EXCLUSIVE: RASTA ANAYEISHI MAKABURINI, ASHUHUDIA YA AJABU "WANAKUJA USIKU, WAMEMCHUKUA MKE WANGU"
Жүктеу.....
Пікірлер: 369
@philipobaltazar9072 жыл бұрын
Daaah nmemuelewa Sana huyu Rasta kama umemuelewa kama Mimi like twende sawa
@Kibiriti5632 жыл бұрын
Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
@zaqcctvcamera32452 жыл бұрын
Daah Mungu nirehemu nilikufuru kwa kusema sina maisha mazuri😥😥😥😥😥😥
@kadaskarim50812 жыл бұрын
Hongera sana babu ipo sku itapita hapo napafaham nikuachie hata kila ya mchele
@hasheemomary45072 жыл бұрын
😓it's so emotional duh kweli HUJAFA HUJAUMBIKA ..!ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA 🙏
@fatumakhalidi7066
2 жыл бұрын
Amin
@rhassanimkomwa
2 жыл бұрын
amin
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
Amiin
@Slingshots82 жыл бұрын
Once bunny wailer said they used to go to the grave site at night to gather carriage to face the obstacles on there journey ahead. Jah bless
@beatricefayansi34362 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe nzuri mpaka hapa nimeamini bora uhai mengine ni ziada tu Mwenyezi Mungu awe nawe Rasta ufanikishe Marengo yako Amen
@tomboyjackson88962 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu na kulinde we na familia yako ❤
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
🇹🇿 Nchi hii ngumu jamqn Hata kulipwa wameshindwa mungu akubarik rasta
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Nchi ya dhulma sana hi
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Dah pole rasta nimebain mambo mawili yanakuvuruga mapenz maisha pole sana
@jillydezanzibar44352 жыл бұрын
Rasta Goda Unaongea sanaa Yaani, Swali Moja Majibu Elfu 1
@sosomokobiasharamgaya30202 жыл бұрын
Irie selasie I Jah Rasta farai Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
@user-dn6ww9mh5m2 жыл бұрын
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
Sahihi kbsa Allah is only one
@pillautv1677
Жыл бұрын
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
@sylviamapande1224
Жыл бұрын
@@pillautv1677 nikupenda bure Yani umeona ukweli na kwa usahihi
@abiboseleman16492 жыл бұрын
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Fanya hivyo kaka. Mungu atakulipa. Rasta ni watu wema sana
@devisshirima67802 жыл бұрын
Rasta never give up !! We are one in God Almighty !! May Jesus hear your cries Rasta !! 🙏🙏
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Ni majani tu kama mboga mboga zingine daa pole sana kaka ila mpe mungu maisha na mtie mungu moyoni Kwa mungu yooote yanawezekana
@witinesjoo41882 жыл бұрын
Mungu ni mwema ckuzote daima atakutia nguvu👏Imani yako itakuponya.
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
@jacquelinepalangyo412
Жыл бұрын
Umeongea vzr sn Kaka,inauma sn Ila hakuna mwenye haki ambae Mungu alimuacha,ipo cku haki yake ataipata tu.
@giftstarmwanri90422 жыл бұрын
Mungu amkumbuke amfanyie wepesi katika Hali yake 🙏🙏.
@allyhassan75222 жыл бұрын
Sisi hatutumii Bangi(Dawa ya Kulevya).Sisi tunatumia GANJA.I and I!😊
@alfredtemba9727
2 жыл бұрын
Yaaaaah Man Live up natty root's
@mackylacelesmarais3823
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abbyobey8089
2 жыл бұрын
Rastafarian never die
@theresiakaruhanga364
2 жыл бұрын
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
@Blue-vk5ce2 жыл бұрын
His in this situation lakini bado haja give up anapambana na maisha yake na ya watoto wake, God bless him🙏🙏
@steventibenda5
2 жыл бұрын
Jah is his God
@ramxomtum2babu4142 жыл бұрын
Allah atuongoze katika njia ilionyooka sote InshaAllah🙏
Omg,,,never give Rasta man,,one day ur life will never be the same again some day,,keep the faith n God wl left up,,much 💞💞💞 frm Mombasa ukunda ☑️☑️☑️
@minnafute9592 жыл бұрын
Daaaah jaah bless rastafarai 🙏🙏...
