Amanitz NEWS: HOTUBA KAMILI YA BARAKA MAGUFULI YALIKUNA BARAZA LA MADIWANI MUFINDI
#OnTrending! #MufindiComedian
Msanii wa Uchekeshaji Mufindi Maarufu kwa Jina la Baraka Magufuli amelihutubia baraza hilo mapema mwaka huu 2019 na kuwakuna wajumbe wa baraza hilo lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Mufindi (Bomani) Mjini Mafinga Mkoani Iringa.
Пікірлер: 231
Jaman timu magufur mpen like zenuu kijana !!!!
Hongera sana baraka magufur kwakumigiza rais wetu JON JOTHEP POMBE MAGUFUR Kazinjema
huyu jamaa ana speech nzuri sana, yaan huchoki kumsikiliza, big up sana, Mungu akubariki kupitia kipaji chako hicho kijana.
Hongera mtanzania mwenzetu kwa kipaji kipya na Mungu akulinde.
Kaka upo juu snaa nimeipenda Hongera sanaa wajina wangu
Don give up my friend keep up you have big talent
hongera sana Barak a mungu akubarik
bora hata huyu anaongea vya maana.sio yule bwege pierre sioni hata cha maana anachoongeaga.big up kaka
@zumbaabiyah3184
5 жыл бұрын
Kk upo sawa!
Mungu ni mwema, ombi langu binafsi ukifika wakati wa kampeni mwakani, Ndugu Baraka asimame badala ya Mh. Rais Magufuli, atatufaa sana huyu mtu, kwa kweli kila jambo na wakati wake hongera sana Baraka, Mungu akuzidishie kipaji ulicho nacho, Aamina.
kijana yupo vzr sana iseeh
yupo vzr saana
jamaa anajua sn yan hadi anakeraaaaa,,,,hongeraaaaa sn nduguu Mungu akuongozee
Huyu jamaa yuko vizuri
Kuwa smart,itapendeza zaidi.
Uko juu sana
uko vizuri lakn uongeze uchangamfu kidogo maana mheshiwa hua kachangamka kweri kweri😁
ndugu uko vizur ila naomba uwe unaongea kwa niaba ya mzee magu yaani uchukue uhusika wake kabisa!!! ombi langu hilo ngoma itanoga balaa mungu akusaidie utafika mbali
@richardjoseph4098
5 жыл бұрын
Happy Mthias
Mzee baba we noma
Kama umeikubal hii honga like bac
Daaah kweli mungu akitaka kukupa hakuandekee barua Allah akupe ukitakacho
Upo vzr
Nakubali sana pambana ndugu
Ati maji wanadownload 😁😁😁this guy is a real comedian.
daaa mzee we acha tisha sana
Anatushangaza. Kweli mungu mkubwa. Nice.
Upo vizuri
Hongera sana nichek private siku nikipita iringa nikuone
BARAKA magufuri anastory nyingi hapa Malale TV, like Na comment hapa
@danniemalole8326
5 жыл бұрын
Unawez babu
@agathacosmas391
5 жыл бұрын
MUNGU Akuogoze Babà upo vizuri na unaogea vit vya busara
kweli ww baraka magufuli kipaji unacho 👏👏👏
Nakubaki mzee baba
Daaaahhhhh safi sana
inatakiwa uwe smart cox unaigiza mheshimiwa wa nchi hapo naamini utaemprove sana
@elizabethsuthelizabethsuth2049
5 жыл бұрын
Isaya Mwenga akiva vizuri itakuwa Sio usanii
@rodrickcholobi4331
5 жыл бұрын
Huyo anafanya maigizo maigizo ni fasihi na fasihi ni sanaa na kwenye sanaa ya maigizo kuna kitu kinaitwa MALEBA yaani mavazi yatumikayo na wale waigizaji katika kuigiza. So akivaa vizuri basi atapoteza uhalisia japo kiuhalisia mkuu huvaa vizuri lakini kumbuka huyu anafanya sanaa ya maigizo.
@gosbertrwezahura3645
5 жыл бұрын
Akivaa vizuri ataharibu. Yuko sawa jinsi alivo.
Ktk vituko vyenye nguvu hiki ni namba moja
NABAKIA KUCHEKA TU MIMI YAAAAAANI WATU VIPAJI """BY ARBAAB...✍
Jamaa yuko vzr sana . eti maji wana download tu Hahahahahaha
Kiswahili nadhifu, napenda,pita na like kama wakitabua kiswahili pia
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌baba mikono Juuu mwendo wa matekaaa
nice job,,,,
Safi sana
Ndugu mungu akuzidishie
Nakukubali broo toa nyingi unakipaji sana
Ilani imetekelezwa 'vizuli'hapo umempatia muheshimiwa kweli kweli,
Hawa ndio wa kuwapa promo sio kina Pierre walevi
@ishpalemypasco5751
5 жыл бұрын
kunywa thoda kaka
@mamachris6811
5 жыл бұрын
Kila mmoja na nafasi yake
@augustuscaesar2816
4 жыл бұрын
Kabisa
Like father like son that you
Ana kipaji
jamaa anajua
Uko vizuri, mavazi badilisha, vaa uhusika wa unachokiwakilisha,
Akivaa vzuri si itatoka kwenye maigizo!? Acha avae hivyo hivyo
@jackoowora600
5 жыл бұрын
Mtumishipeter Miselya ok
@dinahbasemera4672
5 жыл бұрын
true kwa sana..hivi hivi
Brilliant, congtration jaaa.
