MOTO MH NADIL AJIBU KAULI HII ITACHAFUA WANANCHI UJENZI WA PEMBA NI GHALI KULIKO UNGUJA

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 122

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4lАй бұрын

    Freigt rate tani moja ya lami kutoka dar thadi zanzibar port malindi 58,000 kutoka dar hadi mkoani port tzs. 128,000, ni kweli ghali kujenga barabara Pemba

  • @cath-ef7wd

    @cath-ef7wd

    Ай бұрын

    Tugawe bac kama kujenga pemba ni ghali...hoja butu.

  • @EdiMchubila-kn9ks

    @EdiMchubila-kn9ks

    28 күн бұрын

    😅

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Wewe Nadil hufai kua kiongozi hata kwenye Madrassa ya Dini

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6sАй бұрын

    Hafai kuwa kiongozi hata kidogo

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444Ай бұрын

    USIDANGANYE WATU. Usiseme uchaguzi sema uchafuzi.

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJABАй бұрын

    Umieni lakini tutasema sana huna lolote la ukweli lilofana pemba mumeisahau. Ukitaka kujua pemba wapo wengi kila sehem nenda ktik vyuo.

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3izАй бұрын

    Kwani si kweli jizimuwe lakini tunajuwa Wapemba hamuna haja na sisi naona wewe ndiye muongo nambari moja huna lolote wewe Nadil usitupege uongo nani asiyewajuwa zijengwe tu za Unguja wewe si muuwaju tu subiri uibe kura huna lolote domo kaya

  • @SuleimanMussa-br6hn
    @SuleimanMussa-br6hnАй бұрын

    Mungu ipo siku atatuhukumia wapemba

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Ай бұрын

    Siyo zana ni kweli zitaje hizo barabara za pmb zilizojengwa pmb

  • @bausaboy2489
    @bausaboy2489Ай бұрын

    Pemba na zanzibar why this?

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3edАй бұрын

    Nadiri kasema kweli Sana ... Hussein Ali Mwinyi Yupo vizuri Hana ubaguzi

  • @cath-ef7wd

    @cath-ef7wd

    Ай бұрын

    Nawewe c ni sawa na yeye tu nyote ni mavunjajungu nyinyi shezi

  • @hamaddadi-hp8tc
    @hamaddadi-hp8tcАй бұрын

    Munapendelea kweli

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qwАй бұрын

    Afu Mukiambiwa munaubaguguzi mna kataa.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589Ай бұрын

    Meco kampuni yenu

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411Ай бұрын

    Huyu jamaa mbona si mzima ( chizi)

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510Ай бұрын

    Kujenga PEMBA kwa Mh. Raisi ni wajibu wake.

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын

    Neno ZANZIBAR UKISEMA WW UTAKUA HAINA ILA UYO MWEHESHMIWA ANASEMA KULE NA UKU ZANZIBAR II INAMAANA GANI?

  • @wadhhasuleiman2621
    @wadhhasuleiman2621Ай бұрын

    Ww jamaa ndo mbaguzi hasa

  • @SuleimanKhalfan-xr1uc
    @SuleimanKhalfan-xr1ucАй бұрын

    Achani ujinga muongo ni ww kwani nani asietambua km munaibagua Pemba ila ss hatutokufa kwa ubaguzi wenu tutakufa kwa ahadi za mola

  • @shahidmaftouh1141
    @shahidmaftouh1141Ай бұрын

    Wewe tuzarau wapemba, but one day yes ,utatutambua we Mwaharamu, shenzi

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Huyu ni mwanaharamu wa kihindi anajifanya mwarabu Shenzi Zake!wanatukana na kudharau Wapemba Lin wamewaoa na kuwajaza majumbani mwao ni hivi karibuni tu nudging yake mwanaharamu huyu Amelia Mpemba!kwanini hakumpeleka Matemwe kuoa?

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Ndugu yake

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Ameoa

  • @awenamuhammed
    @awenamuhammedАй бұрын

    Fuoni kitongani wanalia Hali ilivo wananchi hawana barabara

  • @SabraNassor-hv1xi
    @SabraNassor-hv1xiАй бұрын

    Uwounaozungumza ww ni uwongo maana barabara za pemba hazina viwango choko ww

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750Ай бұрын

    Mshenzi huyu alimpoteza mwenziwe kwa kula tu mnafikiri atakua na imani na binaadamu mwenziwe huyu anajiangalia nafsi yake tu kuuwa. Allah amuangamize jweupe kila mtu ashuhudie

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2uiАй бұрын

    Hakuna Zanzibar na Pemba, jamani munatudhalilisha. Uongozi ni mas.uli mbele ya Allah. Leo unajibu hiyo kwa binaadamu wenzako jitayarisheni na majibu mbele ya Allah

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Sasa unaposema Pemba ni garama unamaanisha kua Serikali imeshindwa kuijenga Pemba au vipi?

