FOLENI NJIA YA BUBUBU SASA YAPATA UFUMBUZI WAKE RAISI DR,MWINYI HATUTOIBOMOA FIDIA YAKE NI KUBWA
KAMA UNA MAONI YEYOTE USISITE KUCOMENT APO CHINI ILI TUWEZE KUSIKILIZA MAONI YAKO
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@alhajjkassim2648 Жыл бұрын
Mh barabara ya bububu kwa kiwango cha flyover ingeweza kutatua foleni if possible
@nassorseif7907 Жыл бұрын
Jamuhuri ya muungano inatuhusu nini ktk mambo yetu ya maendeleo ya ndani tunahitaji mamlaka kamili Zanzibar
@westmoh6404
7 ай бұрын
Tafuta mamlaka utayapata
@hajihassan5433
6 ай бұрын
Sisi ni Muungano na hakuna mamlaka kamili kwenye Muungano wowote hata wa mtu na mke au mume wake achilia mbali nchi. Kuna mambo mengi ambayo Zanzibar haiwezi kuingia wenyewe kwa sababu hatupendi kusikia lakini Zanzibar sio nchi nchi ni Tanzania mbele ya mataifa mengine sisi ni Watanzania na Rais wa Zanzibar ni kama Govenor kwa nchi zinazotumia mfumo wa State (Muungano) ambapo kila eneo lina Kiongozi wake na taratibu zao lakini Rais ni mmoja na nje ya mataifa mengine anatambulika huyo mfano rahisi ni Marekani USA.
@user-bp7ng6mx3p11 ай бұрын
Basi kama nigharama basi hata waliokweyehifadhi serikali na ivumiliwe Barabara ijegwe
@awenamohd8357 Жыл бұрын
Tusaidieni hali mbay fuoni kitongani tunaomba nasisi hatuna barabara
@middleonlineTv
Жыл бұрын
Zipo njian ishallah
@aliferuzi15376 ай бұрын
HIVI KWELI KIFUSI KILICHOCHIMBWA MASHAMBA KUJENGA BARABARA BAADA KUUZA BASI ZURA WANGETOA TENDA MASHIMO YAKIOCHIMBWA YAFUKIWE.
@othmanawadh3964 Жыл бұрын
Congrats kiongozi
@middleonlineTv
Жыл бұрын
🙏
@husseinally49328 ай бұрын
Mimi naona bora ile barabara ya daraja bovu inyooshwetu
@nassorhemed3953 Жыл бұрын
Pemba ndo imetupwa kabisa barabara ndo haifaii kabisa
@majaliwahussein5362 Жыл бұрын
Ikiwa tutakuwa tunaogopa gharama hatuwezi kuujenga mji wa Zanzibar ifike wakati tukubali kuumia lkn tuujenge mji wetu
@middleonlineTv
Жыл бұрын
👍
@smilevideocreatorsznz Жыл бұрын
Mashekhe wapo tutaendeleza duaa
@middleonlineTv
Жыл бұрын
😄😄😄
@iddikhamis8454 Жыл бұрын
Angalieni ns barabara ya kuelekea kusini unguja haifai hasa mbovu, mbaya na masafa yake ni marefu zaidi kuliko hiyo ya bububu.
@ameedamilja7992
Жыл бұрын
Idris-Khamis usiwe na wasiwasi na barabara ya kwenda kusini kwani huko kusini Unguja ndiko nyumbani kwa mkuu wa nchi nzima ya Tanzania hivyo ni muda tuu ila barabara itajengwa.
@iddikhamis8454
Жыл бұрын
@@ameedamilja7992 Hiyo habari ya kujengwa barabara hiyo ya kusini imesemwa kitambo ila utekelezaji ndio haupo.
@MaryamMakame-to2jp7 ай бұрын
Huyu midi au
@user-bp7ng6mx3p11 ай бұрын
Je hivi nikweli waliopembezoni mwa njia ya Bububu wapo katika Hitachi ya Barabar
@aliferuzi15376 ай бұрын
UPANDE WA UTALII MAGOFU KAMA MARUHUBI RUINS YANABOMOKA HAYA A UTUNZAJI MBONA GHANA WAMEWEZA KUTUNZA SOKO LA WATUMWA KAMA LIMEJENGWA LEO SISI TU NASHINDWA KWA WIZARA YA UTALII ISHUGHULIKIE NA MAGOFI KAMA UZINI KIBOMBANI KUNA GOFU LA KALE ZIMA NI KUREKEBISWA TU HAPO TUTAUTENDEA HAKI UTALII WETU
@rushydahmed9179 Жыл бұрын
huyu ni mwandishi wa habari au ni mpuuzi wa ccm maana hajui hata kuuliza suala au ndio komba kakutana popo kwenye tawi la muembe?
