UJENZI WA FLYOVER ZNZ, WAPAMBA MOTO, WAVAMIZI WA MAENEO, "HALIPWI MTU HATA 100"
Жүктеу.....
Пікірлер: 111
@omannal1281 Жыл бұрын
Mbona hakuna usawa hopo..nyingi ni za ungujatu..Pemba Moja tu chke mkoani😔..muogopeni Allaah.
@jumafundi3133 Жыл бұрын
Mutakwenda kutulipa kesho akhera na hatutowasamehe ,japokua hakuna nia ya kujenga hizo njia hasa kwa pemba
@khadijamohamed8170
Жыл бұрын
Ahera hakuna malipo baada ya kuvamia sehemu ya serikali uyo mungu pia anapenda haki je ww ulojenga sehemu sio yako
@abdulhamis9825 Жыл бұрын
Tushazoea Kuona Mnafanya Uonevu Kwa Wanyonge Na Hii Ndio Kawaida Yenu Lkn Kumbuken Kuwa Dunia Ni Njia Tu Yapo Maisha Ya Milele Uko Ndio Ukwel Utabainika
@yasalaam590 Жыл бұрын
Mashaallah allah ajaaliye zijengwe bara bara zanzibar yaarabbi
@AP-uk3mq
Жыл бұрын
🙄
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
Kumbe zanzibar kuna msongamano kuzidi arusha Au dodoma mpaka panawekwa flyover
@eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын
Mungu niweke nije kuona kwa macho yangu
@nadirmahfoudh1812 Жыл бұрын
Masha'allaaaah!
@MuhammedFoum-kr5kc6 ай бұрын
Enyieeeee nyiii Kuna moto Kwa munguu dhulmaaa mbayaaa😅😅😅😅😅😅😅
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Sis tutakula hizo fly over
@masoudally6763 Жыл бұрын
mh....kisiwa kidogo tu lakini miradi mingi sana ya maendeleo tunaisikia na tunaendelea kuisikia lakini utendaji wake Zerooo...........
ujenzi wa flyover ni matumizi mabaya ya rasilimali pesa na kuendesha nchi kwa mihemko. Flyover haziingizi hata shilingi kwa serikali , kwanini zisitumike hizo pesa kwenye uwekezaji wenye tija. Kama tunasena dira yetu uchumi kwa buluu kwanini serikali isitumie hizo pesa kununulia meli za uvuvi na kuacha kutegemea viboti ambazo hata watu kumi hawawezi kupanda pamoja
@kassimali2273
Жыл бұрын
Maneno mazima uliyo yaongea Akhii
@user-nv4vk8wq3z
6 ай бұрын
Huna akili kabisa
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Wananchi wananjaa, fanyeni maendeleo ya kuwagusa wananchi, hizo flyover zinamsaidiaje mwananchi? punguzeni ushuru na kodi vitu vishuke bei,
@AaAa-vm8bb Жыл бұрын
Kucheuwa nilazima tumbo likishashiba tuzione
@awenamohd8357 Жыл бұрын
Inshaallah
@saidmasoud1548 Жыл бұрын
Wallah laazim mungu atawalaan hapa hapa dunian mkisha wavunjia watu wao waende wap
@Gamba177Ай бұрын
Huyu sijui mmanga au mdosi mbona muongo sana
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Safi sana kwa hapa nawapongeza sana ule uamy unatakiwa uishe zanzibar kama mtu kajenga kwenye eneo la Barabara anapaswa aondoke tu kama hataki serikali iwabomolee No Pain No gain safi sana
@kassimali2273
Жыл бұрын
Mpaka wamejenga nani amewapa kinali cha ujenzi uo
@omarissamashaallahpresiden2920 Жыл бұрын
Lami ya moto
@abdulswamadmaulid5563 Жыл бұрын
Huyo ndio nadir bwana pata pesa tujue tabia yako pia pata madaraka tujue nguvu yako
@kassimali2273
Жыл бұрын
Kibri tu lakini tupo hapa 2taona izo njia zikijengwa
@ahmedomar804 Жыл бұрын
Barabara ya bububu vp au ndio watalii wote huenda fumba na mjini tu
@seifabdulwahid4579 Жыл бұрын
Watu wananuka njaa serikali yote ya ccm washenzi
@chomwabonzo8811 Жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂anzeni na njia ya bomani barbara chini ya mlango
