"UKIMUIBIA HUYU MZEE UNAZIKWA, MAZIWA YA NYOKA" KIKONGWE ZANZIBAR ASIMULIA MAKUBWA

Kutoka Visiwani Zanzibar nakusogezea mahojiano na Mzee ambaye ameweka bango nje ya nyumba yake kuwa ukimuibia unazikwa.

Пікірлер: 255

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles43852 жыл бұрын

    Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    Amiin yarrab

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    2 жыл бұрын

    hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    Amiin yaraby

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@nadyasalim7956 kweli kabisa

  • @vampire9464

    @vampire9464

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff

  • @shamzone388
    @shamzone3882 жыл бұрын

    Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu

  • @ashajumbe9039
    @ashajumbe90392 жыл бұрын

    Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV

  • @mudrickabdallah7251
    @mudrickabdallah72512 жыл бұрын

    Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    Жыл бұрын

    Amin

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y11 ай бұрын

    ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rayanaabdallah6580
    @rayanaabdallah65802 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.

  • @samiaalriyami3488
    @samiaalriyami34882 жыл бұрын

    Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu

  • @binbarwan7401

    @binbarwan7401

    2 жыл бұрын

    Babuyako uyu mmefanana😀

  • @khayriyamussa682

    @khayriyamussa682

    2 жыл бұрын

    😊😊Amiin

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    @@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄

  • @binbarwan7401

    @binbarwan7401

    2 жыл бұрын

    😂😂

  • @madhuru2554
    @madhuru25542 жыл бұрын

    Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    Amiin yarrab

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @malikshafii8431

    @malikshafii8431

    Жыл бұрын

    Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman

  • @madhuru2554

    @madhuru2554

    Жыл бұрын

    @@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    Жыл бұрын

    Amina

  • @amemasudi5735
    @amemasudi57352 жыл бұрын

    Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah

  • @fuadsaadbiladiboy1785

    @fuadsaadbiladiboy1785

    2 жыл бұрын

    Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana

  • @angeljoseph922

    @angeljoseph922

    Жыл бұрын

    Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 Жыл бұрын

    Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman60942 жыл бұрын

    Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @christercheru8328

    @christercheru8328

    Жыл бұрын

    Mtunze tu baba

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu43572 жыл бұрын

    Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli

  • @giddyyunky7025
    @giddyyunky70252 жыл бұрын

    Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥

  • @abdullaabubakar7165

    @abdullaabubakar7165

    Жыл бұрын

    Nicee

  • @waktiahmad2503
    @waktiahmad2503 Жыл бұрын

    😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini

  • @hellertv1477
    @hellertv14772 жыл бұрын

    Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman11272 жыл бұрын

    Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏

  • @filmflm5389
    @filmflm53892 жыл бұрын

    WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE

  • @fatmamansour676

    @fatmamansour676

    2 жыл бұрын

    Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv

  • @msquare283
    @msquare2832 жыл бұрын

    Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here

  • @menalikechildren8836

    @menalikechildren8836

    2 жыл бұрын

    una uhakika ?

  • @msquare283

    @msquare283

    2 жыл бұрын

    @@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣

  • @menalikechildren8836

    @menalikechildren8836

    2 жыл бұрын

    hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu

  • @msquare283

    @msquare283

    2 жыл бұрын

    @@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real

  • @menalikechildren8836

    @menalikechildren8836

    2 жыл бұрын

    not jas in case of Islam but he's my real uncle

  • @faridaabdallah2213
    @faridaabdallah22132 жыл бұрын

    sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲

  • @christercheru8328

    @christercheru8328

    Жыл бұрын

    😁😁😁keep left

  • @actwazalendo1131
    @actwazalendo11312 жыл бұрын

    Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Жыл бұрын

    Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha85362 жыл бұрын

    huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani

  • @jacintaitumo5571

    @jacintaitumo5571

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.

  • @fatmamansour676

    @fatmamansour676

    2 жыл бұрын

    A nakaa mji mkongwe

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    bongo zozo naye ananunua

  • @adamsoud4862
    @adamsoud4862 Жыл бұрын

    Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.

