IDRISS AFUNGUKA ILIVYOKUWA NA WEMA KOREA AKATAA HAJAMALIZA HELA ZAKE ZA BIG BROTHER

Пікірлер: 21

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu490518 күн бұрын

    Nice, hata akiteuliwa kuwa waziri au mkuu wa wilaya, sina shida

  • @user-uo1zx4yu1z
    @user-uo1zx4yu1z19 күн бұрын

    Nilimsikia Steve anasema waende kujifunza wapate Elimu kwangu naona ni ujinga ni bora waje walimu huku huku Tanzania watoe Elimu kwa wengi na sio kuchukua watu wawili watatu kwa gharama

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid737119 күн бұрын

    Aliisemea hiyo perfume jamaniiii😂😂😂

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu17 күн бұрын

    Mama Samia anachezea pesa za walipa kodi

  • @josephk90
    @josephk9019 күн бұрын

    Ila Vido punguzaga maswali ya kimbeya bhana, mbona maswali ya kujenga yapo mengi tu😢

  • @alkhudhertarek976

    @alkhudhertarek976

    19 күн бұрын

    Bora umeongea

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro517419 күн бұрын

    Kwani huko big brother alipata sh.ngapi? Japo hela hizo hazikaagi ni za mauza uza tu.

  • @josephk90

    @josephk90

    19 күн бұрын

    Alipata 600 milioni ila ziliisha zote.

  • @sophiakimaro5174

    @sophiakimaro5174

    19 күн бұрын

    Mil.600 zilikuwa za Uganda au tz?pesa kama hizo ukizipata unafanya matukio faster hazidumugi ni kam za migodini

  • @ErnestJosephat

    @ErnestJosephat

    19 күн бұрын

    @@sophiakimaro5174HELA INATEGEMEANA NA MTU!!KAMA AKILI YAKO IKO FASTER PESA INAENDA HVYO HVYO !!KUNA WATU WANAPATA B3 ila Hiezi jua kama anahela anaishi vile vile

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n19 күн бұрын

    Shemeji wake kwa chibaba😂😂😂

  • @salmamaulidy6459
    @salmamaulidy645919 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @faiza4072
    @faiza407219 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n19 күн бұрын

    ❤❤❤idriss muoe dada wema

  • @Kabwela776
    @Kabwela77619 күн бұрын

    Huyu dogo Pumba kabisa sijui ni mzaramo au mndengereko yaani unapata hela nyingi za big Brother halafu unaendelea kuwa Mavi na ushunzi

  • @SharifaOmary-ui8vs

    @SharifaOmary-ui8vs

    19 күн бұрын

    Ww ndio pumba

  • @user-xc1vv5ut3l

    @user-xc1vv5ut3l

    19 күн бұрын

    Kweli iina limeendana na akili zako k😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelmchomvu2676

    @emmanuelmchomvu2676

    19 күн бұрын

    Ww hela zko umefnyia nn au mdomo tu kma demu

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    18 күн бұрын

    @@SharifaOmary-ui8vs zezeta huyo hamna kitu

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    18 күн бұрын

    @@emmanuelmchomvu2676 Niko vizuri sio huyo Mavi yaani mahela kibao na Leo ni lofa tu

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti19 күн бұрын

    😂😂😂😂

Келесі