@chakubanga80532 жыл бұрын
Rasta anaakili sana,kapoza ukali wa neno BANGI kasema GANJA,wahgwan rastafarai never die😀😀😀😀
@frenkerick85292 жыл бұрын
One love 🇨🇬🇨🇬 rasta! Acha maisha yaendelee time will tell!
@alfredtemba97272 жыл бұрын
Blessed rastafarians *rasta never loose hope *rasta never give up Jah blessed your works rasta
@tamimuomulungi2102
2 жыл бұрын
Pole sana
@maryamsaleh8438
2 жыл бұрын
@@tamimuomulungi2102 awe pole ya kweli kweli si ya mzaha
@hermannboniface35982 жыл бұрын
Bless! Rasta Inna God zion
@trevoyrn472 жыл бұрын
Rasta man never die Jah bless rasta
@dannywika2 жыл бұрын
if at all ningekuwa tu na uwezo 😢 sorry for this determined father,, ❤️from 🇰🇪
@bornkilla61732 жыл бұрын
nimekuelewa Rasta MUNGU atakuinulia mtu wa kukusaidia anaweza kuwa hata mtoto wako wa kuzaa
@marthamushi93902 жыл бұрын
Dah!😓 huruma aiseee dunia ina mengi sana kikubwa ni Imani na kumuomba Mungu kama anavyosema rasta
@goodluckysteven8262 жыл бұрын
Jah Rastafarian Selassie I know me nah feeling Di Maria Columbia whhaaw gwaanhhnn man
@luckydubebello11312 жыл бұрын
May God bless this man 👨 🙏
@DMENDTVmusicMovie12 жыл бұрын
POLE SANA MR. MAGODA MUNGU ATAJALIA HATIMA NJEMA . IMANI ULIYONAYO NI KUBWA DHIDI YA FAMILIA YAKO HASA WATOTO WAKO🙏🙏🙏
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
@lucymuthoni8203
2 жыл бұрын
Only jesus who can give peace
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
@@lucymuthoni8203 that’s your own opinion some dem believe on Jah Rastafarah
@Word_DJ.2 жыл бұрын
Mungu amenipa akili Mungu amenipa plan siitaji kuomba omba maneno makubwa sana haya💪
@bensimon73302 жыл бұрын
Mungu umufanyie uwepesi
@mcsimonmzungutv20842 жыл бұрын
Hii interview itafanya watoto wa miaka ya 2010 kuja juu wawe marasta
@ommyskillz1793
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@r14kgroup682 жыл бұрын
Pole sana rasta magoda pc $ love God is jaa
@minnafute9592 жыл бұрын
This faith is BIG..
@dannyosolo27522 жыл бұрын
I have learnt something new here ...big difference between 'GANJA' & 'BHANGI'!!! Otherwise Rasta man we are proud of you !!!
@kalemelamgabo42242 жыл бұрын
Jah bless
@righton192 жыл бұрын
Rasta never tired
@blandinalukole55352 жыл бұрын
Nimeumia kutoka moyoni atupe namba tumrushie chochote
@navokisembo
2 жыл бұрын
Kabisaa tupe number tumchangie chochote ni mchacharikaji masikini
@meckmecktz3228
2 жыл бұрын
Rasta kasema haitaji msaada wowote
@lifhonlee34272 жыл бұрын
Ana machuguuu maisha shikamooo
@gebramoturi22702 жыл бұрын
Sellasie I, rasters never die they only faint, 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@kawezaseleman57942 жыл бұрын
Namjua Rasta kitambo alikua anaendelesha guta rastar mgosi
@salmangereza55872 жыл бұрын
Ni Rafiki yangu mno yeye na mkewe na watoto wao, Wana upendo Sana, nawapenda sana❤️❤️
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
Vp maisha yake uyo mwamba
@gracegeorge4848
2 жыл бұрын
Ndo umbembelezee mkewe arudi
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Si ndy katombewa au
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
Wameiba mke
@dominicnyoni3218
2 жыл бұрын
Mambo
@edgarnandonde482 жыл бұрын
kila nikimsoma nimpate kwenye plan simpati .yaani hiyo plan ilikua sio ya mchezo 😅😅.pole magoda
@jelasnkoma42402 жыл бұрын
Namkumbuka huyu Ras kitambo sana alikuwa na watoto wadogo wana Rasta na kibajaj
@michaeldady17672 жыл бұрын
Ahahaa Rasta anatumia Ganjaaaaaa.. heshima yako mzee
@bonfacemark90482 жыл бұрын
Kisa Cha kutia moyo, licha na kuwa mlemavu hajadiriki kuwa omba omba may jah be with you 🇰🇪🇰🇪
@tulisamwel412 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu atakupa faraja, atakubariki. Kitendo cha kujitegemea kimenifurahisha sana.
