Mwinyi na CCM yake watafuna mabilioni, Uwanja wa Amani wa watu elfu 15 wajengwa kwa mabilioni tele
Jussa akizungumzia rushwa na matumizi ya fedha za umma Zanzibar.
Жүктеу.....
Пікірлер: 132
@user-bx3em9jc6m6 ай бұрын
Mnaombeza ndiyo wapumbafu yupo sawa na mifano ipo wastafu wsmedhulumiwa mafao si uchochezi msifurahie dhulma, mzoga haukosi inzi
@yusuphngwele41906 ай бұрын
Dola 65000 ukiigawa kwa siku 365 ni sawa na dola 178 kwa siku ukizidisha kwa 2500 kwa dola moja ni 445000 kwa siku ahsante.
@godfrey39266 ай бұрын
Unawadanganya wananchi, hapa hapa Marekani tunapoishi huo sio wastani wa malipo ya mwaka, itakuwaje Singapore iwe wastani..Labda wanalipwa bure na Serikali.Jamani, tuseme ukweli na huwezi kulinganisha Singapore na Tanzania..Mnajaribu tu kuchokonoa matatizo nyie..
@hajiabdalla5772
6 ай бұрын
Mjomba hao wanaoambia hawajielewi kutwa wapo maskani kulaumu watu hata maisha hawayajuwie huko nchi anazosema watu wanafanya kazi na kulipwa kutokana sawa na matumizi kila kitu bei.anao kuwadanganya misukule wenziwe
@user-gn2gb5ve2b6 ай бұрын
Ndio maana ya neno la mpinzani kila jambo kupinga hata lenye 2:01 kheri. Poleni tumeshawazoea mwacheni Rais wetu kipenzi afanye kazi aliyotumwa na Mwenyenzi Mungu.
@user-bx3em9jc6m6 ай бұрын
Ni pesa kikokotoo dhulma ya wastafu toka bara upo sahihi wenye akili wanajua
@user-fs6ju7jp4c5 ай бұрын
Jussa sorry,kwa kazi za dkt mwinyi Mimi sikuelewi haswaaaa,hata Kama Kuna wizi kwani wewe hujawahi kuiba
@SamsonMalisa6 ай бұрын
Zanzibar iwe na Shukrani kwa sasa tuache porojo za majukwaani.
@shaabanmohammed2611
6 ай бұрын
Umeona wapi Mwizi kushukuriwa Sheikh? Unawafunza nini Kizazi Chako? Jamii gani unaitengeneza. Unataka kuhalalisha Ufisadi ili iweje? Kwani bila Ufisadi hatuwezi kupiga hatua ya Maendeleo? Iko wapi nidhamu ya matumizi ya fedha za walipa Kodi? Kwanini ukiiba Mkungu wa ndizi unafungwa jela? Mwizi wa mabilioni atutambie kwenye majukwaa kwanini?
@mamyomar1241
6 ай бұрын
hamtoshukuru, mkamilifu Allah pekee yake kila binadamu anamabungufu yake. Wacheni mihemko maendeleo utajiletea mwenyewe hata akae nina maisha yako yatakuwa hivyo hivyo alivyokupangia Allah. Muache kungomvanisha wazanzibari.
@stephenmsanzu98506 ай бұрын
Jifunze kuwa na shukrani
@saidkhalifa34
6 ай бұрын
Shukran kwani Tumegaiwa ni kodi zetu zinatumika vibaya pia watu wasiseme
@khelefmatelephone96536 ай бұрын
Nendeni bwana sisi tushachoka uongo wenu nyinyi ni watafuta tonge tuuu mwinyi kwanza
@MwanjabMbarak5 ай бұрын
Samia na Mwinyi safiiiii
@talibsaid80966 ай бұрын
Huyu pumbavu wacha kuwadanganya wenzio singapore biashara yao kubwa umalaya
@hamadimaulidi94855 ай бұрын
Tatizo rushwa zimezidi viongozi wanawakupatia sana wageni ndo maana hata wananchi wanakuwa na hali ngumi leo hii hagaja mgeni anapanga yeye bei baada ya kupanga serekari baada ya serekari kupanga bei tunaona inchi za wezetu wanawafuatilia wanainchi wao wanalipwaje kwenye makampuni kama ingiwa wanafuatilia waalai tusingekuwa masikini wakipewa hela tu basi hakuna kinachondelea
@JacksonMartin-pb2vq6 ай бұрын
Mzee acha kupotosha jamii kiwanja cha mkapa tayari ni wa kisasa marekebisho yake ni ya kawaida ila amani umefanyiwa mageuzi kutoka wa zamani na kuwa wa kisasa na hizo gharama ni viwanja vyote mpaka hoteli Mh kwa hiyo yapo yakufanyia siasa sio kila kitu ni siasa amani na Benjamin mkapa ni vitu viwili tofauti kabisa pili usifananishe Singapore na Zanzibar tamaduni ni tofauti
@hajiabdalla57726 ай бұрын
Wadanganye Tu hao misukule wenzio akili zao zipo mikononi mwa watu
@user-in3jp5jw4p6 ай бұрын
Apo ndo utajua wapinzani wamekwama au wamekwamishwa sasa jusa Singapore na Zanzibar wapi na wapi 😂
@user-yb7qq1jk7w6 ай бұрын
Rushwa ni mfumo wa nchi
@AhmedMbarak-wr4wd5 ай бұрын
Ebwana mtu ata afanye wema gani binadamu hatuna shukran
@user-yb7qq1jk7w6 ай бұрын
Anavyosema Jussa sawa sawa
@EshaHamd-ed9yv6 ай бұрын
Mtu amepigwa mpaka amechukuliwa kwa kitanda maiti kabisa ikisha useme kuwa hana shukrani ama kweli CCM mukiuwa ni sawa tu kumbe hayajawafika nyinyi Yaraby na nyinyi yawafike kama munayowafanyia wenzenu muone raha au muonje uchungu wa mauwaji.
