BARAKA MAGUFULI KAFUNGUKA MSIBANI CHATO "NAUMIA SANA, BILA MAGUFULI HATA HAPA NISINGEKUEPO"

Пікірлер: 194

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91413 жыл бұрын

    Raisi mwenye Upendo wa kweli kwa kila mtu😭😭 Tulimpenda lkn Mungu kampenda zaidi. Alijitoa mpaka mwisho😭😭

  • @grace.mungubariki.520
    @grace.mungubariki.5203 жыл бұрын

    Poleni sana familia pamoja na taifanzima mana huo msiba umetugisa wa TZ wote mungu awape nguvu na azidi kuwapigania.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏😭😭😭😭😭😭

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina60853 жыл бұрын

    Haijawai tokea rais kunyanyua watoto wa masikini namna hii

  • @lightnessdaniel7965
    @lightnessdaniel79653 жыл бұрын

    Nakupa pole baraka tunafurahig Sana na familia yangu ukiigiza Kama maguful usiache uwe unamuenzi

  • @neemamayombya4130
    @neemamayombya41303 жыл бұрын

    Jamani barakaaa hiyo sauti usiiongee tenaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @fadinarashidi4520
    @fadinarashidi45203 жыл бұрын

    mungu anachukua anacho kipend wa Tanzania tumebaki na jonzi yasiyo kwisha ila Baraka endelea kutu fariji kwa saut ya baba insha anllah

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius22403 жыл бұрын

    Daaaaaaaah inaumaa sana Mungu ampumzishe kwa Aman Rais wetu😭😭😭

  • @matopeboybomba5732

    @matopeboybomba5732

    3 жыл бұрын

    We mtangazaji unanenepa.sana

  • @mustyboymaalim2070

    @mustyboymaalim2070

    3 жыл бұрын

    @@matopeboybomba5732 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako

  • @fhvbvgkvgc8073

    @fhvbvgkvgc8073

    3 жыл бұрын

    @@mustyboymaalim2070 inaonekana anamfwatilia maisha yke xaana.

  • @mustyboymaalim2070

    @mustyboymaalim2070

    3 жыл бұрын

    @@fhvbvgkvgc8073hao ndo wenye kuangusha uchumi wa taifa kwa ajili ya udaku na umbea

  • @eliasbufula2482
    @eliasbufula24823 жыл бұрын

    Baraka, nimefurahi kuona ukihojiwa katika tukio hili, naamini kabisa kwamba ni kweli umeumia mno. Mungu akutie nguvu, ikibidi viongozi waliobaki waendelee kukupa nafasi.

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo78443 жыл бұрын

    Mm mwenyewe jmn ningependa huyu baraka apewe cheo chochote Ili aweze kuienzi sauti ya hayati babaaetu magufuli kwa vitendo mama etu samia suluhu mwangalie huyo kijana kwa jicho la pili na watanzania tutajivunia maana anajua kutumia sauti vzl km babaaetu jony pombe magufuli

  • @vincentnyawa
    @vincentnyawa3 жыл бұрын

    Watching from the Sand beaches of Malindi Kenya. Tuwe pole sote

  • @angelorocco894

    @angelorocco894

    2 жыл бұрын

    instablaster...

  • @agaowajouniar6614
    @agaowajouniar66143 жыл бұрын

    Kumbe Baraka ni Handsome wa nguvu Leo nimekuona vizuree saaan

  • @agaowajouniar6614

    @agaowajouniar6614

    3 жыл бұрын

    @Dorka Kazunde Ameen thummah Ameen,🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭

  • @rajmkonje7149

    @rajmkonje7149

    3 жыл бұрын

    Ushamtamani wenawe hujaacha tu?

  • @agaowajouniar6614

    @agaowajouniar6614

    3 жыл бұрын

    @@rajmkonje7149 Mmmhh,🤐🤐🤐🤐🤐

  • @kelvinkidanga9214
    @kelvinkidanga92143 жыл бұрын

    Daaaaahh jamani sitaki kuamini kuwa baraka yule wa zamani kumbe alikuwa kijana hivi daaah rest in peace magufuri 😭😭😭😭

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud40253 жыл бұрын

    Uyu kaka yupo kwny machungu mnooooo..

