RAIS MAGUFULI ALIVYOSHTUKIZA KINONDONI KUKAGUA MSIKITI, AIOMBEA CORONA...

RAIS MAGUFULI ALIVYOSHTUKIZA KINONDONI KUKAGUA MSIKITI, AIOMBEA CORONA...
RAIS John Magufuli leo tarehe 28 Februari, 2020, amekagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Msikiti huo unajengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohammed VI wa Morocco baada ya kuombwa na Rais Magufuli alipofanya ziara rasmi hapa nchini Oktoba 2016.
Akiongozwa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir bin Ally, Magufuli amejionea kazi za ukamilishaji wa jengo jipya la msikiti na jengo la ofisi ya Taasisi ya Mfalme Mohammed VI wa Morocco zikiendelea kukamilishwa, na ameelezea kufurahishwa kwake na ubora na uzuri wa msikiti huo.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
(+255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 392

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana87874 жыл бұрын

    Mashaa Allah uliahidi kuusimamia kwanzia jiwe LA msingi hadi kukamilika kwake nakwauwezo wa mungu umefanikiwa. Hongera.

  • @khadijasongoro9674
    @khadijasongoro96743 жыл бұрын

    Innalillah waina lillah rajiun mwenyezi mungu akulaza pema akupunguzie adhabu ya kabri umetuliza watanzania saana saana maneno yako yataishi hata kwa vizazi vijavyo watauliza magufuri alikuwa mtu gani lakini watasikiliza ulichokuwa unapigania😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @saumuabdalla686
    @saumuabdalla6863 жыл бұрын

    Allah akuweke mahali pema penye wema akusamehe madhambi yako ya siri na ya dhahiri Insha Allah

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba34704 жыл бұрын

    Mungu amjaalie rais wetu asilimu ili tujumuike nae katika dini

  • @omarkhalfan2985

    @omarkhalfan2985

    4 жыл бұрын

    Ammen

  • @insteinjonga6651

    @insteinjonga6651

    4 жыл бұрын

    Ndoto za mchana hizo, yeye ni kiongozi wa wananchi wote anaweza hata kwenda kuswali siku ya ijumaa lakini kwa kuwa akili za baadhi yenu ni haba mtaanza mauarabu yenu

  • @omarmwabege

    @omarmwabege

    4 жыл бұрын

    Aaamin

  • @crintonjakobo7685

    @crintonjakobo7685

    3 жыл бұрын

    Ulikuwa unaota

  • @josephandrew3444

    @josephandrew3444

    2 жыл бұрын

    Kwa mungu hakuna dini nyie dini maanaake ni njia ya kumtafuta mungu! Kwani mtume Muhammad (sw) alikua anaswari msikiti wa zeebu gani! Je ni shia,suni,salafi,hamadia,kadiria?!

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Hakika utakumbukwa daima Raisi wetu JPM 🇹🇿💔😭😭😭😭

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu3 жыл бұрын

    Rest in peace daddy you will never be replaced 😭😭😭😭😭😭

  • @cestlaviecestlavie4073
    @cestlaviecestlavie40734 жыл бұрын

    dah ! wallahi Magufuli Mungu akuweke daima 🙏, halafu umependeza sana n'a kanzu na kofia, Mungu akuwezeshe "uslim" Insha'Allah 🙏🤲

  • @nehemiahshija2265

    @nehemiahshija2265

    4 жыл бұрын

    Weeeeeee

  • @jeshilamtu863

    @jeshilamtu863

    4 жыл бұрын

    IshaaAllah

  • @yuzotv458

    @yuzotv458

    4 жыл бұрын

    Amina.

  • @salimhusseni4784

    @salimhusseni4784

    4 жыл бұрын

    InshaAllah mweenyez mungu hamuongoze kuitafuta haki yote inawezekana leo Malala akiwa mkristo kesha hakwa muisilam

  • @magrethcosta2785

    @magrethcosta2785

    4 жыл бұрын

    Mungu ni wa wote. Mawazo yako finyu.

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu3 жыл бұрын

    Everyday we have to pray for our late daddy

  • @niyatmontes123
    @niyatmontes1233 жыл бұрын

    Inauma lakini hatuna uwezo..rest in peace Dr.JPM

  • @andrewnyumayo9306
    @andrewnyumayo93063 жыл бұрын

    Eeeeh MWENYEZI Mungu umrehemu kiongozi wetu. Hakika MUNGU ALIKUWA NDANI YAKE. AMEN.

