ONA DKT MWINYI ALIVYO MJIA JUU MKANDARASI / UNATUONA HATUNA AKILI / UNATUDANGANYA”
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 58
Kazi nzur dr mwinyi hongera pamoja na viongozi ulio wateuwa
Hao wanafunya kazi kwa mazoe weka ndani
Hongera sana mna uongozi wa juu unakua sawa ila aooo wa chini sas
Mtangazaji acha kuongea video inatakiwa kujieleza yenyewe dah!!!
UNAWEZA KUSEMA NDIO KWANZA TUNAANZA KUPATA UHURU SASA.AKHASANT DR MWINYI
@ukweliunauma4570
3 жыл бұрын
Kwani
Rais HUSSEN MWINYI Ni kisiki cha Mpingo, hakitikisiki ukizingua Anazingua.
Tarehe 4mwez 7katka mkoa wet wa kusin unguja
Magufulification of AFRICA. The seed of Magufuly is growing Alhamdulillah✊🏾
Congrates...
Keep it up Rais wetu.
Inginia soma iyoo🤣🤣🤣💥💥💥
Usimuonee mtu haya fukuza uisilamu na imani weka pembeni kwaza
Wanyooshe mkuu walizoea mazoea
😍🥰🥰
Mtihan Kwel Hawa Marais Wetu Wa Hz Nchi Za Africa, Maneno Ya Kwenye Kampen Na Vitendo Ndani Ya Uongozi Ni Tofout Kabsa
Kesho mhe tunaendelea na ziara yet
Huyu alimuweza ayoub tu na likimaliza jengo apewe mfagio afagie jengo lote na kudeki
Hongera mkuuu lakini pump wanaziharibu kwa makusudi ili watuuzie maji kwenye magari yao hasa huku nungwi
Sawaaa sawa makufuli 2 oyeee
@mzeerajab9154
3 жыл бұрын
Sasa huyo mkandarasi baada ya kudanganya nakuona watu hawana akili kafanywa nini zaidi ya kumbiwa amalize kazi.Naona hajachukuliwa hatua yoyote.
@khamisihaji2905
3 жыл бұрын
@@mzeerajab9154 ndio tatizo uisilamu na imani nyingi hufanyi kitu.
Mungu akulinde
Bado Ahadi Zina Endelea
Hao wanataka hivi mkono wa chuma walikuwa pmj na hao waolotoka
Muheshimiwa chukua hatua wajibisha watu kwa vitendo muheshimiwa watakuchukulia poa kama walivyomchukulia poa Shein
Hatutaki rais mwengine huyu huyu anatosha miaka 50
Mh.waturjesha nyuma hao wausheeee.
Ulichosema mh, Rais ni Cha ukweli kabisa
DHULMA NA UMWAGAJI WA DAMU OYEE!
Mtaawa Mkunazintuna pata Maji ya chumvimhe Rais miaka 4 sasa
Dhulma ni dhulma tuuuu ,,, tushawazoeaaa
@dossantoschannel1808
3 жыл бұрын
Umedhulmiwa nini wew?
@sniper93999
3 жыл бұрын
Umedhulumiwa kipi ww
@zuhuraali9069
3 жыл бұрын
Umedhulumiwa nini?
Mzee Airport yetu vipi?
Tumbua wasenge ao hawana maajabu tupeni na sisi izo nafsi halafu muone munawapa watu wasio na uweledi kila siku ni ivo ivo tu kama suala la maji ni Aibu kwa nchi miaka 60 ya Uhuru water less.
Tumbua hao mkuu
Mueshmiwa Rais tunakuomba uje na huku Pemba hatupati maji Gombani chake chake
Mhe. Rais ukienda hivi unavyokwenda Serikali utaanguka nayo kabla ya mwaka mmoja, ni lazima unyooshe Kimagufuli ukitaka kila mmoja umchekeshe HAIWEZEKANI.
🤣🤣🤣🤣
Ivi kwanini tunahangaika na maji tu nchi hii ndogo miaka yote hiyo
@ismailjuma3692
3 жыл бұрын
Ni ujinga tu babu kisima cha million tano kina uwezo wa kunywesha ata vijiji 20 likini nashangaa hadi leo eti maji maji
ASANTE RAIS WETU TUNAKUTA UONGOZI WAKO MUDA WA MIAKA 50
Ao Makontracta wanapewa kazi kwa kujuana si kwa ubora wa kazi ikisha baadhi yao wanakubaliana wakipata tenda wanatoa chochote kuwapa waliowapatia hivondio mana huku wameharibu lakini wanaendelea kupewa kazi tena
@ramadhanjaffar7114
3 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu mtetezi wa Taifa
@feditomudumane929
3 жыл бұрын
Hana lolote
RAISI WETU NAKUPENDA SANA ILA USISAHAU KUTEMBELEA VUTUO VYA POLISI WILAYA MKOANI UKIENDA NA KESI HUKO NA MKE WAKO UJUE HUNA TENA NDOA MKE ATACHUKULIWA TU,KUNA VIJOGOO
@kishingokishingo1840
3 жыл бұрын
Ikiwa umeshindwa kumlinda mkeo unataka akulindie raisi? Zungumza hoja zenye maana zitakazoweza kusaidia nchi yako ww
@kishingokishingo1840
3 жыл бұрын
Kwani.uliozeshwa na RPC,Ocd au ocs kwakuwa hujifahamu hata mm Kama ndio polisi ukimleta namtafuna vizuri Sana
Mkandaras mfungeni uyo anaowatu wajinga mpaka Rais mjinga
HATUTAKI KUWAONA WATU WANAODHULUMU, WAMESHINDWA WALIOKUWA MADARAKANI KWA MIAKA 10 KWA DHULMA NA SASA BADO MNAENDELEZA DHULMA HAKUNA KITAKACHO KUWA.
@omarrashid625
3 жыл бұрын
Tunahitaji na pemba afike
Mkandarasi kibaka , kisha zowea pesa za haraka haraka Wabongo eeeh
Hapo ndio utajuwa mkuu wa wilaya Hawa fatili Hadi ajeee raisi