HANSTONE Afunguka Kuhusu MAMA DIAMOND / "Natamani Kuingia WCB!" / Ugomvi Na Maua Sama!?

Ойын-сауық

HANSTONE Afunguka Kuhusu MAMA DIAMOND / "Natamani Kuingia WCB!" / Ugomvi Na Maua Sama!?

Пікірлер: 65

  • @isacklaurent6815
    @isacklaurent68155 жыл бұрын

    mwanang ningkua m2 wakukushauri ningekuomba uende WCB pamoja na ubora ulionao itaend juu zaid kwa haraka! ni ushauri 2 mdogo wangu

  • @sangodeeafrica2369

    @sangodeeafrica2369

    3 жыл бұрын

    Ndyo anapoelekea mzee mwaka hauishi bila kuskia hyo ktu

  • @saidreuben4016
    @saidreuben40165 жыл бұрын

    Uyu dogo Ana heshima sana sema watu wanaeza kumtizama juu juu ila nishawai kukutana nae kama mara mbili sema management za kibongo ujanja mwingi na ukiitaji ukiuliza una dharau, iyo kutafuna kwenye interview ni kawaida coz ndo kwa za a naanza pili uyo ni mdogo sana muoneni kwenye TV tu, sema dah najua zote ni chuki za management iliyopita na hata ile nyimbo ni kama uyo chalii ndo alimshirikisha maua coz kaandikwa maua na uyu dogo

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid53605 жыл бұрын

    Huyu bado hajakua akiingia WCB lazima aanzishwe lakwanza na mwalimu wake atakua lavalava

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume5 жыл бұрын

    Sasa sikia wcb pale nidhamu kwanza yan kama utachukulia afu nye nye nyingi aisee hutodumu pale diamond anaangalia sana nidhamu yako afu juhud zako za kaz.

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo57805 жыл бұрын

    Uko PW xn kizazi ila focus kwny interview mzee izo peremende tafunaa getto ila uko vzr so do DAT man

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw5 жыл бұрын

    Nimefungua hii video baada ya kuona wcb

  • @Mzayanine

    @Mzayanine

    5 жыл бұрын

    Hasa mm

  • @khafidhabdi2502
    @khafidhabdi25025 жыл бұрын

    dogo acha kutafunatafuna ukiwa kwenye interview

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.94665 жыл бұрын

    mwambie asiwe anatafna tafna hovyo kwenye interview.

  • @bobchanda2460
    @bobchanda24603 жыл бұрын

    Dogo fanya uende WCB utatisha sana..achana na hizo Media za kitoto

  • @aminabukenya231
    @aminabukenya2315 жыл бұрын

    Kutafunatafuna kama kibinti na jishati Hilo bro bonge kweli

  • @allyswaah5318
    @allyswaah53185 жыл бұрын

    Mashauz ya nn dogo wakati ww bdo msanii mdgo sana bongo bwanaaaa dah

  • @abcdefgger
    @abcdefgger5 жыл бұрын

    Kapoooore sana jamani mungu akwende mbere

  • @bashitemichael2045
    @bashitemichael20455 жыл бұрын

    daa hinapendeza sana ukiju aunachokinya nikizurisana😃😉😊😍😎😚🤠😇

  • @keiyreginifley1057
    @keiyreginifley10574 жыл бұрын

    Dogo punguza bwebwe acha kujisikia mziki unahitaji heshima na busara

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63435 жыл бұрын

    We unaonekana TU una Dharau.. Umaarufu kidogo unajiona Tayari umeshafika.. The way unajibu Maswali unaonekana utafeli TU.. Muangalie #Diamond alipokuwa anaanza muziki jinsi alivokuwa anajibu Maswali kwenye interviews.. #BeHumble.. Hizo sehem unazotamani kufika Kuna uwezekano usifike usipobadilika.. Jifunze, BigG kwenye interview yoyote ile, ni Dharau kubwa Sana Sanaaa... Sasa Dharau za Nini wakati hujafika unapotaka.. Waliofika hawafanyi ujinga huo.. #Badilika Kipaji Cha Usanii Unacho.. Au Kama Vipi Baki kuwaandikia wasanii wenzako, Hakuna haja nyote muimbe...