  • @alkhalilalkhalil8208
    @alkhalilalkhalil8208Ай бұрын

    Kwani uongo kila kitu kinafanyika unguja Hali ya kuwa kuna njia mbovu tena njia kubwa

  • @jokhaaliy3720
    @jokhaaliy372028 күн бұрын

    Huyu hafai ata kuongoza kuku

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3tАй бұрын

    Barabara gaani iliyojengwa Pemba

  • @zahormohammed4476
    @zahormohammed44766 сағат бұрын

    Wewe wacha ujinga umefanya sensa lini mpaka useme pemba nzima watu wapo 400,000

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2uiАй бұрын

    Sasa ikiwa ni hivyo wapemba wapo unguja kwanini haki haitendeki wakati wa uchaguzi. Wapemba hamutupebdi muna chuki za ndani lkn Allah atawahukumu

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Ай бұрын

    Chuki imetawala visiwani ndio maana hata tunapokua twajifanya tunawakataa watanganyika ilhali waunguja na wapemba hawatakani Hua nacheka sana .

  • @khamushamad8857
    @khamushamad885713 күн бұрын

    Huna unalolijua kazi yako kuharibu uko pemba wakujua toka lini muhind weye

  • @SuleimanMussa-br6hn
    @SuleimanMussa-br6hnАй бұрын

    Hata aibu huoni ww

  • @MasuKhamis-rl9ne
    @MasuKhamis-rl9neАй бұрын

    SS wew Mungu atakuhukimu sio unasema tunapotaka unakaa usije kuta we mbwa wa kihindi

  • @seifjuma4252
    @seifjuma4252Ай бұрын

    Let me to be silence coz life is too Short Everyday people's die,u don't know Which reason, But Remember that Maisha n safar Ndefu,Kua hadith Mzur skumoja uje usimuliwe,Our last president sayed. Mh alhassan Rest in peace in your Grave 🪦

  • @masoudsalum
    @masoudsalum9 күн бұрын

    Hadi hapo ni kilometer 307,05tu

  • @SuleimanMkubwa-ic1ig
    @SuleimanMkubwa-ic1igАй бұрын

    Mzee ana kelele sn lamaana Hana

  • @AbdulSaid-bn2gi
    @AbdulSaid-bn2giАй бұрын

    Huyu ni mjinga

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192Ай бұрын

    Mambo haya ndio yanayosumbua had kwenye muungano

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Barabara gani iliyojengwa Pemba

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990Ай бұрын

    Kumbe kuna zanzibar na pemba hadi mwakilishi anasema zanzibar alafu pemba😂

  • @khamismassoud8533
    @khamismassoud8533Ай бұрын

    ww ni muongo pemba mumetuletea mecco anatengeneza barabara mbovu kil sehemu

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki27 күн бұрын

    Ww ata akili hutumii kwan hizopesa unazozitaja za babayako

  • @user-dg7lf8gp8k
    @user-dg7lf8gp8k23 күн бұрын

    Weee ni fala sana fala sana hufai kuwa kiongoz msenge wewe

  • @omarabdallah9576
    @omarabdallah9576Ай бұрын

    Muhimu ni kujielewa kwanza maana nikudhalilisha hilo baraza tu

  • @ahangfaith1180
    @ahangfaith118023 күн бұрын

    Nkwl mnatubagua pemba musitudanganye taasisi na makampun mazur mnaziweka unguja nenden uko musishauwe

  • @nassorseif404
    @nassorseif40428 күн бұрын

    Hili ni jipu liondoeni, lina sera za ubaguzi

  • @SuleimanKhalfan-xr1uc
    @SuleimanKhalfan-xr1ucАй бұрын

    Na km rais anafuatilia kweli baraza wajinga km hawa hawafai ata viongozi wa nyumba zao awo wake na watoto zao hawawezi kuwaongoza baadae wanakuja kupewa uwaziri lazima raisi alitafakari kwa kina hilo au wanaomshauri wampatie ushauri mzuri sana mh raisi ili na sisi wananchi wake tusimchukie

  • @MasuKhamis-rl9ne
    @MasuKhamis-rl9neАй бұрын

    Au wew babu yako kuzaliwa unguja

  • @alkhalilalkhalil8208
    @alkhalilalkhalil8208Ай бұрын

    Wewe ndio hujuelewi kuna skuli moja inaitwa Kengeja wallah NI kongwe mpaka unaona huruma skuli mpya zinahengwa mpaka Leo Ile shule upo vilevile

