GUSANENI MAJERAHA By Quadri-V (Official Video-HD)
Музыка
Wimbo huu umetungwa na Bernard Mukasa.
umeimbwa na Familia yake "QUADRI V"
Audio: Rajo Productions
Video: Tanganyika Productions
wimbo upo katika Album ya 3 ya Quadri-V
ambayo ipo sokoni inauzwa sasa.
Пікірлер: 184
Mwalimu Mukasa kiukweli wewe ni Zaidi ya mwalimu wa Muziki mtamu .. Natamani nasi ututungie wimbo maalumu tuurekodi kwa heshima yako .. Naomba Muongozo wako.
Família ya kuigwa! !hongereni sana Mungu awebariki,,,,aonae ujumbee click
Mungu ameweka kitu katika uumbaji wake hakika unastahili kutumiwa na mangu ktk kuinjilisha dunia
Mtoto Vinny daah mungu akubark sanaa KWA kipaji chakk
Hatimaye familia ya Mukasa mmenitimizia haja ya moyo wangu. Hongereni sana. Stay blessed🙏♥️
Daaah yan hii nyimb ni sala na tafakar tosha jaman live you family of bernad mukasa
wimbo huu una ujumbe unaohitaji kufanyiwa kazi
Barikiweni sana Bi na bw mukasa kwa wimbo mzuri..nipo kenya mm n wa nyimbo zenu huwa zinanibariki
Familia iliyotukuka mbele ya mungu ktk roho na kwely, , hongeren sana nawapenda hadi nawapendelea
blessed so wonderful having a good family like this, God help me have a family like this.
Familia hii inanigusa na kunifundisha kitu, kwa mifano yao mizuri, Mungu azid kuwapigania muttende kwa uaminifu Zaid, I pray for you ❣️💯🤝
Huu wimbo daah! Itoshe tu kusema tumshukuru Mungu. 🙏🏾
Mungu atusaidie kugusana majeraha kila wakati. Ubarikiwe kwa utunzi mzuri
Hongeren sana Mukasa's Family, namuona Mama Mukasa amependeza sana maana kapungua Unene, Mungu awazidishie Neema Mzidi Kumtumikia Maisha yenu yote
Mwalimu B.Mukasa hongera pamoja na familia Mungu Aliso kuwapa nguvu ya kumuimbia kila wakati 🎉🎉
Hii nyimbo nimeitafuta sana, sasa nimeipata😋😋😋🥰, Barikikiwa sana mtumishi wa Mungu🙏🙏
@Your_Boy2006
3 жыл бұрын
Âmen
Wow! Wow! What a lovely song. I really love this family. May Almighty God continue blessing you more and more to continue evangelizing through singing.
What a beautiful family may God give you along life of happiness.....
I love it keep it up Bernard mukasa .may the almighty God bless you and your family
Hongereni sana , hakika hii ni familia ya kuigwa
Tumuimbie bwana katika roho nakweli, nimeguswa na huu wimbo Gusa majeraha mmeimba vizuri sana Mungu awabarik.
Nzuri sana
Kaka pamoja na familia yako aisee mmetisha hadi raha
Kwakweli unanifanya niwe najisikia faraja ninaposikiriza nyimbo zako. Kaka hongera kwa talanta hii ,
Blessed Family God be with you always as you keep inspiring others Nawapenda sana nasikiliza sana nyimbo zenu
Mfano mzuri sana wa familia ya kikristo iliyo na umoja . MUNGU azidi kuwaangazia nuru yake mzidi kumtumikia.kwa njia hii ya uimbaji
Utume mwema katika Bwana wetu yesu kristu
Amazing mnafanya vizuri sana mungu azidi kuwabariki
my role model family all the time natamani nije kuwa na family ya kumucha Mungu kama hii 🙏
Wow nafurahi kumuona mama Matilda akiienzi na kuijenga familia yake Kama mwanamke mwenye busara. Keep it up Mamaaaaa Matilda
@onesmokihongo1042
2 жыл бұрын
Upo vizur
Ikopoa Sana pc
Mungu aendelee kuilinda familia hii Mukusa unajua sana jamani uuuuuuuuuuuuwi
This is so nice,am admiring in future to have a family like this,i love your songs mkasa
Hongereni Sana mukasa's family mnanigusa sana
Kazi nzuri sana kaka Bernard is Mukasa.
