MWAKILISHI WA MTAMBWE BAADA YA KUULIZA SUALA LA MBWA BANDARIN MH NADIL AMJIBU HIVI
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 12
Huyu ni shida kweli kweli maana uwezo wake ni finyu sana kavishwa viatu virefu!
Hawoo mbwaa kawekee kwako wakulindaa
Kumbe Nadir hana elimu anadodosa hata kwenye kusoma na hajui hata kujibu akiulizwa maswala sijui kwanini serikali imempa nafasi kwenye serikali wakati hana elimu wala experiences yoyote ile
Majibwa kweli ni kero.
@isaliisu3408
Ай бұрын
Miradi ya barabara walipeni watu haki zao au ondoweni zuiyo la mdomo watu waendelee kujenga na kupanda vipandovv
Nadir majibu yake sio mazur
@isaliisu3408
Ай бұрын
Subirini uchaguzi mutupige marungu hilo uhakika mwaliweza
@AhmedZahor
Ай бұрын
Baiya anakiburi wengi wamekalia kiti hicho sasa unakalia wewe na wewe utaondoka utakiacha
Huyu jamaa ni jeuri na kiburi sana anajiona kama hatokufa jinga sana
@aliabdalla9297
Ай бұрын
Wahindi wengi ndivyo walivyo lakini
@zahiribrahim8319
Ай бұрын
Eheee nkweli abaa kama jusa 😂
@AhmedZahor
Ай бұрын
Bara liliulizwa Suali kama hilo na lilijibiwa uzuri na hatua zikachukuliwa lkn Baiya mabega yamezidi kichwa