Mashallah tabArakallah NYC places mm nataka lkni Niko Kenya mombasa munauzaje apartment nahitaji SANA mm kuishi znz na familia yngu itawezekana
@youngbob97612 жыл бұрын
Zanzibar beautiful Island of Africa
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
Sio kweli ,Zanzibar mjengeko wake sio mzuri, haikujengwa kwa mipango miji .
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 Imeanza sasa! Na zile nyumba chafu na chakavu zibomolewe, waanze kujenga upya...
@myunaniniahmad64632 жыл бұрын
Mashaa الله. Kumetulia.
@zahiribrahim74182 жыл бұрын
Alhamdulillah 😍🥰🤩🌺🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@MosesEmanuel-fs3lc2 ай бұрын
❤❤❤❤🇹🇿🙏☝️
@gracegrace62002 жыл бұрын
Nyumba zenyewe ni mpya zimeanza kuona ukungu.
@solomonadams63372 жыл бұрын
Mtu baada ya kusema malipo...Ana sema maripo😂🤣😂🤣😂🤣
@michealnicholas1503 Жыл бұрын
this video was good i wish 1 of you was translating in English to help attract foreigners t come and buy
@romanb49272 ай бұрын
Leben hier auch Menschen?
@kassimomar75892 жыл бұрын
Zanzibar
@arqamkhamis13832 жыл бұрын
Uwekezaji si wakitoto
@labunaabouna612210 ай бұрын
Why Fumba town Play or kids fun play is closed within a year and half
@kiri58072 жыл бұрын
wewe jamaa unayehusika na mauzo kwanza umediscriminate uliposema mutamtengezea residential permits yake yeye, mke wake na mtoto. umeonesha kuwaacha nje wanawake yakuwa km hatuna uwezo wakununua nyumba huko . ilikuwa useme ya mke wake au ya mume wake . Mimi najipanga hapa nataka kununua na ni mwanamke Wallah tena niko serious . nataka nijue 4 bedrooms zinasimama bei gani , musitudharau wanawake nasi tunajituma wakati mwengine tunawapita kwa mishahara hata hao wanaume , musione kila mwanamke ni tegemezi tu hatuna chetu .
@josephatjordan2150
Жыл бұрын
Wanafuga nyau humu😂
@nadrajuma69582 жыл бұрын
Home land
@meekman1805 Жыл бұрын
Sawa
@abdullaalwikabil3371 Жыл бұрын
2 bedroom apartmen how much tanzania money
@wardajumaa1272 Жыл бұрын
Tunataka namba zasimu
@achsahcharles6728 Жыл бұрын
Kasema mteja akinunua atapewa residence permit yake na mkewe meaning jamaa anasema hakuna mwanamke anaweza kuja kununua 😂😂😂
@khumayraabdulla962 жыл бұрын
Kitumbo chako haha
@josephlwago5950 Жыл бұрын
Aloo
@rafaelmarquez93962 жыл бұрын
Huo mji si kwa wenyeji wa zanzibar ni kwa wakoloni wetu na foreign
@jambo3751
2 жыл бұрын
Kwa kila mwenye uwezo tu. Ni kama MASAKI AU OYSTERBAY AU MBEZI BEACH tu na dunia nzima ndivyo ilivyo kuna maeneo wanaishi wenye uwezo na kuna maeneo ni yetu sisi walalahoi.
@rafaelmarquez9396
2 жыл бұрын
No siyo unafikiria wewe nambie mtu mwenye kibatu cha kati anaweze kufikisha dola milioni mia 200 kwa mwaka
@baharanmasoud9825
2 жыл бұрын
Watu watanganyika ndo Wana mahela
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
@@jambo3751 waambie hao wasiojielewa
@birianination7097
2 жыл бұрын
@@rafaelmarquez9396 sio kwa tharau ila inaonekana wewe bongo bado hujaijua.