@ibrahimmwinyi6957 Жыл бұрын
Hawa mashaka tuu hebu jengeni njia za ndani kibonde mzungu
@iddijumaali7192 Жыл бұрын
Jamani kama pesa za fly over hebu zitumieni kuzuia mfumuko wa bai masikini wanaumia
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Jingine viwanda vya kufanya kazi wazanzibari wote wanavuta bangi ulevi na umalaya kutwa maskani kazi hawana kiasi uhalifu na uzalishaji isiondoke
@AbdillahSOthman Жыл бұрын
Anzeni kujenga njia za chini. Na mujue kuwa watu walijenga nyumba kabla ww hujazaliwa uje ujenge bara bara kisha usiwalipe ndio vipi. Jengeni njia za uhakika za chini munajenga njia baada ya mwaka njia mbovu.
@ahmedomar804 Жыл бұрын
Kapewa rungu ndio wenye nchi hao
@salimharrasy70476 ай бұрын
Bara bara zitasaidia sana kurahisisha harakati za maisha ya kila siku. Naomba plan B ya Serikali kusaidia wana Nchi walo wengi kimaisha hasa jwa upande wa chakula, elimu na afya.
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Hiyo ndio haki mtengeneze bara bara za Unguja zaidi ya 20 Pemba mtengeneze bara bara 3 tu?.. Wa Pemba wakisema mnawatenga kimaendeleo inakuwa nongwa ila kwa mwenendo huo ni haki kuzichukia serikali zote mbili wa Pemba wamechoka na huu Usaniii wa mkoloni mweusi.
@Soon815
5 ай бұрын
Watajengaje barabara porini?
@suleimanbadru819 Жыл бұрын
Dhana ya utawala bora nikua serikali nibudi ijali wananchi wake japo fidia ndogo akaanzie maisha mapya sbb umasikini wa raiya unarudia serikali .sasa wewe unatamka haya sbb upo ktk system ukiondoka utajua hujui
@shafyjuma7745 Жыл бұрын
Huu ni upuuzi mana 😂 majia ya chini mabovu unaenda kujenga over sjuwi dude gani mimi nipewe urais sifeli
@RioIpo
Жыл бұрын
Unaujua mkakati wa serekali? Barabara zote zinajengwa upya kilomita 200 na pamoja fly over
@kassimali2273
Жыл бұрын
Mwinyi ana jini anaitwa jenga jenga yy kila sehemu anataka ajenge nguvu izo zinatokea wapi
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Kwanza wajenge lile jumba la beilt ajaib mana miaka kumi na tano sasa lipo lipo Tu na majumba ya mjerumani pia kama hamuwezi kuyakarabat yabomoweni
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Lakini flyover zitawasaidia nyinyi mnapopita na misafara yenu MAANA HAMWISHI KUSIMAMISHA RAIA nusu saa nzima ili mpite nyinyi mnaojiita waheshimiwa
@adamyussuf1678 Жыл бұрын
Mshakubaliwa kwa mabwana zenu Tanganyika au mnajisemea tu
@user-nv4vk8wq3z6 ай бұрын
Haikubaliki hiyo mbn huku bara watu wanalipwa
@gangmore9091 Жыл бұрын
Mtu amejenga kwa kibali cha serekali kwanini musingetoa vibali n kuzuwia wasijenge tatizo munapeana ajira kwakujua bila kua n elimu n nafasi hizo
@murattywamuratty97789 ай бұрын
Hamna utanuzi mmoja wa bara bara, mshakata miti tayari ila naona ao wanotengeza barabara kiembe samaki, njia ya kwa mchina mnapita mule mule mwa zamani
@FaudhanMuhamad6 ай бұрын
Ndoumeongea nn frafki yangu kama hutolpa hapa utalipa kwamuungu
@yasalaam590 Жыл бұрын
Serikali muliangalie la wananchi kwasasa hali ni ngumu ni vyema mkashauri tena kuhusu fidia walau nusu yake kuliko kutowapa kabisa hali ni ngumu kwa wananchi wenu
@omarissamashaallahpresiden2920 Жыл бұрын
Bora zisiwe na taa
@rashidabasi7940 Жыл бұрын
HAHAH.. HIZI SERIKAL ZA KISWAHILI AISEE.
