MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI

MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
www.youtube.com/@Wasafi_Media?sub_confirmation=1
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 202

  • @user-id3ef7ui7n
    @user-id3ef7ui7n Жыл бұрын

    Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Жыл бұрын

    Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿

  • @Andrewbendera
    @Andrewbendera Жыл бұрын

    Kazi kazi All the Best Soldier.. %

  • @hassanrashid9436
    @hassanrashid9436 Жыл бұрын

    Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.

  • @hassanmsipi4094
    @hassanmsipi4094 Жыл бұрын

    Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes35964 ай бұрын

    Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi9393 Жыл бұрын

    Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana

  • @abdulazizabuu
    @abdulazizabuu Жыл бұрын

    Safi sana big up officer

  • @Sampertz
    @Sampertz Жыл бұрын

    Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 Жыл бұрын

    Safi sana kazi nzuri

  • @allyzumo5832
    @allyzumo5832 Жыл бұрын

    Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r5 ай бұрын

    MACECHU STAND UP ✌

  • @user-uj5yk5ty3m
    @user-uj5yk5ty3m Жыл бұрын

    Broo nakukubali 100%100 Allah akufikishe mbali inshallh

  • @takrimumakame2271
    @takrimumakame22716 ай бұрын

    Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee

  • @alphamwasakyen7696
    @alphamwasakyen7696 Жыл бұрын

    Hongera sana askari wetu

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Жыл бұрын

    Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana

  • @athumaniyshehoza2252
    @athumaniyshehoza2252 Жыл бұрын

    Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Жыл бұрын

    Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana

  • @cholosadi4352

    @cholosadi4352

    Жыл бұрын

    Hanalolote huyo mshamba tu

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge7554 Жыл бұрын

    Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂

  • @UstadhImran
    @UstadhImran Жыл бұрын

    Mashaallha kazi nzuri💯

  • @jumaamwairo2264
    @jumaamwairo2264 Жыл бұрын

    Mjomba kwenye majukumu yake 👍

  • @cholosadi4352

    @cholosadi4352

    Жыл бұрын

    Anapenda sifa tu Mtanaga

  • @user-oo5xr9mk8e
    @user-oo5xr9mk8e Жыл бұрын

    Safi sana chapa kazi🎉

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын

    Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 maua

  • @user-dx1wg4wr7q
    @user-dx1wg4wr7q8 ай бұрын

    Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Жыл бұрын

    Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia

  • @user-qx5kb7og9p
    @user-qx5kb7og9p4 ай бұрын

    Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu49785 ай бұрын

    Safi sana kazi nzuri afande

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Жыл бұрын

    Yupo vizuri Sana hongera sana

  • @mwajunassibu4192
    @mwajunassibu4192 Жыл бұрын

    Mashalwahu kwa ulakamavu wako

  • @athanasekiyoja8369
    @athanasekiyoja8369 Жыл бұрын

    Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.

  • @user-bo4be2yq8x
    @user-bo4be2yq8x6 ай бұрын

    Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤

  • @jelaategroup3750
    @jelaategroup3750 Жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 Жыл бұрын

    Safi sana👍

  • @user-ej1mw7xw5x
    @user-ej1mw7xw5x5 ай бұрын

    Mungu akuongoze inshallah 😊😊

  • @JumaMsukwa-bu5nt
    @JumaMsukwa-bu5nt Жыл бұрын

    Vizuri sana

  • @ashiriiyulu6430
    @ashiriiyulu6430 Жыл бұрын

    Makini sana

  • @aminasaid4771
    @aminasaid4771 Жыл бұрын

    Hongera sana

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын

    Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Жыл бұрын

    Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz

  • @jebellwallace3509

    @jebellwallace3509

    Жыл бұрын

    Cheo cha kazi Gani?

