"UKIMUIBIA HUYU MZEE UNAZIKWA, MAZIWA YA NYOKA" KIKONGWE ZANZIBAR ASIMULIA MAKUBWA
Kutoka Visiwani Zanzibar nakusogezea mahojiano na Mzee ambaye ameweka bango nje ya nyumba yake kuwa ukimuibia unazikwa.
Жүктеу.....
Пікірлер: 255
@vincentcharles43852 жыл бұрын
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee
2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee
2 жыл бұрын
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire9464
2 жыл бұрын
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
@shamzone3882 жыл бұрын
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
@ashajumbe90392 жыл бұрын
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
@mudrickabdallah72512 жыл бұрын
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
Amin
@user-dl3ep1ow3y11 ай бұрын
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rayanaabdallah65802 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan7401
2 жыл бұрын
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa682
2 жыл бұрын
😊😊Amiin
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan7401
2 жыл бұрын
😂😂
@madhuru25542 жыл бұрын
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
Amiin
@malikshafii8431
Жыл бұрын
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru2554
Жыл бұрын
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
Amina
@amemasudi57352 жыл бұрын
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy1785
2 жыл бұрын
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph922
Жыл бұрын
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
@rahmasalim1989 Жыл бұрын
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
@giddyyunky70252 жыл бұрын
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165
Жыл бұрын
Nicee
@waktiahmad2503 Жыл бұрын
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
@hellertv14772 жыл бұрын
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
@suleimansuleiman11272 жыл бұрын
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
@filmflm53892 жыл бұрын
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour676
2 жыл бұрын
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
@msquare2832 жыл бұрын
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
una uhakika ?
@msquare283
2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare283
2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
not jas in case of Islam but he's my real uncle
@faridaabdallah22132 жыл бұрын
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru8328
Жыл бұрын
😁😁😁keep left
@actwazalendo11312 жыл бұрын
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
@feisalmwinyi2429 Жыл бұрын
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
@valentinetesha85362 жыл бұрын
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo5571
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour676
2 жыл бұрын
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
bongo zozo naye ananunua
@adamsoud4862 Жыл бұрын
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
@abdulbora8122 жыл бұрын
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
@aminahussein12242 жыл бұрын
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka640
11 ай бұрын
www vbs
@godfreykweka640
11 ай бұрын
tb
@macharosandra94672 жыл бұрын
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute1540
2 жыл бұрын
Tena anazitafuta sana
@luganostewart83202 жыл бұрын
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje6216
2 жыл бұрын
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid8634
2 жыл бұрын
Yeah kabsa
@salimselemani4861
2 жыл бұрын
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart8320
2 жыл бұрын
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali9053
Жыл бұрын
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
@shikaocharles89912 жыл бұрын
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
🤣🤣
@aishatarimo6780
2 жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire9464
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fatmasalim82932 жыл бұрын
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman6946
2 жыл бұрын
Ameen
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
@jafarinahonyo73492 жыл бұрын
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
@adnanidarous31172 жыл бұрын
Much love mzee wngu
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
@nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
@ahmadseif72412 жыл бұрын
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
@boywithdream202 жыл бұрын
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
@aminaamina39722 жыл бұрын
Amin inshallah
@fuadsaadbiladiboy17852 жыл бұрын
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
@rahelnchagwa79592 жыл бұрын
Jaman wasimuibie jaman
@fahadfahmy2 жыл бұрын
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy
2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour676
2 жыл бұрын
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy
2 жыл бұрын
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
@maisarasid86702 жыл бұрын
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
@goalnews73942 жыл бұрын
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
@RumaitharSalum2 ай бұрын
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
@nooroman25352 жыл бұрын
Inshaallah
@frankdanford82452 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame1490
2 жыл бұрын
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo5918
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@africanafrican9461
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike9583
2 жыл бұрын
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Hahahahaha
@ahmedsalumomar50022 жыл бұрын
My best friend
@dorahwillson18072 жыл бұрын
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin
@maisarasid86702 жыл бұрын
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
@jacksonamos20082 жыл бұрын
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
@munawwarabeid86342 жыл бұрын
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
@alialibablly70102 жыл бұрын
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome 👌🏽💜
@fadhroshlove15112 жыл бұрын
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
@aliaboud92022 жыл бұрын
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
@aminaothman21362 жыл бұрын
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
mashallah sio vijana wa siku hizi
@tingbatuuka7278 Жыл бұрын
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
@upendomassawe7477 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
@chidyboytz48 Жыл бұрын
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆♂️😂😂😂😂😂😂
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah
@tanzaniaoman64232 жыл бұрын
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Nikajua haoni kumbe anaona!
