr.Mukasa, MUNGU azidi kukutumia)
Hongeren sanaaa...mnaimba vzr sana Mungu aibariki familia yako pamoja na kipaji chako alichokujalia Mungu.
Mungu awape wepesi wa kuinjisha amina
Jamani Nina furaha Sana kuona familia Kama hii,,hamna ata moja Kama hii huku Kenya kwetu,hongereni sana.hii kisomo Cha kinanda naeza kupata aje?ningependa usaidizi
Yaani huwa mnanikosha sana yaani nawaombea kwa Mungu mzidi kudumu ktk kumtumikia Mungu. Kazi nzuri saaana
I admire you guys,may God bless you,lots of love from Kenya
Amina mama. nyimbo nzuri sana ubarikiwe pamoja na familia yako ❤❤
Wanaimba vizuri sana,👌
Dah mi huwa nakosaga ata Cha kuandika kwa hii familia be blessed we are together tunawapenda na nyimbo zenu twasikiliza kila wakati sikuzote 🙏🙏🙏
Furaha hii Nitawashirikisha na majirani zangu hakika furaha kubwa sana naipata
haki napenda hii familia...May God continue blessing you to serve HIM more...Mungu anisaidie my future family iwe kama hii....how life will be in heaven...yes singing singing
Heri njema yenye baraka God bless
Hakika Mungu Ni mwema Asante kwa tungo nzuri BM ujumbe uliojitosheleza.... Kwa hiari akavuliwa nguo..akazomewa..... Hakuweka wakili kumtetea...unaweza ona maneno marahisi..ila yamebeba ujumbe mkuu(unyenyekevu,upendo kwa wengine,kujitoa)..Mungu aendelee kuwabariki daima
Mbona hamjawahi shindwa,familia yenye upendo ushirikiano.Mungu azidi kuwabariki
Your my role modal Mr.Conglaturations.
Amina, mbarikiwe sana, Mungu azid kuwajalia wito huo ili muendelee kuitangaza Injili yake kwa nyimbo,, natamn nikija kupata Familia Nami nianzishe kwaya ya Familia km mlivo fanya nyie
@isatryphone3545
3 жыл бұрын
Dada we acha kabisa yaani I wish siku moja na Mimi kupata family like this
@heriethmponela2403
3 жыл бұрын
Ubarikiwe na Bwana
@isatryphone3545
3 жыл бұрын
@@heriethmponela2403 asante
Amefufuka Bwana, kazivunja hila za shetani. Mbarikiwe sana Quadri Kwa uinjilishaji tukuka. Mungu azidi kuilinda familia hii imara
Mungu awabariki Sana nakuwajalia maisha marefu.
Pongezi kwenu
Safi sana
Napenda nyimbo zenu barikiweni sana
Wimbo mzuri Sana nmebarikiwa sana
Good family! Mungu awatunze
jamani huyo dogo organist Nampa Mia zote,,Yuko vzr sna Mungu azid kumkirimia,maana ametulia kwenye kinanda hatari,,, napenda Sana kucheza kinanda,, hongera kwa famili nzuri ya Mungu,nawapenda Sana!!
Mungu awabariki
Jaman achen Mungu aitwe Mungu!
Hongera,raha sana jaman
Familianzuri inaimbA vizuri mno
The family that never disappoints in whatever that they bring out,, you're a blessing to many
Hongera sana. Familia bora sana kazi safi sana.🙏🙏🙏
Great evangelical family. The inspiration to other families will not go unrewarded by God keep it up ndugu Benard and Matilda. Vinny prepare to take the mantle for your age groups
Kazi safii hii ya kumtukuza bwana mungu..... May God grant this family the grace and the strength to continue with the good gospel work.. @dagiey from kenya_machakos
Bernard Mukasa & family never disappoint - they keep outdoing themselves! What a beautiful Easter masterpiece! Sweet voices, well crafted words for a deeply profound message. Shukrani na hongera. Have a glorious Easter 🙏👏👏🙏
@nyorowinfrida3300
3 жыл бұрын
What abeautiful master piece may God bless your family mzidi kuimba na kuvutia wengi zaidi kwake mwenyezi ...
@anneamakobe
Жыл бұрын
000000000 wonderfully
Shukrani baba kwa nyimbo zako nzuri. Mungu apewe sifa
Mungu azidi kukulinda mtumishi
Duuh wimbo umenigusa na kupenya kabisa ndani ya Moyo. Congratulation for Bernard Mukasa, Matilda Sendwa, Vivian and Organist Vinny Mukasa for produce good song.
