KMKM PEMBA WASHINDWA KUTOA MASHIRIKIANO DC MGENI ALIINGILIA KATI
fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Editors:
Ali Hassira
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Пікірлер: 41
Mtauza mpaka hio bahari, KMKM wanajua km wao ndio wanaoufisidi huo msitu, njaa inawasumbua wanachojua kupiga wanyonge tuu Km Km genge la wezi
Mimi niliwahi kuona hatari kubwa ya umeme sehemu inayotumiwa na watu 200 kwa wakati mmoja. Niliiandikia taasisi husika ichukuwe hatua haraka sana kuzuia umeme mkubwa usilete majanga matokeo nilikatazwa na nilishikishwa adabu nikome siku ya pili nisiingilie mambo ya watu
Kwa utendajikazi wa staili hii tutaendelea kuchelewa,huyu kmkm hata kwa amri ya mkuu wilaya hawezi kutimiza jukumu lakulinda rasilimali ya Taifa!
Hao kmkm ndio waharibifu wakubwa
Mnalindana huyo sio bos wko ww
Kmkm kila hatua wachuma dhambi tuuu mnalaana nyie wamelaaniwa KMKM Hadi Allah akawapiga njaa kwa laana zao
Hao ndio wenye kupeleka karafuu za magendo Kenya na hao ndio wenye kuingiza mirungi na bangi Pemba kutokea mombasa.
Mama uongozi mgum ila Allah akusaidie tu
Ajira mmewapa wengi chakufanya hawana watauza mpaka watu Kwa mamlaka waliopewa
ASA kama hujapewa Rusa watu wanaharibikiwa ungoje rusa ya mkuu wako yupo anastarehe kwake ache wacha ujinga hamko kwajili ya uzalendo ni maslah yenutu to a watendaji kama hao nizam hawana majibu hayana mantiki wekeni watendaji mnaweka wazee
Yaani wanaiba wenyewe and then wanajitekenya wenyewe
Hawa wakuu wa wilaya na majimbo kila mara utawasikia wakisema,linapotokea jambo,tunamuangusha RAIS..Hilo la lakukata msitu wa Ngezi linawaangusha WaPemba zaidi maana wao ndio watakao athirika zaidi na majanga ya uchafuzi wa mazingira.
Duh jamaa anapingana na mkuu wa wilaya, lkn hizo dalili kuwa rushwa inafanya kazi, na hilo lipo wazi kmkm wapo wanapokea rushwa
Hawa KMKM ndio zao hizo hapo wameona hamna faida kwao, Kuna kipindi yanatokea majanga vyombo vimazama wakiitwa kuokoa hudai boti haina mafuta, ila siku nyengine boti hiyo hiyo huwashwa mpaka mkokotoni unguja kuja kuangalia mpira uwanja wa amani
Kamanda yupo sahihi. Huwezi ruhusu raia akague kambi bila kibali cha komodoo
mimi naona wote wanahusika
Hao km. Ndio wakataji miti
Tuone kama sheria zilizopo zinawabana wanyonge tu au kila ambae atazivunja
ww kama dc taratibu unazijua ongea na wakuu wake wa kazi uone kama hatokupa mashirikiano
Yakhee punguzeni uyakhee kamata hao peleka ndani
Hamko kikazi mnaleana kiami
Iyo meshen ya km km walio panga lakini ndio imevuja
Kama hao wote peleka ndani
MH DC mkuu hajakosea kila kazi zina utaratibu wake si mambo ya kutoa amri tu..
Nimpango wao huo umefeli
Ao km km wote wizi
Mwavii unkatwaaa
Duh mpaka huo msitu wa hifadhi wanaukata
@ahmedalbalooshi8518
8 ай бұрын
Bila ya kuhusika hao walinzi wa msitu,hayo yasingefanyika. Maisha utasikia tunatoa onyo,hatua kali ya kuzuia hamna. Si ajabu baada ya miaka kumi Ngezi itakuwa NGOZI
Yaani huyu Askari wa KMKM Hana hata nidhamu na kutokana na maelezo take Tu halitaki ushahidi wa ziada kama na yeye hahusiki na suala hili,na huyu ni Kwa sababu ni mtu kutoka Unguja ndio maana akawa na jeuri hata Kwa Mkuu wa Wilaya!Serikali ya CCM jamanii ni shida kweli kweli
@AzizaOmar-wj3my
Ай бұрын
Nimesikitishwa sana na huyu kmkm hata heshima ya mkuu wa wilaya hana.
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa baraza la usalama kwa hiyo akitoa umri lazima ufuate
Mh 🤐🤐🤐
Dhulma hailetii maendeleo
Fukuza hao
Ingekuwa karafuu wangeuwa mtu
Ao km km wote wizi
Ndii uanze na hao mlowakuta wamebeba kwenye boti yao
Huyo kiongozi hajui wajibu wake hajiamini katika kazi wawajibishwe hao maafisa wa kmkm
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Serikali hii ndugu yangu inaendeshwa kiujamaa!viongozi wametokea Kisonge na watendaji wametokea Kundemba!hapo ni pipa na mfuniko!