MZEE APIGIWA SIMU NA RAIS MWINYI IKULU ,ZNZ ALALAMIKA ,RAIS MWINYI AMPA KIBARUA KATIBU
Жүктеу.....
Пікірлер: 96
@rastapeace96167 ай бұрын
Rais wetu nakukubali sana wewe atakulipa mungu wetu sisi hatuna cha kukulipa baba maendeleo yako tunayoona
@omarsheha2997 Жыл бұрын
Safi sana mh. Rais Allah akuongoze zaidi.
@ayshaabrahaman6068 Жыл бұрын
Mheshimiwa Rais Mwinyi, MashaAllah hongera sana, uongozi wako ni thabiti na tunaukubali. Daima ukisimama kwenye haki ujue utashinda tu. Mungu hapendi dhulma wala khiana. Mungu akuhifadhi na akujaaliye afya njema, uzidi kuiongoza Znz kwa amani na mafanikio kwani tunayaona. Big Up!
@aseelaisaa428 Жыл бұрын
Mashallah hongereni sanaaaa well done Mh rais hussein mwinyi Allah akulinde akupe afya yarabi na uhai uendelee kuwadimia wanyonge znznzibar amin
@georgembise7234 Жыл бұрын
Nimeipenda sana hii hongera sana sana rais mwinyi ,ungekua rais wa jamhuri wa mungano tzn tungefika mbali sana!!hataki mchezo kabisa.
@c.e.omasasi5131 Жыл бұрын
John Pombe maghufuli for life hongera sana
@froma3732
Жыл бұрын
Sasa hapo Magufuli hajachangia kitu hapo
@toshindugwa1085 Жыл бұрын
Zao la jpm nashukuru kaacha watu hakika wapo wengi,inshaallah maliza huko uje huku tunakusubili,Inawezekana maana huku wapo wengi mno(mbegu)zilizoachwa
@jetstreams2986 Жыл бұрын
This is Indeed quite impressive and Very Promising.... Sijapata Kuona Kwa Umri wangu Allahamdullilah Raisi wa Nchii Kupiga Simu Live Coverage discussing With His Minister in finding out the Truth about his country's Progress.. As I said earlier Zanzibar is Capable to make a huge Difference in its Progression Muhimu Watu Wapewe Misaada na Watoto Kusimamiwa Na Watu Kua Na Biddii .. This Clip gives an Inspiration to Understand Kua sio Hoja Kupiga Wizara Zotte Yatosha Kujua Mawaziri Wengine Wakae Sawa na Wafahamu Kua His Excellency is Watching closely.... Ama Sivyo Huyu Raisi Anaonesha Msumenoo 🪚 Well Done Mr.President Wishing you & the People of Zanzibar all the Prosperity and Wealthy Years Ahead...
@gasperswai6963 Жыл бұрын
Mungu akubariki saaaaana mhe Rais
@mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын
Mungu akupe maishaa marefu
@mohammedikingazi5109 Жыл бұрын
Mashaallah Dr hussein rais wa znz
@husseinshabani9522 Жыл бұрын
Ongera sana .Allah Akujalie kila kheri.....In sha Allah....hii Safi sana...Iwe Endelevu kwa Viongozi Wote..
@gasperswai6963 Жыл бұрын
Kweli kwa hili nime Jifunze Mengi saana, malezi, malezi mhe Rais siyo tu cheo Ali hi nacho! Kuna issue ya malezi ni ni Rais ambaye Amamuogapa na kukuheshimu Mungu ana ofu ya Mungu! Mungu akubariki saaana mhe!!!! 5:21
@husseinshabani9522 Жыл бұрын
Rais Usikatishwe Malengo yako na Maneno ya Watu....Watakaopinga Watakuwa Wachache kuliko Watakaokubali swala hili...Allah Akusimamie na Akupe Moyo wa Ustaimilivu wakila jambo...Akupe Busara Zaidi zakutuongoza...Allah Akujalie kila la kheri In sha Allah.
@mashakahamsini2007 Жыл бұрын
Hii sema na Raisi amewahi kuifanya mzee Mwinyi Lumumba na ilileta mafanikio.Hongera kwa kupita mulemule.Allah akupe Afya na salama.