@teddyoscarkasubi59272 жыл бұрын
Daah ingekua ulaya angelipwa pesa kibao kwa maisha yake, nchi yetu jamani uonevu mtupu
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Mh kwa kweli gari ya raisi ndio nafikir ingekuwa ni mstari wa mbele na haki wamemgonga wao...mungu ni mwema.yatakwisha ipo siku.
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Sio kweli unachosema ikiwa angeishi ulaya angelipwa pesa kibao.ulaya unalipwa pesa ukiwa na vigezo sio kulipwa pesa tuu.
@everlineodera6444
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
@martinmbata7035 Жыл бұрын
jah blessing rasta man never give up jah rasta
@mamachris68112 жыл бұрын
Amuoe huyo Mama anayemsaidia kupika maana wana Imani sawa
@venancerichard9202 жыл бұрын
Jah love brother
@monucamwambanje31282 жыл бұрын
Mm naona tungemchangia baba wawatu sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi makaburini
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Rasta, nimekuelewa sana. Mwenyezi MUNGU akutangulie.
@sarahmwakalinga86432 жыл бұрын
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
@edwinelias85542 жыл бұрын
Nimesikia story yake ila bangi etii sio ganja Bali bangi madawa ya kulevya ala ganja ndio inaliwa nimecheka kifala😂😂😂
@lugelosanga57982 жыл бұрын
Jar Rasta gari eti Ina Kinga ya rais mungu akusaidie
@humphreyvidonyi2532 жыл бұрын
Mikadamba huwaga Yuko vizuri sana kwenye update za mahakamani
@daudiakwabi1282 жыл бұрын
Perfect request, Rasta anajitambuwa sana.
@dicksonwanyama16892 жыл бұрын
Jaaaah Rasta falaaah jaah bless Rasta Magoda
@believeboy21502 жыл бұрын
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
@chichasam9032
2 жыл бұрын
Namjuaaa huyuu mwanaeee mzuri sana ilaaa anakulaaaa bangi mnooo
@samsonstephano4337
2 жыл бұрын
@@chichasam9032 Mwanae ana umri gani kwa makadilio
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
@@chichasam9032 wakike au
@nackingmasangula14092 жыл бұрын
Uyu mwamba anampenda sana mke wake
@mikidadiligogi43112 жыл бұрын
Kilichoniumiza kwamba amegongwa na gari la W H O. Ajalipwa chochote
@mikeohmz21952 жыл бұрын
Yah man
@alikhamis63262 жыл бұрын
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Allah Akufanyie wepesi baba yangu hakuna lisilowekekana kwa mungu kikubwa pumzi tu
@sultanaswaleh4708
2 жыл бұрын
AMEEEEEEEN !..🙏🙏🙏
@josephmwafumu77012 жыл бұрын
Aristotle says There is one good knowledge and one evil ignorance
@africantehama12462 жыл бұрын
Something to learn in Life
@husseinkalamba86062 жыл бұрын
Tatizo lako ww unaimani ya tofauti mrudie Allah toka uko kwenye Imani potofu matatizo yatapungua
@sadikidaudi12232 жыл бұрын
Huyu anashida anatakiwa kusaidiwa ila Imaani ndio inamfanya aridhike nahali alionayo bila kuomba msaada ila uhalisia unaonyesha
@liam8955
2 жыл бұрын
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
@tabithasalimu36172 жыл бұрын
Mungu akupe umli baba
@mwanzaboy15482 жыл бұрын
Mze unaakili Sana mngu akusaidie