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Izo barabara za juu mnajenga sawa shwihab, lakini tatizo lenu za chini zote mbovu barabara za mjini zimezidi, na mataa ya barabarani biziredi huu mwaka tena haziwaki ukiangalia watu wanalipa kodi pesa halmashauri wanakusanya lakini aaah ovyooo
@kassimali2273
Жыл бұрын
Mie naona uongo mtupu za chini hawaziwezi wataweza za juuu wa2 wanna njaaa washulike na kula kwanza
@phoibemkwawi6892 Жыл бұрын
Kwahyo hizo siku14 waende wapi?
@ussihamza-xn7bx Жыл бұрын
Mbona Njia za Mwanyanya Hamna.
@AaAa-vm8bb8 ай бұрын
Tokea umesema hayo mh hadi leo iko wapi hio njia iliyo jengwa huko Pemba iko wapi
@hafidhchoi3186 Жыл бұрын
Mnaimba sana ebu tufanyien vitendo nyie watu
@kassimali2273
Жыл бұрын
Hakika miaka 2 sijaona alicho kifanya kasoro kufungua maduka ya CCM darajani ambayo maduka wenyewe yatashinda wa2 kutokana na bei za kodi
@vintagemusicgroup923610 ай бұрын
Flyover kwa magari gani?
@muhammadmuhammad5043 Жыл бұрын
Hayo Kutowalipa Wananchi Hakizao Yamezoeleka Zanzibar Kwasababu Hao Walio Jenga Walipokuwa Wakijanga Sirikali ilikuwa Wapi..??????? Mpaka Leo Muwavunjie Bilakuwalipa Nahivyo Vibali Mnavyo Dai Vyaujanja Ujanja Vikitoka Nchigani au Sirikali Gani Msisahaa Hakiyamtu Nimzito Kesho Kwamungu..?????
@beemali9741 Жыл бұрын
Na bububu jmni tunateseka foleni
@yasalaam590
Жыл бұрын
Kweli kabisaa njia no.1 ni mtihani ile barabara ya bububu kwenda shamba magari ni.mengi mno kwakweli inshaallah allah awafanyie wepesi waongeze njia zaifi ya moja ikiwezekana kama nafasi hakuna wajenge na barabara zanjuu
@awenamohd8357 Жыл бұрын
Lakini serekali ioneni fuoni jitimai aibu kama kuna viongozi
@OmarMohamed-zf8dp5 ай бұрын
Jee nakama mlisha wahi kuwavunjia na mitazenu zikiwa zimeisha mtawafanya nn
@miao8614 Жыл бұрын
lugha yako ni mbaya mbovu sana kama kiongozi. muna midomo michafu kwasababu yakiburi cha uongozi wamepita wengi nanyi mtapita hesabu yenu mtaikuta akhera
@seifabdulwahid4579 Жыл бұрын
Ww Nadir ulikuwa unajifanya muongeaji sn kumbe njaa ilikuwa inakusumbuwa mshenzi wee uso fadhila
@kuntakintekoko5320 Жыл бұрын
Akah, ami kwani karafuu zimpanda bei eeh, au mwafanya vipi mambo haya ?
