MOTO WAHESHIMIWA WAPANDISHIANA SAUTI BARAZAN KISA MAJI PEMBA MPAKA SPIKA ASHINDWA KAMUA KUINGILIA

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 28

  • @Ablahisaid
    @AblahisaidАй бұрын

    Huyo waziri mm binapsi niliomba umeme nilikaa miezi 6 tangu kuomba nikamfuwata yeye aka nambia nyie wapemba munshida kwli mukijenga kichumba kimoja mwataka umeme kwli nilisikitika sna

  • @kitosio
    @kitosioАй бұрын

    Safi sanaaaaaa

  • @kitosio
    @kitosioАй бұрын

    Kijana hongera sana sana. Ahadi hewa hawa. Hawamsaidii Raisi kwa nguvu moja.

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8ilАй бұрын

    Kajibu vizur lakin tatizo ni kuwa hawatekelezi ndio chanzo cha huu mvutano

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518Ай бұрын

    Hayo matatizo ya maji Pemba ni ya makurdi,maana maji Pemba yako kwa wingi,mpaka baharini maji safi yako.Tatizo kubwa ni uwajibikaji.Mpaka hii Leo hapo Wete wananchi wanapata taabu ya maji.

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm11 күн бұрын

    Watu wengine sijui uwaziri wameupata vipi

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4moАй бұрын

    Hawa ndio mawaziri wa Serikali ya CCM na majibu ya kihuni kyltk Chombo muhimu ktk nchi

  • @Pemba680
    @Pemba680Ай бұрын

    Waziri kimeo hata majibu hana

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455Ай бұрын

    Hawana maji hao kama huu mwaka wa 5 kila siku keshokesho

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5ukАй бұрын

    Miaka 60 bado watu wanajadili maji tu

  • @EdiMchubila-kn9ks

    @EdiMchubila-kn9ks

    Ай бұрын

    Maji na bara bara tu alo usiseme maendeleo hamna

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8buАй бұрын

    Huyo waziri nimjeuri sana hawezj kusema wwnyeakili zao inamaanatupo wengune hawana akili hatutaki malumbano peleka majj safi nasalama ww unaweza ishi bila yamaji umeyavulianguo yakogetu

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4pАй бұрын

    Shida maneno bila vitendo

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2kiАй бұрын

    Dah mtihani

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594Ай бұрын

    Yani badala muongee apo munachimba hamuchimbi munasema wakakae nyinyi vp acheni mambo ya kizamani watu wanapa tabu

  • @kitosio
    @kitosioАй бұрын

    Ee slelemani we sele sele. Baba sele tunakukubali sanaaaaa

  • @Ablahisaid
    @AblahisaidАй бұрын

    Wao kw wao wavutana

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid9707Ай бұрын

    Maigizo plus ,tembo na nyani na simba .

  • @abdulkadirmbarouk5634
    @abdulkadirmbarouk5634Ай бұрын

    Kauli ya mheshimiwa kusema watu wennye akili zao wanajuwa hajakusudia uwenda wazimu Kwa nilivyo mfahamu kakusudia watu wenye uelewa wasomi,wataalam Wa kijiji cha michungwani .sio kma kijiji kizima ndio wana elimu na uelewa huo

  • @jombadulla
    @jombadullaАй бұрын

    kwani lazima wachimbe apo,ciwayatoe sehemu nyengne wayapeleke,mbona rahsi tu,yandika mabomba ata wete muyapeleke kichungwani,mnakosea wapi serikali

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419Ай бұрын

    Hatabado

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Kakosea sana Waziri kusema wenye akili zao. Hapo sisi tunafahamu kua Waziri kamaanisha kua wengine hawana akili akiwemo Muheshimiwa Suleimani!! Daaah...majibu mengine hayaa

  • @abdulkadirmbarouk5634

    @abdulkadirmbarouk5634

    Ай бұрын

    Ndio han kashambiwa wataalam wapo

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016Ай бұрын

    Hasara ya kuchagua waeskilishi walio na elimu finyu. Waziri uwe na elimu ya problem solving otherwise utadhalilika.

  • @SuleimanMussa-x5i

    @SuleimanMussa-x5i

    23 күн бұрын

    We una firwa kweli kwan si wajbu kufikishiwa uo umeme nynyi wanguja ni wa binafsi sna

  • @SaidAli-sg1qd
    @SaidAli-sg1qdАй бұрын

    Huyu jamaa kiboko

  • @jumasabour5886
    @jumasabour5886Ай бұрын

    Suala la maji limekua kero ila mm najiuliza. Kwan hatuwezi kuyatransorform hard water to soft water. Ukizingatia tumezngukwa na bahar.

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Ай бұрын

    Juma,hilo wazo ni zuri lakini kwa Zanzibar,mpaka sasa,sio lazima.Maji safi yapo kwa wingi ila hakuna nia dhati ya kuondoa kero hilo

Келесі