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i4 ай бұрын

    Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @raymondcreditconsultant5067
    @raymondcreditconsultant50673 ай бұрын

    KAZI nzuri makanda

  • @user-nw8vw8ev6b
    @user-nw8vw8ev6b6 ай бұрын

    Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz5 ай бұрын

    Very nice,, congratulation soldier

  • @suleimanmuhammed1347
    @suleimanmuhammed1347 Жыл бұрын

    Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.

  • @mhandoonthebeats8581

    @mhandoonthebeats8581

    Жыл бұрын

    Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    @@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???

  • @othmannkya5837
    @othmannkya5837 Жыл бұрын

    Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce23218 ай бұрын

    Congratulations Corpral,very smart and very alert.

  • @dr.alexmagufwa9131
    @dr.alexmagufwa9131 Жыл бұрын

    Good job

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph4 ай бұрын

    kazi ipo kwenye damu safi sana kaka

  • @ShabanisaidiMsangi-jg6uq
    @ShabanisaidiMsangi-jg6uq3 ай бұрын

    Ndio kazi inayompa maisha mjini

  • @ramadhanijumapugilaleo
    @ramadhanijumapugilaleo Жыл бұрын

    hongeren sn

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi26725 ай бұрын

    Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉

  • @Amourharoub-rf1tc
    @Amourharoub-rf1tc4 ай бұрын

    All the best Afisor

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume Жыл бұрын

    Very nice smart kabisa

  • @user-sp9re7kc1u
    @user-sp9re7kc1u4 ай бұрын

    Hongera sana best wangu

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Жыл бұрын

    👍🏿👍🏿❤️

  • @gimbagembeyale5252
    @gimbagembeyale52525 ай бұрын

    Bravo🎉🎉😮

  • @nassorrashid2419
    @nassorrashid2419 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @saumuothman7196

    @saumuothman7196

    Жыл бұрын

    upo vzr kaka,,ALLAH ATAKULINDA

  • @cholosadi4352
    @cholosadi4352 Жыл бұрын

    Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    Жыл бұрын

    Kwa roho zenu mbaya.

  • @user-py6mn1uq7z

    @user-py6mn1uq7z

    Жыл бұрын

    Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Жыл бұрын

    Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,

  • @jamesjustine2811
    @jamesjustine2811 Жыл бұрын

    Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari

  • @aminaaminahmuhammad8838
    @aminaaminahmuhammad88388 ай бұрын

    Nice job

  • @princes6045
    @princes6045 Жыл бұрын

    Good job son

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Жыл бұрын

    Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo

  • @barackhussein312

    @barackhussein312

    Жыл бұрын

    Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.

  • @cholosadi4352

    @cholosadi4352

    Жыл бұрын

    Anapenda rushwa huyo

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Жыл бұрын

    Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi

  • @salimharrasy7047

    @salimharrasy7047

    5 ай бұрын

    Si mbwembwe bro. Kihana anaipenda kazi yake.

  • @salimharrasy7047

    @salimharrasy7047

    5 ай бұрын

    Kijana.

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara4364 ай бұрын

    Nzur kak 🎉

  • @YasrFak
    @YasrFak Жыл бұрын

    Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Жыл бұрын

    Safiiiii

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Жыл бұрын

    Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂

  • @aminamrisho8878
    @aminamrisho8878 Жыл бұрын

    Congratulations

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela32495 ай бұрын

    Safi sana maiki

  • @mazeenipia8782
    @mazeenipia8782 Жыл бұрын

    Good job mkuu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana

  • @cholosadi4352

    @cholosadi4352

    Жыл бұрын

    Umeongea pwent broo

  • @aliiddi608

    @aliiddi608

    Жыл бұрын

    Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako

  • @baaliyanuun416

    @baaliyanuun416

    Жыл бұрын

    Wwe ni fala mbwa ww

  • @shabanihamis-lc3ww

    @shabanihamis-lc3ww

    Жыл бұрын

    Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂

  • @anthonymilambo6038
    @anthonymilambo6038 Жыл бұрын

    Good kijana.

