#zbctvonline
Allaah Amrehem, Ampumzishe Peponi Amiin, Na sisi, Ya Rab, Atupe Husniy Alkhatimah Amiin thumma Amiin
Kumbe mama zetu wanajua km vivazi vyao sio halali
Poleni wafiwa Mungu akupeni subira njema
Aaamiin
Hiii ndio hatuwa ya mwisho tunachotakiwa ni kufanya mema tuuu sawa
Viongozi tendeni haki. Leo yeye kesho mimi keshokutwa wewe. Hitma, arobaini na dua haziwezi muokoa mtu. Amali njema, tuwache kuuwana, tuwache kutiana ulemavu, tuache kuingia madarakani bila ridhaa
كل نفس ذائقة الموت
Nani aliyewachaguwa kuingia barazani 2020 jeshi la TANGANYIKA?.
Mbona jeneza sio rasmi kimaadili yetu au iko xawa
Hilo. Sio. Jeneza. Ni. Sanduku. Tuu. La kuhifadhia. Mwili. Ikiwa. Unaenda. Mbali Kwa. Vile. Halina. Msalaba. Haina. Tatizo. Atakapo. Fika pakuzikwa. Utatolewa na. Kutiwa kwenye. Jenenza. Rasmi
@@hapapetu7018 unachekesha sana ,kwani nani kakuambia jeneza linaitwa jeneza mpaka liwe na msalaba?
Ata mm nina was was
@@emmadora7848 hatujazoea majeneza hayo kwa Waislamu..
@@aliy3303 Ile kwamba hamjazoea haiondoi maana yake.
Пікірлер: 16
Allaah Amrehem, Ampumzishe Peponi Amiin, Na sisi, Ya Rab, Atupe Husniy Alkhatimah Amiin thumma Amiin
Kumbe mama zetu wanajua km vivazi vyao sio halali
Poleni wafiwa Mungu akupeni subira njema
@rashadymuhamad6293
Жыл бұрын
Aaamiin
Hiii ndio hatuwa ya mwisho tunachotakiwa ni kufanya mema tuuu sawa
Viongozi tendeni haki. Leo yeye kesho mimi keshokutwa wewe. Hitma, arobaini na dua haziwezi muokoa mtu. Amali njema, tuwache kuuwana, tuwache kutiana ulemavu, tuache kuingia madarakani bila ridhaa
كل نفس ذائقة الموت
Nani aliyewachaguwa kuingia barazani 2020 jeshi la TANGANYIKA?.
Mbona jeneza sio rasmi kimaadili yetu au iko xawa
@hapapetu7018
Жыл бұрын
Hilo. Sio. Jeneza. Ni. Sanduku. Tuu. La kuhifadhia. Mwili. Ikiwa. Unaenda. Mbali Kwa. Vile. Halina. Msalaba. Haina. Tatizo. Atakapo. Fika pakuzikwa. Utatolewa na. Kutiwa kwenye. Jenenza. Rasmi
@emmadora7848
Жыл бұрын
@@hapapetu7018 unachekesha sana ,kwani nani kakuambia jeneza linaitwa jeneza mpaka liwe na msalaba?
@nassorsuleiman451
Жыл бұрын
Ata mm nina was was
@aliy3303
Жыл бұрын
@@emmadora7848 hatujazoea majeneza hayo kwa Waislamu..
@emmadora7848
Жыл бұрын
@@aliy3303 Ile kwamba hamjazoea haiondoi maana yake.