ONA DKT MWINYI ALIVYO MJIA JUU MKANDARASI / UNATUONA HATUNA AKILI / UNATUDANGANYA”

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 58

  • @abdulhamidjabu6530
    @abdulhamidjabu65303 жыл бұрын

    Kazi nzur dr mwinyi hongera pamoja na viongozi ulio wateuwa

  • @sultannassor4868
    @sultannassor48683 жыл бұрын

    Hao wanafunya kazi kwa mazoe weka ndani

  • @yassirahmed3838
    @yassirahmed38383 жыл бұрын

    Hongera sana mna uongozi wa juu unakua sawa ila aooo wa chini sas

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde483 жыл бұрын

    Mtangazaji acha kuongea video inatakiwa kujieleza yenyewe dah!!!

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa15863 жыл бұрын

    UNAWEZA KUSEMA NDIO KWANZA TUNAANZA KUPATA UHURU SASA.AKHASANT DR MWINYI

  • @ukweliunauma4570

    @ukweliunauma4570

    3 жыл бұрын

    Kwani

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule36473 жыл бұрын

    Rais HUSSEN MWINYI Ni kisiki cha Mpingo, hakitikisiki ukizingua Anazingua.

  • @maryamhabib466
    @maryamhabib4663 жыл бұрын

    Tarehe 4mwez 7katka mkoa wet wa kusin unguja

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari16143 жыл бұрын

    Magufulification of AFRICA. The seed of Magufuly is growing Alhamdulillah✊🏾

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha26253 жыл бұрын

    Congrates...

  • @sfiniyussur4460
    @sfiniyussur44603 жыл бұрын

    Keep it up Rais wetu.

  • @albassambakili3757
    @albassambakili37573 жыл бұрын

    Inginia soma iyoo🤣🤣🤣💥💥💥

  • @khamisihaji2905
    @khamisihaji29053 жыл бұрын

    Usimuonee mtu haya fukuza uisilamu na imani weka pembeni kwaza

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51923 жыл бұрын

    Wanyooshe mkuu walizoea mazoea

  • @asiakhamisi469
    @asiakhamisi4693 жыл бұрын

    😍🥰🥰

  • @abdulijongo1355
    @abdulijongo13553 жыл бұрын

    Mtihan Kwel Hawa Marais Wetu Wa Hz Nchi Za Africa, Maneno Ya Kwenye Kampen Na Vitendo Ndani Ya Uongozi Ni Tofout Kabsa

  • @maryamhabib466
    @maryamhabib4663 жыл бұрын

    Kesho mhe tunaendelea na ziara yet

  • @zainabissa7851
    @zainabissa78513 жыл бұрын

    Huyu alimuweza ayoub tu na likimaliza jengo apewe mfagio afagie jengo lote na kudeki

  • @mahmoudsuleimanmohamed4969
    @mahmoudsuleimanmohamed49693 жыл бұрын

    Hongera mkuuu lakini pump wanaziharibu kwa makusudi ili watuuzie maji kwenye magari yao hasa huku nungwi

  • @khamisihaji2905
    @khamisihaji29053 жыл бұрын

    Sawaaa sawa makufuli 2 oyeee

  • @mzeerajab9154

    @mzeerajab9154

    3 жыл бұрын

    Sasa huyo mkandarasi baada ya kudanganya nakuona watu hawana akili kafanywa nini zaidi ya kumbiwa amalize kazi.Naona hajachukuliwa hatua yoyote.

  • @khamisihaji2905

    @khamisihaji2905

    3 жыл бұрын

    @@mzeerajab9154 ndio tatizo uisilamu na imani nyingi hufanyi kitu.

  • @royalmirage2005
    @royalmirage20053 жыл бұрын

    Mungu akulinde

  • @hashimalsaadat4905
    @hashimalsaadat49053 жыл бұрын

    Bado Ahadi Zina Endelea

  • @froma3732
    @froma37323 жыл бұрын

    Hao wanataka hivi mkono wa chuma walikuwa pmj na hao waolotoka

  • @rajabmsinzia7921
    @rajabmsinzia79213 жыл бұрын

    Muheshimiwa chukua hatua wajibisha watu kwa vitendo muheshimiwa watakuchukulia poa kama walivyomchukulia poa Shein

  • @salimmohamed5559
    @salimmohamed55593 жыл бұрын

    Hatutaki rais mwengine huyu huyu anatosha miaka 50

  • @mrok284
    @mrok2843 жыл бұрын

    Mh.waturjesha nyuma hao wausheeee.

  • @salamaali6318
    @salamaali63183 жыл бұрын

    Ulichosema mh, Rais ni Cha ukweli kabisa

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43823 жыл бұрын

    DHULMA NA UMWAGAJI WA DAMU OYEE!