@djtwinstar2542 жыл бұрын
Waaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dicksonwanyama1689
2 жыл бұрын
Much love from 254 ✌️
@feynation37392 жыл бұрын
Ungeweka namba yake ya simu 🥺 sio wote wenye uwezo wa kumnunulia bajaji lakini tungetuma hizo elf 2 zingemsaidia na watoto 😔
@enockabumba7513
2 жыл бұрын
Kabisa
@dannyblossproduction52
2 жыл бұрын
Kweli
@sharifgojo8782 жыл бұрын
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
@rasboncher662 жыл бұрын
JAH JAH BLESS 🙌 🙏
@abdulshambalae6820 Жыл бұрын
ndio mjue wanawake hawana msaada katika maisha bora peke yangu
@officialtaslima54092 жыл бұрын
Kushi Kama kushi💪💪🔥🔥
@eddymakata29992 жыл бұрын
Anampenda mke wake, na watoto anajielewa kinoma namkubali broo
@ericktanzanite49072 жыл бұрын
Usalama huyu 🙌
@msabaa39622 жыл бұрын
Never give up
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Mtangazaji naomba u translate Kwa English Kwani Kuna watu wanaweza kumsaidia wakaguswa na huyu ndugu tatizo wakawa hawaerewi lugha kinacho ongeerewa
@jelasnkoma42402 жыл бұрын
Dakika 13:20 sisi Rasta hatuvuti Bange ila tunavuta Ganja kwani Bangi ni madawa ya kulevya🙌
@mwanzaboy15482 жыл бұрын
Lasita mngu attendee miujiza ufanikiwe mngu akubrasi maisha yawemazuli
@meckmecktz32282 жыл бұрын
Mungu umbariki huyu baba na family yake
@saadajohnson33612 жыл бұрын
OKAY world, In Tanzania, we have been using CBD all along for many years. GANJA is CBD! Wake up! America just discovered CBD! I am 56, I knew about GANJA but I did not know it will be this valuable!
@philiplenardsylvester60632 жыл бұрын
Rasta pole hao ndio wanawake
@kibasamohamedi80292 жыл бұрын
Mwendelezo please imeisha kienyeji
@magrethjoseph33862 жыл бұрын
Uko vizuri Sana unaongea point
@mussashamte95392 жыл бұрын
inna Lillahi wa inna Ilahyi rajioon
@micamathew25952 жыл бұрын
Jmn imani hii kidogo inanishangaza!!! Ila labda niseme hivi, Bwana Yesu Mungu wangu, Mungu wa wote wenye mwili akusaidie. Sote tumwombee!!!.
@superherocolin7564
2 жыл бұрын
Yesu sio mungu ni mwana Wa mungu hacha kukufuru
@mrh2812
2 жыл бұрын
@@superherocolin7564 mkianza kubishana kuhusu dini hamtamaliz saiv kila mtu aamini anachoamin
@superherocolin7564
2 жыл бұрын
@@mrh2812 NI KWELI LAKINI KUNA WENGINE HUWA WANAUWELEWA TOFAUTI NA KUPOTEA KUTOKANA NA MANABII WANAOWAAMINI NDIO HUWAAMINISHA HIVYO UKIMULIZA WAPI ILIANDIKWA KUWA YESU NI MUNGU HATOKUJIBU SISI WA KATHORIC HUWA TUNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO MUNGU
@htvtanzania3483
2 жыл бұрын
Yesu umungu kautoa wap wewe binadamu wa hovyoo
@ibraton4071
2 жыл бұрын
@@mrh2812 wana kichaa hawa mbona rasta hawamsemi ashakwambia rastafari ndio mungu wake......dini zipo kama million kumi dunian kuanza kubishana ni kichaa
Пікірлер: 369
Daaah nmemuelewa Sana huyu Rasta kama umemuelewa kama Mimi like twende sawa
Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
Daah Mungu nirehemu nilikufuru kwa kusema sina maisha mazuri😥😥😥😥😥😥