@hollojuma9538 Жыл бұрын
Hakika mwinyi ni raising wawananchi mungu akusimamie inshallah 🤝
@khalfanmlala5093 Жыл бұрын
Asante rais upo pamoja nawananchi wako husafir kabisa
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
Hongera Mungu akuwezeshe zaidi ya hayo juu ya kushuhulikia wananchi wko
@adolpheaoci5706 Жыл бұрын
Nilikuwa tena sina hamu yakufuatilia siasa za Tanzania baada ya kifo cha Rais Magufuli lakini leo nilipo hona video hii
@barakamaliyamungu8689 Жыл бұрын
True copy of the late J.P.M,Mungu akubariki mh.
@paolowity4948
Жыл бұрын
Hakuna kitu hapo ni maonyesho tu
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
@@paolowity4948 uko na uku tena...coment nyingi Umepinga swala ili...Utakuwa sio mtanzania Halisi...Unapinga Jambo jema...sijawai Ona.
@philbertmtalo2156 Жыл бұрын
Thanks Lord
@barazamwaja3868 Жыл бұрын
mh rais darajani maduka mapya kilio kodi bei juu mno na pia hatupewi tulio kuwepo
@AlAl-sd9pl Жыл бұрын
Mansha Allah rais mwiny MUNGU Akuongezee umri kitendo cha kuongea na wanachi
@kingisindima9082 Жыл бұрын
Ana jitihada za uongozin Hongera Rais wa Zanzibar
@kambamazig02024 Жыл бұрын
The future president wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Machozi ya furaha yamenitoka kwa kuona jinsi Rais wa Zanzibar anavyoongea na wananchi kwa unyenyekevu na usikivu mkuu lakini wakati huo huo akionyesha kuwa yeye ndiye mkuu wa nchi! That is leadership!
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Safi sana Rais ubarikiwe sana.
@SitiSaid-pv1lq4 ай бұрын
Nnashida na raisi
@valenakomba9218 Жыл бұрын
ASANTE MUHESHIMIWA MWINYI.
@SitiSaid-pv1lq4 ай бұрын
Kama napata japo kuzungumza nae
@mwatumsaidi5104 Жыл бұрын
Nasie muheshimiwa njia ya mwanyanya tumevunjiwa nyumba zetu na hatujapewa hata shili😭😭
@salmaabdu50113 ай бұрын
Sisi tunapiga hakuna chochote tunochojibiwa huu mwaka wa 3
Jamani Zanzibar wana rais .ambaye ana uchungu. Na wananchi wake
@saidiwakufuta Жыл бұрын
Mmbo yamepangwa hyo so bure kuongea tu ajue km anaongea na muheshimiwa
@salumsalum4819 Жыл бұрын
Muheshimiwa Rais kero zipo nyingi sana sana ambazo hazitatuliwa . Hata sisi watu Mwanyanya tuna kero twa kuomba upite barua zetu bado hazija Fanyiwa kazi tumefika hadi ofisi ya Makamo wako wa 2 wa Raisi lakini haija saidia kitu. Bado tuna khofu kubwa ya kuingiliwa na Maji waki wa Mvua. Tunaomba Msaada wako Muheshimiwa Rais. Sisi Tuko Mwanyanya .
@saadamohammed3426 Жыл бұрын
Mh msaada tunatamani kukuona nakutana na changamoto nyingi ni Mimi kijana wako kutoka pemba
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Raisi mwinyi hatutowi atawale znz mpaka achoke Rais huyu ndie tuliemtafuta kwa muda mrefu sana
@eliasnganira7661 Жыл бұрын
Mwinyi toka mwanzo alionekana Rais Mwema na anafanya vyema kuwasikiliza raia wake
@salummohd4971 Жыл бұрын
Hongera sana mh rais
@faiasap8307 Жыл бұрын
Pongez zisiwe kwa president tu hata uyo katibu anahitaj pongez pia anavojib tu anaonesha dhahir kwamb anafwatilia kinachoendlea ktk wizara yake
@muddybreezy4595 Жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi❤️😘
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Kwa ilivyo Zanzibar ukubwa wake si kama ilivyo Tanganyika hivyo itakuwa rahisi kupambana na kero sugu.
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Ulitakaje Wewe....