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph76333 жыл бұрын

    😭😭TUTAMKUMBUKA SANA MAGUFULI MAANA KAFANYA MAKUBWA KWA MIAKA MICHACHE UTAZANI KAKAA MIAKA 50 MADALAKANI WENI WAO KUJIMILIKISHA MALI KUTUACHIA MABARABARA YA VUMBI HUYU ALIJITOLEA KWA AJILI YA WATANZANIA NA KUSEMA MGAMBO WATAFUTE KAZIA YA KUFANYA NITALALA NAO MBELE KWA MBELE 😭😭😭😭😭😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi73533 жыл бұрын

    Pole Sana kijana, na Watanzania kwa Ujumura kbsa Musiba mugumu Sana

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed26463 жыл бұрын

    Oh my GOD 😭😭😭😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽💔💔💔💔✋✋🇰🇪 May he soul Rest In Peace BABA Daah painfully really 😭😭🤫💔💔🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @janekikoti2179

    @janekikoti2179

    3 жыл бұрын

    Amen jirani mwema

  • @dianashija5674
    @dianashija56743 жыл бұрын

    Kumbe baraka is so handsome

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    3 жыл бұрын

    Sanaaaa Ni handsome mnooo

  • @agaowajouniar6614

    @agaowajouniar6614

    3 жыл бұрын

    Tena mnooo halafu ana mwanya kazuree

  • @rajmkonje7149

    @rajmkonje7149

    3 жыл бұрын

    Ushamtamani

  • @rajmkonje7149

    @rajmkonje7149

    3 жыл бұрын

    Hamna haya

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    3 жыл бұрын

    @@jenifajuma5395 M'meshakamata Usukani Sasa M'natutongoza Mchana Kweupeee Juwa La Sa 6 🤣🤣🤣🤣

  • @kassaramadhani1903
    @kassaramadhani19033 жыл бұрын

    Kwel kaka nakup honger kwa ushaur wako lazim tushikaman ss wenyew jamn mm nalia nakuumia

  • @judithrichard2665
    @judithrichard26653 жыл бұрын

    Pole baraka

  • @tatubadi9010
    @tatubadi90103 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭Inauma Sana..

  • @zaitunali2208
    @zaitunali22083 жыл бұрын

    Kumbe baraka handsam maashaallah 🥰 kuwa na subrah kakaangu....allah awafanyie wepesi ndugu zetu watanzania

  • @amanimusenyi8217

    @amanimusenyi8217

    3 жыл бұрын

    Ushamtamani tayar

  • @zaitunali2208

    @zaitunali2208

    3 жыл бұрын

    @@amanimusenyi8217 kwani sini mwanaume lazima nimtamani...am wataka nitamani mwanamke

  • @amanimusenyi8217

    @amanimusenyi8217

    3 жыл бұрын

    @@zaitunali2208 Sina maana hiyo😂 😂 😂

  • @baltazarymagata1146

    @baltazarymagata1146

    3 жыл бұрын

    wabongo mnavisa😅

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    3 жыл бұрын

    @@zaitunali2208 huna kosa kumtamani endelea

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu18923 жыл бұрын

    Anakidonda kifuani, pole Baraka tumeumia wote na wengi sana tutateseka kutokana na pengo hili huku tukijua kabisa kazi ya mola haina makosa

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani38603 жыл бұрын

    Baraka uende kwa mama jesca umpe faraja

  • @shanifesto9037
    @shanifesto90373 жыл бұрын

    Pole baraka,,tumuombee tu hatuna njisi

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim20703 жыл бұрын

    😭😭😭😭 congratulations baraka...usijali kaka sote twa elekea huko... poleni sana kutoka kenya

  • @hawamazengo5807
    @hawamazengo58073 жыл бұрын

    Ni huzuni kweli kweli 😭😭😭🤦

  • @ceciliambui5972

    @ceciliambui5972

    3 жыл бұрын

    Sana tena

  • @hussenyassin3499
    @hussenyassin34993 жыл бұрын

    Dahh pole san tumeumia san kuondokewa kwa mzee wetu

  • @user-jk5ir4ke3z

    @user-jk5ir4ke3z

    3 жыл бұрын

    Mm nakushauri uendelee hivyo hivyo kuwakumbusha wananchi wasisahau maneno ya baba yetu