  • @yussuphshilingi3258

    @yussuphshilingi3258

    2 жыл бұрын

    Mashudu huyu Hana rehma atayoipata

  • @halimamgeni5456
    @halimamgeni54564 жыл бұрын

    mkuu umependaza sana karibu sana kwani sisi ndio watanzania tunapendana bila kujali imani zetu amin.

  • @mfalmewanyika2804
    @mfalmewanyika28044 жыл бұрын

    Umetuombea nyumba tukufu. Nasisi tunakuombea kwa Allah akuongoze kwenye njia ya haki Ameen.

  • @bukhanmohd456

    @bukhanmohd456

    4 жыл бұрын

    👍

  • @korogwetanga810

    @korogwetanga810

    4 жыл бұрын

    Aamiin yaa rabbi

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    YaaaaaaAlhaaaaa.muingize.Rais.wetu.katikaAki.mfishekatikaAki😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤❤❤❤❤❤

  • @baraka0346

    @baraka0346

    4 жыл бұрын

    Maashallah

  • @leylahbillah4876

    @leylahbillah4876

    3 жыл бұрын

    Ameen yaarabby 🙏😭

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren88364 жыл бұрын

    Magufuli haimalizi 2020 atatamka shahada InshAllah

  • @insteinjonga6651

    @insteinjonga6651

    4 жыл бұрын

    Hiyo ni sawa na kusubiri koran iwe kitabu kinachotumika makanisani.

  • @omarmwabege

    @omarmwabege

    4 жыл бұрын

    Aaamin

  • @ziadaalute6836

    @ziadaalute6836

    4 жыл бұрын

    Mungu akufanyiewepesi utamke shahada,Wakristo ni ndugu zetu tunawapenda sana.N A Alla amewataja mara nyingi Ktk Quran.

  • @salmadalaquimane2364

    @salmadalaquimane2364

    4 жыл бұрын

    Inshaallah

  • @jafarimalungi2844

    @jafarimalungi2844

    4 жыл бұрын

    Ishaalla

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv6103 жыл бұрын

    Kila nikitazama hizi kumbukumbu nalia sana nenda salama Magufuli

  • @dinahshirima6356

    @dinahshirima6356

    3 жыл бұрын

    Inaumiza sana

  • @dinahshirima6356

    @dinahshirima6356

    3 жыл бұрын

    Ninaimani yko peponi.kwa sadaka zake na utu wake kwa kila MTU.hakujali kipato cha MTU,dini,Allah ampe kauli dhabiti.ameen

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv92303 жыл бұрын

    kwel ww umekuwa malaika maana matendo yako si mchezo🥰😰😢💔💔💔💔

  • @GlobalSuccessNarratives
    @GlobalSuccessNarratives3 жыл бұрын

    Yaa Allah msamehe mja wako huyu hakika amaefanya mambo makubwa🙏🙏

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji33354 жыл бұрын

    Namuomba mwenyezimungu akupe umuri mrefu na UZIMA KATIKA maisha yako yote raisi wangu MAGUFULI amiiin, unafanya mambo bila woga,bila kuangalia sura ya mtu,bila ubaguzi ,wewe nikiongozi waukweli, NAMUOMBA MUNGU ATUEPUSHIE MBALI KIONGOZI ANAE PENDA MADARAKA ASIYEJUA SHIDA ZAWATU KAMA MEMBE SIMTAKI KABISAAA ,

  • @zrazanzibarrespectiveacade9056
    @zrazanzibarrespectiveacade90563 жыл бұрын

    Dah yn mm cjui lini ntamaliza kulia juu ya hzi video za Rais wetu mpendwa ambye mungu ameshamchukua Ila kubwa tumuombee mungu inshallh amjalie maisha mema hko alipo inshallh Pumzika salama rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli Amin

  • @aminamohd604
    @aminamohd6044 жыл бұрын

    Msikiti mzuri mashaallah haya waislamu tufanye ibada sasa tusisubirie mwezi wa ramadhani