@auntietaiba2115 Жыл бұрын
Naomba kurudishiwa Ili niwenze kujakuishi
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Tupeni no
@cleartzboy Жыл бұрын
Uyu rais natamn aje bara yan natamn nitamn nikaishi uko znzbar
@abdukhalnyerere8993 Жыл бұрын
Mwinyi unatisha kama njaa nakupenda Bure wewe ndie rais niliekuwa nafikilia utaweza kuwafikia wananchi wako wa hali chini bila kumwagiza mtu Wala kikundi Cha watu maana hao wanatumwa hawafikishi shida za wananchi wa chini 2025 rudi Tanganyika ugombee urais ili historia hii ijirudie tena
@robertphilip385 Жыл бұрын
Huniutapeli wakisiasa ccm matapelitu watanzania amkeni tuendelee kudai katiba mpya
@auntietaiba2115 Жыл бұрын
Asalm alekum mm Taiba hafidh. Ninaishi Mombasa naomba .kuongea na muheshimiwa rahisi. Kuhusu nyumba ya maremu babangu ilo taifiswa naserekali na mm nataka kurudi kwentu kuishi
@auntietaiba2115
Жыл бұрын
As so how can you help me
@papaadialoo Жыл бұрын
Huyu ni Rais wa watu na ni baadhi ya viongozi wachache wa Africa
@adolpheaoci5706 Жыл бұрын
Nina farijika kuhona kuna Magufuli 2 or Junior.
@AngerusLijuja-bg6sb5 ай бұрын
RAISI UPO SAWA KABISA KAMA JPM TAWALA MILELE
@nassorsaid5718 Жыл бұрын
Aaaa babaisha bwege tu hawa ccm Ahadi nyingi vitendo kidogo. Nawajuwa vizuri hawana lolote wanakula wao tu mali za Zanzibar na watoto wao. Wananchi wanakufa njaa mitaani. Hii ni show off tu hakuna lolote
@deuslucas2256 Жыл бұрын
Safi anafuata nyayo za magufuri
@gangmore9091 Жыл бұрын
Kukosa plan y miji ndio hayo mazara yake kuwavunjia watu kushindwa kulipa ingekua mumeweka plan z miji musingepata harama nyingi z kulipa watu adi leo watu wanajenga wanavotaka
@salummohd4971 Жыл бұрын
Hawa ndio viongozi tunao wataka
@salehsenkondo5399 Жыл бұрын
Mkuu uje huku bara 2030
@AbdallahMbarak-rg9hi Жыл бұрын
Mweshimiwa asalam alayku waonajenahal kwamajina naitwa Abdallah Mbaraka Abdallah nikijana nilekuwana familia nasinakazi wazee pia wanitiza naomba ajira Baba angu nisaidie nakuwomba
@MauaHaji-ur4ln
5 ай бұрын
Pole nakazi raisi mkuu nashida tena shidayangu kubwa nipe nafasi nikuone hutojutia kunamadudu mkuu huku chini
@redmondbaby1710 Жыл бұрын
Hamna kitu apo Sasa c kama diamond platnumz tu siasa imegeuka music
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Mtu wakupinga kila kitu...Utamjuwa Tu!kibaya kipi hapo sasa.?
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Mtu wakupinga kila kitu...Utamjuwa Tu!kibaya kipi hapo sasa.?
@mchwikesenior4221 Жыл бұрын
This is a really JPM product. Keep it up Mr President
@paolowity4948
Жыл бұрын
Amna kitu hapo ni maonyesho tu apate kuzungumziwa mitandaoni na vichwa panzi kama wewe ila wanajua wanayofanya
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
@@paolowity4948 Wewe sasa Utakuwa Sio Mtanzania Harisi...nimeona coment zako zote nikupiga tuuuuuu.kila coment inayohusu JPM.
@maxcharles5436 Жыл бұрын
Namba anazitoa wap au michongo
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Ipo imewekwa ongea na raisi mwinyi na aliizindua rasmi pale Hoteli verde ipo
@mamafaiza1720 Жыл бұрын
Rais mshenzi tu anamaneno mazuri lakini jibwa kama yeye hakuna
@mayaally2512
Жыл бұрын
Hayo yako jibwa bibi yako
@mbugunisaidy
Жыл бұрын
Subhuhanallah yarabih mswahaa memee mama uyu anae mtusi kiumbe wako uliemuumba kwa mfano wa MTU kakukosa lipi aswa
@ashuraomar4935
Жыл бұрын
Subhanna Allah humuogopi hata Mwenyeenzi mungu unamwita kiumve wa Mwenyeenzi mungu ambae huwezi hata kumuumba Binadamu mwenzako , nawe ukiwa Mwanamke unajua uchungu wa mtoto kweli una mtusi Rais wetu.Sababu CHUKI BINAFSI
@alfredmhana235
Жыл бұрын
Hivi huyu ni mzima kichwa Sasa jema lipi unatata utendewewe kiumbe unalaana wewe.