@user-in3jp5jw4p6 ай бұрын
Mnaonaje wapinzani MKAONDOKA ZENJI kwenye njaa na ufisadi mkahamia Singapore kwenye Maendeleo na shibe,wenye akili tu ndo wataweza kuchanganua Ila wenye akili kama za Jusa mtaendelea kubururwa na ni bora uwe maskini wa mali kuliko kuwa maskini wa fikra😢
@Harith-vp6io
5 ай бұрын
Wew ndo huna akili mpuuzi wew
@user-lr6qx9df4z6 ай бұрын
Sasa hizo pesa zamani zilikua wapi sawali langu hili ayo ma billion zamani yalikuwepo wapi kabla ya mzee mwinyi inamana nazo zilikua zikiliwa.
@MwanjabMbarak5 ай бұрын
Hutwambii kitu kwa mpendwa wetu MWINYI
@hamadimaulidi94855 ай бұрын
Estim wezi sana wanalipa hela ndogo sana kwa wafanyakazi nafanyanao kazi kweli unalosema kweli wanashilikiana na viongozi na hawawafiliwi hiyo kampuni mm nimefanya kazi kampuni nyingi sana lakin hiyo kampuni haikaguliwi hiyo
@user-yb7qq1jk7w6 ай бұрын
Ww huwezi kuona uwanja km wa Aman cos tv unaangalia mascan
@khamissekunde61926 ай бұрын
Ushashibaaa
@adenmwakalobo7606 ай бұрын
Makame Abdallah jenga hoja usitukane! Unatukana kwa vile u mshenzi weye hutaki ukweli ausemao Jussa. Lazima weye utakuwa ama chawa wa CCM au wewe mwenyewe uko huko CCM.
@AhmedSeif-il1xx6 ай бұрын
Mwinyi nijambazi wakuuliwa
@mamyomar12416 ай бұрын
Mh: wana siasa wana nambo, ule kitu kionekane, sio ule kuwe na maneno hakionekani kitu. Wewe kama huli ungeng"angania ACT. Wachene kudanganya na kusababisha uvunjaji amani. Hicho kinachowafanya misulale musikae majumvani mwenu ni hichohicho uchonganishi tu.
@abdithabit6 ай бұрын
Kwa hali hii tumkwishaaa😂😂
@mohdloushmoney99946 ай бұрын
Hizo hela zilizo pigwa wallah tungeligaiwa sisi raia ambao hatujiwezi japo milion moja moja tuu wallah tungelijikwamua kwenye shughuli zetu japo kidogo
@alexnass77416 ай бұрын
Wapigaji SMZ wamepata deal miaka hii, trust me , wanapiga hela sana na mikataba mibovu
@SmilingChameleon-pl4cg5 ай бұрын
Waokuogopewa ni Allah co kina CCM.. amkeni wazanzibar😅😅
@husnamohamed92455 ай бұрын
Suala langu kwanini wasifungue viwanda wana nchi wana njaa una pamba nchi?
@kadijahajali39186 ай бұрын
Hii😮
@ahmedalbalooshi85186 ай бұрын
Tuwe wa wazi
@mohdloushmoney99946 ай бұрын
Tunataka mwinyi atuambie hilo jani la bandia kanunua kias gani na rangi alizo piga na vipambo vyaa juu na vitaaa
@user-ss5qx8ri3j5 ай бұрын
Cokweli unaushahidi
@AliSalim-yu4mo6 ай бұрын
Suala la pombe na mazingira ya Ramadhani ndio tofauti ktk kukuza uchumi?
@MohamedMohamed-md3jd6 ай бұрын
Singapur ni ya masingasinga
@SmilingChameleon-pl4cg5 ай бұрын
Wazanzibar wajinga sana.. Zanzibar ikipata maendeleo ni kiama. Waondoeni hao viongozi mnaogopa nini?
@user-yb7qq1jk7w6 ай бұрын
Huo ndio mfumo mzima wa uwadilif
@MohamedIbrahim-bn1gz6 ай бұрын
Hizi pesa huko zamani kabla ya mwinyi zilikuwa wapi
@yakoubayoub89585 ай бұрын
Uchaguz ushafik ss
@chidyboyclassic78305 ай бұрын
tafuta jembe ukalime tuachie Raisi wetu unaleta hadisi za pauka pakawa eti singapor sisi inatuhusu nini?
