RASTAFARI TUNAONEKANA KAMA RAIA DARAJA LA PILI, WAZUNGUMZIA TAMKO LA SERIKALI
The Chanzo imefanya mahojiano na Muhemsi Mwakihwelo, mmoja wa wanajamii wa imani ya ‘Rastafari’ pamoja na mwanachama wa Rastafari United Front (R.U.F).
Ameelezea mengi ikiwemo chimbuko la Imani yao, jinsi jamii inavyowachukulia, mmea wa cannabis sativa.
Pia ametoa maoni dhidi ya tamko la kamishna wa elimu Dr. Lybwene M. Mtahabwa kuwataka wanafunzi wa imani hiyo kuwa na kibali kinachowaruhusu wanafunzi hao kusoma shuleni wakiwa na rasta asilia.
Fuatilia mahojiano yote kupitia channel ya The Chanzo pekee.
Пікірлер: 18
Mtunza Misingi Muhemusi Mwakihwelo wa Kihesa ✊🏿🖤
Aman na upendo rasta
I'm gettin em contents, Irie Man
Sawa brother nakubali alakati zako mwakihwelo
Nimekuerewa Iman Aisajiliwi
Nakubali harakati za Rasta
Heshima sana kwako mfalme
Nakuelewa since day one Mkushi!!
Safi sana
Amani na upendo Rasta
Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka juu yake alhaamdulilaah uislam ni dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka alhaamdulilaah wewe ni Rasta fari ni mvuta bangi ni watu wasiokua na akili ni watu machizi bangi bangi imewafanya machizi mliolaaanika Kwa mungu na msiowatambua mitume na msioamini mwisho wa Dunia huo ni msibaa mkubwa Kwa warasta waliolaaanika huooo ni msibaa mkubwa inaa lilaahi wainaaa ilaaaahi raaajuuuhn poleni sana
@user-kx4wd5vb4j
2 ай бұрын
Una utukufu gani wewe wa kuwalaani wanaadamu wenzako? Wewe ni mtakatifu??waislamu hawako ivyo waislamu ni waumini wenye kuheshimu imani za wengine bila ya kubugudhi mtu nenda kasome suratul fur-kan utajua nini maana ya waumini wenye kumjua mwingi wa rehema.anza hapa waibaduhu rahmani ladhiina yamshuna alal audh hauna waidhaa hatwabahujahiluna kalu salama.
@makulanangale7186
Ай бұрын
Pole mtumwa umefungwa na minyororo ya utumwa
Dah🙄🙄
Hii ni Elimu
RASTAFARI
Darasa huru