@kilungahamis1270
Жыл бұрын
Hapa huyu Faiza hana Mama, mwanamke mpumbavu haswaa, rudisha simu kwa bwana ako na upunguze stress za Njaa.
@elsonkibasindila7526 Жыл бұрын
Maigizo haya kwahiyo mmepanga watu mpaka mmeshoot video ..
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Kule kulikuwa na viongozi ikawa wananchi wamekusanyika kulikuwa na serekali na waandishi
@AmirAmir-gj5zr Жыл бұрын
Mungu akulinde na mahasidi muheshimiwa president utapata ujira wako unaoutumikia uongozi ni dhamana tetea wanyonge SEMA NA RAIS
@abduomar8438
Жыл бұрын
Hakuna cha ujira mmoja atakao pata uongozi wa kumwaga damu za watu
@khamissalum5894
Жыл бұрын
Mbona wachangiaji wengi wao ni watanganyika ?
@husseinkarim6745 Жыл бұрын
Katibu mkuu hamjali muda wa kutekeleza halafu hata nyumba mbovu kiwanja hakina thamani? Au ndio muhali mtoto wa fulani
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Kwakweli fidiya za zanzibar nikechekesho
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Kama magufuli safi sana sana hapo kwa hapo mwinyi uendelee ivyo ivyo mkuu.mungu anakuona kwa wananchi wako
Пікірлер: 96
Rais wetu nakukubali sana wewe atakulipa mungu wetu sisi hatuna cha kukulipa baba maendeleo yako tunayoona
Safi sana mh. Rais Allah akuongoze zaidi.
Mheshimiwa Rais Mwinyi, MashaAllah hongera sana, uongozi wako ni thabiti na tunaukubali. Daima ukisimama kwenye haki ujue utashinda tu. Mungu hapendi dhulma wala khiana. Mungu akuhifadhi na akujaaliye afya njema, uzidi kuiongoza Znz kwa amani na mafanikio kwani tunayaona. Big Up!
Mashallah hongereni sanaaaa well done Mh rais hussein mwinyi Allah akulinde akupe afya yarabi na uhai uendelee kuwadimia wanyonge znznzibar amin
Nimeipenda sana hii hongera sana sana rais mwinyi ,ungekua rais wa jamhuri wa mungano tzn tungefika mbali sana!!hataki mchezo kabisa.
John Pombe maghufuli for life hongera sana
@froma3732
Жыл бұрын
Sasa hapo Magufuli hajachangia kitu hapo
Zao la jpm nashukuru kaacha watu hakika wapo wengi,inshaallah maliza huko uje huku tunakusubili,Inawezekana maana huku wapo wengi mno(mbegu)zilizoachwa
This is Indeed quite impressive and Very Promising.... Sijapata Kuona Kwa Umri wangu Allahamdullilah Raisi wa Nchii Kupiga Simu Live Coverage discussing With His Minister in finding out the Truth about his country's Progress.. As I said earlier Zanzibar is Capable to make a huge Difference in its Progression Muhimu Watu Wapewe Misaada na Watoto Kusimamiwa Na Watu Kua Na Biddii .. This Clip gives an Inspiration to Understand Kua sio Hoja Kupiga Wizara Zotte Yatosha Kujua Mawaziri Wengine Wakae Sawa na Wafahamu Kua His Excellency is Watching closely.... Ama Sivyo Huyu Raisi Anaonesha Msumenoo 🪚 Well Done Mr.President Wishing you & the People of Zanzibar all the Prosperity and Wealthy Years Ahead...
Mungu akubariki saaaaana mhe Rais
Mungu akupe maishaa marefu
Mashaallah Dr hussein rais wa znz
Ongera sana .Allah Akujalie kila kheri.....In sha Allah....hii Safi sana...Iwe Endelevu kwa Viongozi Wote..
Kweli kwa hili nime Jifunze Mengi saana, malezi, malezi mhe Rais siyo tu cheo Ali hi nacho! Kuna issue ya malezi ni ni Rais ambaye Amamuogapa na kukuheshimu Mungu ana ofu ya Mungu! Mungu akubariki saaana mhe!!!! 5:21
Rais Usikatishwe Malengo yako na Maneno ya Watu....Watakaopinga Watakuwa Wachache kuliko Watakaokubali swala hili...Allah Akusimamie na Akupe Moyo wa Ustaimilivu wakila jambo...Akupe Busara Zaidi zakutuongoza...Allah Akujalie kila la kheri In sha Allah.
