MOTO MH NADIL AJIBU KAULI HII ITACHAFUA WANANCHI UJENZI WA PEMBA NI GHALI KULIKO UNGUJA
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 122
Freigt rate tani moja ya lami kutoka dar thadi zanzibar port malindi 58,000 kutoka dar hadi mkoani port tzs. 128,000, ni kweli ghali kujenga barabara Pemba
@cath-ef7wd
Ай бұрын
Tugawe bac kama kujenga pemba ni ghali...hoja butu.
@EdiMchubila-kn9ks
28 күн бұрын
😅
Wewe Nadil hufai kua kiongozi hata kwenye Madrassa ya Dini
Hafai kuwa kiongozi hata kidogo
USIDANGANYE WATU. Usiseme uchaguzi sema uchafuzi.
Umieni lakini tutasema sana huna lolote la ukweli lilofana pemba mumeisahau. Ukitaka kujua pemba wapo wengi kila sehem nenda ktik vyuo.
Kwani si kweli jizimuwe lakini tunajuwa Wapemba hamuna haja na sisi naona wewe ndiye muongo nambari moja huna lolote wewe Nadil usitupege uongo nani asiyewajuwa zijengwe tu za Unguja wewe si muuwaju tu subiri uibe kura huna lolote domo kaya
Mungu ipo siku atatuhukumia wapemba
@isaliisu3408
Ай бұрын
Siyo zana ni kweli zitaje hizo barabara za pmb zilizojengwa pmb
Pemba na zanzibar why this?
Nadiri kasema kweli Sana ... Hussein Ali Mwinyi Yupo vizuri Hana ubaguzi
@cath-ef7wd
Ай бұрын
Nawewe c ni sawa na yeye tu nyote ni mavunjajungu nyinyi shezi
Munapendelea kweli
Afu Mukiambiwa munaubaguguzi mna kataa.
Meco kampuni yenu
Huyu jamaa mbona si mzima ( chizi)
Kujenga PEMBA kwa Mh. Raisi ni wajibu wake.
Neno ZANZIBAR UKISEMA WW UTAKUA HAINA ILA UYO MWEHESHMIWA ANASEMA KULE NA UKU ZANZIBAR II INAMAANA GANI?
Ww jamaa ndo mbaguzi hasa
Achani ujinga muongo ni ww kwani nani asietambua km munaibagua Pemba ila ss hatutokufa kwa ubaguzi wenu tutakufa kwa ahadi za mola
Wewe tuzarau wapemba, but one day yes ,utatutambua we Mwaharamu, shenzi
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Huyu ni mwanaharamu wa kihindi anajifanya mwarabu Shenzi Zake!wanatukana na kudharau Wapemba Lin wamewaoa na kuwajaza majumbani mwao ni hivi karibuni tu nudging yake mwanaharamu huyu Amelia Mpemba!kwanini hakumpeleka Matemwe kuoa?
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Ndugu yake
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Ameoa
Fuoni kitongani wanalia Hali ilivo wananchi hawana barabara
Uwounaozungumza ww ni uwongo maana barabara za pemba hazina viwango choko ww
Mshenzi huyu alimpoteza mwenziwe kwa kula tu mnafikiri atakua na imani na binaadamu mwenziwe huyu anajiangalia nafsi yake tu kuuwa. Allah amuangamize jweupe kila mtu ashuhudie
Hakuna Zanzibar na Pemba, jamani munatudhalilisha. Uongozi ni mas.uli mbele ya Allah. Leo unajibu hiyo kwa binaadamu wenzako jitayarisheni na majibu mbele ya Allah
Sasa unaposema Pemba ni garama unamaanisha kua Serikali imeshindwa kuijenga Pemba au vipi?
Kwani uongo kila kitu kinafanyika unguja Hali ya kuwa kuna njia mbovu tena njia kubwa
Huyu hafai ata kuongoza kuku
Barabara gaani iliyojengwa Pemba
Wewe wacha ujinga umefanya sensa lini mpaka useme pemba nzima watu wapo 400,000
Sasa ikiwa ni hivyo wapemba wapo unguja kwanini haki haitendeki wakati wa uchaguzi. Wapemba hamutupebdi muna chuki za ndani lkn Allah atawahukumu
@fahadfaraj6474
Ай бұрын
Chuki imetawala visiwani ndio maana hata tunapokua twajifanya tunawakataa watanganyika ilhali waunguja na wapemba hawatakani Hua nacheka sana .