  • @abdulbora812
    @abdulbora8122 жыл бұрын

    Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera

  • @aminahussein1224
    @aminahussein12242 жыл бұрын

    Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡

  • @godfreykweka640

    @godfreykweka640

    11 ай бұрын

    www vbs

  • @godfreykweka640

    @godfreykweka640

    11 ай бұрын

    tb

  • @macharosandra9467
    @macharosandra94672 жыл бұрын

    Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee

  • @miriamalute1540

    @miriamalute1540

    2 жыл бұрын

    Tena anazitafuta sana

  • @luganostewart8320
    @luganostewart83202 жыл бұрын

    Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani

  • @najashjejeje6216

    @najashjejeje6216

    2 жыл бұрын

    Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya

  • @munawwarabeid8634

    @munawwarabeid8634

    2 жыл бұрын

    Yeah kabsa

  • @salimselemani4861

    @salimselemani4861

    2 жыл бұрын

    Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu

  • @luganostewart8320

    @luganostewart8320

    2 жыл бұрын

    @@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako

  • @motasimali9053

    @motasimali9053

    Жыл бұрын

    @@salimselemani4861 njoo nikupeleke

  • @shikaocharles8991
    @shikaocharles89912 жыл бұрын

    Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂

  • @salma-fc4xc

    @salma-fc4xc

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @aishatarimo6780

    @aishatarimo6780

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman

  • @vampire9464

    @vampire9464

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 жыл бұрын

    Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹

  • @bigbossmanbossman6946

    @bigbossmanbossman6946

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    Amiin yarrab

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana

  • @jafarinahonyo7349
    @jafarinahonyo73492 жыл бұрын

    Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah

  • @adnanidarous3117
    @adnanidarous31172 жыл бұрын

    Much love mzee wngu

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63432 жыл бұрын

    Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..

  • @nguvuyafikramedia1202
    @nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын

    Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif72412 жыл бұрын

    Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!

  • @boywithdream20
    @boywithdream202 жыл бұрын

    😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena

  • @aminaamina3972
    @aminaamina39722 жыл бұрын

    Amin inshallah

  • @fuadsaadbiladiboy1785
    @fuadsaadbiladiboy17852 жыл бұрын

    Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲

  • @rahelnchagwa7959
    @rahelnchagwa79592 жыл бұрын

    Jaman wasimuibie jaman

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy2 жыл бұрын

    Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    2 жыл бұрын

    @@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda

  • @fatmamansour676

    @fatmamansour676

    2 жыл бұрын

    Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    2 жыл бұрын

    @@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee

  • @maisarasid8670
    @maisarasid86702 жыл бұрын

    Na vijana waache kumuibia mzee wetu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Жыл бұрын

    😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.

  • @goalnews7394
    @goalnews73942 жыл бұрын

    Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake

  • @RumaitharSalum
    @RumaitharSalum2 ай бұрын

    Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔

  • @nooroman2535
    @nooroman25352 жыл бұрын

    Inshaallah

  • @frankdanford8245
    @frankdanford82452 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.

  • @sitimakame1490

    @sitimakame1490

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @geofreyshaurimoyo5918

    @geofreyshaurimoyo5918

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @africanafrican9461

    @africanafrican9461

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @hamisimtamike9583

    @hamisimtamike9583

    2 жыл бұрын

    😁😁😁nimecheka Sanaa asee

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @ahmedsalumomar5002
    @ahmedsalumomar50022 жыл бұрын

    My best friend

  • @dorahwillson1807
    @dorahwillson18072 жыл бұрын

    Aisee Mungu atujalie umri mlefu

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @maisarasid8670
    @maisarasid86702 жыл бұрын

    Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos20082 жыл бұрын

    Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .

  • @munawwarabeid8634
    @munawwarabeid86342 жыл бұрын

    Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke

  • @alialibablly7010
    @alialibablly70102 жыл бұрын

    Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Awesome 👌🏽💜

  • @fadhroshlove1511
    @fadhroshlove15112 жыл бұрын

    Allah akupe umrimrefu inshaAllah

  • @aliaboud9202
    @aliaboud92022 жыл бұрын

    Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua

  • @aminaothman2136
    @aminaothman21362 жыл бұрын

    Babu kachangamka mashallah

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    2 жыл бұрын

    mashallah sio vijana wa siku hizi

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 Жыл бұрын

    Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri

  • @upendomassawe7477
    @upendomassawe7477 Жыл бұрын

    😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana

  • @chidyboytz48
    @chidyboytz48 Жыл бұрын

    maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆‍♂️😂😂😂😂😂😂

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64232 жыл бұрын

    Babu mjanja umeandika na wameiba😂

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    Nikajua haoni kumbe anaona!

  • @idarousphotography6727
    @idarousphotography67272 жыл бұрын

    Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile

  • @saidabdala4980

    @saidabdala4980

    2 жыл бұрын

    @@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Жыл бұрын

    Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.

  • @zenadadi1768
    @zenadadi17682 жыл бұрын

    Naomba namba za uyo babu

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu42612 жыл бұрын

    Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa

  • @saidsalim2561
    @saidsalim25612 жыл бұрын

    Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri

  • @mdta8161
    @mdta81612 жыл бұрын

    😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah84562 ай бұрын

    Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi

  • @hafidhharuna9958
    @hafidhharuna99582 жыл бұрын

    Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go3 ай бұрын

    Huyu mzee namjua sana

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias99672 жыл бұрын

    Huyu mzee White Sana

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Mwarabu huyo

  • @hassankisuke5356
    @hassankisuke5356 Жыл бұрын

    Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын

    Nimempenda sana babu 😍😍❤

  • @salmabrown1250
    @salmabrown12502 жыл бұрын

    anapatikana wapi?