@mbukumagiubukumagu4062 жыл бұрын
Rwanda. wanaitangaza sana nchi yao katika KZread sisi Watanzania tupo nyuma kuyitangaza nchi yetu na maeneo mazuri yapo amkeni sio jatika Bongofleva
@josephatmwalongo9961
Жыл бұрын
Kwani hapo wanafanyaje si matangazo hayo unataka Nini?
@@jumamohamed3168 utakufa na roho mbaya ndugu kuna miradi mingi tu saiv Zanzibar so utaumia roho Sana
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
@@mudighurayra Mimi nipo hapa Zanzibar nani nyumbani nilipozaliwa ,maendeleo yaliopo Zanzibar ni madogo sana labda uwe na ushabiki tu ,kwa anayesikia hajafika Zanzibar anaweza kufikiria kuwa imejengwa kweli lakini uhalisia haupo hivyo.Zanzibar hata vituo vya gari hakuna ,barabarani ndio kituo cha gari vichekesho kweli kweli.
@mudighurayra
2 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 unajua kujengwa na mandhari vitu viwili tofaut, coz sehem inaweza isijengwe ila ikawa na mandhari nzur, Ila na me kwetu ni hapa hapa na ndio ninapo ishi
@jambo3751
2 жыл бұрын
Bi Asia umepatia kabisa Zanzibar ni Oman ndogo. Na sasa itakuwa nzuri kutokana na miradi mingi ya kimaendeleo itazidi kupendeza.
@kuntakintekoko53202 жыл бұрын
Mbona hujawaeeleza kwamba kila asubuhi mkaazi wa hizo nyumba lazima aseme kidumu chama cha mapinduzi mara tatu la sivyo itabidi afunge virago ende zake.
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Mmmmmm!!!!!! Ni kweli au una lako la moyoni?
@sashoright8213
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 wangehama wengi😂😂😂😂jamn atujuzee
@solomonadams63372 жыл бұрын
Hawa wote sio Wazanzibar...hawa wato ni Watanganyika na ndio Watanzania sawa¿Wazanzibar wapo wapi¿
@camicapoty9415
2 жыл бұрын
Hawa ndio wachafua lugha
@abdillahhamad890
2 жыл бұрын
Hatufanani kwakweli bara na znz
@user-gd2xj3xd1b
6 ай бұрын
Watanganyika ndo wenye nchi Yao na uwezo wa yote hayo wazanzibar so mashoga tu
Пікірлер: 57
Mashallah tabArakallah NYC places mm nataka lkni Niko Kenya mombasa munauzaje apartment nahitaji SANA mm kuishi znz na familia yngu itawezekana
Zanzibar beautiful Island of Africa
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
Sio kweli ,Zanzibar mjengeko wake sio mzuri, haikujengwa kwa mipango miji .
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 Imeanza sasa! Na zile nyumba chafu na chakavu zibomolewe, waanze kujenga upya...
Mashaa الله. Kumetulia.
Alhamdulillah 😍🥰🤩🌺🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤❤🇹🇿🙏☝️
Nyumba zenyewe ni mpya zimeanza kuona ukungu.
Mtu baada ya kusema malipo...Ana sema maripo😂🤣😂🤣😂🤣
this video was good i wish 1 of you was translating in English to help attract foreigners t come and buy
Leben hier auch Menschen?
Zanzibar
Uwekezaji si wakitoto
Why Fumba town Play or kids fun play is closed within a year and half
wewe jamaa unayehusika na mauzo kwanza umediscriminate uliposema mutamtengezea residential permits yake yeye, mke wake na mtoto. umeonesha kuwaacha nje wanawake yakuwa km hatuna uwezo wakununua nyumba huko . ilikuwa useme ya mke wake au ya mume wake . Mimi najipanga hapa nataka kununua na ni mwanamke Wallah tena niko serious . nataka nijue 4 bedrooms zinasimama bei gani , musitudharau wanawake nasi tunajituma wakati mwengine tunawapita kwa mishahara hata hao wanaume , musione kila mwanamke ni tegemezi tu hatuna chetu .