  • @edyhasan9071
    @edyhasan90714 жыл бұрын

    Yaniii huyuu rais anajuwa hasa kuwa allah ndiye mungu wa pekèe anayefaa kuabudiwa lwa hakii kusema ukweli ila iko siku allah atamuonesha hakii aifte inshallah

  • @maryamahmedkhamis1713

    @maryamahmedkhamis1713

    4 жыл бұрын

    Inshaallah

  • @aliy3303

    @aliy3303

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    AlhahuAkbaru😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @abdallakhamis9249

    @abdallakhamis9249

    4 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu tunakuomba umuingize kwenye uisilamu rais Wetu huju,

  • @fredrickmartin995

    @fredrickmartin995

    3 жыл бұрын

    Hiyo siasa wewe magufuli hawezi kuwa kafiri

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma1383 жыл бұрын

    Allah akurehemu kwenye maisha yako mapya akusamee makosa yako ya siri na ya adhairi Inna lillah wainnaillah raajiun 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @deriodubose4199
    @deriodubose41993 жыл бұрын

    Mungu alishiriki kwa kila kitu ulichokifanya.hatutakusahau milele ktk jamii yetu.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    MUNGU MKUBWA MUNGU NI MSHINDI BABA NAKUPENDA SANA UNAVYOPENDA KILA MTU UNAVYOPENDA KILA MAENDELEO MUNGU WETU ATUBARIKI SOTE AMINA

  • @hawaryaqueenibrahim9086
    @hawaryaqueenibrahim90864 жыл бұрын

    Masha'Allah ipo siku Allah atamjaalia hidaya

  • @yassinm69

    @yassinm69

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @dachjunior4766

    @dachjunior4766

    4 жыл бұрын

    Nisaidie hapo *"atamjalia hidaya"* hilo neno *hidaya* nini *maana* yake?

  • @fatmanammanje1782

    @fatmanammanje1782

    4 жыл бұрын

    @@dachjunior4766 hidaya maana yake "Zawad"

  • @hawaryaqueenibrahim9086

    @hawaryaqueenibrahim9086

    4 жыл бұрын

    @@dachjunior4766 maana yake atamjaalia guidance awe muislam kabisa

  • @yuzotv458

    @yuzotv458

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @raziaidd2392
    @raziaidd23923 жыл бұрын

    Mola akurehemu rais magufuli😭😭😭😭😭💔💔

  • @gespardanil2009
    @gespardanil20094 жыл бұрын

    Mungu akujalie maisha ya mema duniani na akhera

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Uwatoe jela Mashekhe wetu wote n ukislim utazidi kuwa mwema kwa mungu

  • @saidiramadhan9756

    @saidiramadhan9756

    4 жыл бұрын

    Nikweli mm mwenyewe swala la mashekh linaniuma cn ila ipo siku mungu atatujibu tu.

  • @douglasjackson373

    @douglasjackson373

    4 жыл бұрын

    Nassor More Ebu nielewesheni kidogo Mbona presha kubwa sana kwa Magufuli kuwa Toa mashehe wakati walifungwa kipindi cha awamu ya nne!? Je kwamba Magufuli hajui hilo Tatizo?@Nassor More

  • @magrethcosta2785

    @magrethcosta2785

    4 жыл бұрын

    Na huo ukristo wake imetosha kwa Mungu kuifanya kazi ndani yake, sio lazima kumwombea et aslimu ndiyo awe mwm.

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    Hivi waislamu hamuelewi hapo Mungu ana wafundisha Nini? Mbona mnakiwa mazuzu hivyo? Hapo Mungu anawafundisha kitu, sio mpka mtu uwe muislamu ndio ufanye mema. Hata wapagani na wakristo wanajua kufanya mema kutokana na dini zao zinavyo sema. Mpo mazuzu kweli kuelewa hiyo. Mmebaki kulia na dini ya haki🤔😁😁😁 kalieni hapo kwenye dini ya haki, wakristo tuzidi kuwaonyesha kwa matendo

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo44394 жыл бұрын

    Allah naomba mlete kwenye uislam Mr magufuli inshallah

  • @insteinjonga6651

    @insteinjonga6651

    4 жыл бұрын

    Aje afuate nini sasa?