  • @allyhuyu1892

    @allyhuyu1892

    3 жыл бұрын

    Tuseme tu kwamba maumivu haya yamewagusa waafrika wote kwani uwepo wa jpm madarakani bara lote la afrika, america sikwambii ulaya mpaka Asia walikuwa wakiifuatilia Tanzania kwa karibu na waione mwisho wake kwahiyo kifo hiki kimestua ulimwengu mzima

  • @asumpternjojo6296
    @asumpternjojo62963 жыл бұрын

    Pole Sana baraka

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli69263 жыл бұрын

    😭😭pole San balaka magufuli

  • @wabo_199
    @wabo_1993 жыл бұрын

    Poleen sanaaaa

  • @gracembaka5689
    @gracembaka56893 жыл бұрын

    Kwakwel nimeumia sana, na sizan kama kutatokea mzalendo kama magufuli, anae penda wanachi kama familia yake..dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @deuspeter6276
    @deuspeter62763 жыл бұрын

    REST IN PEACE PAPAA 🙏🙏🙏😭😭😭😭

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka93013 жыл бұрын

    Nashukuru kwakua mmeweza kufanya kile nilicho waomba!! Mm nishabiki wako namba Moja kwa kila video unazotoa!! Nimefurahi kumuona Baraka Magufuli!! Akihojiwa leo!! Na nilitamani apate nafasi toka Mwanzo!!

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    3 жыл бұрын

    Juzi pia kahojiwa Ila sikumbuki Ni tiv gani Tena kahojiwa akiwa amekaaa Ni kuhusu huu msiba wa mzee wetu

  • @ernestndauka9301

    @ernestndauka9301

    3 жыл бұрын

    @@jenifajuma5395 Sikuona hiyo!! Ila kwa Ayo tv nilitamani wamfuate maana kwa kipindi kile alichukua ana vuma walimsumbua Sana

  • @Aminaamina-cg8sf

    @Aminaamina-cg8sf

    3 жыл бұрын

    Alihojiwa NA ALAMA ONLIVE TV Ile kahojiwa liundani zaidi

  • @tusajigwemathias1808
    @tusajigwemathias18083 жыл бұрын

    Pole Baraka jamaniii

  • @fatimahamisi9235
    @fatimahamisi92353 жыл бұрын

    Daah 😭😭😭😭

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25343 жыл бұрын

    SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti2493 жыл бұрын

    Huyu kijana na Harmonize walipendwa sana na JPM, JPM alimwambia Harmo akagombee ubunge tandahimba.😭😭😭

  • @floridajonhmatata4365
    @floridajonhmatata43653 жыл бұрын

    mmh xo handsome

  • @happinessaron2110
    @happinessaron21103 жыл бұрын

    Daaa bado ciamin jaman naona kama picha vile ciamin Kwa Kwa kwel pumzika Bba mwendo umeumaliza

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph97293 жыл бұрын

    ilonipengo kubua sana mungu atusitiri

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas29053 жыл бұрын

    Pole sana kijana. Kweli baba alikuwa anakupenda.

  • @azaelieliyud1463
    @azaelieliyud14633 жыл бұрын

    Nakukubar sana

  • @bentajoseph7298
    @bentajoseph72983 жыл бұрын

    Tumuombee baba yetu rais mpendwa Magufuli roho yake itulie kwa amani...Ndugu zangu watanzania tuwe pole...mimi niko Kenya na inauma sanaa ...

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba85313 жыл бұрын

    Pole Sana tumempoteza baba etu kipenz

  • @gaspertyme
    @gaspertyme3 жыл бұрын

    Imeniuma sana kaul ya tutaonana kesho dah R I P DADY

  • @mejammoleli2325
    @mejammoleli23253 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12343 жыл бұрын

    Jamani Rais alipenda Sana wanyonge ambao tupo wengi

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari93443 жыл бұрын

    kumbe baraka ni kijana nilijua ni mtu mzima

  • @princemoudy5377

    @princemoudy5377

    3 жыл бұрын

    Khadija mumeo niko hapa mohammed@khadija

  • @Tanznia2000s
    @Tanznia2000s5 ай бұрын

    MWENYEZI mungu amlinde

  • @dorothycherono6295
    @dorothycherono62953 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @tuwenasitv9695
    @tuwenasitv96953 жыл бұрын

    baraka pole sana kaka

  • @petrocristian5364
    @petrocristian53643 жыл бұрын

    Hakika baraka nimeamini unamaumivu makali sana kiukweli imetuumiza watanzania wote msiba huu ni fundisho kwetu tuyaishi mema aliyotuonyesha baba yetu Hayati Joseph Pombe Magufuli

