HANSTONE AFUNGUKA A-Z SABABU ZA KUJIONDOA WCB WASAFI! | NILIKOSA AMANI! | KUANDIKIA NYIMBO ZA WASAFi
Жүктеу.....
Пікірлер: 116
@user-jq1ny9lx4e3 ай бұрын
This man is dangerous ,i encourage any one ainvest kwa huyu kijana anashauku kuonyesha umma uwezo wake anajua sana sana
@bmbprocess23623 ай бұрын
My favorite artist from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@muksinjuma4685
2 ай бұрын
Bmb 😂😂
@badmanno.16503 ай бұрын
Hanstone ana kitu kikubwa.. avumilie kama Jay melody.. his time is coming.. namtabiria makubwa.
@user-pt9vm4vd1d2 ай бұрын
Anaweza sana Wachia mangoma uone mwenetu
@toneboytz66553 ай бұрын
Hanston nakubal san ❤❤❤🎉
@nyweleboy28323 ай бұрын
Sijakuona siku nyingi adamu kumbe udingiiii tayari ushatukumba kaka one love
@shamsally62773 ай бұрын
Good interview shout out,..goodboy hanstone usivunjike moyo kaka
@online22882 ай бұрын
Ilikuwa bado mda wakutanganza ivyo ni vipimo vya watu kujua kama unauvumilivu mbn wengine wanaenda ma wengi kiliko wanao lalamila
@Cu_ltu_re2 ай бұрын
For the first ni ngumu kuzingatia mkataba the time unatoka mavumbini mtaani huna shilingi mia and you want the platform maybe second time 🎯
@MJB-Africa3 ай бұрын
Focus,focus, focus
@Djugaripro3 ай бұрын
sasa kuna ile mtu umemsumea mkata ukishamuelezea mkataba unasemaje ataona kama umatakihi liziki bongo sio watu wazuli yakishamkuta ya mkumkuta ndo anakumbuka
@davidibrahim91383 ай бұрын
Huyu asingefika popote Bora WCB walivomtema,angewasumbuwa sana discipline yake ipo chini sana ,huyu ndio wale shida ake asaidiwe alafu avimbe baadae sio wa kujuwa jinsi alivosaidiwa kutoboa
@MTOTOWAvitoto
2 ай бұрын
Ashawahi kukuvunjia despline KWa style yeyote??
@saidowsaidon46252 ай бұрын
Wasanii wote wa WSB wakisania ndo mda ule unatambulishwa kwa wew mbna ni tofauti huo itakua ni uongo😢😢😢
@radikallambo4913 ай бұрын
Bangi Zinamtesa
@kizzasadamj6293 ай бұрын
😂😂 alikua amesainia au alikua ameletwa kwanza aagalie kama anauezo😂😂 Huyu kuna kitu kaficha😂😂
@nasibuomary79812 ай бұрын
Kipaji unacho lkn WCB Ni kama Shule...kuna vitu ulikuwa umekosa kwny mziki so walitaka uwe Sawa kwny vipengele muhimu vya uimbaji then ndo wakutoe ....sio Leo wakutangaze unatoa heatsong 1 ndo BC Tena unatoa maboko...kiufupi ni lazima UPIKWE utengenezwe vzr uiveeee!