@omarissamashaallahpresiden2920 Жыл бұрын
Tunajua kwamba nyie wanyanganyi tokea 64?
@rafaelmarquez9396 Жыл бұрын
Zanzibar haina City planning sasa kujenga mabarabara itabidi uwavunjie watu vijumba vyao marais wote hawakushughulika na hilo walijali matumbo yao tu
@khalidkhaan127 Жыл бұрын
Fly over inaanza mombasa kwa mchina hadi fumba mpaka kigamboni Tanzania bara
@ZANAMBER126 ай бұрын
Si haki hata kidogo muhindi wewe unafanya si haki kuvunja mtu nyumba yake halfu usimlipe hii ni zuluma kubwa
@yassirgiya6743 Жыл бұрын
Ila hakuna usawa hapo unguja nyingi pemba moja tu! Huu ni uonevu
@Worldunite Жыл бұрын
Zanzibar itageuka bombay😀😀😀
@sasha-ri7tf
Жыл бұрын
Tukichukuwa nchi Zanzibar itakuwa kama Singapore Insha Allah 💜💜💜🤲🤲🤲.
@Soon815
5 ай бұрын
@@sasha-ri7tf 😂😂😂 Kwa akili za urojo na kubaguana??? Dhubutu
@khaledsuleiman9819 Жыл бұрын
Lakini mbona munatoa vibali vya ujenzi wa nyumba hizo zilizopo karibu na bara bara.?
@feisalmohamed3198 Жыл бұрын
Nimependa alivyo jibu swali kua, ikiwa watagundua wamemkuta mwananchi kisheria anayo haki ya kulipwa fidia watamlipa. Ni kweli jamani tumekua tukijinga bila kufata taratibu
@ayoubkhatibu3768 Жыл бұрын
Masoko vipi naona kimya nauliza tu mimi napita tu
@kassimali2273
Жыл бұрын
Na vile visiwa sijui vishanza kujengwa izo hotel au bd
@AhmedAli-gh1lm
6 ай бұрын
Masoko yanaendelea kujengwa kwa kasi. Mimi si CCM lakini masoko nayaona yakiendelea kujengwa kwa speed kali
@salumkhamis8495 Жыл бұрын
Ulikuwa una misimamo mizur ukajifanya mtu wa.dini.umepewa.dhamana.ys.unaibu umesahau Kila kitu. Mungu.akufanyie.wepesi.urudi.kwenye.haki🙏
@Jempustate
Жыл бұрын
Naona amevimba. Ni kibri au shibe?
@shaabanmakame2690
Жыл бұрын
Amiin
@salumkhamis8495 Жыл бұрын
Vunjeni tuuu nchi ya Mapinduzi. tukutane mbele ya Haki.
@issahassan8361 Жыл бұрын
Sasa nyie mnajenga fly over wakati mkoani njia haipitiki imewashinda mwaka wa 7 huu . Ama proper , proper ganii
@zaidybakar6865 Жыл бұрын
Mnataka flay over wakat zote mbov
@khamisjuma7616 Жыл бұрын
Fidia mtatoa tu mana tuna vibali vya ujenzi vya mamlaka husika na mlikua wapi mpaka tukajenga na sasa mbomoe tutatumia ile sheria ya ardhi ya miaka 12 bila zuio mtatoa fidia wewe hujui sheria ndo mana unaongea tu ila sheria za kutulinda zipo
@swahibulfalak4378 Жыл бұрын
Watu Wana maisha magumu Kaz hawana viwanda hakuna anira hskuna izo njia watakula hebu tuache muarabu
@mudighurayra
Жыл бұрын
Viwanda vitakuja njia ziko tafran
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Flyover za nini wananchi wananuka njaa? makodi ya kuuwa wafanya biashara na wananchi? nyinyi mnapita na misafara ya magari 100 na kila gari ni V8. Hayo mafuta na maposho mnatoa mifukoni mwenu? pesa zote zinaenda kwenye kuwaendesha nyinyi viongozi na familia zenu
@kassimali2273
Жыл бұрын
Point brother
@hansiempire5093 Жыл бұрын
Aisee wapemba ni waarabu jamani
@ochutv521 Жыл бұрын
😂😂😂
@hassanalawy4325 Жыл бұрын
Nyie mumeona wapi? jengeni za chini tu....za juu zanini wakati watu kidogo?