@user-yb7qq1jk7w6 ай бұрын
Kwani znz utaliii hamna ? Tena kuna watalii wa nje na wandan
@khalidkijundu3435 ай бұрын
Taratibu
@muzneali47476 ай бұрын
ILA ACT upo
@user-yb7qq1jk7w6 ай бұрын
Miaka 60 ya mapinduzi hadi leo maji,umeme na barabara shida
@SostenesMabala-tt8pt
6 ай бұрын
Hakika mungu atusaidie ccm hawana wanacho kiweza hapa.tz
@user-wh5zt5ns5y4 ай бұрын
huyu jamaa ni Muongo sana. Hivi kuna mtu gani ambae haoni maendeleo yanayofanywa na Dk. Mwinyi. Acheni kupotosha umma sisi Wazanzibar tuonaona jitihada za Mwinyi
@jombadulla6 ай бұрын
Kaondoka huyo
@MuhidiniNassor6 ай бұрын
Siasa bwana
@bilalkhamis_
6 ай бұрын
I Inaweza kukutia wazmu vo hii siasa😂😂😂
@user-jr7bt6lr6z6 ай бұрын
Jusa na wenzako mmeishiwa tuli ku sikilizeni siku nyingi sana kwa ss tafuteni watoto muwadanganye. Uwanja uko safii doctor mwinyi oyeee
@shaabanmohammed26116 ай бұрын
Sisi Walipa kodi tunaitaka Serikali ije hadharani na majibu dhidi ya hizi shutma nzito zinazoelekezwa kwao. Kukaa kimya kutokujibu ni sawa na kukubali hizi shutma. Kukaa kimya ni kuonesha kiburi kwa Wananchi walipa kodi. Serikali kutokutoa majibu ni kuonesha Jeuri na Dharau kwa Wananchi
@jumashedafa
6 ай бұрын
Nawe jarib kufikir wao walifany nn msiwe bender fuata upepo..hiv hiz billion na ule uwanja...unadhan utalet billion ngap kupitia talent na michezo
@shaabanmohammed2611
6 ай бұрын
@@jumashedafa Bado hizo fikra zako hazihalalishi Ufisadi. Tunazungumzia Utawala Bora Utawala wa Sheria. Taratibu zifuatwe. This is not a Gangster Paradise. Unaiba alafu unaturambisha peremende. Kwani wasingeiba isingewezekana kujenga? Ni pesa za walipa kodi si Hali kuzifisidi
@jumashedafa
6 ай бұрын
@@shaabanmohammed2611 Bro no research no data no right to speak...Hivy nyamaza na usililie mitandaon kaombe financil report ya uwanja then ukisema ni mafisad una ongea kwa data..Wao wana mifano na ww unatumia kigezo gan kupingan nao
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
Hakki haijawahi kudaiwa majukwaani na ikapatikana kwa Tanzania hii wanatuhashua tuuuuu hawa
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
Pili CCM walituuliza miaka23 kutoka 1995 hadi Leo pesa za wawakilishi na wabunge kwa upande wetu zimeboresha vipi majimbo yetu viongozi wetu walikua wajibu hoja hii kukaa kimya kwao ni kuonesha na wao ni wale wale
@hajiabdalla57726 ай бұрын
Acha upumbavu.njaa mbaya.haya kama wameiba lakini faida tumeiyona.hata ndugi zako wauza maduka wanazidisha bei na kula riba. Na wewe ndiye unayetizama huo uwanja na kuusifu na barabarani unatumia au hutumii
@user-cz7bd9tc5k6 ай бұрын
JUSA JUSA Usi tudananye Hatu fanyikazi Tuna piga projotu Halafu Una taka Tulingane na singapo upuzii Mtupu Wewe Mwenyewe kiongozi Mda mrefu ume saidia nini? Nchi yetu keleletu kila siku
@omarkapula5886 ай бұрын
wamechanganyikiwa hawa hawana la kusema zimebaki porojo tu wamuache Mwiny afanye kazi zake
@khalidabdulla6545
6 ай бұрын
Makako wa kwanza,,Wazir mazruw na yule wa biashara mda wote wanasifu kaz za raisi mwinyi...Kwa kweli hawana la kusema zaid porojo,,na nd mana wamepoaaa
@muzneali47476 ай бұрын
Acha uchochezi Jussa
@songombingo108
6 ай бұрын
Hoja haivunjwi kwa nyundo. Inavunjwa kwa Hoja. Sasa waje Hao wanaotuhumiwa kupinga haya kwa Hoja. Sio kwa maneno mepesimepesi tyu.
@shaabanmohammed2611
6 ай бұрын
Kama ni Uchochezi vyombo husika vije hadharani vimtake athibitishe anayoyasema au watwambie atoe ushahidi. Na Serikali ije hadharani kupinga au kukanusha madai ya Jussa. Serikali iknapokaa kimya maanaake yanosemwa Yana ukweli. Na Baya zaidi inadhihirika kuwa Zaeca na vyombo vyengine vya Usalama havifanyi havitekelezi Majukumu yao. Ni Taasisi bandia. Hazina Watendaji wanaojitegemea. Wamewekwa ili wabariki Ufisadi
@maulidmussa89696 ай бұрын
Shida yenu hamna ajenda
@pascasmathew424
6 ай бұрын
Ina maana anachokieleza hujaelewa? Mbona hapo anazungumzia tofauti ya matumizi ya fedha ya walipa kodi
@joojombi23416 ай бұрын
Huyo makamu wa Rais wenu c nayee kashiriki. Fatani mkubwa muongo mkubwa mola ashe kulaani fatani mkubwa hata hujui ulisemalo
@khalidmwinyi19816 ай бұрын
Unampigia kampeni othman wakt kuna viongoz kweny act wanaitaka iyo nafas ya kugombea urais
@rashadymuhamad62936 ай бұрын
Hivi, kuna siku mh. Jussa ipo siku tutasikia, kusifia zuri lililotekelezwa na Serikali? Huku kukandia kila jambo ndio kujenga siasa au.....? Kama sikuelewi vile?
@eddyjabry69396 ай бұрын
Juza stop blaming-bla talking nonsense. Kama Rais Mwinyi na vyombo vya sheria wanaendeleaje kutokuchukuwa sheria One day I’ll comeback Zanzibar and give you a lesson. You have no idea what you’re talking about. Uongo tu
@shaabanmohammed26116 ай бұрын
Vyombo vya Sheria na Usalama kuziba masikio na kufumbia macho yanayosemwa ni kudhihirisha udhaifu wenu na kutokujua Majukumu yenu au nyinyi pia ni sehemu ya uozo katika Mamlaka husika. Mmewekwa kwa madhumuni maalum. Mmewekwa kubariki Ufisadi
@hajikiame75516 ай бұрын
Mimi binafsi mfaasi wamwinyi namba Moja haya anayosema huyu ni husda alionayo ndani ya moyowake imemjaa chuki zidi ya mwinyi ila raisi pija kazi
@saidkhalifa34
6 ай бұрын
Hujui ukisemacho au wewe sio mzanzibari halisi
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
Raha ya Raisi huyu nyie bwabwajeniiiii yeye anatimiza majukumu yake Kisha msituaminishe Kila mtu anaiba ni ujinga
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
hajikiame huyo Jusa hana lolote anasumbuliwa na roho ya kwanini Rais Hussein Mwinyi chapa kazi usisikilize hao wajinga acha wale ruzuku tu
@khalidabdulla6545
6 ай бұрын
@@saidkhalifa34bado hujasema ,,kina mazrui wanakubal kaz ya raisi mwinyi ,wewe naaan?
