FUMBA TOWN ZANZIBAR | MJI MPYA WA KISASA |

Пікірлер: 57

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp2 жыл бұрын

    Mashallah tabArakallah NYC places mm nataka lkni Niko Kenya mombasa munauzaje apartment nahitaji SANA mm kuishi znz na familia yngu itawezekana

  • @youngbob9761
    @youngbob97612 жыл бұрын

    Zanzibar beautiful Island of Africa

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    2 жыл бұрын

    Sio kweli ,Zanzibar mjengeko wake sio mzuri, haikujengwa kwa mipango miji .

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 Imeanza sasa! Na zile nyumba chafu na chakavu zibomolewe, waanze kujenga upya...

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad64632 жыл бұрын

    Mashaa الله. Kumetulia.

  • @zahiribrahim7418
    @zahiribrahim74182 жыл бұрын

    Alhamdulillah 😍🥰🤩🌺🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @MosesEmanuel-fs3lc
    @MosesEmanuel-fs3lc2 ай бұрын

    ❤❤❤❤🇹🇿🙏☝️

  • @gracegrace6200
    @gracegrace62002 жыл бұрын

    Nyumba zenyewe ni mpya zimeanza kuona ukungu.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63372 жыл бұрын

    Mtu baada ya kusema malipo...Ana sema maripo😂🤣😂🤣😂🤣

  • @michealnicholas1503
    @michealnicholas1503 Жыл бұрын

    this video was good i wish 1 of you was translating in English to help attract foreigners t come and buy

  • @romanb4927
    @romanb49272 ай бұрын

    Leben hier auch Menschen?

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75892 жыл бұрын

    Zanzibar

  • @arqamkhamis1383
    @arqamkhamis13832 жыл бұрын

    Uwekezaji si wakitoto

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna612210 ай бұрын

    Why Fumba town Play or kids fun play is closed within a year and half

  • @kiri5807
    @kiri58072 жыл бұрын

    wewe jamaa unayehusika na mauzo kwanza umediscriminate uliposema mutamtengezea residential permits yake yeye, mke wake na mtoto. umeonesha kuwaacha nje wanawake yakuwa km hatuna uwezo wakununua nyumba huko . ilikuwa useme ya mke wake au ya mume wake . Mimi najipanga hapa nataka kununua na ni mwanamke Wallah tena niko serious . nataka nijue 4 bedrooms zinasimama bei gani , musitudharau wanawake nasi tunajituma wakati mwengine tunawapita kwa mishahara hata hao wanaume , musione kila mwanamke ni tegemezi tu hatuna chetu .

  • @josephatjordan2150

    @josephatjordan2150

    Жыл бұрын

    Wanafuga nyau humu😂

  • @nadrajuma6958
    @nadrajuma69582 жыл бұрын

    Home land

  • @meekman1805
    @meekman1805 Жыл бұрын

    Sawa

  • @abdullaalwikabil3371
    @abdullaalwikabil3371 Жыл бұрын

    2 bedroom apartmen how much tanzania money

  • @wardajumaa1272
    @wardajumaa1272 Жыл бұрын

    Tunataka namba zasimu

  • @achsahcharles6728
    @achsahcharles6728 Жыл бұрын

    Kasema mteja akinunua atapewa residence permit yake na mkewe meaning jamaa anasema hakuna mwanamke anaweza kuja kununua 😂😂😂

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla962 жыл бұрын

    Kitumbo chako haha

  • @josephlwago5950
    @josephlwago5950 Жыл бұрын

    Aloo

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez93962 жыл бұрын

    Huo mji si kwa wenyeji wa zanzibar ni kwa wakoloni wetu na foreign

  • @jambo3751

    @jambo3751

    2 жыл бұрын

    Kwa kila mwenye uwezo tu. Ni kama MASAKI AU OYSTERBAY AU MBEZI BEACH tu na dunia nzima ndivyo ilivyo kuna maeneo wanaishi wenye uwezo na kuna maeneo ni yetu sisi walalahoi.

