RAIS MAGUFULI ALIVYOSHTUKIZA KINONDONI KUKAGUA MSIKITI, AIOMBEA CORONA...
RAIS MAGUFULI ALIVYOSHTUKIZA KINONDONI KUKAGUA MSIKITI, AIOMBEA CORONA...
RAIS John Magufuli leo tarehe 28 Februari, 2020, amekagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Msikiti huo unajengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohammed VI wa Morocco baada ya kuombwa na Rais Magufuli alipofanya ziara rasmi hapa nchini Oktoba 2016.
Akiongozwa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir bin Ally, Magufuli amejionea kazi za ukamilishaji wa jengo jipya la msikiti na jengo la ofisi ya Taasisi ya Mfalme Mohammed VI wa Morocco zikiendelea kukamilishwa, na ameelezea kufurahishwa kwake na ubora na uzuri wa msikiti huo.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
(+255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 392
Mashaa Allah uliahidi kuusimamia kwanzia jiwe LA msingi hadi kukamilika kwake nakwauwezo wa mungu umefanikiwa. Hongera.
Innalillah waina lillah rajiun mwenyezi mungu akulaza pema akupunguzie adhabu ya kabri umetuliza watanzania saana saana maneno yako yataishi hata kwa vizazi vijavyo watauliza magufuri alikuwa mtu gani lakini watasikiliza ulichokuwa unapigania😭😭😭😭😭😭😭😭
Allah akuweke mahali pema penye wema akusamehe madhambi yako ya siri na ya dhahiri Insha Allah
Mungu amjaalie rais wetu asilimu ili tujumuike nae katika dini
@omarkhalfan2985
4 жыл бұрын
Ammen
@insteinjonga6651
4 жыл бұрын
Ndoto za mchana hizo, yeye ni kiongozi wa wananchi wote anaweza hata kwenda kuswali siku ya ijumaa lakini kwa kuwa akili za baadhi yenu ni haba mtaanza mauarabu yenu
@omarmwabege
4 жыл бұрын
Aaamin
@crintonjakobo7685
3 жыл бұрын
Ulikuwa unaota
@josephandrew3444
2 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna dini nyie dini maanaake ni njia ya kumtafuta mungu! Kwani mtume Muhammad (sw) alikua anaswari msikiti wa zeebu gani! Je ni shia,suni,salafi,hamadia,kadiria?!
Hakika utakumbukwa daima Raisi wetu JPM 🇹🇿💔😭😭😭😭
Rest in peace daddy you will never be replaced 😭😭😭😭😭😭
dah ! wallahi Magufuli Mungu akuweke daima 🙏, halafu umependeza sana n'a kanzu na kofia, Mungu akuwezeshe "uslim" Insha'Allah 🙏🤲
@nehemiahshija2265
4 жыл бұрын
Weeeeeee
@jeshilamtu863
4 жыл бұрын
IshaaAllah
@yuzotv458
4 жыл бұрын
Amina.
@salimhusseni4784
4 жыл бұрын
InshaAllah mweenyez mungu hamuongoze kuitafuta haki yote inawezekana leo Malala akiwa mkristo kesha hakwa muisilam
@magrethcosta2785
4 жыл бұрын
Mungu ni wa wote. Mawazo yako finyu.
Everyday we have to pray for our late daddy
Inauma lakini hatuna uwezo..rest in peace Dr.JPM
Eeeeh MWENYEZI Mungu umrehemu kiongozi wetu. Hakika MUNGU ALIKUWA NDANI YAKE. AMEN.
@yussuphshilingi3258
2 жыл бұрын
Mashudu huyu Hana rehma atayoipata
mkuu umependaza sana karibu sana kwani sisi ndio watanzania tunapendana bila kujali imani zetu amin.
Umetuombea nyumba tukufu. Nasisi tunakuombea kwa Allah akuongoze kwenye njia ya haki Ameen.
@bukhanmohd456
4 жыл бұрын
👍
@korogwetanga810
4 жыл бұрын
Aamiin yaa rabbi
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
YaaaaaaAlhaaaaa.muingize.Rais.wetu.katikaAki.mfishekatikaAki😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤❤❤❤❤❤
@baraka0346
4 жыл бұрын
Maashallah
@leylahbillah4876
3 жыл бұрын
Ameen yaarabby 🙏😭
Magufuli haimalizi 2020 atatamka shahada InshAllah
@insteinjonga6651
4 жыл бұрын
Hiyo ni sawa na kusubiri koran iwe kitabu kinachotumika makanisani.
