NAKWENDA KWA BABA-QUADRI V By Bernard Mukasa
Музыка
Audio & Video Recorded by Tanganyika Productions
Song: NAKWENDA KWA BABA
Composer: B.Mukasa
Organist: Vinny Mukasa
Audio: tanganyika productions
Producer: Fortune Shimanyi
Video: tanganyika productions
Directed by: Laurent Ludovick
Phone: +255 762380376
P.O.BOX. 1947 DODOMA-TZ
Пікірлер: 190
Gonga like kama tupo pamoja🤝
Mungu baba azidi kuwazidishia mema dhe mukasas,,,❤❤❤
nabarikiwa nauimbaji wenu, Diet ya wifi nimeipenda kapendeza sana
Baba hongereni sana... Nakwenda kwenda kwa BABA.!! Nimefarjika sanaaaa baba tusaidie copi
Kazi nzuri sana mzidi kubarikiwa
Waooooo jmn nqbarikiwa Sana na nyimbo zenuuuu
Hongereni Sana kwa Utume
B Mkasa mshukru Mungu kwa kukupa mke mwema na familia Bora.
Mungu abariki vipaji bora. Pokeya Salama yetu kutoka Seminary mkuu ya theologia ya Bunia Congo/ Kinshasa
Mfano bora kwa familia kuimba pamoja bora kabisa wa kuigwa asante brother tunajifunza kitu kwako.
Ongera bernard mikasa kwanyimbo nzuri hizuo ambazo umeimba nafamlia yako mungu awbarikinsana tumsifu yesu kristo.
Mimi nawaombea tu kwa Mwenyezi Mungu azidi kuwatunza familia nzima.
Hongeraaaa sana bernad tafadhali nifundishe kuimbaa
Wapi likes za this blessed Family...they bless us with their songs ,,, be blessed Mukasas
@Lucy-yv7zh
3 жыл бұрын
Nawapenda sana
@paulernest811
3 жыл бұрын
J W ME LOOK K
@estherremah6077
3 жыл бұрын
Lovely family
Hongera sana kwa nyimbo na ni kweli mtoto wa nyoka ni nyoka naona dogo akicheza kinanda kwa ustadi mkubwa lakini pia hizi nyimbo watunzi asilimia kubwa naonaga mnatunga nyimbo zenye kuendana na matukio ila yote juu ya yote tumshukuru Mungu hongera sana mwalimu kwa kazi nzuri.
Nawapenda Mr. and Mrs Mukasa
Hongera sana mkasa family napenda sana mnavyoimba kwa utulivu
Hii familia ya Bwana mkasa ni ya selafini Mungu axidi kuwambariki
Kwely mpiga kinanda nimependa Mungu akubariki
Mungu Yazidi kuwabarik sn
Ni nyimbo zinazofundisha na kutujenga kiimani zaidi. Mungu awabariki nyote Amina:
Good Job Mwalimu. You are a source of inspiration to many. Hakika wimbo wapendeza.! Heko
kazi safi sana inayopendeza, Mungu ainuliwe kabisa
Hongera sana kwa mwimbo mzuri
Unafanya jambo lolote kwa kutumia moyo....Anga pekee ndio kikomo, Mungu awabariki mnooo kwa kuwa sehemu ya baraka kwa watu wote!! Kanyagatwendee
Lord, this is the kind of Family I look forward to have in future in so many aspects! I know you're faithful and this shall come to pass in Jesus' Name💥🙏. The joy is just on another level 😍😍😍
Hongera baba kwa kipaji
Uliimbwa sana wakati ule was huzuni kuu. Naupenda sana umejaa matumaini
Mungu awabariki sana kwa wimbo huu mzuri na sauti zenu nyororo.
Mgandu alimaliza kila kitu kwenye hayo maneno.
The power of music can never be underestimated. It is one of the most effective tools of evangelization. The Mukasa family is a shining light on that front. Baraka za Mungu ziwazingire maishani mwenu. Shukran 🙏🙏🙏
A family built on CHRIST Our LORD will always stand strong !!! Blessings to Mukasa's 🙏.
waaaooooo how beautiful you are doing good work for God💞💞👍♥️
Aissse, Mhe Mukasa Hongera kwa kuwarithisha watoto muziki, ubarikiwe. Safi Sana. Pd. Respicius,CM
@respicesigoma5748
Жыл бұрын
Nimependa unavyowarithisha watoto Muziki, Asante kwa uinjilishaji huo. Pd. Respicius
Talanta mnayo,, be blessed the mukasaas
Hongereni sana! Mungu aendelee 'kuwamiminia' neema zake
Hadi Raha Mwl wimbo ni Mzuri sana
Your songs and the way you sing/dance them, helps me to worship God. I think the best I can do to thank you is to subscribe, and I've done it already. God bless you abundantly.
