MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
www.youtube.com/@Wasafi_Media?sub_confirmation=1
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 202
Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri
Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿
Kazi kazi All the Best Soldier.. %
Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.
Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo
Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up
Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana
Safi sana big up officer
Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻
Safi sana kazi nzuri
Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo
MACECHU STAND UP ✌
Broo nakukubali 100%100 Allah akufikishe mbali inshallh
Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee
Hongera sana askari wetu
Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana
Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako
Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana
@cholosadi4352
Жыл бұрын
Hanalolote huyo mshamba tu
Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂
Mashaallha kazi nzuri💯
Mjomba kwenye majukumu yake 👍
@cholosadi4352
Жыл бұрын
Anapenda sifa tu Mtanaga
Safi sana chapa kazi🎉
Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake
Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
😂😂😂😂 maua
Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh
Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia
Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe
Safi sana kazi nzuri afande
Yupo vizuri Sana hongera sana
Mashalwahu kwa ulakamavu wako
Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.
Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤
Kazi nzuri
Safi sana👍
Mungu akuongoze inshallah 😊😊
Vizuri sana
Makini sana
Hongera sana
Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye
Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz
@jebellwallace3509
Жыл бұрын
Cheo cha kazi Gani?
Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤
KAZI nzuri makanda
Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi
Very nice,, congratulation soldier
Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.
@mhandoonthebeats8581
Жыл бұрын
Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???
Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini
Congratulations Corpral,very smart and very alert.
Good job
kazi ipo kwenye damu safi sana kaka
Ndio kazi inayompa maisha mjini
hongeren sn
Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉
All the best Afisor
Very nice smart kabisa
Hongera sana best wangu
👍🏿👍🏿❤️
Bravo🎉🎉😮
Mashallah
@saumuothman7196
Жыл бұрын
upo vzr kaka,,ALLAH ATAKULINDA
Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea
@salmahalfani6307
Жыл бұрын
Kwa roho zenu mbaya.
@user-py6mn1uq7z
Жыл бұрын
Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga
Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,
Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari
Nice job
Good job son
Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo
@barackhussein312
Жыл бұрын
Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.
@cholosadi4352
Жыл бұрын
Anapenda rushwa huyo
Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi
@salimharrasy7047
5 ай бұрын
Si mbwembwe bro. Kihana anaipenda kazi yake.
@salimharrasy7047
5 ай бұрын
Kijana.
Nzur kak 🎉
Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani
Safiiiii
Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂
Congratulations
Safi sana maiki
Good job mkuu
Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana
@cholosadi4352
Жыл бұрын
Umeongea pwent broo
@aliiddi608
Жыл бұрын
Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako
@baaliyanuun416
Жыл бұрын
Wwe ni fala mbwa ww
@shabanihamis-lc3ww
Жыл бұрын
Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂
Good kijana.
Noma
Kazi iendelee
Namjuwa huyu Askari namjuwa,Hana tamaaa nimuelewa sanaaa,huyu jamaa sio mtu wa rushwa kabisa ila wapo hapo malindi sub Hana ALLAH
Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana
@murattywamuratty9778
Жыл бұрын
Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka
@cholosadi4352
Жыл бұрын
Mnoko kweli aambiwe
@thomasgogomoka6404
Жыл бұрын
Unoko ndiyo uaskari wenyewe
Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?
katikati ya mji wa zanzibar kivip?
Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana
@tausimwalimu9255
Жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaa
Masiaya
Khoja
❤❤❤
Good job offisa
❤❤❤❤❤
Nzury sna kamanda wa polisi kwa unaa wako ulotuonesha tunaomba polisi wengine mfate km kamanda koja.
Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana
@officealomarion8066
Жыл бұрын
Kbx yn kuna vitu muhimu hawajadil
Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔
@hijazhija316
Жыл бұрын
Chuki wivu
❤
gari kali.za.kifahari nchi.hoehae
@alexvenas2699
Жыл бұрын
Aibu
Hawa wajirekebishe zanzibar trafic wanafanya kazi kichuki ila kumbukeni nyinyi mlikuwa raia na baada ya kaazi utarudi kua raia
Hapo ukijichenga inakuwa kama yule traffic aliyejiua kwa kukosea kuongoza msafara
Weweeeeeeeeee safiiiiiiiii kamanda hii ilikuwa ni kazi uliyoipenda from kumoyo hujalazimishwa
Jina apandishwe cheo yuko vizur sana
Anaipenda kazi yake.
Kazinzur kk
Nyie msifieni ngoja ubugi uingie kwny 18 zake heee utajuta ngoma kaipata mamba iyo kenge wote watajuta
Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?
Zanzibari wazaledo