Hongera sana babu ipo sku itapita hapo napafaham nikuachie hata kila ya mchele
😓it's so emotional duh kweli HUJAFA HUJAUMBIKA ..!ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA 🙏
@fatumakhalidi7066
2 жыл бұрын
Amin
@rhassanimkomwa
2 жыл бұрын
amin
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
Amiin
Once bunny wailer said they used to go to the grave site at night to gather carriage to face the obstacles on there journey ahead. Jah bless
Asante kwa ujumbe nzuri mpaka hapa nimeamini bora uhai mengine ni ziada tu Mwenyezi Mungu awe nawe Rasta ufanikishe Marengo yako Amen
Mungu akupe nguvu na kulinde we na familia yako ❤
🇹🇿 Nchi hii ngumu jamqn Hata kulipwa wameshindwa mungu akubarik rasta
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Nchi ya dhulma sana hi
Dah pole rasta nimebain mambo mawili yanakuvuruga mapenz maisha pole sana
Rasta Goda Unaongea sanaa Yaani, Swali Moja Majibu Elfu 1
Irie selasie I Jah Rasta farai Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
Sahihi kbsa Allah is only one
@pillautv1677
Жыл бұрын
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
@sylviamapande1224
Жыл бұрын
@@pillautv1677 nikupenda bure Yani umeona ukweli na kwa usahihi
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Fanya hivyo kaka. Mungu atakulipa. Rasta ni watu wema sana
Rasta never give up !! We are one in God Almighty !! May Jesus hear your cries Rasta !! 🙏🙏
Ni majani tu kama mboga mboga zingine daa pole sana kaka ila mpe mungu maisha na mtie mungu moyoni Kwa mungu yooote yanawezekana
Mungu ni mwema ckuzote daima atakutia nguvu👏Imani yako itakuponya.
Nimemuelewa... Uyu... Lasta... Jomny... Anaongea... Kwa... Uchungu😢
God bless this Man
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
@jacquelinepalangyo412
Жыл бұрын
Umeongea vzr sn Kaka,inauma sn Ila hakuna mwenye haki ambae Mungu alimuacha,ipo cku haki yake ataipata tu.
Mungu amkumbuke amfanyie wepesi katika Hali yake 🙏🙏.
Sisi hatutumii Bangi(Dawa ya Kulevya).Sisi tunatumia GANJA.I and I!😊
@alfredtemba9727
2 жыл бұрын
Yaaaaah Man Live up natty root's
@mackylacelesmarais3823
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abbyobey8089
2 жыл бұрын
Rastafarian never die
@theresiakaruhanga364
2 жыл бұрын
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
His in this situation lakini bado haja give up anapambana na maisha yake na ya watoto wake, God bless him🙏🙏
@steventibenda5
2 жыл бұрын
Jah is his God
Allah atuongoze katika njia ilionyooka sote InshaAllah🙏
@habibakhalfan1065
2 жыл бұрын
Amini_imani_alo_kuwa_nayo_mpaka_kuishi_makaburin_ingekuwa_ni_ya_ALLAH_angekwenda_peponi
Omg,,,never give Rasta man,,one day ur life will never be the same again some day,,keep the faith n God wl left up,,much 💞💞💞 frm Mombasa ukunda ☑️☑️☑️
Daaaah jaah bless rastafarai 🙏🙏...
Rasta anaakili sana,kapoza ukali wa neno BANGI kasema GANJA,wahgwan rastafarai never die😀😀😀😀
One love 🇨🇬🇨🇬 rasta! Acha maisha yaendelee time will tell!
