DKT MWINYI AKIFAFANUA UJIO WA MABASI MAPYA ZNZ | SIYO MABASI YOTE YATAKAYOKUJA MJINI TENA

#riyadhTvZnz #zanzibar

Пікірлер: 12

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Жыл бұрын

    Tanueni barabara kwanza ndo kwanza mnaongeza mizigo vibarabara ulimi wa nyoka magar yashakuwa mingi mnawachia watu wanajenga kiholela tu njian hamsemi chochote badae muje wavunjia wakat mumewausia nyie

  • @rauhiyasaad5384
    @rauhiyasaad5384 Жыл бұрын

    Mukajenge kituo cha mabasi kijangwani wakati mji unaanza forodhanii, mabasi watu walikuwa wakipanda darajani mkahamisha, leo kijangwa hamuoni huo ni usumbufu kwa sababu nyinyi mnamagari yenu mnasimamisha sehemu yoyote. Wengine wazee anamizingo akapande kijagwani. Au mimi ndio sijaelewa.nieleweshwe yaniingie .

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Жыл бұрын

    Mheshimiwa bomoa upande wa kariakoo mpk kwalinatu kwahani jenga maduka soko nyumba nk kituo hicho kitafunction vzr ajira itaongexeka kwakua enjoy hilo ni mradi ulioanxishwa na Dr shein

  • @bekabeka-ww2mn
    @bekabeka-ww2mn Жыл бұрын

    sawa

  • @user-lk1ok5zs9m
    @user-lk1ok5zs9m9 ай бұрын

    Hongera rais wetu

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc Жыл бұрын

    Ujio wa mabasi au kituo cha mabasi? Kasomeni uandishi msiige tu kazi za watu.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Nyie wote wanzanzibar ni wanyamwezi usiwaseme vibaya kuwa ushahidi wa kinyamwezi

  • @abdulhalimhassan7057

    @abdulhalimhassan7057

    6 ай бұрын

    Hahaha

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 Жыл бұрын

    Mimi nauliza mji umeanza kijangwani au stand tu pale yatafanya kazi mpaka darajani au ndio uburure mizigo mpaka unapokwenda

  • @mwanaishaabubakar5013

    @mwanaishaabubakar5013

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣Subiri utaona June July utaburura mizigo mpaka mjino na wagomjwa mpaka MMmoja Hospital. Madalala mabovu na matinga Tanga ya mbao yatafutieni pa kuyapeleka wakubwa wanaleta moradi yao. Tupo na tutafika mwisho

  • @coyancodavao4004

    @coyancodavao4004

    7 ай бұрын

    Darajani hakuna nafasi

  • @ommykhatib
    @ommykhatib6 ай бұрын

    Hana lolote huyu kamba tupu

Келесі