@omarmwabege
4 жыл бұрын
Aaamin
@ziadaalute6836
4 жыл бұрын
Mungu akufanyiewepesi utamke shahada,Wakristo ni ndugu zetu tunawapenda sana.N A Alla amewataja mara nyingi Ktk Quran.
@salmadalaquimane2364
4 жыл бұрын
Inshaallah
@jafarimalungi2844
4 жыл бұрын
Ishaalla
Kila nikitazama hizi kumbukumbu nalia sana nenda salama Magufuli
@dinahshirima6356
3 жыл бұрын
Inaumiza sana
@dinahshirima6356
3 жыл бұрын
Ninaimani yko peponi.kwa sadaka zake na utu wake kwa kila MTU.hakujali kipato cha MTU,dini,Allah ampe kauli dhabiti.ameen
kwel ww umekuwa malaika maana matendo yako si mchezo🥰😰😢💔💔💔💔
Yaa Allah msamehe mja wako huyu hakika amaefanya mambo makubwa🙏🙏
Namuomba mwenyezimungu akupe umuri mrefu na UZIMA KATIKA maisha yako yote raisi wangu MAGUFULI amiiin, unafanya mambo bila woga,bila kuangalia sura ya mtu,bila ubaguzi ,wewe nikiongozi waukweli, NAMUOMBA MUNGU ATUEPUSHIE MBALI KIONGOZI ANAE PENDA MADARAKA ASIYEJUA SHIDA ZAWATU KAMA MEMBE SIMTAKI KABISAAA ,
Dah yn mm cjui lini ntamaliza kulia juu ya hzi video za Rais wetu mpendwa ambye mungu ameshamchukua Ila kubwa tumuombee mungu inshallh amjalie maisha mema hko alipo inshallh Pumzika salama rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli Amin
Msikiti mzuri mashaallah haya waislamu tufanye ibada sasa tusisubirie mwezi wa ramadhani
Yaniii huyuu rais anajuwa hasa kuwa allah ndiye mungu wa pekèe anayefaa kuabudiwa lwa hakii kusema ukweli ila iko siku allah atamuonesha hakii aifte inshallah
@maryamahmedkhamis1713
4 жыл бұрын
Inshaallah
@aliy3303
4 жыл бұрын
Ameen
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
AlhahuAkbaru😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@abdallakhamis9249
4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tunakuomba umuingize kwenye uisilamu rais Wetu huju,
@fredrickmartin995
3 жыл бұрын
Hiyo siasa wewe magufuli hawezi kuwa kafiri
Allah akurehemu kwenye maisha yako mapya akusamee makosa yako ya siri na ya adhairi Inna lillah wainnaillah raajiun 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu alishiriki kwa kila kitu ulichokifanya.hatutakusahau milele ktk jamii yetu.
MUNGU MKUBWA MUNGU NI MSHINDI BABA NAKUPENDA SANA UNAVYOPENDA KILA MTU UNAVYOPENDA KILA MAENDELEO MUNGU WETU ATUBARIKI SOTE AMINA
Masha'Allah ipo siku Allah atamjaalia hidaya
@yassinm69
4 жыл бұрын
Amin
@dachjunior4766
4 жыл бұрын
Nisaidie hapo *"atamjalia hidaya"* hilo neno *hidaya* nini *maana* yake?
@fatmanammanje1782
4 жыл бұрын
@@dachjunior4766 hidaya maana yake "Zawad"
@hawaryaqueenibrahim9086
4 жыл бұрын
@@dachjunior4766 maana yake atamjaalia guidance awe muislam kabisa
@yuzotv458
4 жыл бұрын
Amin
Mola akurehemu rais magufuli😭😭😭😭😭💔💔
Mungu akujalie maisha ya mema duniani na akhera
Uwatoe jela Mashekhe wetu wote n ukislim utazidi kuwa mwema kwa mungu
@saidiramadhan9756
4 жыл бұрын
Nikweli mm mwenyewe swala la mashekh linaniuma cn ila ipo siku mungu atatujibu tu.