@mohdloushmoney9994
6 ай бұрын
@@khalidabdulla6545mazroui Gani uyo
@user-jr7bt6lr6z6 ай бұрын
Act mmechanganyikiwa na uchaguzi 2025. Hatuwapi hata jimbo moja kwa sababu hamna hadhi ya kuongoza wananchi.
@user-jr7bt6lr6z6 ай бұрын
Hao wanao ongozwa na kina jusa wamekosa muongozaji huyu just zogo tu.
@Jal2106 ай бұрын
Acha kuwadanganya wananchi mafisado na uchu wa madaraka Mwinyi kaendeleza Zanzibar
@muzneali47476 ай бұрын
Zinakuuma kama zako 😏😏😏😏
@idrisajuma8290
6 ай бұрын
ni za kwetu sote anawasemea wanyonge
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
@@idrisajuma8290anasemea ugali wake kama hujui
@mohdloushmoney9994
6 ай бұрын
Ndio sababu ya njaa iyo kaka hela zilizo bakia wanaweka kwenye ma akiba Yao sisi raia huku tunakufa njaaa
@user-bx3em9jc6m6 ай бұрын
Wajinga watafurahia lakini ccm wababaishaji shida tupu ni makatili
@vt-kn6qf6 ай бұрын
Uyu kazaliwa kuwa mchochezi na mpizani
@stephenmsanzu98506 ай бұрын
Acha ujinga Jenga hoja nonsense
@MakameAbdallah-wn3hc6 ай бұрын
Ee huna mpango wee katafute basha akukune
@songombingo108
6 ай бұрын
Hoja haivunjwi kwa nyundo. Inavunjwa kwa Hoja. Sio kwa maneno mepesimepesi. Wala haivunjwi kwa matusi kama hayo unayotoa wewe mtu mzima na akili zako na pengine una watoto.
@kambamazig020246 ай бұрын
Huyu naye hana la kusema, miaka yote hii ulikwa wapi na wakati wanajenga huo uwanja kwa hizo fedha mbona hujasema mpaka uwanja ulipoisha? Huu ulimbukeni wa kisiasa utafikiri mmarekani wa GOP!
@joojombi23416 ай бұрын
Ati Singapore hiyo nchi kubwa kushinda Ki Zanzibar. Fatani mkubwa wee muogope bac Mola wako fatani mkubwa
@jeremialyati60926 ай бұрын
Bora watafune na uwanja tuuone kuliko miaka yote ukiwa CCM hatujawah kuona uwanja mtamu kama huu hadi umeenda upinzani kuturudisha nyuma wewe kila KITU unapinga
@allyvindili9099
6 ай бұрын
Kwaiyo we Kwa ajili yako bil 55 ndo imeishia pale? Akuna uhovu unaohalalisha uhovu. CCM ni wez inajulika na wanaosababisha ni watu kama ww ambayo ikipgwa unasema Bora nipigwe lkn nalala Kwa aman 😂😂 Mwanao akifel unasema kwan alikatazea kusoma? Yaan haumin kua wao ndo sababu
@Jal210
6 ай бұрын
@@allyvindili9099wewe jitambue kwanza
@user-rk9gr9yf3i6 ай бұрын
Bado hujasema yaani mpaka useme Mwinyi rais fanya kazi wahasibu wapo
@NajmaOmar-zf3pm
6 ай бұрын
Ukweli skuzot ukiongelewa watu unakua una waumiza
@clemencemkondya85616 ай бұрын
Acheni uzushi wewe umekuwa mkaguzi achakutolea mfano nchi za nje wewe ukipewa nchi hiyo utagawa pesa .Hiyo siyo hoja niuzushi wakisiasa
@Jal210
6 ай бұрын
Huyu mjinga hajui analoliongelea
@mbarakahaji43026 ай бұрын
Wewe muhindi Koko ni mnafik na muongo wacha kimchafuwa mwinyi,anayoyatenda kwa znz ndio jibu.fitna Yako wewe inamwisho.
Tumeaminishwa upinzani NI kupinga kila kitu hata kma ni chema ifike wakati tubadilishe siasa ikiwa mtu atafanya mazuri tusiwe wachoyo kuyazungumza mazuri yake hata Kama hayatokani na chama chako
@gwajimagwajima
6 ай бұрын
Mazuri ya wizi!?
@salyali7807
6 ай бұрын
Mazuri yepi.. dhiki tupu... wanajengewa wageni unata sie tupige makofi ? Hakuna kitachoturidhisha kama hatuachiwi nchi yetu
@iskitogo6 ай бұрын
Kufananisha Singapore na Zanzibar lazima kwanza uweke mizania Sawa. Utamaduni wa watu wa zanzibar ni tofauti na utamaduni wa watu wa Singapore. Singapore inaruhusi unywaji wa pombe kila mahali, shughuli za utalii ni huru hazina restrictions kama ilivyo zanzibar ambayo inasilka zake. Mfano wakati wa mwezi wa Ramadhani Singapore shughuli za utalii hazina restrictions. Sehemu za kula na kunywa zipo wazi mwaka mzima. Singapore inapata mapato mengi kupitia utalii.
@gwajimagwajima
6 ай бұрын
Kwani Zanzibar hayafanyiki au unaishi wapi jomba
@iskitogo
6 ай бұрын
@@gwajimagwajima Wapi zanzibar mitaa inafungwa na kutandazwa pombe?