@silabtechnology2 ай бұрын
Kwaio Toka ametoka io 2021 vp ameshatoboa au ameshatoa hits
@wizzykada9850
2 ай бұрын
Aliamia kutulia aondokane na Ile stress Nd maan hata interviews hakuzitafuta Kwa MDA ule
@svt3
2 ай бұрын
@@wizzykada9850Aston ni Rubby wa kiume na ni Q chief mtarajiwa
@napster25582 ай бұрын
Nidhamu mtu wangu😂😂
@jobizzotv24152 ай бұрын
Ila wabongo Wana penda sana kuua ukweli na kuukuza uongo kua kweli..... stone boy ni kati ya ukweli 🎉
@josephmakuri57243 ай бұрын
Kuna watu wanafanya kazi miaka mitano hawalipwi lakini leo wametoboa
@salessliquor9519
2 ай бұрын
Sasa miaka hiyo na familia zetu na maendeleo binafsi inakuaje kaka si mtakufa njaa
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Wewe Umekaa Miaka Mingapi Bira Kulipwa Embu Tuambie Mana Usiongee Tu Kama Shabiki Wa Wcb
@josephmakuri5724
2 ай бұрын
@@salessliquor9519 kipimo cha maisha ni uvumilivu bro hakuna mafanikio yanayopatikana kirahisi keep it in your mind 🤨
@josephmakuri5724
2 ай бұрын
@@officiallnobystar sijui hata nikujibu nini kwasababu kwa muonekano tu unaonekana wewe sio hasira ila bado hujapitia zile changamoto ngumu za maisha ukatamani hata ufe so nikikujibu ntakuwa nimekupa kitu cha ziada ambacho sio hata uwezo wako 🤔UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA WEWE ZAKO TIA MAJI 🤫LEARN.....
@arjunaking55952 ай бұрын
asee mbn jamaa wanauliza maswali ya kigombanishi
@rajabdibwa64153 ай бұрын
Nidhamu ni kitu muhimu katika kila kitu.kijana yuko sawa sema yuko na haraka kutoka.Awe mvumilivu tu bila hivyo atapotea.
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Hiyo ndio shida yavijana wengi wasasa hat maofisn wapo mtu akifanya kaz mwaka tu anatak amilik nyumba gar n.k.
@ndarnationsoundtz2 ай бұрын
Nyie amna akili wote apo machoko tuu asa wavuta banging et ndo watangazaji
@msowamhokole77143 ай бұрын
Pole hans mungu atakukuongoza
@RAZAKIMMALINDA2 ай бұрын
Mbn kama hajui anachojibu uyu dogo 😂😂😂😂
@ben_digital
2 ай бұрын
Kuna vitu anakwepesha kuviongea
@swahilifoodtz64462 ай бұрын
Muongo uyo kabisaa
@kizzasadamj6293 ай бұрын
Na alijuaje vitu muhimu vyiko page gani kama hakupitia mukataba woote😂😂😂 Clouds hivyo ndo munavyotaka wakia wanaponda WCB😂😂
@online22882 ай бұрын
Haston akuwa na uvumilivu
@nasibuomary79812 ай бұрын
Ttz vijana tunayachukulia poa Sana mafanikio...mafanikio hayaji kwa haraka km Unavyotaka ikitokea n bahat 2 Mipango ya Allah! Mwenzio Zuchu amekaa miaka mingapi mpaka kutolewa? Wa2 mpaka wameona kipaji chako na wakakuhitaji kibiashara maanayake wap wenyew wanahitaji ufanikiwe na wap wapate pesa...so hawakuwa wajinga.
@SaidSaid-ef8md3 ай бұрын
Mtoto wakike unatakiwa urelax kidogo, unaingia kwenye kila anaeongea kuna kasauti chako kikali sana. Vizuri uelewe kuna vidume vitatu apo vinaongea just take your time sis. Relax 👋
@Jonathanmakhubela-kb6lz
2 ай бұрын
stop shit ameekwa kwa hilo wewe sio mwalimu wa waandishi wa habari wewe ni mtu tu na bando lake.. 😀😀
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Mina ally Ni mtangazaji mzuri kuriko ata ware wanawke
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Mina ally Ni mtangazaji mzuri Sana kuriko ata hao wanaume
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Na ikumbukwe mina Yuko kazini usirete mambo ya ushamba kishamba razima aongeye usimpangie
@Jostany3 ай бұрын
Msieke comment za kumkandamiza Jamaa Muziki una mambo mengi
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Sio muzk tu maisha kiujumla shida ni nyingi kuliko urahis muhim kuvumilia nakutafta namna yakutatua ila wengi tunajiangalia sisi tu
@svt3
2 ай бұрын
@Jostany sio music tu maisha kwa ujumla ina mambo mengi ila nidhamu na uvumilivu vinahitajika saaana
@amanichidyboy29003 ай бұрын
Tunapenda mdogo wetu
@shanatatrigger65372 ай бұрын
Sasa kijana anasema alikuwa hajaliwi kwamb it's means aliona anacheleweshwa kwan sahiz anapata nini😂😂😂😂
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Alijitoa Aishi Kwa Amani Tu Sio Hivyo Unavyo Fikilia Na Usiombe Ukae Sehemu Ina Pesa Alafu Wakuombe Pesa Useme Una Apo Utajua Ujui
@eladiuspeter5863 ай бұрын
Ww ulindwa uvumilivu bro, Leo ungekua Tajiri
@user-mb3xq1do3s
3 ай бұрын
Miaka mitatu?