  • @ahangfaith1180
    @ahangfaith118023 күн бұрын

    Lzm wapemba hame sabb nakuskiliza sn kl kitu vta utavikuta kwa mung

  • @kassim1262
    @kassim1262Ай бұрын

    Taget yao kabla uchaguzi 😂😂😂😂😂yni wnamaanisha hwjengi kwniaba ywnanchi bali kwniaba ykuwahadaa wnanchi ili ikifika uchaguzi iwe nirahisi kuwahadaa wnanchi kwbarabra 😂😂😂

  • @amalakh1990
    @amalakh1990Ай бұрын

    Je na sisi wazanzibari kama wazanzibari inatupaswa tufanyiwe ivo ivo na watanganyika ?? Mana na wao ni wengi. Mkoa wa mmoja tu ni znz yoye unguja na pemba . Mawazo finyu ayoo

  • @MasuKhamis-rl9ne
    @MasuKhamis-rl9neАй бұрын

    Na wew sio urudi kwenu india

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688Ай бұрын

    Muheshimiwa mwenyekiti muwe na tahadhari sana bado ana yaleyale ya zamani anabaguwa huyu ana maneno siyo ya kiuongozi hizo habari za takuwimu zinahusu nini waziri mrekebishe huyo muhindi

  • @user-cu7ts9ik7g
    @user-cu7ts9ik7gАй бұрын

    dahhh wapemba pole sana hadi serekali inaiongea hiv 😅😅😅😅 chozi l myonge

  • @AbdulSaid-bn2gi
    @AbdulSaid-bn2giАй бұрын

    Huyo kiongozi hafai

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Twende Pemba nikakuoneshe barabara kutoka Mtambile kwenda Kemgeja mpaka Muwambe Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Pemba

  • @MeniJr
    @MeniJrАй бұрын

    Weye HAPA unguja kwenu weye mbwa wa kihindi au unajipendekeza tu mshenzi weye

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6zАй бұрын

    Yan uyu mbwa mbaguz sana

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    subhanallah! kiongozi unasimama unaongea utumbo huo? uongozi ni busara baba,ukiona unaowangoza wamekosea waeleze kistaarabu sio lugha ya ajabu kama ivo.

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    Ай бұрын

    Yupo sawa ni kweli anayosema

  • @muflih85
    @muflih85Ай бұрын

    Ww ni miongoni mwa wizi tu ata kuongea hujui hauna talent ya uongozi

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad101624 күн бұрын

    Hell to hear you. Unguja ubaguzi. Pemba tunapigwa mikwanja tu hamna kitu

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5rАй бұрын

    Hiyo Bandari iliyojengwa ya mkoani

  • @MuhamadikhatibMalili
    @MuhamadikhatibMaliliАй бұрын

    Jamaa tumbo Lake halishibi hata umpe dunia

  • @KaribuPemba
    @KaribuPembaАй бұрын

    Huoni ata aibu kusema pemba garama ni kubwa kuliko unguj. Afu ati wajita mtetezi wa wananchi

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3edАй бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wdАй бұрын

    Huyu mjinga sana eti kule hakuna watu...wewe unaongea nn

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Kumbe katika viongzi ambao ni wabuguzi waliopo Baraza la Wakilishi ni wewe Nadiri

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304Ай бұрын

    Mmejenga bandari au mmetengeneza uchochoro

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5rАй бұрын

    Ubaguzi ndo wako mshenzi tu

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qwАй бұрын

    Wewe pumbavu kuliko.

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353Ай бұрын

    hujuwi ww km pemba imebaguliwa tokea zamani pemba ww wacha ujinga ww mpuuzi moja1

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    Na ndio maana mnataka Serikali ili mtoe makucha yenu mliyoyaficha kwa Wazanzibari na hasa watu wa Unguja hahahaha mtashaaa

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4moАй бұрын

    Kwani sio kweli! Wacha kuwafanya Wapemba wajinga!huyu kweli ni Waziri?hana vigezo hata kidogo anazungumza Kama Yuko Kisonge na inawezekana ndiye mwandishi wa Yale maneno yanayoandikwa ktk ule ubao wao

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411Ай бұрын

    Huyu sijui hata kama shule ipo

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304Ай бұрын

    Umeonawp bara bara hizo au unajisemea

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7goАй бұрын

    Wewe kiongozi gani unaongea ujinga na utumbo ety wapemba asilimia 70% wapo Unguja yote ni kwa sababu serikali imeshindwa kutengenezwa mazingira rafiki ya sisi wananchi kuishi tulipozaliwa Sio kama tunapenda kuishi katika miji ya watu yote ni kwa sababu ya maisha tu Wewe kiongozi ni mbaguzi na hufai ata kidogo