  • @mohdamour1427

    @mohdamour1427

    4 жыл бұрын

    Nampenda sana raisi magufuli Na naamini atawafanya waunguja Na wapemba waache kubaguana muheshimiwa ukiliweza hill kwa upande Wa Zanzibar itakuwa umetufanyie heri kubwa sana Leo Mpemba anamuona mmbwa MTU Wa unguja Na waunguja anamuona mmbwa MTU Wa Pemba wrote hawa no ndugu

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs63613 жыл бұрын

    Manshaallah mungu akupe afya,tz tumepewa tunu huyu sio rais Zaid ya tunu inshaallah kher.

  • @bernadozmbithi3517
    @bernadozmbithi35173 жыл бұрын

    😢😢mwenyezi mungu akujaalie jahanna fir'daus

  • @aliadam4773
    @aliadam47734 жыл бұрын

    Hongera Mr President for good job umeonyesha upendo mkubwa kwa dini zote. Allah akulinde

  • @himlayzer3543
    @himlayzer35433 жыл бұрын

    Hio ndio azina yako baba mnyezi mungu akusamehe makosa yako baba kwa wema ulo u fanya inshaallah atasameheka mbere ya allah

  • @ahmedjack4135
    @ahmedjack41353 жыл бұрын

    Leo hatuko nawe tena ww magufuliii nenda sana naumia sana babs

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael81583 жыл бұрын

    Tunamshukuru Mungu kwa msikiti mkubwa, mahali pa sala ni mahali pa Mwenyezi Mungu🙏🇹🇿

  • @matsarigi2986
    @matsarigi29863 жыл бұрын

    Wallahi ni shahada tu lakini Allah anajua zaidi. Ewe Mola amrehemu na usamehe madhambi yake yote ya siri na dhahiri 🙏🙏

  • @jimmynassa3439
    @jimmynassa34394 жыл бұрын

    Jpm unanitoa machozi nakupenda sana mwenyezi Mungu akupe afy tele

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Dah inauma sana . Mungu muweke Rais wetu JPM mahali pema peponi.

  • @ZainabAtuli
    @ZainabAtuli4 жыл бұрын

    Masha allah rais wetu mwenye roho nzur, allaah akujaalie kila la kheir m/mungu yupo naww akujaazie barak tutakupenda daima

  • @mohdamour1427

    @mohdamour1427

    4 жыл бұрын

    Alah amjalie hero raisi magufuli alah akujaalie usimamie pia ubaguzi ambao upo viasiwani zanzaibar uondoe uunguja Na upemba hata kwa njia zako zote

  • @ZainabAtuli

    @ZainabAtuli

    4 жыл бұрын

    @@mohdamour1427 Mbona hakuna ubaguz wapendana vzur tuu?

  • @YussufJAli
    @YussufJAli4 жыл бұрын

    Ahsante sana Rais Magufuli: Na sisi waislam tunakuombea kwa Alla kila wakati, Allah akulinde na shari zote na akuongoze ktk njia ya haki.

  • @hanaffitomary5588
    @hanaffitomary55884 жыл бұрын

    Mngeomba chuo cha kiislamu ingekaa sawa ila nampongeza mr presdent kwaimani anayo onyesha kwadini zote mungu ampe gheri naafya njema

  • @mirajiabdallah7131

    @mirajiabdallah7131

    4 жыл бұрын

    sio mbaya hata hili lililofanyika ni jema pia tuseme alhamdulillah

  • @mathiasmsese6128

    @mathiasmsese6128

    4 жыл бұрын

    @@mirajiabdallah7131 chuo kipo morogoro au hujui, nafikiri la msikiti pia ni sawa coz wataingia woote

  • @farajibuteta6258

    @farajibuteta6258

    4 жыл бұрын

    Chuo kipo tyr morogoro

  • @mophatbejoseph880
    @mophatbejoseph8804 жыл бұрын

    Unafanya vizuri mpaka unakera mweshimiwa mungu akupe maisha marefu jpm

  • @rhiophiri9645
    @rhiophiri96454 жыл бұрын

    Doctor President Magufuli am not a Tanzanian but I say u luk fantastic in that regalia,congrats, keep on dressing like that

  • @mugishanasra1919
    @mugishanasra19193 жыл бұрын

    Allah akulinde na adhabu za kaburi uli kuwa mutu muzuri

  • @aliabass9392
    @aliabass93924 жыл бұрын

    Hongera sana baba JP kwa jitihada zako za maendeleo zisizo na ubaguzi wa dini wala kijamii,Inshallah mungu azidi kukuongoza katika haki.

