MKAZAE MATUNDA MEMA | Ray Ufunguo | (Official Video)
Ойын-сауық
St Pauls Student Choir, Chuo Kikuu cha Nairobi tunawakaribisha kutazama wimbo huu ambao ni wa ndoa unaowahimiza wanandoa kumtafuta Mungu ili kuishi maisha yanayompendeza siku zote.
Wimbo: Mkazae Matunda Mema
Mtunzi: Ray Ufunguo
Waimbaji: St Pauls Student Choir
Audio and Video: Rajo Productions
Kindly share, like, comment, and subscribe
Пікірлер: 264
Hongera waimbaji. Mungu awabariki. Ray, Mungu akubariki sana kwa kuleta mdundo mpya katika uimbaji hapa kwetu Kenya.
Catholic till death do us part,i feel like tomorrow is my wedding 😂😂🖐️
@TnyClaret
13 күн бұрын
Me too
Jmn km kuna tuzo hawa wanastahili basi.dah!duniani kuna vipaji namshukuru Mungu kwaajili yenu,nawapenda
@st.paulsstudentschoirunive1009
3 ай бұрын
Asante sana
Beautiful song for wedding Congratulation guys🤩🤩🤩"Huyu ni mfupa katika mifupa yangu! Utamwacha baba yako na mama yako mtaambatana pamoja na sasa ni mwili mmoja!"🤝🎉🎉🎊🎊
@st.paulsstudentschoirunive1009
7 ай бұрын
Asante sana
Tuzidi kumsifu Yesu Kristu kupitia njia zote nzuri iwiwemo sanaa ya uimbaji. Upendo wake ukapate kuenea kote.
Ray Mungu akujalia maisha marefu yenye heri na Baraka tele.. congratulations to the whole team 🎉
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
Amina .. Tunashukuru sana Bathlomeow. Mungu akujalie mema katika wito wako
Kitu moto...St Paul students choir always nail it🔥🔥🔥❤️🥰Ambatana na mkeo❤🎉🎉 congratulations mkuu😂🥳🥳🥳
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
Shukran sana🎉
Mengine yatapita lakini neno litasimama. Pokea sifa eeh Yesu Wangu. Tuning from Asia 🌏
Ray kwenye saksofoni huwa 👌 that guy is made of something different ❤❤❤
Wonderful, can see my cousin happily dancing. Be blessed
🎉 amazing from Nairobi Kenya
The standard of this song,is not in Kenya but Tanzania Haki. God bless you the whole team
@hans-peterrullmann6347
18 күн бұрын
But still its Kenya.could not believe it too
Best choir ❤...my wedding song in a couple of years to come🤩🤩
@anipherayoo2164
8 ай бұрын
@ musaudennis3076 si Don Bosco Utume tena🌚😅
@st.paulsstudentschoirunive1009
7 ай бұрын
Karibu sana kaka... Ni wimbo mzuri wa harusi🎉🎉
@NtihebuwayoBernard-rb5gt
7 ай бұрын
I need this songs
Fantastic! Ray and the team, congratulations 👏,a sweet song,tuzidi kumsifu daima na milele,proudly a Catholic
Ongera sana mutungaji wa mwimbo huu inatubidi kuziheshimu ndoa zetu ili mungu atukuzwe🎉
Haleluya..this keeps our marriegies alive.
Ukifanya vizuri hata wanadamu watapewa kibali Cha mungu,wakupongezee,Hongeraa MUNGU akuinue akuongezee akutumze Katika maisha yenu
Wow the the message coupled with the melodious tunes is very nourishing. Thank you
Ray lufunguro we proceed to congratulate you good song well done kaka
Hongereni sana nyimbo nzuri sana NINAOMBA NOTA ZA NYIMBO HII TAFADHALI
Quality✅✅✅✅music, sound, harmony, production,voices. Kila kitu
Salini pamoja na Mungu awajazi❤🔥🔥🔥✨️
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
Amina
My wedding song😅❤❤🎉
A very powerful message delivered thru the song...God is good
Super sweet music to listen to! The video quality is so good and the vocals are quality 👌👌. Keep up the good work. Proud to be an alumna
One of the best choirs in 2023 ❤
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
Tunashukuru sana
That combination.Tumaini Swai and Ray ufunguo .what do you expect 🔥🔥🔥
I love you brothers and sisters, you make us happy, from Rwanda. Keep up the good work
At least mmepunguza dancing speed.congratulation ray
Wimbo mzuri saaana hongereni Hadi raha mume wangu mtarajiwa huko uliko uje nakusubiri....
St Paul's Students Choir always a vibe ❤❤❤❤❤
Mungu awabariki mmefanya vizuri from Tanzania I'm Timoth
Nice work guys,, you all have lovely voices 💕
Barikiwa sana kwa nyimbo nzuri sana mpiga kinanda tumain swai nampenda sana nifundi sana 2:16
❣️❣️wow blessed song I like it God bless you st Paul
Wimbo mzuri Sana sauti nzuri Endeleeni kutuhamasisha
Did not know Kenyan,s we could deliver such a perfomance.kumbe huwa ni Tanzania tunakosa kwa nyimbo zetu😂😂😂😂.i,m so bleesed by this song.its a soul dedication to my lovely bro whom i love so much.he sings bass and i sing sop.