@douglasjackson373
4 жыл бұрын
Nassor More Ebu nielewesheni kidogo Mbona presha kubwa sana kwa Magufuli kuwa Toa mashehe wakati walifungwa kipindi cha awamu ya nne!? Je kwamba Magufuli hajui hilo Tatizo?@Nassor More
@magrethcosta2785
4 жыл бұрын
Na huo ukristo wake imetosha kwa Mungu kuifanya kazi ndani yake, sio lazima kumwombea et aslimu ndiyo awe mwm.
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Hivi waislamu hamuelewi hapo Mungu ana wafundisha Nini? Mbona mnakiwa mazuzu hivyo? Hapo Mungu anawafundisha kitu, sio mpka mtu uwe muislamu ndio ufanye mema. Hata wapagani na wakristo wanajua kufanya mema kutokana na dini zao zinavyo sema. Mpo mazuzu kweli kuelewa hiyo. Mmebaki kulia na dini ya haki🤔😁😁😁 kalieni hapo kwenye dini ya haki, wakristo tuzidi kuwaonyesha kwa matendo
Allah naomba mlete kwenye uislam Mr magufuli inshallah
@insteinjonga6651
4 жыл бұрын
Aje afuate nini sasa?
@mohdamour1427
4 жыл бұрын
Nampenda sana raisi magufuli Na naamini atawafanya waunguja Na wapemba waache kubaguana muheshimiwa ukiliweza hill kwa upande Wa Zanzibar itakuwa umetufanyie heri kubwa sana Leo Mpemba anamuona mmbwa MTU Wa unguja Na waunguja anamuona mmbwa MTU Wa Pemba wrote hawa no ndugu
Manshaallah mungu akupe afya,tz tumepewa tunu huyu sio rais Zaid ya tunu inshaallah kher.
😢😢mwenyezi mungu akujaalie jahanna fir'daus
Hongera Mr President for good job umeonyesha upendo mkubwa kwa dini zote. Allah akulinde
Hio ndio azina yako baba mnyezi mungu akusamehe makosa yako baba kwa wema ulo u fanya inshaallah atasameheka mbere ya allah
Leo hatuko nawe tena ww magufuliii nenda sana naumia sana babs
Tunamshukuru Mungu kwa msikiti mkubwa, mahali pa sala ni mahali pa Mwenyezi Mungu🙏🇹🇿
Wallahi ni shahada tu lakini Allah anajua zaidi. Ewe Mola amrehemu na usamehe madhambi yake yote ya siri na dhahiri 🙏🙏
Jpm unanitoa machozi nakupenda sana mwenyezi Mungu akupe afy tele
Dah inauma sana . Mungu muweke Rais wetu JPM mahali pema peponi.
Masha allah rais wetu mwenye roho nzur, allaah akujaalie kila la kheir m/mungu yupo naww akujaazie barak tutakupenda daima
@mohdamour1427
4 жыл бұрын
Alah amjalie hero raisi magufuli alah akujaalie usimamie pia ubaguzi ambao upo viasiwani zanzaibar uondoe uunguja Na upemba hata kwa njia zako zote
@ZainabAtuli
4 жыл бұрын
@@mohdamour1427 Mbona hakuna ubaguz wapendana vzur tuu?
Ahsante sana Rais Magufuli: Na sisi waislam tunakuombea kwa Alla kila wakati, Allah akulinde na shari zote na akuongoze ktk njia ya haki.
Mngeomba chuo cha kiislamu ingekaa sawa ila nampongeza mr presdent kwaimani anayo onyesha kwadini zote mungu ampe gheri naafya njema
@mirajiabdallah7131
4 жыл бұрын
sio mbaya hata hili lililofanyika ni jema pia tuseme alhamdulillah
@mathiasmsese6128
4 жыл бұрын
@@mirajiabdallah7131 chuo kipo morogoro au hujui, nafikiri la msikiti pia ni sawa coz wataingia woote
@farajibuteta6258
4 жыл бұрын
Chuo kipo tyr morogoro
Unafanya vizuri mpaka unakera mweshimiwa mungu akupe maisha marefu jpm
Doctor President Magufuli am not a Tanzanian but I say u luk fantastic in that regalia,congrats, keep on dressing like that
Allah akulinde na adhabu za kaburi uli kuwa mutu muzuri
Hongera sana baba JP kwa jitihada zako za maendeleo zisizo na ubaguzi wa dini wala kijamii,Inshallah mungu azidi kukuongoza katika haki.