@middleonlineTv
Жыл бұрын
Mwakani zamu yako kuuliza😄😄
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
🤔
@westmoh6404
7 ай бұрын
Kaulize ww ulosoma sana ulomaliza six na dgree
@westmoh6404
7 ай бұрын
Ujuwaji mwingiiii hakuna kitu
@bongo397 ай бұрын
Kaka piga kazi wanafik wachawi fitna mahasid jashoga wapo wengi ila wala wasikukatishe tamaa unayo yafanya wewe haijawahi kutokea tokea zanzibar zanzibar ijitawale na marais wote heo wamepita hawajawahi kufanya hayo na hao wanaobeza yote unayofanya achana nao ni muwasho tuu wanawashwa wanajiskia skia hivi
Пікірлер: 31
Mh barabara ya bububu kwa kiwango cha flyover ingeweza kutatua foleni if possible
Jamuhuri ya muungano inatuhusu nini ktk mambo yetu ya maendeleo ya ndani tunahitaji mamlaka kamili Zanzibar
@westmoh6404
7 ай бұрын
Tafuta mamlaka utayapata
@hajihassan5433
6 ай бұрын
Sisi ni Muungano na hakuna mamlaka kamili kwenye Muungano wowote hata wa mtu na mke au mume wake achilia mbali nchi. Kuna mambo mengi ambayo Zanzibar haiwezi kuingia wenyewe kwa sababu hatupendi kusikia lakini Zanzibar sio nchi nchi ni Tanzania mbele ya mataifa mengine sisi ni Watanzania na Rais wa Zanzibar ni kama Govenor kwa nchi zinazotumia mfumo wa State (Muungano) ambapo kila eneo lina Kiongozi wake na taratibu zao lakini Rais ni mmoja na nje ya mataifa mengine anatambulika huyo mfano rahisi ni Marekani USA.
Basi kama nigharama basi hata waliokweyehifadhi serikali na ivumiliwe Barabara ijegwe
Tusaidieni hali mbay fuoni kitongani tunaomba nasisi hatuna barabara
@middleonlineTv
Жыл бұрын
Zipo njian ishallah
HIVI KWELI KIFUSI KILICHOCHIMBWA MASHAMBA KUJENGA BARABARA BAADA KUUZA BASI ZURA WANGETOA TENDA MASHIMO YAKIOCHIMBWA YAFUKIWE.
Congrats kiongozi
@middleonlineTv
Жыл бұрын
🙏
Mimi naona bora ile barabara ya daraja bovu inyooshwetu
Pemba ndo imetupwa kabisa barabara ndo haifaii kabisa
Ikiwa tutakuwa tunaogopa gharama hatuwezi kuujenga mji wa Zanzibar ifike wakati tukubali kuumia lkn tuujenge mji wetu
@middleonlineTv
Жыл бұрын
👍
Mashekhe wapo tutaendeleza duaa
@middleonlineTv
Жыл бұрын
😄😄😄
Angalieni ns barabara ya kuelekea kusini unguja haifai hasa mbovu, mbaya na masafa yake ni marefu zaidi kuliko hiyo ya bububu.
@ameedamilja7992
Жыл бұрын
Idris-Khamis usiwe na wasiwasi na barabara ya kwenda kusini kwani huko kusini Unguja ndiko nyumbani kwa mkuu wa nchi nzima ya Tanzania hivyo ni muda tuu ila barabara itajengwa.
@iddikhamis8454
Жыл бұрын
@@ameedamilja7992 Hiyo habari ya kujengwa barabara hiyo ya kusini imesemwa kitambo ila utekelezaji ndio haupo.
Huyu midi au
Je hivi nikweli waliopembezoni mwa njia ya Bububu wapo katika Hitachi ya Barabar
UPANDE WA UTALII MAGOFU KAMA MARUHUBI RUINS YANABOMOKA HAYA A UTUNZAJI MBONA GHANA WAMEWEZA KUTUNZA SOKO LA WATUMWA KAMA LIMEJENGWA LEO SISI TU NASHINDWA KWA WIZARA YA UTALII ISHUGHULIKIE NA MAGOFI KAMA UZINI KIBOMBANI KUNA GOFU LA KALE ZIMA NI KUREKEBISWA TU HAPO TUTAUTENDEA HAKI UTALII WETU
huyu ni mwandishi wa habari au ni mpuuzi wa ccm maana hajui hata kuuliza suala au ndio komba kakutana popo kwenye tawi la muembe?
@middleonlineTv
Жыл бұрын
Mwakani zamu yako kuuliza😄😄
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
🤔
@westmoh6404
7 ай бұрын
Kaulize ww ulosoma sana ulomaliza six na dgree
@westmoh6404
7 ай бұрын
Ujuwaji mwingiiii hakuna kitu
Kaka piga kazi wanafik wachawi fitna mahasid jashoga wapo wengi ila wala wasikukatishe tamaa unayo yafanya wewe haijawahi kutokea tokea zanzibar zanzibar ijitawale na marais wote heo wamepita hawajawahi kufanya hayo na hao wanaobeza yote unayofanya achana nao ni muwasho tuu wanawashwa wanajiskia skia hivi
@middleonlineTv
7 ай бұрын
🙋🙋
Pl0