  • @raiye5621
    @raiye56212 жыл бұрын

    Huyu babu kafumba macho ndio mna anaibiwa maskin wee 😃 😀 😄

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    2 жыл бұрын

    😀😀

  • @faaabuboy1900

    @faaabuboy1900

    2 жыл бұрын

    Muangaz unampa shida

  • @sameermilo4907
    @sameermilo49072 жыл бұрын

    Home sweet home kiponda zanzibar

  • @dioufgaxa5779
    @dioufgaxa5779 Жыл бұрын

    Noma

  • @Awatee
    @Awatee2 жыл бұрын

    Subhana ALLAH mtihan eti tusharudi 🤭wala siakucheka

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@sakinat2527 Hatari lkn salama

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    2 жыл бұрын

    @@Awatee 😃😃😃😄KWELI SI YAKUCHEKA

  • @zenadadi1768
    @zenadadi17682 жыл бұрын

    My Nina shida namba zake nitazipataj

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    nitakupatia subir

  • @herculesthepower1544
    @herculesthepower15442 жыл бұрын

    Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.

  • @ibrahimkhaleel2804

    @ibrahimkhaleel2804

    Жыл бұрын

    Hongera kupata Baraka ya mzee

  • @instavstiktokvideos4641
    @instavstiktokvideos46412 жыл бұрын

    Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii

  • @petriciajohn1245
    @petriciajohn1245 Жыл бұрын

    Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake

  • @haniiniramzan9989
    @haniiniramzan9989 Жыл бұрын

    Mashallh Babu

  • @juliankamugisha9886
    @juliankamugisha98862 жыл бұрын

    Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣

  • @rahmaabdulla4949

    @rahmaabdulla4949

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔

  • @samiaalriyami3488

    @samiaalriyami3488

    2 жыл бұрын

    hahahha

  • @ayoubharoub5807
    @ayoubharoub58072 жыл бұрын

    Tusharudii wahuni sio w2 poa

  • @lumumbasankara6388
    @lumumbasankara6388 Жыл бұрын

    Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr

  • @perismwangi1921
    @perismwangi1921 Жыл бұрын

    Mzee comedian huyu😂😂😂

  • @missjesy2205
    @missjesy22052 жыл бұрын

    The guy was very handsome those dayz

  • @dullymsomaly3782
    @dullymsomaly37822 жыл бұрын

    Millard ayo muunganishe na bongo zozo...ananunua sana hela za zamn

  • @DjohnSkills
    @DjohnSkills2 жыл бұрын

    @bongozozo aje kununua Pesa apa

  • @aliyulukiza8857
    @aliyulukiza88572 жыл бұрын

    Huyu mzee yuko makini sana

  • @samiaalriyami3488
    @samiaalriyami34882 жыл бұрын

    Millard ayo@ muunganishe na Mama samia ombi lake

  • @saidabdala4980

    @saidabdala4980

    2 жыл бұрын

    Nataka namba za milad ayo

  • @ablashaffy2860
    @ablashaffy28602 жыл бұрын

    Hahah...huyu mzee yupo nyuma ya ofisi yetu na kila nkienda kazini ndio njia yangu. Nikimsalmia huwa mzito kujibu kumbe anaongeaa

  • @fatmass6125

    @fatmass6125

    2 жыл бұрын

    😂😂😂Eti kumbe anaongea

  • @queenlinda255

    @queenlinda255

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 ni uzee tu msamehee

  • @gracymkumba700

    @gracymkumba700

    2 жыл бұрын

    itakuwa unamsalimia huku unatembea ndugu jaribu kusimama alafu unamsalimia si unajua umri umeenda

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    Rabda akuskii si unajua age nayo imeenda, na hata macho sizani km anaona mbl Msamehe tu mzee wako

  • @ablashaffy2860

    @ablashaffy2860

    2 жыл бұрын

    @@gracymkumba700 hahahahah....poaa

  • @johnsadik5060
    @johnsadik5060 Жыл бұрын

    wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman16492 жыл бұрын

    Heheheheheheheh mzee kashamaliza hakunaga uganga

  • @devisshirima6780
    @devisshirima67802 жыл бұрын

    Hiyo ndio maana halisi ya MKWARA 😆😆

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh67652 жыл бұрын

    vijana wasikuhiz waovyo san 🤣🤣🤣🤣

Келесі