MOTO RAIS ASEMA HABAR NJEMA PEMBA MKATABA UMESAINIWA KUJENGA KIWANJA CHA NDEGE WATALI WAANZE KUEKEZA

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 55

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibuАй бұрын

    Nini tena mnataka? Mpeni haki yake Dr Mwinyi, mimi naweza ifananisha na Serikali ya awamu ya kwanza katika speed yake ya maendeleo

  • @OmerSuley-gl7go

    @OmerSuley-gl7go

    Ай бұрын

    Shida mamlaka kamili ya Zanzibar ndio kila kitu kwetu sisi Wazanzibari hayo yote yatakuja baada ya mamlaka kamili lakini pia Upinzani wamesema Mwinyi anajenga ila pesa ni nying kuliko thamani ya kitu mfano uwanja wa amani wataalamu wamesema ni billion 17 ila cha ajabu uwanja umetumia billion 100 na upumbavu 😢

  • @Bridge2024

    @Bridge2024

    Ай бұрын

    Sahihi kaka tumuombe Dua mungu azidi kukubariki Zanzibar na WA Tanzania kwa ujumla.

  • @MrKhatibu

    @MrKhatibu

    Ай бұрын

    @@OmerSuley-gl7go mimi huwa siyatii manani maneno ya wanasiasa.

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJABАй бұрын

    Wasitazamwe watalii tu bei zipunguzwe za ndege nasie tupande tutumie ivo viwanja. Ukienda marekani ndege ni usafiri wa kawaida.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106Ай бұрын

    Jamani lakini Wananchi bado Maskini sana hapo Zanzibar Vitu ghali mishahara midogo. Pia Wananchi wanataka washughulikiwe pia kabla ya Watalii.

  • @afropanorama4730

    @afropanorama4730

    Ай бұрын

    sasa bila ya vyanzo vya mapato uwo mshahara na ayo mambo mengine yataboreka vipi,au atoe pesa mfukoni mwake

  • @sharifamuhd4554
    @sharifamuhd4554Ай бұрын

    Ww ni mtu mzuri sana.Tuko pamoja nawe.

  • @Dadydadonmiki-dg3nl
    @Dadydadonmiki-dg3nlАй бұрын

    Hongera Sana Dr Hussen mwinyi.

  • @user-bi1tz8jp9f
    @user-bi1tz8jp9fАй бұрын

    Mtu wa maana kabisa Dr.mwinyi ❤❤❤

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907Ай бұрын

    Airport inajengwa bila ya kutangazwa tenda wala baraza la wawakilishi haijatajwa kwenye bajeti ya wizara ya mawasiliano kuna wizi wa mamilioni hapo wananchi wanabebeshwa mizigo ya madeni watakufa hawajamaliza kulipa mwanamkubwa na jamaa zake ndio wanafaidika Zanzibar limekua shamba la bibi

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867Ай бұрын

    Mtawadanganya haohao majunju wenzenu wasio jielewa.. pumbaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HudnaRashid
    @HudnaRashidАй бұрын

    Waajirin vijana waloenda gso uwanja wanzibar abeid amani karume

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525Ай бұрын

    Allah Alete wepesi kila hatua nasisi tupate airport tufaidike hongera mh Rais

  • @Shdy2569
    @Shdy2569Ай бұрын

    Tunakuamin raisi wetu mwenye macho haambiwi tuzama

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338Ай бұрын

    Wafanya kazi 600 wazanzibar ni 0

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3dbАй бұрын

    Mbona waongeaji wengi hawana lafughi za kizanzibar hivi wazenjibar washamaliza kuhama kuna watu wapya wanaishi huko sasa ?

  • @utaani1
    @utaani1Ай бұрын

    Tunataka barabara, maji, umeme, uwanja wa ndege na bandari, na kazi za Zanzibar wapewe wazanzibar tu

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867Ай бұрын

    Hayo ni kwamaslahi yenu sio Kwa wazanzibar..

  • @ahangfaith1180
    @ahangfaith1180Ай бұрын

    Asnt kiongoz wng mng akupe umr mrefu ufanikishe yakher jmn nasi wapemba tuonekane

  • @HudnaRashid
    @HudnaRashidАй бұрын

    Waajirin vijana waloenda gso uwanja wanzibar abeid amani karume 7:32

  • @khamisjuma2947
    @khamisjuma2947Ай бұрын

    Utachukua miaka mingapi ujenzi huo 20

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5niАй бұрын

    Maneno matam vitendo sasa ndio mtihani

  • @khamisjuma2947
    @khamisjuma2947Ай бұрын

    Tatizo utekelezaji

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206Ай бұрын

    Ni kwa ajili ya watalii sio kwa ajili yetu

  • @HudnaRashid
    @HudnaRashidАй бұрын

    Uo uwanja ata ukijengwa wazanzibar hawapat ajira.tuna mfano wa uwanja wa ndege wa abeid amani karume kabla hajawa rais mwinyi kuwa rais vijana zaid ya sabiini wazanzibar walifanya usaili na wakafika Hadi gso kipnd Cha SheIn alipoingia tu urais vijana wale hawakuitwa Tena maskin Hadi Leo wapo mtaaani na haya yaseme

