BARAKA MAGUFULI KAFUNGUKA MSIBANI CHATO "NAUMIA SANA, BILA MAGUFULI HATA HAPA NISINGEKUEPO"
Жүктеу.....
Пікірлер: 194
@auntdorah91413 жыл бұрын
Raisi mwenye Upendo wa kweli kwa kila mtu😭😭 Tulimpenda lkn Mungu kampenda zaidi. Alijitoa mpaka mwisho😭😭
@grace.mungubariki.5203 жыл бұрын
Poleni sana familia pamoja na taifanzima mana huo msiba umetugisa wa TZ wote mungu awape nguvu na azidi kuwapigania.
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏😭😭😭😭😭😭
@mnegaamina60853 жыл бұрын
Haijawai tokea rais kunyanyua watoto wa masikini namna hii
@lightnessdaniel79653 жыл бұрын
Nakupa pole baraka tunafurahig Sana na familia yangu ukiigiza Kama maguful usiache uwe unamuenzi
@neemamayombya41303 жыл бұрын
Jamani barakaaa hiyo sauti usiiongee tenaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@fadinarashidi45203 жыл бұрын
mungu anachukua anacho kipend wa Tanzania tumebaki na jonzi yasiyo kwisha ila Baraka endelea kutu fariji kwa saut ya baba insha anllah
@blasidajulius22403 жыл бұрын
Daaaaaaaah inaumaa sana Mungu ampumzishe kwa Aman Rais wetu😭😭😭
@matopeboybomba5732
3 жыл бұрын
We mtangazaji unanenepa.sana
@mustyboymaalim2070
3 жыл бұрын
@@matopeboybomba5732 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako
@fhvbvgkvgc8073
3 жыл бұрын
@@mustyboymaalim2070 inaonekana anamfwatilia maisha yke xaana.
@mustyboymaalim2070
3 жыл бұрын
@@fhvbvgkvgc8073hao ndo wenye kuangusha uchumi wa taifa kwa ajili ya udaku na umbea
@eliasbufula24823 жыл бұрын
Baraka, nimefurahi kuona ukihojiwa katika tukio hili, naamini kabisa kwamba ni kweli umeumia mno. Mungu akutie nguvu, ikibidi viongozi waliobaki waendelee kukupa nafasi.
@estomiailomo78443 жыл бұрын
Mm mwenyewe jmn ningependa huyu baraka apewe cheo chochote Ili aweze kuienzi sauti ya hayati babaaetu magufuli kwa vitendo mama etu samia suluhu mwangalie huyo kijana kwa jicho la pili na watanzania tutajivunia maana anajua kutumia sauti vzl km babaaetu jony pombe magufuli
@vincentnyawa3 жыл бұрын
Watching from the Sand beaches of Malindi Kenya. Tuwe pole sote
@angelorocco894
2 жыл бұрын
instablaster...
@agaowajouniar66143 жыл бұрын
Kumbe Baraka ni Handsome wa nguvu Leo nimekuona vizuree saaan
Daaaaahh jamani sitaki kuamini kuwa baraka yule wa zamani kumbe alikuwa kijana hivi daaah rest in peace magufuri 😭😭😭😭
@faudhiatmasoud40253 жыл бұрын
Uyu kaka yupo kwny machungu mnooooo..