@eladiuspeter586
3 ай бұрын
@@user-mb3xq1do3s 2019 had 2021 sio miaka mitatu. just imag6 2019 mwezi wa 12 had 2021 mwezi wa kwanza ni mwaka mmoja tu. So hyo isikuchanganye. Na miaka mitatu sio Mingi kwa pale WCB , harmonize alisubr miaka mitatu leo ni namba mbl nchini Rayvany leo ni namba tatu kama sio nne, Waliowatanguliwa wapo wapi??
@@FahadAbubakari Sasa huoni huyu hanstone ana kipaji kuliko wao,?? Utamfananisha Hanstone na queen darling??
@rajabdibwa6415
3 ай бұрын
Zuchu alikua miaka minne@@user-mb3xq1do3s
@JoshuaNakonje3 ай бұрын
Azikiwe bila nidhamu uwezi finally popote
@muksinimbaruku1233
3 ай бұрын
Kupoteza muda pia ni ukosefu wa nidhamu, so yeye ananidhamu
@lobistyprecoz44403 ай бұрын
Uyu mtoto yupo vzr kuliko yule mwimba singer
@frankngoloka2589
3 ай бұрын
Lakini mwimba singeli anajina kuliko yeye,Ni watu tu walimdanganya kimoyoni anajutia maamuzi yake,Mziki bila hela hakuna kitu
@ricklandennis
3 ай бұрын
Ana jina je ana hela@@frankngoloka2589
@sunwizy608
3 ай бұрын
@@frankngoloka2589chono wana man leo mbna anatamba acha uwongo ww kipaji tu
@khadjamhozya2 ай бұрын
Kipaji unacho arakini ungevumiria mbona ibula amekaa kond geng kwakuvumiria,kipaji unamzidi ata dvoice sema ,ndo hivyo haraka zako, na saivi ndo hutasikika kabisa Kama mavoko na wengineo
@MTOTOWAvitoto
2 ай бұрын
Ibrah ni ibrah na hans ni Hans halafu njia ziko tofauti za mafanikio ya MTU pia,,sio alichopitia Ibrah lazima na hanstone apitie inabidi utambue hiko pia
@zeelamaokoto0013 ай бұрын
KAKA ANGEBAKI KWA ABBA NOW ANGEKUA MNYAMA SANA
@giztony20093 ай бұрын
Shida ya adam ni bangiii
@neziajoseph97263 ай бұрын
Kama unataka kujua ukweli zaidi basi muulize Rich Mavoko namaanisha aulizwe msanii anayetoka nje ya wbc kuingia pale... jamaa Wana roho mbaya sana
@subo2667
2 ай бұрын
We ulivyoongea naye alikwambiaje,,?
@MateiPs-kr9tg2 ай бұрын
Hanston ile ngoma na abbah vp imeishia wap?
@michaelbwoma27603 ай бұрын
Hawa WCB wanachungulia nyota wakiona atafunika mtoto wao unavutwa unafyonzwa unatupwa
@wazinzatv3152
3 ай бұрын
Mhhh😮
@MwinyidadiJuma-jl4gm
2 ай бұрын
Akili zako za usiku
@nasibuomary7981
2 ай бұрын
Acha kuongea pumba ww hujitambui! WCB wanamtoto kusema kunifika mtoto wao? Wanachoangalia kipaji na uwezo...kuna wasanii wangapi pale mbn huwazi kama watafunikana? Kila MTU na nafac yake watu wanahitaji kuingiza pesa tu kupitia kipaji chako maswala ya nyota usenge huo acha ujinga bhn!