@josephatjordan2150
Жыл бұрын
Wanafuga nyau humu😂
Home land
Sawa
2 bedroom apartmen how much tanzania money
Tunataka namba zasimu
Kasema mteja akinunua atapewa residence permit yake na mkewe meaning jamaa anasema hakuna mwanamke anaweza kuja kununua 😂😂😂
Kitumbo chako haha
Aloo
Huo mji si kwa wenyeji wa zanzibar ni kwa wakoloni wetu na foreign
@jambo3751
2 жыл бұрын
Kwa kila mwenye uwezo tu. Ni kama MASAKI AU OYSTERBAY AU MBEZI BEACH tu na dunia nzima ndivyo ilivyo kuna maeneo wanaishi wenye uwezo na kuna maeneo ni yetu sisi walalahoi.
@rafaelmarquez9396
2 жыл бұрын
No siyo unafikiria wewe nambie mtu mwenye kibatu cha kati anaweze kufikisha dola milioni mia 200 kwa mwaka
@baharanmasoud9825
2 жыл бұрын
Watu watanganyika ndo Wana mahela
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
@@jambo3751 waambie hao wasiojielewa
@birianination7097
2 жыл бұрын
@@rafaelmarquez9396 sio kwa tharau ila inaonekana wewe bongo bado hujaijua.
Rwanda. wanaitangaza sana nchi yao katika KZread sisi Watanzania tupo nyuma kuyitangaza nchi yetu na maeneo mazuri yapo amkeni sio jatika Bongofleva
@josephatmwalongo9961
Жыл бұрын
Kwani hapo wanafanyaje si matangazo hayo unataka Nini?
Mbona pemba hamjengi mnaijeng ungujatu mabaguzinyie
@jumamnemo8383
Сағат бұрын
Mwambie Bakhresa ndie mwenye mradi wake.
Oman ndogo
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
Wewe Omani ndogo wapi .
@mudighurayra
2 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 utakufa na roho mbaya ndugu kuna miradi mingi tu saiv Zanzibar so utaumia roho Sana
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
@@mudighurayra Mimi nipo hapa Zanzibar nani nyumbani nilipozaliwa ,maendeleo yaliopo Zanzibar ni madogo sana labda uwe na ushabiki tu ,kwa anayesikia hajafika Zanzibar anaweza kufikiria kuwa imejengwa kweli lakini uhalisia haupo hivyo.Zanzibar hata vituo vya gari hakuna ,barabarani ndio kituo cha gari vichekesho kweli kweli.
@mudighurayra
2 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 unajua kujengwa na mandhari vitu viwili tofaut, coz sehem inaweza isijengwe ila ikawa na mandhari nzur, Ila na me kwetu ni hapa hapa na ndio ninapo ishi
@jambo3751
2 жыл бұрын
Bi Asia umepatia kabisa Zanzibar ni Oman ndogo. Na sasa itakuwa nzuri kutokana na miradi mingi ya kimaendeleo itazidi kupendeza.
Mbona hujawaeeleza kwamba kila asubuhi mkaazi wa hizo nyumba lazima aseme kidumu chama cha mapinduzi mara tatu la sivyo itabidi afunge virago ende zake.
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Mmmmmm!!!!!! Ni kweli au una lako la moyoni?
@sashoright8213
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 wangehama wengi😂😂😂😂jamn atujuzee
Hawa wote sio Wazanzibar...hawa wato ni Watanganyika na ndio Watanzania sawa¿Wazanzibar wapo wapi¿
@camicapoty9415
2 жыл бұрын
Hawa ndio wachafua lugha
@abdillahhamad890
2 жыл бұрын
Hatufanani kwakweli bara na znz
@user-gd2xj3xd1b
6 ай бұрын
Watanganyika ndo wenye nchi Yao na uwezo wa yote hayo wazanzibar so mashoga tu