Blessed rastafarians *rasta never loose hope *rasta never give up Jah blessed your works rasta
@tamimuomulungi2102
2 жыл бұрын
Pole sana
@maryamsaleh8438
2 жыл бұрын
@@tamimuomulungi2102 awe pole ya kweli kweli si ya mzaha
Bless! Rasta Inna God zion
Rasta man never die Jah bless rasta
if at all ningekuwa tu na uwezo 😢 sorry for this determined father,, ❤️from 🇰🇪
nimekuelewa Rasta MUNGU atakuinulia mtu wa kukusaidia anaweza kuwa hata mtoto wako wa kuzaa
Dah!😓 huruma aiseee dunia ina mengi sana kikubwa ni Imani na kumuomba Mungu kama anavyosema rasta
Jah Rastafarian Selassie I know me nah feeling Di Maria Columbia whhaaw gwaanhhnn man
May God bless this man 👨 🙏
POLE SANA MR. MAGODA MUNGU ATAJALIA HATIMA NJEMA . IMANI ULIYONAYO NI KUBWA DHIDI YA FAMILIA YAKO HASA WATOTO WAKO🙏🙏🙏
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
@lucymuthoni8203
2 жыл бұрын
Only jesus who can give peace
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
@@lucymuthoni8203 that’s your own opinion some dem believe on Jah Rastafarah
Mungu amenipa akili Mungu amenipa plan siitaji kuomba omba maneno makubwa sana haya💪
Mungu umufanyie uwepesi
Hii interview itafanya watoto wa miaka ya 2010 kuja juu wawe marasta
@ommyskillz1793
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Pole sana rasta magoda pc $ love God is jaa
This faith is BIG..
I have learnt something new here ...big difference between 'GANJA' & 'BHANGI'!!! Otherwise Rasta man we are proud of you !!!
Jah bless
Rasta never tired
Nimeumia kutoka moyoni atupe namba tumrushie chochote
@navokisembo
2 жыл бұрын
Kabisaa tupe number tumchangie chochote ni mchacharikaji masikini
@meckmecktz3228
2 жыл бұрын
Rasta kasema haitaji msaada wowote
Ana machuguuu maisha shikamooo
Sellasie I, rasters never die they only faint, 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Namjua Rasta kitambo alikua anaendelesha guta rastar mgosi
Ni Rafiki yangu mno yeye na mkewe na watoto wao, Wana upendo Sana, nawapenda sana❤️❤️
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
Vp maisha yake uyo mwamba
@gracegeorge4848
2 жыл бұрын
Ndo umbembelezee mkewe arudi
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Si ndy katombewa au
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
Wameiba mke
@dominicnyoni3218
2 жыл бұрын
Mambo
kila nikimsoma nimpate kwenye plan simpati .yaani hiyo plan ilikua sio ya mchezo 😅😅.pole magoda
Namkumbuka huyu Ras kitambo sana alikuwa na watoto wadogo wana Rasta na kibajaj
Ahahaa Rasta anatumia Ganjaaaaaa.. heshima yako mzee
Kisa Cha kutia moyo, licha na kuwa mlemavu hajadiriki kuwa omba omba may jah be with you 🇰🇪🇰🇪
Kwa kweli Mungu atakupa faraja, atakubariki. Kitendo cha kujitegemea kimenifurahisha sana.
Daah ingekua ulaya angelipwa pesa kibao kwa maisha yake, nchi yetu jamani uonevu mtupu
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Mh kwa kweli gari ya raisi ndio nafikir ingekuwa ni mstari wa mbele na haki wamemgonga wao...mungu ni mwema.yatakwisha ipo siku.
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Sio kweli unachosema ikiwa angeishi ulaya angelipwa pesa kibao.ulaya unalipwa pesa ukiwa na vigezo sio kulipwa pesa tuu.
@everlineodera6444
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
jah blessing rasta man never give up jah rasta
Amuoe huyo Mama anayemsaidia kupika maana wana Imani sawa
Jah love brother
Mm naona tungemchangia baba wawatu sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi makaburini
Rasta, nimekuelewa sana. Mwenyezi MUNGU akutangulie.
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
Nimesikia story yake ila bangi etii sio ganja Bali bangi madawa ya kulevya ala ganja ndio inaliwa nimecheka kifala😂😂😂
Jar Rasta gari eti Ina Kinga ya rais mungu akusaidie
Mikadamba huwaga Yuko vizuri sana kwenye update za mahakamani
Perfect request, Rasta anajitambuwa sana.