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Ай бұрын

    Zitaje hizo barabara za pemba zinazojengwa sisi pemba ni kwetu na usiseme zanzibar zanzibar ni unguja na pembap

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Ай бұрын

    Munajenga mwaka gani wakati hata compaseshen hamjafanya

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Ай бұрын

    Ndugu zenu ni watanganyika siyo wapemba

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Na Muheshimiwa Mussa Foum yupo hapo. Acha waseme wawakilishi wetu maana unachoongea wewe ni uongoooo

  • @MeniJr
    @MeniJrАй бұрын

    Mwanaharamu huyu

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qwАй бұрын

    Sasa unakataa nini unakubali nini?

  • @EdiMchubila-kn9ks

    @EdiMchubila-kn9ks

    28 күн бұрын

    Mnafiki uyo jama

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Hayo maneno unayoongea wewe Nadiri ni maneno ya Ubaguzi ambayo Rais anatakaiwa akutumbuwe kabisa. Na huyo Spika wa baraza anazidi kukusaidia khaaaaaa

  • @Pemba680
    @Pemba680Ай бұрын

    Uyu jamaa msenzi sana na hajawahi kuwa na majibu ya kistaarabu

  • @cath-ef7wd

    @cath-ef7wd

    Ай бұрын

    Huyo ni baradhuli eti

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bbАй бұрын

    Huyu kiumbe hajawahi kusema kitu kimoja kikawa na furaha kwa wananchi na hao wapemba waliokua Unguja si nawape sumu wafe apumzike nao

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @AaAa-vm8bb

    @AaAa-vm8bb

    6 күн бұрын

    Huyo hakuonapo kheri yeye na familia yake muacheni atumie nafasi aliokua nayo limbukeni hao ndio watu wa motoni walivo angalia hio misharubu yake

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wdАй бұрын

    Muongo mkubwa wewe Nadri....njia zote pemba mbovu .....ni muongo mkubwa wewe

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qwАй бұрын

    Pemba kumejengwa masoko mangapi hadi sasa , na unguja kumejengwa masoko mangapi, oumbavu zako wewe.

  • @SuleimanMussa-br6hn
    @SuleimanMussa-br6hnАй бұрын

    Hizo punzi ipo siiku zitaisha

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    Zako haziishi

  • @alkhalilalkhalil8208
    @alkhalilalkhalil8208Ай бұрын

    Njia mbovu tutasema wewe binafsi inaonesha ubaguzi

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bbАй бұрын

    ،Hafai kuhukumu hata paka

  • @alinassor391
    @alinassor391Ай бұрын

    Mjinga mkubwa ww

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wdАй бұрын

    Mjinga hata hazungumzi kisomi...yaani barabara zinazojengwa nyanda za juu kusini bara au longido lami au mahitaji si yanashushwa daresalaam? Mjinga sana huyu jamaa

  • @Nassor2377
    @Nassor2377Ай бұрын

    Kiongozi mjinga mbaguzi wawazi ..yanini kusema wanaenda pemba kwa uchaguzi ...kiongozi gani wewe

  • @wadhhasuleiman2621

    @wadhhasuleiman2621

    Ай бұрын

    Uyu jamaa WA kummiminia tindi Kali Tu ety wapemba wengi wanakaa unguja

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    Ай бұрын

    ​@@wadhhasuleiman2621kwani kaongea uongo jamani

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    Kwani uongo ,Wapemba wote mmejazana kwenye mabonde ya Maji Unguja

  • @jumahamadomar9124

    @jumahamadomar9124

    Ай бұрын

    ​@@rajabmsinzia1715na shukuruni sana maana hapa unguja kama sio wapemba wanaowatafutia kila pembe ya dunia mpaka leo mungekuwa mwavaa kaniki na mirekani sambamba na kupanga foleni kwenye maduka ya serikali kuhitaji huduma

  • @jumahamadomar9124

    @jumahamadomar9124

    Ай бұрын

    ​@@rajabmsinzia1715wewe inawezekana ndie unaishi mabondeni kama kambare maana hapa mjini wapemba wamenunuwa kwa asilimia kubwa fanya utafiti ndugu ujue ukweli

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310Ай бұрын

    We ndo kiongozi ati kumaliza lini anajuwa mwenyez Mungu kwa mkataba wa ujebzi kaweka Mwenyez Mungu? Hawa viongozi kujipendekeza tu kwa wakubwa

  • @Pemba680

    @Pemba680

    Ай бұрын

    Mjinga uyu

  • @cath-ef7wd

    @cath-ef7wd

    Ай бұрын

    Yaani hili jamaa nilijinga lakutupwa

Келесі