@gwajimagwajima
6 ай бұрын
@@iskitogo kwani lazima itandazwe,hukai Zanzibar tulia jomba, Tanzania shamba la bibi wacha watu wajipigie tu
@MohamedIbrahim-bn1gz
6 ай бұрын
Singapore uchumi wake ni Petrochemicals wana nunua petroli wanaizidishia thamani wanauza na uchumi wake unayo kana na viwanda tijara lojestik na Services utalii ni mwisho kabisa
@user-jr7bt6lr6z
6 ай бұрын
Musituzingue mmeshikilia singapor singapor kahamieni nyinyi makafu na mae Act .km hamtaki kuonvozwa na mwinyi kahmieni singapor .ccm daima.
@AhmedSeif-il1xx6 ай бұрын
Mwamba huyu
@said64946 ай бұрын
Mjinga ww hali yako unamatatizo
@omarkapula5886 ай бұрын
hawana sera kwanza ni wabaguzi mpaka leo muunguja akienda kufanya kazi pemba ni ugomvi na chuki tu
@user-lr6qx9df4z6 ай бұрын
Sema dunia nzima chama cha upenzani ni kupinga kile wanachokifanya chama tawala iyo ipo dunia nzima kwaiyo mimi wala sishangai chama penzani hata wafange vipi chama tawala watapinga tu maana hata na wao wanataka ulaji vile vile na sio kama anapiga kelele bure analengo lake na yy.
@MwanjabMbarak5 ай бұрын
Ovyo nyama za uko
@husseinmkanga77946 ай бұрын
Labda Jusa hajui kama Singapore ukiiba hela za Uma au utanyongwa au jela yake sio mchezo ndio maana watumishi na viongozi wanaogopa kuiba au kula rushwa. Tanzania na nzanzibar ili ziwe salama ipitishwe Sheria ya kifo au jela isiyo pungua miaka 30 adhabu ya chini na maisha mpaka kifo adhabu za juu kama ilivyo China wataacha kuiba na wale wabishi wataadhibiwa.
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Pole Jusa unahangsika bure huiwezi kuishinda Ccm subiri muda wako ukifikia nawe ule wewe kula ruzuku tu ule
Пікірлер: 132
Mnaombeza ndiyo wapumbafu yupo sawa na mifano ipo wastafu wsmedhulumiwa mafao si uchochezi msifurahie dhulma, mzoga haukosi inzi
Dola 65000 ukiigawa kwa siku 365 ni sawa na dola 178 kwa siku ukizidisha kwa 2500 kwa dola moja ni 445000 kwa siku ahsante.
Unawadanganya wananchi, hapa hapa Marekani tunapoishi huo sio wastani wa malipo ya mwaka, itakuwaje Singapore iwe wastani..Labda wanalipwa bure na Serikali.Jamani, tuseme ukweli na huwezi kulinganisha Singapore na Tanzania..Mnajaribu tu kuchokonoa matatizo nyie..
@hajiabdalla5772
6 ай бұрын
Mjomba hao wanaoambia hawajielewi kutwa wapo maskani kulaumu watu hata maisha hawayajuwie huko nchi anazosema watu wanafanya kazi na kulipwa kutokana sawa na matumizi kila kitu bei.anao kuwadanganya misukule wenziwe
Ndio maana ya neno la mpinzani kila jambo kupinga hata lenye 2:01 kheri. Poleni tumeshawazoea mwacheni Rais wetu kipenzi afanye kazi aliyotumwa na Mwenyenzi Mungu.
Ni pesa kikokotoo dhulma ya wastafu toka bara upo sahihi wenye akili wanajua
Jussa sorry,kwa kazi za dkt mwinyi Mimi sikuelewi haswaaaa,hata Kama Kuna wizi kwani wewe hujawahi kuiba
Zanzibar iwe na Shukrani kwa sasa tuache porojo za majukwaani.
@shaabanmohammed2611
6 ай бұрын
Umeona wapi Mwizi kushukuriwa Sheikh? Unawafunza nini Kizazi Chako? Jamii gani unaitengeneza. Unataka kuhalalisha Ufisadi ili iweje? Kwani bila Ufisadi hatuwezi kupiga hatua ya Maendeleo? Iko wapi nidhamu ya matumizi ya fedha za walipa Kodi? Kwanini ukiiba Mkungu wa ndizi unafungwa jela? Mwizi wa mabilioni atutambie kwenye majukwaa kwanini?
@mamyomar1241
6 ай бұрын
hamtoshukuru, mkamilifu Allah pekee yake kila binadamu anamabungufu yake. Wacheni mihemko maendeleo utajiletea mwenyewe hata akae nina maisha yako yatakuwa hivyo hivyo alivyokupangia Allah. Muache kungomvanisha wazanzibari.
Jifunze kuwa na shukrani
@saidkhalifa34
6 ай бұрын
Shukran kwani Tumegaiwa ni kodi zetu zinatumika vibaya pia watu wasiseme
Nendeni bwana sisi tushachoka uongo wenu nyinyi ni watafuta tonge tuuu mwinyi kwanza
Samia na Mwinyi safiiiii
Huyu pumbavu wacha kuwadanganya wenzio singapore biashara yao kubwa umalaya
Tatizo rushwa zimezidi viongozi wanawakupatia sana wageni ndo maana hata wananchi wanakuwa na hali ngumi leo hii hagaja mgeni anapanga yeye bei baada ya kupanga serekari baada ya serekari kupanga bei tunaona inchi za wezetu wanawafuatilia wanainchi wao wanalipwaje kwenye makampuni kama ingiwa wanafuatilia waalai tusingekuwa masikini wakipewa hela tu basi hakuna kinachondelea
Mzee acha kupotosha jamii kiwanja cha mkapa tayari ni wa kisasa marekebisho yake ni ya kawaida ila amani umefanyiwa mageuzi kutoka wa zamani na kuwa wa kisasa na hizo gharama ni viwanja vyote mpaka hoteli Mh kwa hiyo yapo yakufanyia siasa sio kila kitu ni siasa amani na Benjamin mkapa ni vitu viwili tofauti kabisa pili usifananishe Singapore na Zanzibar tamaduni ni tofauti
Wadanganye Tu hao misukule wenzio akili zao zipo mikononi mwa watu
Apo ndo utajua wapinzani wamekwama au wamekwamishwa sasa jusa Singapore na Zanzibar wapi na wapi 😂
Rushwa ni mfumo wa nchi
Ebwana mtu ata afanye wema gani binadamu hatuna shukran
Anavyosema Jussa sawa sawa
Mtu amepigwa mpaka amechukuliwa kwa kitanda maiti kabisa ikisha useme kuwa hana shukrani ama kweli CCM mukiuwa ni sawa tu kumbe hayajawafika nyinyi Yaraby na nyinyi yawafike kama munayowafanyia wenzenu muone raha au muonje uchungu wa mauwaji.