Mungu azidi kuibarikii kazi yenu na baraka katika familiaa yako baba mukasaaa
Mbarikiwe kwa wimbo .. Kiukwel Nyimbo zenu huwa zinanigusa na kunipa faraja xnaa
God knows how much I have longed for the video of the song Gusaneni Majeraha! Thank you so much Bernard Mukasa and your family. May God continue blessing you and expanding your territory. What a beautiful way to celebrate Jumapili ya kwanza ya maajilio! You have made my Sunday. 🙏
Hongera kwenu 🎉❤
Master and Best Composer of all the time!! Never fails....👏🏻👏🏻👏🏻
Hakika mungu ni mkuu Bernard mukasaaaaaa unajuaa unawezaàaaa
Blessed family. So beautiful melodies 😍
Nyimbo nzuri Sana iyo yenye mafunzo bora katika maisha yetu Mungu awabariki watumishi wa Bwana na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@manumbubujiba8610
3 жыл бұрын
Safi Sana mbarikiwe
Sichoki kusikiliza nyimbo zenu maana zinasomo ndani yake big up sana kwa umoja wenu
Kazi nzuri sana. Pokeeni baraka ya Mwenyezi Mungu katika maisha yenu.
Such a lovely song. Gob bless you
Kazi nzuri, ujumbe mzuri, sauti nzuri, video nzuri, utume mzuri, familia nzuri. Mungu awabariki sana
Hadi raha
Nzuru sana good song I like it.god bleess
Great Mr. Mukasa Bernard, may the Mighty God keep you alive to accomplish what you were assigned by our Lord!!
Asante kwa ui jilishaji mungu awape maarifa na ujuz zaid
Hongeren sana mungu awape nguvu ya kumtumikia vema
Nyimbo nzur na zina ujumbe mungu awabarik sana kwa uinjilixhaj
Thanks for the nice song mukasa
Kuna jeraha la mwili na la roho na yote yahitaji tiba.... May God bless you more.
@japhetandrea4533
3 жыл бұрын
God bless their life and help them to live long life!
Hongereni sana kwa utumeuliotukuka,
Mbarikiwe sana and your family
Gusaneni majeraha mkahurumiane. Hongera sana.
Congratulations good song 💖 and GOD bless you 🙏🙏🙏
Hongereni Sana familia ya Mungu, Baba Mkasa Mungu awabariki
So inspirational! Thanks so much the mukasa's
My favorite,, be blessed Mkasa family
Makes me to go back to Tanzania 🇹🇿
asante sana...wimbo mzuri wenye zingatio kubwa
Am always inspired with your songs may God continue blessing you with your family when you are serving Him I like your songs they contain a lot of teachings
This song is really touching the greatest composer mwenyezi Mungu akuzidishie
Nawapendasana munguawa bariki sikuzote apaduniani wapendwa.
Napenda nyimbo zako sana.... Daima mCatholiki
Wimbo mzr Sana
Barikiwa kwa wimbo huu mzur
You are an inspiration to many,may God's grace and favor be upon you always.
Nyimbo zenu ni nzuri sana,,,barikiweni sana.
May our heavenly father bless these family as is said singing is like praying twice
Hongera mwalimu
I have been longing to see your recent release, your family has grown up,I treasure your talent,keepit up
God bless you abundantly you and your family for your time Amen
Beautiful ❤️😻 song, Be blessed always
Mungu awabark san
I this family,may God expand your wisdom as you proclaim his word through singing
This is my Christmas Gift on this day,thank you
Inspired!!wish to have a family like this in future 🙏🙏
This family is amazing and may God bless them as they continue composing more songs day by day. #kuimba ni kusali mara mbili..💖
Good family Lord bless you ❤️❤️❤️❤️❤️
I admire your family Bernard, may our God bless you as you keep on blessing us with your songs mkatoliki damu
#Nzuri san
Beautiful... just awesome...thumbs up keep the spirit guys and May God Bless this beautiful 🥰 family 😍
Muda mrefu nimekuwa nautafuta sana,,,ila kumbe leo umewekwa rasmi,,, Mungu akubariki sana pamoja na familia yako yote
A family that prays together stays together..... God bless yu abundantly
woo this is very nice
Mungu awabarik sana
Mmbarikiwe sana familia ya mukasa
Waoh what a beautiful song God bless this family abundantly.
Wow the kids have really grown
Your wife looking good amediet kabisa
Wow, this is amazing. Your work is a true talent
Such a great evangelical mission
Naomba nafasi yakimsumbua Mungu kwenu
Nice Song, may Almighty God bless you.
Haja na tamanio la Roho yangu limetimilika
Naomba mumgu awabariki