Wimbo nishaupata sasa bwana harusi ndiye amebaki😂😂
Sala iwe nguzo kuu, katika ndoa yenu daima na salini pamoja na Mungu awajazi. St. Paul's always kill it❤🔥🔥🔥 ⏱️7:00
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
Amina
I love this song so much god bless you gugs
Organist aiseeee ni hatari sana hongera sana Teacher Swai unajua tena sio kidogo Mungu awabariki nyote waimbaji ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@tumainiswai5946
7 ай бұрын
Asante sana😊
Vijana muige mfano mzuri mungu akuheshishe uzao WAKO ubarikiwe
Ray nakukubaligi Sana we ujui2 mungu huyu akupe maisha marefu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Wimbo mtamu sana ❤️ keep it up guys
Am always proud of you guys. God bless your family
Kazi nzuri ndugu mtunzi.choristers🎉🎉🎉 explicit!
🎉🎉🎉barikiweni sana
Naomba Nota wa huu Wimbo
Wow…can’t stop hearing this Song ❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥Safi Sana... Utunzi mzuri na Uimbaji sambamba
Congratulations to St Paul's choir. Together with Ray you are 🔥 🔥 🔥
The best wedding song so far , congratulations st Paul choir.
This is just wonderful everything is fascinating...is far beyond my expectations...this is an international song..proudly catholic
Mkazae matunda mema ❤😊
Wimbo mtamu hatali jamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana kwakumwinua mungu kwa nyimbo nzuri halafu oganisti u nanifanya nahisi kamaniko mbinguni hongeta sana kaka
Hongera kazi zako nazikubali sana..kaka utafae pdf mkuu
I'm soo proud to be part of this team 📌📌
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
Wow . Karibu sana
Ray Ufunguo 😍😍😍😍Everyday ✊✊✊✊✊
Kazi kuntu 🎉🎉🎉🎉
My favourite this year.
Hongeren San kw Wimb mzur wa harus
Waooooh yaan kaimbo kazuri katam natamani nifunge doa kesho mkaniimbie aka kawimbo dah💕💍🥰🥰🥰🥰🥰
I just love everything in this song the choir itself oh wanakaa mapacha wote❤
@st.paulsstudentschoirunive1009
2 ай бұрын
Shukran sana
Daaaah!!! Mmetisha Sanaa watumishi Mungu awabarikiii🎉🎉🎉
@st.paulsstudentschoirunive1009
7 ай бұрын
Amina...Ubarikiwe pia
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu ❤❤❤❤❤
Amazingly beautiful
Ray never disappoints ❤kazi nzuri mbarikiwe zaidi
Kweli kama sio watu wa sasa wana mharibu uzuri wandoa ndoa ni fungu na nguzo ya heshima katika jamii na familia kwao ni ufunguo wa mibaraka yake kwani kila ashirikishwapo MUNGU yote ni niyaheri njema
marriage is between two and its true that we will all leave our parents and join other two families to become one gift of God
Perfect ♥️♥️
Wimbo mzr mno,nitauimba daima
Bomba sana mungu awabariki ❤🎉❤🎉
Kazi nzuri wakuu, mbarikiwe sana
This is great one
Kazi safi ..Hongera🎉😊
Mpo vizuri sanaa
Congratulations!! ata Mimi nataka Jina ufunguo
@st.paulsstudentschoirunive1009
8 ай бұрын
Asante sana
Mmetisha🙌🙌🙌👏👏👏
@piuswambuaorganist
8 ай бұрын
🎉🎉🎉
This song is amazing. Harusi tunayo hatuna? Ray keep it up. Spreading the Gospel all over. ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@st.paulsstudentschoirunive1009
8 ай бұрын
Asante sana
Kweli kabisa
Naamini ipo siku 💃💃💃
Ray haujawahi kukosea hongereni sana kwa utume wenu na Mungu azidi kuwabariki
Nyimbo nzuri 💯💯
Proud of our universities we are know challenging Tanzania
@domin842
6 ай бұрын
Composers and organist are both Tanzanians but done
❤❤ amazing!! Hongera kaka Ray
I love that song ,,, cogratulations
Naona maajabu ya RAJO aisee RAJO ni kwere
Amina🎉🎉🎉
nice song I real feel strong with the mesage
A great Music indead, Amazing voices 🎵
A very good singing,,,expoxiously,,done,,Ray I was about to ask where he has got lost kumbe amekija na kitu moto,,,naenjoy sana
@st.paulsstudentschoirunive1009
8 ай бұрын
Karibu sana... twashukuru 🎉
Nice message, melody, programed voice, smart dress, that lovely dance, be blessed.
@st.paulsstudentschoirunive1009
8 ай бұрын
Thanks for listening✨
Beautifully dressed..Beautifully done❤
@st.paulsstudentschoirunive1009
2 ай бұрын
Thank you! Cheers!
Huwa inakoshaga moyo sana
Best song 🎉🎉on my wedding day hii lazima kieleweke 🎉
Moto kama pasi...ray never disappoint...heko kwenu.
Very sweet wedding song....keep the same spirit.. upload more n more u are a blessing to us
This is beautiful ❤️❤️❤️
Kazi nzuri nataka number ya director wa video