KUMEKUCHA HII NDIO KAULI YA DKT MWINYI

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 47

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb11 күн бұрын

    Tukanunue gesi urusi gesi urusi rahisi kuliko Tanganyika

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo11 күн бұрын

    Masha Allah,,,,president good luck our president 👍👍👍👍

  • @binmakame3881
    @binmakame388111 күн бұрын

    Hongera Dr.Mwinyi Ni mojawapo ya hatua ya kiuchuni nadhani bei ya ges inaweza kuwa ya chini

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    11 күн бұрын

    Mjinga ww

  • @user-kc5gp4fb7b
    @user-kc5gp4fb7b11 күн бұрын

    Huyu mtu anafanya kazi aisee

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu11 күн бұрын

    Nakukubali sana rais Mungu akuzidishie uwe hivyo hivyo maendeleo tunayaona mambo taratibu

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed11 күн бұрын

    Mashallah Asante Sana Dr Mwinyi

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    11 күн бұрын

    Weye si mzanzibar ndio maaana kwenu ni bara unamshangirikia mbara mwenzako

  • @user-ou9wu4lm3e
    @user-ou9wu4lm3e11 күн бұрын

    Tunataka maisha mazur

  • @hajiiddi6728

    @hajiiddi6728

    9 күн бұрын

    Maisha mazur yatakuja bila miundo mbinu.. tembea ujifunze

  • @user-ou9wu4lm3e
    @user-ou9wu4lm3e11 күн бұрын

    Tunataka micheleipunguwe sio manene yagesi

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    11 күн бұрын

    Unajua saiv bei ya mchele wa mbeya una anza bei gani au hujaowa bado hujui bei za michele unakua kwenu

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo11 күн бұрын

    Good rais wetu

  • @fanaualmazrui733
    @fanaualmazrui73311 күн бұрын

    Kibaraka wa Tanganyika 2025 utarudi kwenu mkuranga

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu11 күн бұрын

    Na ujenzi holela pia huchangia miti kupotea sio kwa kupikia kuni tu

  • @user-qr7et3vl5z

    @user-qr7et3vl5z

    3 сағат бұрын

    Upinzani hatuupi nafasi kwasasa tumechoka malumbano waache watu wafanye kazii

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna612211 күн бұрын

    Zanzibar nilikuape wiki imepita watu njaa sana kuliko hapa kenya 🇰🇪 yani watu km wazee wote tafaut na miaka ile nakuja kuchukua nisshara Sasa me I don't understand maendeleo watu wakakufa kwa njaaa

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j11 күн бұрын

    Hatutaki maneno tunataka vitendo.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515711 күн бұрын

    Yaaaan Dr mwinyi ungetutafutia mamalaka yetu tu basi tungefika mbali sana lakin baado unasiasa zilezile za zaman naona barabara ,maji, umeme halaf hatuoni cha maaana Ruto

  • @user-tn5ym5gd6s

    @user-tn5ym5gd6s

    11 күн бұрын

    Good 👍kamanda

  • @saidal-hind5338

    @saidal-hind5338

    11 күн бұрын

    ​@@user-tn5ym5gd6s tunataka mamlaka kamil

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed151411 күн бұрын

    Wazanzibar wanataka nchi yao, tumeshahama huko kwenye siasa za ya maendeleo ya umeme na maji.. tunataka mamlaka yetu kamili

  • @TheOthmoney

    @TheOthmoney

    11 күн бұрын

    ukishapewa nchi. Chakwanza unafanya nini kwa mfano?

  • @hafidhhemed1514

    @hafidhhemed1514

    11 күн бұрын

    @@TheOthmoney tukishapewa nchi yetu tutakua tumepewa utu, heshima, utaifa, na uhuru wetu.. huwezi kutudanganya na vipande vya karatasi(noti) hizo siasa zimepitwa na wakati Zanzibar

  • @salyali7807
    @salyali780711 күн бұрын

    Mwinyi anakula pesa hao wengine wazanzibari wanapiga makofi kwa njugu tu wanazogaiwa

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    11 күн бұрын

    Kivipi?