@Mina.15
2 ай бұрын
@@MwinyidadiJuma-jl4gm😂😂😂😂 na zako za asubui
@solomonadams6337
2 ай бұрын
you mean Zuchuuuuh¿
@mariajumaaa3 ай бұрын
bongo hapa wasani wa generation hii wanajua afu watu awawapi nafasi ni hanstone na ivorange
@frankmhina_
2 ай бұрын
Kabisa Ivorange ni noma
@neemacute
2 ай бұрын
ivorange alie imba nimekumis nae yuko moto sana
@neemacute
2 ай бұрын
kuna wasanii kama ao hanstone,Ivorange akina vanilla wakipewa nafasi na wafanzania kuna vipaji vikubwa vitaonekana
@GastonMkinga2 ай бұрын
Amn k2 apo
@user-nq4md3sj6d2 ай бұрын
WCB ni taasisi kubwa, hawawezi tu wakutambulishe kumbe vile ni mtu wa tamaa, adabu yako mbaya, na hivyo ndivyo vijana wa siku hizi hawana.. kiufupi huyu HASTONE alikosa uvumilivu wa kukaa pale
@MohamedChenge2 ай бұрын
Hawa ndiomaana wanapuyanga , yaani majigambo ndo yanawakost
@Platwhite_Tz2 ай бұрын
Hakuna maisha mazuri bila uvumilivu usha feli kaka😅
@pavlotz8084
2 ай бұрын
Hujui
@user-sz8ic2tm7n3 ай бұрын
Huyu dogo kuna kitu anavuta km si unga bangi
@khadjamhozya2 ай бұрын
Huyu mtoto anakipaji Sana
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Kipaji bila uvumilivu haisaidii hat huk maofisin kun miez yakuangaliw utendaj wak na utakuta wataokuchukia na watakaokupenda ww ndio ujue utaish nao vp akili kichwan mwako.
@arjunaking55952 ай бұрын
zuchu kakaaa miakaa sabaa
@britonkanumba68283 ай бұрын
UkisikilizA vizuri utagundua hana adabu
@RomanMwinyi
3 ай бұрын
Nyinyi ndo wakanda mizaji mnauwa vopaji kwa wivuuu
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Acha Vivu Kk Wewe Unaweza Kaa Undel Sehemu Bila Malipo Ya Kujikimu Kidogo Ama Unakurupuka Kusema Kwasababu Ndio Team Wcb
@Bichukahassan2 ай бұрын
😂😂😂kwenda unaakili ww ujitambuiih bwenge ww ujuwi ata kuongeea yan usainiwe alafu ujuwi alikuwa anakusamamia duuh usiwe unaongea maana ujuwi unachafuwa lebo ya nasbu matako yako
@user-op1hc2ds8y2 ай бұрын
ARV Badala ya VAR😂😂😂
@msowamhokole77143 ай бұрын
Hans unakula unamoka
@user-pt9vm4vd1d2 ай бұрын
Wcb wananyonya nyota
@MarkSulle-yg5lt3 ай бұрын
Me mtu mmoja aje anambie tu iyo background ni wimbo gani huo tafadhali
@prilorybhoi3143
3 ай бұрын
Nampa pole!
@user-xk6ry2uv1g
2 ай бұрын
Hanstone nampa pole background sound
@ibthuutz3 ай бұрын
Kijana anajua sana kuimba bt nidhamu yake ni ndogo!!! Media nazo zinajua kuvuruga asee!!! Shame on you Clouds!!!
@pavlotz8084
2 ай бұрын
Hujui
@JoshuaNakonje3 ай бұрын
Maisha bila nidhamu uwezi fika popote
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Sahih kabisa
@kizzasadamj6293 ай бұрын
1. Amesema hakupea chochote chakujikimu mbona D-voice alipea? 2. Amesema aliandika nyimbo nyingi lakin hazikutolea, D-voice aliadika 30 songs lakin zilichagulia mbiri tu. Watu wigine mjaribu kukubari kwamba bahati haitokee kila wakati. Eti kibonge ilikua hiti song😂😂?