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik12473 жыл бұрын

    Allah anajuaa atapomuekaa🤣🤣🤣

  • @fahmialinoor3043

    @fahmialinoor3043

    3 жыл бұрын

    But mbona umecheka

  • @filyakusimsigwa7954
    @filyakusimsigwa79544 жыл бұрын

    Mm ni mkristo kama wewe Rais wetu mzuri magufuri kwa hili ulilolifanya Mungu wa mbinguni akubariki sana

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    Amina, hata mimi nimefurahi. Sasa sijui wanavyo tuitaga kafiri, hapa leo wamenyamaza

  • @munajafu3080
    @munajafu30803 жыл бұрын

    Daar inauma sanaaa jpm wee nimeshakumiss jamani mimi mbona nalia ivii

  • @ramadhanihamisi1049
    @ramadhanihamisi10494 жыл бұрын

    Duuh kusema na ukweli ccm siipendi Ila magu annifanya niipende na inshallah tunasubir dhahir yake tu pengine anaswal kwa siri

  • @ramadhanihamisi1049

    @ramadhanihamisi1049

    4 жыл бұрын

    Athante

  • @abdikhalif763

    @abdikhalif763

    4 жыл бұрын

    Ukweli kabisa

  • @rosemongi5273
    @rosemongi52733 жыл бұрын

    Ukitaka kumjua anae mheshimu mungu tazama matendo yake ,kaondoka bila chochote ila matendo yake mema aliyo yafanya dunian yata ambatana nae na hiyo ndio amali njema, tujifunze kupitia yeye.

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya85374 жыл бұрын

    HACHAGUI WALA HABAGUI,BINADAMU(WATANZANIA) WOTE NI NDUGU.TUPENDANE WAKRISTO NA WAISLAMU.TUDUMISHE UNDUGU NA WALA TUSIBAGUANE. MAGUFULI UBARIKIWE

  • @ibrahimmussaali2986

    @ibrahimmussaali2986

    4 жыл бұрын

    Hakuna mapenzi wewe kati ya waisilamu na wakiristo kafiri kafiri tu hata afanye nini kwamungu hanasamani

  • @ibrahimmussaali2986

    @ibrahimmussaali2986

    4 жыл бұрын

    Ila kwa mashekhe wanopenda sifa za dunia huwaingiza nakafiri peponi mungu kasema kuambia makafiri kupitia mtume muhamadi a.w.s kulyaayuha a lkafirun. Wambie enyimakafiri Mimi siliabudiii mnacho kiabudu wala nyinyi hamukiabudu ninacho kiabudu Nini mnadini yenu na sisi tuna dini yetu

  • @ibrahimmussaali2986

    @ibrahimmussaali2986

    4 жыл бұрын

    Na mungu atawachoma wanowakumbatia makafiri

  • @insteinjonga6651

    @insteinjonga6651

    4 жыл бұрын

    @@ibrahimmussaali2986 kafiri ni nani kwa mujibu wa imani yako hiyo ya makkah?

  • @aminamohd604

    @aminamohd604

    4 жыл бұрын

    @@ibrahimmussaali2986 sio vizuri kuwaita wenzio makafiri je wewe unaijua kesho yako au mwenzetu umeshapewa pepo hukuhuku duniani na umepewa mamlaka ya kuwatia motoni wenzio,unataka kuniambia wewe haushirikiani na wakristo na wala hauongei nao kama unavifanya hivyo vitu basi wewe ni mnafiki

  • @samanthaali873
    @samanthaali8734 жыл бұрын

    Allahu Akbr mola amjaalie siku moja atamie shahada in sha Allah

  • @salimhusseni4784

    @salimhusseni4784

    4 жыл бұрын

    InshaAllah

  • @erastofrancis684
    @erastofrancis6844 жыл бұрын

    Ubarikiwe mh raisi wetu ishallah udum daima amin

  • @kibwanabundi511

    @kibwanabundi511

    4 жыл бұрын

    Muombeni awatowe wale mashekhe gerezani

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    Amin Allah amjalie umri wenye afya njema

  • @hamzakiba9971
    @hamzakiba99714 жыл бұрын

    Allah akujalie na moyo huo huo rais wet Allah akupe nguvu insha Allah naakuwezeshe uslimu warallah maan umependez sna

