OFISI YA RAIS IKULU PEMBA

OFISI YA RAIS IKULU PEMBA

Huu ni ukurasa rasmi wa habari zote zinazohusika na Ofisi ya Rais Ikulu Pemba.

Пікірлер

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim4 күн бұрын

    Bandari au kibandari

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11067 күн бұрын

    Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11067 күн бұрын

    Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga38848 күн бұрын

    Mwinyi oyeee

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar561212 күн бұрын

    Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima

  • @suleimanmsalum
    @suleimanmsalum16 күн бұрын

    Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed261119 күн бұрын

    Tumekufaham Mhe...unajenga ingawa pia unabomoa vizima jambo ambalo ni hasara kubwa kwa Nchi maskini. Wewe unafanya hayo. Wenzio wanasema Ufisadi umekithiri. Huo si ubishi. Wanasema wanataka Mamlaka kamili ya Zanzibar huo ni Uhuru kamili. Wanasema watapunguza Kodi hiyo ndio nafuu ya maisha. Wanataka Haki itendeke huo ndio msingi wa Amani. Wanataka mazingira ya Uchaguzi yawe ya Amani na Haki bila kufanya ulalamishi vitisho na ghilba hiyo ndio Haki. Kujenga yoyote yule atakaekaa madarakani atajenga. Hatutaki Ufisadi. Tunataka uchumi imara na sio madeni ya kutisha.Tunataka Zanzibar yenye hadhi ya Mamlaka kamili kiuchumi na Kisiasa. Uchaguzi uwe Huru na wa Haki. Nadhani wao wanasema hayo na mengineyo. Nawewe ujibu hoja Mhe Rais

  • @atifsaid2608
    @atifsaid260819 күн бұрын

    Hongera Sana Dr Mwinyi

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p20 күн бұрын

    Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa

  • @saidmuhd611
    @saidmuhd61120 күн бұрын

    Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman20 күн бұрын

    Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman944920 күн бұрын

    Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g24 күн бұрын

    Nilikuwa sijui hatua ambayo Zanzibar imepiga ila kwa hakika kazi imefanyika kongole Dkt Mwinyi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @waheeda5138
    @waheeda513825 күн бұрын

    Alhamdulillah Allah azidishe neema ndani ya kijiji chetu🤲

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf29 күн бұрын

    Alipora ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad. Mwinyi hakushinda uchaguzi kihalali na ndio sababu anatuondosha njiani tuuu ktk miradi ya maendeleo tazama Bandari za Pemba. Bara bara za Pemba. Airport ya chake Pemba, hadi leo ni hadisi za Albunuwasi na comedian za kachara. Tukutane oktoba 2025 ndio mtajuwa kilicho mfanya mgema tembo kulitia maji.

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5ukАй бұрын

    Sisi hatuli majengo punguza bei ubwabwa

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612Ай бұрын

    Mashallah michewen Eid Mubarak Dr Mwinyi mitano Tena

  • @Pemba680
    @Pemba680Ай бұрын

    Ni bandari aw tuta😄?

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tubeАй бұрын

    Eneo la micheweni ndio eneo la mpango mkakati kwa pemba katika kila nyanja

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612Ай бұрын

    Dr Mwinyi oyeeee

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304Ай бұрын

    Kazi nzur Sanaa mmeuchapa mwingi

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612Ай бұрын

    Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612Ай бұрын

    Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304Ай бұрын

    Kazi mzur

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304Ай бұрын

    Hongera maruzuku pambaneni na kijana wako

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612Ай бұрын

    Dr Mwinyi oyeeee 5 tenaaaa

  • @suweidsuweid9521
    @suweidsuweid9521Ай бұрын

    Gud work. Dr.mwiny..we cee & appreciate ur effort

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar56122 ай бұрын

    Mashallah Dr Mwinyi oyeeee

  • @RashidRashid-hp7uw
    @RashidRashid-hp7uw Жыл бұрын

    Asante mdhamini kwa nasaha zako...be blessed 🙌

  • @hassanhamad1160
    @hassanhamad1160 Жыл бұрын

    Saf sana.. kabsa...