Allah anajuaa atapomuekaa🤣🤣🤣
@fahmialinoor3043
3 жыл бұрын
But mbona umecheka
Mm ni mkristo kama wewe Rais wetu mzuri magufuri kwa hili ulilolifanya Mungu wa mbinguni akubariki sana
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Amina, hata mimi nimefurahi. Sasa sijui wanavyo tuitaga kafiri, hapa leo wamenyamaza
Daar inauma sanaaa jpm wee nimeshakumiss jamani mimi mbona nalia ivii
Duuh kusema na ukweli ccm siipendi Ila magu annifanya niipende na inshallah tunasubir dhahir yake tu pengine anaswal kwa siri
@ramadhanihamisi1049
4 жыл бұрын
Athante
@abdikhalif763
4 жыл бұрын
Ukweli kabisa
Ukitaka kumjua anae mheshimu mungu tazama matendo yake ,kaondoka bila chochote ila matendo yake mema aliyo yafanya dunian yata ambatana nae na hiyo ndio amali njema, tujifunze kupitia yeye.
HACHAGUI WALA HABAGUI,BINADAMU(WATANZANIA) WOTE NI NDUGU.TUPENDANE WAKRISTO NA WAISLAMU.TUDUMISHE UNDUGU NA WALA TUSIBAGUANE. MAGUFULI UBARIKIWE
@ibrahimmussaali2986
4 жыл бұрын
Hakuna mapenzi wewe kati ya waisilamu na wakiristo kafiri kafiri tu hata afanye nini kwamungu hanasamani
@ibrahimmussaali2986
4 жыл бұрын
Ila kwa mashekhe wanopenda sifa za dunia huwaingiza nakafiri peponi mungu kasema kuambia makafiri kupitia mtume muhamadi a.w.s kulyaayuha a lkafirun. Wambie enyimakafiri Mimi siliabudiii mnacho kiabudu wala nyinyi hamukiabudu ninacho kiabudu Nini mnadini yenu na sisi tuna dini yetu
@ibrahimmussaali2986
4 жыл бұрын
Na mungu atawachoma wanowakumbatia makafiri
@insteinjonga6651
4 жыл бұрын
@@ibrahimmussaali2986 kafiri ni nani kwa mujibu wa imani yako hiyo ya makkah?
@aminamohd604
4 жыл бұрын
@@ibrahimmussaali2986 sio vizuri kuwaita wenzio makafiri je wewe unaijua kesho yako au mwenzetu umeshapewa pepo hukuhuku duniani na umepewa mamlaka ya kuwatia motoni wenzio,unataka kuniambia wewe haushirikiani na wakristo na wala hauongei nao kama unavifanya hivyo vitu basi wewe ni mnafiki
Allahu Akbr mola amjaalie siku moja atamie shahada in sha Allah
@salimhusseni4784
4 жыл бұрын
InshaAllah
Ubarikiwe mh raisi wetu ishallah udum daima amin
@kibwanabundi511
4 жыл бұрын
Muombeni awatowe wale mashekhe gerezani
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
Amin Allah amjalie umri wenye afya njema
Allah akujalie na moyo huo huo rais wet Allah akupe nguvu insha Allah naakuwezeshe uslimu warallah maan umependez sna
Tunamuomba Allah amuongoze rais wetu katika uislaam.... Amin
Nitamlilia ndugu laisi magufuri kwakufanya kazi sana kwasababu ndiyo ujumbe wake mkubwa namimi naamini tukifanya kazikubwa sisi watanzania tutakuwa tumemuezi ndugu yetu magufuri ambae alikuwa laisi wetu mungu amuweke mahala pema peponi Amina
Wow what a beautiful mosque u will feel like ur in Rabat morroco God bless u magufuli .
Allahu Akbar! Rais Magufuli Allah SW atakuongoza ktk maisha yako hapa duniani na akuonyeshe njia ya haki itakayo kuingiza peponi. InshaAllah. Huku Uhuru anatupa masharti mazito ya kufungua misikiti Allah tuongozee na huyu wetu pia awe na huruma na wananchi wake na kutenda haki na usawa bila ukabila , dini au rangi.