Huna unalolijua kazi yako kuharibu uko pemba wakujua toka lini muhind weye
Hata aibu huoni ww
SS wew Mungu atakuhukimu sio unasema tunapotaka unakaa usije kuta we mbwa wa kihindi
Let me to be silence coz life is too Short Everyday people's die,u don't know Which reason, But Remember that Maisha n safar Ndefu,Kua hadith Mzur skumoja uje usimuliwe,Our last president sayed. Mh alhassan Rest in peace in your Grave 🪦
Hadi hapo ni kilometer 307,05tu
Mzee ana kelele sn lamaana Hana
Huyu ni mjinga
Mambo haya ndio yanayosumbua had kwenye muungano
Barabara gani iliyojengwa Pemba
Kumbe kuna zanzibar na pemba hadi mwakilishi anasema zanzibar alafu pemba😂
ww ni muongo pemba mumetuletea mecco anatengeneza barabara mbovu kil sehemu
Ww ata akili hutumii kwan hizopesa unazozitaja za babayako
Weee ni fala sana fala sana hufai kuwa kiongoz msenge wewe
Muhimu ni kujielewa kwanza maana nikudhalilisha hilo baraza tu
Nkwl mnatubagua pemba musitudanganye taasisi na makampun mazur mnaziweka unguja nenden uko musishauwe
Hili ni jipu liondoeni, lina sera za ubaguzi
Na km rais anafuatilia kweli baraza wajinga km hawa hawafai ata viongozi wa nyumba zao awo wake na watoto zao hawawezi kuwaongoza baadae wanakuja kupewa uwaziri lazima raisi alitafakari kwa kina hilo au wanaomshauri wampatie ushauri mzuri sana mh raisi ili na sisi wananchi wake tusimchukie
Au wew babu yako kuzaliwa unguja
Wewe ndio hujuelewi kuna skuli moja inaitwa Kengeja wallah NI kongwe mpaka unaona huruma skuli mpya zinahengwa mpaka Leo Ile shule upo vilevile
Lzm wapemba hame sabb nakuskiliza sn kl kitu vta utavikuta kwa mung
Taget yao kabla uchaguzi 😂😂😂😂😂yni wnamaanisha hwjengi kwniaba ywnanchi bali kwniaba ykuwahadaa wnanchi ili ikifika uchaguzi iwe nirahisi kuwahadaa wnanchi kwbarabra 😂😂😂
Je na sisi wazanzibari kama wazanzibari inatupaswa tufanyiwe ivo ivo na watanganyika ?? Mana na wao ni wengi. Mkoa wa mmoja tu ni znz yoye unguja na pemba . Mawazo finyu ayoo
Na wew sio urudi kwenu india
Muheshimiwa mwenyekiti muwe na tahadhari sana bado ana yaleyale ya zamani anabaguwa huyu ana maneno siyo ya kiuongozi hizo habari za takuwimu zinahusu nini waziri mrekebishe huyo muhindi
dahhh wapemba pole sana hadi serekali inaiongea hiv 😅😅😅😅 chozi l myonge
Huyo kiongozi hafai
Twende Pemba nikakuoneshe barabara kutoka Mtambile kwenda Kemgeja mpaka Muwambe Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Pemba
Weye HAPA unguja kwenu weye mbwa wa kihindi au unajipendekeza tu mshenzi weye
Yan uyu mbwa mbaguz sana
subhanallah! kiongozi unasimama unaongea utumbo huo? uongozi ni busara baba,ukiona unaowangoza wamekosea waeleze kistaarabu sio lugha ya ajabu kama ivo.
@user-xv4tl8iv4l
Ай бұрын
Yupo sawa ni kweli anayosema
Ww ni miongoni mwa wizi tu ata kuongea hujui hauna talent ya uongozi
Hell to hear you. Unguja ubaguzi. Pemba tunapigwa mikwanja tu hamna kitu
Hiyo Bandari iliyojengwa ya mkoani
Jamaa tumbo Lake halishibi hata umpe dunia
Huoni ata aibu kusema pemba garama ni kubwa kuliko unguj. Afu ati wajita mtetezi wa wananchi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu mjinga sana eti kule hakuna watu...wewe unaongea nn
Kumbe katika viongzi ambao ni wabuguzi waliopo Baraza la Wakilishi ni wewe Nadiri
Mmejenga bandari au mmetengeneza uchochoro
Ubaguzi ndo wako mshenzi tu
Wewe pumbavu kuliko.