@wizzykada9850
2 ай бұрын
D voice miezi 6 kasainiwa Stone bway miaka mitatu sio riziki
@arnaldo73193 ай бұрын
WCB hawana kosa lolote,ila hanstone kakosa kuwa na suubira kwasababu kwake yeye anajiona ni star, kwaio kuto kua na jero mfkoni ni shita, chapa kazi utafika unaptaka, ila anakiburi sana swala la kwamba mama na mtoto wake ilo swala limekaa kijeuri sana
@RomanMwinyi
3 ай бұрын
Wcb jauuu wa binafii waleee chiziii weee adi uwe mramba lipsii
@arnaldo7319
3 ай бұрын
@@RomanMwinyi inawezekana sitaki kuamini wala kukubali kwasababu siwajui kiundani, ila Hanstone inabidi awe smart ajuwe kuongea vizuri maana ana kaujeri flani ambao utamwaribia kiasi flani na watu wengine kuogopa kumsaidia
Пікірлер: 116
This man is dangerous ,i encourage any one ainvest kwa huyu kijana anashauku kuonyesha umma uwezo wake anajua sana sana
My favorite artist from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@muksinjuma4685
2 ай бұрын
Bmb 😂😂
Hanstone ana kitu kikubwa.. avumilie kama Jay melody.. his time is coming.. namtabiria makubwa.
Anaweza sana Wachia mangoma uone mwenetu
Hanston nakubal san ❤❤❤🎉
Sijakuona siku nyingi adamu kumbe udingiiii tayari ushatukumba kaka one love
Good interview shout out,..goodboy hanstone usivunjike moyo kaka
Ilikuwa bado mda wakutanganza ivyo ni vipimo vya watu kujua kama unauvumilivu mbn wengine wanaenda ma wengi kiliko wanao lalamila
For the first ni ngumu kuzingatia mkataba the time unatoka mavumbini mtaani huna shilingi mia and you want the platform maybe second time 🎯
Focus,focus, focus
sasa kuna ile mtu umemsumea mkata ukishamuelezea mkataba unasemaje ataona kama umatakihi liziki bongo sio watu wazuli yakishamkuta ya mkumkuta ndo anakumbuka
Huyu asingefika popote Bora WCB walivomtema,angewasumbuwa sana discipline yake ipo chini sana ,huyu ndio wale shida ake asaidiwe alafu avimbe baadae sio wa kujuwa jinsi alivosaidiwa kutoboa
@MTOTOWAvitoto
2 ай бұрын
Ashawahi kukuvunjia despline KWa style yeyote??
Wasanii wote wa WSB wakisania ndo mda ule unatambulishwa kwa wew mbna ni tofauti huo itakua ni uongo😢😢😢
Bangi Zinamtesa
😂😂 alikua amesainia au alikua ameletwa kwanza aagalie kama anauezo😂😂 Huyu kuna kitu kaficha😂😂
Kipaji unacho lkn WCB Ni kama Shule...kuna vitu ulikuwa umekosa kwny mziki so walitaka uwe Sawa kwny vipengele muhimu vya uimbaji then ndo wakutoe ....sio Leo wakutangaze unatoa heatsong 1 ndo BC Tena unatoa maboko...kiufupi ni lazima UPIKWE utengenezwe vzr uiveeee!
