WANANCHI WALIA NA SERIKALI YA ZANZIBAR “WATULIPE TUONDOKE”

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 64

  • @mabrouksaleh2472
    @mabrouksaleh24724 жыл бұрын

    Allah akulinde mama

  • @taffgong7751
    @taffgong77514 жыл бұрын

    Ccm oyeeeeeeeeee!!!!!!

  • @rukiamshihiri4911
    @rukiamshihiri49114 жыл бұрын

    Daa poleni

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd4 жыл бұрын

    Shenzi sana smz dhuluma Tu juweni kunamungu

  • @immtm4930
    @immtm49304 жыл бұрын

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi ...

  • @hassanshamte1610
    @hassanshamte16104 жыл бұрын

    Hayo ndio mapinduzi daimaaaa

  • @kijonalusay
    @kijonalusay4 жыл бұрын

    Zanzibar kwnn lkn Ah kila siku Zanzibar tu jamn inauma kwa kwel viongoz kwnn lkn jmn ah waoneeni huruma raia ebu jmn

  • @MasoS024
    @MasoS0244 жыл бұрын

    Babu Ally oyeeeeeeeeeeeeee

  • @machanokhatib5555
    @machanokhatib55554 жыл бұрын

    Pole sana

  • @sultannassor9756
    @sultannassor97564 жыл бұрын

    poleni

  • @shackshd1512
    @shackshd15124 жыл бұрын

    God bless Zanzibar

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd4 жыл бұрын

    Hii serekali yakishenzi na viongozi washenzi lakini msishangae mana toka mwaka 1964 walivofanya mapinduzi wao wanadhulumu Tu kwaiyo lanahizi zitaendea Tu

  • @RioIpo

    @RioIpo

    4 жыл бұрын

    Koma wewe, tumemdhulumu nani sie zaidi ya kuleta maendeleo nchini mwetu, mmejazana kila sehemu mxiuuuu zenu

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd

    @AbdullaAbdulla-pw5nd

    4 жыл бұрын

    Akome mama ako na mkeo

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd

    @AbdullaAbdulla-pw5nd

    4 жыл бұрын

    Na dhuluma alianza mamaako alipo pokea hekatatu baada ya kulalwa na Karume kumamamako

  • @RioIpo

    @RioIpo

    4 жыл бұрын

    @@AbdullaAbdulla-pw5nd Mmejazana kila sehemu kumanina zenu

  • @user-kr3vh4nu1w
    @user-kr3vh4nu1w4 жыл бұрын

    mm nawambia hii siserekali chagueni viongozi wanaojali hali za wananchi na wanao jielewa ivi wazanzibar badotu hamjajielewa hao siviongozi kazi kunyanyasa wananchi tutawasema viongozi vizuri mbona wao hawajikaa kwenye jaa washenzi wakubwa tutawasema vizur hamna lolote mnaloliweza kazi udikteta2

  • @raiye5621
    @raiye56214 жыл бұрын

    NA NYINYI WANA NCHI MKOME KUPIGA KURA ZISO NA UMUHIMU WA MANUFAA MNACHAGUWA WATU WASO SAHIHI POLENI SANA WAZANZIBAR WOTE

  • @saidali7331
    @saidali73314 жыл бұрын

    Serikali mtihani sana wananchi hao wangaliwe, hao ni wazanzibar wana haki kukaa popote, kwa hio serikali kama hamuwez kuwalipa wape maeneo ya kuishi,

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68804 жыл бұрын

    Tena Kibele nd aliko raisi vo tena nchi iyi bana ah!!! Haya tu, wallahi mm niko kule hostel na harufu km jaa lipo mbele yko...