Mnaonaje wapinzani MKAONDOKA ZENJI kwenye njaa na ufisadi mkahamia Singapore kwenye Maendeleo na shibe,wenye akili tu ndo wataweza kuchanganua Ila wenye akili kama za Jusa mtaendelea kubururwa na ni bora uwe maskini wa mali kuliko kuwa maskini wa fikra😢
@Harith-vp6io
5 ай бұрын
Wew ndo huna akili mpuuzi wew
Sasa hizo pesa zamani zilikua wapi sawali langu hili ayo ma billion zamani yalikuwepo wapi kabla ya mzee mwinyi inamana nazo zilikua zikiliwa.
Hutwambii kitu kwa mpendwa wetu MWINYI
Estim wezi sana wanalipa hela ndogo sana kwa wafanyakazi nafanyanao kazi kweli unalosema kweli wanashilikiana na viongozi na hawawafiliwi hiyo kampuni mm nimefanya kazi kampuni nyingi sana lakin hiyo kampuni haikaguliwi hiyo
Ww huwezi kuona uwanja km wa Aman cos tv unaangalia mascan
Ushashibaaa
Makame Abdallah jenga hoja usitukane! Unatukana kwa vile u mshenzi weye hutaki ukweli ausemao Jussa. Lazima weye utakuwa ama chawa wa CCM au wewe mwenyewe uko huko CCM.
Mwinyi nijambazi wakuuliwa
Mh: wana siasa wana nambo, ule kitu kionekane, sio ule kuwe na maneno hakionekani kitu. Wewe kama huli ungeng"angania ACT. Wachene kudanganya na kusababisha uvunjaji amani. Hicho kinachowafanya misulale musikae majumvani mwenu ni hichohicho uchonganishi tu.
Kwa hali hii tumkwishaaa😂😂
Hizo hela zilizo pigwa wallah tungeligaiwa sisi raia ambao hatujiwezi japo milion moja moja tuu wallah tungelijikwamua kwenye shughuli zetu japo kidogo
Wapigaji SMZ wamepata deal miaka hii, trust me , wanapiga hela sana na mikataba mibovu
Waokuogopewa ni Allah co kina CCM.. amkeni wazanzibar😅😅
Suala langu kwanini wasifungue viwanda wana nchi wana njaa una pamba nchi?
Hii😮
Tuwe wa wazi
Tunataka mwinyi atuambie hilo jani la bandia kanunua kias gani na rangi alizo piga na vipambo vyaa juu na vitaaa
Cokweli unaushahidi
Suala la pombe na mazingira ya Ramadhani ndio tofauti ktk kukuza uchumi?
Singapur ni ya masingasinga
Wazanzibar wajinga sana.. Zanzibar ikipata maendeleo ni kiama. Waondoeni hao viongozi mnaogopa nini?
Huo ndio mfumo mzima wa uwadilif
Hizi pesa huko zamani kabla ya mwinyi zilikuwa wapi
Uchaguz ushafik ss
tafuta jembe ukalime tuachie Raisi wetu unaleta hadisi za pauka pakawa eti singapor sisi inatuhusu nini?
Kwani znz utaliii hamna ? Tena kuna watalii wa nje na wandan
Taratibu
ILA ACT upo
Miaka 60 ya mapinduzi hadi leo maji,umeme na barabara shida
@SostenesMabala-tt8pt
6 ай бұрын
Hakika mungu atusaidie ccm hawana wanacho kiweza hapa.tz
huyu jamaa ni Muongo sana. Hivi kuna mtu gani ambae haoni maendeleo yanayofanywa na Dk. Mwinyi. Acheni kupotosha umma sisi Wazanzibar tuonaona jitihada za Mwinyi
Kaondoka huyo
Siasa bwana
@bilalkhamis_
6 ай бұрын
I Inaweza kukutia wazmu vo hii siasa😂😂😂
Jusa na wenzako mmeishiwa tuli ku sikilizeni siku nyingi sana kwa ss tafuteni watoto muwadanganye. Uwanja uko safii doctor mwinyi oyeee
Sisi Walipa kodi tunaitaka Serikali ije hadharani na majibu dhidi ya hizi shutma nzito zinazoelekezwa kwao. Kukaa kimya kutokujibu ni sawa na kukubali hizi shutma. Kukaa kimya ni kuonesha kiburi kwa Wananchi walipa kodi. Serikali kutokutoa majibu ni kuonesha Jeuri na Dharau kwa Wananchi
@jumashedafa
6 ай бұрын
Nawe jarib kufikir wao walifany nn msiwe bender fuata upepo..hiv hiz billion na ule uwanja...unadhan utalet billion ngap kupitia talent na michezo
@shaabanmohammed2611
6 ай бұрын
@@jumashedafa Bado hizo fikra zako hazihalalishi Ufisadi. Tunazungumzia Utawala Bora Utawala wa Sheria. Taratibu zifuatwe. This is not a Gangster Paradise. Unaiba alafu unaturambisha peremende. Kwani wasingeiba isingewezekana kujenga? Ni pesa za walipa kodi si Hali kuzifisidi
@jumashedafa
6 ай бұрын
@@shaabanmohammed2611 Bro no research no data no right to speak...Hivy nyamaza na usililie mitandaon kaombe financil report ya uwanja then ukisema ni mafisad una ongea kwa data..Wao wana mifano na ww unatumia kigezo gan kupingan nao
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
Hakki haijawahi kudaiwa majukwaani na ikapatikana kwa Tanzania hii wanatuhashua tuuuuu hawa
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
