Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
@salomekamendi2458 Жыл бұрын
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
10 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@gabrielnyambu82874 ай бұрын
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
@divinajoseph27603 жыл бұрын
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
@eriminashayo13413 жыл бұрын
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
@saraboniphace76702 жыл бұрын
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
@NeemaKiria-wz5gh2 ай бұрын
Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤
@remigiusjuvenary30992 жыл бұрын
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
@JohnmaryBirungi3 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
@levinamukandara69702 жыл бұрын
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
@josephinekieti46832 жыл бұрын
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
@avitbuchwa23532 жыл бұрын
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
@clementmarandu27122 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
@valentinewamboi44902 жыл бұрын
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
@katommbusa45596 жыл бұрын
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
@sarahsangija2913
6 жыл бұрын
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
@gertrudekopiyo Жыл бұрын
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
@user-sz3kz2wf5n4 ай бұрын
Ubarikiwe San
@lucasmaro41722 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
@linahmadawe28234 жыл бұрын
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
@bahatimungundomteteziwetum43604 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
@gustavkunkuta67333 жыл бұрын
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
@totimusmodest82412 жыл бұрын
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
@christerkanyamala2996
11 ай бұрын
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
@josephinekieti46832 жыл бұрын
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
@muendoandrew5 ай бұрын
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
@user-fn9mr3xe3k7 ай бұрын
Nabarkiwa sana na wimbo huu
@maurusmwajombe4923 жыл бұрын
Hongereni sanaaaa familia ya mkasa
@stephenshio5885 жыл бұрын
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
@agripinaapolinary13629 ай бұрын
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
@upendoinaction47244 жыл бұрын
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
@josephirungu4011
3 жыл бұрын
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
@leahburchard37382 жыл бұрын
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
@johnedmundmachota75825 жыл бұрын
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
@stacykibutu3654 жыл бұрын
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
@gladysjebiwot65625 жыл бұрын
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
@agustinotadeo85544 жыл бұрын
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
@stevembuhilo29564 ай бұрын
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
@jamespetro67732 жыл бұрын
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
@ignasjosephmwinuka36662 жыл бұрын
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
@charlesmillinga9924 ай бұрын
Bernado Mukasa kaka.
@anthonykimanthi25512 жыл бұрын
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
@kamanzielias3585 Жыл бұрын
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
@jeanpierrendayishimiye94543 жыл бұрын
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
@kunguseconsumata5863
3 жыл бұрын
Safi sana Mungu atukuzwe
@robertmahucha57153 жыл бұрын
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
@AgnesMwita-nb3cx8 ай бұрын
Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee
@josephinebiringanine71134 жыл бұрын
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
@sarahchiliko10603 жыл бұрын
I love you my Roman Catholic gospel
@faridakibadu12133 жыл бұрын
Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana
@priscamsomba42242 жыл бұрын
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
@marianabachilula875611 ай бұрын
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
@mgenileonora97172 жыл бұрын
Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru
@bonifacejohanes8952 жыл бұрын
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
@Spirit.234 жыл бұрын
Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele
@dorischuwa36412 жыл бұрын
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
@elgyeneemmanuel12365 жыл бұрын
this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu
@susannyaguthii47134 жыл бұрын
Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen
@oscarmalogo6105 жыл бұрын
God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer
@dominicmwanzia99195 жыл бұрын
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
@elizabethtreshory77764 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
@skoraskora80932 жыл бұрын
Hongereni sana kwa utume huo
@raymondlaurent94032 жыл бұрын
Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..
@Spirit.233 жыл бұрын
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
@lutigardkomba1215
2 жыл бұрын
Amen,,may the Lord comfort you
@JenistaFrancis-hw5fe
11 ай бұрын
Good song 👏👏👏
@BestinaJacob-dc3cb
8 ай бұрын
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
@achiecaren2908 Жыл бұрын
Good job, sweet voice blessed family.
@kamukamasylvia96404 жыл бұрын
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
@angiemambo61924 жыл бұрын
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
@fidesrwemera37103 жыл бұрын
Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima
@jamesbenjamin59695 жыл бұрын
Nikapasaaa mkono gizani kulipokucha ni tunda mkononi...... Hongeren sana Mr and Mrs B
@awardngailo52334 жыл бұрын
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
@patrickkambale7775 жыл бұрын
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
@lutigardkomba12152 жыл бұрын
Nikutukuze vipi Mungu wangu
@mariamlote2183 Жыл бұрын
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
@user-dg7vf1mx4m6 ай бұрын
sauti tamu sana ,,,so blessing
@christopheritungi12286 жыл бұрын
This is the one of my favourite catholic gospel song. Be blessed Mr Mukasa.