  • @user-rf1fd4kf8l
    @user-rf1fd4kf8l4 ай бұрын

    Noma

  • @AbdallaJuma-ih4ib
    @AbdallaJuma-ih4ib5 ай бұрын

    Kazi iendelee

  • @KadabraGadna-xu5ez
    @KadabraGadna-xu5ez6 ай бұрын

    Namjuwa huyu Askari namjuwa,Hana tamaaa nimuelewa sanaaa,huyu jamaa sio mtu wa rushwa kabisa ila wapo hapo malindi sub Hana ALLAH

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Жыл бұрын

    Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana

  • @murattywamuratty9778

    @murattywamuratty9778

    Жыл бұрын

    Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka

  • @cholosadi4352

    @cholosadi4352

    Жыл бұрын

    Mnoko kweli aambiwe

  • @thomasgogomoka6404

    @thomasgogomoka6404

    Жыл бұрын

    Unoko ndiyo uaskari wenyewe

  • @papaamakolokolo3868
    @papaamakolokolo38686 ай бұрын

    Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Жыл бұрын

    katikati ya mji wa zanzibar kivip?

  • @kiyabolnjemu9646
    @kiyabolnjemu9646 Жыл бұрын

    Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana

  • @tausimwalimu9255

    @tausimwalimu9255

    Жыл бұрын

    Hahahahaaaaaaaaa

  • @user-up3tn4de9u
    @user-up3tn4de9u Жыл бұрын

    Masiaya

  • @dullahrajabu6418
    @dullahrajabu64185 ай бұрын

    Khoja

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz55084 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @KUPASteven
    @KUPASteven Жыл бұрын

    Good job offisa

  • @ErnestChrispin-ob2rn
    @ErnestChrispin-ob2rn6 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @mohamedrishadiahmed.
    @mohamedrishadiahmed.11 ай бұрын

    Nzury sna kamanda wa polisi kwa unaa wako ulotuonesha tunaomba polisi wengine mfate km kamanda koja.

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Жыл бұрын

    Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana

  • @officealomarion8066

    @officealomarion8066

    Жыл бұрын

    Kbx yn kuna vitu muhimu hawajadil

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Жыл бұрын

    Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    Жыл бұрын

    Chuki wivu

  • @aimanankya7405
    @aimanankya74055 ай бұрын

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    gari kali.za.kifahari nchi.hoehae

  • @alexvenas2699

    @alexvenas2699

    Жыл бұрын

    Aibu

  • @AhmadKhalifan-bf3ic
    @AhmadKhalifan-bf3ic7 ай бұрын

    Hawa wajirekebishe zanzibar trafic wanafanya kazi kichuki ila kumbukeni nyinyi mlikuwa raia na baada ya kaazi utarudi kua raia

  • @othmannkya5837
    @othmannkya5837 Жыл бұрын

    Hapo ukijichenga inakuwa kama yule traffic aliyejiua kwa kukosea kuongoza msafara

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Жыл бұрын

    Weweeeeeeeeee safiiiiiiiii kamanda hii ilikuwa ni kazi uliyoipenda from kumoyo hujalazimishwa

  • @Matha-rl8bq
    @Matha-rl8bq Жыл бұрын

    Jina apandishwe cheo yuko vizur sana

  • @longinusbankyanule191
    @longinusbankyanule191 Жыл бұрын

    Anaipenda kazi yake.

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 Жыл бұрын

    Kazinzur kk

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Жыл бұрын

    Nyie msifieni ngoja ubugi uingie kwny 18 zake heee utajuta ngoma kaipata mamba iyo kenge wote watajuta

  • @user-rw6pl4zd8x
    @user-rw6pl4zd8x4 ай бұрын

    Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?

  • @MahdiMkubwa-yb1oz
    @MahdiMkubwa-yb1oz Жыл бұрын

    Zanzibari wazaledo

Келесі