WANANCHI WALIA NA SERIKALI YA ZANZIBAR “WATULIPE TUONDOKE”
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 64
Allah akulinde mama
Ccm oyeeeeeeeeee!!!!!!
Daa poleni
Shenzi sana smz dhuluma Tu juweni kunamungu
Inna Lillahi Wainna Ilayhi ...
Hayo ndio mapinduzi daimaaaa
Zanzibar kwnn lkn Ah kila siku Zanzibar tu jamn inauma kwa kwel viongoz kwnn lkn jmn ah waoneeni huruma raia ebu jmn
Babu Ally oyeeeeeeeeeeeeee
Pole sana
poleni
God bless Zanzibar
Hii serekali yakishenzi na viongozi washenzi lakini msishangae mana toka mwaka 1964 walivofanya mapinduzi wao wanadhulumu Tu kwaiyo lanahizi zitaendea Tu
@RioIpo
4 жыл бұрын
Koma wewe, tumemdhulumu nani sie zaidi ya kuleta maendeleo nchini mwetu, mmejazana kila sehemu mxiuuuu zenu
@AbdullaAbdulla-pw5nd
4 жыл бұрын
Akome mama ako na mkeo
@AbdullaAbdulla-pw5nd
4 жыл бұрын
Na dhuluma alianza mamaako alipo pokea hekatatu baada ya kulalwa na Karume kumamamako
@RioIpo
4 жыл бұрын
@@AbdullaAbdulla-pw5nd Mmejazana kila sehemu kumanina zenu
mm nawambia hii siserekali chagueni viongozi wanaojali hali za wananchi na wanao jielewa ivi wazanzibar badotu hamjajielewa hao siviongozi kazi kunyanyasa wananchi tutawasema viongozi vizuri mbona wao hawajikaa kwenye jaa washenzi wakubwa tutawasema vizur hamna lolote mnaloliweza kazi udikteta2
NA NYINYI WANA NCHI MKOME KUPIGA KURA ZISO NA UMUHIMU WA MANUFAA MNACHAGUWA WATU WASO SAHIHI POLENI SANA WAZANZIBAR WOTE
Serikali mtihani sana wananchi hao wangaliwe, hao ni wazanzibar wana haki kukaa popote, kwa hio serikali kama hamuwez kuwalipa wape maeneo ya kuishi,
Tena Kibele nd aliko raisi vo tena nchi iyi bana ah!!! Haya tu, wallahi mm niko kule hostel na harufu km jaa lipo mbele yko...
Poleni sana wananchi jamani Babu Ali hii ndo Dubai ulotuahidi walipeni watu fidia zao km kuondoka waondoke dubai tumeisamehe tufanyieni ayo ya lazima tu msitunyanyase
Mmmm ayo mateso jamani poleni sana iyo nimitiyani jamani serekali embu watizameni hao watu kwa jicho la huruma
2020 ndo hii jmn
Tatizo linalonikera Zanzibar sisote tunatamka ashahaduallaila hailawa washahadu anna muhmmadi rasuluwa halafu tunazulumiyana wenyewe kwa wenyewe inauma
Serekali ya Zanzibar ni kikundi cha wavuta bangi tu
Mhhh hh sinalakusema wallahi nalia tuu hapa
Mapinduzi daima
Maisha na siasa. Fedha za Serikali zimeshawekwa kwenye bajeti ya uchaguzi mkuu, kilichobaki ni maneno ya matumaini kwenye maisha ya watu.