Jaaaah Rasta falaaah jaah bless Rasta Magoda
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
@chichasam9032
2 жыл бұрын
Namjuaaa huyuu mwanaeee mzuri sana ilaaa anakulaaaa bangi mnooo
@samsonstephano4337
2 жыл бұрын
@@chichasam9032 Mwanae ana umri gani kwa makadilio
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
@@chichasam9032 wakike au
Uyu mwamba anampenda sana mke wake
Kilichoniumiza kwamba amegongwa na gari la W H O. Ajalipwa chochote
Yah man
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Allah Akufanyie wepesi baba yangu hakuna lisilowekekana kwa mungu kikubwa pumzi tu
@sultanaswaleh4708
2 жыл бұрын
AMEEEEEEEN !..🙏🙏🙏
Aristotle says There is one good knowledge and one evil ignorance
Something to learn in Life
Tatizo lako ww unaimani ya tofauti mrudie Allah toka uko kwenye Imani potofu matatizo yatapungua
Huyu anashida anatakiwa kusaidiwa ila Imaani ndio inamfanya aridhike nahali alionayo bila kuomba msaada ila uhalisia unaonyesha
@liam8955
2 жыл бұрын
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
Mungu akupe umli baba
Mze unaakili Sana mngu akusaidie
Waaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dicksonwanyama1689
2 жыл бұрын
Much love from 254 ✌️
Ungeweka namba yake ya simu 🥺 sio wote wenye uwezo wa kumnunulia bajaji lakini tungetuma hizo elf 2 zingemsaidia na watoto 😔
@enockabumba7513
2 жыл бұрын
Kabisa
@dannyblossproduction52
2 жыл бұрын
Kweli
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
JAH JAH BLESS 🙌 🙏
ndio mjue wanawake hawana msaada katika maisha bora peke yangu
Kushi Kama kushi💪💪🔥🔥
Anampenda mke wake, na watoto anajielewa kinoma namkubali broo
Usalama huyu 🙌
Never give up
Mtangazaji naomba u translate Kwa English Kwani Kuna watu wanaweza kumsaidia wakaguswa na huyu ndugu tatizo wakawa hawaerewi lugha kinacho ongeerewa
Dakika 13:20 sisi Rasta hatuvuti Bange ila tunavuta Ganja kwani Bangi ni madawa ya kulevya🙌
Lasita mngu attendee miujiza ufanikiwe mngu akubrasi maisha yawemazuli
Mungu umbariki huyu baba na family yake
OKAY world, In Tanzania, we have been using CBD all along for many years. GANJA is CBD! Wake up! America just discovered CBD! I am 56, I knew about GANJA but I did not know it will be this valuable!
Rasta pole hao ndio wanawake
Mwendelezo please imeisha kienyeji
Uko vizuri Sana unaongea point
inna Lillahi wa inna Ilahyi rajioon
Jmn imani hii kidogo inanishangaza!!! Ila labda niseme hivi, Bwana Yesu Mungu wangu, Mungu wa wote wenye mwili akusaidie. Sote tumwombee!!!.
@superherocolin7564
2 жыл бұрын
Yesu sio mungu ni mwana Wa mungu hacha kukufuru
@mrh2812
2 жыл бұрын
@@superherocolin7564 mkianza kubishana kuhusu dini hamtamaliz saiv kila mtu aamini anachoamin
@superherocolin7564
2 жыл бұрын
@@mrh2812 NI KWELI LAKINI KUNA WENGINE HUWA WANAUWELEWA TOFAUTI NA KUPOTEA KUTOKANA NA MANABII WANAOWAAMINI NDIO HUWAAMINISHA HIVYO UKIMULIZA WAPI ILIANDIKWA KUWA YESU NI MUNGU HATOKUJIBU SISI WA KATHORIC HUWA TUNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO MUNGU
@htvtanzania3483
2 жыл бұрын
Yesu umungu kautoa wap wewe binadamu wa hovyoo
@ibraton4071
2 жыл бұрын
@@mrh2812 wana kichaa hawa mbona rasta hawamsemi ashakwambia rastafari ndio mungu wake......dini zipo kama million kumi dunian kuanza kubishana ni kichaa
How I wish I were in a position to help
One love uko vzr broo