Kwaio Toka ametoka io 2021 vp ameshatoboa au ameshatoa hits
@wizzykada9850
2 ай бұрын
Aliamia kutulia aondokane na Ile stress Nd maan hata interviews hakuzitafuta Kwa MDA ule
@svt3
2 ай бұрын
@@wizzykada9850Aston ni Rubby wa kiume na ni Q chief mtarajiwa
Nidhamu mtu wangu😂😂
Ila wabongo Wana penda sana kuua ukweli na kuukuza uongo kua kweli..... stone boy ni kati ya ukweli 🎉
Kuna watu wanafanya kazi miaka mitano hawalipwi lakini leo wametoboa
@salessliquor9519
2 ай бұрын
Sasa miaka hiyo na familia zetu na maendeleo binafsi inakuaje kaka si mtakufa njaa
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Wewe Umekaa Miaka Mingapi Bira Kulipwa Embu Tuambie Mana Usiongee Tu Kama Shabiki Wa Wcb
@josephmakuri5724
2 ай бұрын
@@salessliquor9519 kipimo cha maisha ni uvumilivu bro hakuna mafanikio yanayopatikana kirahisi keep it in your mind 🤨
@josephmakuri5724
2 ай бұрын
@@officiallnobystar sijui hata nikujibu nini kwasababu kwa muonekano tu unaonekana wewe sio hasira ila bado hujapitia zile changamoto ngumu za maisha ukatamani hata ufe so nikikujibu ntakuwa nimekupa kitu cha ziada ambacho sio hata uwezo wako 🤔UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA WEWE ZAKO TIA MAJI 🤫LEARN.....
asee mbn jamaa wanauliza maswali ya kigombanishi
Nidhamu ni kitu muhimu katika kila kitu.kijana yuko sawa sema yuko na haraka kutoka.Awe mvumilivu tu bila hivyo atapotea.
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Hiyo ndio shida yavijana wengi wasasa hat maofisn wapo mtu akifanya kaz mwaka tu anatak amilik nyumba gar n.k.
Nyie amna akili wote apo machoko tuu asa wavuta banging et ndo watangazaji
Pole hans mungu atakukuongoza
Mbn kama hajui anachojibu uyu dogo 😂😂😂😂
@ben_digital
2 ай бұрын
Kuna vitu anakwepesha kuviongea
Muongo uyo kabisaa
Na alijuaje vitu muhimu vyiko page gani kama hakupitia mukataba woote😂😂😂 Clouds hivyo ndo munavyotaka wakia wanaponda WCB😂😂
Haston akuwa na uvumilivu
Ttz vijana tunayachukulia poa Sana mafanikio...mafanikio hayaji kwa haraka km Unavyotaka ikitokea n bahat 2 Mipango ya Allah! Mwenzio Zuchu amekaa miaka mingapi mpaka kutolewa? Wa2 mpaka wameona kipaji chako na wakakuhitaji kibiashara maanayake wap wenyew wanahitaji ufanikiwe na wap wapate pesa...so hawakuwa wajinga.
Mtoto wakike unatakiwa urelax kidogo, unaingia kwenye kila anaeongea kuna kasauti chako kikali sana. Vizuri uelewe kuna vidume vitatu apo vinaongea just take your time sis. Relax 👋
@Jonathanmakhubela-kb6lz
2 ай бұрын
stop shit ameekwa kwa hilo wewe sio mwalimu wa waandishi wa habari wewe ni mtu tu na bando lake.. 😀😀
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Mina ally Ni mtangazaji mzuri kuriko ata ware wanawke
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Mina ally Ni mtangazaji mzuri Sana kuriko ata hao wanaume
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Na ikumbukwe mina Yuko kazini usirete mambo ya ushamba kishamba razima aongeye usimpangie
Msieke comment za kumkandamiza Jamaa Muziki una mambo mengi
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Sio muzk tu maisha kiujumla shida ni nyingi kuliko urahis muhim kuvumilia nakutafta namna yakutatua ila wengi tunajiangalia sisi tu
@svt3
2 ай бұрын
@Jostany sio music tu maisha kwa ujumla ina mambo mengi ila nidhamu na uvumilivu vinahitajika saaana
Tunapenda mdogo wetu
Sasa kijana anasema alikuwa hajaliwi kwamb it's means aliona anacheleweshwa kwan sahiz anapata nini😂😂😂😂
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Alijitoa Aishi Kwa Amani Tu Sio Hivyo Unavyo Fikilia Na Usiombe Ukae Sehemu Ina Pesa Alafu Wakuombe Pesa Useme Una Apo Utajua Ujui
Ww ulindwa uvumilivu bro, Leo ungekua Tajiri
@user-mb3xq1do3s
3 ай бұрын
Miaka mitatu?