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db10 күн бұрын

    Kafungua biasharangwa isafirishwe biashara ya wenyewe wenye nayo.

  • @user-ou9wu4lm3e
    @user-ou9wu4lm3e11 күн бұрын

    Kila kwanza ngio gesi

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan700611 күн бұрын

    RAISI ANASTAHILI PONGEZI ZA ZATI KABISA ANACHAPA KAZI SANA NA KAZI INAONEKANA KAMA BANDARI BARA BARA MASKULI HOSPITALI NA AJIRA KWA WAZANZIBARI HONGERA SANA RAISI HUSSEN ALI HASSAN MWINYI

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    10 күн бұрын

    Hakunaajira kwa wazanzibar anatoa ajira kwa wana ccm

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    9 күн бұрын

    Umesema kweli maneno yako.

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p11 күн бұрын

    Kodi na faida na uwepo wake bado kama hatuna mamlaka kamili ni Bure hivo basi itakua n jambo lamsingi kufanya jitihada za lazima kuifanza zanzibar kua na mamlaka kamili ili wanufaike

  • @delasdiego6537
    @delasdiego653710 күн бұрын

    Commenter wote ni wa puuzi TU humu kwani mmeshajisahau kua ccm nyakat zao ni za mwisho ni nyinyi ndio mmesema huyu ndio fisadi

  • @salyali7807
    @salyali780711 күн бұрын

    Tunataka nchi yetu haya mazungumzo ya habari hatuyataki

  • @mbaroukally8655

    @mbaroukally8655

    11 күн бұрын

    Chukua

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    11 күн бұрын

    Si uichukue maana yani unaandika meseji kumikumi maana wewe ndo mzanzibar saaana kuliko yeyote , we ka humtaki huyo kuna wanaomtaka msitake fika mahala mkaona kuna walowanzanibar sana kuliko wengine we hizo hasira na jazba na ushasema unataka nchi yako nenda kamtoe ichukue kelele za nini sasa

  • @salyali7807

    @salyali7807

    11 күн бұрын

    @@fahadfaraj6474 wapo wanaomtaka wazanzibara .. wenye akili za slavery

  • @salyali7807

    @salyali7807

    11 күн бұрын

    @@fahadfaraj6474 tumechoka nae na usanii wake ... he has to go

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    11 күн бұрын

    @@salyali7807 he can go when time comes, sio kwa kusema tu na hii hoja ya watu flani kuona wao wazanzibar kuliko wenziwao it is such an hypocritical akija mzanzibar mwenye asili ya kihindi tutasema atoke sio mzanzibar akija mpemba waunguja watamkataa kuna unafiki wa hali ya juu baina yetu ndo huo nsoutaka tuwe real na pasi unafiki na si kufanya personal attacks Kua huyu vile mara Hivi,

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo438211 күн бұрын

    WAFANYAKAZI UWALETE KUTO TANGANYIKA KAMA ULIVYO WALETA BODABODA. MYINYI WEWE NI JAMBAZI RUDI KWENU MKURANGA AAA!! 👀👁️👁️

  • @salyali7807
    @salyali780711 күн бұрын

    Mdomo nyumba ya maneno ... msanii tu .. utaufunga mlango wa duka zanzibar ... kama ushaiona dhahabu zanzibar basi ni ya wazanzibari

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    11 күн бұрын

    KWANI HUYU MWINYI SI MZANZIBARI?. NA MZANZIBARI NI NANI?

  • @salyali7807

    @salyali7807

    11 күн бұрын

    @@user-xv4tl8iv4l Mwinyi anajijua mwenyewe kwao ni wapi ... wengine wanajitia punguani tu

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    9 күн бұрын

    Hakuna wazanzibar ,tumeshaondoa iyo wote nyinyi ni wakaazi ,na mumetengengezewa kitambulisho cha ukaazi ,kinaitwa kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi.