DK MWINYI AMALIZA TATIZO LA MAKAAZI KWA WAFANYAKAZI WA HOSPITAL YA ABDULLA MZEE PEMBA

#ikuluzanzibar #global #jifunze #wasafitv #juu #automobile #ayo #ktnnews

Пікірлер: 7

  • @atifsaid2608
    @atifsaid26086 күн бұрын

    Hongera Sana Dr Mwinyi

  • @suleimanmsalum
    @suleimanmsalum2 күн бұрын

    Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman7 күн бұрын

    Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman94497 күн бұрын

    Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p7 күн бұрын

    Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa

  • @saidmuhd611

    @saidmuhd611

    7 күн бұрын

    Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.

Келесі