@mudighurayra
Жыл бұрын
Dah ndio akili yako ilipo fikia apo
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
@@mudighurayra yako jee?
@mudighurayra
Жыл бұрын
@@omarissamashaallahpresiden2920 na ww yko kama yake nini?
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
@@mudighurayra ww inaonekana unapenda kuongopewa kuzubaishwa akili yako za chini hazipo flyover au madaraja ya kuvuukia tu ushawahi kupita kwenye flyover? Wapi? Nope jibu?
@mudighurayra
Жыл бұрын
@@omarissamashaallahpresiden2920 kabla kufika uko angalia uzur comment yake huyo angalia vzr na yngu angalia vzur na kitu unacho kiongelea alaf nitakujibu wapi nlisha tembea na kwa ushahidi gani
@AP-uk3mq Жыл бұрын
Ujinga tuuu. Mngejenga hizo ziliopo kwanza. Umeshiba wewe
Пікірлер: 111
Mbona hakuna usawa hopo..nyingi ni za ungujatu..Pemba Moja tu chke mkoani😔..muogopeni Allaah.
Mutakwenda kutulipa kesho akhera na hatutowasamehe ,japokua hakuna nia ya kujenga hizo njia hasa kwa pemba
@khadijamohamed8170
Жыл бұрын
Ahera hakuna malipo baada ya kuvamia sehemu ya serikali uyo mungu pia anapenda haki je ww ulojenga sehemu sio yako
Tushazoea Kuona Mnafanya Uonevu Kwa Wanyonge Na Hii Ndio Kawaida Yenu Lkn Kumbuken Kuwa Dunia Ni Njia Tu Yapo Maisha Ya Milele Uko Ndio Ukwel Utabainika
Mashaallah allah ajaaliye zijengwe bara bara zanzibar yaarabbi
@AP-uk3mq
Жыл бұрын
🙄
Kumbe zanzibar kuna msongamano kuzidi arusha Au dodoma mpaka panawekwa flyover
Mungu niweke nije kuona kwa macho yangu
Masha'allaaaah!
Enyieeeee nyiii Kuna moto Kwa munguu dhulmaaa mbayaaa😅😅😅😅😅😅😅
Sis tutakula hizo fly over
mh....kisiwa kidogo tu lakini miradi mingi sana ya maendeleo tunaisikia na tunaendelea kuisikia lakini utendaji wake Zerooo...........
@hatibuyusufu4668
Жыл бұрын
ACHA dharau Zanzibar ni nchi
@adonis-bx7ht
Жыл бұрын
@@hatibuyusufu4668kwani nani kasema sio nchi. Wacha kujishuku.