Allah atawaafu
Du mtihani mkubwa
Hahahahahaha mama kweli hakuna pesa
Ishu hapa kwetu ni usimamizi wa masuala ya kimkakati,kila kiongozi anasahau juu ya neno uwajibikaji na kuhisi yy hahusiki,kuna tabaka kubwa kati ya raia na watawala,haki inapigiwa magoti wakati ilistahiki kila mtu ajivunie keki ya taifa,badilisheni mwendo wenu hasa ktk masuala yahusuyo raia wa tabaka la chini maana kauli zao ni laana tosha kwa wenye viburi
😭😭
Hamna fidia hapo ni udhalimu tu mtapewa hela hata kiwanja hupati kununuwa chengine wanagawana wao
Hao CCM wanga kweli. Maeneo yapo tele kama kule jozani njia ya kwenda makunduch kuna uwanda mwitu mtupu . Kaz zulma to na hao hao kesho kutwa wanawapigia kura mana wamekaa kama misukule vile wanatumika to hakuna kuwapigia kura hao mana wote hao CCM au vibaraka wa CCM wanao tutesa wazanzibar ni kutoka bara si wazaliwa wa zanzibar mana hawana uchungu na wazanzibar na zanzibar
Ni milioni mbili na nusu kiwanja na fondesheni au banda utapewa milioni 5 utatoka vipi hapo
Serekali sio serekali mbona wao hawafanyi miradi sehemu wanazoishi raiya tuiyondoe serekali ya ccm hawana uchungu na raiya wanalana ya kua watu daima hawatofanya lamana
Kidumu chama cha mapinduzi tundeleeni kuwapa kura ccm
Hawaa hawana lolotee wakishaa jiona wao wakaa sehem nzur basii wao ndoo wanajiona watuu jee yakijaa marathii je mtawatibuu au
Wapeni KILA 1 million mi5 jamani msihawahangaishe
@hamadallyallahatulinde2034
3 жыл бұрын
4
@hamadallyallahatulinde2034
3 жыл бұрын
9
Maskini
2020 amuweni haihitaji kuambiwa
@abdulmohd6880
4 жыл бұрын
Kaka nchi hii haitolewi kw ivo, engkuwa inatolewa kwa ivo mbn tulishachoka kitambo tu na manyanyaso na ushenzi km huu...
@shamsahaji6202
4 жыл бұрын
@@abdulmohd6880 ahsante ww ushaielewa serekali iliopo Allah awashinde .
Nendeni Kwa Mkuu wa Mkoa Ayoub...
@mabrouksaleh2472
4 жыл бұрын
Ili iweje
Ccm wizi na hawatosheki laana hizo, viwanja wamegawa wenyewe halafu wanasumbua watu. Wacheni fix serikali ya sheni
Uyo kikanzu sloongea mwisho anongea usanii mtupu..eti tumepata changamoto ....
Ccm ccm daima mapinduzi daima kidumu chama mapinduzi binaadam uwelewa wetu mfupi wacha tuteseke tu
jamani kwani nyinyi watu wazamzibari munatoka sayari gani mbona wapole sana hivi unasumbuliwa na munataaliya na watu wasio kuwa wazamzibari mbona muko pole sana hivi. munataka tukusaidieni vipi nyinyi hebu amkeni kidogo jamani
@nassormohammed1743
4 жыл бұрын
kwani sie mzanzibar mbona unaandika kiswahili cha kipemba
Hatunywi sumu hatujinyongi (CCM Mbele kwa Mbeleee), Tumeipenda wenyewe, chaguo letu wenyewe, na wavimbe wapasuke! wacha we waisome namba weee..... Ikifika Oktoba tufanye makosa tena, ama tususie tena (wazidi kutufanyia vishindo) ama watu wajitokeze kwa wingi tena CCM wapate aibu ya kufuta tena uchaguzi.
@el_chilubi7458
4 жыл бұрын
Wizarana wanasema jaa lenyewe halinuki? Mkusanyie taka kwenye kipolo kamuekea mlangoni kwake wizarani basi tuone kama ataendelea kukaa.
@izkiwellcome55
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Nyimbo imenikumbusha mengi
@aishasaid5702
4 жыл бұрын
Hahahahahaha
Jmn mbna katika serekali yetu hayo mmbo yamezdiii watu kuzuiwa makaazi bila kupewa report yyte jamn kila mtu na hali yake ya maisha jmn mbna tunatiana chuki wenyewe kwa wenyewe jmn serekalii yutu ZANZIBAR jmn
@mtitimtiti376
4 жыл бұрын
Zanzibar kama zanzibar hatuna serekali mfano mzuri ni maabara tu ya kupimia corona mpaka watu vipimo vyao vipelekwe bara then utasema tuna serekali?
pesa zipo
Subuhannallah
Hilo Jaa la Kibele Lipo Hapo Miaka, Kinachofanyika Kwasasa Ni Kulijenga Kisasa, Harufu Isiwe Sababu
Hamna lolote shenzi smz