@dreusebiusjmikongoti2482 жыл бұрын
Hongereni sana👏
@jamesbenjamin59695 жыл бұрын
Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu
@yusterkonga69045 жыл бұрын
naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang
@alfredphantaleo45293 жыл бұрын
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
@paskalinasalia80413 жыл бұрын
Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏
@Jaycarls5 жыл бұрын
🤲🤲🤲 Mungu aibariki kazi ya Mikono yako... Hongera kwa kutumia kipaji ulichopewa na Mungu kumrudishia sifa na Utukufu🤲 Binafsi natamani niimbe km wewe😥😥😥
@bensonotieno79014 жыл бұрын
uu wimbo unanibariki sana
@puritygakii29934 жыл бұрын
You are a blessing to many Especially me... Your songs uplift me da day by day.... Be blessed 🙏
@gracesimpasa993
4 жыл бұрын
Mungu azidi kuwapigania
@user-te1mo4hq4s8 ай бұрын
Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢
@edwardkioko44554 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mwalimu Mukasa and ur family. Wabariki nyoyo zetu sana. Hongera mwalimu.
@thomshumbusho54465 жыл бұрын
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
@bridgitmutuku4140
2 жыл бұрын
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
@munlagloryzingwe6487 Жыл бұрын
Event I don't understand this song but I really love it
@angelinakemuma27484 жыл бұрын
We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better
@faithkemboi11104 жыл бұрын
Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.
@Jonathan953116 жыл бұрын
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
@gracegada31355 жыл бұрын
Hongera Mkuu kwa kazi nzuri
@njugunawjulius44123 жыл бұрын
Baraka kila niuskiapo...
@witnessmallya51145 жыл бұрын
Alafu mmekutana wote mnavipaji jaman... Mungu awalinde muendelee kuinjilisha,
@jamesbenjamin59695 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako
@mariethapesha5936 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mwalimu B,Mukasa uko vizuri sana
@DARCYFUN4 жыл бұрын
Mukasa's be blessed. I can't stop listening to your encouraging songs.
@wemahamaro1021
4 жыл бұрын
Kwakweli familia ya B mukasa mnanibariki wa wimbohuu
@okothdorothy52575 жыл бұрын
I really admire this family, may God bless you 💕💕💕
@dorothygathongo4814 жыл бұрын
A family to admire.....Be Blessed Mukasa's family.
@leonardmwankemwa72234 жыл бұрын
you are role models of most of us
@paschalnwanakulya33474 жыл бұрын
Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji
@felisterkokuberwa57835 жыл бұрын
Thank you Lord!
@magrethamalliya80315 жыл бұрын
Aasante nakushukuru. Pos namshukuku Mungu kwa huu wimbo. M'Barikiwa wana wa Mungu.
Пікірлер: 357
Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
10 ай бұрын
Pole Sana ndugu
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
@sarahsangija2913
6 жыл бұрын
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
Ubarikiwe San
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
@christerkanyamala2996
11 ай бұрын
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
Nabarkiwa sana na wimbo huu
Hongereni sanaaaa familia ya mkasa
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
@josephirungu4011
3 жыл бұрын
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
Bernado Mukasa kaka.
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
@kunguseconsumata5863
3 жыл бұрын
Safi sana Mungu atukuzwe
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
I love you my Roman Catholic gospel
Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu
Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen
God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
Hongereni sana kwa utume huo
Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
@lutigardkomba1215
2 жыл бұрын
Amen,,may the Lord comfort you
@JenistaFrancis-hw5fe
11 ай бұрын
Good song 👏👏👏
@BestinaJacob-dc3cb
8 ай бұрын
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
Good job, sweet voice blessed family.
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima
Nikapasaaa mkono gizani kulipokucha ni tunda mkononi...... Hongeren sana Mr and Mrs B
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
Nikutukuze vipi Mungu wangu
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
sauti tamu sana ,,,so blessing
This is the one of my favourite catholic gospel song. Be blessed Mr Mukasa.
Hongereni sana👏
Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu
naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏
🤲🤲🤲 Mungu aibariki kazi ya Mikono yako... Hongera kwa kutumia kipaji ulichopewa na Mungu kumrudishia sifa na Utukufu🤲 Binafsi natamani niimbe km wewe😥😥😥
uu wimbo unanibariki sana
You are a blessing to many Especially me... Your songs uplift me da day by day.... Be blessed 🙏
@gracesimpasa993
4 жыл бұрын
Mungu azidi kuwapigania
Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢
Kazi nzuri sana mwalimu Mukasa and ur family. Wabariki nyoyo zetu sana. Hongera mwalimu.
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
@bridgitmutuku4140
2 жыл бұрын
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
Event I don't understand this song but I really love it
We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better
Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
Hongera Mkuu kwa kazi nzuri
Baraka kila niuskiapo...
Alafu mmekutana wote mnavipaji jaman... Mungu awalinde muendelee kuinjilisha,
Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako
Kazi nzuri sana mwalimu B,Mukasa uko vizuri sana
Mukasa's be blessed. I can't stop listening to your encouraging songs.
@wemahamaro1021
4 жыл бұрын
Kwakweli familia ya B mukasa mnanibariki wa wimbohuu
I really admire this family, may God bless you 💕💕💕
A family to admire.....Be Blessed Mukasa's family.
you are role models of most of us
Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji
Thank you Lord!
Aasante nakushukuru. Pos namshukuku Mungu kwa huu wimbo. M'Barikiwa wana wa Mungu.