KUTANA NA BABU RASTA: HAJANYOA NDEVU TANGU 1979, ALIHAMIA TZ MWAKA1989 AKITOKEA JAMAICA | MSWAHILI

Ойын-сауық

KUTANA NA BABU RASTA: HAJANYOA NDEVU TANGU 1979, ALIHAMIA TZ MWAKA1989 AKITOKEA JAMAICA | MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 93

  • @dj26number2
    @dj26number2 Жыл бұрын

    Iwe sizoni kama vp zembwela ❤️❤️❤️❤️❤️ aile rasta man!usitukatisha

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 Жыл бұрын

    Ushauri wangu kwako Zembwela. Kuna kitu kinaitwa Documentary kwenye Maisha yetu. Hivyo ukimchukua huyo Mzee akakupa Madini mengi mkayafanyia Docu mtafanya Jambo zuri sana hasa upande wa Mapinduzi ya Kifikra

  • @Zaikadena
    @Zaikadena Жыл бұрын

    Mzee anaongea patorah language htr be blessed old man

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Yah that is bombeclart tin bway

  • @sampatrick308
    @sampatrick308 Жыл бұрын

    Give and praise most hi jah bless marcus garvey

  • @tajiriadamu41
    @tajiriadamu41 Жыл бұрын

    One love one heart ☝️✊

  • @realscholarships-bolde.2344
    @realscholarships-bolde.2344 Жыл бұрын

    Watanzania kumbukeni kwenda Jamaica 🇯🇲 au mjamaica kuja haitaji VISA, ni wewe ni nauli yako tu.

  • @georgenkanawa7156

    @georgenkanawa7156

    Жыл бұрын

    Hii ndo Najua Leo 😃

  • @nacophai.t2601
    @nacophai.t26019 ай бұрын

    Presenter anajua mpaka pozi la ganzi na kwamba haipendi kelele umetisha bro zimbwela

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Жыл бұрын

    Yah Man! Babu Zaburi

  • @issackmbembati6066
    @issackmbembati6066 Жыл бұрын

    Haile Selassie i ,the majest i King of kings,lord of lords King of faith iii

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Жыл бұрын

    Amani na Upendo,One love 🙏

  • @djtox6456
    @djtox6456 Жыл бұрын

    Rastafari ❤💛💚🌍🇹🇿🇬🇭🇯🇲✊

  • @frankgeorge9371
    @frankgeorge9371 Жыл бұрын

    One bange iruhusiwe Rasta ansongea point 🤝

  • @thetwen2167
    @thetwen2167 Жыл бұрын

    Liv it up rasta

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 Жыл бұрын

    Kwa huku zazibar rasta ni mtu mwenye imani sana au alo kuwa hapend madem

  • @missmwayway4704

    @missmwayway4704

    Жыл бұрын

    Hilo linaeleweka hata sio Zanzibar tu

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Жыл бұрын

    Respect 1 ❤️ wakushi

  • @maulidubaya
    @maulidubaya Жыл бұрын

    Rasta🔥🔥🔥

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini9995 Жыл бұрын

    Hairi serasirasi 🦁💪🙏🔥🔥

  • @AsiaMkusa
    @AsiaMkusa Жыл бұрын

    Jah rastafari

  • @Smart_jarm

    @Smart_jarm

    Жыл бұрын

    ❣️❣️

  • @mzeemisingi8863
    @mzeemisingi8863 Жыл бұрын

    Nakubali sana

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 Жыл бұрын

    Mi mon teach lang time mi nuh see em, mi thought yuh left di kounchri. Kom bak to A town

  • @kapilimaibra2540
    @kapilimaibra2540 Жыл бұрын

    Hapo Babu Zembwele umetumia akili kubwa sana kumrudisha huyu Ras ktk Hali ya kawaida maana kunakitu uliongea jamaa alikaa kimya😀

  • @charlesmichael4467
    @charlesmichael4467 Жыл бұрын

    That Oldman is verytrue

  • @ibrahimjoseph9417
    @ibrahimjoseph9417 Жыл бұрын

    Huyu babu ashaishi sana Arusha ...