  • @khadijasalim3546
    @khadijasalim35463 жыл бұрын

    😭😭😭😭 innalillah wainnailayh rajuun

  • @shitengeshitenge481
    @shitengeshitenge4813 жыл бұрын

    baba yetu magufuli pumzika kwa Amani kweli umetusaidia sana watanzania kutuonyesha kuwa hata Tanzania tanaweza sana kujiendesha sisi.

  • @hassanissa4792
    @hassanissa47923 жыл бұрын

    Daah , magufuli mpk alikuwa anapata muda wa kuchati na dogo duuuh

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn89703 жыл бұрын

    Huyu Jamaa ukichanganyikiwa unaweza fikili ni mtoto wa JPM maana wanafanana hatari. Jinsi alivyompenda MPAKA kafanana nae Hadi sauti

  • @mariamakanu1690
    @mariamakanu16903 жыл бұрын

    💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv26013 жыл бұрын

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni3 жыл бұрын

    Interview Baraka umehongeya vinzuri sauti yako kama ya Raisi mangufuli Kweli kwali.

  • @teedullah5708
    @teedullah57083 жыл бұрын

    Pole sn baraka

  • @amacachatraders6198
    @amacachatraders61983 жыл бұрын

    Chuma kimeenda dahhhh.

  • @mimiwewe6617
    @mimiwewe66173 жыл бұрын

    Mkuu tutakumisi kweli kweli rip

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni17633 жыл бұрын

    Msifadhaike mioyoni mwenu, Bwana ametuumbia nafsi zinazoonja mauti

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice23483 жыл бұрын

    Kumbe jamaa handsom😃😃😃

  • @ivaniavianarodrigo7201

    @ivaniavianarodrigo7201

    3 жыл бұрын

    sio kidogo sana tu.

  • @mishibabu8946

    @mishibabu8946

    3 жыл бұрын

    Hahaa

  • @mohammedabdala7526

    @mohammedabdala7526

    3 жыл бұрын

    ni mzuri mkaka uyu me nilijuwa ni babu tumeumia kwakweli namsiba wababa yetu

  • @maabate1272

    @maabate1272

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 mwenyewe cjaamini

  • @zenadaudzena2849

    @zenadaudzena2849

    3 жыл бұрын

    Haswa mwanya imechangia

  • @rachelpease7302
    @rachelpease73023 жыл бұрын

    So painful 💔😢

  • @dizelakituleKitule-qx6ss
    @dizelakituleKitule-qx6ss7 ай бұрын

    Inaumiza sana babaangu kipenzi manguu

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb3 жыл бұрын

    "Wasiotakia mema taifa letu...".. teh teh, watu wanaongea kwa kumezeshwa hata kujiongeza hawajui... akili za kuambiwa unachanganya na zako. PM na yule kibichwa cha embe wamewaambia uongo waziwazi.. lakini utakuta boya mmoja anacheza mule mule kwenye tune zao, kama misekule.

  • @jhhail8633
    @jhhail86333 жыл бұрын

    pole sana kaka

  • @giloogilo6589
    @giloogilo65893 жыл бұрын

    Baba Magufuli,kwa kweli alisaidia wengi sana Tanzania hii.Watu hawaitakii mema Inchi yetu lakini Mungu yupo nasi mpaka dakika za mwisho na hatutarudi nyuma Watanzania.Baba Magufuli atalala mahali Pema peponi.Yaani inasikitisha Inchi yetu nzima.

  • @teresiapetro2548
    @teresiapetro25483 жыл бұрын

    Huyu atawalizawatu badae siku akimuigiza Jemedariwetu Hayati Magufuli.

