Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)

Bernard Mukasa - Niseme Nini

Пікірлер: 357

  • @berychrys2678
    @berychrys26783 жыл бұрын

    Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭

  • @salomekamendi2458
    @salomekamendi2458 Жыл бұрын

    Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏

  • @PaulinaSemindu-ob3de

    @PaulinaSemindu-ob3de

    10 ай бұрын

    Pole Sana ndugu

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu82874 ай бұрын

    Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba

  • @divinajoseph2760
    @divinajoseph27603 жыл бұрын

    Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri

  • @eriminashayo1341
    @eriminashayo13413 жыл бұрын

    Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏

  • @saraboniphace7670
    @saraboniphace76702 жыл бұрын

    Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde

  • @NeemaKiria-wz5gh
    @NeemaKiria-wz5gh2 ай бұрын

    Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤

  • @remigiusjuvenary3099
    @remigiusjuvenary30992 жыл бұрын

    One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama

  • @JohnmaryBirungi
    @JohnmaryBirungi3 ай бұрын

    Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu

  • @levinamukandara6970
    @levinamukandara69702 жыл бұрын

    How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti46832 жыл бұрын

    I can't get enough of this song, I keep on replaying it.

  • @orollahcharlse6488
    @orollahcharlse64884 жыл бұрын

    Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa

  • @raymondmushi3310
    @raymondmushi33104 жыл бұрын

    Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia

  • @avitbuchwa2353
    @avitbuchwa23532 жыл бұрын

    I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!

  • @clementmarandu2712
    @clementmarandu27122 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele

  • @valentinewamboi4490
    @valentinewamboi44902 жыл бұрын

    So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you

  • @katommbusa4559
    @katommbusa45596 жыл бұрын

    Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa

  • @sarahsangija2913

    @sarahsangija2913

    6 жыл бұрын

    Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima

  • @gertrudekopiyo
    @gertrudekopiyo Жыл бұрын

    Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you

  • @user-sz3kz2wf5n
    @user-sz3kz2wf5n4 ай бұрын

    Ubarikiwe San

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro41722 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.

  • @linahmadawe2823
    @linahmadawe28234 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,

  • @bahatimungundomteteziwetum4360
    @bahatimungundomteteziwetum43604 жыл бұрын

    Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!

  • @gustavkunkuta6733
    @gustavkunkuta67333 жыл бұрын

    Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.

  • @totimusmodest8241
    @totimusmodest82412 жыл бұрын

    Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana

  • @christerkanyamala2996

    @christerkanyamala2996

    11 ай бұрын

    Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti46832 жыл бұрын

    This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.

  • @muendoandrew
    @muendoandrew5 ай бұрын

    I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..

  • @user-fn9mr3xe3k
    @user-fn9mr3xe3k7 ай бұрын

    Nabarkiwa sana na wimbo huu

  • @maurusmwajombe492
    @maurusmwajombe4923 жыл бұрын

    Hongereni sanaaaa familia ya mkasa

  • @stephenshio588
    @stephenshio5885 жыл бұрын

    Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary13629 ай бұрын

    Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana

  • @upendoinaction4724
    @upendoinaction47244 жыл бұрын

    Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!

  • @josephirungu4011

    @josephirungu4011

    3 жыл бұрын

    Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini

  • @leahburchard3738
    @leahburchard37382 жыл бұрын

    Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji

  • @johnedmundmachota7582
    @johnedmundmachota75825 жыл бұрын

    Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha

  • @stacykibutu365
    @stacykibutu3654 жыл бұрын

    Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli

  • @gladysjebiwot6562
    @gladysjebiwot65625 жыл бұрын

    Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you

  • @agustinotadeo8554
    @agustinotadeo85544 жыл бұрын

    Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru

  • @stevembuhilo2956
    @stevembuhilo29564 ай бұрын

    Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz

  • @jamespetro6773
    @jamespetro67732 жыл бұрын

    Mungu awarki kwa ujumbe mzuri

  • @ignasjosephmwinuka3666
    @ignasjosephmwinuka36662 жыл бұрын

    Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga9924 ай бұрын

    Bernado Mukasa kaka.

  • @anthonykimanthi2551
    @anthonykimanthi25512 жыл бұрын

    katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya

  • @kamanzielias3585
    @kamanzielias3585 Жыл бұрын

    Mungu akutunze Ben tunajivunia sana

  • @jeanpierrendayishimiye9454
    @jeanpierrendayishimiye94543 жыл бұрын

    This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.

  • @kunguseconsumata5863

    @kunguseconsumata5863

    3 жыл бұрын

    Safi sana Mungu atukuzwe

  • @robertmahucha5715
    @robertmahucha57153 жыл бұрын

    magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru

  • @AgnesMwita-nb3cx
    @AgnesMwita-nb3cx8 ай бұрын

    Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine71134 жыл бұрын

    Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰

  • @sarahchiliko1060
    @sarahchiliko10603 жыл бұрын

    I love you my Roman Catholic gospel

  • @faridakibadu1213
    @faridakibadu12133 жыл бұрын

    Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana

  • @priscamsomba4224
    @priscamsomba42242 жыл бұрын

    Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu

  • @marianabachilula8756
    @marianabachilula875611 ай бұрын

    Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!

  • @mgenileonora9717
    @mgenileonora97172 жыл бұрын

    Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru

  • @bonifacejohanes895
    @bonifacejohanes8952 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea

  • @Spirit.23
    @Spirit.234 жыл бұрын

    Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele

  • @dorischuwa3641
    @dorischuwa36412 жыл бұрын

    Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏

  • @elgyeneemmanuel1236
    @elgyeneemmanuel12365 жыл бұрын

    this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu

  • @susannyaguthii4713
    @susannyaguthii47134 жыл бұрын

    Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen

  • @oscarmalogo610
    @oscarmalogo6105 жыл бұрын

    God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer

  • @dominicmwanzia9919
    @dominicmwanzia99195 жыл бұрын

    Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana

  • @elizabethtreshory7776
    @elizabethtreshory77764 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima

  • @skoraskora8093
    @skoraskora80932 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa utume huo

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent94032 жыл бұрын

    Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..