  • @awadhtevez2918
    @awadhtevez29184 жыл бұрын

    Poleni sana wananchi jamani Babu Ali hii ndo Dubai ulotuahidi walipeni watu fidia zao km kuondoka waondoke dubai tumeisamehe tufanyieni ayo ya lazima tu msitunyanyase

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania30894 жыл бұрын

    Mmmm ayo mateso jamani poleni sana iyo nimitiyani jamani serekali embu watizameni hao watu kwa jicho la huruma

  • @nurisahim7898
    @nurisahim78984 жыл бұрын

    2020 ndo hii jmn

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50323 жыл бұрын

    Tatizo linalonikera Zanzibar sisote tunatamka ashahaduallaila hailawa washahadu anna muhmmadi rasuluwa halafu tunazulumiyana wenyewe kwa wenyewe inauma

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50323 жыл бұрын

    Serekali ya Zanzibar ni kikundi cha wavuta bangi tu

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90304 жыл бұрын

    Mhhh hh sinalakusema wallahi nalia tuu hapa

  • @zaidumohd3125
    @zaidumohd31254 жыл бұрын

    Mapinduzi daima

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi48824 жыл бұрын

    Maisha na siasa. Fedha za Serikali zimeshawekwa kwenye bajeti ya uchaguzi mkuu, kilichobaki ni maneno ya matumaini kwenye maisha ya watu.

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma36924 жыл бұрын

    Allah atawaafu

  • @abulkadirmaalim9828
    @abulkadirmaalim98284 жыл бұрын

    Du mtihani mkubwa

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Hahahahahaha mama kweli hakuna pesa

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul60854 жыл бұрын

    Ishu hapa kwetu ni usimamizi wa masuala ya kimkakati,kila kiongozi anasahau juu ya neno uwajibikaji na kuhisi yy hahusiki,kuna tabaka kubwa kati ya raia na watawala,haki inapigiwa magoti wakati ilistahiki kila mtu ajivunie keki ya taifa,badilisheni mwendo wenu hasa ktk masuala yahusuyo raia wa tabaka la chini maana kauli zao ni laana tosha kwa wenye viburi

  • @abukingkima092
    @abukingkima0924 жыл бұрын

    😭😭

  • @mahmoudmohdally7227
    @mahmoudmohdally72274 жыл бұрын

    Hamna fidia hapo ni udhalimu tu mtapewa hela hata kiwanja hupati kununuwa chengine wanagawana wao

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57724 жыл бұрын

    Hao CCM wanga kweli. Maeneo yapo tele kama kule jozani njia ya kwenda makunduch kuna uwanda mwitu mtupu . Kaz zulma to na hao hao kesho kutwa wanawapigia kura mana wamekaa kama misukule vile wanatumika to hakuna kuwapigia kura hao mana wote hao CCM au vibaraka wa CCM wanao tutesa wazanzibar ni kutoka bara si wazaliwa wa zanzibar mana hawana uchungu na wazanzibar na zanzibar

  • @mahmoudmohdally7227
    @mahmoudmohdally72274 жыл бұрын

    Ni milioni mbili na nusu kiwanja na fondesheni au banda utapewa milioni 5 utatoka vipi hapo

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Serekali sio serekali mbona wao hawafanyi miradi sehemu wanazoishi raiya tuiyondoe serekali ya ccm hawana uchungu na raiya wanalana ya kua watu daima hawatofanya lamana

  • @salimsalim7461
    @salimsalim74614 жыл бұрын

    Kidumu chama cha mapinduzi tundeleeni kuwapa kura ccm

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan72424 жыл бұрын

    Hawaa hawana lolotee wakishaa jiona wao wakaa sehem nzur basii wao ndoo wanajiona watuu jee yakijaa marathii je mtawatibuu au

  • @fahadyhbplus8713
    @fahadyhbplus87134 жыл бұрын

    Wapeni KILA 1 million mi5 jamani msihawahangaishe

  • @hamadallyallahatulinde2034

    @hamadallyallahatulinde2034

    3 жыл бұрын

    4

  • @hamadallyallahatulinde2034

    @hamadallyallahatulinde2034

    3 жыл бұрын

    9

  • @mariamhabibu4711
    @mariamhabibu47114 жыл бұрын

    Maskini

  • @alihusein1883
    @alihusein18834 жыл бұрын

    2020 amuweni haihitaji kuambiwa

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    4 жыл бұрын

    Kaka nchi hii haitolewi kw ivo, engkuwa inatolewa kwa ivo mbn tulishachoka kitambo tu na manyanyaso na ushenzi km huu...