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro46863 жыл бұрын

    Jaman

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j3 жыл бұрын

    Mtangazaji kavimba macho amakweli magufuli kajua. Kutuliza

  • @generozakayoza8482
    @generozakayoza84823 жыл бұрын

    Pole kijana magu

  • @salimhassan4770
    @salimhassan47703 жыл бұрын

    Mama Samia MUNGU akutangulie ktk kazi yako

  • @wabo_199
    @wabo_1993 жыл бұрын

    Naitwa wabo

  • @queenjayztz8615
    @queenjayztz86153 жыл бұрын

    Kumbe barak ni mvulana ivi Dah MAGU wetu😢😢

  • @deuspeter6276
    @deuspeter62763 жыл бұрын

    🙏🙏🙏😭😭😭

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.97073 жыл бұрын

    Poleniii

  • @christinemapendo1584
    @christinemapendo15843 жыл бұрын

    Olala 😭😭😭😭😭

  • @carloskietimutinda579
    @carloskietimutinda5793 жыл бұрын

    Baraka omba wananchi angalau udiwani ama ubunge basi uchape kazi kama alivyo tufunza baba yetu Magufuli angalau atafurahia huko aliko

  • @emmapaul1766

    @emmapaul1766

    3 жыл бұрын

    Labda muibe kura kama kawaida yenu

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    3 жыл бұрын

    Kweli kbs wangu.

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah72423 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @kombozimbwilo4289
    @kombozimbwilo42893 жыл бұрын

    Naumia sana

  • @nuruelmada9570
    @nuruelmada95703 жыл бұрын

    Oohhhj!!! Mungu Nisaidie saidie, Pole sana Baraka

  • @estermathias8354
    @estermathias83543 жыл бұрын

    Baraka asante kwa mchango wako

  • @jacklinejosam3713

    @jacklinejosam3713

    Жыл бұрын

    Duh

  • @shamilakarimu3820
    @shamilakarimu38203 жыл бұрын

    Baraka anafanana na maguu😥😥😥😥😥

  • @khadijaomari9344

    @khadijaomari9344

    3 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @shamilakarimu3820

    @shamilakarimu3820

    3 жыл бұрын

    @@khadijaomari9344 umeonae😥😥

  • @brendaleonard6134
    @brendaleonard61343 жыл бұрын

    Dogo upo vizurii

  • @jephutantigwanamba6923
    @jephutantigwanamba69233 жыл бұрын

    R.i.p

  • @annaelia2651
    @annaelia26513 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @pelesmwaipopo4382
    @pelesmwaipopo43823 жыл бұрын

    pole yetu sote Baraka

  • @asteriambwei3349

    @asteriambwei3349

    3 жыл бұрын

    Pole baraka itaendelea kuect tumkumbuke j p m

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita76907 ай бұрын

    Rest in peace polen tn sn

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura65723 жыл бұрын

    Vidox umenona. RIP MAGU

  • @MariamMohamed-oz6it

    @MariamMohamed-oz6it

    3 жыл бұрын

    Yaaan kumbe we umeona eeh

  • @charlzcon6812
    @charlzcon68123 жыл бұрын

    Niliwahi kwamwambia Baraka katika page yake wala hapaswi kuogopa na tena anayo bahati kubwa kumuigiza kiongozi akiwa hai, sasa ni mwanzo mpya tena kwa Baraka kumuigiza Mh. baada ya kifo.

  • @yohanakinyere5422
    @yohanakinyere54223 жыл бұрын

    Laa

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30923 жыл бұрын

    Usikufuru baraka magufuli eti isingekua magufuli nisingekua hapa

  • @hawamazengo5807
    @hawamazengo58073 жыл бұрын

    Jaman magufuri alikua mzungu wa roho ee mungu mpunguzie ghazabu ya kaburi.

  • @dhakomodherooherokoko6037

    @dhakomodherooherokoko6037

    3 жыл бұрын

    Acha kutumia neno "mzungu" hapa..kwani mzungu ni nani?

  • @williamsmith8782

    @williamsmith8782

    3 жыл бұрын

    @@dhakomodherooherokoko6037 right

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave35323 жыл бұрын

    Vido vidox

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi95563 жыл бұрын

    🤦🏻‍♂️💪💪🇹🇿

  • @neemakimaro6871
    @neemakimaro68714 ай бұрын

    So sad

  • @nisethamuleke5633
    @nisethamuleke56333 жыл бұрын

    baraka pole kaka ila wewe ngoja niishie hapo

  • @mariamramadhani3860

    @mariamramadhani3860

    3 жыл бұрын

    Sema ni muhansamu

Келесі