  • @yeasrmsafi7152

    @yeasrmsafi7152

    5 жыл бұрын

    Nikweli

  • @tibahzedon2391

    @tibahzedon2391

    5 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed45495 жыл бұрын

    yan vijan wasasa nimtian kikijiona kinajulikan t kidog bas kanajishauwa bishoo wakutupa kumbe anapotea

  • @Boneseries
    @Boneseries5 жыл бұрын

    Good

  • @sabrachande2679
    @sabrachande26795 жыл бұрын

    Hhhhhhh Hanston 01 umevurugwa nkukubar mzee

  • @edisonanthony6491
    @edisonanthony64912 жыл бұрын

    WCB kunamaixha jamani nenda Pele itakuwa kinoma san

  • @denisrenatus4935
    @denisrenatus49355 жыл бұрын

    Dogo yaan ndo kwanza unaanza tayar umesha anza kuznguana na menejment??? mm cjapenda kabsa amn ili ufanikiwe zaid unapaswa kujishusha kwanza utakuja kuishia ho ho nyimbo mzk mgum sana mdogo wangu nakupenda sana na nakuombea ubadlke

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn84045 жыл бұрын

    huwezi kuingia wcb kwa staili hizo unaonekana unadharau sana na hiyo kutafunatafuna kwenye interview wallah unajikaanga mwenyewe kwa mafuta yako badilika kipaji unacho punguza mashauzi utafika mbali heshimu wakubwa na walio juu yako kimziki na mungu atakusaidia

  • @manfizzle411
    @manfizzle4115 жыл бұрын

    Umenikosha janja majbu yako yananyooka big up sana kaza msur utatoboa zaid mung akucmamie

  • @gypsummzuri_tz
    @gypsummzuri_tz5 жыл бұрын

    Ana dhalau uyo Dogo

  • @faraolion6822
    @faraolion68225 жыл бұрын

    Haikatai

  • @abcdefgger
    @abcdefgger5 жыл бұрын

    Hahahahaha umenicekesha saaaAana

  • @ithurttolovesomeone
    @ithurttolovesomeone5 жыл бұрын

    *_STOP BEGGING PEOPLE TO STAY WITH YOU LET THEM GO_* _they leave you because your destiny is not tied to anyone who left_ *YOUR TIME* ```Kama mtu anakupenda na anakujali lazima atafanya jitihada ya kutengeneza muda wa kuwa karibu na wewe bila ya kujali ubize au umbali uliopo baina yenu. . . Atakuwa karibu na wewe kwa kila namna, atajivunia kuwa na wewe na ataonesha wazi namna anavyofurahia uwepo wako kwake. . . Hivyo, kuwa makini. Usihadaiwe na hizo Nakupenda sana au nimekumiss sana. Lazima kuwepo na jitihada za kumaanisha maneno hayo. . . Kumbuka, muda ni mali adhimu, usikubali kuchezewa michezo ya kitoto ukapoteza muda wako. Okoa moyo wako na muda wako kwa watu wasio serious na mahusiano yasiyokujenga zaidi ya kuzidi kukumaliza kiuchumi na kifikra Love comes to those who still hope although they've been disappointed to those who still believe although they've been betrayed to those who still love although they've beetbefore, and to those who have courage and faith to build trust again``` Dr Jackson 0710609844

  • @abuubakrachani1943
    @abuubakrachani19435 жыл бұрын

    ety management ninayo ...sitaki kuiweka wazi sasa iyo s itkuwa ni management ya kichawi ....maan Ya D mond n Kina Tale....kwaiyo yako n zaid hta ya Ali kiba........akili nazo....ah