@ramadhanyusuph76333 жыл бұрын
😭😭TUTAMKUMBUKA SANA MAGUFULI MAANA KAFANYA MAKUBWA KWA MIAKA MICHACHE UTAZANI KAKAA MIAKA 50 MADALAKANI WENI WAO KUJIMILIKISHA MALI KUTUACHIA MABARABARA YA VUMBI HUYU ALIJITOLEA KWA AJILI YA WATANZANIA NA KUSEMA MGAMBO WATAFUTE KAZIA YA KUFANYA NITALALA NAO MBELE KWA MBELE 😭😭😭😭😭😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@justinmutabazi73533 жыл бұрын
Pole Sana kijana, na Watanzania kwa Ujumura kbsa Musiba mugumu Sana
@bintimohamed26463 жыл бұрын
Oh my GOD 😭😭😭😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽💔💔💔💔✋✋🇰🇪 May he soul Rest In Peace BABA Daah painfully really 😭😭🤫💔💔🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
Amen jirani mwema
@dianashija56743 жыл бұрын
Kumbe baraka is so handsome
@jenifajuma5395
3 жыл бұрын
Sanaaaa Ni handsome mnooo
@agaowajouniar6614
3 жыл бұрын
Tena mnooo halafu ana mwanya kazuree
@rajmkonje7149
3 жыл бұрын
Ushamtamani
@rajmkonje7149
3 жыл бұрын
Hamna haya
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 M'meshakamata Usukani Sasa M'natutongoza Mchana Kweupeee Juwa La Sa 6 🤣🤣🤣🤣
@kassaramadhani19033 жыл бұрын
Kwel kaka nakup honger kwa ushaur wako lazim tushikaman ss wenyew jamn mm nalia nakuumia
@judithrichard26653 жыл бұрын
Pole baraka
@tatubadi90103 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Inauma Sana..
@zaitunali22083 жыл бұрын
Kumbe baraka handsam maashaallah 🥰 kuwa na subrah kakaangu....allah awafanyie wepesi ndugu zetu watanzania
Anakidonda kifuani, pole Baraka tumeumia wote na wengi sana tutateseka kutokana na pengo hili huku tukijua kabisa kazi ya mola haina makosa
@mariamramadhani38603 жыл бұрын
Baraka uende kwa mama jesca umpe faraja
@shanifesto90373 жыл бұрын
Pole baraka,,tumuombee tu hatuna njisi
@mustyboymaalim20703 жыл бұрын
😭😭😭😭 congratulations baraka...usijali kaka sote twa elekea huko... poleni sana kutoka kenya
@hawamazengo58073 жыл бұрын
Ni huzuni kweli kweli 😭😭😭🤦
@ceciliambui5972
3 жыл бұрын
Sana tena
@hussenyassin34993 жыл бұрын
Dahh pole san tumeumia san kuondokewa kwa mzee wetu
@user-jk5ir4ke3z
3 жыл бұрын
Mm nakushauri uendelee hivyo hivyo kuwakumbusha wananchi wasisahau maneno ya baba yetu
@allyhuyu1892
3 жыл бұрын
Tuseme tu kwamba maumivu haya yamewagusa waafrika wote kwani uwepo wa jpm madarakani bara lote la afrika, america sikwambii ulaya mpaka Asia walikuwa wakiifuatilia Tanzania kwa karibu na waione mwisho wake kwahiyo kifo hiki kimestua ulimwengu mzima
@asumpternjojo62963 жыл бұрын
Pole Sana baraka
@pelusiemanueli69263 жыл бұрын
😭😭pole San balaka magufuli
@wabo_1993 жыл бұрын
Poleen sanaaaa
@gracembaka56893 жыл бұрын
Kwakwel nimeumia sana, na sizan kama kutatokea mzalendo kama magufuli, anae penda wanachi kama familia yake..dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@deuspeter62763 жыл бұрын
REST IN PEACE PAPAA 🙏🙏🙏😭😭😭😭
@ernestndauka93013 жыл бұрын
Nashukuru kwakua mmeweza kufanya kile nilicho waomba!! Mm nishabiki wako namba Moja kwa kila video unazotoa!! Nimefurahi kumuona Baraka Magufuli!! Akihojiwa leo!! Na nilitamani apate nafasi toka Mwanzo!!