@eladiuspeter586
3 ай бұрын
@@user-mb3xq1do3s 2019 had 2021 sio miaka mitatu. just imag6 2019 mwezi wa 12 had 2021 mwezi wa kwanza ni mwaka mmoja tu. So hyo isikuchanganye. Na miaka mitatu sio Mingi kwa pale WCB , harmonize alisubr miaka mitatu leo ni namba mbl nchini Rayvany leo ni namba tatu kama sio nne, Waliowatanguliwa wapo wapi??
@FahadAbubakari
3 ай бұрын
Lava lava Tajiri queen Doreen Tajiri? Acheni kujidanganya
@eladiuspeter586
3 ай бұрын
@@FahadAbubakari Sasa huoni huyu hanstone ana kipaji kuliko wao,?? Utamfananisha Hanstone na queen darling??
@rajabdibwa6415
3 ай бұрын
Zuchu alikua miaka minne@@user-mb3xq1do3s
Azikiwe bila nidhamu uwezi finally popote
@muksinimbaruku1233
3 ай бұрын
Kupoteza muda pia ni ukosefu wa nidhamu, so yeye ananidhamu
Uyu mtoto yupo vzr kuliko yule mwimba singer
@frankngoloka2589
3 ай бұрын
Lakini mwimba singeli anajina kuliko yeye,Ni watu tu walimdanganya kimoyoni anajutia maamuzi yake,Mziki bila hela hakuna kitu
@ricklandennis
3 ай бұрын
Ana jina je ana hela@@frankngoloka2589
@sunwizy608
3 ай бұрын
@@frankngoloka2589chono wana man leo mbna anatamba acha uwongo ww kipaji tu
Kipaji unacho arakini ungevumiria mbona ibula amekaa kond geng kwakuvumiria,kipaji unamzidi ata dvoice sema ,ndo hivyo haraka zako, na saivi ndo hutasikika kabisa Kama mavoko na wengineo
@MTOTOWAvitoto
2 ай бұрын
Ibrah ni ibrah na hans ni Hans halafu njia ziko tofauti za mafanikio ya MTU pia,,sio alichopitia Ibrah lazima na hanstone apitie inabidi utambue hiko pia
KAKA ANGEBAKI KWA ABBA NOW ANGEKUA MNYAMA SANA
Shida ya adam ni bangiii
Kama unataka kujua ukweli zaidi basi muulize Rich Mavoko namaanisha aulizwe msanii anayetoka nje ya wbc kuingia pale... jamaa Wana roho mbaya sana
@subo2667
2 ай бұрын
We ulivyoongea naye alikwambiaje,,?
Hanston ile ngoma na abbah vp imeishia wap?
Hawa WCB wanachungulia nyota wakiona atafunika mtoto wao unavutwa unafyonzwa unatupwa
@wazinzatv3152
3 ай бұрын
Mhhh😮
@MwinyidadiJuma-jl4gm
2 ай бұрын
Akili zako za usiku
@nasibuomary7981
2 ай бұрын
Acha kuongea pumba ww hujitambui! WCB wanamtoto kusema kunifika mtoto wao? Wanachoangalia kipaji na uwezo...kuna wasanii wangapi pale mbn huwazi kama watafunikana? Kila MTU na nafac yake watu wanahitaji kuingiza pesa tu kupitia kipaji chako maswala ya nyota usenge huo acha ujinga bhn!