  • @rafaelmarquez9396

    @rafaelmarquez9396

    2 жыл бұрын

    No siyo unafikiria wewe nambie mtu mwenye kibatu cha kati anaweze kufikisha dola milioni mia 200 kwa mwaka

  • @baharanmasoud9825

    @baharanmasoud9825

    2 жыл бұрын

    Watu watanganyika ndo Wana mahela

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    2 жыл бұрын

    @@jambo3751 waambie hao wasiojielewa

  • @birianination7097

    @birianination7097

    2 жыл бұрын

    @@rafaelmarquez9396 sio kwa tharau ila inaonekana wewe bongo bado hujaijua.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 жыл бұрын

    Rwanda. wanaitangaza sana nchi yao katika KZread sisi Watanzania tupo nyuma kuyitangaza nchi yetu na maeneo mazuri yapo amkeni sio jatika Bongofleva

  • @josephatmwalongo9961

    @josephatmwalongo9961

    Жыл бұрын

    Kwani hapo wanafanyaje si matangazo hayo unataka Nini?

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj5 күн бұрын

    Mbona pemba hamjengi mnaijeng ungujatu mabaguzinyie

  • @jumamnemo8383

    @jumamnemo8383

    Сағат бұрын

    Mwambie Bakhresa ndie mwenye mradi wake.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir86842 жыл бұрын

    Oman ndogo

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    2 жыл бұрын

    Wewe Omani ndogo wapi .

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    2 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 utakufa na roho mbaya ndugu kuna miradi mingi tu saiv Zanzibar so utaumia roho Sana

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    2 жыл бұрын

    @@mudighurayra Mimi nipo hapa Zanzibar nani nyumbani nilipozaliwa ,maendeleo yaliopo Zanzibar ni madogo sana labda uwe na ushabiki tu ,kwa anayesikia hajafika Zanzibar anaweza kufikiria kuwa imejengwa kweli lakini uhalisia haupo hivyo.Zanzibar hata vituo vya gari hakuna ,barabarani ndio kituo cha gari vichekesho kweli kweli.

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    2 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 unajua kujengwa na mandhari vitu viwili tofaut, coz sehem inaweza isijengwe ila ikawa na mandhari nzur, Ila na me kwetu ni hapa hapa na ndio ninapo ishi

  • @jambo3751

    @jambo3751

    2 жыл бұрын

    Bi Asia umepatia kabisa Zanzibar ni Oman ndogo. Na sasa itakuwa nzuri kutokana na miradi mingi ya kimaendeleo itazidi kupendeza.

  • @kuntakintekoko5320
    @kuntakintekoko53202 жыл бұрын

    Mbona hujawaeeleza kwamba kila asubuhi mkaazi wa hizo nyumba lazima aseme kidumu chama cha mapinduzi mara tatu la sivyo itabidi afunge virago ende zake.

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    2 жыл бұрын

    Mmmmmm!!!!!! Ni kweli au una lako la moyoni?

  • @sashoright8213

    @sashoright8213

    2 жыл бұрын

    @@maryamalli9090 wangehama wengi😂😂😂😂jamn atujuzee

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63372 жыл бұрын

    Hawa wote sio Wazanzibar...hawa wato ni Watanganyika na ndio Watanzania sawa¿Wazanzibar wapo wapi¿

  • @camicapoty9415

    @camicapoty9415

    2 жыл бұрын

    Hawa ndio wachafua lugha

  • @abdillahhamad890

    @abdillahhamad890

    2 жыл бұрын

    Hatufanani kwakweli bara na znz

  • @user-gd2xj3xd1b

    @user-gd2xj3xd1b

    6 ай бұрын

    Watanganyika ndo wenye nchi Yao na uwezo wa yote hayo wazanzibar so mashoga tu

Келесі