Ushashiba ww
Dhulii
ujenzi wa flyover ni matumizi mabaya ya rasilimali pesa na kuendesha nchi kwa mihemko. Flyover haziingizi hata shilingi kwa serikali , kwanini zisitumike hizo pesa kwenye uwekezaji wenye tija. Kama tunasena dira yetu uchumi kwa buluu kwanini serikali isitumie hizo pesa kununulia meli za uvuvi na kuacha kutegemea viboti ambazo hata watu kumi hawawezi kupanda pamoja
@kassimali2273
Жыл бұрын
Maneno mazima uliyo yaongea Akhii
@user-nv4vk8wq3z
6 ай бұрын
Huna akili kabisa
Wananchi wananjaa, fanyeni maendeleo ya kuwagusa wananchi, hizo flyover zinamsaidiaje mwananchi? punguzeni ushuru na kodi vitu vishuke bei,
Kucheuwa nilazima tumbo likishashiba tuzione
Inshaallah
Wallah laazim mungu atawalaan hapa hapa dunian mkisha wavunjia watu wao waende wap
Huyu sijui mmanga au mdosi mbona muongo sana
Safi sana kwa hapa nawapongeza sana ule uamy unatakiwa uishe zanzibar kama mtu kajenga kwenye eneo la Barabara anapaswa aondoke tu kama hataki serikali iwabomolee No Pain No gain safi sana
@kassimali2273
Жыл бұрын
Mpaka wamejenga nani amewapa kinali cha ujenzi uo
Lami ya moto
Huyo ndio nadir bwana pata pesa tujue tabia yako pia pata madaraka tujue nguvu yako
@kassimali2273
Жыл бұрын
Kibri tu lakini tupo hapa 2taona izo njia zikijengwa
Barabara ya bububu vp au ndio watalii wote huenda fumba na mjini tu
Watu wananuka njaa serikali yote ya ccm washenzi
🤣🤣🤣😂😂😂anzeni na njia ya bomani barbara chini ya mlango
Hawa mashaka tuu hebu jengeni njia za ndani kibonde mzungu
Jamani kama pesa za fly over hebu zitumieni kuzuia mfumuko wa bai masikini wanaumia
Jingine viwanda vya kufanya kazi wazanzibari wote wanavuta bangi ulevi na umalaya kutwa maskani kazi hawana kiasi uhalifu na uzalishaji isiondoke
Anzeni kujenga njia za chini. Na mujue kuwa watu walijenga nyumba kabla ww hujazaliwa uje ujenge bara bara kisha usiwalipe ndio vipi. Jengeni njia za uhakika za chini munajenga njia baada ya mwaka njia mbovu.
Kapewa rungu ndio wenye nchi hao
Bara bara zitasaidia sana kurahisisha harakati za maisha ya kila siku. Naomba plan B ya Serikali kusaidia wana Nchi walo wengi kimaisha hasa jwa upande wa chakula, elimu na afya.
Hiyo ndio haki mtengeneze bara bara za Unguja zaidi ya 20 Pemba mtengeneze bara bara 3 tu?.. Wa Pemba wakisema mnawatenga kimaendeleo inakuwa nongwa ila kwa mwenendo huo ni haki kuzichukia serikali zote mbili wa Pemba wamechoka na huu Usaniii wa mkoloni mweusi.
@Soon815
5 ай бұрын
Watajengaje barabara porini?
Dhana ya utawala bora nikua serikali nibudi ijali wananchi wake japo fidia ndogo akaanzie maisha mapya sbb umasikini wa raiya unarudia serikali .sasa wewe unatamka haya sbb upo ktk system ukiondoka utajua hujui
Huu ni upuuzi mana 😂 majia ya chini mabovu unaenda kujenga over sjuwi dude gani mimi nipewe urais sifeli
@RioIpo
Жыл бұрын
Unaujua mkakati wa serekali? Barabara zote zinajengwa upya kilomita 200 na pamoja fly over
@kassimali2273
Жыл бұрын
Mwinyi ana jini anaitwa jenga jenga yy kila sehemu anataka ajenge nguvu izo zinatokea wapi
Kwanza wajenge lile jumba la beilt ajaib mana miaka kumi na tano sasa lipo lipo Tu na majumba ya mjerumani pia kama hamuwezi kuyakarabat yabomoweni