@Mina.15
2 ай бұрын
@@MwinyidadiJuma-jl4gm😂😂😂😂 na zako za asubui
@solomonadams6337
2 ай бұрын
you mean Zuchuuuuh¿
bongo hapa wasani wa generation hii wanajua afu watu awawapi nafasi ni hanstone na ivorange
@frankmhina_
2 ай бұрын
Kabisa Ivorange ni noma
@neemacute
2 ай бұрын
ivorange alie imba nimekumis nae yuko moto sana
@neemacute
2 ай бұрын
kuna wasanii kama ao hanstone,Ivorange akina vanilla wakipewa nafasi na wafanzania kuna vipaji vikubwa vitaonekana
Amn k2 apo
WCB ni taasisi kubwa, hawawezi tu wakutambulishe kumbe vile ni mtu wa tamaa, adabu yako mbaya, na hivyo ndivyo vijana wa siku hizi hawana.. kiufupi huyu HASTONE alikosa uvumilivu wa kukaa pale
Hawa ndiomaana wanapuyanga , yaani majigambo ndo yanawakost
Hakuna maisha mazuri bila uvumilivu usha feli kaka😅
@pavlotz8084
2 ай бұрын
Hujui
Huyu dogo kuna kitu anavuta km si unga bangi
Huyu mtoto anakipaji Sana
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Kipaji bila uvumilivu haisaidii hat huk maofisin kun miez yakuangaliw utendaj wak na utakuta wataokuchukia na watakaokupenda ww ndio ujue utaish nao vp akili kichwan mwako.
zuchu kakaaa miakaa sabaa
UkisikilizA vizuri utagundua hana adabu
@RomanMwinyi
3 ай бұрын
Nyinyi ndo wakanda mizaji mnauwa vopaji kwa wivuuu
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Acha Vivu Kk Wewe Unaweza Kaa Undel Sehemu Bila Malipo Ya Kujikimu Kidogo Ama Unakurupuka Kusema Kwasababu Ndio Team Wcb
😂😂😂kwenda unaakili ww ujitambuiih bwenge ww ujuwi ata kuongeea yan usainiwe alafu ujuwi alikuwa anakusamamia duuh usiwe unaongea maana ujuwi unachafuwa lebo ya nasbu matako yako
ARV Badala ya VAR😂😂😂
Hans unakula unamoka
Wcb wananyonya nyota
Me mtu mmoja aje anambie tu iyo background ni wimbo gani huo tafadhali
@prilorybhoi3143
3 ай бұрын
Nampa pole!
@user-xk6ry2uv1g
2 ай бұрын
Hanstone nampa pole background sound
Kijana anajua sana kuimba bt nidhamu yake ni ndogo!!! Media nazo zinajua kuvuruga asee!!! Shame on you Clouds!!!
@pavlotz8084
2 ай бұрын
Hujui
Maisha bila nidhamu uwezi fika popote
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Sahih kabisa
1. Amesema hakupea chochote chakujikimu mbona D-voice alipea? 2. Amesema aliandika nyimbo nyingi lakin hazikutolea, D-voice aliadika 30 songs lakin zilichagulia mbiri tu. Watu wigine mjaribu kukubari kwamba bahati haitokee kila wakati. Eti kibonge ilikua hiti song😂😂?
@wizzykada9850
2 ай бұрын
D voice miezi 6 kasainiwa Stone bway miaka mitatu sio riziki
WCB hawana kosa lolote,ila hanstone kakosa kuwa na suubira kwasababu kwake yeye anajiona ni star, kwaio kuto kua na jero mfkoni ni shita, chapa kazi utafika unaptaka, ila anakiburi sana swala la kwamba mama na mtoto wake ilo swala limekaa kijeuri sana
@RomanMwinyi
3 ай бұрын
Wcb jauuu wa binafii waleee chiziii weee adi uwe mramba lipsii
@arnaldo7319
3 ай бұрын
@@RomanMwinyi inawezekana sitaki kuamini wala kukubali kwasababu siwajui kiundani, ila Hanstone inabidi awe smart ajuwe kuongea vizuri maana ana kaujeri flani ambao utamwaribia kiasi flani na watu wengine kuogopa kumsaidia
@sunwizy608
3 ай бұрын
wewe akuna asiye iuju WcB wale wanamabo ya kiwaki
@sunwizy608
3 ай бұрын
@@arnaldo7319fatilia kwangwaru ilivyo kashootiwa utapata jibu kwann harmonize aliamua kusepa
@nelsonnyizi9798
2 ай бұрын
Ndo apambane atoke sasa maneno hayata msaidia
Inaonesha wcb awakumtaka au chuki binafs