Hii sema na Raisi amewahi kuifanya mzee Mwinyi Lumumba na ilileta mafanikio.Hongera kwa kupita mulemule.Allah akupe Afya na salama.
Hakika mwinyi ni raising wawananchi mungu akusimamie inshallah 🤝
Asante rais upo pamoja nawananchi wako husafir kabisa
Hongera Mungu akuwezeshe zaidi ya hayo juu ya kushuhulikia wananchi wko
Nilikuwa tena sina hamu yakufuatilia siasa za Tanzania baada ya kifo cha Rais Magufuli lakini leo nilipo hona video hii
True copy of the late J.P.M,Mungu akubariki mh.
@paolowity4948
Жыл бұрын
Hakuna kitu hapo ni maonyesho tu
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
@@paolowity4948 uko na uku tena...coment nyingi Umepinga swala ili...Utakuwa sio mtanzania Halisi...Unapinga Jambo jema...sijawai Ona.
Thanks Lord
mh rais darajani maduka mapya kilio kodi bei juu mno na pia hatupewi tulio kuwepo
Mansha Allah rais mwiny MUNGU Akuongezee umri kitendo cha kuongea na wanachi
Ana jitihada za uongozin Hongera Rais wa Zanzibar
The future president wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Machozi ya furaha yamenitoka kwa kuona jinsi Rais wa Zanzibar anavyoongea na wananchi kwa unyenyekevu na usikivu mkuu lakini wakati huo huo akionyesha kuwa yeye ndiye mkuu wa nchi! That is leadership!
Safi sana Rais ubarikiwe sana.
Nnashida na raisi
ASANTE MUHESHIMIWA MWINYI.
Kama napata japo kuzungumza nae
Nasie muheshimiwa njia ya mwanyanya tumevunjiwa nyumba zetu na hatujapewa hata shili😭😭
Sisi tunapiga hakuna chochote tunochojibiwa huu mwaka wa 3
Mashaallah,Allah auangazie nuru uongozi wako mh Rais.
Jamani Zanzibar wana rais .ambaye ana uchungu. Na wananchi wake
Mmbo yamepangwa hyo so bure kuongea tu ajue km anaongea na muheshimiwa
Muheshimiwa Rais kero zipo nyingi sana sana ambazo hazitatuliwa . Hata sisi watu Mwanyanya tuna kero twa kuomba upite barua zetu bado hazija Fanyiwa kazi tumefika hadi ofisi ya Makamo wako wa 2 wa Raisi lakini haija saidia kitu. Bado tuna khofu kubwa ya kuingiliwa na Maji waki wa Mvua. Tunaomba Msaada wako Muheshimiwa Rais. Sisi Tuko Mwanyanya .
Mh msaada tunatamani kukuona nakutana na changamoto nyingi ni Mimi kijana wako kutoka pemba
Raisi mwinyi hatutowi atawale znz mpaka achoke Rais huyu ndie tuliemtafuta kwa muda mrefu sana
Mwinyi toka mwanzo alionekana Rais Mwema na anafanya vyema kuwasikiliza raia wake
Hongera sana mh rais
Pongez zisiwe kwa president tu hata uyo katibu anahitaj pongez pia anavojib tu anaonesha dhahir kwamb anafwatilia kinachoendlea ktk wizara yake
Mheshimiwa Raisi❤️😘
Kwa ilivyo Zanzibar ukubwa wake si kama ilivyo Tanganyika hivyo itakuwa rahisi kupambana na kero sugu.
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Ulitakaje Wewe....
Naomba kurudishiwa Ili niwenze kujakuishi
Tupeni no
Uyu rais natamn aje bara yan natamn nitamn nikaishi uko znzbar
Mwinyi unatisha kama njaa nakupenda Bure wewe ndie rais niliekuwa nafikilia utaweza kuwafikia wananchi wako wa hali chini bila kumwagiza mtu Wala kikundi Cha watu maana hao wanatumwa hawafikishi shida za wananchi wa chini 2025 rudi Tanganyika ugombee urais ili historia hii ijirudie tena
Huniutapeli wakisiasa ccm matapelitu watanzania amkeni tuendelee kudai katiba mpya
Asalm alekum mm Taiba hafidh. Ninaishi Mombasa naomba .kuongea na muheshimiwa rahisi. Kuhusu nyumba ya maremu babangu ilo taifiswa naserekali na mm nataka kurudi kwentu kuishi
@auntietaiba2115
Жыл бұрын
As so how can you help me
Huyu ni Rais wa watu na ni baadhi ya viongozi wachache wa Africa
Nina farijika kuhona kuna Magufuli 2 or Junior.