Lakini flyover zitawasaidia nyinyi mnapopita na misafara yenu MAANA HAMWISHI KUSIMAMISHA RAIA nusu saa nzima ili mpite nyinyi mnaojiita waheshimiwa
Mshakubaliwa kwa mabwana zenu Tanganyika au mnajisemea tu
Haikubaliki hiyo mbn huku bara watu wanalipwa
Mtu amejenga kwa kibali cha serekali kwanini musingetoa vibali n kuzuwia wasijenge tatizo munapeana ajira kwakujua bila kua n elimu n nafasi hizo
Hamna utanuzi mmoja wa bara bara, mshakata miti tayari ila naona ao wanotengeza barabara kiembe samaki, njia ya kwa mchina mnapita mule mule mwa zamani
Ndoumeongea nn frafki yangu kama hutolpa hapa utalipa kwamuungu
Serikali muliangalie la wananchi kwasasa hali ni ngumu ni vyema mkashauri tena kuhusu fidia walau nusu yake kuliko kutowapa kabisa hali ni ngumu kwa wananchi wenu
Bora zisiwe na taa
HAHAH.. HIZI SERIKAL ZA KISWAHILI AISEE.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Izo barabara za juu mnajenga sawa shwihab, lakini tatizo lenu za chini zote mbovu barabara za mjini zimezidi, na mataa ya barabarani biziredi huu mwaka tena haziwaki ukiangalia watu wanalipa kodi pesa halmashauri wanakusanya lakini aaah ovyooo
@kassimali2273
Жыл бұрын
Mie naona uongo mtupu za chini hawaziwezi wataweza za juuu wa2 wanna njaaa washulike na kula kwanza
Kwahyo hizo siku14 waende wapi?
Mbona Njia za Mwanyanya Hamna.
Tokea umesema hayo mh hadi leo iko wapi hio njia iliyo jengwa huko Pemba iko wapi
Mnaimba sana ebu tufanyien vitendo nyie watu
@kassimali2273
Жыл бұрын
Hakika miaka 2 sijaona alicho kifanya kasoro kufungua maduka ya CCM darajani ambayo maduka wenyewe yatashinda wa2 kutokana na bei za kodi
Flyover kwa magari gani?
Hayo Kutowalipa Wananchi Hakizao Yamezoeleka Zanzibar Kwasababu Hao Walio Jenga Walipokuwa Wakijanga Sirikali ilikuwa Wapi..??????? Mpaka Leo Muwavunjie Bilakuwalipa Nahivyo Vibali Mnavyo Dai Vyaujanja Ujanja Vikitoka Nchigani au Sirikali Gani Msisahaa Hakiyamtu Nimzito Kesho Kwamungu..?????
Na bububu jmni tunateseka foleni
@yasalaam590
Жыл бұрын
Kweli kabisaa njia no.1 ni mtihani ile barabara ya bububu kwenda shamba magari ni.mengi mno kwakweli inshaallah allah awafanyie wepesi waongeze njia zaifi ya moja ikiwezekana kama nafasi hakuna wajenge na barabara zanjuu
Lakini serekali ioneni fuoni jitimai aibu kama kuna viongozi
Jee nakama mlisha wahi kuwavunjia na mitazenu zikiwa zimeisha mtawafanya nn
lugha yako ni mbaya mbovu sana kama kiongozi. muna midomo michafu kwasababu yakiburi cha uongozi wamepita wengi nanyi mtapita hesabu yenu mtaikuta akhera
Ww Nadir ulikuwa unajifanya muongeaji sn kumbe njaa ilikuwa inakusumbuwa mshenzi wee uso fadhila
Akah, ami kwani karafuu zimpanda bei eeh, au mwafanya vipi mambo haya ?
Tunajua kwamba nyie wanyanganyi tokea 64?
Zanzibar haina City planning sasa kujenga mabarabara itabidi uwavunjie watu vijumba vyao marais wote hawakushughulika na hilo walijali matumbo yao tu
Fly over inaanza mombasa kwa mchina hadi fumba mpaka kigamboni Tanzania bara
Si haki hata kidogo muhindi wewe unafanya si haki kuvunja mtu nyumba yake halfu usimlipe hii ni zuluma kubwa
Ila hakuna usawa hapo unguja nyingi pemba moja tu! Huu ni uonevu
Zanzibar itageuka bombay😀😀😀
@sasha-ri7tf
Жыл бұрын
Tukichukuwa nchi Zanzibar itakuwa kama Singapore Insha Allah 💜💜💜🤲🤲🤲.
