RASTAFARI TUNAONEKANA KAMA RAIA DARAJA LA PILI, WAZUNGUMZIA TAMKO LA SERIKALI

The Chanzo imefanya mahojiano na Muhemsi Mwakihwelo, mmoja wa wanajamii wa imani ya ‘Rastafari’ pamoja na mwanachama wa Rastafari United Front (R.U.F).
Ameelezea mengi ikiwemo chimbuko la Imani yao, jinsi jamii inavyowachukulia, mmea wa cannabis sativa.
Pia ametoa maoni dhidi ya tamko la kamishna wa elimu Dr. Lybwene M. Mtahabwa kuwataka wanafunzi wa imani hiyo kuwa na kibali kinachowaruhusu wanafunzi hao kusoma shuleni wakiwa na rasta asilia.
Fuatilia mahojiano yote kupitia channel ya The Chanzo pekee.

Пікірлер: 18

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa Жыл бұрын

    Mtunza Misingi Muhemusi Mwakihwelo wa Kihesa ✊🏿🖤

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx5 ай бұрын

    Aman na upendo rasta

  • @mikhollelnkosanamwanzali2994
    @mikhollelnkosanamwanzali29943 жыл бұрын

    I'm gettin em contents, Irie Man

  • @jastinalen8779
    @jastinalen87793 жыл бұрын

    Sawa brother nakubali alakati zako mwakihwelo

  • @ajunadickson3189
    @ajunadickson31892 жыл бұрын

    Nimekuerewa Iman Aisajiliwi

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Жыл бұрын

    Nakubali harakati za Rasta

  • @rasmbegu
    @rasmbegu3 жыл бұрын

    Heshima sana kwako mfalme

  • @samkitwima7933
    @samkitwima79333 жыл бұрын

    Nakuelewa since day one Mkushi!!

  • @didassadik8075
    @didassadik8075 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @jumaramadhani2447
    @jumaramadhani2447 Жыл бұрын

    Amani na upendo Rasta

  • @margaridaagostinhoacaciona3656
    @margaridaagostinhoacaciona36563 ай бұрын

    Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka juu yake alhaamdulilaah uislam ni dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka alhaamdulilaah wewe ni Rasta fari ni mvuta bangi ni watu wasiokua na akili ni watu machizi bangi bangi imewafanya machizi mliolaaanika Kwa mungu na msiowatambua mitume na msioamini mwisho wa Dunia huo ni msibaa mkubwa Kwa warasta waliolaaanika huooo ni msibaa mkubwa inaa lilaahi wainaaa ilaaaahi raaajuuuhn poleni sana

  • @user-kx4wd5vb4j

    @user-kx4wd5vb4j

    2 ай бұрын

    Una utukufu gani wewe wa kuwalaani wanaadamu wenzako? Wewe ni mtakatifu??waislamu hawako ivyo waislamu ni waumini wenye kuheshimu imani za wengine bila ya kubugudhi mtu nenda kasome suratul fur-kan utajua nini maana ya waumini wenye kumjua mwingi wa rehema.anza hapa waibaduhu rahmani ladhiina yamshuna alal audh hauna waidhaa hatwabahujahiluna kalu salama.

  • @makulanangale7186

    @makulanangale7186

    Ай бұрын

    Pole mtumwa umefungwa na minyororo ya utumwa

  • @rausathsued8852
    @rausathsued88523 жыл бұрын

    Dah🙄🙄

  • @giselaherman6799
    @giselaherman67993 жыл бұрын

    Hii ni Elimu

  • @TrueZionTv255
    @TrueZionTv2553 жыл бұрын

    RASTAFARI

  • @ibrahist
    @ibrahist3 жыл бұрын

    Darasa huru

Келесі