Pili CCM walituuliza miaka23 kutoka 1995 hadi Leo pesa za wawakilishi na wabunge kwa upande wetu zimeboresha vipi majimbo yetu viongozi wetu walikua wajibu hoja hii kukaa kimya kwao ni kuonesha na wao ni wale wale
Acha upumbavu.njaa mbaya.haya kama wameiba lakini faida tumeiyona.hata ndugi zako wauza maduka wanazidisha bei na kula riba. Na wewe ndiye unayetizama huo uwanja na kuusifu na barabarani unatumia au hutumii
JUSA JUSA Usi tudananye Hatu fanyikazi Tuna piga projotu Halafu Una taka Tulingane na singapo upuzii Mtupu Wewe Mwenyewe kiongozi Mda mrefu ume saidia nini? Nchi yetu keleletu kila siku
wamechanganyikiwa hawa hawana la kusema zimebaki porojo tu wamuache Mwiny afanye kazi zake
@khalidabdulla6545
6 ай бұрын
Makako wa kwanza,,Wazir mazruw na yule wa biashara mda wote wanasifu kaz za raisi mwinyi...Kwa kweli hawana la kusema zaid porojo,,na nd mana wamepoaaa
Acha uchochezi Jussa
@songombingo108
6 ай бұрын
Hoja haivunjwi kwa nyundo. Inavunjwa kwa Hoja. Sasa waje Hao wanaotuhumiwa kupinga haya kwa Hoja. Sio kwa maneno mepesimepesi tyu.
@shaabanmohammed2611
6 ай бұрын
Kama ni Uchochezi vyombo husika vije hadharani vimtake athibitishe anayoyasema au watwambie atoe ushahidi. Na Serikali ije hadharani kupinga au kukanusha madai ya Jussa. Serikali iknapokaa kimya maanaake yanosemwa Yana ukweli. Na Baya zaidi inadhihirika kuwa Zaeca na vyombo vyengine vya Usalama havifanyi havitekelezi Majukumu yao. Ni Taasisi bandia. Hazina Watendaji wanaojitegemea. Wamewekwa ili wabariki Ufisadi
Shida yenu hamna ajenda
@pascasmathew424
6 ай бұрын
Ina maana anachokieleza hujaelewa? Mbona hapo anazungumzia tofauti ya matumizi ya fedha ya walipa kodi
Huyo makamu wa Rais wenu c nayee kashiriki. Fatani mkubwa muongo mkubwa mola ashe kulaani fatani mkubwa hata hujui ulisemalo
Unampigia kampeni othman wakt kuna viongoz kweny act wanaitaka iyo nafas ya kugombea urais
Hivi, kuna siku mh. Jussa ipo siku tutasikia, kusifia zuri lililotekelezwa na Serikali? Huku kukandia kila jambo ndio kujenga siasa au.....? Kama sikuelewi vile?
Juza stop blaming-bla talking nonsense. Kama Rais Mwinyi na vyombo vya sheria wanaendeleaje kutokuchukuwa sheria One day I’ll comeback Zanzibar and give you a lesson. You have no idea what you’re talking about. Uongo tu
Vyombo vya Sheria na Usalama kuziba masikio na kufumbia macho yanayosemwa ni kudhihirisha udhaifu wenu na kutokujua Majukumu yenu au nyinyi pia ni sehemu ya uozo katika Mamlaka husika. Mmewekwa kwa madhumuni maalum. Mmewekwa kubariki Ufisadi
Mimi binafsi mfaasi wamwinyi namba Moja haya anayosema huyu ni husda alionayo ndani ya moyowake imemjaa chuki zidi ya mwinyi ila raisi pija kazi
@saidkhalifa34
6 ай бұрын
Hujui ukisemacho au wewe sio mzanzibari halisi
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
Raha ya Raisi huyu nyie bwabwajeniiiii yeye anatimiza majukumu yake Kisha msituaminishe Kila mtu anaiba ni ujinga
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
hajikiame huyo Jusa hana lolote anasumbuliwa na roho ya kwanini Rais Hussein Mwinyi chapa kazi usisikilize hao wajinga acha wale ruzuku tu
@khalidabdulla6545
6 ай бұрын
@@saidkhalifa34bado hujasema ,,kina mazrui wanakubal kaz ya raisi mwinyi ,wewe naaan?
@mohdloushmoney9994
6 ай бұрын
@@khalidabdulla6545mazroui Gani uyo
Act mmechanganyikiwa na uchaguzi 2025. Hatuwapi hata jimbo moja kwa sababu hamna hadhi ya kuongoza wananchi.
Hao wanao ongozwa na kina jusa wamekosa muongozaji huyu just zogo tu.
Acha kuwadanganya wananchi mafisado na uchu wa madaraka Mwinyi kaendeleza Zanzibar
Zinakuuma kama zako 😏😏😏😏
@idrisajuma8290
6 ай бұрын
ni za kwetu sote anawasemea wanyonge
@MuhidiniNassor
6 ай бұрын
@@idrisajuma8290anasemea ugali wake kama hujui
@mohdloushmoney9994
6 ай бұрын
Ndio sababu ya njaa iyo kaka hela zilizo bakia wanaweka kwenye ma akiba Yao sisi raia huku tunakufa njaaa
Wajinga watafurahia lakini ccm wababaishaji shida tupu ni makatili
Uyu kazaliwa kuwa mchochezi na mpizani
Acha ujinga Jenga hoja nonsense
Ee huna mpango wee katafute basha akukune
@songombingo108
6 ай бұрын
Hoja haivunjwi kwa nyundo. Inavunjwa kwa Hoja. Sio kwa maneno mepesimepesi. Wala haivunjwi kwa matusi kama hayo unayotoa wewe mtu mzima na akili zako na pengine una watoto.