@jenifajuma5395
3 жыл бұрын
Juzi pia kahojiwa Ila sikumbuki Ni tiv gani Tena kahojiwa akiwa amekaaa Ni kuhusu huu msiba wa mzee wetu
@ernestndauka9301
3 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 Sikuona hiyo!! Ila kwa Ayo tv nilitamani wamfuate maana kwa kipindi kile alichukua ana vuma walimsumbua Sana
@Aminaamina-cg8sf
3 жыл бұрын
Alihojiwa NA ALAMA ONLIVE TV Ile kahojiwa liundani zaidi
@tusajigwemathias18083 жыл бұрын
Pole Baraka jamaniii
@fatimahamisi92353 жыл бұрын
Daah 😭😭😭😭
@paulinacherement25343 жыл бұрын
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Huyu kijana na Harmonize walipendwa sana na JPM, JPM alimwambia Harmo akagombee ubunge tandahimba.😭😭😭
@floridajonhmatata43653 жыл бұрын
mmh xo handsome
@happinessaron21103 жыл бұрын
Daaa bado ciamin jaman naona kama picha vile ciamin Kwa Kwa kwel pumzika Bba mwendo umeumaliza
@menyajoseph97293 жыл бұрын
ilonipengo kubua sana mungu atusitiri
@lydiathomas29053 жыл бұрын
Pole sana kijana. Kweli baba alikuwa anakupenda.
@azaelieliyud14633 жыл бұрын
Nakukubar sana
@bentajoseph72983 жыл бұрын
Tumuombee baba yetu rais mpendwa Magufuli roho yake itulie kwa amani...Ndugu zangu watanzania tuwe pole...mimi niko Kenya na inauma sanaa ...
@charlesmyamba85313 жыл бұрын
Pole Sana tumempoteza baba etu kipenz
@gaspertyme3 жыл бұрын
Imeniuma sana kaul ya tutaonana kesho dah R I P DADY
@mejammoleli23253 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@yordanyona12343 жыл бұрын
Jamani Rais alipenda Sana wanyonge ambao tupo wengi
@khadijaomari93443 жыл бұрын
kumbe baraka ni kijana nilijua ni mtu mzima
@princemoudy5377
3 жыл бұрын
Khadija mumeo niko hapa mohammed@khadija
@Tanznia2000s5 ай бұрын
MWENYEZI mungu amlinde
@dorothycherono62953 жыл бұрын
Poleni sana
@tuwenasitv96953 жыл бұрын
baraka pole sana kaka
@petrocristian53643 жыл бұрын
Hakika baraka nimeamini unamaumivu makali sana kiukweli imetuumiza watanzania wote msiba huu ni fundisho kwetu tuyaishi mema aliyotuonyesha baba yetu Hayati Joseph Pombe Magufuli
@khadijasalim35463 жыл бұрын
😭😭😭😭 innalillah wainnailayh rajuun
@shitengeshitenge4813 жыл бұрын
baba yetu magufuli pumzika kwa Amani kweli umetusaidia sana watanzania kutuonyesha kuwa hata Tanzania tanaweza sana kujiendesha sisi.
@hassanissa47923 жыл бұрын
Daah , magufuli mpk alikuwa anapata muda wa kuchati na dogo duuuh
@emmanueljohn89703 жыл бұрын
Huyu Jamaa ukichanganyikiwa unaweza fikili ni mtoto wa JPM maana wanafanana hatari. Jinsi alivyompenda MPAKA kafanana nae Hadi sauti
@mariamakanu16903 жыл бұрын
💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@Noah-se3ni3 жыл бұрын
Interview Baraka umehongeya vinzuri sauti yako kama ya Raisi mangufuli Kweli kwali.
ni mzuri mkaka uyu me nilijuwa ni babu tumeumia kwakweli namsiba wababa yetu
@maabate1272
3 жыл бұрын
😂😂😂 mwenyewe cjaamini
@zenadaudzena2849
3 жыл бұрын
Haswa mwanya imechangia
@rachelpease73023 жыл бұрын
So painful 💔😢
@dizelakituleKitule-qx6ss7 ай бұрын
Inaumiza sana babaangu kipenzi manguu
@manish-fp1fb3 жыл бұрын
"Wasiotakia mema taifa letu...".. teh teh, watu wanaongea kwa kumezeshwa hata kujiongeza hawajui... akili za kuambiwa unachanganya na zako. PM na yule kibichwa cha embe wamewaambia uongo waziwazi.. lakini utakuta boya mmoja anacheza mule mule kwenye tune zao, kama misekule.
@jhhail86333 жыл бұрын
pole sana kaka
@giloogilo65893 жыл бұрын
Baba Magufuli,kwa kweli alisaidia wengi sana Tanzania hii.Watu hawaitakii mema Inchi yetu lakini Mungu yupo nasi mpaka dakika za mwisho na hatutarudi nyuma Watanzania.Baba Magufuli atalala mahali Pema peponi.Yaani inasikitisha Inchi yetu nzima.
@teresiapetro25483 жыл бұрын
Huyu atawalizawatu badae siku akimuigiza Jemedariwetu Hayati Magufuli.
Baraka omba wananchi angalau udiwani ama ubunge basi uchape kazi kama alivyo tufunza baba yetu Magufuli angalau atafurahia huko aliko
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Labda muibe kura kama kawaida yenu
@dorcaskidoti249
3 жыл бұрын
Kweli kbs wangu.
@ashwramashallah72423 жыл бұрын
Poleni sana
@kombozimbwilo42893 жыл бұрын
Naumia sana
@nuruelmada95703 жыл бұрын
Oohhhj!!! Mungu Nisaidie saidie, Pole sana Baraka
@estermathias83543 жыл бұрын
Baraka asante kwa mchango wako
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Duh
@shamilakarimu38203 жыл бұрын
Baraka anafanana na maguu😥😥😥😥😥
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
kweli kabisa
@shamilakarimu3820
3 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 umeonae😥😥
@brendaleonard61343 жыл бұрын
Dogo upo vizurii
@jephutantigwanamba69233 жыл бұрын
R.i.p
@annaelia26513 жыл бұрын
😭😭😭
@pelesmwaipopo43823 жыл бұрын
pole yetu sote Baraka
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Pole baraka itaendelea kuect tumkumbuke j p m
@aminamwivita76907 ай бұрын
Rest in peace polen tn sn
@hadijaangura65723 жыл бұрын
Vidox umenona. RIP MAGU
@MariamMohamed-oz6it
3 жыл бұрын
Yaaan kumbe we umeona eeh
@charlzcon68123 жыл бұрын
Niliwahi kwamwambia Baraka katika page yake wala hapaswi kuogopa na tena anayo bahati kubwa kumuigiza kiongozi akiwa hai, sasa ni mwanzo mpya tena kwa Baraka kumuigiza Mh. baada ya kifo.
@yohanakinyere54223 жыл бұрын
Laa
@habibasalim30923 жыл бұрын
Usikufuru baraka magufuli eti isingekua magufuli nisingekua hapa
@hawamazengo58073 жыл бұрын
Jaman magufuri alikua mzungu wa roho ee mungu mpunguzie ghazabu ya kaburi.
@dhakomodherooherokoko6037
3 жыл бұрын
Acha kutumia neno "mzungu" hapa..kwani mzungu ni nani?
Пікірлер: 194
Raisi mwenye Upendo wa kweli kwa kila mtu😭😭 Tulimpenda lkn Mungu kampenda zaidi. Alijitoa mpaka mwisho😭😭
Poleni sana familia pamoja na taifanzima mana huo msiba umetugisa wa TZ wote mungu awape nguvu na azidi kuwapigania.
Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏😭😭😭😭😭😭
Haijawai tokea rais kunyanyua watoto wa masikini namna hii
Nakupa pole baraka tunafurahig Sana na familia yangu ukiigiza Kama maguful usiache uwe unamuenzi
Jamani barakaaa hiyo sauti usiiongee tenaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
mungu anachukua anacho kipend wa Tanzania tumebaki na jonzi yasiyo kwisha ila Baraka endelea kutu fariji kwa saut ya baba insha anllah
Daaaaaaaah inaumaa sana Mungu ampumzishe kwa Aman Rais wetu😭😭😭
@matopeboybomba5732
3 жыл бұрын
We mtangazaji unanenepa.sana
@mustyboymaalim2070
3 жыл бұрын
@@matopeboybomba5732 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako
@fhvbvgkvgc8073
3 жыл бұрын
@@mustyboymaalim2070 inaonekana anamfwatilia maisha yke xaana.
