Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.
@awatifalghanim11067 күн бұрын
Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.
@tumainimwaifunga38848 күн бұрын
Mwinyi oyeee
@himaryamhaidar561212 күн бұрын
Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima
@suleimanmsalum16 күн бұрын
Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe
@shaabanmohammed261119 күн бұрын
Tumekufaham Mhe...unajenga ingawa pia unabomoa vizima jambo ambalo ni hasara kubwa kwa Nchi maskini. Wewe unafanya hayo. Wenzio wanasema Ufisadi umekithiri. Huo si ubishi. Wanasema wanataka Mamlaka kamili ya Zanzibar huo ni Uhuru kamili. Wanasema watapunguza Kodi hiyo ndio nafuu ya maisha. Wanataka Haki itendeke huo ndio msingi wa Amani. Wanataka mazingira ya Uchaguzi yawe ya Amani na Haki bila kufanya ulalamishi vitisho na ghilba hiyo ndio Haki. Kujenga yoyote yule atakaekaa madarakani atajenga. Hatutaki Ufisadi. Tunataka uchumi imara na sio madeni ya kutisha.Tunataka Zanzibar yenye hadhi ya Mamlaka kamili kiuchumi na Kisiasa. Uchaguzi uwe Huru na wa Haki. Nadhani wao wanasema hayo na mengineyo. Nawewe ujibu hoja Mhe Rais
@atifsaid260819 күн бұрын
Hongera Sana Dr Mwinyi
@user-rk9qj9ob1p20 күн бұрын
Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa
@saidmuhd61120 күн бұрын
Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.
@AbdillahSOthman20 күн бұрын
Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.
@jumaothman944920 күн бұрын
Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu
@user-dd3ek5fh5g24 күн бұрын
Nilikuwa sijui hatua ambayo Zanzibar imepiga ila kwa hakika kazi imefanyika kongole Dkt Mwinyi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@waheeda513825 күн бұрын
Alhamdulillah Allah azidishe neema ndani ya kijiji chetu🤲
@sasha-ri7tf29 күн бұрын
Alipora ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad. Mwinyi hakushinda uchaguzi kihalali na ndio sababu anatuondosha njiani tuuu ktk miradi ya maendeleo tazama Bandari za Pemba. Bara bara za Pemba. Airport ya chake Pemba, hadi leo ni hadisi za Albunuwasi na comedian za kachara. Tukutane oktoba 2025 ndio mtajuwa kilicho mfanya mgema tembo kulitia maji.
@RamadhaniMussa-xs5ukАй бұрын
Sisi hatuli majengo punguza bei ubwabwa
@himaryamhaidar5612Ай бұрын
Mashallah michewen Eid Mubarak Dr Mwinyi mitano Tena
@Pemba680Ай бұрын
Ni bandari aw tuta😄?
@Onlyforfun1992tubeАй бұрын
Eneo la micheweni ndio eneo la mpango mkakati kwa pemba katika kila nyanja
@himaryamhaidar5612Ай бұрын
Dr Mwinyi oyeeee
@abdullmbarouk304Ай бұрын
Kazi nzur Sanaa mmeuchapa mwingi
@himaryamhaidar5612Ай бұрын
Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu
@himaryamhaidar5612Ай бұрын
Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu
@abdullmbarouk304Ай бұрын
Kazi mzur
@abdullmbarouk304Ай бұрын
Hongera maruzuku pambaneni na kijana wako
@himaryamhaidar5612Ай бұрын
Dr Mwinyi oyeeee 5 tenaaaa
@suweidsuweid9521Ай бұрын
Gud work. Dr.mwiny..we cee & appreciate ur effort
@himaryamhaidar56122 ай бұрын
Mashallah Dr Mwinyi oyeeee
@RashidRashid-hp7uw Жыл бұрын
Asante mdhamini kwa nasaha zako...be blessed 🙌
@hassanhamad1160 Жыл бұрын
Saf sana.. kabsa...