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382Ай бұрын

    MAJENGOAJENGO MAJENGO TU, NDIO KIPAUMBELE. WANANCHI HOI NA WAWEKEZAJI NDIO KIPAUMBELE👁️👁️

  • @shaabanmakame2690
    @shaabanmakame2690Ай бұрын

    RAISI WETU TUNAHITAJI MAMLAKA KAMILI KWAZA AYO MAMBO MENGINE TUTAKUUNGA MKONO BAADA YA ILO AMBALO MUHIMU KULIKO AYO UYASEMAYO

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150Ай бұрын

    Mkataba mara hii sh ngapi apoo tunaingiza😊

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990Ай бұрын

    Pesa hatujalipwa mpaka leo😂

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620Ай бұрын

    Au kulani pesa kisha mujenge uwanja wa ndege km uwanja wa mpira

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3fАй бұрын

    Tushazowea uwongo na kuuliwa

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    tupeni mikopo vijana hatuna mitajiiiiiii

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678Ай бұрын

    Wewe sharif umezichukua ardhi zetu

  • @Abdul-WahidMohamed
    @Abdul-WahidMohamedАй бұрын

    Mradi wa Pemba umekwama kwanini?

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibuАй бұрын

    Narudi nyumbani

  • @islambinomar8716
    @islambinomar8716Ай бұрын

    Maneno mengi kama bondia

  • @user-sf7lp1fs7d

    @user-sf7lp1fs7d

    Ай бұрын

    😅

  • @Pemba680
    @Pemba680Ай бұрын

    Ayo maneno tumeyazoweya

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    Sio kwa Hussein Mwinyi umeyazowea kwa kina Babu shein na genge lake ,kamata moja muhimu kuwa Barabara ya wete chake inakamilika mwisho wa mwaka huu na Ile ya chake mkoani itakuwa tayari Mkandarasi yupo kazini

  • @SeifAllah-ij7uw

    @SeifAllah-ij7uw

    Ай бұрын

    Karithi kutoka kwa walopita manen

  • @Pemba680

    @Pemba680

    Ай бұрын

    @@rajabmsinzia1715 Mzee izi stori za Barabara ya mkoani na Airport zipo kitambo sanaaa,huu ni uongo ambao wapemba wamechoka nao

  • @user-wh3jz2ji2i

    @user-wh3jz2ji2i

    Ай бұрын

    M naomba Kila ck Pemba ijengwe ili tusidhalilike kwenye miji y watu mana Kila ck wapemba tunawaza kuihama Pemba yetu japo tunaipenda ila hakukaliki kwa uhaba w ajira n kazi z kujishuhilidha hakuna inatulazimu tuihame ili maisha ytu tuyanusuru

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    @@Pemba680 Nakwambia tena huo uongo mlizoea kuambiea na Shein na genge lake sio Hussein Mwinyi .Huyu Raisi wa sasa ni wa kipekee kwa Zanzibar hajawahipo kutokea kabla ,ukiachana na Karume Baba

  • @NassorOmarDadi
    @NassorOmarDadiАй бұрын

    Wizi mtupu

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157Ай бұрын

    Sitaki hata kuskiliza naona pumba tu

  • @dulapele7868
    @dulapele7868Ай бұрын

    cc wapemba tunanjaa hatutak majengo

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678Ай бұрын

    Hatutaki utalii badilisha sera kilimo vipi mbona hujasema

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151Ай бұрын

    Viwanda hujengi unatubabaisha karibu na uchaguzi ile bandari hadi leo maraix wote hamfanyi la màana mnatubabaisha tuu tumechoka vijana hatuna kazi xjuw mnawaza kuwa sisi. mazuzu ccm hamna sera ixpokuwa madaraka tuu ndo mnayoyapenda

  • @HudnaRashid
    @HudnaRashidАй бұрын

    Waajirin vijana waloenda gso uwanja wanzibar abeid amani karume

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7goАй бұрын

    Shida mamlaka kamili ya Zanzibar ndio kila kitu kwetu sisi Wazanzibari hayo yote yatakuja baada ya mamlaka kamili lakini pia Upinzani wamesema Mwinyi anajenga ila pesa ni nying kuliko thamani ya kitu mfano uwanja wa amani wataalamu wamesema ni billion 17 ila cha ajabu uwanja umetumia billion 100 na upumbavu

  • @mohammedhamad9392

    @mohammedhamad9392

    Ай бұрын

    Wewe humu haumo tulia waachie wenyewe yako macho tu.shuqran

Келесі