@mustyboymaalim2070
3 жыл бұрын
@@fhvbvgkvgc8073hao ndo wenye kuangusha uchumi wa taifa kwa ajili ya udaku na umbea
Baraka, nimefurahi kuona ukihojiwa katika tukio hili, naamini kabisa kwamba ni kweli umeumia mno. Mungu akutie nguvu, ikibidi viongozi waliobaki waendelee kukupa nafasi.
Mm mwenyewe jmn ningependa huyu baraka apewe cheo chochote Ili aweze kuienzi sauti ya hayati babaaetu magufuli kwa vitendo mama etu samia suluhu mwangalie huyo kijana kwa jicho la pili na watanzania tutajivunia maana anajua kutumia sauti vzl km babaaetu jony pombe magufuli
Watching from the Sand beaches of Malindi Kenya. Tuwe pole sote
@angelorocco894
2 жыл бұрын
instablaster...
Kumbe Baraka ni Handsome wa nguvu Leo nimekuona vizuree saaan
@agaowajouniar6614
3 жыл бұрын
@Dorka Kazunde Ameen thummah Ameen,🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@rajmkonje7149
3 жыл бұрын
Ushamtamani wenawe hujaacha tu?
@agaowajouniar6614
3 жыл бұрын
@@rajmkonje7149 Mmmhh,🤐🤐🤐🤐🤐
Daaaaahh jamani sitaki kuamini kuwa baraka yule wa zamani kumbe alikuwa kijana hivi daaah rest in peace magufuri 😭😭😭😭
Uyu kaka yupo kwny machungu mnooooo..
😭😭TUTAMKUMBUKA SANA MAGUFULI MAANA KAFANYA MAKUBWA KWA MIAKA MICHACHE UTAZANI KAKAA MIAKA 50 MADALAKANI WENI WAO KUJIMILIKISHA MALI KUTUACHIA MABARABARA YA VUMBI HUYU ALIJITOLEA KWA AJILI YA WATANZANIA NA KUSEMA MGAMBO WATAFUTE KAZIA YA KUFANYA NITALALA NAO MBELE KWA MBELE 😭😭😭😭😭😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Pole Sana kijana, na Watanzania kwa Ujumura kbsa Musiba mugumu Sana
Oh my GOD 😭😭😭😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽💔💔💔💔✋✋🇰🇪 May he soul Rest In Peace BABA Daah painfully really 😭😭🤫💔💔🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
Amen jirani mwema
Kumbe baraka is so handsome
@jenifajuma5395
3 жыл бұрын
Sanaaaa Ni handsome mnooo
@agaowajouniar6614
3 жыл бұрын
Tena mnooo halafu ana mwanya kazuree
@rajmkonje7149
3 жыл бұрын
Ushamtamani
@rajmkonje7149
3 жыл бұрын
Hamna haya
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 M'meshakamata Usukani Sasa M'natutongoza Mchana Kweupeee Juwa La Sa 6 🤣🤣🤣🤣
Kwel kaka nakup honger kwa ushaur wako lazim tushikaman ss wenyew jamn mm nalia nakuumia
Pole baraka
😭😭😭😭😭Inauma Sana..