  • @purryselestine4000
    @purryselestine40005 жыл бұрын

    Sipend mtu anaojiwa alafu atulii 😡😡

  • @jrhanscan3607

    @jrhanscan3607

    5 жыл бұрын

    Asa ulitumwa uangalie

  • @rasvegas8991
    @rasvegas89915 жыл бұрын

    Huy anapotea Game inahtaji dispilin

  • @mwambietv7614
    @mwambietv76145 жыл бұрын

    Mshamba huyo jamaa saut hatoi pozi kama demu masanii ya bongo bhana

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius10365 жыл бұрын

    Karb cha la wana

  • @phayphay8471
    @phayphay84715 жыл бұрын

    Uingia wasafi dogo

  • @sajubwax9335
    @sajubwax93355 жыл бұрын

    Yani umekaa kama kadem kujilamba lamba

  • @sophieaden5367
    @sophieaden53675 жыл бұрын

    Chewing gum ya nini?

  • @lazaroleonard8324
    @lazaroleonard83245 жыл бұрын

    Comment zawa2 nyingi ila unajibu maswali vzur

  • @sajubwax9335
    @sajubwax93355 жыл бұрын

    Nilikuwa nakuelewa ila kumbe wewe boya kwanza iokote ndiyo ilikuwa poa huna kazi tena

  • @phayphay8471
    @phayphay84715 жыл бұрын

    Kaza uzi kama baba yako dogo

  • @shadracktedy2007
    @shadracktedy20074 жыл бұрын

    dg hana adabu msenge huyo

  • @mnyamajustinehaulemreno3556
    @mnyamajustinehaulemreno35565 жыл бұрын

    sammisago kipindi chako kikali sana sababu uchaguwi maswali bro

  • @hawahawae6442
    @hawahawae64425 жыл бұрын

    Ingia tu wasafi

  • @bekaamezzy742

    @bekaamezzy742

    5 жыл бұрын

    Hawa Hawae

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank255 жыл бұрын

    FUNDI HANSYSTONE

  • @nihalimohamed1875
    @nihalimohamed18755 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @hadijapongwa8855

    @hadijapongwa8855

    5 жыл бұрын

    Unatafuta nini???? We mbwa weeeee huna nidhamu eeeeee3 unnahojiwa unattafunaa

  • @elisawangare3296
    @elisawangare32965 жыл бұрын

    Chewing while talking isn't good

  • @yazidiselemani924
    @yazidiselemani9245 жыл бұрын

    Dogo anavimba xnaa

  • @khadijarashid1220
    @khadijarashid12205 жыл бұрын

    Wakwaza comments

  • @delekalxon7221

    @delekalxon7221

    5 жыл бұрын

    Khadija Rashid wapili Ku comment. Tupeane no. Tuchat sas

  • @khadijarashid1220

    @khadijarashid1220

    5 жыл бұрын

    @@delekalxon7221 hhaaa

  • @delekalxon7221

    @delekalxon7221

    5 жыл бұрын

    @khadija kwwl nichek tsap 0784802496

  • @IshiKistaa
    @IshiKistaa5 жыл бұрын

    TEMBELEA UKURASA WETU KUJUA NYOTA YAKO ZAIDI KILA SIKU kzread.info/dron/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQ.html?view_as=subscriber

  • @fatmashomary4693
    @fatmashomary46935 жыл бұрын

    Ucingie WCB,utapotea

  • @awadhhamza9296

    @awadhhamza9296

    5 жыл бұрын

    Aje kwako bas ...maana kina lavalava wote wamepotea ....roho mbay na chuki binafs

  • @agnessjohn8404

    @agnessjohn8404

    5 жыл бұрын

    awadh hamza 😀😀

  • @qadinacci

    @qadinacci

    5 жыл бұрын

    Whaat, upo Dunia gani, Jaribu kelea watotowako vizuri sio unaropoka vitu visivyo na uhalisia...

  • @chiefkaitaba.m.9466

    @chiefkaitaba.m.9466

    5 жыл бұрын

    Fatma Shomary nani kaingia na akapotea tahila ww

  • @fatmashomary4693

    @fatmashomary4693

    5 жыл бұрын

    @@chiefkaitaba.m.9466me co wa type iyo,kubishanana kama utakavyo ww,so behave

Келесі