hujuwi ww km pemba imebaguliwa tokea zamani pemba ww wacha ujinga ww mpuuzi moja1
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Na ndio maana mnataka Serikali ili mtoe makucha yenu mliyoyaficha kwa Wazanzibari na hasa watu wa Unguja hahahaha mtashaaa
Kwani sio kweli! Wacha kuwafanya Wapemba wajinga!huyu kweli ni Waziri?hana vigezo hata kidogo anazungumza Kama Yuko Kisonge na inawezekana ndiye mwandishi wa Yale maneno yanayoandikwa ktk ule ubao wao
Huyu sijui hata kama shule ipo
Umeonawp bara bara hizo au unajisemea
Wewe kiongozi gani unaongea ujinga na utumbo ety wapemba asilimia 70% wapo Unguja yote ni kwa sababu serikali imeshindwa kutengenezwa mazingira rafiki ya sisi wananchi kuishi tulipozaliwa Sio kama tunapenda kuishi katika miji ya watu yote ni kwa sababu ya maisha tu Wewe kiongozi ni mbaguzi na hufai ata kidogo
@isaliisu3408
Ай бұрын
Zitaje hizo barabara za pemba zinazojengwa sisi pemba ni kwetu na usiseme zanzibar zanzibar ni unguja na pembap
@isaliisu3408
Ай бұрын
Munajenga mwaka gani wakati hata compaseshen hamjafanya
@isaliisu3408
Ай бұрын
Ndugu zenu ni watanganyika siyo wapemba
Na Muheshimiwa Mussa Foum yupo hapo. Acha waseme wawakilishi wetu maana unachoongea wewe ni uongoooo
Mwanaharamu huyu
Sasa unakataa nini unakubali nini?
@EdiMchubila-kn9ks
28 күн бұрын
Mnafiki uyo jama
Hayo maneno unayoongea wewe Nadiri ni maneno ya Ubaguzi ambayo Rais anatakaiwa akutumbuwe kabisa. Na huyo Spika wa baraza anazidi kukusaidia khaaaaaa
Uyu jamaa msenzi sana na hajawahi kuwa na majibu ya kistaarabu
@cath-ef7wd
Ай бұрын
Huyo ni baradhuli eti
Huyu kiumbe hajawahi kusema kitu kimoja kikawa na furaha kwa wananchi na hao wapemba waliokua Unguja si nawape sumu wafe apumzike nao
@Aisha-lj8bu
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@AaAa-vm8bb
6 күн бұрын
Huyo hakuonapo kheri yeye na familia yake muacheni atumie nafasi aliokua nayo limbukeni hao ndio watu wa motoni walivo angalia hio misharubu yake
Muongo mkubwa wewe Nadri....njia zote pemba mbovu .....ni muongo mkubwa wewe
Pemba kumejengwa masoko mangapi hadi sasa , na unguja kumejengwa masoko mangapi, oumbavu zako wewe.
Hizo punzi ipo siiku zitaisha
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Zako haziishi
Njia mbovu tutasema wewe binafsi inaonesha ubaguzi
،Hafai kuhukumu hata paka
Mjinga mkubwa ww
Mjinga hata hazungumzi kisomi...yaani barabara zinazojengwa nyanda za juu kusini bara au longido lami au mahitaji si yanashushwa daresalaam? Mjinga sana huyu jamaa
Kiongozi mjinga mbaguzi wawazi ..yanini kusema wanaenda pemba kwa uchaguzi ...kiongozi gani wewe
@wadhhasuleiman2621
Ай бұрын
Uyu jamaa WA kummiminia tindi Kali Tu ety wapemba wengi wanakaa unguja
@MohamedAhmada-ie7ke
Ай бұрын
@@wadhhasuleiman2621kwani kaongea uongo jamani
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Kwani uongo ,Wapemba wote mmejazana kwenye mabonde ya Maji Unguja
@jumahamadomar9124
Ай бұрын
@@rajabmsinzia1715na shukuruni sana maana hapa unguja kama sio wapemba wanaowatafutia kila pembe ya dunia mpaka leo mungekuwa mwavaa kaniki na mirekani sambamba na kupanga foleni kwenye maduka ya serikali kuhitaji huduma
@jumahamadomar9124
Ай бұрын
@@rajabmsinzia1715wewe inawezekana ndie unaishi mabondeni kama kambare maana hapa mjini wapemba wamenunuwa kwa asilimia kubwa fanya utafiti ndugu ujue ukweli
We ndo kiongozi ati kumaliza lini anajuwa mwenyez Mungu kwa mkataba wa ujebzi kaweka Mwenyez Mungu? Hawa viongozi kujipendekeza tu kwa wakubwa
@Pemba680
Ай бұрын
Mjinga uyu
@cath-ef7wd
Ай бұрын
Yaani hili jamaa nilijinga lakutupwa