  • @mussathomas1460
    @mussathomas14604 жыл бұрын

    Tunamuomba Allah amuongoze rais wetu katika uislaam.... Amin

  • @philimonkitosi6203
    @philimonkitosi62033 жыл бұрын

    Nitamlilia ndugu laisi magufuri kwakufanya kazi sana kwasababu ndiyo ujumbe wake mkubwa namimi naamini tukifanya kazikubwa sisi watanzania tutakuwa tumemuezi ndugu yetu magufuri ambae alikuwa laisi wetu mungu amuweke mahala pema peponi Amina

  • @fama0043
    @fama00434 жыл бұрын

    Wow what a beautiful mosque u will feel like ur in Rabat morroco God bless u magufuli .

  • @Struckmoha
    @Struckmoha4 жыл бұрын

    Allahu Akbar! Rais Magufuli Allah SW atakuongoza ktk maisha yako hapa duniani na akuonyeshe njia ya haki itakayo kuingiza peponi. InshaAllah. Huku Uhuru anatupa masharti mazito ya kufungua misikiti Allah tuongozee na huyu wetu pia awe na huruma na wananchi wake na kutenda haki na usawa bila ukabila , dini au rangi.

  • @bin2_hassanhassan499
    @bin2_hassanhassan4994 жыл бұрын

    Mashalah mashalah hapa wa tanzania wamepata raisi wa kweli mungu amzidishie hongra sana

  • @Ikbal.D
    @Ikbal.D3 жыл бұрын

    المعمار المغربي لا يعلى عليه، تحية للصانع التقليدي المغربي⁦👍🏻⁩💕⁦🇲🇦⁩

  • @omarysalim2959
    @omarysalim29594 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akuongoze na moyo huo huo raisi wetu

  • @afzalabdulshakur8561
    @afzalabdulshakur85614 жыл бұрын

    TUNASHUKURU MUNGU KWA KUTULETEA KIONGOZI KAMA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI TUKO PAMOJA KAMA WATÀNZANIA NA RAISI WA WATANZANIA TUNAKUOMBEA

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud43284 жыл бұрын

    Mheshimiwa Rais Magufuli hongera sana sannnaaa sannnaaa Allah akuongoze katika njia iliyonyooka Allah akujaalie uingie katika uislam dini ya kweli ya hakki tumefyrahi saaannnnnaa kwa ulicho tufanyia Allah akulinde akuhifadhi akustiri na kila baya lisikufike ulicho kifanya nikikubwa saaaannnnaaaa yaani hadi mwili unanisisimka kwa kuona japo zitto ulolifanya hongera sana tunakupenda wazanzibar tulipo nje ya tanzania yetu

  • @hirymwanze7094
    @hirymwanze70944 жыл бұрын

    ,may Allah show you the right path Mr President Magufuli inshallah

  • @abubakarkada3083
    @abubakarkada30834 жыл бұрын

    Kwa hilo lazima tushukuru sana!Allah akuzidishie iman ufanye zaidi ya hapo

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest97923 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah. Mungu akuifazi uko ulipo baba.tusha kumisi😓❤🤲🤲🤲

  • @yaumirakateni9927
    @yaumirakateni99274 жыл бұрын

    Mungu akuongoze, uje kuijua haki, uwe muislam

  • @alexthobias3755
    @alexthobias37554 жыл бұрын

    Dini hii naipenda sana japo me mkristu

  • @aliabdallah5183

    @aliabdallah5183

    4 жыл бұрын

    Slimu uwingie kwenye uwislam

  • @yaninashebe4307

    @yaninashebe4307

    4 жыл бұрын

    Karibu katika uislam ndugu

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein40194 жыл бұрын

    Magufuli kapendaza mashallah .

  • @yassinm69
    @yassinm694 жыл бұрын

    Jamani Magu jembe sijawahi kuona

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын

    Allah akupe kauli thabit na akusamehe madhambi yako..akutanulie kaburi lako alifanye liwe moja za uwanja wa peponi inshaAllah... Wewe ndio mkiristo wa kwanza kuwaonea huruma waisilamu na kuwajengea msikiti mkubwa Afrika mashariki hakuna...mungu akupe mwanga wa milele, akupeleke mbingu ya saba.