  • @nourjehanibrahim6969
    @nourjehanibrahim69693 жыл бұрын

    Mtaawa Mkunazintuna pata Maji ya chumvimhe Rais miaka 4 sasa

  • @salmahilal3577
    @salmahilal35773 жыл бұрын

    Dhulma ni dhulma tuuuu ,,, tushawazoeaaa

  • @dossantoschannel1808

    @dossantoschannel1808

    3 жыл бұрын

    Umedhulmiwa nini wew?

  • @sniper93999

    @sniper93999

    3 жыл бұрын

    Umedhulumiwa kipi ww

  • @zuhuraali9069

    @zuhuraali9069

    3 жыл бұрын

    Umedhulumiwa nini?

  • @talibsaid8081
    @talibsaid80813 жыл бұрын

    Mzee Airport yetu vipi?

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma36923 жыл бұрын

    Tumbua wasenge ao hawana maajabu tupeni na sisi izo nafsi halafu muone munawapa watu wasio na uweledi kila siku ni ivo ivo tu kama suala la maji ni Aibu kwa nchi miaka 60 ya Uhuru water less.

  • @hamadiyussuf4483
    @hamadiyussuf44833 жыл бұрын

    Tumbua hao mkuu

  • @makameomar871
    @makameomar8713 жыл бұрын

    Mueshmiwa Rais tunakuomba uje na huku Pemba hatupati maji Gombani chake chake

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54333 жыл бұрын

    Mhe. Rais ukienda hivi unavyokwenda Serikali utaanguka nayo kabla ya mwaka mmoja, ni lazima unyooshe Kimagufuli ukitaka kila mmoja umchekeshe HAIWEZEKANI.

  • @malikhabibali4651
    @malikhabibali46513 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Ivi kwanini tunahangaika na maji tu nchi hii ndogo miaka yote hiyo

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    Ni ujinga tu babu kisima cha million tano kina uwezo wa kunywesha ata vijiji 20 likini nashangaa hadi leo eti maji maji

  • @salimmohamed5559
    @salimmohamed55593 жыл бұрын

    ASANTE RAIS WETU TUNAKUTA UONGOZI WAKO MUDA WA MIAKA 50

  • @hafsahajiabeid5768
    @hafsahajiabeid57683 жыл бұрын

    Ao Makontracta wanapewa kazi kwa kujuana si kwa ubora wa kazi ikisha baadhi yao wanakubaliana wakipata tenda wanatoa chochote kuwapa waliowapatia hivondio mana huku wameharibu lakini wanaendelea kupewa kazi tena

  • @ramadhanjaffar7114

    @ramadhanjaffar7114

    3 жыл бұрын

    Safi sana Rais wetu mtetezi wa Taifa

  • @feditomudumane929

    @feditomudumane929

    3 жыл бұрын

    Hana lolote

  • @suleimansalim7194
    @suleimansalim71943 жыл бұрын

    RAISI WETU NAKUPENDA SANA ILA USISAHAU KUTEMBELEA VUTUO VYA POLISI WILAYA MKOANI UKIENDA NA KESI HUKO NA MKE WAKO UJUE HUNA TENA NDOA MKE ATACHUKULIWA TU,KUNA VIJOGOO

  • @kishingokishingo1840

    @kishingokishingo1840

    3 жыл бұрын

    Ikiwa umeshindwa kumlinda mkeo unataka akulindie raisi? Zungumza hoja zenye maana zitakazoweza kusaidia nchi yako ww

  • @kishingokishingo1840

    @kishingokishingo1840

    3 жыл бұрын

    Kwani.uliozeshwa na RPC,Ocd au ocs kwakuwa hujifahamu hata mm Kama ndio polisi ukimleta namtafuna vizuri Sana

  • @husseinhajiameir3032
    @husseinhajiameir30323 жыл бұрын

    Mkandaras mfungeni uyo anaowatu wajinga mpaka Rais mjinga

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    HATUTAKI KUWAONA WATU WANAODHULUMU, WAMESHINDWA WALIOKUWA MADARAKANI KWA MIAKA 10 KWA DHULMA NA SASA BADO MNAENDELEZA DHULMA HAKUNA KITAKACHO KUWA.

  • @omarrashid625

    @omarrashid625

    3 жыл бұрын

    Tunahitaji na pemba afike

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45703 жыл бұрын

    Mkandarasi kibaka , kisha zowea pesa za haraka haraka Wabongo eeeh

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75893 жыл бұрын

    Hapo ndio utajuwa mkuu wa wilaya Hawa fatili Hadi ajeee raisi