The family that sings together stays together.. continue blessing us with these heavenly songs..
Nyimbo zenu huvutia sana ...yawning to emulate you .
Mungu awabariki sana kwani mnatufariji sana
Hakika mnajua kunibariki kwa nyimbo zenu, hongereni sana familia ya Mukasa
Hongereni Sana familia ya benadi mkasa kwa kazi yenu njema kabisa mungu awabariki
baba na familia safi sana,natamani kujifunza kupga kinanda Bernad Mukasa nianzaje mimi
Hongera kwa kazi nzuli mwenyez mungu awape afya njema tuishuudie kazi yake amina
Kazi zuri! Hongera kwa familia mungu azidi kuwabariki kwa kujitolea kama familia.
Great work there Mukasa and family, God bless you
the songs that i find myself tapping my fingers ata bila kutaka. you always bless me. God bless you too
Huu wimbo mzuri sana
Wow! Beautiful song 🙌 Beautiful voices 👌 You bless us so much 🙏
Mungu akuongezee imani
Congratulations for your good song. God bless you allways. From Qatar
Hongereni na Mungu azidi kuwaneemesha.
May God bless 🙏 you and your family for the good work you are doing.
Nice song blessed mr Mukasa with your family
Ongera kwa kupata mke mcha Mungu hadi namatunda yenu yana barikiwa 🙏🙏🥰🥰
God bless your family, I like to joined your songs singing
May almighty bless you ubandantly,may God grace be sufficient
The Mukasa family never disappoint us. We are blessed.
Jaman Nawapenda Sana 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Hongera Sana kwa utume Mbarikiwe sana
kaka mkasa hizi nyimbo hizi...
Like father like son Big love teacher
Hongera sana
A really blessed family may the good Lord continue guiding you all through 🙏🙏🙏
Yaani huyo mtoto... "Na wote walioyasikia wakayaweka mioyoni mwao, wakisema, Mtoto huyu atakuwa wa namna gani? Kwa sababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye." (Luka 1:66). Ubarikiwe sana Mukasa Bern na Familia
@abrahamdenismpandiko499
3 жыл бұрын
Father nimefarijika kuona comment yako. Nana imani na wewe unafuraha kuona mtunzi mzuri kama ilivyokuwa wewe.
@christinendanu946
3 жыл бұрын
May God bless you all
MUNGU awaongezee nguvu na ujuzi zaidi nimebarikiwa Sana na wimbo wenu
Nabarikiwa sanaaaa saaana
Lovely song 💞 Mukasa family 💓
Kaka na mwalimu wangu napenda sanaa kazi zako mwenyezi mungu azidi kukubariki mwenyew natamani sanaa kuwa kama wew na naimani utakuwa roallmode wangu ubarikiwe pammoja na family
May God bless u Mukasa's family 🙏
God's power and graces at work in this family. May He continue to strengthen your bond of love now and forever. You are truly a model to many families 👪 ❤ 💕 🙏
Great,, let God bless the Family 🙏
God bless you for your work
Mbarikiwe sana jamani
Blessed family may Almighty God continue to use you and to be the whole model of families ❤️ l pray u could come to Uganda
Nice song mbarikiwe
Congratulation for a good work. God bless you . I love the song🙏🙏
Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Nice song mzee mukasa may God bless you with your family
Great work keep going and may the heavenly God bless you and your family abundantly.
Good and inspiring piece of work...
Utume mwema katika Bwana wetu yesu christu amina
Be Blessed Mr, Bernard Mkasa with your family
You are a blessing Ben and family, I live in kenya and closely follow your work. I pray one time will be able to attend service at your church when in Dar. Blessing, blessing blessing. You are a powerhouse. Regards to your family and the great Makuburi choir. Kudos
Kazi nzuri MUNGU awabariki
The mukasa's never disappoints🔥🔥👌
Kazi nzuri sana, hongereni
Nitapataje album yanu napenda sana nyimbo zenu zinanibariki sana
So consoling. Thanks and keep on Evangelising
Mungu awabariki
Your songs bless me so much.
Hongera,kazi nzuri
Blessed family ❣️ nice song nice message be blessed kaka
So much blessed!What an inspirational Family.
So amazing keep it up the Mukasa's,,may you never lack
O Lord !may u bless this family .
good job!!.. I appreciate it
Amina mmbarikiwe
Kazi nzuri waalimu.