@Soon815
5 ай бұрын
@@sasha-ri7tf 😂😂😂 Kwa akili za urojo na kubaguana??? Dhubutu
Lakini mbona munatoa vibali vya ujenzi wa nyumba hizo zilizopo karibu na bara bara.?
Nimependa alivyo jibu swali kua, ikiwa watagundua wamemkuta mwananchi kisheria anayo haki ya kulipwa fidia watamlipa. Ni kweli jamani tumekua tukijinga bila kufata taratibu
Masoko vipi naona kimya nauliza tu mimi napita tu
@kassimali2273
Жыл бұрын
Na vile visiwa sijui vishanza kujengwa izo hotel au bd
@AhmedAli-gh1lm
6 ай бұрын
Masoko yanaendelea kujengwa kwa kasi. Mimi si CCM lakini masoko nayaona yakiendelea kujengwa kwa speed kali
Ulikuwa una misimamo mizur ukajifanya mtu wa.dini.umepewa.dhamana.ys.unaibu umesahau Kila kitu. Mungu.akufanyie.wepesi.urudi.kwenye.haki🙏
@Jempustate
Жыл бұрын
Naona amevimba. Ni kibri au shibe?
@shaabanmakame2690
Жыл бұрын
Amiin
Vunjeni tuuu nchi ya Mapinduzi. tukutane mbele ya Haki.
Sasa nyie mnajenga fly over wakati mkoani njia haipitiki imewashinda mwaka wa 7 huu . Ama proper , proper ganii
Mnataka flay over wakat zote mbov
Fidia mtatoa tu mana tuna vibali vya ujenzi vya mamlaka husika na mlikua wapi mpaka tukajenga na sasa mbomoe tutatumia ile sheria ya ardhi ya miaka 12 bila zuio mtatoa fidia wewe hujui sheria ndo mana unaongea tu ila sheria za kutulinda zipo
Watu Wana maisha magumu Kaz hawana viwanda hakuna anira hskuna izo njia watakula hebu tuache muarabu
@mudighurayra
Жыл бұрын
Viwanda vitakuja njia ziko tafran
Flyover za nini wananchi wananuka njaa? makodi ya kuuwa wafanya biashara na wananchi? nyinyi mnapita na misafara ya magari 100 na kila gari ni V8. Hayo mafuta na maposho mnatoa mifukoni mwenu? pesa zote zinaenda kwenye kuwaendesha nyinyi viongozi na familia zenu
@kassimali2273
Жыл бұрын
Point brother
Aisee wapemba ni waarabu jamani
😂😂😂
Nyie mumeona wapi? jengeni za chini tu....za juu zanini wakati watu kidogo?
@mudighurayra
Жыл бұрын
Dah ndio akili yako ilipo fikia apo
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
@@mudighurayra yako jee?
@mudighurayra
Жыл бұрын
@@omarissamashaallahpresiden2920 na ww yko kama yake nini?
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
@@mudighurayra ww inaonekana unapenda kuongopewa kuzubaishwa akili yako za chini hazipo flyover au madaraja ya kuvuukia tu ushawahi kupita kwenye flyover? Wapi? Nope jibu?
@mudighurayra
Жыл бұрын
@@omarissamashaallahpresiden2920 kabla kufika uko angalia uzur comment yake huyo angalia vzr na yngu angalia vzur na kitu unacho kiongelea alaf nitakujibu wapi nlisha tembea na kwa ushahidi gani
Ujinga tuuu. Mngejenga hizo ziliopo kwanza. Umeshiba wewe