  • @shamsahaji6202

    @shamsahaji6202

    4 жыл бұрын

    @@abdulmohd6880 ahsante ww ushaielewa serekali iliopo Allah awashinde .

  • @RioIpo
    @RioIpo4 жыл бұрын

    Nendeni Kwa Mkuu wa Mkoa Ayoub...

  • @mabrouksaleh2472

    @mabrouksaleh2472

    4 жыл бұрын

    Ili iweje

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji4 жыл бұрын

    Ccm wizi na hawatosheki laana hizo, viwanja wamegawa wenyewe halafu wanasumbua watu. Wacheni fix serikali ya sheni

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel18264 жыл бұрын

    Uyo kikanzu sloongea mwisho anongea usanii mtupu..eti tumepata changamoto ....

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly30564 жыл бұрын

    Ccm ccm daima mapinduzi daima kidumu chama mapinduzi binaadam uwelewa wetu mfupi wacha tuteseke tu

  • @khalimudodoma6045
    @khalimudodoma60454 жыл бұрын

    jamani kwani nyinyi watu wazamzibari munatoka sayari gani mbona wapole sana hivi unasumbuliwa na munataaliya na watu wasio kuwa wazamzibari mbona muko pole sana hivi. munataka tukusaidieni vipi nyinyi hebu amkeni kidogo jamani

  • @nassormohammed1743

    @nassormohammed1743

    4 жыл бұрын

    kwani sie mzanzibar mbona unaandika kiswahili cha kipemba

  • @el_chilubi7458
    @el_chilubi74584 жыл бұрын

    Hatunywi sumu hatujinyongi (CCM Mbele kwa Mbeleee), Tumeipenda wenyewe, chaguo letu wenyewe, na wavimbe wapasuke! wacha we waisome namba weee..... Ikifika Oktoba tufanye makosa tena, ama tususie tena (wazidi kutufanyia vishindo) ama watu wajitokeze kwa wingi tena CCM wapate aibu ya kufuta tena uchaguzi.

  • @el_chilubi7458

    @el_chilubi7458

    4 жыл бұрын

    Wizarana wanasema jaa lenyewe halinuki? Mkusanyie taka kwenye kipolo kamuekea mlangoni kwake wizarani basi tuone kama ataendelea kukaa.

  • @izkiwellcome55

    @izkiwellcome55

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Nyimbo imenikumbusha mengi

  • @aishasaid5702

    @aishasaid5702

    4 жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @SalimSalim-vk6ux
    @SalimSalim-vk6ux4 жыл бұрын

    Jmn mbna katika serekali yetu hayo mmbo yamezdiii watu kuzuiwa makaazi bila kupewa report yyte jamn kila mtu na hali yake ya maisha jmn mbna tunatiana chuki wenyewe kwa wenyewe jmn serekalii yutu ZANZIBAR jmn

  • @mtitimtiti376

    @mtitimtiti376

    4 жыл бұрын

    Zanzibar kama zanzibar hatuna serekali mfano mzuri ni maabara tu ya kupimia corona mpaka watu vipimo vyao vipelekwe bara then utasema tuna serekali?

  • @binbarwan7401
    @binbarwan74014 жыл бұрын

    pesa zipo

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Subuhannallah

  • @DominicMyumbilwa
    @DominicMyumbilwa4 жыл бұрын

    Hilo Jaa la Kibele Lipo Hapo Miaka, Kinachofanyika Kwasasa Ni Kulijenga Kisasa, Harufu Isiwe Sababu

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын

    Hamna lolote shenzi smz

Келесі