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Жыл бұрын

    Ni kupiga dona au ugar wa mihogo mboga majani tembele kisamvu mchicha na vinginevyo chuku chuku chai majani mchai chai kunywa maji ziwani mtoni kisimani mafuta nazi arizeti pareto nyama samak maziwa aina ndege kuku dawa iyo

  • @TrueZionTv255
    @TrueZionTv255 Жыл бұрын

    Sahihisho,sio professor Bupe ni professor Mkuyuri,gari lilikuwa la Professor Joshua Mkuyuri,alipo_acha mwili akalitumia Ras Bupe Karudi Hadi alipo_pata ajari na kuacha mwili.Rastafari.

  • @jaybrown9338

    @jaybrown9338

    Жыл бұрын

    Gari ilikua mali ya Ras Bupe alienda iringa kulinunua Professor Mkululi alifariki kitambo sana 😢 Bora kufanya uchunguzi kabla ya kuongelea swala msilo lielewa sababu itazidi kileta malumbano Rastafar I ni Upendo

  • @TrueZionTv255

    @TrueZionTv255

    Жыл бұрын

    @@jaybrown9338 wewe ndio unaleta malumbano,sawa wewe mtafiti,sasa huyo rasta alipomuita Bupe professor Bupe alimaanisha nini?Bupe hakuwa professor alikuwa Kuhani,acha malumbano weka hoja ya msingi Kama alienda kununua iringa sawa kwangu sio inshu.

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Жыл бұрын

    One love

  • @davidjackson700
    @davidjackson700 Жыл бұрын

    Jah rastafarian ❤

  • @thelaphinossesenengo8876
    @thelaphinossesenengo8876 Жыл бұрын

    Kidogo tuuu..utaskia yale yale..tuliokua tunaongea😂😂😂...lugha yangu pendwa...you know

  • @hatari9591
    @hatari9591 Жыл бұрын

    Nasema siku zote imani yoyote ni utumwa mkubwa sana!

  • @devothamanase55
    @devothamanase55 Жыл бұрын

    Mzee bwera nipe no za katibu uyo

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Жыл бұрын

    si aongee kiswahili tu

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Жыл бұрын

    Mzee Omega Ras Omega

  • @atlastz2263
    @atlastz2263 Жыл бұрын

    Mtafute Rasta. Bagaile yupo mwanza anafaa kujibu ni mwalimu bola wa kirasta

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Жыл бұрын

    Hameshindwa kuelezea vyema kuhusu ni maana ya urasstafari ya imani ya kikushi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Ndugu mtangazaji kaamuwa kuacha utangazaji na kuwa translater anayecheza na jukwaa .

  • @dondallas6683
    @dondallas6683 Жыл бұрын

    Zenzabui

  • @carlvanlincoln2115
    @carlvanlincoln21155 ай бұрын

    Nashida na namba ya simu ya huyo jamaa

  • @maulidubaya
    @maulidubaya Жыл бұрын

    Marasta hatunaga shida

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Mzee anaongea lugha ya Bob Marley

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Жыл бұрын

    Ili eneo liko wapi

  • @nacophai.t2601
    @nacophai.t26019 ай бұрын

    Eti wakila dawa wana chill dah

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 Жыл бұрын

    Raster fali never day

  • @makiniautospare2648
    @makiniautospare2648 Жыл бұрын

    Him Man Looks Like Kronixx

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Oh nimepata kitu , ndiomaana wagonjwa wa wengi wakali sana na huwa wanahisi wanaonewa tu muda wote

  • @sangijamadukwa1486

    @sangijamadukwa1486

    Жыл бұрын

    Jfunze kuandka bas

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 Жыл бұрын

    Walichofeli rasta wamefanya harakati kuwa ni dini wakati wanaharakati kama Malcolm X na Martin Luther king jr. Wao walikuwa wana dini zao na harakati wanafanya

  • @amonrushambila1273
    @amonrushambila1273 Жыл бұрын

    Ya man nyambo nkagwa nagataman

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 Жыл бұрын

    Man Deni,.

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Жыл бұрын

    Jah Rastafari

  • @nirerehadidja8266
    @nirerehadidja8266 Жыл бұрын

    😄😄😄😆😆😆

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Жыл бұрын

    muulize maswali anaishi nanani anafanya nini KWA kuishi ana familia

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    The herb , the government should allow the herb now .