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51044 жыл бұрын

    Mashallah Allah Akujalie uwe mwislam ishallah

  • @stevenclaud6648

    @stevenclaud6648

    4 жыл бұрын

    Kwan mpka awe muislam tu acha hizo wewe

  • @albertjames6845

    @albertjames6845

    4 жыл бұрын

    😁

  • @hassanmirambo564

    @hassanmirambo564

    4 жыл бұрын

    Steven Claud siyo tatizo nawe unatakiwa uendelee kumuomba YESU ili JPM abaki kwenye Ukristu

  • @mwatumsaidi5104

    @mwatumsaidi5104

    4 жыл бұрын

    @@hassanmirambo564 asante

  • @mwatumsaidi5104

    @mwatumsaidi5104

    4 жыл бұрын

    @@stevenclaud6648 nawewe mungu akujalie uwe muislam ishallah

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar49084 жыл бұрын

    Allah Akbar MashaAllah Rais wetu Mungu atakulipa maana yeye ndie anaepanga kila mja anampa atakalo yeye mwenye Dunia Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae

  • @saidsoud5967
    @saidsoud59674 жыл бұрын

    Mungu akujaalie uingie ktk uislamu

  • @najmanajma-4765
    @najmanajma-47654 жыл бұрын

    MashAllah Mh rais Mungu akuongoze katika njia ilonyooka na akuepushe na maradhi na akujalie mwisho mwema

  • @habibujuma8599

    @habibujuma8599

    4 жыл бұрын

    Ndo huo huo jeny yusuph, ndo karud kukagua kwa kushtukiza, mungu akupe maisha marefu inshallah

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Tunashukuru mzee magufuli kwa jitihada zako nakuombea usilimu upate mema zaidi.

  • @mulangilakabwarebenson5128

    @mulangilakabwarebenson5128

    4 жыл бұрын

    Seleman Kishema Yani ubaguzi umekutawala

  • @darweshilacha3019
    @darweshilacha30194 жыл бұрын

    Msikiti ni mzuri mashaallah tatizo liko kwa hao watakaokabidhiwa huo msikiti

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    ZTATIZO LIKO WAP KWAN UNALIWA TARAHA MTU ATAUCHUKUA AENDE NAO NYUMBAN KWAKE

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma19693 жыл бұрын

    Kwakweli mm kila nikiona video hizi najikuta natoka machozi dah mungu akupumzishe kwa salama

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭mwenyezi mungu muweke peponi Huyu raisiwetu yarabby

  • @kudrawanguvu5923
    @kudrawanguvu59233 жыл бұрын

    M/Mungu akubal amal yeyote ya mwenye kumshirikisha. ukifanya mambo mema na unamfanyia M/Mungu mshirika utalipwa haha dunia kwa kupewa mazur ktk dunia hii lakin ukisha kufa huna malipo na hayo yote kasema yeye M/Mungu ktk kitabu chake Qur-an sasa wewe kazana kwa kubisha na yeye M/Mungu kwa kufata mihemuko ya watu wakati kaburini uko peke yako ktk hesabu upo peke yako na umejifatia dini zilizo fanyiwa modification unafanya upinzani hutaki kusoma kutafuta ukweli. usia wangu Utafute ukweli wa ipi ni imani ilio sahih.

  • @kittygirlarmy2651
    @kittygirlarmy26513 жыл бұрын

    Subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah make it real for he's last wish Allah will forgive he's since he respect muslim ummati muhammad scw scw scw

  • @salem9874
    @salem98744 жыл бұрын

    Mashallah Rais wetu unapendeza uwe Muslim

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 Жыл бұрын

    Asalaam alaikyum watanzania na waislaam kwa ujumla itafutwe siku maalum ya kumuombea duwa kwa kazi kubwa aliyowafanyia watanzania na uislaam kwa ujumla mungu amuweke Mahalia pema peponi

  • @kahmardintebe9266

    @kahmardintebe9266

    Жыл бұрын

    Jpm

  • @hassanimussa654
    @hassanimussa6544 жыл бұрын

    Mashallah Allah akujalie kila lakher mh rais iki ulicho kifanya nichakuigwa sana na huto yaona manufaa yake apa dunian ila cku ukiwa akhera inshaallah utayaona manufaa ya kujenga nyumba ya kumuabudu Allah Allah akupe moyo waiman mh maguful