  • @Spirit.23
    @Spirit.233 жыл бұрын

    I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance

  • @lutigardkomba1215

    @lutigardkomba1215

    2 жыл бұрын

    Amen,,may the Lord comfort you

  • @JenistaFrancis-hw5fe

    @JenistaFrancis-hw5fe

    11 ай бұрын

    Good song 👏👏👏

  • @BestinaJacob-dc3cb

    @BestinaJacob-dc3cb

    8 ай бұрын

    @@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,

  • @achiecaren2908
    @achiecaren2908 Жыл бұрын

    Good job, sweet voice blessed family.

  • @kamukamasylvia9640
    @kamukamasylvia96404 жыл бұрын

    It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed

  • @angiemambo6192
    @angiemambo61924 жыл бұрын

    Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.

  • @fidesrwemera3710
    @fidesrwemera37103 жыл бұрын

    Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin59695 жыл бұрын

    Nikapasaaa mkono gizani kulipokucha ni tunda mkononi...... Hongeren sana Mr and Mrs B

  • @awardngailo5233
    @awardngailo52334 жыл бұрын

    Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel

  • @patrickkambale777
    @patrickkambale7775 жыл бұрын

    Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000

  • @lutigardkomba1215
    @lutigardkomba12152 жыл бұрын

    Nikutukuze vipi Mungu wangu

  • @mariamlote2183
    @mariamlote2183 Жыл бұрын

    Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako

  • @user-dg7vf1mx4m
    @user-dg7vf1mx4m6 ай бұрын

    sauti tamu sana ,,,so blessing

  • @christopheritungi1228
    @christopheritungi12286 жыл бұрын

    This is the one of my favourite catholic gospel song. Be blessed Mr Mukasa.

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti2482 жыл бұрын

    Hongereni sana👏

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin59695 жыл бұрын

    Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu

  • @yusterkonga6904
    @yusterkonga69045 жыл бұрын

    naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang

  • @alfredphantaleo4529
    @alfredphantaleo45293 жыл бұрын

    Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu

  • @paskalinasalia8041
    @paskalinasalia80413 жыл бұрын

    Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏

  • @Jaycarls
    @Jaycarls5 жыл бұрын

    🤲🤲🤲 Mungu aibariki kazi ya Mikono yako... Hongera kwa kutumia kipaji ulichopewa na Mungu kumrudishia sifa na Utukufu🤲 Binafsi natamani niimbe km wewe😥😥😥

  • @bensonotieno7901
    @bensonotieno79014 жыл бұрын

    uu wimbo unanibariki sana

  • @puritygakii2993
    @puritygakii29934 жыл бұрын

    You are a blessing to many Especially me... Your songs uplift me da day by day.... Be blessed 🙏

  • @gracesimpasa993

    @gracesimpasa993

    4 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwapigania

  • @user-te1mo4hq4s
    @user-te1mo4hq4s8 ай бұрын

    Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢

  • @edwardkioko4455
    @edwardkioko44554 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana mwalimu Mukasa and ur family. Wabariki nyoyo zetu sana. Hongera mwalimu.

  • @thomshumbusho5446
    @thomshumbusho54465 жыл бұрын

    Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.

  • @bridgitmutuku4140

    @bridgitmutuku4140

    2 жыл бұрын

    Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana

  • @munlagloryzingwe6487
    @munlagloryzingwe6487 Жыл бұрын

    Event I don't understand this song but I really love it

  • @angelinakemuma2748
    @angelinakemuma27484 жыл бұрын

    We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better

  • @faithkemboi1110
    @faithkemboi11104 жыл бұрын

    Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.

  • @Jonathan95311
    @Jonathan953116 жыл бұрын

    Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!

  • @gracegada3135
    @gracegada31355 жыл бұрын

    Hongera Mkuu kwa kazi nzuri

  • @njugunawjulius4412
    @njugunawjulius44123 жыл бұрын

    Baraka kila niuskiapo...

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya51145 жыл бұрын

    Alafu mmekutana wote mnavipaji jaman... Mungu awalinde muendelee kuinjilisha,

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin59695 жыл бұрын

    Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako

  • @mariethapesha593
    @mariethapesha5936 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana mwalimu B,Mukasa uko vizuri sana

  • @DARCYFUN
    @DARCYFUN4 жыл бұрын

    Mukasa's be blessed. I can't stop listening to your encouraging songs.

  • @wemahamaro1021

    @wemahamaro1021

    4 жыл бұрын

    Kwakweli familia ya B mukasa mnanibariki wa wimbohuu

  • @okothdorothy5257
    @okothdorothy52575 жыл бұрын

    I really admire this family, may God bless you 💕💕💕

  • @dorothygathongo481
    @dorothygathongo4814 жыл бұрын

    A family to admire.....Be Blessed Mukasa's family.

  • @leonardmwankemwa7223
    @leonardmwankemwa72234 жыл бұрын

    you are role models of most of us

  • @paschalnwanakulya3347
    @paschalnwanakulya33474 жыл бұрын

    Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa57835 жыл бұрын

    Thank you Lord!

  • @magrethamalliya8031
    @magrethamalliya80315 жыл бұрын

    Aasante nakushukuru. Pos namshukuku Mungu kwa huu wimbo. M'Barikiwa wana wa Mungu.