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 Жыл бұрын

    Mashaallah Raisi mwinyi Unaweza na nikienda home nitaitembea Pemba yote kuona haya but kazi Bado iendelee kipo chengine tutakuambia utuletee tena wenyewe kilikuwepo kikaondoshwa mikononi mwetu

  • @internationalmapanews4208
    @internationalmapanews42082 жыл бұрын

    Mzurisana 🖖🖖🖖🖖🖖

  • @saidmaulid4478
    @saidmaulid44782 жыл бұрын

    Mama Kila lakhery

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30812 жыл бұрын

    Mkoani jee haimo baada ya kujenga barabara muhimu mnajenga mgelema ukhanithi gani huu mie sielewi

  • @MohamedAli-qf6et
    @MohamedAli-qf6et2 жыл бұрын

    Mwinyi raisi wa ccm pamoja na juhudi zako za kututia changa la macho kwa maendeleo madogo madogo unayoyafanya hasa kwa kisiwa cha Unguja ambako ndiko unakoamini kuwa kuna ndugu zako wengi wa damu ,lakini hili kwetu halitokuwa ni kikwazo kwa Wazanzibari wanaojielewa kudai mamlaka kamili ya nchi yao ambayo ndiyo ajenda na siyo kutulazimisha kuwa chini ya ukoloni wa Tanganyika.

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani74162 жыл бұрын

    Ushauri wangu miradi igaiwe sawa Kwa sawa unguja na pemba Kwa Nini unguja wanapewa mingi kuliko pemba?

  • @MAPETEE
    @MAPETEE2 жыл бұрын

    Hakuna mabadiliko yoyot Labda njaa tunakufa njaaa

  • @arkamibrahim6641
    @arkamibrahim66412 жыл бұрын

    Chani kumpamba Kwa mauwa hakuna jipya tumepa matumaini makubwa barabara sio kujisifia kuwa maendeleo Amani karume amejenga nyingi tu, hakuna kitu, watu wakisema na yy anasema watu wanasema sijafanya kitu, mbala mbla, mpaka leo wanafuzi mashuleni wanasima zaidi ya 60

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani74162 жыл бұрын

    Andika vizuri wewe sio bala bala ni bara bara wewe WA wapi? Wewe au porini

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany32082 жыл бұрын

    BASI IANGAlIENI BARABARA YA CHAKE /MKOANI jamani maendeleo yawe kote sio ungujatu tu au pemba kaskazinitu kuna na kipande pia cha mgagadu, msengele mpaka kendwa kiwani kama hamuijui muulizeni Makamo wa pili anaijua hii barabara watu walishakula hela mara nyingi tu tokea utawala wa Salmin hadi leo

  • @alinassor391
    @alinassor3912 жыл бұрын

    Mwinyi mpeku ata ukiimaliza hio ziara kuzunguka pemba mzm miguu imeshafanya mabojeee hongera sana

  • @alinassor391
    @alinassor3912 жыл бұрын

    Mnajenga nyumba za walim kwani humo visiwani hamna walio na fani ya uwalimu mkawaajiri

  • @hamismberwa5672
    @hamismberwa56722 жыл бұрын

    Tunaomba Mh Rais Mwinyi atuone na sisi wananchi wa Shangafu,Mashuga,na Tondooni Bars bara hatuna ,tunaomba bara bara kupitia mkarafuu mmoja mpaka Minungwini

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd37712 жыл бұрын

    Ni mwendo wa filamu tu

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71922 жыл бұрын

    Hawa kumbe ni ma ccm

  • @reynatjuma6202
    @reynatjuma62022 жыл бұрын

    Barabara ya mkoani ,chake jamani

  • @suleimanrashid8495
    @suleimanrashid84952 жыл бұрын

    Ofisi ya rais ikulu mko poa sana mungu awabaarik sana

  • @salummussa9871
    @salummussa98712 жыл бұрын

    Piga kazi mh wetu tunakupenda na kujua kuwa nchi inakimbia kwa maendeleo

  • @dula3570
    @dula35702 жыл бұрын

    Mbona bandari na Barbara ya mkoani chake hamjengi kwann hamuoni Kama naile nimbovu

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma48332 жыл бұрын

    Dokta fadhila akichambua hesabu zake

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma48332 жыл бұрын

    Wete chake safi sana

  • @saidarafat9598
    @saidarafat95982 жыл бұрын

    Safi sana