@sayidabdillah8505 Жыл бұрын
Mashaallah Raisi mwinyi Unaweza na nikienda home nitaitembea Pemba yote kuona haya but kazi Bado iendelee kipo chengine tutakuambia utuletee tena wenyewe kilikuwepo kikaondoshwa mikononi mwetu
@internationalmapanews42082 жыл бұрын
Mzurisana 🖖🖖🖖🖖🖖
@saidmaulid44782 жыл бұрын
Mama Kila lakhery
@mohammednassor30812 жыл бұрын
Mkoani jee haimo baada ya kujenga barabara muhimu mnajenga mgelema ukhanithi gani huu mie sielewi
@MohamedAli-qf6et2 жыл бұрын
Mwinyi raisi wa ccm pamoja na juhudi zako za kututia changa la macho kwa maendeleo madogo madogo unayoyafanya hasa kwa kisiwa cha Unguja ambako ndiko unakoamini kuwa kuna ndugu zako wengi wa damu ,lakini hili kwetu halitokuwa ni kikwazo kwa Wazanzibari wanaojielewa kudai mamlaka kamili ya nchi yao ambayo ndiyo ajenda na siyo kutulazimisha kuwa chini ya ukoloni wa Tanganyika.
@abdallahsuleimani74162 жыл бұрын
Ushauri wangu miradi igaiwe sawa Kwa sawa unguja na pemba Kwa Nini unguja wanapewa mingi kuliko pemba?
@MAPETEE2 жыл бұрын
Hakuna mabadiliko yoyot Labda njaa tunakufa njaaa
@arkamibrahim66412 жыл бұрын
Chani kumpamba Kwa mauwa hakuna jipya tumepa matumaini makubwa barabara sio kujisifia kuwa maendeleo Amani karume amejenga nyingi tu, hakuna kitu, watu wakisema na yy anasema watu wanasema sijafanya kitu, mbala mbla, mpaka leo wanafuzi mashuleni wanasima zaidi ya 60
@abdallahsuleimani74162 жыл бұрын
Andika vizuri wewe sio bala bala ni bara bara wewe WA wapi? Wewe au porini
@othmanalnabhany32082 жыл бұрын
BASI IANGAlIENI BARABARA YA CHAKE /MKOANI jamani maendeleo yawe kote sio ungujatu tu au pemba kaskazinitu kuna na kipande pia cha mgagadu, msengele mpaka kendwa kiwani kama hamuijui muulizeni Makamo wa pili anaijua hii barabara watu walishakula hela mara nyingi tu tokea utawala wa Salmin hadi leo
@alinassor3912 жыл бұрын
Mwinyi mpeku ata ukiimaliza hio ziara kuzunguka pemba mzm miguu imeshafanya mabojeee hongera sana
@alinassor3912 жыл бұрын
Mnajenga nyumba za walim kwani humo visiwani hamna walio na fani ya uwalimu mkawaajiri
@hamismberwa56722 жыл бұрын
Tunaomba Mh Rais Mwinyi atuone na sisi wananchi wa Shangafu,Mashuga,na Tondooni Bars bara hatuna ,tunaomba bara bara kupitia mkarafuu mmoja mpaka Minungwini
@ahmadmohd37712 жыл бұрын
Ni mwendo wa filamu tu
@iddijumaali71922 жыл бұрын
Hawa kumbe ni ma ccm
@reynatjuma62022 жыл бұрын
Barabara ya mkoani ,chake jamani
@suleimanrashid84952 жыл бұрын
Ofisi ya rais ikulu mko poa sana mungu awabaarik sana
@salummussa98712 жыл бұрын
Piga kazi mh wetu tunakupenda na kujua kuwa nchi inakimbia kwa maendeleo
@dula35702 жыл бұрын
Mbona bandari na Barbara ya mkoani chake hamjengi kwann hamuoni Kama naile nimbovu
Пікірлер
Bandari au kibandari
Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.
Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.
Mwinyi oyeee
Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima
Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe
Tumekufaham Mhe...unajenga ingawa pia unabomoa vizima jambo ambalo ni hasara kubwa kwa Nchi maskini. Wewe unafanya hayo. Wenzio wanasema Ufisadi umekithiri. Huo si ubishi. Wanasema wanataka Mamlaka kamili ya Zanzibar huo ni Uhuru kamili. Wanasema watapunguza Kodi hiyo ndio nafuu ya maisha. Wanataka Haki itendeke huo ndio msingi wa Amani. Wanataka mazingira ya Uchaguzi yawe ya Amani na Haki bila kufanya ulalamishi vitisho na ghilba hiyo ndio Haki. Kujenga yoyote yule atakaekaa madarakani atajenga. Hatutaki Ufisadi. Tunataka uchumi imara na sio madeni ya kutisha.Tunataka Zanzibar yenye hadhi ya Mamlaka kamili kiuchumi na Kisiasa. Uchaguzi uwe Huru na wa Haki. Nadhani wao wanasema hayo na mengineyo. Nawewe ujibu hoja Mhe Rais
Hongera Sana Dr Mwinyi
Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa
Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.
Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.
Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu
Nilikuwa sijui hatua ambayo Zanzibar imepiga ila kwa hakika kazi imefanyika kongole Dkt Mwinyi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Alhamdulillah Allah azidishe neema ndani ya kijiji chetu🤲
Alipora ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad. Mwinyi hakushinda uchaguzi kihalali na ndio sababu anatuondosha njiani tuuu ktk miradi ya maendeleo tazama Bandari za Pemba. Bara bara za Pemba. Airport ya chake Pemba, hadi leo ni hadisi za Albunuwasi na comedian za kachara. Tukutane oktoba 2025 ndio mtajuwa kilicho mfanya mgema tembo kulitia maji.
Sisi hatuli majengo punguza bei ubwabwa
Mashallah michewen Eid Mubarak Dr Mwinyi mitano Tena
Ni bandari aw tuta😄?
Eneo la micheweni ndio eneo la mpango mkakati kwa pemba katika kila nyanja
Dr Mwinyi oyeeee
Kazi nzur Sanaa mmeuchapa mwingi
Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu
Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu
Kazi mzur
Hongera maruzuku pambaneni na kijana wako
Dr Mwinyi oyeeee 5 tenaaaa
Gud work. Dr.mwiny..we cee & appreciate ur effort
Mashallah Dr Mwinyi oyeeee
Asante mdhamini kwa nasaha zako...be blessed 🙌
Saf sana.. kabsa...
Mashaallah Raisi mwinyi Unaweza na nikienda home nitaitembea Pemba yote kuona haya but kazi Bado iendelee kipo chengine tutakuambia utuletee tena wenyewe kilikuwepo kikaondoshwa mikononi mwetu
Mzurisana 🖖🖖🖖🖖🖖
Mama Kila lakhery
Mkoani jee haimo baada ya kujenga barabara muhimu mnajenga mgelema ukhanithi gani huu mie sielewi
Mwinyi raisi wa ccm pamoja na juhudi zako za kututia changa la macho kwa maendeleo madogo madogo unayoyafanya hasa kwa kisiwa cha Unguja ambako ndiko unakoamini kuwa kuna ndugu zako wengi wa damu ,lakini hili kwetu halitokuwa ni kikwazo kwa Wazanzibari wanaojielewa kudai mamlaka kamili ya nchi yao ambayo ndiyo ajenda na siyo kutulazimisha kuwa chini ya ukoloni wa Tanganyika.
Ushauri wangu miradi igaiwe sawa Kwa sawa unguja na pemba Kwa Nini unguja wanapewa mingi kuliko pemba?
Hakuna mabadiliko yoyot Labda njaa tunakufa njaaa
Chani kumpamba Kwa mauwa hakuna jipya tumepa matumaini makubwa barabara sio kujisifia kuwa maendeleo Amani karume amejenga nyingi tu, hakuna kitu, watu wakisema na yy anasema watu wanasema sijafanya kitu, mbala mbla, mpaka leo wanafuzi mashuleni wanasima zaidi ya 60
Andika vizuri wewe sio bala bala ni bara bara wewe WA wapi? Wewe au porini
BASI IANGAlIENI BARABARA YA CHAKE /MKOANI jamani maendeleo yawe kote sio ungujatu tu au pemba kaskazinitu kuna na kipande pia cha mgagadu, msengele mpaka kendwa kiwani kama hamuijui muulizeni Makamo wa pili anaijua hii barabara watu walishakula hela mara nyingi tu tokea utawala wa Salmin hadi leo
Mwinyi mpeku ata ukiimaliza hio ziara kuzunguka pemba mzm miguu imeshafanya mabojeee hongera sana
Mnajenga nyumba za walim kwani humo visiwani hamna walio na fani ya uwalimu mkawaajiri
Tunaomba Mh Rais Mwinyi atuone na sisi wananchi wa Shangafu,Mashuga,na Tondooni Bars bara hatuna ,tunaomba bara bara kupitia mkarafuu mmoja mpaka Minungwini
Ni mwendo wa filamu tu
Hawa kumbe ni ma ccm
Barabara ya mkoani ,chake jamani
Ofisi ya rais ikulu mko poa sana mungu awabaarik sana
Piga kazi mh wetu tunakupenda na kujua kuwa nchi inakimbia kwa maendeleo
Mbona bandari na Barbara ya mkoani chake hamjengi kwann hamuoni Kama naile nimbovu
Dokta fadhila akichambua hesabu zake
Wete chake safi sana
Safi sana