MOTO:DK KHALID ATOA TAMKO UWANJA WA NDEGE PEMBA UJENZI UNAANZ MWAKA2024 TUSHASAINI MIKATABA

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 18

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bbАй бұрын

    Dkt. Khalid asante sana kwa kua mtu mwenye busara ya kujibu masuala ya wizara yako ya mawasiliano Mwenyezi Mungu akuzidishie hekma na ulimi unao toa maneno ya kistaarab kwa wananchi na wasikilizaji kwa ujumla, busara ni kitu adimu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh27 күн бұрын

    Tiffu toeni ata asante kwa kufatilia chanal yenu au hua hamsomi coment

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB29 күн бұрын

    Yaani miaka 50 bado mnazungumzia road kujenga. Mtihani hata road hazifikia 2000km Zanzibar yote.

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    air port pemba itajengwa barabara zitajengwa, huu ni kama wimbo wa taifa na tayar tumeuzoea. barabara ya wete chake huu ni mwaka karib 4

  • @HadharAbdullah
    @HadharAbdullahАй бұрын

    Hee waziri kusini gani hiyo barabara iliyokamilika

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB29 күн бұрын

    Mkoani Barabara za Mtambile Kangani, Mtambile Mwambe, Mizingan wambaa, Mjawiri Tundaua hizi vipi. Hazijengwi

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5r28 күн бұрын

    Kwa Pemba maneno tu utekelezaji zero

  • @Pemba680
    @Pemba68029 күн бұрын

    Lini?????

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufeeАй бұрын

    Sas mtazdisha ajali coz askari wenu wnakaa na marungu njian iyo sheria namb ngap na kifungu gan .

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh27 күн бұрын

    Dr.Khalid tunaimani na wewe ila Kilio changu pale jamhuri garden darajani apewe mtu mwenye uwezo pale ni sura ya nchi ukipata nafas nenda kaangalie kinachoendelea pale ni uwekezaji wa maigizo tu

  • @mudysule5495
    @mudysule5495Ай бұрын

    Muwalipe sio muwaondoe watu kweny maeneo yao alf hawajui waende wp

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji19728 күн бұрын

    Huyu ni mtu Muongo kama walivyo Waongo wa CCM tu. Huyu sie aliekua Muandishi wa Katiba Mpya na akawa tayari kuiuza Zanzibar kwa kunenepesha Tumbo lake? Hizi nyimbo za kujengwa barabara na Gati za Pemba zipo tokea tu Watoto sasa tupo na Wajukuu.

  • @kitosio
    @kitosio26 күн бұрын

    Kiongozi hapo umezununza Point kubwa. Una akili nzuri ndugu. Bado Utekelezaji tu

  • @alinassor391
    @alinassor39129 күн бұрын

    Bandari ya wete je mwaka gani kujengwa

  • @khamismassoud8533
    @khamismassoud853328 күн бұрын

    barabara ya gando hoi bin ntaabani saiv mbovu kabisa

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalimАй бұрын

    Hamuna lolote, usanii tu, izo zinazojengwa saiv miaka 2 Tena hazijamaliza

  • @hafidhkhamis

    @hafidhkhamis

    Ай бұрын

    uhakika

Келесі