  • @hamzaally2246
    @hamzaally22463 жыл бұрын

    Allah akupe tahfifu huko uliko baba yetu

  • @phabianndenya4945
    @phabianndenya49454 жыл бұрын

    Ahsante mh JPM kwa upendo ulionao kwa wa Tanzanian wote bila kubagua dini, kabila binafsi nakuombea maisha marefu na yenye afya wa Tanzanian tunakupenda baba

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy4 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu za kabri,na akujaalie pepo, in sha Allah

  • @lungusii
    @lungusii4 жыл бұрын

    Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar!!!!

  • @abdullahmhina2207
    @abdullahmhina2207 Жыл бұрын

    Inalilah waina ilah rajiun Allah akuepushe na dhambi ulizo chuma InshaAllah akujalie pepo

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Ai hivi huo misikiti ndio ule ambao aliahidi nitarudi kukagua?

  • @niaanthony9588

    @niaanthony9588

    4 жыл бұрын

    Yeah ndo huo aisee

  • @sleymansleyman9511

    @sleymansleyman9511

    4 жыл бұрын

    Mashallah mh rais Allah akupe maisha marefu nayenye baraka tele inshallah.

  • @khamisconvoy6798

    @khamisconvoy6798

    4 жыл бұрын

    Mm taka afanye awatowe mashehe wa Zanzibar

  • @maikosaga3632

    @maikosaga3632

    4 жыл бұрын

    @@khamisconvoy6798 ni kweli kabisa sio kuzindua misikiti tu

  • @douglasjackson373

    @douglasjackson373

    4 жыл бұрын

    jeny yusuph Kwani walifungwa kipindi cha Magufuli?@Khamis Convoy

  • @suleimanhemed9543
    @suleimanhemed95434 жыл бұрын

    Mhe rais wetu Allah akuongoze ktk kuijua hakki na uifuate... Umependeza sana.

  • @abdillahmsouth2784
    @abdillahmsouth27844 жыл бұрын

    Mashaallah mungu akuzidishie kila LA heri ktk kazi zako

  • @othmanali6409
    @othmanali64094 жыл бұрын

    Mr Magu yani mimi napenda sana harakati zako .laiti ningekua natia kura basi ningekuchagua wewe hata mara ngapi ..I have never seen president like you particularly in Africa I really appreciate ..ihdi naswiratwa l,mustaqiim .allahuma amin

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv10674 жыл бұрын

    Mashaallah safi sana

  • @hmanyinja
    @hmanyinja3 жыл бұрын

    Innah lilah waina lilah rajoun!!

  • @YussufJAli
    @YussufJAli4 жыл бұрын

    Una uoni wa mbali Mheshimiwa Rais. Allah akuoneshe njia na akuafikishe kuifuata.

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein40194 жыл бұрын

    Beautiful mosque.. beautiful people mashallah ❤

  • @jumamzee6999
    @jumamzee69994 жыл бұрын

    Allah akujaalie uwe Muislamu Ameen. Kwa haya unavojitahidi na ukweli wako usio na shaka

  • @siamnyone8403

    @siamnyone8403

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣utasubr sana

  • @ismailchilonga2878
    @ismailchilonga28783 жыл бұрын

    Daah yaaani hakika mwenyezi mungu nimkubwa huzima nuru na umchukua amnatakaye

  • @nemambelwa142
    @nemambelwa1423 жыл бұрын

    Hakika hakuna Wa kuziba nafasi yako ulikuwa una matendo ya tofauti Sana hakika Kama ulijua huna maisha marefu hapa duniani basi ukayatenda mema kadri ya uwezo wako tena kwa haraka Sana Eeeh! Allah mlipe makazi mema Mpendwa Raisi wetu Magufuli alikuwa Hana ubaguzi Wa dini alitupenda wote sawa msamehe kwa lolote lile alilokukosea Yaa Rabbi tutamkumbuka daima ametuachia Mengi mazuri kwa upendo wake

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Alhamdulillah wakati rais wa India akitoa amri misikiti ichomwe na waislaam wauliwe sisi rais wetu anatujengea misikiti Alhamdulillah Allah amuhifadhi amuongoze njia iliyonyooka