Huyu anaongea mambo yaa msingi sana binafsi namkubnali sana
@prosperomary4961
4 жыл бұрын
Richard Chota yap yuko vzr
@neemajohn1719
4 жыл бұрын
Uko vizuri pia hongela
weeeee jinias, hotuba yako ni ya mtu kaenda shule
Daaah nice
@patrickmalange7294
5 жыл бұрын
nyc baraka
Daaa jamani una kipaji sana hongera sana.
Unajua kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!! kama mwenyewe kweliiiiiiiii!!!!
@deusdeditmasinde7615
5 жыл бұрын
Bila waswas kwelii
Hongrea sana
Cwez kukumaliza mzeee
Umetisha sana baraka
@kudraahmad806
5 жыл бұрын
hapo ndio utajuwa kati ya piele na baraka
DAAAAH WEWE JAMAAA NI SHIDA UNAJUA ADI NAUMWA YAAAN HATA HAUJISAHAU UKAONGEA SAUTI YAKO DUUU KWELI
@lusianbuyemba214
4 жыл бұрын
we noma baraka
Ila awe anavaa vzr bana asivae manguo ya hovyohovyo avae kiheshma
@tonymlenga5276
5 жыл бұрын
Hàaaaaaa
This guy is GOOD!!!
@pmerltrcs7624
5 жыл бұрын
Weunasitahili kofia hiyo
kwa kweli yuko vizuri,,nakubaliana na wanaomshauri awe anavaa tu vizuri (kama ni suti iwe suti kabisa) haitapoteza uhalisia ila muonekano ubaki vilevile(mvi).
Acheze Jerusalema dance
Umetisha kaka
😁😁😁😁😁😁😁.....oyooo baraka kwenye ubora wake.. noma sanaa
Ukipata mwalimu utakuwa vizur
Mwambie ajaribu Jerusama dance
Yuko vzr
This guy is talented. Your excellency Mr president. Before you leave office ensure this guy has permanent and pensionable job
hayaaaaaa bhan
Piere tunakusahau polepole
@cledeshyukalifa820
5 жыл бұрын
ERICK Maggeta hahahhaaa piere kaka muda wake naona unaovatrkiwa
@zumbaabiyah3184
5 жыл бұрын
Kk umenena mulemule! Piere hamna kitu, huyu jamaa anajua! 😷👍
@fatumahussein5814
5 жыл бұрын
Hhahahaa
@Emedroadtocanada
5 жыл бұрын
Kabisaaaa
Huyo body gurd mmmmm uko serious
Nice
ilike this kaka he speak like real president of tanzania dk john pombe magufu be blesed
Baraka oooye
ama kweli baraka anae muigiza rais anaweza kweli
Big up
We noma kaka
Hatari xana
mwenzio akipata mpe sifa
Mungu akulinde, kipaji kipo
Ahahaha umetisha Baba.
Ahaaaaaaaaaaaa kweli magufuli
jaman, wats the song title/artist played at the end of this video
@amanmbwaga8379
5 жыл бұрын
Hapa Kazi # IringaMpya by Mtili Gospel Choir from Mufindi
@rajabmilongwe8976
5 жыл бұрын
@@amanmbwaga8379 asante Aman,lakini shiriki kiungo, siwezi kuipata baada ya kutafuta kwenye youtube
Ananichekesha mpaka bac 😀😀😀
@chumilamanyama5078
4 жыл бұрын
🤗🙌Amani Baraka 2030 kachukuwe fom ya urais
Mbavu zangu mie,wazimbabwe jamani,mwajuma kaolewa,hahaaaaaà
IPO siku tutamwelewa tu RC wa Dar!!!!!
Aisee umeweza.
John Magufuli was the best leader in Africa along with Muhammad Ghadafi and Robert Mugabe. RIP african leaders.
Uko vzur Ila NaombA hayo mavaz ubadilishe uvae kiuheshimiwa ndo itanoga sana
@dinahbasemera4672
5 жыл бұрын
i disagree...ni komedi hii...kwann avae vizuri?it wont attract...hivi hivi poa saaaaana.
Daaà noma sana
@benedictornyahoro1718
4 жыл бұрын
punguza matumizi ya hiyo kwelkweli
baaasss😂😂😂😂dah..huyu nampigia kelele hadi awe PR wa magufuli
Bigup jombaa
Mwajuma kaolewa
Ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
kuna shida ya uwelewa kati ya waalikaji na mwalikwa
Hahahahah yuko vizuri
Ndg baracka sasa badilisha mavazi uwe kama JK COMMEDIAN.
@abuuashyam8417
5 жыл бұрын
tatizo hana mwiliiii
Sasa baraka maguful upo vizuli maaana hata maongezi yako yapo kama msomi
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
Kwani msomi yupoje?
namini ipo siku namimi nitato
Anatengeneza hali ya kama ya uwepo wa Mkuu wa inchi katika kuhimiza utekelezaji wa majukumu ya kila siku.