@idarousphotography67272 жыл бұрын
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala4980
2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
@marygregory7566 Жыл бұрын
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
@zenadadi17682 жыл бұрын
Naomba namba za uyo babu
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
@saidsalim25612 жыл бұрын
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
@mdta81612 жыл бұрын
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
@aliabdallah84562 ай бұрын
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
@hafidhharuna99582 жыл бұрын
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
@OmerSuley-gl7go3 ай бұрын
Huyu mzee namjua sana
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Mwarabu huyo
@hassankisuke5356 Жыл бұрын
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
Subhana ALLAH mtihan eti tusharudi 🤭wala siakucheka
@sakinat2527
2 жыл бұрын
😀😀😀
@Awatee
2 жыл бұрын
@@sakinat2527 Hatari lkn salama
@amiriramadhan7753
2 жыл бұрын
@@Awatee 😃😃😃😄KWELI SI YAKUCHEKA
@zenadadi17682 жыл бұрын
My Nina shida namba zake nitazipataj
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
nitakupatia subir
@herculesthepower15442 жыл бұрын
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
@ibrahimkhaleel2804
Жыл бұрын
Hongera kupata Baraka ya mzee
@instavstiktokvideos46412 жыл бұрын
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
@petriciajohn1245 Жыл бұрын
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
@haniiniramzan9989 Жыл бұрын
Mashallh Babu
@juliankamugisha98862 жыл бұрын
Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
hahahha
@ayoubharoub58072 жыл бұрын
Tusharudii wahuni sio w2 poa
@lumumbasankara6388 Жыл бұрын
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
@perismwangi1921 Жыл бұрын
Mzee comedian huyu😂😂😂
@missjesy22052 жыл бұрын
The guy was very handsome those dayz
@dullymsomaly37822 жыл бұрын
Millard ayo muunganishe na bongo zozo...ananunua sana hela za zamn
@DjohnSkills2 жыл бұрын
@bongozozo aje kununua Pesa apa
@aliyulukiza88572 жыл бұрын
Huyu mzee yuko makini sana
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Millard ayo@ muunganishe na Mama samia ombi lake
@saidabdala4980
2 жыл бұрын
Nataka namba za milad ayo
@ablashaffy28602 жыл бұрын
Hahah...huyu mzee yupo nyuma ya ofisi yetu na kila nkienda kazini ndio njia yangu. Nikimsalmia huwa mzito kujibu kumbe anaongeaa
@fatmass6125
2 жыл бұрын
😂😂😂Eti kumbe anaongea
@queenlinda255
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 ni uzee tu msamehee
@gracymkumba700
2 жыл бұрын
itakuwa unamsalimia huku unatembea ndugu jaribu kusimama alafu unamsalimia si unajua umri umeenda
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Rabda akuskii si unajua age nayo imeenda, na hata macho sizani km anaona mbl Msamehe tu mzee wako
@ablashaffy2860
2 жыл бұрын
@@gracymkumba700 hahahahah....poaa
@johnsadik5060 Жыл бұрын
wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena
Пікірлер: 255
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee
2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee
2 жыл бұрын
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire9464
2 жыл бұрын
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
Amin
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan7401
2 жыл бұрын
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa682
2 жыл бұрын
😊😊Amiin
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan7401
2 жыл бұрын
😂😂
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
Amiin
@malikshafii8431
Жыл бұрын
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru2554
Жыл бұрын
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
Amina
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy1785
2 жыл бұрын
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph922
Жыл бұрын
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@christercheru8328
Жыл бұрын
Mtunze tu baba
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165
Жыл бұрын
Nicee
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour676
2 жыл бұрын
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
una uhakika ?
