DKT MWINYI AKIFAFANUA UJIO WA MABASI MAPYA ZNZ | SIYO MABASI YOTE YATAKAYOKUJA MJINI TENA
#riyadhTvZnz #zanzibar
Жүктеу.....
Пікірлер: 12
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Tanueni barabara kwanza ndo kwanza mnaongeza mizigo vibarabara ulimi wa nyoka magar yashakuwa mingi mnawachia watu wanajenga kiholela tu njian hamsemi chochote badae muje wavunjia wakat mumewausia nyie
@rauhiyasaad5384 Жыл бұрын
Mukajenge kituo cha mabasi kijangwani wakati mji unaanza forodhanii, mabasi watu walikuwa wakipanda darajani mkahamisha, leo kijangwa hamuoni huo ni usumbufu kwa sababu nyinyi mnamagari yenu mnasimamisha sehemu yoyote. Wengine wazee anamizingo akapande kijagwani. Au mimi ndio sijaelewa.nieleweshwe yaniingie .
@suleimanbadru819 Жыл бұрын
Mheshimiwa bomoa upande wa kariakoo mpk kwalinatu kwahani jenga maduka soko nyumba nk kituo hicho kitafunction vzr ajira itaongexeka kwakua enjoy hilo ni mradi ulioanxishwa na Dr shein
@bekabeka-ww2mn Жыл бұрын
sawa
@user-lk1ok5zs9m9 ай бұрын
Hongera rais wetu
@SA-xj8hc Жыл бұрын
Ujio wa mabasi au kituo cha mabasi? Kasomeni uandishi msiige tu kazi za watu.
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Nyie wote wanzanzibar ni wanyamwezi usiwaseme vibaya kuwa ushahidi wa kinyamwezi
@abdulhalimhassan7057
6 ай бұрын
Hahaha
@rafaelmarquez9396 Жыл бұрын
Mimi nauliza mji umeanza kijangwani au stand tu pale yatafanya kazi mpaka darajani au ndio uburure mizigo mpaka unapokwenda
@mwanaishaabubakar5013
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Subiri utaona June July utaburura mizigo mpaka mjino na wagomjwa mpaka MMmoja Hospital. Madalala mabovu na matinga Tanga ya mbao yatafutieni pa kuyapeleka wakubwa wanaleta moradi yao. Tupo na tutafika mwisho
Пікірлер: 12
Tanueni barabara kwanza ndo kwanza mnaongeza mizigo vibarabara ulimi wa nyoka magar yashakuwa mingi mnawachia watu wanajenga kiholela tu njian hamsemi chochote badae muje wavunjia wakat mumewausia nyie
Mukajenge kituo cha mabasi kijangwani wakati mji unaanza forodhanii, mabasi watu walikuwa wakipanda darajani mkahamisha, leo kijangwa hamuoni huo ni usumbufu kwa sababu nyinyi mnamagari yenu mnasimamisha sehemu yoyote. Wengine wazee anamizingo akapande kijagwani. Au mimi ndio sijaelewa.nieleweshwe yaniingie .
Mheshimiwa bomoa upande wa kariakoo mpk kwalinatu kwahani jenga maduka soko nyumba nk kituo hicho kitafunction vzr ajira itaongexeka kwakua enjoy hilo ni mradi ulioanxishwa na Dr shein
sawa
Hongera rais wetu
Ujio wa mabasi au kituo cha mabasi? Kasomeni uandishi msiige tu kazi za watu.
Nyie wote wanzanzibar ni wanyamwezi usiwaseme vibaya kuwa ushahidi wa kinyamwezi
@abdulhalimhassan7057
6 ай бұрын
Hahaha
Mimi nauliza mji umeanza kijangwani au stand tu pale yatafanya kazi mpaka darajani au ndio uburure mizigo mpaka unapokwenda
@mwanaishaabubakar5013
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Subiri utaona June July utaburura mizigo mpaka mjino na wagomjwa mpaka MMmoja Hospital. Madalala mabovu na matinga Tanga ya mbao yatafutieni pa kuyapeleka wakubwa wanaleta moradi yao. Tupo na tutafika mwisho
@coyancodavao4004
7 ай бұрын
Darajani hakuna nafasi
Hana lolote huyu kamba tupu