Kumbe baraka handsam maashaallah 🥰 kuwa na subrah kakaangu....allah awafanyie wepesi ndugu zetu watanzania
@amanimusenyi8217
3 жыл бұрын
Ushamtamani tayar
@zaitunali2208
3 жыл бұрын
@@amanimusenyi8217 kwani sini mwanaume lazima nimtamani...am wataka nitamani mwanamke
@amanimusenyi8217
3 жыл бұрын
@@zaitunali2208 Sina maana hiyo😂 😂 😂
@baltazarymagata1146
3 жыл бұрын
wabongo mnavisa😅
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
@@zaitunali2208 huna kosa kumtamani endelea
Anakidonda kifuani, pole Baraka tumeumia wote na wengi sana tutateseka kutokana na pengo hili huku tukijua kabisa kazi ya mola haina makosa
Baraka uende kwa mama jesca umpe faraja
Pole baraka,,tumuombee tu hatuna njisi
😭😭😭😭 congratulations baraka...usijali kaka sote twa elekea huko... poleni sana kutoka kenya
Ni huzuni kweli kweli 😭😭😭🤦
@ceciliambui5972
3 жыл бұрын
Sana tena
Dahh pole san tumeumia san kuondokewa kwa mzee wetu
@user-jk5ir4ke3z
3 жыл бұрын
Mm nakushauri uendelee hivyo hivyo kuwakumbusha wananchi wasisahau maneno ya baba yetu
@allyhuyu1892
3 жыл бұрын
Tuseme tu kwamba maumivu haya yamewagusa waafrika wote kwani uwepo wa jpm madarakani bara lote la afrika, america sikwambii ulaya mpaka Asia walikuwa wakiifuatilia Tanzania kwa karibu na waione mwisho wake kwahiyo kifo hiki kimestua ulimwengu mzima
Pole Sana baraka
😭😭pole San balaka magufuli
Poleen sanaaaa
Kwakwel nimeumia sana, na sizan kama kutatokea mzalendo kama magufuli, anae penda wanachi kama familia yake..dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
REST IN PEACE PAPAA 🙏🙏🙏😭😭😭😭
Nashukuru kwakua mmeweza kufanya kile nilicho waomba!! Mm nishabiki wako namba Moja kwa kila video unazotoa!! Nimefurahi kumuona Baraka Magufuli!! Akihojiwa leo!! Na nilitamani apate nafasi toka Mwanzo!!
@jenifajuma5395
3 жыл бұрын
Juzi pia kahojiwa Ila sikumbuki Ni tiv gani Tena kahojiwa akiwa amekaaa Ni kuhusu huu msiba wa mzee wetu
@ernestndauka9301
3 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 Sikuona hiyo!! Ila kwa Ayo tv nilitamani wamfuate maana kwa kipindi kile alichukua ana vuma walimsumbua Sana
@Aminaamina-cg8sf
3 жыл бұрын
Alihojiwa NA ALAMA ONLIVE TV Ile kahojiwa liundani zaidi
Pole Baraka jamaniii
Daah 😭😭😭😭
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
Huyu kijana na Harmonize walipendwa sana na JPM, JPM alimwambia Harmo akagombee ubunge tandahimba.😭😭😭
mmh xo handsome
Daaa bado ciamin jaman naona kama picha vile ciamin Kwa Kwa kwel pumzika Bba mwendo umeumaliza
ilonipengo kubua sana mungu atusitiri
Pole sana kijana. Kweli baba alikuwa anakupenda.
Nakukubar sana
Tumuombee baba yetu rais mpendwa Magufuli roho yake itulie kwa amani...Ndugu zangu watanzania tuwe pole...mimi niko Kenya na inauma sanaa ...
Pole Sana tumempoteza baba etu kipenz
Imeniuma sana kaul ya tutaonana kesho dah R I P DADY
Ni kweli kabisa
Jamani Rais alipenda Sana wanyonge ambao tupo wengi
kumbe baraka ni kijana nilijua ni mtu mzima
@princemoudy5377
3 жыл бұрын
Khadija mumeo niko hapa mohammed@khadija
MWENYEZI mungu amlinde
Poleni sana
baraka pole sana kaka
Hakika baraka nimeamini unamaumivu makali sana kiukweli imetuumiza watanzania wote msiba huu ni fundisho kwetu tuyaishi mema aliyotuonyesha baba yetu Hayati Joseph Pombe Magufuli
😭😭😭😭 innalillah wainnailayh rajuun
baba yetu magufuli pumzika kwa Amani kweli umetusaidia sana watanzania kutuonyesha kuwa hata Tanzania tanaweza sana kujiendesha sisi.
Daah , magufuli mpk alikuwa anapata muda wa kuchati na dogo duuuh
Huyu Jamaa ukichanganyikiwa unaweza fikili ni mtoto wa JPM maana wanafanana hatari. Jinsi alivyompenda MPAKA kafanana nae Hadi sauti
💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
THE BIGGEST BOSS NASRI
Interview Baraka umehongeya vinzuri sauti yako kama ya Raisi mangufuli Kweli kwali.