  • @makaverikervini2735
    @makaverikervini2735 Жыл бұрын

    Ila hiii me nadhan ndo ilibid iwe dini yetu waafrica hizo nyngine tumeletewa na waarabu na wazungu

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 Жыл бұрын

    Bob maley huyu hapa Babu anavyoongea

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 Жыл бұрын

    Eti lugha ya kukopa 😂😂😂😂😂

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 Жыл бұрын

    Huyu ni mvuta bhangi hamna cha urasta! Au Nina roho mbaya jamani?

  • @rasskatula7828
    @rasskatula7828 Жыл бұрын

    RAS. MAGODA

  • @edwardyaa6956
    @edwardyaa6956 Жыл бұрын

    Tunamuomba kwa mkopo huyu mzee huku Kenya

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Hana dini huyo angekuwa ana dini ya kiislamu asinge kuwa hivyo maana Kwa Umri aliyefikia ni kurudi kwa Allah sio mawanzo mabovu

  • @sharifuamuri4638

    @sharifuamuri4638

    Жыл бұрын

    Dini utumwa dini yyte ile duniani niutumwa wawarabu na wazungu

  • @frankgeorge9371
    @frankgeorge9371 Жыл бұрын

    Zembera sema Kama umeleta ka dharau kwa mbali 🥴 kwa huyo bobu asa Kama ulikua una hoji iyo kijeli ya nin ....... 😏😏

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Kwaiyo nyinyi mnajiona damu zenu na akili zenu zipo safi na minywele yenu iyo nimeamini dunia inAkwenda kasi mno

  • @koladjulius9945

    @koladjulius9945

    Жыл бұрын

    Ahaaaaaa

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    Жыл бұрын

    We ndo huna akili fala ww

  • @michaelmotika4477
    @michaelmotika4477 Жыл бұрын

    Uchafu pure dirty

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Hivi munaoa nyinyi?mimi sipendi mwanaume rasta

  • @Smart_jarm

    @Smart_jarm

    Жыл бұрын

    Asia mambo?

  • @ameirdarueshi2593

    @ameirdarueshi2593

    Жыл бұрын

    Daaaa pole sana hakuna mtu mwenye imani kma si maraster dada angu lazima ujue na wenye mapenzi ya kweli

  • @coolruler6820

    @coolruler6820

    Жыл бұрын

    We nani anakupenda

  • @berthatz

    @berthatz

    Жыл бұрын

    @@coolruler6820 🤣🤣

  • @rubenprince8990

    @rubenprince8990

    Жыл бұрын

    Huku Australia 🇦🇺 serikali inahitaji wahamiaji laki tatu na nusu waje wafanye kazi ambazo hazihitaji elimu yoyote sisi tulioko huku hatutoshi

  • @halimaoman8900
    @halimaoman8900 Жыл бұрын

    Apo ilipoinanuka iyo milasta atakuosha ahoshi imejaa mba na vumbi tele michawa usiseme mitaka imegandiana 😏😏😏😏😏😏🐒🐒🐒

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    Жыл бұрын

    Kafirwe huko

  • @halimaoman8900

    @halimaoman8900

    Жыл бұрын

    @@avitusmichael5 wewe ndio ukafilwe jauba wewe

  • @halimaoman8900

    @halimaoman8900

    Жыл бұрын

    Minywele kama mizizi ya banger😏😏

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    Жыл бұрын

    Mdangaji usiye na akili mbwa ww, yawezekana hata godoro huna unalalia virago wakati unatombwa na kufirwa Massa 24 mwehu ww

  • @halimaoman8900

    @halimaoman8900

    Жыл бұрын

    @@avitusmichael5 bola yamie mdangaji kuliko wewe chizi maalifa minyweleata matunzo aina chefuuu chafu mtupu kulala kwako mitaloni njaa nikupe chumba ukae bule

  • @josephgervas5191
    @josephgervas5191 Жыл бұрын

    One love

  • @carlvanlincoln2115
    @carlvanlincoln21155 ай бұрын

    Nashida na namba ya simu ya huyo jamaa

Келесі