MOTO RAIS ASEMA HABAR NJEMA PEMBA MKATABA UMESAINIWA KUJENGA KIWANJA CHA NDEGE WATALI WAANZE KUEKEZA
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 55
Nini tena mnataka? Mpeni haki yake Dr Mwinyi, mimi naweza ifananisha na Serikali ya awamu ya kwanza katika speed yake ya maendeleo
@OmerSuley-gl7go
Ай бұрын
Shida mamlaka kamili ya Zanzibar ndio kila kitu kwetu sisi Wazanzibari hayo yote yatakuja baada ya mamlaka kamili lakini pia Upinzani wamesema Mwinyi anajenga ila pesa ni nying kuliko thamani ya kitu mfano uwanja wa amani wataalamu wamesema ni billion 17 ila cha ajabu uwanja umetumia billion 100 na upumbavu 😢
@Bridge2024
Ай бұрын
Sahihi kaka tumuombe Dua mungu azidi kukubariki Zanzibar na WA Tanzania kwa ujumla.
@MrKhatibu
Ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go mimi huwa siyatii manani maneno ya wanasiasa.
Wasitazamwe watalii tu bei zipunguzwe za ndege nasie tupande tutumie ivo viwanja. Ukienda marekani ndege ni usafiri wa kawaida.
Jamani lakini Wananchi bado Maskini sana hapo Zanzibar Vitu ghali mishahara midogo. Pia Wananchi wanataka washughulikiwe pia kabla ya Watalii.
@afropanorama4730
Ай бұрын
sasa bila ya vyanzo vya mapato uwo mshahara na ayo mambo mengine yataboreka vipi,au atoe pesa mfukoni mwake
Ww ni mtu mzuri sana.Tuko pamoja nawe.
Hongera Sana Dr Hussen mwinyi.
Mtu wa maana kabisa Dr.mwinyi ❤❤❤
Airport inajengwa bila ya kutangazwa tenda wala baraza la wawakilishi haijatajwa kwenye bajeti ya wizara ya mawasiliano kuna wizi wa mamilioni hapo wananchi wanabebeshwa mizigo ya madeni watakufa hawajamaliza kulipa mwanamkubwa na jamaa zake ndio wanafaidika Zanzibar limekua shamba la bibi
Mtawadanganya haohao majunju wenzenu wasio jielewa.. pumbaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Waajirin vijana waloenda gso uwanja wanzibar abeid amani karume
Allah Alete wepesi kila hatua nasisi tupate airport tufaidike hongera mh Rais
Tunakuamin raisi wetu mwenye macho haambiwi tuzama
Wafanya kazi 600 wazanzibar ni 0
Mbona waongeaji wengi hawana lafughi za kizanzibar hivi wazenjibar washamaliza kuhama kuna watu wapya wanaishi huko sasa ?
Tunataka barabara, maji, umeme, uwanja wa ndege na bandari, na kazi za Zanzibar wapewe wazanzibar tu
Hayo ni kwamaslahi yenu sio Kwa wazanzibar..
Asnt kiongoz wng mng akupe umr mrefu ufanikishe yakher jmn nasi wapemba tuonekane
Waajirin vijana waloenda gso uwanja wanzibar abeid amani karume 7:32
Utachukua miaka mingapi ujenzi huo 20
Maneno matam vitendo sasa ndio mtihani
Tatizo utekelezaji
Ni kwa ajili ya watalii sio kwa ajili yetu
Uo uwanja ata ukijengwa wazanzibar hawapat ajira.tuna mfano wa uwanja wa ndege wa abeid amani karume kabla hajawa rais mwinyi kuwa rais vijana zaid ya sabiini wazanzibar walifanya usaili na wakafika Hadi gso kipnd Cha SheIn alipoingia tu urais vijana wale hawakuitwa Tena maskin Hadi Leo wapo mtaaani na haya yaseme
MAJENGOAJENGO MAJENGO TU, NDIO KIPAUMBELE. WANANCHI HOI NA WAWEKEZAJI NDIO KIPAUMBELE👁️👁️
RAISI WETU TUNAHITAJI MAMLAKA KAMILI KWAZA AYO MAMBO MENGINE TUTAKUUNGA MKONO BAADA YA ILO AMBALO MUHIMU KULIKO AYO UYASEMAYO
Mkataba mara hii sh ngapi apoo tunaingiza😊
Pesa hatujalipwa mpaka leo😂
Au kulani pesa kisha mujenge uwanja wa ndege km uwanja wa mpira
Tushazowea uwongo na kuuliwa
tupeni mikopo vijana hatuna mitajiiiiiii
Wewe sharif umezichukua ardhi zetu
Mradi wa Pemba umekwama kwanini?
Narudi nyumbani
Maneno mengi kama bondia
@user-sf7lp1fs7d
Ай бұрын
😅
Ayo maneno tumeyazoweya
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Sio kwa Hussein Mwinyi umeyazowea kwa kina Babu shein na genge lake ,kamata moja muhimu kuwa Barabara ya wete chake inakamilika mwisho wa mwaka huu na Ile ya chake mkoani itakuwa tayari Mkandarasi yupo kazini
@SeifAllah-ij7uw
Ай бұрын
Karithi kutoka kwa walopita manen
@Pemba680
Ай бұрын
@@rajabmsinzia1715 Mzee izi stori za Barabara ya mkoani na Airport zipo kitambo sanaaa,huu ni uongo ambao wapemba wamechoka nao
@user-wh3jz2ji2i
Ай бұрын
M naomba Kila ck Pemba ijengwe ili tusidhalilike kwenye miji y watu mana Kila ck wapemba tunawaza kuihama Pemba yetu japo tunaipenda ila hakukaliki kwa uhaba w ajira n kazi z kujishuhilidha hakuna inatulazimu tuihame ili maisha ytu tuyanusuru
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
@@Pemba680 Nakwambia tena huo uongo mlizoea kuambiea na Shein na genge lake sio Hussein Mwinyi .Huyu Raisi wa sasa ni wa kipekee kwa Zanzibar hajawahipo kutokea kabla ,ukiachana na Karume Baba
Wizi mtupu
Sitaki hata kuskiliza naona pumba tu
cc wapemba tunanjaa hatutak majengo
Hatutaki utalii badilisha sera kilimo vipi mbona hujasema
Viwanda hujengi unatubabaisha karibu na uchaguzi ile bandari hadi leo maraix wote hamfanyi la màana mnatubabaisha tuu tumechoka vijana hatuna kazi xjuw mnawaza kuwa sisi. mazuzu ccm hamna sera ixpokuwa madaraka tuu ndo mnayoyapenda
Waajirin vijana waloenda gso uwanja wanzibar abeid amani karume
Shida mamlaka kamili ya Zanzibar ndio kila kitu kwetu sisi Wazanzibari hayo yote yatakuja baada ya mamlaka kamili lakini pia Upinzani wamesema Mwinyi anajenga ila pesa ni nying kuliko thamani ya kitu mfano uwanja wa amani wataalamu wamesema ni billion 17 ila cha ajabu uwanja umetumia billion 100 na upumbavu
@mohammedhamad9392
Ай бұрын
Wewe humu haumo tulia waachie wenyewe yako macho tu.shuqran