Huyu naye hana la kusema, miaka yote hii ulikwa wapi na wakati wanajenga huo uwanja kwa hizo fedha mbona hujasema mpaka uwanja ulipoisha? Huu ulimbukeni wa kisiasa utafikiri mmarekani wa GOP!
Ati Singapore hiyo nchi kubwa kushinda Ki Zanzibar. Fatani mkubwa wee muogope bac Mola wako fatani mkubwa
Bora watafune na uwanja tuuone kuliko miaka yote ukiwa CCM hatujawah kuona uwanja mtamu kama huu hadi umeenda upinzani kuturudisha nyuma wewe kila KITU unapinga
@allyvindili9099
6 ай бұрын
Kwaiyo we Kwa ajili yako bil 55 ndo imeishia pale? Akuna uhovu unaohalalisha uhovu. CCM ni wez inajulika na wanaosababisha ni watu kama ww ambayo ikipgwa unasema Bora nipigwe lkn nalala Kwa aman 😂😂 Mwanao akifel unasema kwan alikatazea kusoma? Yaan haumin kua wao ndo sababu
@Jal210
6 ай бұрын
@@allyvindili9099wewe jitambue kwanza
Bado hujasema yaani mpaka useme Mwinyi rais fanya kazi wahasibu wapo
@NajmaOmar-zf3pm
6 ай бұрын
Ukweli skuzot ukiongelewa watu unakua una waumiza
Acheni uzushi wewe umekuwa mkaguzi achakutolea mfano nchi za nje wewe ukipewa nchi hiyo utagawa pesa .Hiyo siyo hoja niuzushi wakisiasa
@Jal210
6 ай бұрын
Huyu mjinga hajui analoliongelea
Wewe muhindi Koko ni mnafik na muongo wacha kimchafuwa mwinyi,anayoyatenda kwa znz ndio jibu.fitna Yako wewe inamwisho.
Nani awape nchi nyie
Mafatani wakubwa kumbe nyie ati Waislamu aisee hamuogopi hata mola wenu. Subhannallah jmny fitina zitawapeleka wapi???? Muogopeni mola wenu bac Mafatani wakubwa
Tumeaminishwa upinzani NI kupinga kila kitu hata kma ni chema ifike wakati tubadilishe siasa ikiwa mtu atafanya mazuri tusiwe wachoyo kuyazungumza mazuri yake hata Kama hayatokani na chama chako
@gwajimagwajima
6 ай бұрын
Mazuri ya wizi!?
@salyali7807
6 ай бұрын
Mazuri yepi.. dhiki tupu... wanajengewa wageni unata sie tupige makofi ? Hakuna kitachoturidhisha kama hatuachiwi nchi yetu
Kufananisha Singapore na Zanzibar lazima kwanza uweke mizania Sawa. Utamaduni wa watu wa zanzibar ni tofauti na utamaduni wa watu wa Singapore. Singapore inaruhusi unywaji wa pombe kila mahali, shughuli za utalii ni huru hazina restrictions kama ilivyo zanzibar ambayo inasilka zake. Mfano wakati wa mwezi wa Ramadhani Singapore shughuli za utalii hazina restrictions. Sehemu za kula na kunywa zipo wazi mwaka mzima. Singapore inapata mapato mengi kupitia utalii.
@gwajimagwajima
6 ай бұрын
Kwani Zanzibar hayafanyiki au unaishi wapi jomba
@iskitogo
6 ай бұрын
@@gwajimagwajima Wapi zanzibar mitaa inafungwa na kutandazwa pombe?
@gwajimagwajima
6 ай бұрын
@@iskitogo kwani lazima itandazwe,hukai Zanzibar tulia jomba, Tanzania shamba la bibi wacha watu wajipigie tu
@MohamedIbrahim-bn1gz
6 ай бұрын
Singapore uchumi wake ni Petrochemicals wana nunua petroli wanaizidishia thamani wanauza na uchumi wake unayo kana na viwanda tijara lojestik na Services utalii ni mwisho kabisa
@user-jr7bt6lr6z
6 ай бұрын
Musituzingue mmeshikilia singapor singapor kahamieni nyinyi makafu na mae Act .km hamtaki kuonvozwa na mwinyi kahmieni singapor .ccm daima.
Mwamba huyu
Mjinga ww hali yako unamatatizo
hawana sera kwanza ni wabaguzi mpaka leo muunguja akienda kufanya kazi pemba ni ugomvi na chuki tu
Sema dunia nzima chama cha upenzani ni kupinga kile wanachokifanya chama tawala iyo ipo dunia nzima kwaiyo mimi wala sishangai chama penzani hata wafange vipi chama tawala watapinga tu maana hata na wao wanataka ulaji vile vile na sio kama anapiga kelele bure analengo lake na yy.
Ovyo nyama za uko
Labda Jusa hajui kama Singapore ukiiba hela za Uma au utanyongwa au jela yake sio mchezo ndio maana watumishi na viongozi wanaogopa kuiba au kula rushwa. Tanzania na nzanzibar ili ziwe salama ipitishwe Sheria ya kifo au jela isiyo pungua miaka 30 adhabu ya chini na maisha mpaka kifo adhabu za juu kama ilivyo China wataacha kuiba na wale wabishi wataadhibiwa.
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Pole Jusa unahangsika bure huiwezi kuishinda Ccm subiri muda wako ukifikia nawe ule wewe kula ruzuku tu ule