Nimezipenda nyimbo zako
Mungu awajalie haja ya mioyo yenu
The Mukasa family you are truly blessed.pure talent.pongezi nyingi sana na Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwazidishia neema zake..many blessings.. all the love from kenya..
Daaaaa mwanitamanisha Sana kumtumikia Mungu kwa njia ya nyimbo. Mungu awabariki
@jemmysaid7726
2 жыл бұрын
vp
Nyimbo nzr sana
Mbarikiwe sana familia b mukasa
Hongera sana and happy Easter to you and your family may God bless 🙏 you all. I personally like your songs they encourage me so much.
Vinny unanikosha sana
Bernard Mukasa your son is a talent. God bless your family.
Mwenyez mung awatunze sana
Keep it up family of Benard be blessed for the nice voices may God reward you for the nice work .
Mungu azid kuwabariki.
When I grow up I want to be Mukasa
NAPENDA SANA HII FAMILIA MUNGU AWABARIK SAna
Napenda sana kazi hii.. mniombee ninapo jitayarisha kujiunga na wanadominicans fathers vicariate of east Afrika...niombeeni hii njia si rahisi
Woow! Nawapenda mno wapendwa asante na mbarikiwe sn kwa wimbo mzur
Asante kwa kujirisha kwa njia ya nyimbo......barikiwa sana
Waoooooh hongera sana Familia ya Mwl Mukasa kazi nzur na Imenibariki
So nice though allow us to download the song please .🙏
Mbarkiwe sanaa
Hongereni Sana
Sam Magima Family is proud of you. And. This is the best song in your album ...... congratulations Mukasa family
Bernard nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe. Mungu azidi kukupa nguvu kazi zako nzuri mno
Mungu azidi kuwapa nguvu
Safi
what a song? so beatful to my ears.
Hongera sana bw mukasa kwa kazi poa .mungu aendelee kukbarik wewe na familia yako .Kenya tunaendelea kuenjoy nyimbo zako .
@matiasmartin1835
3 жыл бұрын
Daaaaah sauti zote iko imara mungu awatangulie katika utume wenu ahsanteni san
Thanks for this blessed talent nakubàli kazi yenu na ww mukasa baba Mungu akubaliki umekuwa mfano Wang sana one I will be like u be blessed much
Hakika zimevunjwa.Hongera sana Familia,mzidi kubarikiwa
Hongereni sana familia ya Mukasa. wimbo mzuri sana wenye mafundizo mazuri na uinjilishaji mahiri. God bless you
Mungu awabariki sana kwa nyimbo nzuri ya ufufuko wa Bwana .
Barikiweni kutoka Kenya 🇰🇪 ❤️
Kazi ya Mungu inapendeza kupitia kipaji chenu, Hongera sana Quadra V
My family and I are really blessed by this.hongera Mukasa and family.zidini kueneza injili popote duniani kwa lugha ya mziki.
Tanzania's powerhouse Catholic Family....hongera Mukasas
Hongereni sana nazipenda nyimbo zenu mungu awatangulie daima
Nawapenda Sana Mukasa's ningependa sana kujumuika nanyi katika uimbaji kipaji ninacho kukimudu ndo bado. Barikiweni sana 💝🙏🙏
Best family God bless as you sing to him with ,sweet voices we are blessed here in kenya
I heartily thank God for you Bernard and wife, children. Your songs are pure, with a lot of spiritually. Long live the Mukasas 🙏
May favourite family keep it up Mmeimba vzuri sana jmn👏👏👏👏 Amefufuka kweli kweli
asanteni kwa wimbo huu mzuri. nimebarikiwa sana.
HALLELUJAH Amina
Nawapeda from kenya, my all time musician 🇰🇪💪💪
@BernardMukasa
3 жыл бұрын
Tumshukuru Mungu
Hongera sana familia ya B. Mukasa Mungu awe nanyi daima katika utume wenu
Kazi poa mwenyezi akubariki Sana napeda nyimbo zako Sana pogezi
mziki mzuri unaishi... hongera kwa famulia hii kwa utume huu wa uimbaji....
Nawapenda upeo. Asanteni kwa kazi nzuri
Kweli Amefufuka Kristu
🎉 I'm blessed
♥️♥️♥️♥️ I'm speechless , What I can say is I Love You and May God Bless you moree and moreeeee🙏🙏🙏♥️♥️♥️
This family is blessed!😍
Great job guys..so inspiring..