RAISI UPO SAWA KABISA KAMA JPM TAWALA MILELE
Aaaa babaisha bwege tu hawa ccm Ahadi nyingi vitendo kidogo. Nawajuwa vizuri hawana lolote wanakula wao tu mali za Zanzibar na watoto wao. Wananchi wanakufa njaa mitaani. Hii ni show off tu hakuna lolote
Safi anafuata nyayo za magufuri
Kukosa plan y miji ndio hayo mazara yake kuwavunjia watu kushindwa kulipa ingekua mumeweka plan z miji musingepata harama nyingi z kulipa watu adi leo watu wanajenga wanavotaka
Hawa ndio viongozi tunao wataka
Mkuu uje huku bara 2030
Mweshimiwa asalam alayku waonajenahal kwamajina naitwa Abdallah Mbaraka Abdallah nikijana nilekuwana familia nasinakazi wazee pia wanitiza naomba ajira Baba angu nisaidie nakuwomba
@MauaHaji-ur4ln
5 ай бұрын
Pole nakazi raisi mkuu nashida tena shidayangu kubwa nipe nafasi nikuone hutojutia kunamadudu mkuu huku chini
Hamna kitu apo Sasa c kama diamond platnumz tu siasa imegeuka music
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Mtu wakupinga kila kitu...Utamjuwa Tu!kibaya kipi hapo sasa.?
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
Mtu wakupinga kila kitu...Utamjuwa Tu!kibaya kipi hapo sasa.?
This is a really JPM product. Keep it up Mr President
@paolowity4948
Жыл бұрын
Amna kitu hapo ni maonyesho tu apate kuzungumziwa mitandaoni na vichwa panzi kama wewe ila wanajua wanayofanya
@husseinshabani9522
Жыл бұрын
@@paolowity4948 Wewe sasa Utakuwa Sio Mtanzania Harisi...nimeona coment zako zote nikupiga tuuuuuu.kila coment inayohusu JPM.
Namba anazitoa wap au michongo
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Ipo imewekwa ongea na raisi mwinyi na aliizindua rasmi pale Hoteli verde ipo
Rais mshenzi tu anamaneno mazuri lakini jibwa kama yeye hakuna
@mayaally2512
Жыл бұрын
Hayo yako jibwa bibi yako
@mbugunisaidy
Жыл бұрын
Subhuhanallah yarabih mswahaa memee mama uyu anae mtusi kiumbe wako uliemuumba kwa mfano wa MTU kakukosa lipi aswa
@ashuraomar4935
Жыл бұрын
Subhanna Allah humuogopi hata Mwenyeenzi mungu unamwita kiumve wa Mwenyeenzi mungu ambae huwezi hata kumuumba Binadamu mwenzako , nawe ukiwa Mwanamke unajua uchungu wa mtoto kweli una mtusi Rais wetu.Sababu CHUKI BINAFSI
@alfredmhana235
Жыл бұрын
Hivi huyu ni mzima kichwa Sasa jema lipi unatata utendewewe kiumbe unalaana wewe.
@kilungahamis1270
Жыл бұрын
Hapa huyu Faiza hana Mama, mwanamke mpumbavu haswaa, rudisha simu kwa bwana ako na upunguze stress za Njaa.
Maigizo haya kwahiyo mmepanga watu mpaka mmeshoot video ..
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Kule kulikuwa na viongozi ikawa wananchi wamekusanyika kulikuwa na serekali na waandishi
Mungu akulinde na mahasidi muheshimiwa president utapata ujira wako unaoutumikia uongozi ni dhamana tetea wanyonge SEMA NA RAIS
@abduomar8438
Жыл бұрын
Hakuna cha ujira mmoja atakao pata uongozi wa kumwaga damu za watu
@khamissalum5894
Жыл бұрын
Mbona wachangiaji wengi wao ni watanganyika ?
Katibu mkuu hamjali muda wa kutekeleza halafu hata nyumba mbovu kiwanja hakina thamani? Au ndio muhali mtoto wa fulani
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Kwakweli fidiya za zanzibar nikechekesho
Kama magufuli safi sana sana hapo kwa hapo mwinyi uendelee ivyo ivyo mkuu.mungu anakuona kwa wananchi wako