Pole sn baraka
Chuma kimeenda dahhhh.
Mkuu tutakumisi kweli kweli rip
Msifadhaike mioyoni mwenu, Bwana ametuumbia nafsi zinazoonja mauti
Kumbe jamaa handsom😃😃😃
@ivaniavianarodrigo7201
3 жыл бұрын
sio kidogo sana tu.
@mishibabu8946
3 жыл бұрын
Hahaa
@mohammedabdala7526
3 жыл бұрын
ni mzuri mkaka uyu me nilijuwa ni babu tumeumia kwakweli namsiba wababa yetu
@maabate1272
3 жыл бұрын
😂😂😂 mwenyewe cjaamini
@zenadaudzena2849
3 жыл бұрын
Haswa mwanya imechangia
So painful 💔😢
Inaumiza sana babaangu kipenzi manguu
"Wasiotakia mema taifa letu...".. teh teh, watu wanaongea kwa kumezeshwa hata kujiongeza hawajui... akili za kuambiwa unachanganya na zako. PM na yule kibichwa cha embe wamewaambia uongo waziwazi.. lakini utakuta boya mmoja anacheza mule mule kwenye tune zao, kama misekule.
pole sana kaka
Baba Magufuli,kwa kweli alisaidia wengi sana Tanzania hii.Watu hawaitakii mema Inchi yetu lakini Mungu yupo nasi mpaka dakika za mwisho na hatutarudi nyuma Watanzania.Baba Magufuli atalala mahali Pema peponi.Yaani inasikitisha Inchi yetu nzima.
Huyu atawalizawatu badae siku akimuigiza Jemedariwetu Hayati Magufuli.
Jaman
Mtangazaji kavimba macho amakweli magufuli kajua. Kutuliza
Pole kijana magu
Mama Samia MUNGU akutangulie ktk kazi yako
Naitwa wabo
Kumbe barak ni mvulana ivi Dah MAGU wetu😢😢
🙏🙏🙏😭😭😭
Poleniii
Olala 😭😭😭😭😭
Baraka omba wananchi angalau udiwani ama ubunge basi uchape kazi kama alivyo tufunza baba yetu Magufuli angalau atafurahia huko aliko
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Labda muibe kura kama kawaida yenu
@dorcaskidoti249
3 жыл бұрын
Kweli kbs wangu.
Poleni sana
Naumia sana
Oohhhj!!! Mungu Nisaidie saidie, Pole sana Baraka
Baraka asante kwa mchango wako
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Duh
Baraka anafanana na maguu😥😥😥😥😥
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
kweli kabisa
@shamilakarimu3820
3 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 umeonae😥😥
Dogo upo vizurii
R.i.p
😭😭😭
pole yetu sote Baraka
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Pole baraka itaendelea kuect tumkumbuke j p m
Rest in peace polen tn sn
Vidox umenona. RIP MAGU
@MariamMohamed-oz6it
3 жыл бұрын
Yaaan kumbe we umeona eeh
Niliwahi kwamwambia Baraka katika page yake wala hapaswi kuogopa na tena anayo bahati kubwa kumuigiza kiongozi akiwa hai, sasa ni mwanzo mpya tena kwa Baraka kumuigiza Mh. baada ya kifo.
Laa
Usikufuru baraka magufuli eti isingekua magufuli nisingekua hapa
Jaman magufuri alikua mzungu wa roho ee mungu mpunguzie ghazabu ya kaburi.
@dhakomodherooherokoko6037
3 жыл бұрын
Acha kutumia neno "mzungu" hapa..kwani mzungu ni nani?
@williamsmith8782
3 жыл бұрын
@@dhakomodherooherokoko6037 right
Vido vidox
🤦🏻♂️💪💪🇹🇿
So sad
baraka pole kaka ila wewe ngoja niishie hapo
@mariamramadhani3860
3 жыл бұрын
Sema ni muhansamu