@msquare283
2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare283
2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
not jas in case of Islam but he's my real uncle
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru8328
Жыл бұрын
😁😁😁keep left
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo5571
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour676
2 жыл бұрын
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
bongo zozo naye ananunua
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka640
11 ай бұрын
www vbs
@godfreykweka640
11 ай бұрын
tb
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute1540
2 жыл бұрын
Tena anazitafuta sana
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje6216
2 жыл бұрын
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid8634
2 жыл бұрын
Yeah kabsa
@salimselemani4861
2 жыл бұрын
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart8320
2 жыл бұрын
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali9053
Жыл бұрын
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
🤣🤣
@aishatarimo6780
2 жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire9464
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman6946
2 жыл бұрын
Ameen
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin yarrab
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
Much love mzee wngu
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
Amin inshallah
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
Jaman wasimuibie jaman
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy
2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour676
2 жыл бұрын
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy
2 жыл бұрын
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
Inshaallah
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame1490
2 жыл бұрын
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo5918
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@africanafrican9461
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike9583
2 жыл бұрын
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Hahahahaha
My best friend
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
Amiin
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
Awesome 👌🏽💜
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
mashallah sio vijana wa siku hizi
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆♂️😂😂😂😂😂😂
Mashallah Allah
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
Nikajua haoni kumbe anaona!
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala4980
2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
Naomba namba za uyo babu
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
Huyu mzee namjua sana
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Mwarabu huyo
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
Nimempenda sana babu 😍😍❤
anapatikana wapi?
Huyu babu kafumba macho ndio mna anaibiwa maskin wee 😃 😀 😄
@sakinat2527
2 жыл бұрын
😀😀
@faaabuboy1900
2 жыл бұрын
Muangaz unampa shida
Home sweet home kiponda zanzibar
Noma
Subhana ALLAH mtihan eti tusharudi 🤭wala siakucheka
@sakinat2527
2 жыл бұрын
😀😀😀
@Awatee
2 жыл бұрын
@@sakinat2527 Hatari lkn salama
@amiriramadhan7753
2 жыл бұрын
@@Awatee 😃😃😃😄KWELI SI YAKUCHEKA
My Nina shida namba zake nitazipataj
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
nitakupatia subir
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
@ibrahimkhaleel2804
Жыл бұрын
Hongera kupata Baraka ya mzee
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
Mashallh Babu
Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔
@samiaalriyami3488
2 жыл бұрын
hahahha
Tusharudii wahuni sio w2 poa
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
Mzee comedian huyu😂😂😂
The guy was very handsome those dayz
Millard ayo muunganishe na bongo zozo...ananunua sana hela za zamn
@bongozozo aje kununua Pesa apa
Huyu mzee yuko makini sana
Millard ayo@ muunganishe na Mama samia ombi lake
@saidabdala4980
2 жыл бұрын
Nataka namba za milad ayo
Hahah...huyu mzee yupo nyuma ya ofisi yetu na kila nkienda kazini ndio njia yangu. Nikimsalmia huwa mzito kujibu kumbe anaongeaa
@fatmass6125
2 жыл бұрын
😂😂😂Eti kumbe anaongea
@queenlinda255
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 ni uzee tu msamehee
@gracymkumba700
2 жыл бұрын
itakuwa unamsalimia huku unatembea ndugu jaribu kusimama alafu unamsalimia si unajua umri umeenda
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Rabda akuskii si unajua age nayo imeenda, na hata macho sizani km anaona mbl Msamehe tu mzee wako
@ablashaffy2860
2 жыл бұрын
@@gracymkumba700 hahahahah....poaa
wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena
Heheheheheheheh mzee kashamaliza hakunaga uganga
Hiyo ndio maana halisi ya MKWARA 😆😆
vijana wasikuhiz waovyo san 🤣🤣🤣🤣