Mashalah mashalah hapa wa tanzania wamepata raisi wa kweli mungu amzidishie hongra sana
المعمار المغربي لا يعلى عليه، تحية للصانع التقليدي المغربي👍🏻💕🇲🇦
Mwenyezi mungu akuongoze na moyo huo huo raisi wetu
TUNASHUKURU MUNGU KWA KUTULETEA KIONGOZI KAMA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI TUKO PAMOJA KAMA WATÀNZANIA NA RAISI WA WATANZANIA TUNAKUOMBEA
Mheshimiwa Rais Magufuli hongera sana sannnaaa sannnaaa Allah akuongoze katika njia iliyonyooka Allah akujaalie uingie katika uislam dini ya kweli ya hakki tumefyrahi saaannnnnaa kwa ulicho tufanyia Allah akulinde akuhifadhi akustiri na kila baya lisikufike ulicho kifanya nikikubwa saaaannnnaaaa yaani hadi mwili unanisisimka kwa kuona japo zitto ulolifanya hongera sana tunakupenda wazanzibar tulipo nje ya tanzania yetu
,may Allah show you the right path Mr President Magufuli inshallah
Kwa hilo lazima tushukuru sana!Allah akuzidishie iman ufanye zaidi ya hapo
Mashaallah mashaallah. Mungu akuifazi uko ulipo baba.tusha kumisi😓❤🤲🤲🤲
Mungu akuongoze, uje kuijua haki, uwe muislam
Dini hii naipenda sana japo me mkristu
@aliabdallah5183
4 жыл бұрын
Slimu uwingie kwenye uwislam
@yaninashebe4307
4 жыл бұрын
Karibu katika uislam ndugu
Magufuli kapendaza mashallah .
Jamani Magu jembe sijawahi kuona
Allah akupe kauli thabit na akusamehe madhambi yako..akutanulie kaburi lako alifanye liwe moja za uwanja wa peponi inshaAllah... Wewe ndio mkiristo wa kwanza kuwaonea huruma waisilamu na kuwajengea msikiti mkubwa Afrika mashariki hakuna...mungu akupe mwanga wa milele, akupeleke mbingu ya saba.
Mashallah Allah Akujalie uwe mwislam ishallah
@stevenclaud6648
4 жыл бұрын
Kwan mpka awe muislam tu acha hizo wewe
@albertjames6845
4 жыл бұрын
😁
@hassanmirambo564
4 жыл бұрын
Steven Claud siyo tatizo nawe unatakiwa uendelee kumuomba YESU ili JPM abaki kwenye Ukristu
@mwatumsaidi5104
4 жыл бұрын
@@hassanmirambo564 asante
@mwatumsaidi5104
4 жыл бұрын
@@stevenclaud6648 nawewe mungu akujalie uwe muislam ishallah
Allah Akbar MashaAllah Rais wetu Mungu atakulipa maana yeye ndie anaepanga kila mja anampa atakalo yeye mwenye Dunia Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae
Mungu akujaalie uingie ktk uislamu
MashAllah Mh rais Mungu akuongoze katika njia ilonyooka na akuepushe na maradhi na akujalie mwisho mwema
@habibujuma8599
4 жыл бұрын
Ndo huo huo jeny yusuph, ndo karud kukagua kwa kushtukiza, mungu akupe maisha marefu inshallah
Tunashukuru mzee magufuli kwa jitihada zako nakuombea usilimu upate mema zaidi.
@mulangilakabwarebenson5128
4 жыл бұрын
Seleman Kishema Yani ubaguzi umekutawala
Msikiti ni mzuri mashaallah tatizo liko kwa hao watakaokabidhiwa huo msikiti
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
ZTATIZO LIKO WAP KWAN UNALIWA TARAHA MTU ATAUCHUKUA AENDE NAO NYUMBAN KWAKE
Kwakweli mm kila nikiona video hizi najikuta natoka machozi dah mungu akupumzishe kwa salama
😭😭😭😭😭😭mwenyezi mungu muweke peponi Huyu raisiwetu yarabby
M/Mungu akubal amal yeyote ya mwenye kumshirikisha. ukifanya mambo mema na unamfanyia M/Mungu mshirika utalipwa haha dunia kwa kupewa mazur ktk dunia hii lakin ukisha kufa huna malipo na hayo yote kasema yeye M/Mungu ktk kitabu chake Qur-an sasa wewe kazana kwa kubisha na yeye M/Mungu kwa kufata mihemuko ya watu wakati kaburini uko peke yako ktk hesabu upo peke yako na umejifatia dini zilizo fanyiwa modification unafanya upinzani hutaki kusoma kutafuta ukweli. usia wangu Utafute ukweli wa ipi ni imani ilio sahih.
Subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah make it real for he's last wish Allah will forgive he's since he respect muslim ummati muhammad scw scw scw
Mashallah Rais wetu unapendeza uwe Muslim
Asalaam alaikyum watanzania na waislaam kwa ujumla itafutwe siku maalum ya kumuombea duwa kwa kazi kubwa aliyowafanyia watanzania na uislaam kwa ujumla mungu amuweke Mahalia pema peponi
@kahmardintebe9266
Жыл бұрын
Jpm
Mashallah Allah akujalie kila lakher mh rais iki ulicho kifanya nichakuigwa sana na huto yaona manufaa yake apa dunian ila cku ukiwa akhera inshaallah utayaona manufaa ya kujenga nyumba ya kumuabudu Allah Allah akupe moyo waiman mh maguful
Allah akupe tahfifu huko uliko baba yetu
Ahsante mh JPM kwa upendo ulionao kwa wa Tanzanian wote bila kubagua dini, kabila binafsi nakuombea maisha marefu na yenye afya wa Tanzanian tunakupenda baba
Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu za kabri,na akujaalie pepo, in sha Allah
Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar!!!!
Inalilah waina ilah rajiun Allah akuepushe na dhambi ulizo chuma InshaAllah akujalie pepo
Ai hivi huo misikiti ndio ule ambao aliahidi nitarudi kukagua?
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
Yeah ndo huo aisee
@sleymansleyman9511
4 жыл бұрын
Mashallah mh rais Allah akupe maisha marefu nayenye baraka tele inshallah.
@khamisconvoy6798
4 жыл бұрын
Mm taka afanye awatowe mashehe wa Zanzibar
@maikosaga3632
4 жыл бұрын
@@khamisconvoy6798 ni kweli kabisa sio kuzindua misikiti tu
@douglasjackson373
4 жыл бұрын
jeny yusuph Kwani walifungwa kipindi cha Magufuli?@Khamis Convoy
Mhe rais wetu Allah akuongoze ktk kuijua hakki na uifuate... Umependeza sana.
Mashaallah mungu akuzidishie kila LA heri ktk kazi zako
Mr Magu yani mimi napenda sana harakati zako .laiti ningekua natia kura basi ningekuchagua wewe hata mara ngapi ..I have never seen president like you particularly in Africa I really appreciate ..ihdi naswiratwa l,mustaqiim .allahuma amin
Mashaallah safi sana
Innah lilah waina lilah rajoun!!
Una uoni wa mbali Mheshimiwa Rais. Allah akuoneshe njia na akuafikishe kuifuata.
Beautiful mosque.. beautiful people mashallah ❤
Allah akujaalie uwe Muislamu Ameen. Kwa haya unavojitahidi na ukweli wako usio na shaka
@siamnyone8403
Жыл бұрын
🤣🤣🤣utasubr sana
Daah yaaani hakika mwenyezi mungu nimkubwa huzima nuru na umchukua amnatakaye
Hakika hakuna Wa kuziba nafasi yako ulikuwa una matendo ya tofauti Sana hakika Kama ulijua huna maisha marefu hapa duniani basi ukayatenda mema kadri ya uwezo wako tena kwa haraka Sana Eeeh! Allah mlipe makazi mema Mpendwa Raisi wetu Magufuli alikuwa Hana ubaguzi Wa dini alitupenda wote sawa msamehe kwa lolote lile alilokukosea Yaa Rabbi tutamkumbuka daima ametuachia Mengi mazuri kwa upendo wake
Alhamdulillah wakati rais wa India akitoa amri misikiti ichomwe na waislaam wauliwe sisi rais wetu anatujengea misikiti Alhamdulillah Allah amuhifadhi amuongoze njia iliyonyooka